VITA HII NI KUBWA SANA TUSIKUBALI WAPAMBE WAITAWALE/WATU WAMEZOEA SIASA ZA KINAFKI''MANENO YA SLAA
HTML-код
- Опубликовано: 5 фев 2025
- #JAMBOTV
VITA HII NI KUBWA SANA TUSIKUBALI WAPAMBE WAITAWALE/WATU WAMEZOEA SIASA ZA KINAFKI''MANENO YA DKT SLAA JUU YA HOTUBA YA TUNDU LISSU
...........
Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
►RUclips: / @jambotv908
►INSTAGRAM: / jambotv
►TWITTER: / jambotv_
►FACEBOOK: / jambotv
►WEBSITE: jambo.tz/
Namshukuru Mungu sana kuwepo wakati huu wa lissu akiwa kwenye ubora wake na mwenyekiti mbowe akiwa amekifikisha chama juu juu zaidi na dr slaa akiwachambua hao ndugu zake
Mheshimiwa tundu lisu jicho la inchi mungu akusimamie usimame imara mtetez wahaki nakweli ninaiman chadema inaenda kufika mbali nasisi watanzania wenye maono kamaww tunakuunga mkono tunaiman mzee silaa yuko sahii sana pambana mzee wetu mungu akutangulie
Mungu mkubwa. Kwa mbali naanza kuona nuru mpya iking'ara Tanzania. Pia naona Historia mpya inakwenda kuandikwa katika Nchi yetu. Mungu mkubwa. Amina.
Pongezi nyingi kwa Mbowe kwa kazi kubwa sana uliyoifanya CDM na busara na hekima zako kukifikisha chama hadi leo. Mbowe ni kiongozi mzuri sana ila hakupewa nguvu ya ubabe kwa sasa ubabe unahitajika Mbowe busara nyingi
Lissu anfaa kwa kipindi hiki mbowe kafanya vizuri sana kwa kipindi chake tusimbeze kakijenga chama vizuri sana❤
Mimi ni mwanachama kamili chadema ninaruhusiwa kumpigia kura mwenyekiti wangu lisu pita babababa
Mzee silaa mungu akubariki sana unaongea ukweli sana🎉🎉🎉🎉
Amini hili kwa vyovyote itakavyokuwa kwenye uchaguzi wa mwenyekiti, Lissu atakuwa Mwenyekiti, hata kama wajumbe wote wageuke wasimpigie kura Lissu ni lazima awe mwenyekiti, kwasababu Nyakati zinamtaka Lissu, Mungu amemchagua huyu mtu.
Wewe hulazimishwi kumusikiliza Dr. Silah si uache wengine tumusikilize.
Mh mbowe amefanya sehemu yake,kwa wakati huu Petro anahitajika akanyofoe masikio ya wakora
Mungu kivushe chama chetu salama
Nilifikiri lisu mwenyekiti na makamu lema lkn mtazamo wako wangu naufuta naungana na wako🎉🎉🎉
Dokta mungu akubariki sana
Usiku umeendelea Sana asubuhi imekaribia sana
Lissu na mbowe wote ni wanasiasa wazuri na katika kuijenga democracy ni vizuri pia mbowe akampa nafasi lissu ili tuone nae atafanya nini
Bila unafki ,kwa unyenyekevi mkubwa ,nikiwa mwana CHADEMA kindakindaki naomba lisu awe mwenyekiti wetu taifa.
Upo sahihi kabisa
Dr slaa ni jembe na Lissu ni legend
Napenda kwa sasa Tundu lissu atuongoze wana chadema,Huu ni muda muafaka.
Ngoja aingiieeee ambae alishawahi kuishi katikati ya kifo na uhai ambae ni Lisu kuna mahali dawa itawaingia Vizuri CCM maana ni tishio kubwa sanaa kwa lisu kuwa mwenyekiti wa CDM na hiii inadhihirisha kuwa wakati wa kuangauka CCM ni sasa
hapo ndio penyewe mwamba tunakukubali sana nakuombea Mungu ushinde
Hata mimi nimehis chadema ilikuwa inaenda kupotea kama isingepatikana changamoto mpya.Ccm ilishaanza kutamba kila kona bila kuogopa upinzani wowote.
Asante Mwenyekiti Mbowe kwa ulipokifikisha Chama umepambana ktk nyakati ngumu sasa ila tunakuomba hebu mpe nafasi Lissu japo kwa mhula mmoja tuone atafanya nini
Lissu is a clear man ever 💪🏿💪🏿💪🏿
Tundu Lissu hana cha kupoteza yaani haogopi alipigwa risasi 16 MUNGU MWEMA JEHOVAH Aliamua kumuacha hai lengo ni kumpa nafasi hii ya uenyekiti wa chadema tunzeni meseji hii hapo Lissu Anapita kuwa mwenyekiti wa chadema na Dr Josephat Gwajima Raisi wa Tanzania 2025- anakuja apo na anachukua nchi Tunza maneno yangu.
