Mke wa Hayati Magufuli alivyoongea kwa uchungu katika kumbukumbu ya kifo cha mumewe
HTML-код
- Опубликовано: 26 сен 2024
- Mke wa Rais hawamu ya Tano, Hayati John Mgufuli (Janeth Magufuli) ameelezea namna alivyompigia simu Rais Samia Suluhu Hassan kumpa mualiko wa kuhudhuria kumbukumbuku ya kifo cha mumewe
Tutakukumbuka sana jpm mungu akupumzishe Kwa amani
Pole sana mama tunazidi kumwombea mumewe na amepumzika salama
Mungu airaze rohoo yamalehem mahara pema peponi
Usijal mam Mungu Yuko atakusaidia tu na awezi kukuacha ukateseka 🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Mungu akitie nguvu mamangu. Japo ni vigumu kulipokea hili lakin hatuna budi. Tutayaishi na kumuenzi baba yetu
Pole sana inauma lakini mungu akutie nguvu
Mungu awe nawe daima mama janeti magufuli
Pole sana teacher
Mungu akutunze wewe na familia yako r,i,p baba yetu
pole former first Lady unapiga simu hazipokelewi@4:50 inasikitisha sana.. former first Lady ilibidi awe na simu ya moja kwa moja kwa Rais Samia bila kupitia kwa watu wengine.
Tafuta kazi ufanye
Mama mungu akutie nguvu tunakupendaa❤❤❤ mama magufuli
Pole sana mam mungu atakufnyia wepesi
Mungu akutie nguvu
Ila huyu mama apewe cheo serekarini hata ubunge wakuteuliwa
Inauma sana kila nikisikiaga hi kumbukumbu machozi unitoka
Ameeen Mungu amlinde aliko
Mungu akutie nguvu mama pamoja na familia yako
Pole mama yetu sana
Tutamkumbuka daima Raise Johni pombe Magufuri
Pole sana tupo pamoja
Mungu azidi kumlinda jembe letu
Pole mama Janeth Mungu akawe faraja yako kuu
Pole mama 😢😢, Mungu azidi kukupa comfort
Sauti ya mama yetu imependeza kwelikweli 🇰🇪
Naam
Mungu akupinye jeraha mama janet pole sana
Still strong mama and all family (mwihangane cyane)
Daah JPM tunakukumbuka sana.😢
Kweli tum jifunza mengi kwa hayati mungu ampe Raha yamilele
Tutankubuka sujayi wetu ,mpendi wetu, baba yetu John pombe Magufuli
Amina
sauti nzuri mama Mungu akutie nguvu
Pole sana mama.
Mungu ametoa na mungu ametwaa
Pole mom, 🤝
Tunakukumbuka daima
Hakika wamama nimajasili sana.baba umetutoka ilakamwe hatuta kusahau pumzika kwa Amani baba eti kipenzi😭😭😭😭😭😭😭🌹💯
Hii speech inauma sana moyoni siwezi hata kuimaliza kuisikiliza
❤❤❤❤
Sote tutalejea huko mama
Mungu mwema atamlipa mema aloyafanya baba yetu mpendwa,aamin
Apumzike kwa amani
We. Haman. Pole. Mama. Magufuli
Pole sana mama
Pole sana mama pole sana inauma lakn zote hazina budi kuja 😭😭
Meus sentimentos mae, Mozambique
Pole sana
🙏🙏🙏🙏
Tulimpenda sana baba yetu mungu ampe mwanga wa milele Amina🙏🙏🙏
mama yangu mungu akutie ngufu sana
Mungu akutie nguvu mama yetu kipenzi baba mungu ampe mwanga wa milele
Video
Rip 😭💔💔 mkuu wa majeshi
Mwamba tunakukumbuka sana sana
Amina mama yetu pole mungu akutie nguvu
🙏
Mlinzi wa mke wa magu sjakusoma inamana unataka kuniambia ana korona
Mlinzi pengine ana mafuaje? Kwani.mlinzi hawezi.kumwambukuza mlindwa?
Tutamkumbuka hayati Magufuli la skuzote
Daaah
Atar
Mama mwenye hekima na heshima, Tanzania inchi enye uzalendo ya kweli,
Mungu amlaze mahari pema pepon
😢😢
Pumzika kwa amani baba
😢😢😢😢
Tunazidi kumuombe shujaa wa Tanzanian
Umbali.stori..hakuna..kama...j.p.m
Janhnent magufuri
😂aki tunamkumbuka
Pore 2:44
Mungu azidi kumlinda jembe letu❤ 4:22
R I P ,J P M
Dula
Tutamkumbuka sana jpm
Pole sana mama
❤❤❤
Apumzike kwaaman
Sorry mum
Matukio msoms
Pole sana mama kusahau ni ngumu
❤❤❤❤❤❤