@@nestor384 ndio uache kucomment upumbavu wako, kubwa zima hovyo, we unajua familia ngapi zinalia mpaka leo sababu ya mpumbavu mmoja kama huyo, alafu unafungua kundu lako eti Rais bora, sababu upo zako vijijini huko unasikiliza Radio alijisifia ujinga wake sio
WAPINZANI NA TUNDU LISSU NAWAMBIENI UKWELI SIO raisi ata kidogo mkafika popote KTK UCHAGUZI kwa kumponda maguful,MAGUFUL anawatu wengi SANA SANA SANA tupo tar kuibwaga ccm na mafisadi wakikwete iwapo mtabeba sera za maguful na kuacha kumponda!!bila hilo ni zero!!
Magufuli anawatu wengi wajinga wasiofuatilia mambo na wale walionufaika na udikteta wake lakini waelewa wa mambo hawamsapoti .Sasa subiri mikutano si imeruhusiwa walioshindwa kuelewa kwa sababu ya kuzuiwa kwa mikutano ya upinzani wataelewa vizuri sana.
Magufuli alikuwa kiongoz mbaya kuliko viongozi wote waliowahi kutawala tz mikono yake ilijaa damu za watu ,ndugu zetu walipotezwa wengine kuuwawa mchana kweupe kama mawazo geita . Raisi angalau aliyekuwa na utu ni kikwete na sasa hivi mama samia
Mungu wetu ni wa neema sanaaa ndiye anayekujua zaidi sisi wengine hatuna uelewa na jambo lolote ndomana kuna wengine wanakutusi lkn ukweli ata mlio wenyewe wa bunduki mtu anakufa kabisa ile sauti tu aisee barikiwa sanaaa
Yan Mimi pia baada ya kuona kupost kuwa kapigw risasi nikamwambia mtu nilikuwa nae kuwa lisu kapigwa lisasi na yupo hai akasema ni maneno tu keshakufa uyo .nikamjibu hawezi kufa na hata kufa Leo Wala ksho tulibishana sNa lakin nikaingia room nikaomba uwez amin .
@@kabulakmusa3131 na Mimi siku amepigwa lisasi niliwaambia wenzangu wakaniambia usisemeseme unaweza ukakaa ndani ! Watu walikuwa kimya sana kwa kuogopa kuliongelea swala lake /
Sasa lockdown inahusiana nini na mauaji ya kusudio la m2?sikiliza hoja ndipo uchangie mada toa unazi tizama angekuwa babaako gapigwa lisasi badala ya kupambana kihoja ungejisikiaje?
Nimekuwa nikifuatilia mahojiano ya Mhe. Tundu Lissu na waandishi wa vyombo mbalimbali vya habari. Wajina wangu Stanslaus nimekukubali sana kwa maswali yako. Big up sana.
Tukio la risasi la lisu lina mashaka makubwa, ipo siku ukweli utakuja kuwa wazi. Anayoyaongea hayaendani na tukio lenyewe! Risasi zilipigwa kushoto ameumia kulia??!! KUSHANGILIA KIFO CHA MAGUFULI anatupa wasiwasi mwingi; isitoshe yeye ndiye alikuwa wakwanza kutoa taarifa za kifo cha JPM!!!!!! MUNGU ATAHUKUMU tukiona!
Ulikuwepo kipindi anapigwa izo risasi na unajua sababu ya kupigwa upande tofauti?? Na mwisho mungu atahukumu mala ngangi make mwenye kosa mungu kasha muhukumu siku nyiiingi we mwenzetu ulikua dunia ipi??
Kwa jinsi unavyosimulia tu Mh. Tundu Lissu ni wazi kuwa uliumizwa sana Mimi mpaka naogopa na kutetemeka. Na kupona kwako na kuwa hai leo na kisimulia haya, kwa kweli ni muujiza na bila shaka Mungu ana kusudi maalumu na wewe. Aliyekutendea haya, ataishi kwa taabu na majuto maisha yao yote. Na bila shaka hata wao watakufa kifo cha ajabu. Auae kwa risasi au upanga, naye atakufa kwa risasi na upanga huohuo!
