LISSU AMTAJA HAYATI MAGUFULI na RAIS SAMIA - "NAMSINGIZIA? RIPOTI HII INA MAPUNGUFU MAKUBWA"...

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 18 сен 2024
  • LISSU AMTAJA HAYATI MAGUFULI na RAIS SAMIA - "NAMSINGIZIA? RIPOTI HII INA MAPUNGUFU MAKUBWA"...
    💪💯JIUNGE NA GROUP LETU LA WHATSAPP UWE MWANAFAMILIA WA GLOBAL TV🔥🔥 chat.whatsapp....
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Комментарии • 23

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  8 часов назад +1

    JIUNGE NA GROUP LETU LA WHATSAPP UWE MWANAFAMILIA WA GLOBAL TV chat.whatsapp.com/Kh8n9Xk0OWJ0bE75nzavlm

  • @zengomikomangwa9264
    @zengomikomangwa9264 7 часов назад +1

    Hivi Ulaya au Wazungu ndo wanajua sana Demokrasia au ni kuwaamini tu kuwa wao wanajua.

  • @MasterOil-qm6vw
    @MasterOil-qm6vw 7 часов назад +1

    Sawa sawa naishairi serikali ifanye kila hali asilimia zishuke zaidi hatutaki uhuru wa kuongea huo uhuru wa kuongea anaetaka uhuru huo aende akaishi nchi za mashoga na wasagaji sisi sio wapuuzi kama hao

  • @fahamnitwahir9249
    @fahamnitwahir9249 3 часа назад +1

    Lissu ana akili sana

  • @Madangaclassicwear
    @Madangaclassicwear 5 часов назад +1

    😅😅😅😅😅😅hawahawa walikua wanampinga magufuli lkn kiukweli Tanzania saivi 😢😢😢😢😢

  • @ndogoroedson199
    @ndogoroedson199 7 часов назад +1

    Hiv mnapowakusanya hawa manyan'gau ili iwe nn? Huyo alipigwa risasi na wenzie analijua hilo? Tokeni hapa hamna lolote la kuisaidia nchi zaidi ya kuichonganisha nchi

    • @ReyySanka
      @ReyySanka 6 часов назад

      Kwahiyo wew unafurahia kwa yanayoendelea

  • @VisentJohn-r3r
    @VisentJohn-r3r 8 часов назад +2

    Nabado magufuli oyeeeeeeeeeeeee, magufuli juuuu shida yenu kila kitu mnapinga mkipewa uhuru mnaharibu mtajuana

  • @EmmanuelNyinyigwa-m1o
    @EmmanuelNyinyigwa-m1o 57 минут назад

    Umekubari mziki WA magufuli.

  • @lingwamalagila3003
    @lingwamalagila3003 Час назад

    Yani huyu Lissu mimi sijui kama anajitambua sasa kama unaalazimisha na hauna kibali kwa nini yasikukute wewe ungetafuta sera unazokuja nazo unaongea mno na kelel amabazo always sijaona mambo ya maana unayojadili we are tired na kelele zako

  • @MasterOil-qm6vw
    @MasterOil-qm6vw 7 часов назад +1

    Ole wenu muandamane na mkiandamana nyie viongozi mkae mbele kuna kitu mkione vizuri maana mkikaa nyuma hamatakiona vizuri

  • @humphreybilly7437
    @humphreybilly7437 6 часов назад

    Kila kijana Alie comment mda huu sijui mna ttzo la kuto elewa? Au vichwa vyenu vina maji? Jaribu kusikiliza.

  • @barrynzeyimana6270
    @barrynzeyimana6270 Час назад

    Hata ninyi mkitawala mtakua zaidi ya hapo. Hao wanaopanga hizo alama wao wanapangiwa na nani?

  • @MatokeoBahati-e8u
    @MatokeoBahati-e8u 6 часов назад

    Kuna watu hapa mnakoment kwa kuludia ludia sijui vichwa vyenu vina maji sijui nyie ni vichawa yani hii tanzania acha tumuachie mungu maana yeye ndio muweza

  • @lingwamalagila3003
    @lingwamalagila3003 Час назад

    Magufuli alishafariki kila maneno yako ni magufuli hakosi huna sra wewe

  • @ndogoroedson199
    @ndogoroedson199 7 часов назад

    Kwan hawa wanataka nn kwenye nchi yetu? C wangeenda kwenye nchi zao huko ubelgiji? Yaan yote hiyo ni kutetea matumbo na koo zao ni ujinga mtupu

  • @MasterOil-qm6vw
    @MasterOil-qm6vw 7 часов назад

    Hamjielewi mtawadanganya hao hao mazombi kwa wanaojielewa tunajua hila zenu

  • @TanzaniteInAmerica
    @TanzaniteInAmerica 8 часов назад

    Zuchu amemnunulia baba yake gari mbona hamjaliongelea hilo but alivyomnunulia Angela kila media imepost?

    • @hoseamwambambale3503
      @hoseamwambambale3503 6 часов назад

      We auna akili ww yaani zuchu ni wannn

    • @TanzaniteInAmerica
      @TanzaniteInAmerica 5 часов назад

      @@hoseamwambambale3503 you must be out of your mind , I was not talking to you. Mind your business

  • @simonlukiko2850
    @simonlukiko2850 2 часа назад

    HILI JAMAA NI LI SENG KWELI MAGUFURI MAGUFURI NENDA UKO KWA HAO MASHOGA FALA WEWE LINAFIKI