Kwa gwajima hapana, hana msimamo
Tulipofika kwanchi npabaya Lisu mdahuu anastairi achukue kijiti Cha Uwenyekiti .makamanda tuko pamoja
Lissu hana uroho wamadaraka ila naamini anaona mambo hayaeleweki.:: kama chadema wanataka cheo tu na nafasi basi wamkumbatie mbowe ila kama wanata mabadiliko ya maendeleo na mfumo mpya basi mr lissu ❤!!!
Kalale mzee lisu mwenyekiti mpya mbowe tunampenda atatushauri kama zito na act
Kweli kabisa,
atudanganyikiii hii kazi inaitaji nguvu ya mwilii
Mr lissu akipata uwenyekiti itakua poa::mr lissu is really fighter no dought about it
Lisu ni mwana harakati mbowe ni mwana siasa
Hujui lolote wewe bali una maneno ya kukalilishwa na wale wababaishaji wa hoja za kuokoteza. Hizo huwa ni hoja zetu sisi CCM za kujaribu kudanganya watanzania. Wale wenye akili kubwa sana tunamuelewa sana na ninatamani Lissu awe mwenyekiti, ili na sisi CCM tuchangamke maana tumezoea kufanya siasa rahisi sana.
Mbowe ni mhuni na mpiga pesa
Lisu anaenda na vyote kutokana na Siasa za kitanzania Lisu anaendanazo Zote alakati na Siasa
Naimani kubwa na lisu ni chaguo la Mungu ndio atakae ingoa ccm
Mimi ccm lakini napenda mchanganyiko wa vyama bunge huwa linapendeza. Hakuna kinacho halibika. Ccm ubaya wetu mtu akikosowa huwa wana sema huyu siyo mwenzetu tumtowe. Vurugu hizi tunazofuatilia mpaka mwisho.
Kwani chadema wao mtu akikosowa hawasemi sio wao uliza vizuri. Waliofukuzwa na kuuliwa chadema. Huyo slaa mwenyewe ni mnafiki
Lisu okoa nchi hiii ,kalia kiti
Lisu nimemwelewa sana,
Hapo nimekuwa follow wa Mbowe muda mwingi kwa busara ,
Uongozi Wake,lakini kwa wakati huu tunamhutaji Lisu Ili tuvuke hapa ,
LISSU NI mukweli sana sio muongo haongeki waTANZANIA mulijue Hilo ili kujilidhisha mfatilieni LISSU mtakuja kuniambiya nika pale ushilika TUKUYU
Lissu one will be the President of this lost nation for so long.
*mimi ni mwanademokorasia mtiifu muoga ila kwa lisu kura yangu hii apooo√*
Lisu umeishi na Lisasi 16 hutaogopa Risasi za wajinga wanaotumikia CCM badala ya wanachi bunduki tununue sisi kwa kodi zetu mishahara tuwalipe bado Rasisi mtupige na maji ya upupu haki kuna siku Askari wa tanzania watahamia kwenye kambi za Jeshi ili wawe Salama na huo wakati wanautengeneza wenyewe
Mwenyekiti lissu katibu wake heche na makamu boni yai aise hahahhaha chafa kitakua kama kenya
Apa katibu awe mwabukusi
@@Seifkassimmkumba 😂😂
Lisuuuuuuu ndio mwenyekit
Lisu. Tupo nyuma yako😊
slaa yani ulishakubali kuhongwa na bwana magufuli una babaisha babaisha yani kwa akili yako unataka wakupe nafasi ya kugombea urais wakati hauna uwezo hata ubalozi walikupatuu lakini kiwango chako ni chauenyekiti wa mtaa.
Hujalazimishwa kumsikiliza Dr.Slaa! Kaa kimya au unawashwa kiungo gani kumsikiliza!?
Kweli unamjua sinahakika kama unamjua
PHD Hana akili, Katibu mkuu mstaafu CDM hajui kitu? Mbunge wa kwanza wa upinzani nchi hii hana uwezo? Dahhh haya bhana
😅😅😅ccm hawatalala
Ccm wanahitaji mpinzani mkorofi kama lisu,mkweli na mpenda haki,nikweli lisu Hana subira lkn ndie anaye FAA Kwa siasa za sasa,ni siasa za kunyan'ganywa hadharani.nimekuelewa sana slaa
nawaambia ukweli lisu akipewa uonyekiti kutatokea shida kwenye nchii hii nawambia kwenye nchii hii inatakiwa mtui mwwnye maamuzi ya uvumilivi akipewa lisu nimtuu mwenye maamuzi magumu sana tena s haraka mtaona yatakao tokea
@@adoniemanuel908ndiyo tunamtaka
@@adoniemanuel908Lissu hayuko Serikalini. Hana dola, ataletaje shida? Nchi hii ina Serikali! Haiendeshwi kwa makelele!!
