"Nilifuatiliwa Na Magari Mawili Mpaka Nyumbani | Walinishambulia Na SMG"
HTML-код
- Опубликовано: 2 фев 2023
- "Septemba 7, nimeondoka nyumbani nilikuwa Dodoma, kuna eneo linaitwa area D, kuna maghorofa mengi ndio wanakaa viongozi wa Serikali na yanalindwa muda wote nimeishi pale toka 2010. Nilifika Bungeni tukajadili na nilikuwa mtu wa mwisho kuzungumza katika ile session ya asubuhi.Nikatoka nje, nikampigia dereva wangu simu aje anichukue twende nyumbani tukale chakula cha mchana. Mimi siku zote nakula nyumbani.
Ukiwa bungeni miaka ile njia rahisi ilikuwa inapita katikati ya uwanja wa ndege sasa ilikuwa njia imefungwa sababu palikuwa panafanyiwa matengenezo Kwahiyo ili uende area D inabidi uende mjini hivyo tukaelekea mjini. Tumepita round about ya Singida, tukapita round about ya barabara ya Arusha ambayo inapakana na uwanja wa ndege tulivyopita dereva akaniambia kuna magari mawili yanatufata nyuma kwenye akili yangu nikamuulizaDereva hawa polisi wanatufuatia nini? Maana mimi huwa nasumbuliwa na polisi.
Tukafika area C tuko nao gari mbili land cruiser nyeupe na Mitsubishi tukaenda mpaka area D tumekaribia getini kama kuna mtu anafahamu iliko Club84 tulipopita pale Land cruiser nyeupe ikapaki pembeni Mitsubishi ikaja tukaingia nayo getini. Lile geti huwa linafungwa muda wote na huwa kuna walinzi wawili au watatu wanasilaha muda wote siku hii geti liko wazi na hakuna mlinzi tukapita tukaenda block E ninapoishi. Tukaingia parking bahati nzuri siku hiyo magari yalikuwa mengi na nafasi za parking zimechukuliwa imebaki moja kwa sababu niko mbele nikaingia kwenye hiyo parking.
Wakaingia upande wa kushoto wanatafuta eneo la kupaki kuna magari, kulia kuna magari wakageuza gari kuelekea walipotokea dereva akaniambia nisishuke, wakasubiri na wao. Mmoja akatoka siti ya nyuma akaamia mbele upande wa abiria wakazungumza akarudi ndani akafunga mlango ghafla akafungua yeye, akafungua mwingine wanamashine hapo wakaachia" - Tundu Lissu
#LiveOnClouds360
WANAOAMINI MUNGU YUPO WAGONGE LIKE HAPA ZA KUTOSHA TUMSHUKURU MUNGU PAMOJA.
Mungu amlinde inshaallah😭
Like kwa lisu
Huu ni muujiza unaoishi😭 Ila huyu Mungu jamani..wacha aitwe Mungu
Nimependa watu wanavyo comment kumbe kunawatu wanahofu ya Mungu duniani endeleeni kumuombea maisha marefu Lisu, wale Akina Kangi ligola ambawo walikua Mambo ya ndani alikua akijibu maswali kwa kejeli wakati ule Mungu bado anashung'ulika nao Sasa aibu imewajaa walifikiri atakufa, naamini hawata sikia kifo Cha Lisu, Lisu ndiyo atashuhudia vifo vyao.
Daaah pole ndugu anguuu ujumbe wako apa umeniacha njia panda expressive feelings uloitoa hakika yake BWANA atalipia kisasi wala usiwe na shaka brother people's power we are together NCHI hii ya kwetu sote na tuijenge sote kwa amani
For the first time namsikiliza Mh. Lissu kwa makini, indeed kilichompata hakifai kumpata mtu yeyote yule na ninakilaani kitendo kile kwa roho yangu yote..Na mungu atakulipa kwa kadiri ya unyama uliotendewa. Pole sana Mh. Lissu.
Aliefanya bila shaka atakuwa alishalipwa.