BWANA YESU APEWE SIFA SANA.PORE. TUNDU.MUNGU AMEAMUA KUKUPA UHAI TENA ANAMAKUSUDI YAKE CHA MUHIMU.WEW SASA HIVI MTUMIKIE MUNGU TUUU ACHA YOTE UFUATE MSALABA WA YESU....Hakika ndio lengo lake .Ubarikiwe sana.
Tulishasema/tunasema sana tatizo lenu Viongozi wa Vyama vya Upinzani ni Wanafiki sana, hamna Umoja wa Kweli, hampendani, hamna Shukran, Wapingaji na wakosowaji hata Mazuri, Wabaguzi, Ukanda na Ukabila na Udini, Vibaraka wa Wazungu. Msipobadilika mtazidi Kuumizana/Kuuwana na mtakuwa Wasindikizaji tu, Kuingia Ikulu itakuwa Ndoto.
Lisu nakupenda sana Mungu ni mwema kwako kuliko wanadama n.a. hii ndio ule usemi Mungu ashindwi na kitu n.a. cha Mungu ndicho sahihi kuliko ya mwanadamu
Lisu waliowengi tunampenda Magufuri sababu alifanya kazi ilioonekana wazi, sio maneno haya ya ukatiri, kuua watu na mabaya yaliyotokea wakati wake hatukuyapenda ila yalikuwepo tangu zamani na pengine na leo yapo japo ktk utawala wake yalikuwa mengi. Hata yeye aliwawekewa sumu afe, so ukiwa mwanasiasa haya kukutokea ni kawaida, maana wengi wanaitaka nafasi yako au hawataki ufungue uma masikio uovu uendelee kuwepo. ila sisi Magufuri kwetu is the best president ever kuliko wote mpaka leo. aliiba sawa, ~alionea sawa ,~aliua sawa,. tunaangalia maendeleo zaidi tunayofaidika nayo hizo hasara na maumivu tunawapa pole, ila kwa kuumia kwao na kwako sisi tumepata maendeleo. pole Lisu ila mimi binafsi siombei upate urais wala cheo chochote maana hayaaurafiki uliyojiunga nayo ya kukubali mapenzi ya jinsia moja mimi siombei wewe ututawale hata kidogo. hii rainbow unayoipenda hii wewe hutufai kwa sasa, na mpo wengi nimeona bob wine wa Uganda na zitto kabwe wetu naye amekuwa rafiki wao nyie sio watu wazuri hta kidogo
Alitaka kumuua Lissu akashindwa, walipotaka kumuua yeye wakafanikiwa. Tumwogope Mungu, hamna wa kumuonga. Maendeleo ni mazuri ila haya muongi mtoa uhai ambao ni muhim kuliko maendeleo
Jua ivi , maumivu ktk siasa ikiwemo vifo,utekaji,ufisadi,hata unyanyasaji na mengine mengi sio jambo la kujivunia...maisha ya watu na utu wao ni Bora zaidi kuliko barabara za kupandiana na ndege.mungu siku Moja atakuonesheni mfano wa utawala bora.sikutukani maana hujui ila naomba ubaya huo utokee kwako .
kumbe nawrwe mtangazaji ni mjinga tukio lilikua eneo lina cctv kwaiyo chadema warizitoa cctv haya serekari chungunguzeni wstoe ukwelitujuee ni cdm au ccm na serekari yao????
POLE SANA KAKA LISU. MUNGU🙏 NI MWAMINIFU. NA MUNGU🙏 NDIYE HAKIMU WA HAKI. NDIYO MAANA HADI LEO UNAISHI NA AKILI ZAKO TIMAMU. MUNGU🙏 HANA MBADALA, ANAONGEA KWA VITENDO.
Huyu baba jaman Mungu ana makusudio yake kukuweka uwe mzima mpaka leo, wa tz tujifunze kitu kuhusu hii issue ya Mzee Lissu. Tupo na wewe baba InshaAllah
Na nakusikitikia sana Tundu Lisu kwa kumlaumu Mgufuli kila siku eti kwa kusema hakufanya kitu chochote unachoweza kusema kafanya Rais wetu magufuli MWENYEZI MUNGU MKUU Amrehemu Amina.Ni sawa na kusema CCM haijafanya lolote kipindi cha Magufuli maana Magufuli alikuwa chini ya chama cha mapinduzi ndicho kilicho mpe madaraka hayo.Na hata hawa viongozi unaowana hawa alikuwa anapanga nao na kufanya nao kazi.Kwa hiyo kusema Magufuli hakufanya chochote ni kusema CCM Haikufanya chochote jambo ambalo ni la uongo na potofu CCM Imefanya mambo makubwa chini ya uongozi wa rais magufuli hadi leo yanaendelezwa mwenye macho haambiwi ona miladi inayoendelea nchini sasa wewe utasemaje Magufuli hajafanya lolote.Hapo unaonekana wewe mwogo nakushauli uwe mkweli jema sema jema baya sema baya.
