TUNDU LISSU AKUTANA NA NESI ALIYEMPOKEA KWA MARA YA KWANZA GENERAL HOSPITAL DODOMA ALIPOPIGWA RISASI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 17 май 2024

Комментарии • 174

  • @ernestmwakalambo3938
    @ernestmwakalambo3938 21 день назад +5

    Mungu wa mbinguni akulinde NESI wetu kwa kuokoa maisha ya shujaa wetu mh. Tundu lisu hakika haikuwa rahis.

  • @ShabaniOnyango-gm3vz
    @ShabaniOnyango-gm3vz 20 дней назад +8

    Mh! Mungu alikuokowa comrade lissu

  • @simonmwasile4377
    @simonmwasile4377 22 дня назад +9

    Mahojiono yanaumiza sana ,kwa kweli ni MUNGU mkubwa sana. Very painful indeed!!!

  • @user-sl1ko9me7u
    @user-sl1ko9me7u 22 дня назад +7

    MAMA NA DADA YETU UBARIKIWE....MWENYEZI MUNGU MTUKUFU ATAKULIPIA HAPA HAPA DUNIANI....MH. RAIS SAMIA MSAIDIE HUYO MAMA....WOTE WALIOHUSIKA KUMDHALILISHA NA KUMFUKUZISHA KAZI HUYU MAMA WAWAJIBISHWE.

  • @hamisimuhunzi7916
    @hamisimuhunzi7916 22 дня назад +44

    Please toeni namba ya muuguzi tumpe angalau ya soda kwa kuhudumia maisha ya watanzania akiwemo shujaa wetu Mungu azidi kumlinda Tundu mwana wa Lissu ..

  • @emanuelfrancis579
    @emanuelfrancis579 22 дня назад +15

    Gharama za kuokoa uhai ndo hizo😢😢

  • @neemamajana3078
    @neemamajana3078 21 день назад +4

    Mungu yupo upande wako Kamanda, nimeingia chadema kwa ajiri yako❤❤❤❤

  • @richardmakweta8875
    @richardmakweta8875 22 дня назад +10

    Muuguzi Mungu àtakulipa na hayo unayopitia Mungu anaona atajibu kwa wakati wake.

  • @user-td9rq5vl1v
    @user-td9rq5vl1v 17 дней назад +4

    Huyu mama anaongea hadi naumia jamaniii, Wamrudishe kazini 😢😢

  • @emanuelgella8201
    @emanuelgella8201 22 дня назад +10

    Mtaka huyu ambaye namjuwa Mimi jamani? Daah kumbe binadamu wengi wanao onekana kondoo kumbe ni chui.. nimevunjika moyo kabisa

  • @ambitiousholyspirit395
    @ambitiousholyspirit395 22 дня назад +5

    Mungu akubariki mama wewe ni shujaa wetu Mungu atakufungilia NJIA.

  • @henrynjovu9147
    @henrynjovu9147 22 дня назад +8

    Mama Jasiri Sana huyu sijui kwanini wamemdhurumu ajira yake. Ni Nesi na Nusu.

  • @user-ch9ny6uw1d
    @user-ch9ny6uw1d 22 дня назад +13

    Nesi mungu atakulipa,,umefanya kitu kikubwa sana,,kuokoa maisha ya lisuu,,hakika mungu alikutumia wewe siku hiyo.

  • @Jamessichone-tg7pm
    @Jamessichone-tg7pm 22 дня назад +24

    Kiukweli Mungu yupo upande wa mheshimiwa Tundu lisu muuguzi Mungu ndiye atakaye kulipa

    • @ndogoroedson199
      @ndogoroedson199 21 день назад +1

      Nikuulize swali! Sasa hapo kama magu angehusika kumtaka kumuua tundu angeshindwa? Wakati alipokelewa hospital ya serikal?

