PART 1: TUNDU LISU AMVAA DKT. SLAA/"NI MJINGA"/ALIYENIPIGA RISASI SIO MAGUFULI/ DEREVA WANGU...

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 11 окт 2024

Комментарии • 839

  • @petersulle1937
    @petersulle1937 Год назад +3

    Hapo ndipo unapojua kwamba Mungu asipokubali huwezi kufa hata iweje? Tujifunze Mungu yupo na anatenda miujiza. Pole sana my Presda.

  • @nestor384
    @nestor384 Год назад +17

    Mhe. Dr. HE.Magufuli Rais bora wa muda wote. RIP Champion
    Pole bwana Tundu Antipas Lissu

    • @minicooper9642
      @minicooper9642 Год назад +2

      Sababu uliaminishwa yupo na wanyonge sio?
      Kipi kakifanya cha kumfanya awe Rais bora?
      Haya pesa zimekamatwa China nani alipeleka?

    • @youngsachafurniture5482
      @youngsachafurniture5482 Год назад +2

      Ubora upi huo wa jpm

    • @nestor384
      @nestor384 Год назад +1

      @@minicooper9642 amini unachoaminishwa pia.. maana inahitaji zaidi ya muhula kukuelekeza ubora wa hayati Dr Magufuli John. watoto upeo mdogo sana!..

    • @nestor384
      @nestor384 Год назад

      @@youngsachafurniture5482 amini unachoaminishwa pia.. maana inahitaji zaidi ya muhula kukuelekeza ubora wa hayati Dr Magufuli John.

    • @minicooper9642
      @minicooper9642 Год назад

      @@nestor384 ndio uache kucomment upumbavu wako, kubwa zima hovyo, we unajua familia ngapi zinalia mpaka leo sababu ya mpumbavu mmoja kama huyo, alafu unafungua kundu lako eti Rais bora, sababu upo zako vijijini huko unasikiliza Radio alijisifia ujinga wake sio

  • @enockheche5917
    @enockheche5917 Год назад +15

    Huyu ni mwandishi bora kwa interview ambazo nimewahi kuona… he is calm and very smart

    • @TamuzaKale
      @TamuzaKale Год назад

      Anatoa fursa kwa muhojiwa wake!

  • @husseinchambau3015
    @husseinchambau3015 Год назад +4

    Mtaani uko pole ndugu yangu mshukuru sana mungu pia unahaki ya kuishi na kuna jambo la mungu juu yako mpaka utimize

  • @beatricehenry6776
    @beatricehenry6776 Год назад +3

    Magufuri oyeee eeeeeeee daima tutakuhenzi pumzika , pumzika, pumzika.Alleluiya

  • @BongoCryptos
    @BongoCryptos Год назад +5

    Magufuli alikuwa rais bora sana.

    • @alfredcharles8029
      @alfredcharles8029 Год назад

      Mbwa sana na ukazikwe nae kaburi moja

    • @BongoCryptos
      @BongoCryptos Год назад +1

      @@alfredcharles8029 Huo ndo ukweli, Yule alikuwa Rais kwelikweli.

  • @georgembise7234
    @georgembise7234 Год назад +19

    WAPINZANI NA TUNDU LISSU NAWAMBIENI UKWELI SIO raisi ata kidogo mkafika popote KTK UCHAGUZI kwa kumponda maguful,MAGUFUL anawatu wengi SANA SANA SANA tupo tar kuibwaga ccm na mafisadi wakikwete iwapo mtabeba sera za maguful na kuacha kumponda!!bila hilo ni zero!!

    • @eliajimmy95
      @eliajimmy95 Год назад +2

      Magufuli anawatu wengi wajinga wasiofuatilia mambo na wale walionufaika na udikteta wake lakini waelewa wa mambo hawamsapoti .Sasa subiri mikutano si imeruhusiwa walioshindwa kuelewa kwa sababu ya kuzuiwa kwa mikutano ya upinzani wataelewa vizuri sana.

