ASKOFU MWANAMAPINDUZI AMVAA ROBOTI WA NAPE "TUMEPIGWA ATATUSAIDIA NINI, BORA AWE MTANGAZAJI WA TV"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • ASKOFU MWANAMAPINDUZI AMVAA ROBOTI WA NAPE "TUMEPIGWA ATATUSAIDIA NINI, BORA AWE MTANGAZAJI WA TV"
    🔘JE, NA WEWE UNA HABARI?
    🔘WASILIANA NA MwanaHALISI TV (+255 767 400402),
    🔘WhatsApp (+255 767 400402)
    🔘Email: mwanahalisitvnews@gmail.com
    🔘KWA HABARI ZA KILA SIKU: mwanahalisionli...

Комментарии • 86

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192 4 месяца назад +4

    Askof leo nimekuelewa vzr

  • @peterdaimon-ug6fd
    @peterdaimon-ug6fd 4 месяца назад +1

    Jamani nimecheka sana kuhusu robot na kiwango cha hela na maisha yetu watanzania yalivyo

  • @IsayaSosolo-nx8zk
    @IsayaSosolo-nx8zk 4 месяца назад +2

    Hayo maroboti yanapenda Sana kuiba kura tuwe makinni wameaanza kutuletea mazombi hiki Chama kimetuchoka?

  • @mazulacelestine3038
    @mazulacelestine3038 4 месяца назад

    Hii hesabu sio sawa,haiwezekani ktk taifa lenye watu wenye akili,ila kama ni kweli basi Tanzania tuna matatizo vichwani mwetu, Mungu atufundishe

  • @clarencelazaro9600
    @clarencelazaro9600 4 месяца назад +3

    Tunaviongozi waajabu kweli kweli

  • @gowekogoweko5803
    @gowekogoweko5803 4 месяца назад +1

    HEKO ASKOFU MWANAMAPINDUZI UMÈELEMISHA KWA UMAHIRI MKUBWA SANA 🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹

  • @frankmaeda4284
    @frankmaeda4284 4 месяца назад +2

    Kweli tunachezewa,hawatujali . Kununua kitu ambacho hatuna ulizima Kama mahospital,tumepigwa,ila nao wanasiku za kuishi.

  • @emmanueldavid9506
    @emmanueldavid9506 4 месяца назад +2

    Na huku ukienda hospital kwenye matibabu wanakuagiza dawa ukanunue kwenye maduka yao hakuna madawa hospital

  • @richardmwandanji65
    @richardmwandanji65 4 месяца назад +1

    Nape aspotubu hataishi huni uhuni na uizi roboti inamana nchi hii mmewachukia wafanyakazi hata kuanza kununua maroboti mbona gharama hiyo sawana kuwalipa wafanyakazi wawili Hadi kustafu nachenji

  • @Skomi-0nedayyes
    @Skomi-0nedayyes 4 месяца назад +1

    Izo ni dharau kwa walipa kodi lamuhimu ni kudai katiba mpya tu yenye kulinda rasirimali za watanganyika na kusimamia masrahi ya umma tusipige kula bira katiba mpya ya wananchi wa Tanganyika.

  • @OctavianByalile
    @OctavianByalile 4 месяца назад

    Mchungaji mama kakusikia kesho naibu wazil w habali niwewe😮

  • @emanuelsinyinza
    @emanuelsinyinza 4 месяца назад

    Ten percent imechukuliwa

  • @gowekogoweko5803
    @gowekogoweko5803 4 месяца назад +1

    KUHUSU ROBOTI KWAKWELI NÌ DHALILISHO ĶAMA ITAONEKANA NI WATANZANIA WOTE WAMEFURAHIA MDOLI HUO 😢😢

  • @ezrommkambati1554
    @ezrommkambati1554 4 месяца назад +1

    Maeneo ya Internet ambapo haisomi ni mengi mno

  • @ponsianomnyaru9140
    @ponsianomnyaru9140 4 месяца назад

    Kwa uyo mama enu ana anayeupiga mwingi nae karidhika tu

  • @arnoldkessy5106
    @arnoldkessy5106 4 месяца назад +1

    Wameleta roboti ili iwe gumzo wapate kichaka cha kujificha ili suala la katiba lipite hivi.....