    • @PhabianYasih
      @PhabianYasih 20 дней назад

      Mungu na magufuri, wewe kwako nani zaidi

    • @solomoneglesias9752
      @solomoneglesias9752 20 дней назад +1

      ​@@ndogoroedson199oooh akili yako iko kwa nini yako rip nguvu ya Taifa

  • @lotimwansule5017
    @lotimwansule5017 22 дня назад +5

    Hongera NESI kwa kumsaidia Huyo Baba

  • @mkambamaulid447
    @mkambamaulid447 22 дня назад +5

    Kiukweli Lisu mwenyezi Mungu ni mkubwa Sana😭😭😭Pole Sana 🙏🏼

  • @ThobiasMarandu
    @ThobiasMarandu 22 дня назад +5

    Mh. Lissu Amefanya Kitu Cha Muhimu sana Kuwaona Wauguzi wake wa First Respond.

  • @colethamkamate6617
    @colethamkamate6617 20 дней назад +3

    Dar Sister Vero kumbe hauko kwenye ajira tena pole sana best🙆

  • @ChristerKoku
    @ChristerKoku 21 день назад +2

    Mungu awabariki kwa ajiri ya huruma yenu kujitoa kwenu na ma dr.wote mliopambana kufa na kupona kwa nguvu na uwezo wa mungu atawalipa mema.

  • @LoiteyoAmakoMako
    @LoiteyoAmakoMako 22 дня назад +9

    Pole sana mwambaa

  • @deogratiusmaila676
    @deogratiusmaila676 22 дня назад +8

    Mheshimiwa Rais huyu mama umkumbuke sana umpe wizara

  • @ErickMacha-sb2ot
    @ErickMacha-sb2ot 22 дня назад +5

    Hakika madoctor mnaojali afya za watu kulliko pesa MUNGU awalipe maradufu mama uishi nakufaniki kwajina la yesu

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 21 день назад +2

    Mungu akubariki sana wewe dada kwa wito

  • @bahatisanga8890
    @bahatisanga8890 18 дней назад +2

    Mungu msaidie huyu Dada apate haki zake

  • @johnmwanyika
    @johnmwanyika 22 дня назад +8

    KAMA SISI, TUNAUMIA HIVI TUKIONA ANAVYOCHECHEMEA KWA SHIDA AKITEMBEA. JE KWA FAMILIA YAKE WANAUMIA KIASI GANI NA WATU WAKE WAKARIBU?.

  • @deusdedthutenga408
    @deusdedthutenga408 21 день назад +2

    Pole sana nesi wetu na MTANZANIA mwenzetu.

  • @syliviaibrahim5315
    @syliviaibrahim5315 17 дней назад +1

    Hongera muuguzi kwa kusave life

  • @user-ce3tx7mr8v
    @user-ce3tx7mr8v 22 дня назад +5

    MUBARIKIWE SANAA

  • @saturinimushi4746
    @saturinimushi4746 22 дня назад +5

    Nakumbuka Maneno ya Ndugu Tundu Lissu Alipokuwa Kwenye Matibabu Ubelgiji Alisema:
    Nanukuu:
    Nitarudi Tanzania Mchana Kweupe.
    Nitarudi Tanzania Nikiwa Natembea tena.
    Mwisho wa Kunukuu.
    Ni Maneno ambayo Nilikuwa Siyaamini Amini nilihisi Unajipa tu Moyo.
    Kumbe! Ni kweli.

  • @PrinceHendry-hp8vv
    @PrinceHendry-hp8vv 21 день назад +3

    Lisuu naona mahaba yasha kubamba kwa nesiii Hale baba

  • @abdulseif4093
    @abdulseif4093 22 дня назад +4

    Mungu atakusimia kama alivyomsimamia lissu

  • @user-wj6zj1ly4e
    @user-wj6zj1ly4e 22 дня назад +16

    Huyu maza tupaze saut arudi kazin ata km utoro kazin hakupewa nafas ya kujitetea

  • @user-zf2dn7su4f
    @user-zf2dn7su4f 22 дня назад +2

    Mungu akupee maishaa malefu

  • @allymkazi2775
    @allymkazi2775 21 день назад +5

    Eeh mungu wetu waadhibu waliofanya tukio la lissu

  • @eliainasomalisa7599
    @eliainasomalisa7599 15 дней назад +1

    It's a painful story 😢

  • @thadeylyimo9772
    @thadeylyimo9772 18 дней назад +1

    Msaidie huyu mama Hawa waajiri wanaoneaga Sana Hawa watu wa chini...