    • @joshualeonard1375
      @joshualeonard1375 Год назад +1

      Magufuli alikuwa kiongoz mbaya kuliko viongozi wote waliowahi kutawala tz mikono yake ilijaa damu za watu ,ndugu zetu walipotezwa wengine kuuwawa mchana kweupe kama mawazo geita . Raisi angalau aliyekuwa na utu ni kikwete na sasa hivi mama samia

    • @bobjulieoneheartband
      @bobjulieoneheartband Год назад

      @@joshualeonard1375 una Matatizo makubwa Mnoo hebu Muombe Mungu Akusamehe Kuna kutu hujui

    • @avitusmichael5
      @avitusmichael5 Год назад

      @@eliajimmy95 we ni fala tena msengerema

    • @avitusmichael5
      @avitusmichael5 Год назад

      @@joshualeonard1375 mbaya ni mama yako aliyezaa taahira akalilea badala ya kuliua likapunguza idadi ya wajinga nchini

  • @Alimahrooi
    @Alimahrooi Год назад +10

    Pole sana mheshiwa mungu anakupenda kwa kupigania haki,nakuombea maisha marefu inshala.

    • @mayowangimba9553
      @mayowangimba9553 Год назад

      Mungu ni nani? Acheni ujinga wa kufananisha mtu na muumba wa vyote,

  • @katongomnkolongo135
    @katongomnkolongo135 Год назад +7

    Mungu wetu ni wa neema sanaaa ndiye anayekujua zaidi sisi wengine hatuna uelewa na jambo lolote ndomana kuna wengine wanakutusi lkn ukweli ata mlio wenyewe wa bunduki mtu anakufa kabisa ile sauti tu aisee barikiwa sanaaa

  • @ibrahimaziz7158
    @ibrahimaziz7158 Год назад +6

    This is My favorite station for the interviews pole sana mhe lissu

  • @osodowilberforce2321
    @osodowilberforce2321 Год назад +18

    Mhe. Lissu,sitachoka kukuambia pole.Mungu akupe maisha marefu usaidie Watanzania.

    • @saidasimba9979
      @saidasimba9979 Год назад +1

      Nmh kumbe unasubir msaada ninyi mnafanya afrika isitoboe wewe unawasaidia wengine nini

    • @revocatusmagezi2235
      @revocatusmagezi2235 Год назад +1

      kajiunga na taasisi za wazungu zinazosaport mashoga za rainbow mimi hapo kanivunja moyo kabisa. kizazi chetu kupo hatarini

    • @jamesmasome359
      @jamesmasome359 8 дней назад

      Nyambafu zako hujitambuwi...

  • @geraldhaule9145
    @geraldhaule9145 Год назад +2

    Pole sana,wewe ni mtumishi wa Mungu,usiogope kusema kweli.Mungu upendezwa na kweli iliyopo moyoni.Tunakuombea

    • @thomasialute7828
      @thomasialute7828 Год назад

      Hakika mungu alikuwa hai lissu wale wote waliofanya haya Mambo siku watakufa kama mbwa

  • @malingazeboss9351
    @malingazeboss9351 Год назад +17

    Mungu wetu aliye hai tunakila sababu ya kusema ahsante,,, ila shughulika na waliomuumiza Tundu Lisu 😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @sonsonsam4936
    @sonsonsam4936 Год назад +70

    SIKU UMEPINGWA RISASI UNASAFIRISHWA NILIJIFUNGIA CHUMBANI NA KUKUOMBEA SANA

    • @hildamhina5305
      @hildamhina5305 Год назад

      Asante maombi yako MUNGU ameyasikia

    • @godlistengodlisten7552
      @godlistengodlisten7552 Год назад

      HAKIKA ULICHOKIFANYA KILIFANYWA NA WENGI WAPENDA AMANI NA KAZI NZURI ANAYOIFANYA LISU.

    • @kabulakmusa3131
      @kabulakmusa3131 Год назад

      Yan Mimi pia baada ya kuona kupost kuwa kapigw risasi nikamwambia mtu nilikuwa nae kuwa lisu kapigwa lisasi na yupo hai akasema ni maneno tu keshakufa uyo .nikamjibu hawezi kufa na hata kufa Leo Wala ksho tulibishana sNa lakin nikaingia room nikaomba uwez amin .

    • @nururaymond5
      @nururaymond5 Год назад

      Rest in Peace. Mugufuli Apumzike kwa Amani, tutaendelea kumpenda ana Mengi mazuri zaidi ya Mabaya

    • @jemamhagama4978
      @jemamhagama4978 Год назад

      @@kabulakmusa3131 na Mimi siku amepigwa lisasi niliwaambia wenzangu wakaniambia usisemeseme unaweza ukakaa ndani ! Watu walikuwa kimya sana kwa kuogopa kuliongelea swala lake /

  • @simonsadala2386
    @simonsadala2386 11 месяцев назад

    Daaaaaah pole sanaaa mh ashukuliwe Mungu wetu ambaye yeye ndo aliamua uwe hai

  • @mkudesimba9518
    @mkudesimba9518 Год назад +18

    Magufuli aliwahi kuwatetea wanyonge ili wasikae lockdown !