Sijui kwa nn unapenda kumkashfu marehem..Yule kayafanya yaliyoonekana na ninaamin ww bwana lisu ukipewa nchi Nina uhakika hawezi Fanya kazi nzur kama aliyoyafanya magu zaidi utatuibia Tu..tupo na mama ametuliza nafsi zetu we shukuru upo hai na umerudi tulia nchi isonge mbele
Kila nikisikila interview zako mwamba jins walivyotaka kukumaliza najikuta kumchukia maguful ingawa hayupo hai Mungu anisamehe,,,,lkn kiukwel kipindi za mwenda zake wapinzan walikosa aman kbsaa😭😭😭😭
Aliyoyafanya Raisi Magufuli hata lisemwe neno baya kiasi gani bado ndio raisi wa kipekee hatowahi kutokea mwingine , hata kama alifanya yeye alikuwa anafanya kwa nia njema.
Hapo ndipo unapojua kwamba Mungu asipokubali huwezi kufa hata iweje? Tujifunze Mungu yupo na anatenda miujiza. Pole sana my Presda.
Mhe. Dr. HE.Magufuli Rais bora wa muda wote. RIP Champion
Pole bwana Tundu Antipas Lissu
Sababu uliaminishwa yupo na wanyonge sio?
Kipi kakifanya cha kumfanya awe Rais bora?
Haya pesa zimekamatwa China nani alipeleka?
Ubora upi huo wa jpm
@@minicooper9642 amini unachoaminishwa pia.. maana inahitaji zaidi ya muhula kukuelekeza ubora wa hayati Dr Magufuli John. watoto upeo mdogo sana!..
@@youngsachafurniture5482 amini unachoaminishwa pia.. maana inahitaji zaidi ya muhula kukuelekeza ubora wa hayati Dr Magufuli John.
@@nestor384 ndio uache kucomment upumbavu wako, kubwa zima hovyo, we unajua familia ngapi zinalia mpaka leo sababu ya mpumbavu mmoja kama huyo, alafu unafungua kundu lako eti Rais bora, sababu upo zako vijijini huko unasikiliza Radio alijisifia ujinga wake sio
Huyu ni mwandishi bora kwa interview ambazo nimewahi kuona… he is calm and very smart
Anatoa fursa kwa muhojiwa wake!
Mtaani uko pole ndugu yangu mshukuru sana mungu pia unahaki ya kuishi na kuna jambo la mungu juu yako mpaka utimize
Magufuri oyeee eeeeeeee daima tutakuhenzi pumzika , pumzika, pumzika.Alleluiya
Pamoja na mauaji?
Wazuri hawafi.... nimenukuu tu
Magufuli alikuwa rais bora sana.
Mbwa sana na ukazikwe nae kaburi moja
@@alfredcharles8029 Huo ndo ukweli, Yule alikuwa Rais kwelikweli.
WAPINZANI NA TUNDU LISSU NAWAMBIENI UKWELI SIO raisi ata kidogo mkafika popote KTK UCHAGUZI kwa kumponda maguful,MAGUFUL anawatu wengi SANA SANA SANA tupo tar kuibwaga ccm na mafisadi wakikwete iwapo mtabeba sera za maguful na kuacha kumponda!!bila hilo ni zero!!
Magufuli anawatu wengi wajinga wasiofuatilia mambo na wale walionufaika na udikteta wake lakini waelewa wa mambo hawamsapoti .Sasa subiri mikutano si imeruhusiwa walioshindwa kuelewa kwa sababu ya kuzuiwa kwa mikutano ya upinzani wataelewa vizuri sana.