  • @user-gn4lc5sk6p
    @user-gn4lc5sk6p 21 день назад +2

    Mungu asimame kutetea haki za wanaoonewa.

  • @uredmwasembo8579
    @uredmwasembo8579 21 день назад +1

    Mungu akisema apana nani mwengine apinge Asante mungu

  • @saiddaji6342
    @saiddaji6342 22 дня назад +5

    Pole nurse kwa kumuhudumia shujaa wetu

  • @jonaskalebe5486
    @jonaskalebe5486 22 дня назад +6

    Long live Lissu, and God bless you. You are a real fighter.

  • @user-nz6rs9vn3t
    @user-nz6rs9vn3t 21 день назад +3

    Dah wakurugenzi wabaya hao

  • @revocatusvedastus8893
    @revocatusvedastus8893 22 дня назад +2

    Mungu wangu nchi hii Ina Mambo serikali hii, mbona mama huyu anaeleza vema kabisa

  • @PhabianYasih
    @PhabianYasih 20 дней назад +3

    Kiukweli madakitari wangeweza kummalizia Tundu Lisu, lakini tatizo Hospitali nzima ya General, iliingiliwa na uwepo wa Mungu hivyo wakawa wanafanya kazi si kwa matakwa yao. Sidhani hawakuambiwa kwamba Tundu Lisu anatakiwa auawe ila ni Mungu kazubaisha kuja kushituka Mwamba kashahamishwa wakati wazo la Tundu Lisu apelekwe Nairobi linatekelezwa wauaji ndio fahamu zinawarudia, wakawa wanashauri apelekwe mhimbili ili wakammalizie huko. Wasijue kwamba Mungu hayupo upande wao

  • @Petronkambi
    @Petronkambi 7 дней назад

    Mtaka huyu huyu nnaemjua mm nilikua namkubali sana mtaka Kwanzia Leo hapana kumbe mnfki

  • @ndogoroedson199
    @ndogoroedson199 21 день назад +2

    Halafu mseme Magufuli ndyo alihusika hivi hao waliompokea ungekuwa ni mpango wa kumuua huyo si angeagizwa tu kukumalizia? Maana angepigiwa cm tu mwacheni afe au mchomeni sindano ya sumu! Acheni kulaumu sana kuwa JPm alihusika c kweli wao chadema waulizane wenyewe

  • @user-rp9lh3wl1v
    @user-rp9lh3wl1v 13 дней назад

    Mungu Am bariki Sana huyo dada jaman

  • @shaddybmc8342
    @shaddybmc8342 22 дня назад +3

    Huyu nesi yuko vizur sana.

  • @elymollel
    @elymollel 22 дня назад +4

    Hongera sana mama, ila Kwa hapo usiwe na shaka kipele kimepata mkunaji.

  • @saidmasoud9004
    @saidmasoud9004 20 дней назад

    Pole sana muuguzi naomba arudishwe kazini

  • @Francis-kx1sb
    @Francis-kx1sb 14 дней назад

    Mungu akubariki sana nesi

  • @itanzaniaAS
    @itanzaniaAS 18 дней назад +1

    Dah LISSU ALINUSURIKA KIFO. cha ajabu hata waliotumiwa hakuna aliye fuatilia😢

  • @emmasonanjawe9042
    @emmasonanjawe9042 22 дня назад +1

    Kaka yangu mh.mtaka dah. Hikiulichofanya Muombe Mungu msamaha watu tunakupenda sana na tu akuheshim sana sijui nini kilikukuta 😭