    • @festomnyalu4833
      @festomnyalu4833 Год назад

      Sasa lockdown inahusiana nini na mauaji ya kusudio la m2?sikiliza hoja ndipo uchangie mada toa unazi tizama angekuwa babaako gapigwa lisasi badala ya kupambana kihoja ungejisikiaje?

  • @mbwilizastanslaus4777
    @mbwilizastanslaus4777 Год назад +1

    Nimekuwa nikifuatilia mahojiano ya Mhe. Tundu Lissu na waandishi wa vyombo mbalimbali vya habari. Wajina wangu Stanslaus nimekukubali sana kwa maswali yako. Big up sana.

  • @alfredjohn5693
    @alfredjohn5693 Год назад +5

    Hakuna kitu napenda kama kumsikiliza tundu lisu! Asee! Mungu azid kumpigania maisha yake!

  • @edoyoseph4606
    @edoyoseph4606 Год назад

    Pole sana Mh. Lissu umepitia mateso makubwa sna Mungu akupe moyo WA msamaha

  • @bakaramourshaaban
    @bakaramourshaaban Год назад +3

    Mshukuru Mungu usiseme kama ungetibiwa hapa pia ungepona kwasababu Mungu ndio Alilitaka ubaki hai

  • @beatricehenry6776
    @beatricehenry6776 Год назад +5

    Mwanaume gani unamwongelea marehemu?!?! Inaonyesha jinsi bado mfalme wetu anavowanyima usingizi au unahisi atafufuka?! Ama kweli Magu wewe Ni Jembe

    • @remmyalfred6736
      @remmyalfred6736 Год назад

      Kwenda na ukabila kwako kaabudu makaburini huko sasa. Mijitu mingine mikatili haina hata huruma stupid

  • @muyajuma6278
    @muyajuma6278 Год назад +10

    Namuomba mwenyezi mungu ajaalie hata hiyo risasi iliobaki itoke 😭😭😭😭 nimeli. Inaumiza sana saaana

    • @expert5898
      @expert5898 Год назад

      Pole Muya... Mungu ni mwema atakaa sawa mwamba.

    • @lindambilinyi6253
      @lindambilinyi6253 Год назад +1

      Hunishindi mm kila nikimsikiliza Lisu namchukia magu wallah Mungu anisamehe

    • @shabanadam4476
      @shabanadam4476 Год назад

      @@lindambilinyi6253 duhh 🙄

    • @amosicronery7730
      @amosicronery7730 Год назад

      @@lindambilinyi6253 !

  • @standardtv3494
    @standardtv3494 Год назад +2

    Mungu mlinde huyu jamaa aishi sanaaa haikuwa rahisi hata kupona ulikuwa nae.....Amen

  • @denisrukangula2227
    @denisrukangula2227 Год назад +11

    Huyu mwandishi very smart

  • @deborahcharles79
    @deborahcharles79 Год назад +8

    Magufuli ajauwa watu wala akumpiga mtu Rissington ila wapigane wenyewe wamsingizie magu

  • @renatussilvesta2061
    @renatussilvesta2061 Год назад +7

    CCM inawatu mashetani san kwakua haikuwakuta wao wanafrai2 nampongeza sana Samia kwamaliziano Mungu akubaliki mam Samia

  • @humphreyvidonyi253
    @humphreyvidonyi253 Год назад

    My favourite mtangazaji dar 24

  • @pavillioncry5241
    @pavillioncry5241 Год назад +26

    Best interview in the world

  • @linkreuben3108
    @linkreuben3108 Год назад +5

    Tukio la risasi la lisu lina mashaka makubwa, ipo siku ukweli utakuja kuwa wazi. Anayoyaongea hayaendani na tukio lenyewe! Risasi zilipigwa kushoto ameumia kulia??!!
    KUSHANGILIA KIFO CHA MAGUFULI anatupa wasiwasi mwingi; isitoshe yeye ndiye alikuwa wakwanza kutoa taarifa za kifo cha JPM!!!!!!
    MUNGU ATAHUKUMU tukiona!