@@venancemwanya4212 Hakika,huwezi ukafanya ubaya huu halafu poetic justice ikuache hivi hivi
@@venancemwanya4212 Mungu hawafanyi kazi yake kwa utashi wa kibinaadamu..kwetu wanaadamu mengi yamejificha sana, sisi hatupaswi kuhukumu lakini hukumu tumuachie yeye (Mungu)
Aliefanya tukio hili inawezekana anasoma post hizi..Basi hakika mungu atakulipa kwa karidiri ya ubaya uliomtendea binaadamu huyu, kwani hakuna binaadamu anaepaswa kufanyiwa ubaya wa kiwango hiki bila ya hatia yoyote.
Pole Mungu akupe maisha marefu
@@kokombwana8625 jaman vimeanza tena
Hii nchi ilikua katika hali mbaya na kuongozwa na watu wasio na utu ila Mungu alijithibitisha ukuu wake hakika wote wanalipa sasa
Mungu alijibu aliye watuma yuko wapi. Wamwogope mungu ipo siku watajulikana..usiuwe kwa upanga utakufa kwa upanga.
Mungu ni wetu sote kama Mungu alipanga uwepo hakuna mwanadamu atakaye kuondoa katika maisha
Mungu alikutetea sana sio kitu cha kawaida
Bwana asipoulinda mji waulindao wakesha Bure! MUNGU ambariki sana Mh SAMIA SULUHU HASSAN kwa huruma zake.
Aliyefanya unyama huu naamini Mungu ashamlipa kitaaaamboo xna
Lisu umefanya nizid kukupenda wallah
Ni mmojawapo kati ya watu waliokuombea sana na Mungu akatenda, Mungu ana kusudi na maisha yako, usirudi nyuma endelea kusimamia na kutetea haki.
Haki ya ushoga ndo haki?
@@livinuskamugisha5296 kwa hiyo ndiyo haki pekee uliyoona Lissu amewahi kutetea, huwa sipend kujibizana mitandaoni ila kuna muda inabid tu vijana wengi mnakurupuka muda mwingine inabid msaidiwe kueleimishwa, Lissu ameanza kufahamika kabla ya chadema kwa sababu ya misimamo yake na kutetea haki, amewatetea na kusaidia kushinda kesi nyingi sana za watu wanyonge wasio na uwezo ni hulka yake kutokukaa kimya haki isipotendeka, tatizo wengi wenu mmemjua baada ya chadema, tafuta kujua historia yake, mi sio chadema ila nakubali misimamo yake ndio maana nimemsihi aendelee kusimamia anachokiamini ni sahihi ambacho ni haki., akihama hapo sipo pamoja naye., mtizamo juu ya ushoga ni kitu kidogo sana hakitoshi kumjudge mtu., you think very low.
Mkono wa mungu ni mrefu sana
@@livinuskamugisha5296punguza masiliko
Asante Mungu kwa kumlinda mtu huyu kwa ulinzi wako mtu huyu yupo hai, baba mwenye enzi simama nae na waliohusija na ugaidi huu wakaabike kwa matendo Yako makuu.
Mungu ni mwem usiogope
Pole sana kaka Lissu. Ule ni unyama na lazima kukemewa na kila mmoja wetu. Ubinadamu kwanza jamani
Hili tukio liliniumiza sana sana. Yaani sitaki hata kulikumbuka. Pole sana Lissu.
Yet mnasifu Magufuli alikuwa mwema
@@nayerabudebu5974 sijawahi kumsifu Magufuli mie. Kilichonifanya nimpinge tangu mwanzo ni ukandamizaji aliokuwa anaufanya na kudhibiti vyombo vya Habari. Hakuna kiongozi mwema anayeweza kuvinyamazisha vyombo vya habari, ni fisadi peke yake ndio anaweza kifanya hivyo.
Long live baba,Taifa hili linakuhitaji,MUNGU ana makusudi take juu Yako,na gumbo hili lina maana kubwa sana kwako.....!