@@1961nungwi hatukatai nchii inaongozwa nasheria ila kunawakati inatokea sinto fahamu mboe anatwa ikulu mambo yanaenda huyuu huo muda utakuwepo
@@adoniemanuel908ndio tunataka yatokee,tunataka mtu mwenye maamuzi mangumu bila kujali chochote, CCm tunataka wakae pembeni
Mbowe alikuwa na shida lakini angalau alikuwa muungwana, tundu sawa lakini sio muungwana hana busara kabisaaa.
Ndo mtu anayehitajika KWA sasa 😂😂😂😂😂
Busara ipi shenzi ninyi ata Yesu kuna kipindi alileta ukali ndio mambo yakaenda
Kwa tulipofikia hatuhitaji busara za majitaka😂😂
lisuuuuu mwighwai yuko juuuu Sanaa,apewe chama akiongoze,yani kapigwa risasi kisa upinzan yani chama alfu akiue,sio kweli,mwenyewe nampigia kura
Wajumbe msifanye makosa mchagueni Lisu kuwa Mwenyekiti
Lisu anaweza kuongoza
Ila na we dokta ulikuwa unatisha kama njaa mzee wa dokment hai mungu tusaidie mi nawahitaji wote nawapenfa sana mungu atusaidie
Mbowe akigombea ntaamini anatumika na CCM.
Hata mim ntaamin ivyo maana ameishiwa mbinu za kupambana na ccm hadi kasababisha inafanya lolote baya bila hofu.Anatoa matamko hewa hadi wameshamdharau
Kwa Siasa za Sasa za Nchi yetu Lisu ndiye anafaa kuongoza Upinzani
Gari ina gia nyingi, na kila gia ni ya muhimu. Sasa kwa nini gia moja ikatae kuiachia gia yenye uwezo kupanda mlima wakati gari linapanda mlima? Gari halitaporomoka?
Umenena Dk slaa.
Mzee Dr. Slaa ni mzalendo wa ukweli. Anaangalia misingi na siyo watu! Yes, Chadema imepoteza mwelekeo kwa kurudi kwenye drawing board na Lissu ndio Musa atakayetuongoza!
Watembee na upepo kama Lissu anao wampe M/kiti na Mbowe awe makamu. Kumbukeni mfano wa Russia ikihakikisha inasimama jinsi Dmitry Medvedev na Vladimir Putin walivo badilishana bila kujali nani alishakuwa bosi wa nani.
kuna uchaguzi cuf zikiwa zimebaki siku nne tu lakini chadema akuna hata tarehe lakini kila mtu homa
Kwa maana hiyo mbowe alikuwa anakipoteza chama? Duh uchawa huo😢😢
niwakati chadema kupata mwenyekiti Imala kama Lisu
Wasije wakafanya kosa wakamuengua Lissu, wamuache Mbowe. Tutakihama chama sisi wananchi tusapoti wengine
Mimi naona chadema sasa kitakuwa chadema ya kitaifa badala ya chadema ya kifamilia.
CCM wanamwogopa sana Lissu
Mmmj huyu mzee kweli amechoka akili, ccm hailali kwa nini huyo mzee ana shida laana ya kanisa bado inamtafunatafuna ndio anahangaikahangaika.
Utaelewa
Tunakushukuru mweshimiwa mbowe Kwa utumishi wako
Hakikaa
Lisu kichaa
Wewe mwenyewe msaliti umesahau
Ni kwel lisu akisnda uwenyekiti wa chadema ,upande CCM watakua hawana aman mda wte maana wanamjua msimamo wke tofaut na mbowe ,maana lisu ahongeki maana CCM walishazoea kuonga onga vyama kipind wanaona vipo makin sana ktk mambo ili watulie, ila akiingia lisu yaan wataisoma no. Ndio maana hawataki lisu ashnde wenyekit
Ccm na chadema wapi na wapi??
Je wananchi mtatoka Lisu akisema mtoke?
Slaa nichawa wa Lisu
Demokrasia ianzie ndani ya chama.