  • @donaldfrancissassa8360
    @donaldfrancissassa8360 4 месяца назад

    Ni wakati wao mtumishi wa Mungu, Rais alikwisha kuwaambia wale kwa urefu wa kamba zao!

  • @emanuelsinyinza
    @emanuelsinyinza 4 месяца назад

    Wizi mchana kweupe. Wanatakiwa washitakiwe.ni mishahara ya watumishi wangapi wangeweza kuajiri watu wangapi .hatari

  • @kaizambagwa5128
    @kaizambagwa5128 4 месяца назад

    Tumepigwa kweli

  • @hamisimuhunzi7916
    @hamisimuhunzi7916 4 месяца назад

    ..Nape alifafanua vzr kazi kubwa ya lile Robott ni kupambana na wala rushwa ili kuwapa nafuu ya maisha wananchi

    • @wadeelegbogun3015
      @wadeelegbogun3015 4 месяца назад +1

      #NONSENSE wao ndo majizi ya kutupwa.

    • @jdanny497
      @jdanny497 4 месяца назад

      Acha upumbavu kuwa na akili hata kidogo

    • @jdanny497
      @jdanny497 4 месяца назад

      Yani wajinga kama nyie ndio mna njaa alafu mnaturudisha nyuma

    • @patymwita5834
      @patymwita5834 4 месяца назад

      Lina pambanaje maybe?

    • @clarencehilary5588
      @clarencehilary5588 4 месяца назад

      Kumbe wewe msenge

  • @DensonKaboneka
    @DensonKaboneka 4 месяца назад

    Wapunguzieni watanzania data wanalia kila siku na ayo matozo acheni mbwembwe za kitoto kuweni binamu

  • @elibarikimollel7149
    @elibarikimollel7149 4 месяца назад

    Kwa kweli ukichunguza matumizi ya serikali utagundua jinsi gani walipa kodi wametelekezwa,wanakufa kwa maelfu kwa kukosa matibabu, afya imebinafsishwa kwa kigezo cha serikali inayokusanya kodi kwenye kila kitu,mikopo,na misaada kukosa fedha lakini ina fedha za kununua robot la maonyesho tu kwa shs.bilioni 10 billion!!? Watu wakihoji wanaitwa wachochezi wavuruga amani!.

  • @stephenndagalla8183
    @stephenndagalla8183 4 месяца назад +1

    Mhe. Nape ni MPIGAJI na MSANINI wa kiwango cha chini sana sawa na Zelensky wa Ukraine.

    • @MathewNathan-yb2bz
      @MathewNathan-yb2bz 4 месяца назад

      Mjinga kweli.sasa hapo zelensky anaingiaje,we punguani

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 4 месяца назад

      Zelensky ni punguani kukubaliana na uhuni wa mmarekani na washirika wake watu wake wanakufa na nchi yake kuwa mkononi mwa Putin, kwa hiyo nape ni mjinga kama yeye

  • @DensonKaboneka
    @DensonKaboneka 4 месяца назад

    Wa tz wamefunguka msiwafanye kwa bado ni mazoba

  • @solomonjackson3827
    @solomonjackson3827 4 месяца назад +1

    Huyo loboty anamchango Gani Kwa taifa mbona kama ni maigizo yanayoiba mali ya uma huu ni mpigo wa mtu

  • @rejobu9723
    @rejobu9723 4 месяца назад

    Huu ni ujinga wa kiwango cha P H D yaani nchi inachangamoto ya Internet leo mnaenda kununua robot 😢😢😢

  • @ezrommkambati1554
    @ezrommkambati1554 4 месяца назад

    Sioni faida ya Robot, wafanyakazi tunasafiri posho hamna taabu tupu.

  • @MasungaNekwa
    @MasungaNekwa 4 месяца назад +2

    Tumefindishwa ujinga na tumeamini ujinga eti mwenge unafichua rushwa na mafisadi"stupid"

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 4 месяца назад

      Ujinga mtupu hivi kipindi cha uncle magu ulipelekwa wapi?