Mungu Ni Mwema Mh:Lissu Kama Ameweza Kukupitisha Katika Hili Basi Hakuna Wakukuteteresha Katika Hii Dunia
Kwa Lissu it was a life changing moment,kwa mama as for now ni LIFE OPPORTUNITY ktk uwanja wa kisiasa
Pole sana Mungu ni mwema
Pumbavu zako iki kijamaa kinatetea ushoga sibora ungekufa hizo hadisi zako zimepitwa n'a wakati n'a uo mwandishi jinga lingine izo habari nani hazijui kwani mpaka muweke iyo kipindi nyumbu wakubwa
@@bellasi349 wewe ni mkundu kama mikundu mingine,....Lissu hajawahi kutetea ushoga hizo siasa za maji taka peleka matakoni ...mkundu wewe ...
mmekazana ushoga ushoga ushoga unatombwa nini /....
@@bellasi349 wewe ni kamkundu tu.
Pole sana nafikiri waliotenda unyama huo nafikiri wanajutia Mungu ni mkubwa na waelewe hivo dunia hii si mali yetu ina mwenyewe udhalimu hautadumu na wanao shabikia udhalimu watajuta
Watesi wako wapo mikononi Mwa Mungu yeye atalipa Kwa hayo mabaya. Na kamwe hawataishi maisha marefu watapita na wewe utabaki. Mungu ni mwema sana.
Kaka pole sana ila mungu ni mwema
Mungu yu pamoja nawe mwamba utaishi sana
Mungu yupo na wanadamu wote acha unafiki
Kumbe alipigwa lisansi akiwa nanjaa Mungu alimuokoa
@@robarthpeter kwakweli Daaaah
Siasa yetu ilifika pabaya sana Mungu asimamie hili tuepukane na haya mambo
Mungu alisimamia mpendwa, akatufungia udikteta mapema
Hakika Tundu Lissu ni mwanadamu wa pekee. Na wewe ni mwanaume. Pamoja na tukio hili baya kabisa kukutokea, lakini uko vilevile, huna ubaya na mtu. Tundu you're really very special person. God loves you very much. Mpe utukufu na heshima yeye peke yake
Ni ngum ata kusikiliza, very emotion.
Mungu atuepushe na mipango ya wanadamu
Pole Sana baba lisu mungu Ni mwema
Mungu atupe mwisho mwema
Mungu anakupenda ❤️❤️
Magufuli kafa Lissu mzima, Lowasa mzima acheni Mungu aitwe Mungu. Watanzania tuache upumbavu nchi yetu ni ya amani tuache uoga wapinzani wapo kwa ajili ya maendeleo ya nchi kama CCM wote ni wanasiasa na ni watanzania.Tujifunze kwa wamarekani leo upinzani kesho chama tawala wanabadilishana
Sijui kama watakuelewa. Ni fact.
@@alfredmarti3131 Bro wabongo Mungu aturehemu tu hakika nadhani bora kupaza mawazo yetu tu, ni wachache tunaelewana tuwaombee na wengine wengi wafungue macho yao na tuendelee kuipenda nchi yetu.
Pole sana mzalendo Mungu ni juu ya yote Asante Yesu Mwokozi
Mungu yupo pamoja na wewe mwamba
Inasikitisha Sana, inaumiza Sana na inaudhunisha Sanaaaaa@Tundu lisu mungu akusimamie zaidiiiii wewe Ni super katika uongoz wako,,,, nakwenda singida kukupokea kaka
Mungu ni mwema sana. Wabarikiwe sana wote waliokusaidia.
hakika Ukuu wa Mungu Ni wa ajabu sana GOD hatuna cha kukulipa ila tunasema asante sana kwa kuendelea kutuonyesha ukuu wako
yaliyotabiriwa kwenye biblia hakika ndo yanayotokea
eeeeeeh mwenyezi mungu nifundishe kunyamaza umetufundisha mengi sana kupiti LISSU
Mungu ni mwema
Hii inaitwa mungu mkubwa mshukuru mungu Mara zote tena
Pole sana kamanda
Malaika walinzi wakulinde na kukupa maisha matefu hapa duniani
Pole Sana honourable lisu hakika mungu nimwenye rehema
Inauma sana 😭😭 ila Mungu mwema kwakweli
Unyama wabinadamu niwakipumbavu, kwasababu yakujisahau, maisha yabinadam nibahati tu kutoka kwamwenyezimungu, eemungu tusaidiye utuepushe napepo wabaya wanchihii
Huyu baba ana maisha marefu sana..
