HATIMAYE LISSU AWATAJA WATESI WAKE/ NILIWAONA WAKIPIGA RISASI/ SIO MAGUFULI/ ILIPANGWA MAKUSUDI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • --
    Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
    JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
    ⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
    ⚫️ Website: www.dar24.com
    ⚫️ Instagram: @Dar24news
    ⚫️ Facebook: @dar24
    ⚫️ Twitter: @Dar24News
    #magufuli #tundulissu

Комментарии • 295

  • @dominicksangu8934
    @dominicksangu8934 Год назад +7

    Polesana kaka yatatimia tuu ya Mungu.

    • @Maswi-zz9jo
      @Maswi-zz9jo 6 месяцев назад

      Pg

    • @SuleimaniKimwagas
      @SuleimaniKimwagas 2 месяца назад

      Kw mtu aliyetendewa lissu anapitia magumu sana ila tunavunga tuu, chukulia kama ni wew ungechukuliaji?

  • @francisrobert9652
    @francisrobert9652 Год назад +4

    big unahoji vizuri sana

  • @albertinamichael6123
    @albertinamichael6123 Год назад +9

    Bwabwa hili.

  • @jaberalyafei274
    @jaberalyafei274 Год назад +4

    Pole sana pole sana kiumbe cha Allaah huu ni mtihani sana safisha na utafika kwa mema maneno punguza vitendo vyema vifanye kazi miaka mitatu ni uhai usikatae mama aliokupa mahala paendeleze ili ukubalike ndugu yangu

  • @Mbwana-w7q
    @Mbwana-w7q Месяц назад +1

    wameona nguvu ya mungu

  • @onesphoryndomba6115
    @onesphoryndomba6115 Год назад +15

    Pamoja na kutangulia mbele za mungu bado magufuri anakuzidi naamini hata leo wakishindanisha ww na magufuri najuwa magufuri atashinda

    • @salumsalim7564
      @salumsalim7564 Год назад +1

      Tatzo la magu ni kiongoz mzur ila alikua hana Democratic kwa wapinzani

    • @magomakabanja480
      @magomakabanja480 Год назад +4

      Hawezi Kumshinda Lissu Maana Lisu ni Bora Kuliko Huyo Magufuli Maana Uhai watu ni Bora Kuliko Kitu Chochote na Amani ya Mtu Nibora Kuliko Chochote na Watu Wengi Walipotezwa Unafikilia Family ya Lissu na Wale Walio Potezwa Watajiskiaje Hata Kama Sio Mwana Family Utaguswa na Hili Kama Mwanadam Mwenye Utu Lazima Uguswe Nani Anamsapoti Lissu Kwa Ukweli Anao Zungumza na Mama Kawakimbiza Wapotezaji na Wa amizi Kama Walivyo Mvamia Lisuu

    • @salumsalim7564
      @salumsalim7564 Год назад +1

      @@magomakabanja480 katk hii dunia na hasa afrika usimuamini mwana siasa yyte wanafki tu ao magu alikua ni kiongoz bora lkn upande wa pili hakua na Democratic maan hakukua na uhuru wa vyombo vya habar na uwongoz wake haukufuaata katiba alikua anatumia mabavu serikali alikua anaifanya km yake na si ya watu wte ukibisha anakutumia wasio juulikana 😂,jiulize tangu afe magu wale watu wasiojuulikana wamepotelea wap

    • @magomakabanja480
      @magomakabanja480 Год назад +2

      Ndio Kaka Mkubwa Yule Kafa na Laana za Dam za Watu na Walio Fukuzwa vyet feki

    • @maulidimuhammed7851
      @maulidimuhammed7851 Год назад +3

      Wewe Kenge mweusi Ndio maana Makufuli akaiba uchaguzi wote mpaka Pemba? KAMA ANASHINDA KWA NINI AKAIBA UCHAGUZI WOTE WA SERIKALI ZA MTAA wewe ni kisyesi kilicholala kinyes mnuko zaidi

  • @ezekielmalyuta3721
    @ezekielmalyuta3721 Год назад +2

    Pole sana kamanda wangu

  • @JoyceKabula-in1sh
    @JoyceKabula-in1sh 2 месяца назад +1

    Mungu atakulipa watakufa kifo kibaya sanawasiptubu

  • @semenisteven5378
    @semenisteven5378 Год назад +11

    Mangu ni kipenzi cha watu ata useme nini

    • @muhsinikoki4060
      @muhsinikoki4060 Год назад +1

      kipenzichako niwewe

    • @manilabonalumanula9210
      @manilabonalumanula9210 Год назад

      Mangu ni nani? Ama unamaanisha Mungu ama Magu (Magufuli)?