  • @odoieriasmonga6591
    @odoieriasmonga6591 4 месяца назад +1

    hata kama siyo kiwango hicho cha fedha ilichokitaja Askofu but la nini

  • @elbaricktv1632
    @elbaricktv1632 4 месяца назад +2

    Yule sio robot ni sanam

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 4 месяца назад

    Kuna shida sana na ya ajabu Robot la nini Sekta ya Afya mbovu kabisa ukiacha Sekta nyingine wizi tu umetawala Roboti lina faida kwa Tanzania upigaji tu kila kona badala ya kunwambia ukweli Mama awapelekee fedha Gazeti la Uhuru ambalo ni la Serikali ya Ccm liwalipe mishahara na wastaafu wako hoi Waziri mzima anahangaika na Robot maajabu matupu hayo😢

  • @frankmaeda4284
    @frankmaeda4284 4 месяца назад

    Huyu ni zaidi ya Askofu,hapaki mafuta kwa mgongo wa chupa. Askofu mmoja alisema atamtukuza na sio kumsaidia au kumsahihisha wa juu

  • @usembiphonedar5632
    @usembiphonedar5632 4 месяца назад

    Wananchi wanateseka! hawa mashetani wa kijani wanaenda kununua roboti ambayo haiaaidii lolote kwa mwananchi kwa wakati huu! Hovyoooo!

  • @juliasmtundu442
    @juliasmtundu442 3 месяца назад

    Hiyo mipango walipanga na nani? Loboti

  • @stewartdyamvunye-wz6rn
    @stewartdyamvunye-wz6rn 4 месяца назад

    Mimi nakuwa sielewi. Kwani hakuna mahali serikali au wizara imetoa tamko au maelezo ya kina kuhusu robot huyu ili kujibu maswali kama gharama, sababu na faida kwa umma. Kama hakuna, maigizo yanaendelea.

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 4 месяца назад

    Robot inasaidia nini wakati chombo chao cha Habari cha Habari cha Ccm Uhuru Mzalendo kinakufa Wafanyakazi hawapati mishahara muda wa miezi 3 wamekondeana Wastaafu hawajalipwa haki zao Magazeti yenyewe hayanunuliwi shida mtindo mmoja

  • @HaulSidney
    @HaulSidney 4 месяца назад

    Ndiyo ujue kuwa wanaotuongoza nchi hii ni vihiyo,

  • @Mima-cl2im
    @Mima-cl2im 4 месяца назад

    Hiyo ni njia ya upigaji. Kuna watanzania wengi hawana kazi, robot wa nini. Huyu Nape kuna wakati alitumia helicopter kusajiri namba za nyumba, ujinga gani huu? Kama kuna watu wamepewa kazi bila ujuzi na elimu ni huyu Nape. Musitegemee kitu chochote

  • @RoseKimishabhalemi-oz9bn
    @RoseKimishabhalemi-oz9bn 4 месяца назад

    Huyo mke wa mh. N.

  • @laninjeje8290
    @laninjeje8290 4 месяца назад

    Huyu sio askofu ni kada wa CHADEMA mwandishi acha kupotosha watanzania

    • @geraldlyimo2859
      @geraldlyimo2859 4 месяца назад

      Ni kweli na hata huyo robot hayupo tz

  • @ErizicDaud
    @ErizicDaud 4 месяца назад

    Tumepigwa na kitu kizito

  • @frankremishoy5778
    @frankremishoy5778 4 месяца назад

    Tumepigwa yule ni sanamu

  • @natafutamatatizo4382
    @natafutamatatizo4382 4 месяца назад

    HIVI ROBOT NA MWANAADAMU ALIYE LITENGENEZA NANI ANA AKILI ZAIDI? 😅😅 NAPE ANAUGUA SASA!

  • @JaziraMustafa-g9p
    @JaziraMustafa-g9p 4 месяца назад +1

    HIZO HESSABU ALIZOZIFANYA NI UONGO KWA HIYO HATA MAZUNGUMZO YAKE NI MUONGO

  • @CesiliaMrema
    @CesiliaMrema 4 месяца назад

    Huu ni ujinga uliozidi viwango vya ujinga, watanzani wanahitaji dawa, hospital ,vitanda , elime nzuri , hiyo pesa ingeelekezwa kwenye vitu vinagusa maisha moja kwa moja kama hivyo nilivyo taja ,,ikiwemo kilimo na mengineyo yanayo gusa maisha yetu ,

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 4 месяца назад

    LAZIMA ATAKUWA AMETOKA CHINA. NA HIYO BEI MI UWONGOO.