anaejua siri ya maisha marefu ya mjawake ni Mungu / Kuna watu wamepigwa mabomu hasa kenye vita ya kagera na pia wako hai sio yeye tuu
NAHAKUNA MAISHA MAREFU KWA MJA NABII SULEIMAN AMEISHI ZAIDI YA MIAKA MIA NANE LAKINI ALIKUFA MUDA ULIPOFIKA SASA WEWE USITABIRI YA MUNGU
@@moodyzanzibar4336 kwa kupigwa kule,kuvuja damu kule kumenifanya niamnini ataishi sana....
@@moodyzanzibar4336 Na atakufa kwa wakati wa Mungu sio binadamu.
Halafu hato kufo milele
Kosa kubwa sana;Ukihisi au kuona inafuatwa na watu wasio julikana usielekee nyumbani au kokote unakoeenda maana unajiingiza mtegoni wanakokutaka maadui.
Badilisha mkondo na uelekee kwa kasi kati nafasi yoyote ya umma
mfano hospitali,duka kuu,kituo cha polisi etc.hapo utawanyima maadui nafasi ya kukushambulia faraghani.
Dah story hii imeniumiza sanaa😭😭😭😭kwel Mungu akiamua kukupigania anakupigania kwel kwel,,kwel vita ya Mwanadamu mwachie Mungu,,Lisu Mungu amekuacha kwa sababu kubwa sanaa,,,aliyetaka ufe yy katangulia,sijui leo anajibu nn hko?Acha Mungu aitwe Mungu
Pole mteule wa mungu Gina la mungu liimidiwe amemi
Kazi ya Magufuli hiyo... Huyo Mshikaji wa kisukuma alikuwa mpumbavu sana
Alikua na roho mbaya sana
Nikweli magufuli alikuwa Ana mambo ya ajabuuu san
Mungu Ndio mpangaji ila Si binadamu, Pole Sana Lissu kwa madhira hayo uliyopitia kwa kuwasemea wa Tanzania wanaojita machawa.
Mh Lisu zidisha imani kwa Mungu na Hakika kupitia miujiza juu yabtukio hili tumejifunza Sana kuwa kumbe haya mambo sio historia tuuza kale ila tumeona miujiza na baadh wakalipwa ubaya huo na Mungu moja kwa moja
pole sana ila malipo ni hapa hapa duniani ..... mwache mungu aitwe mungu
Polesana. Binadamu tunaunyama sana
Acha Mungu aitwe Mungu. Jina la Mungu lihimidiwe.
Kuna kazi bado hujaifanya hapa duniani -Tanzania Mungu anataka uifanye. Vinginevyo angeruhusu uondoke. Msikilize Mungu atakueleza cha kuifanyia hii nchi.
Pole sana storyimeniumiza mno
Amini usiamini Mungu yupo..pole lisu pole chadema.. pole Demokrasia!!!!!?
Mungu Mkali Kafa yeye kamuacha mwamba bdo anahema Glory to God
Mhe. Tundu lissu mungu atakulipia Kwa yote waliokufanyia
Pole Sana jamani, niliumia mnoo, karibu Tz kazi iendelee
Ukiona mtu anapingana na tundu lissu kwanza huyo nimiongoni mwawatu wasiojuilikana wauwaji ambao hawana utu wapo tayari kuua kwakisingizio chamaendeleo kibaya zaidi hata mipango yamungu hawaiyamini manaake wanajua tundu lissu kapigwa risasi nyengi tu lakin kwamipango tu yamungu bado anaishi lakin watu wasiojuilikana bado wanapinga mipango yamungu wanaanza kujuilikna mitandaoni watu hatari sana kwataifa
Pole sana, jina la BWANA LIBARIKIWE. MUNGU NI MWEMA SANA. Kama siku za kuondoka duniani bado zipo, utapona tu hata iweje. Dah, moyo umeniuma sana. Nasikia maumivu makali moyoni mwangu. Jipe moyo mpendwa, KISASI NI CHA BWANA. MWACHIE MUNGU HAKIMU WA HAKI, YEYE HAPOKEI RUSHWA. ATAHUKUMU TU IPO SIKU.
