DKT SLAA SEHEMU YA 3: WALIPANGA KUNIUWA/ DEREVA WANGU ALITUMIKA/ RAIS AMESHINDWA, NAWEZA KUMSHTAKI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 фев 2025

Комментарии • 78

  • @gervaskasala7321
    @gervaskasala7321 2 года назад +19

    DK.slaaa nakuelewa sana sanaaa upo vizuri mnoo

  • @rahabnkya8276
    @rahabnkya8276 4 месяца назад +2

    VERY BRIGHT MAN AMONGST. GOD BLESS U. AMEEN.

  • @levidavid1156
    @levidavid1156 2 года назад +15

    Dr. slaaa upo juuu sanaa hakika we ndo role model wangu kabisaaa

  • @kaundasutikaunda7769
    @kaundasutikaunda7769 2 года назад +2

    Dr Slaa upo vizuri sana

  • @beatricehenry6776
    @beatricehenry6776 2 года назад +10

    Nakupenda bure Slaaa

  • @josephkulemba2607
    @josephkulemba2607 2 года назад +1

    Keep it bro..mhandishi......naamini siku moja utakuwa sehemu flani bro...

  • @bonifansimatias6951
    @bonifansimatias6951 2 года назад +9

    Uko sawa kabisa baba dr

  • @sdeshnjwetr6707
    @sdeshnjwetr6707 2 года назад +4

    🇹🇿R ESPECT FOR U Dk SLAA UR VERY BRIGHT MAN

  • @godfreymbwambo4460
    @godfreymbwambo4460 2 года назад +20

    HAKUNA KICHWA KIKALI KAMA SLAA! SLAA UTABAKI KUWA JUU!!

  • @chriss_Cm
    @chriss_Cm 2 года назад +4

    Mzee unaongea vzr

  • @agustinofhoty5985
    @agustinofhoty5985 2 года назад +1

    Safi sana babayetu uko vizuri sana👏👏👏👏👏👏🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @gabrielbahat9107
    @gabrielbahat9107 2 года назад +8

    Stanislaus big up, bravo 💪👊✊

  • @nazarethally9509
    @nazarethally9509 2 года назад +4

    Umeongea point sana mzee Dr slaa kuhusu filamu wengi uelewa wao ni mdogo sana ila impact yake itakuwa kubwa sana italeta faida kubwa sana

  • @HijaSaid-t6c
    @HijaSaid-t6c 3 месяца назад

    Chawa wa Mwendazake,

  • @abdisalim1157
    @abdisalim1157 2 года назад +6

    Kweli Slaa ww ni mtaalamu kwa kweli Tanzania hatuna vyama tuna mauzauza tu

  • @selemanchongo-kw2hh
    @selemanchongo-kw2hh Год назад

    Hapo kabisa uko sawa baba

  • @tonnyshoo5369
    @tonnyshoo5369 2 года назад +4

    Huyu mzee ni pafectionist

  • @simonlukiko2850
    @simonlukiko2850 2 года назад +3

    NAKUBALI SANAAAAA

  • @BlasiusOgalo
    @BlasiusOgalo 2 года назад +2

    Slaa Ni mkweli sana, sijui Kwa vile Ni padre rohoni? Nampenda.

  • @tausikiyabo6302
    @tausikiyabo6302 4 месяца назад

    Magufuli 😢😢😢😢😢

  • @tjthom2271
    @tjthom2271 2 года назад +7

    He is the man, tusome kitabu chake kuna mengi zaidi

  • @mohammedmdangwe2056
    @mohammedmdangwe2056 2 года назад +5

    Hiki ni kichwa kweli kweli

  • @warakawayohana2896
    @warakawayohana2896 2 года назад +5

    Slaa nilimjua hapendi ujinga pale kinambowe walipolipwa na Lowasa agombee uraisi

    • @hajihassan5433
      @hajihassan5433 2 года назад +2

      Sio KWELI Mhe. Lowasa kama kuna dhana ya kulipa ndie aliyelipwa kwa sababu binafsi alikuwa na karibu 20% ya "likebility" ya voters hivyo CHADEMA waliona muhimu kumpata Mhe. Lowasa kama Simba S. Club walivyomhitaji Bernard Morisson alivyokuwa kwa watani wao Yanga.

  • @ramadhanmohamedi9793
    @ramadhanmohamedi9793 2 года назад

    Mze slla uko sahihi sana

  • @bjzee1981
    @bjzee1981 2 года назад

    Ulikua unaipeleka wapi. Hahaha. Wanahabari bana

  • @evelina9621
    @evelina9621 3 месяца назад

    Rais.samia.ana.washauri.wanaompotosha.mambo.mengi

  • @mathiaslyamunda2526
    @mathiaslyamunda2526 2 года назад +4

    A man I respect very much. 👏👏

  • @samwelimwalindu9472
    @samwelimwalindu9472 2 года назад +3

    Kuwa raisi unakwama wapi mzee gombea 2025 naona uzalendo unao

  • @EliyaMWAIJUMBA-i1n
    @EliyaMWAIJUMBA-i1n 4 месяца назад

    Wewe ndie uliibeba chadema wengi tulikukubali

  • @MlawavictorWairinga
    @MlawavictorWairinga 7 месяцев назад

    Ok

  • @hamidaalhabsi8568
    @hamidaalhabsi8568 2 года назад

    Mzee wewe unasema ukweli kabisaaaaaa asante sana Raisi Samia anachukuwa EXTRA MAIL

  • @bonabonaza5066
    @bonabonaza5066 Год назад

    Dr slaa muoga napia msaliti kweli na muongo pia

  • @vumilialeonardi109
    @vumilialeonardi109 2 года назад +3

    Umeonyesha uwazi kwa sababu ya kuenderea kua juu wewe ndoo unatakiwa kuigwa

  • @johnmbwambo8204
    @johnmbwambo8204 2 года назад +1

    Yaap Tatizo ni kukosa Elimu elekezi ya kile kinachofanyiwa kazi

  • @allanlyombile7014
    @allanlyombile7014 2 года назад

    Mtu akisha lambishwa asali hata udikteta hawezi kuuona, na hata akiuona, atajifanya hamuoni kabisa.