    • @saidzuberi6097
      @saidzuberi6097 Год назад

      Ulikuwepo kipindi anapigwa izo risasi na unajua sababu ya kupigwa upande tofauti?? Na mwisho mungu atahukumu mala ngangi make mwenye kosa mungu kasha muhukumu siku nyiiingi we mwenzetu ulikua dunia ipi??

    • @linkreuben3108
      @linkreuben3108 Год назад

      @@saidzuberi6097 uniambia wewe kama ulikuwepo! Lisu alikaa sit ya abiria mbele, matundu yalisasi yalionekana kwenye mlango upande aliokaa, sayansi gani iltumika hapo?! Ukweli utakuja julikana tu!!

    • @katemachanda7035
      @katemachanda7035 Год назад

      @@saidzuberi6097 Kwa hiyo we ndio Mungu msaidizi kwamba Magufuli kafa kumlipiza kisasi Tundu Lisu??? Hehehe very stupid mind.

  • @wilsonmagoha1198
    @wilsonmagoha1198 Год назад +15

    mungu ni mwema kila wakati kaka💪💪💪

  • @beatricehenry6776
    @beatricehenry6776 Год назад +4

    Magufuri oyeee daima be mbele mwisho marufuku

    • @gracemsalila7735
      @gracemsalila7735 Год назад

      Alifanya vizuri sana ila kupigana malisasi ni mbaya sana

  • @MagdarenaLunyalula
    @MagdarenaLunyalula 9 месяцев назад

    Mungu aendelee kukulinda mh tundu lisu waliokupiga mungu atawalipa

  • @emmanuellaston5446
    @emmanuellaston5446 Год назад

    Interview nzuri Mungu akupe maisha marefu

  • @CyprianBCTanzania
    @CyprianBCTanzania Год назад +4

    Mauti sio mpango wa Mungu, Uhai ndio hasaa Mpango wa Mungu, Mhe. Lissu #Ishi na Mungu yu pamoja nawe.

  • @robbiejerrson7437
    @robbiejerrson7437 8 месяцев назад

    Kwa jinsi unavyosimulia tu Mh. Tundu Lissu ni wazi kuwa uliumizwa sana Mimi mpaka naogopa na kutetemeka. Na kupona kwako na kuwa hai leo na kisimulia haya, kwa kweli ni muujiza na bila shaka Mungu ana kusudi maalumu na wewe. Aliyekutendea haya, ataishi kwa taabu na majuto maisha yao yote. Na bila shaka hata wao watakufa kifo cha ajabu. Auae kwa risasi au upanga, naye atakufa kwa risasi na upanga huohuo!

  • @prophetjohnmasso186
    @prophetjohnmasso186 Год назад

    Daah rafiki yangu,nakumbuka tulimlilia sana Mungu namtukuza sana kwa neema hii

  • @shazceo6853
    @shazceo6853 Год назад +10

    Kabla ya Magufuri mbona kulikuwa na mambo ya ajabu jmn , Mpumzisheni shujaa wetu JPM🤲✨💪...

    • @winifridakasibu2900
      @winifridakasibu2900 Год назад

      Kwahiyo na ss tuanze kuoji Raisi jpm alikufaje yote ni mipango yamungu hakuna atakae hishi milele tunakaria siasa njaa inataka kuwaua wanyonge

  • @bonabonala5559
    @bonabonala5559 8 месяцев назад +1

    mungu ni mwema akurinde uhai wako mungu aupiganie ingewezekana uhai wangu nikupe wewe tundu lissu wewe uishi mimi nife lissu ubaki duniani

  • @rahmasalim1989
    @rahmasalim1989 Год назад +3

    Watanzania wengi hawakuelewi Mr. Tundulisu,lakini naamini ipo siku watakuelewa tu. Upo vizuri sana. MUNGU azidi kukusimamia na kukulinda Insha'Allah.

    • @magdalenapaulo1776
      @magdalenapaulo1776 Год назад

      We Rahma kwel ww ni muislam????huyu jamaa alisapoti ushoga unasema hatumuelew eti yupo vizur

    • @ernestlaiza1176
      @ernestlaiza1176 Год назад

      @@magdalenapaulo1776 lisu hajawahi sapoti ushoga fala weww

  • @sautiyawanyonge2511
    @sautiyawanyonge2511 Год назад

    Nimemkubali mtangazaji uko vizuri sana

  • @rasheedkhalifa8482
    @rasheedkhalifa8482 Год назад +6

    The best interview 🔥🔥🔥

  • @kakaaignas3675
    @kakaaignas3675 Год назад +4

    Mwandishi uko smart Sana kwakwel

  • @ramadhanchenga4606
    @ramadhanchenga4606 7 месяцев назад

    Mungu ni mwema kabisa nimejifunza mengi sitamtendea mtu ukatili maisha yangu yote