    • @ernestjoseph7988
      @ernestjoseph7988 Год назад +1

      Kipenzi cha wewe usituchanganye na muaji

    • @magomakabanja480
      @magomakabanja480 Год назад +1

      Wewe na Family yako Ndio Mlikua Mnampenda Huyo Magufuli Wako Mnyonyaji Mtu Alikua Jeuri
      Mtu Asio Shaurika Huaga ni Jeuri

    • @rabomunde3550
      @rabomunde3550 Год назад

      Kipenzi Cha watu kweli

  • @abdallahnassoro2460
    @abdallahnassoro2460 Год назад +1

    Tumshukuru muungu sana kiongoz jasiri Kama ww na yote upitiayo kaza butu mkuu safar iyelendelee Tundu oyeeeeee

  • @machintangachibwena5922
    @machintangachibwena5922 Год назад +7

    Huyu Lisu Bora Angeolewa tuu Huko Belgium

    • @myanjimyanji4076
      @myanjimyanji4076 Год назад

      Kaolewe wewe, maana nahisi ni shoga

    • @rajah9328
      @rajah9328 Год назад +2

      Jamaa kanusurika kifo badala kusema Mungu ni mwema amemtendea au wew c mtanzania au ukickia ripoti yke

    • @maulidimuhammed7851
      @maulidimuhammed7851 Год назад

      Huyu ni Mpenzi wa Dictator Makufuli

    • @kassim1262
      @kassim1262 Год назад

      Mutapata tabu sana watu musiojuilikana nyinyi mlitaka kumuua lakin mungu bado hajataka sasa vipi bado unaweka chuki kwalissu lissu nimipango yamungu,acha chuki mzee baba usishindane namipango yamungu kubwa lenu limeenda naww nawenzako mtaenda wanakwend wauaji wakubwa kwauezo wa mungu lissu bado yupo..

    • @awadhally1052
      @awadhally1052 7 месяцев назад

      Kwel kabisaa

  • @magomakabanja480
    @magomakabanja480 Год назад +6

    Sema Kweli Wajue Kama Huku tendewa Haki na Tuliumia Sana Sisi Wenye Utu na tulizibwa Mdomo Tusiseme na Kumkosoa Mama Katoa Uhuru wa Kuongea Sema Mzee Tunakusikiliza Maana Tulikua Hatupumui Vizuri Kwa Utawala Uliokatishwa na Mungu na Mungu Aliona Amtoe Ili tie Salama Vinginevyo Watu Wengi Wangekufa na Wengine Wangebaki Mayatima na Wajane
    Pongezi Kwa Mama Kuwafukuza Wasiojulikana

    • @samweljikxo9259
      @samweljikxo9259 Год назад +1

      Yani ww ni malaya nadhani aujielewi babisa navo kuita malaya sijakosea nadhani siasa auijui wewe

  • @lampadshigonko3006
    @lampadshigonko3006 Год назад +4

    ukiona mtu anapambana na marehemu... ujue akili yake haipo sawa.

    • @kaegemagafu7828
      @kaegemagafu7828 Год назад

      Ndiyo maana ya historia au labda uiambie dunia ifute somo la historia! Hadi leo watu wanasoma na kukumbushia ukatili wa watu watawala kama Mapharao,musolin,hitra,nebkadeneza,idiamin,mabutu nk , na pia watu wema kama Yesu,martin ,mandela nk . Utake usitake Magu atasemwa tu kwa Mema yake na pia zaidi kwa mabaya yake ili watawala wajao na jamii nzima tujifunze

    • @lampadshigonko3006
      @lampadshigonko3006 Год назад

      @@kaegemagafu7828 sasa ww unazungumzia historia. Mimi nimesema
      "ukiona mtu anapambana na marehemu ujue hayupo sawa"
      Sijapinga mtu kufatilia historia ya marehemu.

  • @fidelfidel4818
    @fidelfidel4818 Месяц назад

    Tundu Lissu ni pumbafu. Utazeheka bila kufika hikulu. Magufuli ni kipenzi cha wa tanzania na Afrika.

  • @2003hintay
    @2003hintay Год назад +4

    Rais gani mjinga amtume mtu asiojua kutumia bunduki apoteze risasi 30 mtu akimbii, Wala gari haikimbii apoteze risasi 30 huyo Askari anapaswa kuuawa yeye (Kuna sniper au hawapo)

    • @zakayoyohana1736
      @zakayoyohana1736 Год назад

      we'we mjinga pamoja namwendazake

    • @2003hintay
      @2003hintay Год назад

      @@zakayoyohana1736 sawa2 utakavyo wewe

    • @severintemu5524
      @severintemu5524 Год назад

      Danieli alitupwa kwenye tundu la simba wenye njaaa majibu kasome historia hiyo mungu ni mwema kila wakati

    • @naimamoddy
      @naimamoddy Год назад

      @@zakayoyohana1736 jamaa yako leo anasema vitu vingine kuhusu mwendazake, kama alitakiwa kuuwawa basi hao hitman siyo wajuzi🤣🤣🤣🤣risasi 30🥲

    • @iddymbogowogo-yu3gv
      @iddymbogowogo-yu3gv 6 месяцев назад

      Hapo nimekuekewa kiukweli atume maaskali kwendea kumuua huyu mtu Wala asinge bakia kiukweli

  • @FelwusiFelwusi
    @FelwusiFelwusi Месяц назад

    Hongea fother

  • @moizjohnston3841
    @moizjohnston3841 Год назад +7

    Humu ndani kuna majitu yana roho ya kutu,ni mauaji,matahira,ni maibilisi hivi imagine baba yako,au ww mwenyewe unaesapot uuaji umgepigwa hizo risasi....Lisu ni mwana Siasa aliewekwa na Mungu ili kuinyoosha serikali,...Kuna watu hawana akili wanafurahia kabisa aliyopitia Tundu Lisu.....

