MZEE KIMITI - "MSING'ANG'ANIE BUNGENI MIAKA YOTE - MTAKUFA KABLA ya MUDA - MSIWATUKANE WAPINZANI"...

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 7 фев 2025
  • MZEE KIMITI - "MSING'ANG'ANIE BUNGENI MIAKA YOTE - MTAKUFA KABLA ya MUDA - MSIWATUKANE WAPINZANI"...
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Комментарии • 59

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  6 дней назад +5

    SUBSCRIBE NOW NA BONYEZA ALAMA YA KENGELE🔔 UWE WA KWANZA KUONA👉 bit.ly/3MraYdQ

  • @YacintaJames
    @YacintaJames 6 дней назад +1

    Mungu akupe miaka mingi zaidi Mzee Kimiti na uendelee na kucheza muziki, ni sehemu ya mazoezi❤

  • @MjuniLaulian
    @MjuniLaulian 6 дней назад +5

    Mungu akubariki babu na babu yetu akuongezee miaka mingine ya kheri mungu Yuko juu Yako na uzao wako mwambie na mzee wasila ajifunze kutoka kwako na baba wa taifa na viongozi wetu wakuu wanavyo sitafu na wakaeahimika iyo ni afya ya moyo na akiri na busara sasa mzee mwenzenu mpaka umauti umustafishe

  • @rithaurassa
    @rithaurassa 6 дней назад +1

    Mzee Kimiti unaongea point sana. Unapenda ukweli daima..Wengina wachue hatua kwa maadili yak mema hongera san baba kwa kazi nzuri.🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤Mungu akupe miaka mingi mingi yakuishi zaidi.

  • @TrustElbashil
    @TrustElbashil 6 дней назад +1

    Pole sana Mzee na hongera sana Mzee 85 sio mchezo Mimi nakukumbuka sana nilipo kuwa mdogo sana ulikuwa mkuu wa mkoa wa mbeya pale kwenye nyumba yako ilomba

  • @FrancesMachelela-g4y
    @FrancesMachelela-g4y 6 дней назад +3

    Ubarikiwe mzee wangu poul p kimiti

  • @boscoafikile4737
    @boscoafikile4737 6 дней назад +4

    Hongera mzee, jina lako bado linavuma inaonesha ulikuwa na utumishi ulio tukuka. Mungu akubariki

  • @deohank5995
    @deohank5995 6 дней назад +1

    Nimecheka Kwa furaha, elimu yako nimeipenda ,Mungu akupe maisha mema

  • @AthumaniAbeid
    @AthumaniAbeid 6 дней назад +2

    Sawa Mzee kimiti vema sana

  • @SwedyOmar-d3v
    @SwedyOmar-d3v 6 дней назад +1

    PP Kimiti, Mzee anaposifia jambo husema "beautiful ".
    Mkuu wangu wa UAC Training Institute miaka ya 1970+. Alikuwa Mkuu wa chuo Mahiri sana na kisha nikakutana naye tena mkoani mwangu Kilimanjaro akiwa RC. na kwa kweli alinipokea ofisini kwake kwa bashasha sana mimi mwanafunzi wake bila kuujali UKUU wake akanitekelezea shida yangu bila kikwazo chochote.
    Hakika Mwenye Enzi Mungu ana kila sababu ya kumpa umri mrefu.
    Natamani Mwenye Enzi Mungu anijaalie kukutana naye tena Ana kwa Ana.

  • @PaulRPaul-z1q
    @PaulRPaul-z1q 6 дней назад +1

    Well said Mh. Paul Kimiti

  • @selemanimrope903
    @selemanimrope903 6 дней назад +2

    Tunakukumbuka mzee wetu ulipokuwa waziri wa kilimo mzee mpenda watu

  • @dicksonkilupa2258
    @dicksonkilupa2258 6 дней назад +2

    Kwa kweli Paul kimiti jina lako bado linabeba heshima na huwenda maombi mema ya watu ndo yanayokubeba na kukufanya ukae na afya njema. Baki ukibarikiwa baba!

  • @bishopprofvictorchisanga2009
    @bishopprofvictorchisanga2009 20 часов назад

    Mzee Kimiti; Hongera sana. Huenda ni kweli wewe tulikuwa unashinda kwa halali hapo zamani. Lakini sasa CCM inapora uchaguzi na kuwapa wananchi WABUNGE FEKI. Huu ndiyo mtindo wa Leo; WANANCHI, HATA WA MKOA WA SUMBAWANGA, HAWANA WABUNGE WAO, BALI WABUNGE FEKI. Sasa hebu wakemee CCM; waache hii tabia mbaya. CHADEMA haina shida, na siyo KWELI kabisa kwamba CHADEMA wanagombana; hebu waambue CCM wasitufanye kupata UHURU wa kweli Kwa DAMU kama inavyoashiria sasa hivi. Hali ya nchi siyo nzuri kabisa kama unavyosema; ni mbaya; UBAYA huu huusemi Mzee Kimiti. Chama chenye matatizo mkubwa; kinachowaumiza WATANZANIA vibaya sana ni CCM siyo CHADEMA. Saidia kuponya nchi; acha kupondisha UKWELI. UBARIKIWE.

  • @mkingaJulius-u5y
    @mkingaJulius-u5y 6 дней назад +2

    Wazee kama hawa ni wa CCM lakini ukawasikiliza mawazo yao ni mazuri kabisa lakini hivi mzee kama wasira ana shida gani mbona watanzania hawamuelewi.kwanini wasira asijitunzee heshima umri umemuacha

  • @FrankAsseriMaeda
    @FrankAsseriMaeda 6 дней назад +2

    Kweli baba mazingira Yako na afya Yako inathibitisha. Hiyo ni pepo tosha. Happy birthday yake.