  • @mamylnkuzi8482
    @mamylnkuzi8482 Год назад

    BWANA YESU APEWE SIFA SANA.PORE. TUNDU.MUNGU AMEAMUA KUKUPA UHAI TENA ANAMAKUSUDI YAKE CHA MUHIMU.WEW SASA HIVI MTUMIKIE MUNGU TUUU ACHA YOTE UFUATE MSALABA WA YESU....Hakika ndio lengo lake .Ubarikiwe sana.

  • @hezronsanga5197
    @hezronsanga5197 Год назад +1

    Mungu ni mwaminifu sanaa, Wamekufa wao wewe mzima . Hakika kweli ni miujiza

  • @alfredcharles8029
    @alfredcharles8029 Год назад

    Ahsante Dar 24

  • @mkwenyachristopher9310
    @mkwenyachristopher9310 Год назад +7

    Daah Ila MUNGU amekupendelea zaidi ya watu wote ....Omba sana kila siku MUNGU AMEKUPENDA SANA

  • @bonabonaza5066
    @bonabonaza5066 Год назад +6

    Pombe iko jehamu anasota lissu upo hai mungu atakuereka pema peponi Amina

  • @RenatusDavidEzekiel
    @RenatusDavidEzekiel Год назад +1

    Pole sana bg

  • @petersakilu
    @petersakilu Год назад +1

    🔊🔊🔊🔊🔊🔊📣📣📣📣 lisu is my president ✌✌✌

  • @zinjibaryetu8451
    @zinjibaryetu8451 Год назад +2

    Lissu ni quality leader and politician ambae Tanzania inafaaa imthamini sana sana... one in a million

  • @kennethjunior6071
    @kennethjunior6071 Год назад +13

    CCM kwa kwel Kuna mashetani, ila mungu ni mkubwa siku zote akuchimbiae shimo atazikwa mwenyewe. In God we trust 🙏🙏💪💪

    • @hildamhina5305
      @hildamhina5305 Год назад +1

      Kwakweli yukoap sasa yan sijui kaenda na watu wake wasiojulikan

    • @trophywilson7211
      @trophywilson7211 Год назад

      Hakuna chama kisicho na shetani ndugu,siasa mchezo Mchafu hao uwaonao Wazuri subiri wakamate Vyeo ,Usijute,

  • @alexsmongo1106
    @alexsmongo1106 Год назад

    Pole sana kamanda wetu mungu akulinde aseeeeeeeeeeee

  • @SaidSaid-ef8md
    @SaidSaid-ef8md Год назад +28

    I love this man, very strong person 💪🏿

    • @SaidSaid-vu8ks
      @SaidSaid-vu8ks Год назад

      Mimi sìjuì kìzùñgu, imeandikwa nini

  • @alhadajjmohammedsmith9042
    @alhadajjmohammedsmith9042 Год назад

    Tulishasema/tunasema sana tatizo lenu Viongozi wa Vyama vya Upinzani ni Wanafiki sana, hamna Umoja wa Kweli, hampendani, hamna Shukran, Wapingaji na wakosowaji hata Mazuri, Wabaguzi, Ukanda na Ukabila na Udini, Vibaraka wa Wazungu. Msipobadilika mtazidi Kuumizana/Kuuwana na mtakuwa Wasindikizaji tu, Kuingia Ikulu itakuwa Ndoto.

  • @samwelmwanga254
    @samwelmwanga254 Год назад +1

    Aiseee pole sana Tundu Lussu

  • @zackrichard3617
    @zackrichard3617 Год назад +1

    Moja kati ya interview bora kabisa

  • @agustinocharles2650
    @agustinocharles2650 Год назад +25

    Inaumiza lakini Mungu akupe neema ya kusamehe na kusahau.