    • @samweljikxo9259
      @samweljikxo9259 Год назад

      Dah! we ni teja kbx nkueleweshe tu kidogo kuma ww, maendeleo ya nchi ayaletwi na siasa shetani km uyu ni wakurudi kuzimu wewe ukiongoza msafara msenge ww

    • @AnordJoseph-e2e
      @AnordJoseph-e2e 2 месяца назад

      Nani amkubali LISU huyo shoga tu

  • @mohammednyemaga4793
    @mohammednyemaga4793 Год назад +1

    Tundu rissu ACHA mambo mengi hakuna haja ya kuendelea kumuongerea mtu aliyekwisha pita kama mbaya wako,chakufanya piga moyo konde muombe mungu atujalie uweke mambo ya siasa sawa nchini ujiandae KUCHUKUA NCHI 2025 KWASABABU WEWE TAYARI UNAWEZA KWA UWEZO WA MUNGU.
    USIPO GOMBEA MSIMAMISHENI MHESHIMIWA ,DOCTOR JOHN ECHE.CHADEMA MBELE DAIMA NYUMA MWIKO.

  • @NinguRazalo-dp6xl
    @NinguRazalo-dp6xl Год назад +1

    Nini ulchomkosea Mpaka ukapigwa lisas mbna husemi kosa lako

    • @awadhally1052
      @awadhally1052 7 месяцев назад

      Chizi hili lilikuwa linatoa sir za nchi

  • @bigpuppivlogs
    @bigpuppivlogs Год назад

    THIS IS TOP G IN TZ

  • @mgayagesimba2238
    @mgayagesimba2238 Год назад +2

    Ulijaribiwa kwa brankoo subili za moto kama utaongea siku nyingine.

  • @georgesombi7872
    @georgesombi7872 Год назад +1

    Hapo umeongea point👏👏 waliokukosea wasamehe ili Mungu akufungulie njia ilio nzuri

  • @muungujaunguja8609
    @muungujaunguja8609 Год назад +5

    Magu kafanya mengi sana dunia hii😱

  • @ngamamalim2710
    @ngamamalim2710 Год назад +1

    Nakuelewa Mzee Lissu

  • @augustinereonard-ij9fz
    @augustinereonard-ij9fz Год назад +1

    Yani huyo hamna lolote kabxa unaongea pumba tu linahamasisha ukoloni mambo Leo lione huna ata points za kushawishi kuhusu maendeleo ukiwezekana uzibe Domo lako bhana

  • @eliasmakoye3939
    @eliasmakoye3939 Год назад +3

    Tundu usiwe muongo unawajia waliokuumiza na ukalipwa ili msibitishe kuwa Magu ni dictator haiwezekani risasi itoke kushoto ikupige kulia

    • @hassanosman8910
      @hassanosman8910 Год назад

      Waliwezaje kuondoa walinzi wa serikali kwenye Lindo, unajua Huna akili unaropoka tu

    • @naimamoddy
      @naimamoddy Год назад +1

      @@hassanosman8910 Hapa kila mtu anatoa comment kwa ajili ya upeo wake, siyo vzr kumwambia mtu huna akili au anaropoka? hii ni social media kila mtu anapoint view yake. Toka hajapigwa risasi alikuwa anamlaumu Magu. Ila anajua kabisa ktka nafsi yake aliyewatuma hao wasiojulikana kumpiga risasi. Ben Sanane alipotea mara mwisho alikuwa na nani? Ukipata jibu utawajua watu wasiojulikana.

    • @hassanosman8910
      @hassanosman8910 Год назад +1

      @@naimamoddy Naomba Nisamehwe ndugu kwa kwel, ni ile hamak kwa kwel, na yote kwa yote nadhan lililotokea halwez kurudshwa nyuma no mda wa kusonga mbele, Nisamehe

  • @ramygichero1016
    @ramygichero1016 Год назад +1

    Siipendi chadema kwaajili ya mbowe mpiga dili ila nakupenda lisu

  • @shijahlaurent3100
    @shijahlaurent3100 Год назад +1

    Wewe kadanganye watoto raisi hawezi kutuma watu wajinga kiasi kikubwa hivyo raisi anawatu hatari sana ungepigwa risasi moja tu.

  • @boybony5103
    @boybony5103 Год назад +3

    Mungu alifanya maajabu kutuoondolea hilo jitu linyonyaji

  • @mohamedhamsini9106
    @mohamedhamsini9106 Год назад +3

    WEWE LISSU NI MUONGO SANA MBONA UNASEMA UNAWAJUA SASA MBONA HAUWAPELEKI MAHAKAMANI?
    NAWEWE NI BINGWA WASHERIA UCHWARA FUNGUA KESI BASI TUMECHOKA NA MASTORI YAKO YAHOVYO KILA SIKU UNATUCHOSHA HATUTAKI STORI ZAKO

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 Год назад +1

      Ameona lakini hawatambui kisura sasa uongo wake ni nini?

    • @kapingageorge7635
      @kapingageorge7635 Год назад

      Tatz ulilonalo huna unachojua wala unachoelewa

    • @naimamoddy
      @naimamoddy Год назад

      @@leokamil6284 Msikilize vizuri amesema anawafahamu vzr na serikali inawalinda hao wasijulikana.

