ASKOFU MWANAMAPINDUZI AMVAA ROBOTI WA NAPE "TUMEPIGWA ATATUSAIDIA NINI, BORA AWE MTANGAZAJI WA TV"
HTML-код
- Опубликовано: 26 сен 2024
- ASKOFU MWANAMAPINDUZI AMVAA ROBOTI WA NAPE "TUMEPIGWA ATATUSAIDIA NINI, BORA AWE MTANGAZAJI WA TV"
🔘JE, NA WEWE UNA HABARI?
🔘WASILIANA NA MwanaHALISI TV (+255 767 400402),
🔘WhatsApp (+255 767 400402)
🔘Email: mwanahalisitvnews@gmail.com
🔘KWA HABARI ZA KILA SIKU: mwanahalisionli...
Askof leo nimekuelewa vzr
Jamani nimecheka sana kuhusu robot na kiwango cha hela na maisha yetu watanzania yalivyo
Hayo maroboti yanapenda Sana kuiba kura tuwe makinni wameaanza kutuletea mazombi hiki Chama kimetuchoka?
Hii hesabu sio sawa,haiwezekani ktk taifa lenye watu wenye akili,ila kama ni kweli basi Tanzania tuna matatizo vichwani mwetu, Mungu atufundishe
Tunaviongozi waajabu kweli kweli
HEKO ASKOFU MWANAMAPINDUZI UMÈELEMISHA KWA UMAHIRI MKUBWA SANA 🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹
Kweli tunachezewa,hawatujali . Kununua kitu ambacho hatuna ulizima Kama mahospital,tumepigwa,ila nao wanasiku za kuishi.
Na huku ukienda hospital kwenye matibabu wanakuagiza dawa ukanunue kwenye maduka yao hakuna madawa hospital
Nape aspotubu hataishi huni uhuni na uizi roboti inamana nchi hii mmewachukia wafanyakazi hata kuanza kununua maroboti mbona gharama hiyo sawana kuwalipa wafanyakazi wawili Hadi kustafu nachenji
Izo ni dharau kwa walipa kodi lamuhimu ni kudai katiba mpya tu yenye kulinda rasirimali za watanganyika na kusimamia masrahi ya umma tusipige kula bira katiba mpya ya wananchi wa Tanganyika.
Mchungaji mama kakusikia kesho naibu wazil w habali niwewe😮
Ten percent imechukuliwa
KUHUSU ROBOTI KWAKWELI NÌ DHALILISHO ĶAMA ITAONEKANA NI WATANZANIA WOTE WAMEFURAHIA MDOLI HUO 😢😢
Maeneo ya Internet ambapo haisomi ni mengi mno
Kwa uyo mama enu ana anayeupiga mwingi nae karidhika tu
Wameleta roboti ili iwe gumzo wapate kichaka cha kujificha ili suala la katiba lipite hivi.....
Ni wakati wao mtumishi wa Mungu, Rais alikwisha kuwaambia wale kwa urefu wa kamba zao!
Wizi mchana kweupe. Wanatakiwa washitakiwe.ni mishahara ya watumishi wangapi wangeweza kuajiri watu wangapi .hatari
Tumepigwa kweli
..Nape alifafanua vzr kazi kubwa ya lile Robott ni kupambana na wala rushwa ili kuwapa nafuu ya maisha wananchi
#NONSENSE wao ndo majizi ya kutupwa.
Acha upumbavu kuwa na akili hata kidogo
Yani wajinga kama nyie ndio mna njaa alafu mnaturudisha nyuma
Lina pambanaje maybe?
Kumbe wewe msenge
Wapunguzieni watanzania data wanalia kila siku na ayo matozo acheni mbwembwe za kitoto kuweni binamu
Kwa kweli ukichunguza matumizi ya serikali utagundua jinsi gani walipa kodi wametelekezwa,wanakufa kwa maelfu kwa kukosa matibabu, afya imebinafsishwa kwa kigezo cha serikali inayokusanya kodi kwenye kila kitu,mikopo,na misaada kukosa fedha lakini ina fedha za kununua robot la maonyesho tu kwa shs.bilioni 10 billion!!? Watu wakihoji wanaitwa wachochezi wavuruga amani!.
Mhe. Nape ni MPIGAJI na MSANINI wa kiwango cha chini sana sawa na Zelensky wa Ukraine.
Mjinga kweli.sasa hapo zelensky anaingiaje,we punguani
Zelensky ni punguani kukubaliana na uhuni wa mmarekani na washirika wake watu wake wanakufa na nchi yake kuwa mkononi mwa Putin, kwa hiyo nape ni mjinga kama yeye
Wa tz wamefunguka msiwafanye kwa bado ni mazoba
Huyo loboty anamchango Gani Kwa taifa mbona kama ni maigizo yanayoiba mali ya uma huu ni mpigo wa mtu
Huu ni ujinga wa kiwango cha P H D yaani nchi inachangamoto ya Internet leo mnaenda kununua robot 😢😢😢
Sioni faida ya Robot, wafanyakazi tunasafiri posho hamna taabu tupu.
