MAMA NA DADA YETU UBARIKIWE....MWENYEZI MUNGU MTUKUFU ATAKULIPIA HAPA HAPA DUNIANI....MH. RAIS SAMIA MSAIDIE HUYO MAMA....WOTE WALIOHUSIKA KUMDHALILISHA NA KUMFUKUZISHA KAZI HUYU MAMA WAWAJIBISHWE.
Please toeni namba ya muuguzi tumpe angalau ya soda kwa kuhudumia maisha ya watanzania akiwemo shujaa wetu Mungu azidi kumlinda Tundu mwana wa Lissu ..
Nakumbuka Maneno ya Ndugu Tundu Lissu Alipokuwa Kwenye Matibabu Ubelgiji Alisema: Nanukuu: Nitarudi Tanzania Mchana Kweupe. Nitarudi Tanzania Nikiwa Natembea tena. Mwisho wa Kunukuu. Ni Maneno ambayo Nilikuwa Siyaamini Amini nilihisi Unajipa tu Moyo. Kumbe! Ni kweli.
Kiukweli madakitari wangeweza kummalizia Tundu Lisu, lakini tatizo Hospitali nzima ya General, iliingiliwa na uwepo wa Mungu hivyo wakawa wanafanya kazi si kwa matakwa yao. Sidhani hawakuambiwa kwamba Tundu Lisu anatakiwa auawe ila ni Mungu kazubaisha kuja kushituka Mwamba kashahamishwa wakati wazo la Tundu Lisu apelekwe Nairobi linatekelezwa wauaji ndio fahamu zinawarudia, wakawa wanashauri apelekwe mhimbili ili wakammalizie huko. Wasijue kwamba Mungu hayupo upande wao
Halafu mseme Magufuli ndyo alihusika hivi hao waliompokea ungekuwa ni mpango wa kumuua huyo si angeagizwa tu kukumalizia? Maana angepigiwa cm tu mwacheni afe au mchomeni sindano ya sumu! Acheni kulaumu sana kuwa JPm alihusika c kweli wao chadema waulizane wenyewe
Wauaji wanaroho ngumu usipime lakini ninacho jua Mimi nikuwa hata iweje kila nafsi hai itaingia mautini hivyo kila anayefikiri kumfanyia mwenzie ubaya atambue hivyo
Ni vyema kusikia muuguzi alivyotoa huduma ya kusaidia kuokoa maisha kwa niaba ya Mungu, lakini mahojiano haya ni hatari wanaposikia wale waliotaka kuuondoa uhai kwa niaba ya shetani.
Hii nchi ina mambo ya ajabu sana. Hivi muhudumu kama huyu unamuachishaje kazi. Jamani kisa kakunyima mapenzi, mbona laana zingine ni za kujitakia. Malaya wote waliojaa lakini bado mtu anaharibu maisha ya mtu hivihivi. Mama Samia Tafadhari, do something for this woman
Mm nionacho Tundu Lissu mshukuru Mungubc anakupenda songa mbele kuleta Sera zenye mshiko Aya mep ushauri nasaa wakutoe uchungu ili ufanye siasa 😢 by. Z
Mungu wa mbinguni akulinde NESI wetu kwa kuokoa maisha ya shujaa wetu mh. Tundu lisu hakika haikuwa rahis.
Mh! Mungu alikuokowa comrade lissu
Mahojiono yanaumiza sana ,kwa kweli ni MUNGU mkubwa sana. Very painful indeed!!!
MAMA NA DADA YETU UBARIKIWE....MWENYEZI MUNGU MTUKUFU ATAKULIPIA HAPA HAPA DUNIANI....MH. RAIS SAMIA MSAIDIE HUYO MAMA....WOTE WALIOHUSIKA KUMDHALILISHA NA KUMFUKUZISHA KAZI HUYU MAMA WAWAJIBISHWE.
Please toeni namba ya muuguzi tumpe angalau ya soda kwa kuhudumia maisha ya watanzania akiwemo shujaa wetu Mungu azidi kumlinda Tundu mwana wa Lissu ..
lllllllllllllllll
lllllllllllllllll
Mkipata number za huyo dada tutumieni
Kabisa tumchangie
Gharama za kuokoa uhai ndo hizo😢😢
Mungu yupo upande wako Kamanda, nimeingia chadema kwa ajiri yako❤❤❤❤
Muuguzi Mungu àtakulipa na hayo unayopitia Mungu anaona atajibu kwa wakati wake.
Huyu mama anaongea hadi naumia jamaniii, Wamrudishe kazini 😢😢
Mtaka huyu ambaye namjuwa Mimi jamani? Daah kumbe binadamu wengi wanao onekana kondoo kumbe ni chui.. nimevunjika moyo kabisa
Mungu akubariki mama wewe ni shujaa wetu Mungu atakufungilia NJIA.