  • @HamisiMbagulwa
    @HamisiMbagulwa Месяц назад

    Anaongea haki lissu na malipo ni hapahapa duniani na mnae mponda wote ndio nyie mnaopiga hela za selikali Kiko wapi sasa

  • @Ismail-o2y2s
    @Ismail-o2y2s 6 месяцев назад +1

    No comment

  • @rpcmadola3492
    @rpcmadola3492 Год назад +1

    Huyu jamaa hamna kitu chochote ni mbinu tu za kisiasa tu

  • @nicholauskilosa5336
    @nicholauskilosa5336 Год назад +1

    MUNGU ni mwema sana kaka, pole sana

  • @glorychristopher7283
    @glorychristopher7283 Год назад

    We thanks god

  • @nehemiamwashinani1821
    @nehemiamwashinani1821 Год назад +4

    Ukiua kwa upanga utakufa kwa upanga

    • @winifridakasibu2900
      @winifridakasibu2900 Год назад +1

      Kwahiyo unamaanisha nin marizia

    • @AnastaziaMalle
      @AnastaziaMalle 7 месяцев назад

      ukiua kwa upanga na ww utauawa kwa upanga neno la mungu lasema

  • @BarakaMasanja-pc9xd
    @BarakaMasanja-pc9xd 6 месяцев назад

    Lisu hana jipya na hawezi kuwa rais na kama akiwa rais basi Tanzania mtakuwa hamna akili 😅

  • @bakarimuhamedbakari3605
    @bakarimuhamedbakari3605 Год назад +4

    Samahanini sana Kama hii itawakwaza hivi muheshimiwa tangia amerudi tz tena salama hakukutokea vurugu yoyote mbona Kama vile anafanya vitu ili kutokee vurugu ivi au ni mawazo yangu tu Mana naona vijiashiri ni vingi kikweli

  • @mohdnasser894
    @mohdnasser894 Год назад +2

    Mungu mkubwa ila tuna ngoja sirro na makonda tuone kaburi zao kama mweao makufuli

  • @samwelisitta4855
    @samwelisitta4855 5 месяцев назад

    We tundu huna lolote we ndio hufai hufai

  • @RajaburashidiKamsweka
    @RajaburashidiKamsweka 6 месяцев назад

    Tundu lis acha uchochez ww ni mwana siasa mkumbwa nchin unapotosha wa tanzania leta hoja za msingi tushindane

  • @JoramSimion
    @JoramSimion 6 месяцев назад

    Mnyapaa orea ❤

  • @MashakaJohn-vt4gx
    @MashakaJohn-vt4gx 4 месяца назад

    Rais àtake kukuua aondoe askari lindo?,,kaka unauhakika waliondolewa au watoa tarifa walikudanganya ,,maana umesema masaa 24 mageti huwa yamefungwa?.huoni kama hisia zako za rais kuhusika ulipunguza uwanja wa wapelelezi kuendelea na uchunguzi?,,

  • @rugendorunene545
    @rugendorunene545 Год назад +1

    Hakuna nchi yeyote yenye misingi ya kidemocrasia Africa mashariki wacha Africa!

  • @joshuanyonyi3313
    @joshuanyonyi3313 Год назад

    Jamaa lipuuzi..Sana
    Lilijitahid sana kupiga jitihada za Magufuli...
    Linatetea mabeberu...
    Issue ya makinikina uliwatetea Sana
    Ndo chanzo ulipigwa..
    Mataifa yote yanayotetea mali za Nchi...
    Utokee mtanzania 1 upinge.
    Uliyataka Mwenyewe.

    • @maulidimuhammed7851
      @maulidimuhammed7851 Год назад

      Zungimzia trillioni moja na nusu hela nyingi sana alizoiba Makufuli ikulu kupotea kwa Ben Saa nane Jee angelikua kafanyiwa baba yako umgekejeli kama hivyo?

    • @salomeraymond2051
      @salomeraymond2051 Год назад

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @naimamoddy
      @naimamoddy Год назад

      Ameshasahau hayo😅

  • @jonfredkewe3451
    @jonfredkewe3451 Год назад +1

    Lisu hasira hasara bro

  • @MaryAssey-ey7ye
    @MaryAssey-ey7ye 2 месяца назад

    Ww sema ulikuwa unaugovi na watu wako huko muache baba wa wat apumunzike qwa aman kuna unacho kitafutua sikingine ww ulijuwa je kama ni magfur achakutafuta kiki watu kama nyie hamufai

  • @jonfredkewe3451
    @jonfredkewe3451 Год назад +1

    Interviewer is very intelligent

  • @OmariSheha-y1k
    @OmariSheha-y1k 2 месяца назад

    Mazuruh

  • @jaffaralimakame1533
    @jaffaralimakame1533 26 дней назад

    LIMEKUNYONYA MKUNDUUU

  • @AnordJoseph-e2e
    @AnordJoseph-e2e 2 месяца назад

    Hata ukufe tu wala siwezi kuumia hata kidogo hakuna kifo kilichoniliza nakuniumiza takribani mwaka mzima kama nilipoteza wazazi wangu nasikuumia kiasi hicho kama kifo cha magufuli wewe hata hata ukaolewe huko kwenye harusi siwezi kuja

  • @DawsonMateru-z2g
    @DawsonMateru-z2g 6 месяцев назад

    Huyu ni muongo ajichunguze mwenyewe

  • @richardnganya2311
    @richardnganya2311 Год назад +1

    Kangi Lugola huenda atakuwa anazo tetesi kufuatia shambulio la Lissu.