Magufuli alikuwa kiongoz mbaya kuliko viongozi wote waliowahi kutawala tz mikono yake ilijaa damu za watu ,ndugu zetu walipotezwa wengine kuuwawa mchana kweupe kama mawazo geita . Raisi angalau aliyekuwa na utu ni kikwete na sasa hivi mama samia
@@joshualeonard1375 una Matatizo makubwa Mnoo hebu Muombe Mungu Akusamehe Kuna kutu hujui
@@eliajimmy95 we ni fala tena msengerema
@@joshualeonard1375 mbaya ni mama yako aliyezaa taahira akalilea badala ya kuliua likapunguza idadi ya wajinga nchini
Pole sana mheshiwa mungu anakupenda kwa kupigania haki,nakuombea maisha marefu inshala.
Mungu ni nani? Acheni ujinga wa kufananisha mtu na muumba wa vyote,
Mungu wetu ni wa neema sanaaa ndiye anayekujua zaidi sisi wengine hatuna uelewa na jambo lolote ndomana kuna wengine wanakutusi lkn ukweli ata mlio wenyewe wa bunduki mtu anakufa kabisa ile sauti tu aisee barikiwa sanaaa
This is My favorite station for the interviews pole sana mhe lissu
Mhe. Lissu,sitachoka kukuambia pole.Mungu akupe maisha marefu usaidie Watanzania.
Nmh kumbe unasubir msaada ninyi mnafanya afrika isitoboe wewe unawasaidia wengine nini
kajiunga na taasisi za wazungu zinazosaport mashoga za rainbow mimi hapo kanivunja moyo kabisa. kizazi chetu kupo hatarini
Nyambafu zako hujitambuwi...
Pole sana,wewe ni mtumishi wa Mungu,usiogope kusema kweli.Mungu upendezwa na kweli iliyopo moyoni.Tunakuombea
Hakika mungu alikuwa hai lissu wale wote waliofanya haya Mambo siku watakufa kama mbwa
Mungu wetu aliye hai tunakila sababu ya kusema ahsante,,, ila shughulika na waliomuumiza Tundu Lisu 😭😭😭😭😭😭😭😭😭
SIKU UMEPINGWA RISASI UNASAFIRISHWA NILIJIFUNGIA CHUMBANI NA KUKUOMBEA SANA
Asante maombi yako MUNGU ameyasikia
HAKIKA ULICHOKIFANYA KILIFANYWA NA WENGI WAPENDA AMANI NA KAZI NZURI ANAYOIFANYA LISU.
Yan Mimi pia baada ya kuona kupost kuwa kapigw risasi nikamwambia mtu nilikuwa nae kuwa lisu kapigwa lisasi na yupo hai akasema ni maneno tu keshakufa uyo .nikamjibu hawezi kufa na hata kufa Leo Wala ksho tulibishana sNa lakin nikaingia room nikaomba uwez amin .
Rest in Peace. Mugufuli Apumzike kwa Amani, tutaendelea kumpenda ana Mengi mazuri zaidi ya Mabaya
@@kabulakmusa3131 na Mimi siku amepigwa lisasi niliwaambia wenzangu wakaniambia usisemeseme unaweza ukakaa ndani ! Watu walikuwa kimya sana kwa kuogopa kuliongelea swala lake /
Daaaaaah pole sanaaa mh ashukuliwe Mungu wetu ambaye yeye ndo aliamua uwe hai
Magufuli aliwahi kuwatetea wanyonge ili wasikae lockdown !
Sasa lockdown inahusiana nini na mauaji ya kusudio la m2?sikiliza hoja ndipo uchangie mada toa unazi tizama angekuwa babaako gapigwa lisasi badala ya kupambana kihoja ungejisikiaje?
Nimekuwa nikifuatilia mahojiano ya Mhe. Tundu Lissu na waandishi wa vyombo mbalimbali vya habari. Wajina wangu Stanslaus nimekukubali sana kwa maswali yako. Big up sana.
Hakuna kitu napenda kama kumsikiliza tundu lisu! Asee! Mungu azid kumpigania maisha yake!