  • @charlzmboya
    @charlzmboya 4 месяца назад

    Maku.mazani hawfikirii kazi kutuletea matoi yasokua na maana yoyte

  • @estambuya3901
    @estambuya3901 4 месяца назад

    Huyu waziri anacheza na hela zetu.

  • @mmassycharles409
    @mmassycharles409 4 месяца назад

    Hawa wabunge wa mchongo walaaniwe kwa kuchezea fedha za walipa kodi maskini.

  • @HilalAmbusaidi
    @HilalAmbusaidi 4 месяца назад

    Askofu akishakua mwana mapinduzi huyo tena sio askofu ni mwana siasa

  • @victorphilipo
    @victorphilipo 4 месяца назад

    Wametuzoea hata ukiraramika wanazima kerere zako muda wao ukiisha watachezea waricho panda hawana jipya

  • @evanskasenene5366
    @evanskasenene5366 4 месяца назад

    Acha yaletwe mengi ili kukomesha rushwa kwenye nchi hii

    • @wadeelegbogun3015
      @wadeelegbogun3015 4 месяца назад

      Wao ndo majizi, robot mmepigwa cha kike

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 4 месяца назад

      Umeelewa au ndio unakurumbuka kutoka kwenye usingizi, mla rushwa analeta kitu cha kukomesha rushwa au kumwezesha saidi 🤔

  • @ponsianomnyaru9140
    @ponsianomnyaru9140 4 месяца назад

    Eti Kuna wasenge wanasema yanakomeaha rushwa waache usenga watanzania siyo wajinga

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 4 месяца назад

    I

  • @babanatalis8401
    @babanatalis8401 4 месяца назад

    lazima turuhusu vijana wetu wabuni vitu ni ujinga kubeza juhudi za vijana wetu katika kubuni vitu tuwatie moyo vijana wetu

    • @Mobmob2013
      @Mobmob2013 4 месяца назад +1

      Nani kakuambia limebuniwa bongo
      1.7billion amenunuliwa

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 4 месяца назад

      Acha kulishwa matango pori na serikali kitu Kiko wazi ni juhudi ya mmagaribi kutudumaza

    • @Mobmob2013
      @Mobmob2013 4 месяца назад

      @@MiriamAbdallah
      Robotics ni jambo jema Ila kwa nchi yetu hatujajua tunataka Nini kwa sababu tuna vigongozi ambao fahamu zao zimepofushwa na rushwa na upigaji hawawezi kuweka vipaumbele vya taifa hili.
      Swala la ajira kwa vijana linaongezeka kwa kasi na afya za vijana ziko hatarini kuliko muda wowote tangu Dunia hii iumbwe

  • @nakalikyumile3234
    @nakalikyumile3234 4 месяца назад

    Tanzania tuna uongozi wa mazombi,yaani yanauza rasilimali zetu,kisha yananunua roboti na kulivika vazi kama bendera ya nchi,cha ajabu hayasemi roboti hilo litaleta faida gani?yenyewe yanajivunia ati "linajua kuongea"upuuzi mtupu

    • @helencyprian8745
      @helencyprian8745 4 месяца назад

      Chanjo inafanyakazi kichwani, tutaona mengi

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 4 месяца назад

      ​@@helencyprian8745yawezekana ni kweli 🤔

  • @FrankasamisyeMwaiswasu
    @FrankasamisyeMwaiswasu 4 месяца назад

    wajinga tu ndio wanayo fanya haya

  • @ponsianomnyaru9140
    @ponsianomnyaru9140 4 месяца назад

    Nchi inaongozwa na wasenge

  • @jumamagoma1743
    @jumamagoma1743 4 месяца назад

    Ccm.nunueni.loboti.lifanye.kazi.ya.ulaisi.cag.majaji.upolisi.mawazili.