  • @dominicksangu8934
    @dominicksangu8934 Год назад +3

    Watajulikana tuu nakuajibishwa kishelia Mungu mkubwa

  • @lloveyoutanzania5315
    @lloveyoutanzania5315 Год назад

    Kwahiyo magufuli alikuambia kuwa walio kupiga risasi aliwatuma yeye au

  • @muhamedabasi9245
    @muhamedabasi9245 Год назад

    Dah aisee ngoja niwemkimyatuu😮

  • @AnneMsolol
    @AnneMsolol 2 месяца назад

    Mishono ya vitambaa

  • @oscarkasalile3966
    @oscarkasalile3966 Год назад

    Lakini mheshimiwa Lissu ebu jikite kwenye kuijenga nchi na kuikomboa hii nchi kuwe na sera Bora za kuweza kuwakomboa wananchi na sio malumbano tena najua inaumiza lakini hatuna jinsi ndio Tanzania yetu naomba tuwe wazalendo na nchi yetu

  • @Jetson34platnumz
    @Jetson34platnumz Год назад

    Huna jipya mzee mwache jembe letu magufuli apumzike mahali pema make hata unavyosema waliokushambulia walitumwa na magufuli una tumia ushahidi upi mzee

    • @maulidimuhammed7851
      @maulidimuhammed7851 Год назад

      Muuaji unamwita jembe?Ben Saa Nane IGory mwandishi wa habari CAG kafukuzwa kazi baada ya kubainisha wizi alioiba Makufuli tena hela nyingi ufidadi mkubwa kuliko yote Afrika Mashariki Trillioni moja na nusu zilitoka haxina zikaja ikulu akaxilamba zote

  • @oscarkasalile3966
    @oscarkasalile3966 Год назад

    Hata Mimi niliumia sana swala lako

  • @majaliwabwitonde6900
    @majaliwabwitonde6900 Год назад +3

    Jitafakari, wewe ni mwanasheria usiye na,mwelekeo kwa sababu unazungumza mambo ya kisheria kama asiyejua chochote. Nenda polisi ukaanzishe kesi kwa sababu unawajua hao.

  • @BarakaMasanja-pc9xd
    @BarakaMasanja-pc9xd 6 месяцев назад

    Kwanza hujui ata kuongea

    • @NABSONLAMECK
      @NABSONLAMECK 25 дней назад

      Wewe unajua kuongea acha wivu wewe nawewe ongea tukusikie tuone

  • @SimonMasanja-k1d
    @SimonMasanja-k1d 6 месяцев назад

    Watesi wa watu wamo ndani ya nchi humu humu tu😊

  • @ijumaawikienda5435
    @ijumaawikienda5435 Год назад

    munguatalipa

  • @simonnembomadola7512
    @simonnembomadola7512 Год назад +1

    Ila mbona serikali hawaongei chochote kuhusu hilo? Uwajibikaji uko wapi sasa?

  • @koyassa4509
    @koyassa4509 Год назад

    Mwongo mkubwa wewe Mungu anakuna wewe si vinamuda basiiii

    • @maulidimuhammed7851
      @maulidimuhammed7851 Год назад

      Mtu mwenye roho mbaya ya aina yako una haki ya kumwita Lisu muongo.kwa sababu hayo hayajawakuta ndugu zako.Roho ya kichawi.

  • @LidyaJaphet
    @LidyaJaphet Месяц назад

    A cha,uongo,we we,

  • @Dansonkayiaa
    @Dansonkayiaa 6 месяцев назад

    God aki akulipe 2

  • @majaliwamsigwa6206
    @majaliwamsigwa6206 Год назад +1

    Naona wakati umefika wakujulikana wasiojulikana.

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 6 месяцев назад

    MKAMATENI HUYO , MPELEKENI AKAPIMWE AKILI KWANZA. MAMBO MENGINE BADAYE.

  • @abujunaidi663
    @abujunaidi663 Год назад

    Anaona ana kitambi kama mjamzito. Jaza tumbo mafuta

  • @simonmwashambela3233
    @simonmwashambela3233 Год назад +1

    dah huyu Jamaa nimuongo aijawahi tokea aisee yaan magufuri muache kabisa cyo levo yako

    • @rashidyusuphwewenimtotowam1761
      @rashidyusuphwewenimtotowam1761 Год назад

      Sawa na magufur huko aliko hana levo yake. Mim mwenyewe nilimlenda magu ila kwa hili hapana

    • @rashidyusuphwewenimtotowam1761
      @rashidyusuphwewenimtotowam1761 Год назад

      Nilikuwa nasapoti maendeleo aliyokuwa akifanya sio ujinga huo

    • @maulidimuhammed7851
      @maulidimuhammed7851 Год назад

      Una haki ya kusema haya,kwa sababu hawajUkiwa baba zako,kaka zako,wajomba zako,ndugu zako.wako wapi Ben Saa Nane,Azory Gambo,Watu kila siku wakiokotwa pwani bichi wakiwa wameshauliwa na kutiwa ndani ya viroba.Wewe una roho ya kichawi.

