MABEYO AFUNGAKA MIAKA MITATU KIFO CHA MAGUFULI 'KULIKUWA NA MAWAZO TOFAUTI, WATU WALISAHAU KATIBA'

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 16 мар 2024
  • #UhondoTV #Uhondo

Комментарии • 44

  • @AliAdam-ve4ms
    @AliAdam-ve4ms Месяц назад +5

    Da inasikitisha sanaaa mungu ailaze rooh yake mahali pema peponi

  • @user-nw6nh7yb4q
    @user-nw6nh7yb4q 2 месяца назад +7

    Bas kama VP tumpe nch mabeho

  • @mwabimulungamulungamwabi7201
    @mwabimulungamulungamwabi7201 Месяц назад +2

    nashanga sana kwanini alipumunzikisha tu baada ya mangufuli kufa? hapo kuna swali

  • @IssaMwaluko
    @IssaMwaluko 2 месяца назад +2

    mungu aisaidie famlly yake amina

  • @MaikoMamboleo-qt9df
    @MaikoMamboleo-qt9df 2 месяца назад +2

    Safi sana

  • @user-ex4hi7fj5c
    @user-ex4hi7fj5c 2 месяца назад +1

    😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭Sintokaaaa nimsahau Magufuli... Uchungu huwa haushi kwa mtu alyeyafanya mambo tuyaonayo hadi leo😭😭😭😭😭😭

  • @ConradMbokosi
    @ConradMbokosi 2 месяца назад

    Asante

  • @OmaryHamisi-fz7hq
    @OmaryHamisi-fz7hq 4 дня назад

    😢😢😢

  • @philipo6318
    @philipo6318 2 месяца назад

    Demokrasia nzuri sana iliyotumika katika kipindi hicho kigumu cha Maombolezo ya Hayati JPM. Mabeo Kongore sana. Ulisimama Imara Sana.

  • @EmmanuelJohn-eg9rg
    @EmmanuelJohn-eg9rg 2 месяца назад

    Nilimpenda sana sana rais magufuli yaani kama angekua ni tim ya mpira nathani kwake ningekua shabiki wake ambaye ni wa damu!! Ila mungu kampenda zaidi😢😢😢

  • @abdalahgunda1319
    @abdalahgunda1319 2 месяца назад

    Haya mambo tuyayachokoza hayawezi tusadia watanzania sababu maisha ya makufuli yashapita kinachofuata ni kimuweka mabeyo ktk maswali mengi ambayo mabeyo hawezi kuyajibu kwa nn haya ni mambo ndani ya team ya ccm ktk utawala wao makufuli akiwa mwenyekiti wa ccm mabeyo ni mkuu wa majeshi sio team ya ccm km mwenyekiti wa ccm leadership tumuache tusitafute kumuweke ktk wakati mgumu badala yake mabeyo anaweza kujikuta tayari yuko ndani ya pressure ktk maneno yake kutoa maelezo juu ya makufuli kifo Chake

  • @PendoMwitewe-on3hj
    @PendoMwitewe-on3hj 2 месяца назад

    Nilimwamini Sana . Nanilimuelewa . Amefanyamakubwa kwa macho tunayaona. Mungu amlinde

  • @lwanjiedna5233
    @lwanjiedna5233 2 месяца назад +2

    Kwa nini mke wake hakuletwa amuuguze labda angepata nafuu jamani🥲

  • @AnnaKipetha
    @AnnaKipetha Месяц назад

    Hakika watanzania tulishampoteza, jembe,mungu mtangulie huko alipo.

  • @DaniKadaga
    @DaniKadaga Месяц назад

    Goody xong

  • @user-pw8xm8gm2u
    @user-pw8xm8gm2u 2 месяца назад +2

    huo usemi unatufundisha nini?sauti ya raisi ni sheria alisema nirudisheni nyumbani mkakataa hamjui kuwa mlimpa stress? Na hao wote umesema walikuwa wametawanyika,nani aliwapa majukumu?