  • @felistajilala3630
    @felistajilala3630 Год назад +1

    Pole sana mweshimiwa ila MUNGU wetu tupo kazin ninaimani hawana amani leo mpaka sasa

  • @yoneryero6862
    @yoneryero6862 Год назад

    pole sana lisu mungu ni mwema

  • @asueddy1465
    @asueddy1465 Год назад +5

    Watu kama Tundu Lissu wamebakia wachache sana duniani...Jah Bless

  • @godblessluvanda9808
    @godblessluvanda9808 Год назад +3

    MUNGU mwemaa Sanaa,,,miujizaa yake tumeiona🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @donboscolunguya2936
    @donboscolunguya2936 Год назад +1

    Safi sana mh. Lissu MUNGU mwema auae kwa upanga atafuka kwa upanga pia. MUNGU bado ana makusudi na wewe

  • @CutePere
    @CutePere 8 месяцев назад

    Yesu akulindeee kiogzi mwema

  • @mwasokambingela9312
    @mwasokambingela9312 Год назад +1

    Kaka ur the best👏👏👏👊🙏

  • @mokiwaunderson7052
    @mokiwaunderson7052 Год назад +2

    Lisu nakupenda sana Mungu ni mwema kwako kuliko wanadama n.a. hii ndio ule usemi Mungu ashindwi na kitu n.a. cha Mungu ndicho sahihi kuliko ya mwanadamu

  • @revocatusmagezi2235
    @revocatusmagezi2235 Год назад +78

    Lisu waliowengi tunampenda Magufuri sababu alifanya kazi ilioonekana wazi, sio maneno haya ya ukatiri, kuua watu na mabaya yaliyotokea wakati wake hatukuyapenda ila yalikuwepo tangu zamani na pengine na leo yapo japo ktk utawala wake yalikuwa mengi.
    Hata yeye aliwawekewa sumu afe, so ukiwa mwanasiasa haya kukutokea ni kawaida, maana wengi wanaitaka nafasi yako au hawataki ufungue uma masikio uovu uendelee kuwepo.
    ila sisi Magufuri kwetu is the best president ever kuliko wote mpaka leo. aliiba sawa, ~alionea sawa ,~aliua sawa,.
    tunaangalia maendeleo zaidi tunayofaidika nayo hizo hasara na maumivu tunawapa pole, ila kwa kuumia kwao na kwako sisi tumepata maendeleo. pole Lisu ila mimi binafsi siombei upate urais wala cheo chochote maana hayaaurafiki uliyojiunga nayo ya kukubali mapenzi ya jinsia moja mimi siombei wewe ututawale hata kidogo. hii rainbow unayoipenda hii wewe hutufai kwa sasa, na mpo wengi nimeona bob wine wa Uganda na zitto kabwe wetu naye amekuwa rafiki wao nyie sio watu wazuri hta kidogo

    • @mnasaeules6857
      @mnasaeules6857 Год назад +5

      Wee ni msenge Kuma wewe

    • @stewartmbeselambesela909
      @stewartmbeselambesela909 Год назад +12

      Alitaka kumuua Lissu akashindwa, walipotaka kumuua yeye wakafanikiwa. Tumwogope Mungu, hamna wa kumuonga. Maendeleo ni mazuri ila haya muongi mtoa uhai ambao ni muhim kuliko maendeleo

    • @JJ-fb9jp
      @JJ-fb9jp Год назад +5

      Duh aisee unaongea pumbu tupu, unaangalia maendeleo kwa aliyeua na kutesa

    • @antonykomba6631
      @antonykomba6631 Год назад +20

      Comment yako ni Kali Sana na Ina ujumbe mzito Sana kuliko comments zote humu. Ubarikiwe sana

    • @ahmedhamis
      @ahmedhamis Год назад +7

      Jua ivi , maumivu ktk siasa ikiwemo vifo,utekaji,ufisadi,hata unyanyasaji na mengine mengi sio jambo la kujivunia...maisha ya watu na utu wao ni Bora zaidi kuliko barabara za kupandiana na ndege.mungu siku Moja atakuonesheni mfano wa utawala bora.sikutukani maana hujui ila naomba ubaya huo utokee kwako .

  • @sashawambura
    @sashawambura Год назад +5

    Endelea kumshukuru Allah Subhanahu wa ta'ala..Mungu aliye hai atakulipia tu..bado tunaumizwa sana tunapo kuona hai...Allah Akbar

  • @babazungu3180
    @babazungu3180 Год назад

    Pole sana tena sana ,adhabu ya kila mbaya malipo yapo

  • @kichambati
    @kichambati Год назад +26

    Ila jambo nikimkuta mtu mwingne tunaona jepesi omba yasikukute kma haya ya mzee lisu mungu aendelee kukulinda baba

    • @victorbugobola2276
      @victorbugobola2276 Год назад

      KABSA......Bora kusikia kwa jiran

    • @lulanjamd3886
      @lulanjamd3886 Год назад

      @@victorbugobola2276 Hata kusikia Kwa jilani haifai mambo haya hayafai

    • @victorbugobola2276
      @victorbugobola2276 Год назад

      Ni kweli Ndg so poa KABSA sema tunaishi nayo tu.....