Ukiona commemts za kwamba Lissu hafai ujue ni mamluki wa CCM. Ni kweli Lissu akishika uenyekiti CCM matumbo joto! Nashangaa CCM ilikuwa na mkakati wa kuisambaratisha CHADEMA kwa propaganda kwamba, "chama gani m'kiti anakaa miaka 20." Hawakutegemea! Sawa mlivotaka tunampumzisha Mbowe, tunamuweka Lissu. CCM hoi tena kwani Lissu hahongeki na hamung'unyi maneneo. Mwizi anamuita mwizi tena hadharani bila aibu. Hapo sasa CCM itatafuta kona ya kujificha Lissu akiwa m/kiti.
Wanaompamba Lissu ni CCM!!
NDO MNAVYO JIDANGANYA.😅😮😮
Lissu akipata nafasi yawenyekiti ccm akukaliki
Ndiyo amekwisha shinda kabisa
Kama. Watoto. Wa tundu lisu kuwa nje hayo ni maisha yake binafs kwani sheria inazuia wapi acha wivu we lifisi
Kwa nini tusilale Wana ccm mkumbuke tulisha muasha kwenye uraisi
Maono na malengo ya lieu kuondokana na Hawaii wadhalimu CCM tumpe ushirikiano Bila unafiki na uchawa
Mbowe apishe
Mbowe amechoka atupishe
Lisu oye
Lazima kuwe na changamoto kali
Silaa, na Lisu hakuna kiongozi hapo
Ongeza geto lako kuku wewe
Mbowe apishe. Limekat kimya. Pisha nfas. Hiyo. Uwezo wake. Umefikia hapo. Achia. Nfas. Ije. Nguvu mpy. Kama. Lisu
Pambana lissu tunakutegemea
Kiboko ya ccm ni lissu
Katba mpya
Atafanya nn nilazima wananchi tuwe tayari kwa mapambano
Tupatie kipimo cha busara achana nalisu we lifisiemu
Mbowe ni mtu mzima naamini atakubaliana na wengi
Chadema inarudi ulingoni
Mgombea Uraisi Mwabukusi, Mbowe,na Slaaa Kura zako za Maoni wp?
Ccm wanaingilia uchanguzi wavuruge ili lisu asishinde
Huyu Slaa aongelee ccm ndio kwa wanafki wenzake
Tundu Lissu watoto wake wapo nje ya Nchi na watanzania tumpe kura ya Urais itakuwa watanzania machizi
Chizi ni wewe peke yako sio Watanzania wote
Kama wapo nje ya nchi tufanyeje!! Ulitaka wawe kwako!!
Hata unaowaamini watoto wao wapo nje
@AmaniKanyika-b6p Nani ?
kwani huyu aliopo unaona yy ximo? pesa ya sikukuu au sherehe ya uhuru wa Tanganyika inschukuliwa inapelekwa Zanzibar ety maendeleo.
swali la kujiuliza kwa nini lissu anapendwa na ccm? na kwa nini mbowe anapingwa na ccm? ukiona adui anakusifu jitafakari! wewe slaa ni mnafiki mkubwa tena huna hadhi ya kusikilizwa
Kwahiyo na ww ulikuwa na siasa za kinafiki kama wanasiasa wanafiki ww na lissu ndio wanafki wakubwa wanasiasa wasio wanafiki walidi kaburu kigoma malima seifu sharif na zitto kabwe nyinyi wote wa oposition mliobakia wanafiki na walafi ww sindio uliyokataa kugombea uraisi mpaka ulipwe maslahi yako ya ubunge acheni pumzikeni tunahitaji wapya
Kichaneli chakisenge kumanyoko mikundu gya mamayenu, sasa mnatuletea misautisautiyenu hapa ili iweje? Lichannel gani halina ustaarabu? Nyegezenu na manyegeyenu kabisa ah!
Wenje aache uchochez lisu ni mkweli
Hivi ulijiuliza slaa kabla hujakurupuka bado tu hujaelewa watz wengi washawaelewa samia hakuna ataemuweza hilo futa na hatuchaguwa wagonjwa tunachaguwa mtu anaejituma kama mama samia juu ya kutumia vijana wenu na makanisa kuhujumu lakini tambueni dua za watu wema wazalendo wa nchi sio vibaraka ndio zitazojibiwa ulishakimbia vyama vyote na hata kanisa nani ataekusikiliza labda punguwani
Wew hujielewi usisemee watu semea tumbo lako na familia yako Kama mnampenda Samia Msione kila mtu ana akili Kama zenu.Tulieni Lissu aje kuwakata maini
Tz itawekwa kwenye maajabu ya dunia ikiwa tundu atakuwa rais wa nchi, anafaa huko huko chadema sio uongozi wa nchi, hatutaki majaribio kwenye uongozi wa nchi.
Huoni kama hunamsema nakuponda mbowe?