  • @Laumwamba
    @Laumwamba 6 месяцев назад

    huy kihelehere hawez ongoza avae vikuku😂

  • @zainabrajab9608
    @zainabrajab9608 Год назад +1

    Acha kabisa kumsemea magufuli wew mchawi mkubwa huna ishu na kuwa rais kasome kwanza mnafik mkubwa

  • @JacksonMulokoz-jg4fd
    @JacksonMulokoz-jg4fd 6 месяцев назад

    Yona anton

  • @nelsonmaleo3342
    @nelsonmaleo3342 Год назад +1

    Kura yangu nitakupa tena

  • @kasimsaleh7103
    @kasimsaleh7103 Год назад +2

    Kumbe hata mtu mzima anaweza kuwa muwongo du

    • @christinapaul2957
      @christinapaul2957 Год назад

      Huyu jamaa ni mwongo kama watu wanamtetea ila mungu ipo siku atakulipa kwa uongo unaoufitinisha

    • @rosemarytikiti1514
      @rosemarytikiti1514 Год назад +2

      Hivi hajapigwa Risasi??? au uongo gani??? Au kajipiga mwenyewe??? Kuweni na huruma na ubiniadamu. Ila hawezi kumnyoshea mtu kidole hajaui ni nani aliyempiga.

    • @l.h.l2254
      @l.h.l2254 Год назад

      Wewe upo sawa na wale watu wanaoingia kwenye makanisa ya wachungaji wanaambiwa laleni nikawakanyage matakoni ndo dhambi zinafutika.
      Mtu amepigwa risasi kazimia masiku kadhaa kalazwa miezi kadhaa unadiriki kumuita muongo.
      Hakika wewe ni kipofu na kiziwi kwa mahaba ya chama chako.
      Ukute wewe ushahisi watu wamekuloga ulipowahi ugua lakini unamuona huyu hayawani anapohisi fulani kamdhuru.
      TUSIFIKIE MAHILI TUNAJIZIMA DATA

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 Год назад

      @@rosemarytikiti1514 KWELI

  • @eaglecrown6470
    @eaglecrown6470 Год назад +4

    Hana hoja nyingine ni kupigwa risasi tuuuuu.....Ile hoja ya bei mahalagwe na nyama hoja ya hovyo kabisa.

    • @evaristmbuya6220
      @evaristmbuya6220 Год назад +2

      Kajifunze kuandika kwanza then ukapigwe risasi kama yeye

    • @eaglecrown6470
      @eaglecrown6470 Год назад

      @@evaristmbuya6220 😂😂😂😂😂

    • @evaristmbuya6220
      @evaristmbuya6220 Год назад

      @@eaglecrown6470 🤣🤣🤣🤣🙌🏼

    • @mustaphamasobe8343
      @mustaphamasobe8343 Год назад

      Unayemwona Lissu Muongo! Basi Mungu asimame! Vipofu bado ni wengi

    • @eaglecrown6470
      @eaglecrown6470 Год назад +1

      @@mustaphamasobe8343 Na yeye MUNGU asimame ijulikane wale acacia alikuwa anawatetea Kwa maslai ya taifa au maslai yake kama mwanashelia.🇹🇿🙏🏿😊

  • @fatmasherallysherally537
    @fatmasherallysherally537 Год назад

    Huyu lissu ni mwongo saana....

  • @jumaomari9080
    @jumaomari9080 Год назад +2

    Nyinyi mnao comments umu ndani juu ya kumsapoti lissu yote n wajinga, lissu n adui wa hayati doctor jhn p magufuli, magufuli alikua kiongozi mwema, Ila uyu lissu n mjanja ataka urais ili awanyanyase nyinyi Wana inch wa tz, uyu lissu hafai n msaliti na n fisadi, Yuko pamoja na wazungu, n fisadi km kikweye.

  • @ahmedbrazah9054
    @ahmedbrazah9054 Год назад +1

    Muongo kabisa hata urais unaongombea utaanguka tu mwishowe utakufa

  • @mussatete2618
    @mussatete2618 Год назад

    Hii Dunia me siielewi, Magufuli alimtuma wamuue Tundulisu, Haya Tundulisu mzima, Magu kafariki😆😆😆😆

  • @fatmasherallysherally537
    @fatmasherallysherally537 Год назад

    Story za uongo wewe lissu.....