    • @charleskibugachannel2210
      @charleskibugachannel2210 Год назад

      @@victorbugobola2276 haya mambo yaliyompata huyu kamanda hayafai kwa mtu yeyote, kila mtu ana haki ya kuishi kwa usalama

    • @victorbugobola2276
      @victorbugobola2276 Год назад

      Nkwel Ndg sema kuna binadamu wamekwa hawana hofu ya Mungu..... KABSA

  • @fatmaalnabhani3609
    @fatmaalnabhani3609 Год назад

    Una bahati baba Lissu si kama wengine waliokosa uwezo wa kuishi Asante mungu

  • @bonabonala5559
    @bonabonala5559 8 месяцев назад +1

    kumbe nawrwe mtangazaji ni mjinga tukio lilikua eneo lina cctv kwaiyo chadema warizitoa cctv haya serekari chungunguzeni wstoe ukwelitujuee ni cdm au ccm na serekari yao????

  • @saidsalum6101
    @saidsalum6101 Год назад +2

    Pole sana mungu mkubwa sana pole ndugu

  • @geraldtarimo3210
    @geraldtarimo3210 Год назад

    Aisee mungu yupo,na aliehusika yupo kuzimu,mungu wakuogopwa sn

  • @mgayan1222
    @mgayan1222 Год назад +6

    POLE SANA KAKA LISU. MUNGU🙏 NI MWAMINIFU. NA MUNGU🙏 NDIYE HAKIMU WA HAKI. NDIYO MAANA HADI LEO UNAISHI NA AKILI ZAKO TIMAMU. MUNGU🙏 HANA MBADALA, ANAONGEA KWA VITENDO.

  • @ufugajiwetu7782
    @ufugajiwetu7782 Год назад

    Pole sana, Lakini samehe Na sahau, pia acha kumzungumzia mwenda zake

  • @BONGOKUMENOGATV
    @BONGOKUMENOGATV Год назад +1

    nimemskiliza vizuri mheshimiwa tundu lissu

  • @farajambaza
    @farajambaza Год назад

    Jamani, pole sana. Siwi mwanasiasa mie

  • @lingsonmwabulanga4764
    @lingsonmwabulanga4764 Год назад +4

    Lisu tunakuelewa sana shida elimu ya uraia

  • @kitutujuma9602
    @kitutujuma9602 Год назад

    Pole Lisu

  • @diversetv74
    @diversetv74 Год назад +1

    Pole sana ndgu lisu!

  • @barakalema4358
    @barakalema4358 Год назад +1

    7sep nilikua dar nilihuzunika sana role model wangu kupigwa risasi

  • @nunuuali5316
    @nunuuali5316 Год назад +11

    Huyu baba jaman Mungu ana makusudio yake kukuweka uwe mzima mpaka leo, wa tz tujifunze kitu kuhusu hii issue ya Mzee Lissu. Tupo na wewe baba InshaAllah

    • @simonyohana8995
      @simonyohana8995 Год назад

      Kampeni ulilindwa na mataifa ulipo maliza kampeni ulinzi ukaisha tuambie utatufanyia nn watanzania habali za kumponda magu hazitakusaidia halafu ujinga si tiketi yakukufikisha ikulu silaa amekuwa katibu wako leo awe mjinga kwako

  • @remigiushaule3302
    @remigiushaule3302 Год назад

    Na nakusikitikia sana Tundu Lisu kwa kumlaumu Mgufuli kila siku eti kwa kusema hakufanya kitu chochote unachoweza kusema kafanya Rais wetu magufuli MWENYEZI MUNGU MKUU Amrehemu Amina.Ni sawa na kusema CCM haijafanya lolote kipindi cha Magufuli maana Magufuli alikuwa chini ya chama cha mapinduzi ndicho kilicho mpe madaraka hayo.Na hata hawa viongozi unaowana hawa alikuwa anapanga nao na kufanya nao kazi.Kwa hiyo kusema Magufuli hakufanya chochote ni kusema CCM Haikufanya chochote jambo ambalo ni la uongo na potofu CCM Imefanya mambo makubwa chini ya uongozi wa rais magufuli hadi leo yanaendelezwa mwenye macho haambiwi ona miladi inayoendelea nchini sasa wewe utasemaje Magufuli hajafanya lolote.Hapo unaonekana wewe mwogo nakushauli uwe mkweli jema sema jema baya sema baya.