    • @bensonwissa5777
      @bensonwissa5777 2 месяца назад

      Alikua sahihi alitakiwa kufia hapohapo mkuu wa nchi hawezi kufa kienyeji ivo

  • @user-pw8xm8gm2u
    @user-pw8xm8gm2u 2 месяца назад

    Tunaumia sana

  • @marianmartin7483
    @marianmartin7483 2 месяца назад +1

    Baba wewe ni mwamba, mwenyezi MUNGU awe pamoja nawe. Akupe miaka mingi na heri duniani.

  • @shadymsigwa
    @shadymsigwa 2 месяца назад +2

    Duuuuh mungu saidia taifa rangu

  • @OmaryHamisi-fz7hq
    @OmaryHamisi-fz7hq 4 дня назад

    Hakika duniya ime jaa wa nafika kuda deki machoni kama watu

  • @SiriOmari
    @SiriOmari 2 месяца назад

    😭😭😭

  • @user-yg9fh9sj1w
    @user-yg9fh9sj1w 23 дня назад

    Nimependa Jins anavojua kuelezea mambo

  • @rashidkihunga2938
    @rashidkihunga2938 2 месяца назад +1

    mabeyo wewe ni jembe hukuyumbishwa hukuteteleka mpaka sasa simamia kikamilifu kwa ktengo ulicho nacho mungu akulinde

  • @HussenMashaka-os9ok
    @HussenMashaka-os9ok 2 месяца назад

    Nikweli Tanzania inashirikiana.

  • @ErnestMeshack
    @ErnestMeshack 9 дней назад

    .
    . No❤

  • @omuze1290
    @omuze1290 2 месяца назад +1

    Mnatukumbusha maumivu tuliyokwisha kupoa!

  • @user-ne7cl4cx9o
    @user-ne7cl4cx9o 2 месяца назад

    Makamu wa Rais yupo Tanga, Waziri Mku Dodoma ama somewhere else na Katibu Mkuu Kiongozi Dodoma......yaani wote hawana shughuli kutwa nzima Rais alipokua anaugua? CDF Mabeyo yanaumiza hayo kwani Kuna hisia za jama fiche hapo. Hata mke wake aliyefaa kua karibu zaidi hayupo.
    Yanaumiza haya, tulipenda Rais Magufuli Sana.

  • @user-hd7zx9ns7q
    @user-hd7zx9ns7q 24 дня назад

    Ukitaka kujiunga unafanyaje

  • @fanueledmund6408
    @fanueledmund6408 2 месяца назад +1

    Kwanini hamkumrudisha nyumbani? Kuna siku kilicho pandwa kitaota

  • @livematchcentre21
    @livematchcentre21 2 месяца назад

    Moyo wa kizarendo

  • @esterlogose
    @esterlogose 28 дней назад

    Hana lolote ni msakiti

  • @mapesaevarist9094
    @mapesaevarist9094 2 месяца назад +3

    Huyu mwamba alinyoosha 😂

  • @user-pw8xm8gm2u
    @user-pw8xm8gm2u 2 месяца назад +1

    lakini vyombo vya ulinzi mmchunguze mzee wa misoga

  • @edmundphilemon3054
    @edmundphilemon3054 2 месяца назад +1

    Mzee jpm alikufa akililia taifa hili 😢😢

  • @sandalakabalo5442
    @sandalakabalo5442 2 месяца назад +6

    Mkisema miaka mi3 ya kifo cha maguful kwangu mm naona kama jana2 kwan cwez sahau

  • @user-po5mm5vk6d
    @user-po5mm5vk6d 2 месяца назад

    Hakika mchango wake hauto saulika ntawasimulia wajukuu zangu juu ya mama ya hyu aliye chaguliwa na mungu rest in peace magufuri

  • @user-pw8xm8gm2u
    @user-pw8xm8gm2u 2 месяца назад

    Bado tuna majonzi kuhusu kulala kwa J P M

  • @JosephKowelo
    @JosephKowelo 2 месяца назад

    Natak kuchat na pendo

  • @ObediKinkusha-gq8fw
    @ObediKinkusha-gq8fw 2 месяца назад +1

    Hao walioisahau katiba walikuwa akina nani na nini yalikuwa maoni yao?