Hachoshi kusikilizwa
Pole sana Mh. Lissu umepitia mateso makubwa sna Mungu akupe moyo WA msamaha
Mshukuru Mungu usiseme kama ungetibiwa hapa pia ungepona kwasababu Mungu ndio Alilitaka ubaki hai
Mwanaume gani unamwongelea marehemu?!?! Inaonyesha jinsi bado mfalme wetu anavowanyima usingizi au unahisi atafufuka?! Ama kweli Magu wewe Ni Jembe
Kwenda na ukabila kwako kaabudu makaburini huko sasa. Mijitu mingine mikatili haina hata huruma stupid
Namuomba mwenyezi mungu ajaalie hata hiyo risasi iliobaki itoke 😭😭😭😭 nimeli. Inaumiza sana saaana
Pole Muya... Mungu ni mwema atakaa sawa mwamba.
Hunishindi mm kila nikimsikiliza Lisu namchukia magu wallah Mungu anisamehe
@@lindambilinyi6253 duhh 🙄
@@lindambilinyi6253 !
Mungu mlinde huyu jamaa aishi sanaaa haikuwa rahisi hata kupona ulikuwa nae.....Amen
Huyu mwandishi very smart
Magufuli ajauwa watu wala akumpiga mtu Rissington ila wapigane wenyewe wamsingizie magu
Debora Asante tupo kusema ukweli juu ya Magu wetu
Ww unaemtetea magufuli huna akili
@@victorjoseph3076 Magu tunampenda na tutaendelea kumpenda...
CCM inawatu mashetani san kwakua haikuwakuta wao wanafrai2 nampongeza sana Samia kwamaliziano Mungu akubaliki mam Samia
My favourite mtangazaji dar 24
Best interview in the world
Tukio la risasi la lisu lina mashaka makubwa, ipo siku ukweli utakuja kuwa wazi. Anayoyaongea hayaendani na tukio lenyewe! Risasi zilipigwa kushoto ameumia kulia??!!
KUSHANGILIA KIFO CHA MAGUFULI anatupa wasiwasi mwingi; isitoshe yeye ndiye alikuwa wakwanza kutoa taarifa za kifo cha JPM!!!!!!
MUNGU ATAHUKUMU tukiona!
Ulikuwepo kipindi anapigwa izo risasi na unajua sababu ya kupigwa upande tofauti?? Na mwisho mungu atahukumu mala ngangi make mwenye kosa mungu kasha muhukumu siku nyiiingi we mwenzetu ulikua dunia ipi??
@@saidzuberi6097 uniambia wewe kama ulikuwepo! Lisu alikaa sit ya abiria mbele, matundu yalisasi yalionekana kwenye mlango upande aliokaa, sayansi gani iltumika hapo?! Ukweli utakuja julikana tu!!
@@saidzuberi6097 Kwa hiyo we ndio Mungu msaidizi kwamba Magufuli kafa kumlipiza kisasi Tundu Lisu??? Hehehe very stupid mind.
mungu ni mwema kila wakati kaka💪💪💪
Magufuri oyeee daima be mbele mwisho marufuku
Alifanya vizuri sana ila kupigana malisasi ni mbaya sana
Mungu aendelee kukulinda mh tundu lisu waliokupiga mungu atawalipa
Interview nzuri Mungu akupe maisha marefu
Mauti sio mpango wa Mungu, Uhai ndio hasaa Mpango wa Mungu, Mhe. Lissu #Ishi na Mungu yu pamoja nawe.
Kwa jinsi unavyosimulia tu Mh. Tundu Lissu ni wazi kuwa uliumizwa sana Mimi mpaka naogopa na kutetemeka. Na kupona kwako na kuwa hai leo na kisimulia haya, kwa kweli ni muujiza na bila shaka Mungu ana kusudi maalumu na wewe. Aliyekutendea haya, ataishi kwa taabu na majuto maisha yao yote. Na bila shaka hata wao watakufa kifo cha ajabu. Auae kwa risasi au upanga, naye atakufa kwa risasi na upanga huohuo!
Daah rafiki yangu,nakumbuka tulimlilia sana Mungu namtukuza sana kwa neema hii
Kabla ya Magufuri mbona kulikuwa na mambo ya ajabu jmn , Mpumzisheni shujaa wetu JPM🤲✨💪...