Tumefindishwa ujinga na tumeamini ujinga eti mwenge unafichua rushwa na mafisadi"stupid"
Ujinga mtupu hivi kipindi cha uncle magu ulipelekwa wapi?
hata kama siyo kiwango hicho cha fedha ilichokitaja Askofu but la nini
Yule sio robot ni sanam
Kweli kaka
Kuna shida sana na ya ajabu Robot la nini Sekta ya Afya mbovu kabisa ukiacha Sekta nyingine wizi tu umetawala Roboti lina faida kwa Tanzania upigaji tu kila kona badala ya kunwambia ukweli Mama awapelekee fedha Gazeti la Uhuru ambalo ni la Serikali ya Ccm liwalipe mishahara na wastaafu wako hoi Waziri mzima anahangaika na Robot maajabu matupu hayo😢
Huyu ni zaidi ya Askofu,hapaki mafuta kwa mgongo wa chupa. Askofu mmoja alisema atamtukuza na sio kumsaidia au kumsahihisha wa juu
Wananchi wanateseka! hawa mashetani wa kijani wanaenda kununua roboti ambayo haiaaidii lolote kwa mwananchi kwa wakati huu! Hovyoooo!
Hiyo mipango walipanga na nani? Loboti
Mimi nakuwa sielewi. Kwani hakuna mahali serikali au wizara imetoa tamko au maelezo ya kina kuhusu robot huyu ili kujibu maswali kama gharama, sababu na faida kwa umma. Kama hakuna, maigizo yanaendelea.
Robot inasaidia nini wakati chombo chao cha Habari cha Habari cha Ccm Uhuru Mzalendo kinakufa Wafanyakazi hawapati mishahara muda wa miezi 3 wamekondeana Wastaafu hawajalipwa haki zao Magazeti yenyewe hayanunuliwi shida mtindo mmoja
Ndiyo ujue kuwa wanaotuongoza nchi hii ni vihiyo,
Hiyo ni njia ya upigaji. Kuna watanzania wengi hawana kazi, robot wa nini. Huyu Nape kuna wakati alitumia helicopter kusajiri namba za nyumba, ujinga gani huu? Kama kuna watu wamepewa kazi bila ujuzi na elimu ni huyu Nape. Musitegemee kitu chochote
Huyo mke wa mh. N.
Huyu sio askofu ni kada wa CHADEMA mwandishi acha kupotosha watanzania
Ni kweli na hata huyo robot hayupo tz
Tumepigwa na kitu kizito
Tumepigwa yule ni sanamu
HIVI ROBOT NA MWANAADAMU ALIYE LITENGENEZA NANI ANA AKILI ZAIDI? 😅😅 NAPE ANAUGUA SASA!
HIZO HESSABU ALIZOZIFANYA NI UONGO KWA HIYO HATA MAZUNGUMZO YAKE NI MUONGO
Haya tuambie wewe hesabu ya ukweli chawa wa kipumbavu
Huu ni ujinga uliozidi viwango vya ujinga, watanzani wanahitaji dawa, hospital ,vitanda , elime nzuri , hiyo pesa ingeelekezwa kwenye vitu vinagusa maisha moja kwa moja kama hivyo nilivyo taja ,,ikiwemo kilimo na mengineyo yanayo gusa maisha yetu ,
LAZIMA ATAKUWA AMETOKA CHINA. NA HIYO BEI MI UWONGOO.
Maku.mazani hawfikirii kazi kutuletea matoi yasokua na maana yoyte
Huyu waziri anacheza na hela zetu.
Hawa wabunge wa mchongo walaaniwe kwa kuchezea fedha za walipa kodi maskini.
Askofu akishakua mwana mapinduzi huyo tena sio askofu ni mwana siasa
Hutaki awe mwanasiasa?
Mshika mbili moja humponyoka
Wametuzoea hata ukiraramika wanazima kerere zako muda wao ukiisha watachezea waricho panda hawana jipya
Acha yaletwe mengi ili kukomesha rushwa kwenye nchi hii
Wao ndo majizi, robot mmepigwa cha kike
Umeelewa au ndio unakurumbuka kutoka kwenye usingizi, mla rushwa analeta kitu cha kukomesha rushwa au kumwezesha saidi 🤔
Eti Kuna wasenge wanasema yanakomeaha rushwa waache usenga watanzania siyo wajinga
I
lazima turuhusu vijana wetu wabuni vitu ni ujinga kubeza juhudi za vijana wetu katika kubuni vitu tuwatie moyo vijana wetu
Nani kakuambia limebuniwa bongo
1.7billion amenunuliwa
Acha kulishwa matango pori na serikali kitu Kiko wazi ni juhudi ya mmagaribi kutudumaza
@@MiriamAbdallah
Robotics ni jambo jema Ila kwa nchi yetu hatujajua tunataka Nini kwa sababu tuna vigongozi ambao fahamu zao zimepofushwa na rushwa na upigaji hawawezi kuweka vipaumbele vya taifa hili.
Swala la ajira kwa vijana linaongezeka kwa kasi na afya za vijana ziko hatarini kuliko muda wowote tangu Dunia hii iumbwe
Tanzania tuna uongozi wa mazombi,yaani yanauza rasilimali zetu,kisha yananunua roboti na kulivika vazi kama bendera ya nchi,cha ajabu hayasemi roboti hilo litaleta faida gani?yenyewe yanajivunia ati "linajua kuongea"upuuzi mtupu
Chanjo inafanyakazi kichwani, tutaona mengi
@@helencyprian8745yawezekana ni kweli 🤔
wajinga tu ndio wanayo fanya haya
Nchi inaongozwa na wasenge
Ccm.nunueni.loboti.lifanye.kazi.ya.ulaisi.cag.majaji.upolisi.mawazili.
Kweli🤔