  • @jonfredkewe3451
    @jonfredkewe3451 Год назад

    Muuliza maswali anaakili kubwa Sana kila siku magufuli amenipiga utadhani nimtoto mdogo

    • @kassim1262
      @kassim1262 Год назад

      Kwaio ulitaka akutaje ww

    • @lameckkayanda3293
      @lameckkayanda3293 Год назад

      hata umuseme magu.yupo mbele za Hali.na katnda Haki Sana kwa wanyonge.na kafanya Sana maendeleo mengi pamoja na kuleta nidham serikali na kuleta mageuz katka swala la kiuchumi.lakin kwa mafisad mabeberu poja na wahujumu uchumi.ndio walio mchukia. naamini dunian wote. tunapita.mtu anae jiona sahihi hapa duniani.majibu yake atayakuta kwa mungu.ila magi ni mwamba wa afrika.alie amua kuhitoa sadaka kwa sababu ya wanainchi wanyonge.ni wachache wenye moyo huo.hapa afrika.na hawadum Sana. Tomas sangara yupo rumba samora na n.k
      r.p.j.pm

  • @Mbwana-w7q
    @Mbwana-w7q Месяц назад

    mungu anaweza nandie atakae kulinda adi kesho

  • @medicalamon908
    @medicalamon908 Год назад

    Mtu anayesema kuuana si ajabu HAYAJAMKUTA YEYE!

  • @elibarikimollel7149
    @elibarikimollel7149 Год назад +2

    Ni watu wasiojulikana, wenye uwezo wa kuwarubuni walinzi waondoke katika lindo,na kuondoa CCTV camera,na kufyatua risasi watakavyo wakiwa huru,na bado wakairubuni mamlaka isifanye,wala kutoa taarifa za uchunguzi yote,lakini zaidi wana uwezo wa kumnyima mhanga fedha ya matibabu,na kumfuta ubunge!!? Kwa mazingira hayo ni haki ya walionusurika kuuliza muda wote mpaka wajulikane,na sio kuleta viashiria vyovyote vibaya kama baadhi wanavyodhani!

  • @josephmakutano7067
    @josephmakutano7067 Год назад

    Ukimsema magufuli wanakerwa kwasababu niwauaji kamayeye, vilevile wanarohombaya zakishetani zakudhulum haki zawatu kupigarisa raia kubambikwamakesi yaani maccm nimagaidi waliyo vaasuit wakoserikalini,

  • @hadijalimo9504
    @hadijalimo9504 Год назад

    drkta silaha ni mjinga msaka tonge

  • @simonmwashambela3233
    @simonmwashambela3233 Год назад +1

    yaaan nimemsikiliza sna kupitia clip mbali lakin ana oja ata kidogo ni namna yakutafuta chokochoko lakin awazi kuwa kama zaman vle

    • @victorernest7702
      @victorernest7702 Год назад +1

      Fanya lingekuwa kwako halafu tukuone kama na wewe huna hoja yyte , nadhan italeta maana sana kwako au kwa mzazi wako na kusema ujinga huu

    • @anthonymgogo2651
      @anthonymgogo2651 Год назад

      Haha simoni haha

  • @kulwankuba2785
    @kulwankuba2785 Год назад +1

    Huna lolote ndugu yangu, magufuli huwezi kumfananisha na wewe.

  • @abujunaidi663
    @abujunaidi663 Год назад

    Mambo ya zamani yashapita

  • @kawezaseleman5794
    @kawezaseleman5794 Год назад +1

    Huyu kumlaumu marehemu yupo sahihi kwa kilicho mtokea alafu hakuna uchunguzi

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything Год назад +2

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌️👍

  • @MrCosmas15
    @MrCosmas15 Год назад +4

    Nafikiri huu ni muda a kufanya siasa zitakazojenga nchi, Tz pamoja na nchi nyingine za kiafrika bado ni maskini na zinahitaji maendeleo ya watu wake. Nafikiri ingekuwa vizuri ukaelekeza nguvu kupambana na walio hai na wenye madaraka wanaoyatumia vibaya kuliko kupambana na mtu ambae hawezi kujitetea kisha ukaona kama ni ushindi kwa sababu hawezi kujibu tuhuma yoyote ile kwa sasa. Angekua hai, na kwa ushahidi ulio basi angeweza kufunguliwa mashtaka ya kula njama. Kwa sasa hivi tupambane na wanaoharibu ustawi wa nchi, watu wanataka kusikia sera mpya zitakazonyanyua elimu na kuondoa umasikini.

    • @TheKashmill
      @TheKashmill Год назад +1

      Ni kwa sababu wewe hujafanyiwa hicho kitu

    • @martinmuganga358
      @martinmuganga358 Год назад +1

      Kweli kabisa si muda wa kumtuhumu mtu ambaye hawezi kujitetea na Kwa ujumla ukiwa kiongozi kila baya litakuangukia. Kwa mtazamo wangu huyu Lissu hana sifa ya uongozi. Kwanza kabisa hana sifa ya UZALENDO ni MBINAFSI. Kwa hiyo asipige kelele sana hiyo ni kama ajali tu, atulie tujenge nchi yetu kwa pamoja.