Kwahiyo na ss tuanze kuoji Raisi jpm alikufaje yote ni mipango yamungu hakuna atakae hishi milele tunakaria siasa njaa inataka kuwaua wanyonge
mungu ni mwema akurinde uhai wako mungu aupiganie ingewezekana uhai wangu nikupe wewe tundu lissu wewe uishi mimi nife lissu ubaki duniani
Watanzania wengi hawakuelewi Mr. Tundulisu,lakini naamini ipo siku watakuelewa tu. Upo vizuri sana. MUNGU azidi kukusimamia na kukulinda Insha'Allah.
We Rahma kwel ww ni muislam????huyu jamaa alisapoti ushoga unasema hatumuelew eti yupo vizur
@@magdalenapaulo1776 lisu hajawahi sapoti ushoga fala weww
Nimemkubali mtangazaji uko vizuri sana
The best interview 🔥🔥🔥
Mwandishi uko smart Sana kwakwel
Mungu ni mwema kabisa nimejifunza mengi sitamtendea mtu ukatili maisha yangu yote
BWANA YESU APEWE SIFA SANA.PORE. TUNDU.MUNGU AMEAMUA KUKUPA UHAI TENA ANAMAKUSUDI YAKE CHA MUHIMU.WEW SASA HIVI MTUMIKIE MUNGU TUUU ACHA YOTE UFUATE MSALABA WA YESU....Hakika ndio lengo lake .Ubarikiwe sana.
Mungu ni mwaminifu sanaa, Wamekufa wao wewe mzima . Hakika kweli ni miujiza
Ahsante Dar 24
Daah Ila MUNGU amekupendelea zaidi ya watu wote ....Omba sana kila siku MUNGU AMEKUPENDA SANA
Pombe iko jehamu anasota lissu upo hai mungu atakuereka pema peponi Amina
Pole sana bg
🔊🔊🔊🔊🔊🔊📣📣📣📣 lisu is my president ✌✌✌
Lissu ni quality leader and politician ambae Tanzania inafaaa imthamini sana sana... one in a million
CCM kwa kwel Kuna mashetani, ila mungu ni mkubwa siku zote akuchimbiae shimo atazikwa mwenyewe. In God we trust 🙏🙏💪💪
Kwakweli yukoap sasa yan sijui kaenda na watu wake wasiojulikan
Hakuna chama kisicho na shetani ndugu,siasa mchezo Mchafu hao uwaonao Wazuri subiri wakamate Vyeo ,Usijute,
Pole sana kamanda wetu mungu akulinde aseeeeeeeeeeee
I love this man, very strong person 💪🏿
Mimi sìjuì kìzùñgu, imeandikwa nini
Tulishasema/tunasema sana tatizo lenu Viongozi wa Vyama vya Upinzani ni Wanafiki sana, hamna Umoja wa Kweli, hampendani, hamna Shukran, Wapingaji na wakosowaji hata Mazuri, Wabaguzi, Ukanda na Ukabila na Udini, Vibaraka wa Wazungu. Msipobadilika mtazidi Kuumizana/Kuuwana na mtakuwa Wasindikizaji tu, Kuingia Ikulu itakuwa Ndoto.
Aiseee pole sana Tundu Lussu
Moja kati ya interview bora kabisa
Mtangazaji Yuko vizuri amenyoooka
Inaumiza lakini Mungu akupe neema ya kusamehe na kusahau.
Pole sana mweshimiwa ila MUNGU wetu tupo kazin ninaimani hawana amani leo mpaka sasa
pole sana lisu mungu ni mwema
Watu kama Tundu Lissu wamebakia wachache sana duniani...Jah Bless
Lazima wawe wachache maake akili hizi za ajabu sana anaongea pointless sana
Ujinga mtupu
MUNGU mwemaa Sanaa,,,miujizaa yake tumeiona🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Safi sana mh. Lissu MUNGU mwema auae kwa upanga atafuka kwa upanga pia. MUNGU bado ana makusudi na wewe
Yesu akulindeee kiogzi mwema
Kaka ur the best👏👏👏👊🙏
Lisu nakupenda sana Mungu ni mwema kwako kuliko wanadama n.a. hii ndio ule usemi Mungu ashindwi na kitu n.a. cha Mungu ndicho sahihi kuliko ya mwanadamu
Lisu waliowengi tunampenda Magufuri sababu alifanya kazi ilioonekana wazi, sio maneno haya ya ukatiri, kuua watu na mabaya yaliyotokea wakati wake hatukuyapenda ila yalikuwepo tangu zamani na pengine na leo yapo japo ktk utawala wake yalikuwa mengi.