Pole sana. Mungu azidi kukutetea Mungu amewaokoa na akampa hekima dereva kufanya alichofanya. Utukufu Kwa Mungu,
Pole sana Lissu,Mungu ni mwema wakati wote.🙏🙏
Mungu mwema cku zote
Kiongozi hongera hakika unapamba juu ya chama na mungu akuongezee baraka tele wanyooshe unajuwa serikali hii imejaa mafisadi weng Sana rushwa Kama zote adi tulishaachoka
Mungu ni Mungu na maajabu yake jamani 🙏
Allah nimwema sn pole sana
Different days months and years but same story...kupigwaa risasi kupigwaa risasi mzee tushajuaa tushakuombea na thanks umerudi bongo salama...weka sera mezani sasa na acha kutafuta huruma...kura hupati kwa kuonewaa huruma kura unapata kwa nn utafanyaa au nn umefanya
Mungu yupo kamanda tunazidi kukuombea 🙏🏾🙏🏾
Pole Sana kaka machoz yamenitoka walai,
Lissu pole sana machozi yananitoka
Mungu mkubwa hiyo siku hata chakula kilikuwa haliki
Pole sana Comrade
Pole sana...
Pole sana kamanda tuvushe lisu CCM wameshachoka
Kweli mshukuru mungu alikulinda Kwa bidii Mrs
Pole sana Tundu .
Mungu atukuzwe na aendelee kukutunza. Waliofanya hicho kitendo Mungu ahusike nao
Mbeee! Mungu anajua kuhuisha uhai wake....
Vibaraka wa ccm hao ila mungu ni mwema malipo ni hapa hapa dunian pole sana Mr lisu
Mungu amekusaidia tafsiri yake Kuna mask mbele. Jipange lakini tengeneza mahusiano Yako na Mungu
Huyo hana mahusiano na mungu katawaliwa na matusi na kumkashifu mwendazake magufuli na marais wengine hauwezekani kila Rais mbaya yeye nani anatumiwa huyo
We imekuaje kuwa hana mahusiano na Mungu
Huyu ni mteule tayari..na nchi tutajiuliza wakati wake ukifika,atafanya mambo mengi ya kuishangaza dunia .God I hope it will be soon.niliomba sana upone,sasa naomba tena
Mungu anakupenda sana Tundulisu, azidi kukutunza. Tunatamani urudi bungeni mwaka 2025.
Pole sana
God is OMNIPRESENT.
LISSU hilo tukio lilikua baya sana hua anaongea kwa uchungu mpaka wengne wanalia MUNGU akusimamie akupe nguvu akulinde Sana kama alivokupingania kwenye uhai wako
Daa pole sana mungu yupo nawe
Pole sana umenitoa machoz umepita magumu sana
Mungu nimwema.
Mungu azidi kukutia nguvu Mh. Tundu Lissu
mungu mkubwa sasa aliye fanya ivo yy yupo wap
Pole sana kiongozi
Mungu anajua ndie mwamuzi
Duhuuuuu akia mungu mwendazake attopokelewa mbinguni kamwe muuaji yule
Napenda lisu mno❤🎉
Hapa tutayasikia mengi huyu mh nadhani mungu alimuweka makusudi Ili tujue maovu yaliyofanywa .
Pole sana mr
Pole Sana baba Mungu yupo pamja nawe
Mungu akusaidia walio panga kukuua mungu atakuja kuwafanyia kibaya nawao zaidi yahicho walicho kufanyia mwamba
Kuna muda nasema MUNGU YUPO NAWE HAKIKA..
GOD BLESS YOU
Mungu yupo