  • @godwinmsuya6080
    @godwinmsuya6080 2 года назад +2

    Mhurumieni huyu baba.... anateswa na "fadhila" Yeremia 17:5..

  • @abdallahhenku557
    @abdallahhenku557 2 года назад +1

    Seriously, baada ya uchaguzi siasa zinahamia Bungeni?? Kwamba hakuna ruhusa ya mikutano ya kisiasa nchini?? Jamani tuweni serious na nchi yetu tafadhali.

  • @chuisultan2615
    @chuisultan2615 2 года назад

    Mzee uko sawa ukweli mtupu tembea kwa ukweli kama jpm

  • @erickzephania1030
    @erickzephania1030 2 года назад +2

    Dalili za mtu aliyevimbiwa

  • @mwanaidimuhamed6540
    @mwanaidimuhamed6540 2 года назад +1

    Kwani huyu alikuwa wapi siku zote alivyokuwa balozi mbona hakuyasema haya mi naona angenyamaza akaendelea kula pension yake apumzike TU.

  • @clemenceurasa6023
    @clemenceurasa6023 2 года назад

    Okay.yakunyaka tumenyaka

    • @johnlazaro804
      @johnlazaro804 2 года назад

      SEMA baba ukweli wengine hawajui siasa

  • @bonabonala5559
    @bonabonala5559 2 года назад

    Dr slaa muongo mbona jpm alisema ukimshauri yeye ujuee umekosea ?? We urimsharijeee??

  • @fredymtundu-sb2bi
    @fredymtundu-sb2bi Год назад

    V

  • @jamesgidale7935
    @jamesgidale7935 2 года назад

    Hivi unanitambua umetoka wapi

  • @rahimukisandu9961
    @rahimukisandu9961 2 года назад

    Huyo Mzee chizi

  • @TaitasBang-qi5lh
    @TaitasBang-qi5lh Год назад

    Duu

  • @daimanyakunga6293
    @daimanyakunga6293 2 года назад +2

    Mama kachemka mzee

  • @anosiata8242
    @anosiata8242 2 года назад +1

    Mzee umenena

  • @calvinmavunde239
    @calvinmavunde239 2 года назад +1

    Huyu mtangazaji anatokea media gan kubwa mbona yuko vizuri hivi

  • @kuchimillionaire6683
    @kuchimillionaire6683 2 года назад

    Slaa njaa imeanza

  • @hamadkhamis6572
    @hamadkhamis6572 2 года назад

    Mhhhh wasomi wetu wa kitanzania

  • @erickchitumbi1308
    @erickchitumbi1308 2 года назад

    Madokta huwa hamkosei.mpo straite

  • @mathewkasonta2208
    @mathewkasonta2208 2 года назад

    Democracy not a priority? 🙄🙄🙄

  • @godfreymlay8949
    @godfreymlay8949 2 года назад +1

    Ovyoooooo

  • @richimuniko3578
    @richimuniko3578 2 года назад +1

    Mafisadi wamerudi.

  • @solomonnanguni2688
    @solomonnanguni2688 2 года назад

    Dr Slaa?; afadhali unyamaze.ule pension yako salama. Ukweli raia tunakuona.unabwabwaja.sasa. Yaani huoni kama Magufulu alikandamiza vyama pinzani? Kwakuwa umepewa ubalozi wa kukobekwa. Mzee acha upuzi wako, unatuudhi ukweli.

    • @kaguripenina63
      @kaguripenina63 2 года назад +1

      wew ndoo unae muona hivo mm namuelewaxana

    • @minskbelarus7255
      @minskbelarus7255 2 года назад +1

      @@kaguripenina63 hata mimi Natamani Dr Slaa angeongoza NCHI hii. Ni MKWELI na husimamia anachokiamini

    • @hajihassan5433
      @hajihassan5433 2 года назад +1

      Hata mimi namuelewa na napenda hoja kwa hoja.

    • @mgangaruban9383
      @mgangaruban9383 2 года назад

      kojoa ulale

  • @johnkyara8061
    @johnkyara8061 2 года назад

    Huyu Tapeli tu Dr slaa hanapakwenda tena kazi imeisha njaa mbaya

  • @mbwanarajab4756
    @mbwanarajab4756 2 года назад

    Hivi Slaa huna kazi nyingne za kufanya?
    Ulikua CCM ukala Sana, ukaenda Chadema ukala na ukaisaliti chama ukapata hela , ukaja ukapata uteuzi na ukatulia kimya huko..
    Leo unarudi tena unapiga kelele , hapo huwezi teuliwa tena nenda kalime acha siasa uchwara hizo

    • @mamboshepea8888
      @mamboshepea8888 2 года назад

      Tutamchagua awe Rais ili uzimie!!!

    • @mbwanarajab4756
      @mbwanarajab4756 2 года назад +1

      @@mamboshepea8888
      Kura za wajinga huwaga hazitoshi na huwa mjinga wao hashindi.
      Hivyo sina wasiwasi mchagueni akutane nacho

  • @bjzee1981
    @bjzee1981 2 года назад

    Ulikua unaipeleka wapi. Hahaha. Wanahabari bana