Hata yeye aliwawekewa sumu afe, so ukiwa mwanasiasa haya kukutokea ni kawaida, maana wengi wanaitaka nafasi yako au hawataki ufungue uma masikio uovu uendelee kuwepo.
ila sisi Magufuri kwetu is the best president ever kuliko wote mpaka leo. aliiba sawa, ~alionea sawa ,~aliua sawa,.
tunaangalia maendeleo zaidi tunayofaidika nayo hizo hasara na maumivu tunawapa pole, ila kwa kuumia kwao na kwako sisi tumepata maendeleo. pole Lisu ila mimi binafsi siombei upate urais wala cheo chochote maana hayaaurafiki uliyojiunga nayo ya kukubali mapenzi ya jinsia moja mimi siombei wewe ututawale hata kidogo. hii rainbow unayoipenda hii wewe hutufai kwa sasa, na mpo wengi nimeona bob wine wa Uganda na zitto kabwe wetu naye amekuwa rafiki wao nyie sio watu wazuri hta kidogo
Wee ni msenge Kuma wewe
Alitaka kumuua Lissu akashindwa, walipotaka kumuua yeye wakafanikiwa. Tumwogope Mungu, hamna wa kumuonga. Maendeleo ni mazuri ila haya muongi mtoa uhai ambao ni muhim kuliko maendeleo
Duh aisee unaongea pumbu tupu, unaangalia maendeleo kwa aliyeua na kutesa
Comment yako ni Kali Sana na Ina ujumbe mzito Sana kuliko comments zote humu. Ubarikiwe sana
Jua ivi , maumivu ktk siasa ikiwemo vifo,utekaji,ufisadi,hata unyanyasaji na mengine mengi sio jambo la kujivunia...maisha ya watu na utu wao ni Bora zaidi kuliko barabara za kupandiana na ndege.mungu siku Moja atakuonesheni mfano wa utawala bora.sikutukani maana hujui ila naomba ubaya huo utokee kwako .
Endelea kumshukuru Allah Subhanahu wa ta'ala..Mungu aliye hai atakulipia tu..bado tunaumizwa sana tunapo kuona hai...Allah Akbar
Pole sana tena sana ,adhabu ya kila mbaya malipo yapo
Ila jambo nikimkuta mtu mwingne tunaona jepesi omba yasikukute kma haya ya mzee lisu mungu aendelee kukulinda baba
KABSA......Bora kusikia kwa jiran
@@victorbugobola2276 Hata kusikia Kwa jilani haifai mambo haya hayafai
Ni kweli Ndg so poa KABSA sema tunaishi nayo tu.....
@@victorbugobola2276 haya mambo yaliyompata huyu kamanda hayafai kwa mtu yeyote, kila mtu ana haki ya kuishi kwa usalama
Nkwel Ndg sema kuna binadamu wamekwa hawana hofu ya Mungu..... KABSA
Una bahati baba Lissu si kama wengine waliokosa uwezo wa kuishi Asante mungu
kumbe nawrwe mtangazaji ni mjinga tukio lilikua eneo lina cctv kwaiyo chadema warizitoa cctv haya serekari chungunguzeni wstoe ukwelitujuee ni cdm au ccm na serekari yao????
Pole sana mungu mkubwa sana pole ndugu
Aisee mungu yupo,na aliehusika yupo kuzimu,mungu wakuogopwa sn
POLE SANA KAKA LISU. MUNGU🙏 NI MWAMINIFU. NA MUNGU🙏 NDIYE HAKIMU WA HAKI. NDIYO MAANA HADI LEO UNAISHI NA AKILI ZAKO TIMAMU. MUNGU🙏 HANA MBADALA, ANAONGEA KWA VITENDO.
Pole sana, Lakini samehe Na sahau, pia acha kumzungumzia mwenda zake
nimemskiliza vizuri mheshimiwa tundu lissu
Jamani, pole sana. Siwi mwanasiasa mie
Lisu tunakuelewa sana shida elimu ya uraia
Pole Lisu
Pole sana ndgu lisu!