  • @sandalakabalo5442
    @sandalakabalo5442 15 дней назад

    Mama samia hebu msaidie huyu mama umpe kazi

  • @LodvolaLameck-jl5vs
    @LodvolaLameck-jl5vs 15 дней назад

    Kama movie vile kilichotokea kwa Mh. Lissu Antipas Tundu

  • @richarddavidmk
    @richarddavidmk 18 дней назад

    Pole sana Hili Taifa linakiu ya HAKI ,

  • @dicksonulotu7427
    @dicksonulotu7427 21 день назад

    Story inafurahisha na inahuzunisha sana.Bigup Dr,Mungu akulinde Mhe Lisu

  • @Manase-uj7lj
    @Manase-uj7lj 21 день назад +1

    Muuguzii only mhe tundulisu anaejua msaadawako, huyo mkurugenzii atafutwee malamoja

  • @emanuelfrancis579
    @emanuelfrancis579 22 дня назад

    Pole sana MUHESHIMIWA..
    DAHH SO SAD

  • @VicentBernard-sy9zc
    @VicentBernard-sy9zc 8 дней назад

    Namjua huyu mama

  • @FIDELISMfugale
    @FIDELISMfugale 16 дней назад

    Daaa MUNGU NI MKUUU

  • @LeahMabula-sv8ij
    @LeahMabula-sv8ij 21 день назад

    Pole sana

  • @Chrizabizzy1
    @Chrizabizzy1 5 дней назад

    Anaye taka namba ya huyo mama amchangie aniambie

  • @user-gn1io8tu8h
    @user-gn1io8tu8h 21 день назад

    Daaaah pole sana mama Hiyo Ndo Dunia

  • @user-td9rq5vl1v
    @user-td9rq5vl1v 17 дней назад

    May God Grant you more life,we Love you all🙏

  • @user-tn5ym5gd6s
    @user-tn5ym5gd6s 22 дня назад

    Goods is the first one

  • @EltonKivuyo-cv2gq
    @EltonKivuyo-cv2gq 22 дня назад +1

    Lisu msaidie huyo mama kisheria tafadhali

  • @francisgituti2494
    @francisgituti2494 21 день назад +1

    Kwann usifuatilie haki zako kama ulifukuzwa bila kufuata taratibu za ajira

  • @mfalmekaitaba2425
    @mfalmekaitaba2425 22 дня назад +5

    Lissu nakukubari sana kamanda wangu

  • @janesiwingwa3142
    @janesiwingwa3142 8 дней назад

    Mkipata number tumchangie uyu mama

  • @FIDELISMfugale
    @FIDELISMfugale 16 дней назад

    WALIKUWA WANAOGOPA SERIKAL ILIYOTUMWA KUMUUA HUUOOO

  • @emmanuelmambarera141
    @emmanuelmambarera141 18 дней назад

    Pole sana Mama

  • @dlumala
    @dlumala 22 дня назад +1

    Video hii one mengi gani kwa sasa??

  • @johnsonsabanya5860
    @johnsonsabanya5860 21 день назад

    Pole hero

  • @richardmakweta8875
    @richardmakweta8875 22 дня назад +5

    Wauaji wanaroho ngumu usipime lakini ninacho jua Mimi nikuwa hata iweje kila nafsi hai itaingia mautini hivyo kila anayefikiri kumfanyia mwenzie ubaya atambue hivyo

  • @samsonkingdom-xc8cg
    @samsonkingdom-xc8cg 21 день назад

    Mama Samia wekapembeni siasa mpezawadi mwanamke mwenzi wakina mama kama Hawa wauguzi wenyehuruma kama huyu ndio Taifa linawataka🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @ammytv8338
    @ammytv8338 17 дней назад

    Lissu msaidie huyu mama

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 21 день назад

    MAMA huyu apewe chote chote kwa kweli. Amefanya kazi ya wito kwa kweli.