Mama Jasiri Sana huyu sijui kwanini wamemdhurumu ajira yake. Ni Nesi na Nusu.
Nesi mungu atakulipa,,umefanya kitu kikubwa sana,,kuokoa maisha ya lisuu,,hakika mungu alikutumia wewe siku hiyo.
Kiukweli Mungu yupo upande wa mheshimiwa Tundu lisu muuguzi Mungu ndiye atakaye kulipa
Nikuulize swali! Sasa hapo kama magu angehusika kumtaka kumuua tundu angeshindwa? Wakati alipokelewa hospital ya serikal?
Mungu na magufuri, wewe kwako nani zaidi
@@ndogoroedson199oooh akili yako iko kwa nini yako rip nguvu ya Taifa
Hongera NESI kwa kumsaidia Huyo Baba
Kiukweli Lisu mwenyezi Mungu ni mkubwa Sana😭😭😭Pole Sana 🙏🏼
Mh. Lissu Amefanya Kitu Cha Muhimu sana Kuwaona Wauguzi wake wa First Respond.
Dar Sister Vero kumbe hauko kwenye ajira tena pole sana best🙆
Mungu awabariki kwa ajiri ya huruma yenu kujitoa kwenu na ma dr.wote mliopambana kufa na kupona kwa nguvu na uwezo wa mungu atawalipa mema.
Pole sana mwambaa
Mheshimiwa Rais huyu mama umkumbuke sana umpe wizara
Hakika madoctor mnaojali afya za watu kulliko pesa MUNGU awalipe maradufu mama uishi nakufaniki kwajina la yesu
Mungu akubariki sana wewe dada kwa wito
Mungu msaidie huyu Dada apate haki zake
KAMA SISI, TUNAUMIA HIVI TUKIONA ANAVYOCHECHEMEA KWA SHIDA AKITEMBEA. JE KWA FAMILIA YAKE WANAUMIA KIASI GANI NA WATU WAKE WAKARIBU?.
Pole sana nesi wetu na MTANZANIA mwenzetu.
Hongera muuguzi kwa kusave life
MUBARIKIWE SANAA
Nakumbuka Maneno ya Ndugu Tundu Lissu Alipokuwa Kwenye Matibabu Ubelgiji Alisema:
Nanukuu:
Nitarudi Tanzania Mchana Kweupe.
Nitarudi Tanzania Nikiwa Natembea tena.
Mwisho wa Kunukuu.
Ni Maneno ambayo Nilikuwa Siyaamini Amini nilihisi Unajipa tu Moyo.
Kumbe! Ni kweli.
Lisuu naona mahaba yasha kubamba kwa nesiii Hale baba
Mungu atakusimia kama alivyomsimamia lissu
Huyu maza tupaze saut arudi kazin ata km utoro kazin hakupewa nafas ya kujitetea
Duh alisimamishwa?
Mungu akupee maishaa malefu
Eeh mungu wetu waadhibu waliofanya tukio la lissu
Namba moja ameshaadhibiwa
It's a painful story 😢
Msaidie huyu mama Hawa waajiri wanaoneaga Sana Hawa watu wa chini...
Mungu asimame kutetea haki za wanaoonewa.
Mungu akisema apana nani mwengine apinge Asante mungu
Pole nurse kwa kumuhudumia shujaa wetu
Long live Lissu, and God bless you. You are a real fighter.
Dah wakurugenzi wabaya hao
Mungu wangu nchi hii Ina Mambo serikali hii, mbona mama huyu anaeleza vema kabisa
Kiukweli madakitari wangeweza kummalizia Tundu Lisu, lakini tatizo Hospitali nzima ya General, iliingiliwa na uwepo wa Mungu hivyo wakawa wanafanya kazi si kwa matakwa yao. Sidhani hawakuambiwa kwamba Tundu Lisu anatakiwa auawe ila ni Mungu kazubaisha kuja kushituka Mwamba kashahamishwa wakati wazo la Tundu Lisu apelekwe Nairobi linatekelezwa wauaji ndio fahamu zinawarudia, wakawa wanashauri apelekwe mhimbili ili wakammalizie huko. Wasijue kwamba Mungu hayupo upande wao
Mtaka huyu huyu nnaemjua mm nilikua namkubali sana mtaka Kwanzia Leo hapana kumbe mnfki
Halafu mseme Magufuli ndyo alihusika hivi hao waliompokea ungekuwa ni mpango wa kumuua huyo si angeagizwa tu kukumalizia? Maana angepigiwa cm tu mwacheni afe au mchomeni sindano ya sumu! Acheni kulaumu sana kuwa JPm alihusika c kweli wao chadema waulizane wenyewe
Mungu Am bariki Sana huyo dada jaman
Huyu nesi yuko vizur sana.
