Nilimpenda sana sana rais magufuli yaani kama angekua ni tim ya mpira nathani kwake ningekua shabiki wake ambaye ni wa damu!! Ila mungu kampenda zaidi😢😢😢
Haya mambo tuyayachokoza hayawezi tusadia watanzania sababu maisha ya makufuli yashapita kinachofuata ni kimuweka mabeyo ktk maswali mengi ambayo mabeyo hawezi kuyajibu kwa nn haya ni mambo ndani ya team ya ccm ktk utawala wao makufuli akiwa mwenyekiti wa ccm mabeyo ni mkuu wa majeshi sio team ya ccm km mwenyekiti wa ccm leadership tumuache tusitafute kumuweke ktk wakati mgumu badala yake mabeyo anaweza kujikuta tayari yuko ndani ya pressure ktk maneno yake kutoa maelezo juu ya makufuli kifo Chake
huo usemi unatufundisha nini?sauti ya raisi ni sheria alisema nirudisheni nyumbani mkakataa hamjui kuwa mlimpa stress? Na hao wote umesema walikuwa wametawanyika,nani aliwapa majukumu?
Makamu wa Rais yupo Tanga, Waziri Mku Dodoma ama somewhere else na Katibu Mkuu Kiongozi Dodoma......yaani wote hawana shughuli kutwa nzima Rais alipokua anaugua? CDF Mabeyo yanaumiza hayo kwani Kuna hisia za jama fiche hapo. Hata mke wake aliyefaa kua karibu zaidi hayupo. Yanaumiza haya, tulipenda Rais Magufuli Sana.
Da inasikitisha sanaaa mungu ailaze rooh yake mahali pema peponi
Bas kama VP tumpe nch mabeho
nashanga sana kwanini alipumunzikisha tu baada ya mangufuli kufa? hapo kuna swali
mungu aisaidie famlly yake amina
Safi sana
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭Sintokaaaa nimsahau Magufuli... Uchungu huwa haushi kwa mtu alyeyafanya mambo tuyaonayo hadi leo😭😭😭😭😭😭
Asante
😢😢😢
Demokrasia nzuri sana iliyotumika katika kipindi hicho kigumu cha Maombolezo ya Hayati JPM. Mabeo Kongore sana. Ulisimama Imara Sana.
Nilimpenda sana sana rais magufuli yaani kama angekua ni tim ya mpira nathani kwake ningekua shabiki wake ambaye ni wa damu!! Ila mungu kampenda zaidi😢😢😢
Haya mambo tuyayachokoza hayawezi tusadia watanzania sababu maisha ya makufuli yashapita kinachofuata ni kimuweka mabeyo ktk maswali mengi ambayo mabeyo hawezi kuyajibu kwa nn haya ni mambo ndani ya team ya ccm ktk utawala wao makufuli akiwa mwenyekiti wa ccm mabeyo ni mkuu wa majeshi sio team ya ccm km mwenyekiti wa ccm leadership tumuache tusitafute kumuweke ktk wakati mgumu badala yake mabeyo anaweza kujikuta tayari yuko ndani ya pressure ktk maneno yake kutoa maelezo juu ya makufuli kifo Chake
Nilimwamini Sana . Nanilimuelewa . Amefanyamakubwa kwa macho tunayaona. Mungu amlinde
Kwa nini mke wake hakuletwa amuuguze labda angepata nafuu jamani🥲
Hakika watanzania tulishampoteza, jembe,mungu mtangulie huko alipo.
Goody xong
huo usemi unatufundisha nini?sauti ya raisi ni sheria alisema nirudisheni nyumbani mkakataa hamjui kuwa mlimpa stress? Na hao wote umesema walikuwa wametawanyika,nani aliwapa majukumu?
Alikua sahihi alitakiwa kufia hapohapo mkuu wa nchi hawezi kufa kienyeji ivo
Tunaumia sana
Baba wewe ni mwamba, mwenyezi MUNGU awe pamoja nawe. Akupe miaka mingi na heri duniani.
Duuuuh mungu saidia taifa rangu
Hakika duniya ime jaa wa nafika kuda deki machoni kama watu
😭😭😭
Nimependa Jins anavojua kuelezea mambo
mabeyo wewe ni jembe hukuyumbishwa hukuteteleka mpaka sasa simamia kikamilifu kwa ktengo ulicho nacho mungu akulinde
Nikweli Tanzania inashirikiana.
.
. No❤
Mnatukumbusha maumivu tuliyokwisha kupoa!
Makamu wa Rais yupo Tanga, Waziri Mku Dodoma ama somewhere else na Katibu Mkuu Kiongozi Dodoma......yaani wote hawana shughuli kutwa nzima Rais alipokua anaugua? CDF Mabeyo yanaumiza hayo kwani Kuna hisia za jama fiche hapo. Hata mke wake aliyefaa kua karibu zaidi hayupo.
Yanaumiza haya, tulipenda Rais Magufuli Sana.
Ukitaka kujiunga unafanyaje
Kwanini hamkumrudisha nyumbani? Kuna siku kilicho pandwa kitaota
Moyo wa kizarendo
Hana lolote ni msakiti
Huyu mwamba alinyoosha 😂
lakini vyombo vya ulinzi mmchunguze mzee wa misoga
Kiwete wa mzoga atawauea wote wakimchunguza
😂hela
Mzee jpm alikufa akililia taifa hili 😢😢
Mkisema miaka mi3 ya kifo cha maguful kwangu mm naona kama jana2 kwan cwez sahau
Hakika mchango wake hauto saulika ntawasimulia wajukuu zangu juu ya mama ya hyu aliye chaguliwa na mungu rest in peace magufuri
Bado tuna majonzi kuhusu kulala kwa J P M
Natak kuchat na pendo
Hao walioisahau katiba walikuwa akina nani na nini yalikuwa maoni yao?