  • @ShabaniOnyango-gm3vz
    @ShabaniOnyango-gm3vz 20 дней назад

    Mh! Mungu siku zote hamtupi mja wake

  • @NgombeMasalu
    @NgombeMasalu 22 дня назад

    Mwamba pole sana

  • @josephmabula9658
    @josephmabula9658 22 дня назад

    Inaumiza sana

  • @eliudinyangura3921
    @eliudinyangura3921 19 дней назад

    mmhh Mtaka tena kama ni kweli basi

  • @sylvanuskavindi2756
    @sylvanuskavindi2756 19 дней назад

    Mtaka ana dharau sana na hujiona anajua kila kitu

  • @charleskingimwakasagule5752
    @charleskingimwakasagule5752 16 дней назад

    Ubalikiwe mama kwa ujasili huo make mifanyakazi ya kibongo inafyata mikia sana kwa sisiemu yani kama imezaliwa nazi uoga mtupu

  • @williammakali5518
    @williammakali5518 21 день назад

    Tutamkumbuka,kama😂 alivyosema,,ilikuwa hiviii,,,,mwacheni huyo mwananchi,,,,njooo mama,,njoo tu

  • @user-ie2sr4fi4k
    @user-ie2sr4fi4k 22 дня назад +2

    Pole sana kaka

  • @BahatiMahenge
    @BahatiMahenge 22 дня назад

    Mwacheni mungu aitwe mungu

  • @MageAwe-hl5zb
    @MageAwe-hl5zb 21 день назад

    Kweli mungu atabaki kuwa mungu

  • @joelbenardkaselya
    @joelbenardkaselya 22 дня назад +1

    Ww dada ni jeuri kwa jinsi unavyoongea2 unadharau kumbk meno ya mbwa haya umani😂😂😂

    • @SephrozaMatuli
      @SephrozaMatuli 21 день назад

      We ni mbwa hujui ht haki za binadam unabwatuka tu

  • @daudysanga8492
    @daudysanga8492 21 день назад

    Mama imetisha sana naamini utafanikiwa

  • @ayubumwakabana2137
    @ayubumwakabana2137 20 дней назад

    Daaaaa Sina hamu

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 22 дня назад

    👊✌️👍.

  • @fatmaabdallah7709
    @fatmaabdallah7709 20 дней назад

    Huyu mama story ndefu sijui km ina ukweli😂

  • @mwikuyusemwenda9625
    @mwikuyusemwenda9625 22 дня назад

    amen

  • @juliuskitaluka1206
    @juliuskitaluka1206 21 день назад

    Changamoto kubwa sana

  • @sukumaganga2613
    @sukumaganga2613 18 дней назад

    Mama huyu muonekano wake anaonekana yupo kazin upande wa pili watu wa cuba tuna jua hiyo

  • @willymwaipaja6783
    @willymwaipaja6783 21 день назад

    Ni vyema kusikia muuguzi alivyotoa huduma ya kusaidia kuokoa maisha kwa niaba ya Mungu, lakini mahojiano haya ni hatari wanaposikia wale waliotaka kuuondoa uhai kwa niaba ya shetani.

  • @renatusdeogratias2108
    @renatusdeogratias2108 22 дня назад +3

    Watanzania tufanye jambo kwa huyu mama

  • @davidmziray2048
    @davidmziray2048 20 дней назад

    Ila nchi inawaovu wengi sana

  • @piuskusenge-jf2ob
    @piuskusenge-jf2ob 20 дней назад

    Hii nchi ina mambo ya ajabu sana. Hivi muhudumu kama huyu unamuachishaje kazi. Jamani kisa kakunyima mapenzi, mbona laana zingine ni za kujitakia. Malaya wote waliojaa lakini bado mtu anaharibu maisha ya mtu hivihivi.
    Mama Samia Tafadhari, do something for this woman

  • @beatricehenry6776
    @beatricehenry6776 21 день назад +1

    Mm nionacho Tundu Lissu mshukuru Mungubc anakupenda songa mbele kuleta Sera zenye mshiko Aya mep ushauri nasaa wakutoe uchungu ili ufanye siasa
    😢 by. Z