    • @zakayoyohana1736
      @zakayoyohana1736 Год назад +1

      acha ujinga Kama we'we ulimpenda mwendazaka nawewe kazikwe chato

    • @abedhamza4653
      @abedhamza4653 Год назад

      Analindwa na katiba ya nchi hawezi kushtakiwa kwa kosa lolote atakalotenda akiwa madarakani jeuri na kujikweza kunaanzia hapo

    • @magomakabanja480
      @magomakabanja480 Год назад

      Nimuda Muafaka wa Kusemwa Alie Mtenda Lissu na Wale Waliopotezwa Mnataka Kuficha Mabaya ya Mtu wa Chato Aliofanya Niwakati Wenu Nanyie Kuumia Maana Sisi Tuliumia Lissu na Watu Wetu Kupotezwa na Wengine Kukimbia Nchi yao na Kutelekeza Family yao na Watu Tulikua Mabubu Tz Nzima Nasiasa ya Demokrasia Ikazikwa Yaani Mwana Kwenda Zake Atalaumika na Mtu Mwenye Akili Timam
      Tunamshukuru Sana Mungu Kutupa Rais Mama Yetu Mh Samia Suluhu Hassani
      Maana Katupa Uhuru w Kuongea na Kuikosoa Serikali na Kurudisha Vyama Vingi

  • @SicxNdunguru-dr3gg
    @SicxNdunguru-dr3gg Год назад

    Naomba matukio yaleo

  • @perialemalei-kx4mh
    @perialemalei-kx4mh Год назад

    Shele ya. Wilaya tanu. Bora

  • @cypriankikoti9160
    @cypriankikoti9160 Год назад +1

    Kumtaja Magufuli ni upunguani kabisa

    • @kassim1262
      @kassim1262 Год назад

      Kwaio ulitakaje kwamfano ulitaka utajwe ww magu lazima atajwe kama umo ktk kundi lawatu wasiojuilikana utapata tabu sana zama zake zimepita hili kundi saiv co mda wake

    • @augustinereonard-ij9fz
      @augustinereonard-ij9fz Год назад

      @@kassim1262 nyie ndo mnaleta ushoga nchn kwetu komeni kabisa toen point za maendeleo mbwa nyin

    • @kassim1262
      @kassim1262 Год назад

      @@augustinereonard-ij9fz Ww mwenyewe shoga ng'ombe we

    • @augustinereonard-ij9fz
      @augustinereonard-ij9fz Год назад

      @@kassim1262 we ndama kabisa muone

    • @kassim1262
      @kassim1262 Год назад

      @@augustinereonard-ij9fz Mnajiita wazalendo kumbe wauwaji wakubwa kabisa mnajifanya mnalipenda taifa kuliko waliolipigania taifa pumbavu

  • @hamismohamed3541
    @hamismohamed3541 Год назад +1

    Mwandishi acha ujinga unahoji chadema kutekana wao kwa wao wanauwezo gani kwenye nchi hii kufanya mamba mazito kama Yale ya kutoa walinzi wote kwenye eneo la tukio

  • @braystuskibassa3842
    @braystuskibassa3842 Год назад

    Ushahidi wa matukio hayo mbaka tukio litokee huo ndo ukweli utapata wapi ushahidi pasipo tukio na snapper hawezi lenga eneo ambalo mtu hawezi kufa mara nyingi ukiona umelengwa na usife ujue basi hao walitaka kukujeruhi tena shahidi kwenye tukio akakimbia aisee mm binafsi nakupa pole ila hao hawakuwa wamelenga kukuua bali kukujeruhi tu dereva wangemuua pia

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 Год назад +1

      Upande waliolengea inaonyesha sio upande aliokuwa Dereva

    • @Thejordanministry
      @Thejordanministry Год назад +2

      Hakuna mwanadamu anaye WEZA KUTOA roho Yako bila ruhusa ya Mungu hâta akitaka kukuondoa Mungu atakulinda na yéyé atabaki anashangaa sana na inawezekana akapatwa na ugonjwa WA Moyo.

    • @l.h.l2254
      @l.h.l2254 Год назад +1

      So unataka kusema nini? Kwamba apotezee tu au sio?
      Waliokuja kumshambulia hawakuw sniper! Usidanganye watu. Na risasi hazijamdhuru sana kwa vile zilipozwa na vizuizi kadhaa kable ya kumkuta, walikosa clear target kupitia dirishani, walisimama ubavuni nyuma ya gari kwa vile gari alilokuwemo lilipak katikati ya magari, lisu aliweka kiwiwili kwenye siti ya dereva na sehem ya kiuno na miguu ndiyo iliyobak upande wa walipokuweko washambulizi hivyo sehemu yake ya juu ikawa off target.
      Mazingira ya shambulio inaonesha hayakuwa rafiki sana kwa wakati ule kwa washambuliaji na hivyo yaweza kuta walikua na hofu ya kukutwa hivyo wakawa na papara lakini sina shaka walitaka kumua.
      Idadi ya risasi zilizopigwa ni dalili ya kwamba hawakuwa na uhakika wa target hivyo waliona ni kheri wamimine nyingi ili afe kwa maheraja makubwa hata kama wakimkosa sehemu nyeti.
      TUACHE MAHABA.
      huu ni wakati wake.. mpeni muda yatapita.
      Hata kama hampendezwi na mnayoyasikia msijitoe ufahamu kujibu bila kufikiri.

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 Год назад

      @@l.h.l2254 Nakubaliana na wewe pia hata wao waliotenda nadhani walitenda wakiwa na hofu kwa kuwa walitumwa pia hawakutaka kuonekana hivyo haraka uoga ndio ilimsaidia Lisu nashukuru Mungu hawakufanikiwa kumuua Mungu ni mwema sana. Lakini wataishi kwa kukosa amani maisha yao yote .Kuua au kutaka kuua ni dhambi kubwa sana