Hongera sana mama, ila Kwa hapo usiwe na shaka kipele kimepata mkunaji.
Pole sana muuguzi naomba arudishwe kazini
Mungu akubariki sana nesi
Dah LISSU ALINUSURIKA KIFO. cha ajabu hata waliotumiwa hakuna aliye fuatilia😢
Kaka yangu mh.mtaka dah. Hikiulichofanya Muombe Mungu msamaha watu tunakupenda sana na tu akuheshim sana sijui nini kilikukuta 😭
Mama samia hebu msaidie huyu mama umpe kazi
Kama movie vile kilichotokea kwa Mh. Lissu Antipas Tundu
Pole sana Hili Taifa linakiu ya HAKI ,
Story inafurahisha na inahuzunisha sana.Bigup Dr,Mungu akulinde Mhe Lisu
Muuguzii only mhe tundulisu anaejua msaadawako, huyo mkurugenzii atafutwee malamoja
Pole sana MUHESHIMIWA..
DAHH SO SAD
Namjua huyu mama
Daaa MUNGU NI MKUUU
Pole sana
Anaye taka namba ya huyo mama amchangie aniambie
Daaaah pole sana mama Hiyo Ndo Dunia
May God Grant you more life,we Love you all🙏
Goods is the first one
Lisu msaidie huyo mama kisheria tafadhali
Kwann usifuatilie haki zako kama ulifukuzwa bila kufuata taratibu za ajira
Lissu nakukubari sana kamanda wangu
Mkipata number tumchangie uyu mama
WALIKUWA WANAOGOPA SERIKAL ILIYOTUMWA KUMUUA HUUOOO
Pole sana Mama
Video hii one mengi gani kwa sasa??
Pole hero
Wauaji wanaroho ngumu usipime lakini ninacho jua Mimi nikuwa hata iweje kila nafsi hai itaingia mautini hivyo kila anayefikiri kumfanyia mwenzie ubaya atambue hivyo
Mama Samia wekapembeni siasa mpezawadi mwanamke mwenzi wakina mama kama Hawa wauguzi wenyehuruma kama huyu ndio Taifa linawataka🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Lissu msaidie huyu mama
MAMA huyu apewe chote chote kwa kweli. Amefanya kazi ya wito kwa kweli.
Mh! Mungu siku zote hamtupi mja wake
Mwamba pole sana
Inaumiza sana
mmhh Mtaka tena kama ni kweli basi
Mtaka ana dharau sana na hujiona anajua kila kitu
Ubalikiwe mama kwa ujasili huo make mifanyakazi ya kibongo inafyata mikia sana kwa sisiemu yani kama imezaliwa nazi uoga mtupu
Tutamkumbuka,kama😂 alivyosema,,ilikuwa hiviii,,,,mwacheni huyo mwananchi,,,,njooo mama,,njoo tu
Pole sana kaka
Mwacheni mungu aitwe mungu
Kweli mungu atabaki kuwa mungu
Ww dada ni jeuri kwa jinsi unavyoongea2 unadharau kumbk meno ya mbwa haya umani😂😂😂
We ni mbwa hujui ht haki za binadam unabwatuka tu
Mama imetisha sana naamini utafanikiwa
Daaaaa Sina hamu
👊✌️👍.
Huyu mama story ndefu sijui km ina ukweli😂
amen
Changamoto kubwa sana
Mama huyu muonekano wake anaonekana yupo kazin upande wa pili watu wa cuba tuna jua hiyo
Ni vyema kusikia muuguzi alivyotoa huduma ya kusaidia kuokoa maisha kwa niaba ya Mungu, lakini mahojiano haya ni hatari wanaposikia wale waliotaka kuuondoa uhai kwa niaba ya shetani.
Watanzania tufanye jambo kwa huyu mama
Fanya ww atufanyi upuuzi
kk mbn umepaniki kwan c mtu katoa usjauri
@@hamidkololeki5009tumia akili
Ila nchi inawaovu wengi sana
Hii nchi ina mambo ya ajabu sana. Hivi muhudumu kama huyu unamuachishaje kazi. Jamani kisa kakunyima mapenzi, mbona laana zingine ni za kujitakia. Malaya wote waliojaa lakini bado mtu anaharibu maisha ya mtu hivihivi.
Mama Samia Tafadhari, do something for this woman
Mm nionacho Tundu Lissu mshukuru Mungubc anakupenda songa mbele kuleta Sera zenye mshiko Aya mep ushauri nasaa wakutoe uchungu ili ufanye siasa
😢 by. Z