  • @thomasmcfadden7181
    @thomasmcfadden7181 Год назад +1

    Pole sana mwamba

  • @benedictmrisho1800
    @benedictmrisho1800 Год назад +1

    Yote mtolee Mwenyezi Mungu aliyependa kukuokoa mwenyewe. Mandela alisamehe yote.

  • @asingizibwejacobkalokola7351
    @asingizibwejacobkalokola7351 11 месяцев назад

    Huwezi linganisha Hayati magufuri na Mungu.
    Hamuwezi kupewa Nchi sababu mnayo jazba , chili na roho za visasi.

  • @athumanlengaro2993
    @athumanlengaro2993 Год назад

    Pole Sana mkuu

  • @sukisa1234
    @sukisa1234 Год назад +8

    Sijui kwa nn unapenda kumkashfu marehem..Yule kayafanya yaliyoonekana na ninaamin ww bwana lisu ukipewa nchi Nina uhakika hawezi Fanya kazi nzur kama aliyoyafanya magu zaidi utatuibia Tu..tupo na mama ametuliza nafsi zetu we shukuru upo hai na umerudi tulia nchi isonge mbele

  • @gannzy-tvoline9277
    @gannzy-tvoline9277 Год назад +1

    Mara zote namwangalia Mwandishi alivyo mtulivu👍💫

  • @azmanmkwambe4917
    @azmanmkwambe4917 Год назад

    Pole sana mh Lissu

  • @erastomwakalukwa3946
    @erastomwakalukwa3946 Год назад +1

    Halafu kuna chizi mmoja aliwaambia watu Tundu lisu ni mtoro bungeni! Leo hii kapotea!

  • @NAHAYOFrancis
    @NAHAYOFrancis 8 месяцев назад

    Pole mh .muumba azidikukutetea

  • @Hamy1109
    @Hamy1109 Год назад +1

    Mungu aendelee kukulinda Mhe. Lissu 🙏

  • @ramdanmbara8500
    @ramdanmbara8500 Год назад +14

    Pamoja na maumivu uliyo yapata pole sana sana ila HUFAI KUWA KIONGOZI WA NCHI HII. Tutaendelea kukuombea

    • @philemonsnyanda9450
      @philemonsnyanda9450 Год назад +2

      Kwanini hafai au kwa kua ni chadema?

    • @eliajimmy95
      @eliajimmy95 Год назад +3

      Kama unaona hafai kaa nalo moyoni mwako usitake kutuaminisha upumbavu wako

    • @frankjoely3313
      @frankjoely3313 Год назад

      Peleka upuuzi huko

    • @fayeezabdallah2217
      @fayeezabdallah2217 Год назад

      Wew hufai kuwa hat kiongz wa familia yak

    • @ifabeach3281
      @ifabeach3281 Год назад +1

      Nakazia hafai ila awe pole kama binaadamu mwenzangu

  • @geraldtarimo3210
    @geraldtarimo3210 Год назад

    Mungu ndie fundimkuu,mtuhumiwa ameendakuwaongoza malaika,

  • @lindambilinyi6253
    @lindambilinyi6253 Год назад +8

    Kila nikisikila interview zako mwamba jins walivyotaka kukumaliza najikuta kumchukia maguful ingawa hayupo hai Mungu anisamehe,,,,lkn kiukwel kipindi za mwenda zake wapinzan walikosa aman kbsaa😭😭😭😭

    • @alimussa2655
      @alimussa2655 Год назад

      Wewe acha tu yule jamaa mungu kamchukua kwa mengi

  • @gilbertmabula8105
    @gilbertmabula8105 Год назад +9

    Lisu nacho mpendea haogopi kusema kweri ona alivyo mchana silaa hata mbowe akikosea atamusema hadhalani

  • @all-victorious2156
    @all-victorious2156 Год назад +3

    Aliyoyafanya Raisi Magufuli hata lisemwe neno baya kiasi gani bado ndio raisi wa kipekee hatowahi kutokea mwingine , hata kama alifanya yeye alikuwa anafanya kwa nia njema.

  • @saidyusuph-iq2wb
    @saidyusuph-iq2wb Год назад

    Mungu n wet woteee amina