7sep nilikua dar nilihuzunika sana role model wangu kupigwa risasi
Huyu baba jaman Mungu ana makusudio yake kukuweka uwe mzima mpaka leo, wa tz tujifunze kitu kuhusu hii issue ya Mzee Lissu. Tupo na wewe baba InshaAllah
Kampeni ulilindwa na mataifa ulipo maliza kampeni ulinzi ukaisha tuambie utatufanyia nn watanzania habali za kumponda magu hazitakusaidia halafu ujinga si tiketi yakukufikisha ikulu silaa amekuwa katibu wako leo awe mjinga kwako
Na nakusikitikia sana Tundu Lisu kwa kumlaumu Mgufuli kila siku eti kwa kusema hakufanya kitu chochote unachoweza kusema kafanya Rais wetu magufuli MWENYEZI MUNGU MKUU Amrehemu Amina.Ni sawa na kusema CCM haijafanya lolote kipindi cha Magufuli maana Magufuli alikuwa chini ya chama cha mapinduzi ndicho kilicho mpe madaraka hayo.Na hata hawa viongozi unaowana hawa alikuwa anapanga nao na kufanya nao kazi.Kwa hiyo kusema Magufuli hakufanya chochote ni kusema CCM Haikufanya chochote jambo ambalo ni la uongo na potofu CCM Imefanya mambo makubwa chini ya uongozi wa rais magufuli hadi leo yanaendelezwa mwenye macho haambiwi ona miladi inayoendelea nchini sasa wewe utasemaje Magufuli hajafanya lolote.Hapo unaonekana wewe mwogo nakushauli uwe mkweli jema sema jema baya sema baya.
Pole sana mwamba
Yote mtolee Mwenyezi Mungu aliyependa kukuokoa mwenyewe. Mandela alisamehe yote.
Huwezi linganisha Hayati magufuri na Mungu.
Hamuwezi kupewa Nchi sababu mnayo jazba , chili na roho za visasi.
Pole Sana mkuu
Sijui kwa nn unapenda kumkashfu marehem..Yule kayafanya yaliyoonekana na ninaamin ww bwana lisu ukipewa nchi Nina uhakika hawezi Fanya kazi nzur kama aliyoyafanya magu zaidi utatuibia Tu..tupo na mama ametuliza nafsi zetu we shukuru upo hai na umerudi tulia nchi isonge mbele
Bugana Asante
Stop ur nonsense
Acha utahira ng'ombe wee
@@abuumohamed7090 ng'ombe mamako K ww
@@avitusmichael5 Kama SS ni ng'ombe Nina wasi umeishakuwa sho..... Kwa kutetea Usodoma na Gomola
Mara zote namwangalia Mwandishi alivyo mtulivu👍💫
Na maswali yake hayapindipindi yamenyooka
Pole sana mh Lissu
Halafu kuna chizi mmoja aliwaambia watu Tundu lisu ni mtoro bungeni! Leo hii kapotea!
Pole mh .muumba azidikukutetea
Mungu aendelee kukulinda Mhe. Lissu 🙏
Pamoja na maumivu uliyo yapata pole sana sana ila HUFAI KUWA KIONGOZI WA NCHI HII. Tutaendelea kukuombea
Kwanini hafai au kwa kua ni chadema?
Kama unaona hafai kaa nalo moyoni mwako usitake kutuaminisha upumbavu wako
Peleka upuuzi huko
Wew hufai kuwa hat kiongz wa familia yak
Nakazia hafai ila awe pole kama binaadamu mwenzangu
Mungu ndie fundimkuu,mtuhumiwa ameendakuwaongoza malaika,
Kila nikisikila interview zako mwamba jins walivyotaka kukumaliza najikuta kumchukia maguful ingawa hayupo hai Mungu anisamehe,,,,lkn kiukwel kipindi za mwenda zake wapinzan walikosa aman kbsaa😭😭😭😭
Wewe acha tu yule jamaa mungu kamchukua kwa mengi
Lisu nacho mpendea haogopi kusema kweri ona alivyo mchana silaa hata mbowe akikosea atamusema hadhalani
Sio kweri ni kweli😅😅
Aliyoyafanya Raisi Magufuli hata lisemwe neno baya kiasi gani bado ndio raisi wa kipekee hatowahi kutokea mwingine , hata kama alifanya yeye alikuwa anafanya kwa nia njema.
Mungu n wet woteee amina