  • @harounmaarufu3241
    @harounmaarufu3241 6 дней назад +1

    Mzee pole na hongera lakini viongozi wa nchi hii hawashauriki

  • @reubeinmmary
    @reubeinmmary 6 дней назад +1

    Comrade Wasira Amestahili kuwa makamu mwenyekiti hasa kwa kipindi hiki ambacho upinzani umeenda kuleta vibaraka wa mabeberu toka nje kupandikiza vibaraka ktk vyama vyetu vya kisiasa. Huu sio wakati watanzania kuwa makini na watu hawa .hivyo Wasira makamu mw/ kiti nikupongeze sana kwani haijalishi umri wako mkubwa si tatizo.kwani wahenga walisema visima vya kale haikosi maji. Maana yangu ni kwamba wakati huu huu ndio mwarubaini wa vibaraka hawa.mungu mnafiki mzee wetu Wasira.

  • @raphaelkalundi5489
    @raphaelkalundi5489 5 дней назад +1

    Ni Mungu tu kukupa umri huo, ni vyema ukakumbuka kuokoka.

  • @marthamungure1777
    @marthamungure1777 5 дней назад

    Uliwabwaga vibaya sana👏

  • @BonifaceBonala-w9j
    @BonifaceBonala-w9j 5 дней назад

    Ujumbe huu uende kwa mzee wasira stivin

  • @ngaydasulle2016
    @ngaydasulle2016 6 дней назад +2

    Mzee muungwana sana namkumbuka wakati anaishi upanga hata askari police waliokuwa wanalinda nyumba yake akiwa waziri walikuwa wanamsifia sana kwa wema wake.

  • @josephwilliammnyune5464
    @josephwilliammnyune5464 6 дней назад +1

    Mzee Kimiti unaongelea haki. Wenzako wanaongelea amani.

  • @RichardbituroMakole
    @RichardbituroMakole 5 дней назад

    Wengine wanasiku ya kuzaliwa wanapalilia heshima lakini yupo yupo yupoyupoyupooooo😂😂😂😂😂😂😂

  • @mwambaimara1950
    @mwambaimara1950 5 дней назад

    Wambie hadi wanatia aibu !! Wamewamilikizsha hadi wake zao na watoto wao hadi inachefua !!

  • @johnmalembo6464
    @johnmalembo6464 6 дней назад +1

    Umeusema ukweli kabisa..... Uongozi ni kubadilishana

  • @FrederickThadeo
    @FrederickThadeo 6 дней назад

    pole Mzee wetu mushauli tayison ametushinda

  • @marymremi1051
    @marymremi1051 6 дней назад +1

    Nakukumbuka ukiwa mkuu wa mkoa kilimanjaro hakika tuliimba jina lako

  • @salminasalim5630
    @salminasalim5630 6 дней назад

    Hiyo ni kweli. Kama mfano wa mbunge wa Bukoba vijijini mpaka tumeisha mchoka kabisa hafanyi chochote ananufaisha kwao tu lakini basi Mungu atuchagulie mtu mwingine atakae m'goa huyu Mbunge wa Maruku apepee huko Mungu tuondolee huyu mtu tupe atakae tufaa kutuletea maji watu tache kunywa mavi ya Ng'ombe

  • @jeremiaaugustino7187
    @jeremiaaugustino7187 6 дней назад +1

    Hao wamegeuza ajira na neema za familia zao....akili zao hazina uwezo wa kutumia pesa walopata kufanya maisha mengne.....je wataeza kufanya lolote kwa nchi?

  • @festokemibala5832
    @festokemibala5832 5 дней назад

    Wasira atupishe hana uwezo wa kuendana na kasi ya mabadiliko hata ya tabia nchi, abaki kulea wajukuu kama anao na kama hana basi isiwe tabu kwa wengine

  • @eliaspeter1258
    @eliaspeter1258 6 дней назад +2

    Kweli wape somo

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 5 дней назад

    MIMI BABA YANGU AMEFARIKI MWAKA 2018 AKIWA NA MIAKA 95 NA ALIKUWA ANATEMBEA , ANAOGA ,ANAKULA KILA KITU MWENYEWE. KAMA ALIVYOSEMA MZEE KIMITI CHAKILA NA ROHO NZURI NDO SIRI YA MAISHA MAREFU.

  • @BenjaNetanyahu
    @BenjaNetanyahu 2 дня назад

    Mzee wasila hawezi kusikia ushauri kama huo, anatamani hata raisi wa 10 awe pamoja nae.

  • @brysonkaale3003
    @brysonkaale3003 6 дней назад +2

    Muanbie Mzee Wasira anataka kujifanya kijana,jioni hii Mzee Kama yule anaingia kwenye siasa?!,sijui ni njaa Kali au Nini!

    • @CristinLyanga
      @CristinLyanga 6 дней назад

      Kwa kweli kipindi kama hiki ambacho vijana wanatembea na vyeti kama mwenge bila mafanikio! At leo wanatuletea wasira, na vijana wapo na hata wana ccm wapo. Alaf at wasira? Vcm hawatutendei haki kabisa badala yake wanatuumiza tuu, yasni chama kimekuwa kama mali ya watu wachache dah inauma sana.

  • @minazsaid2470
    @minazsaid2470 6 дней назад +3

    Watu kma nyinyi ndio mnatakiwa muongee ili kuwakumbusha waliopo madarakani

  • @YastaPetro
    @YastaPetro 6 дней назад +1

    We ndo mzee mwenye busara na kekima sana kuliko lile debe tupu limekalia uchawa

    • @godwinshoo5032
      @godwinshoo5032 6 дней назад

      Vijana jaribuni kutuliza akili kabla ya kuchukua maamuzi magumu na Mungu azidi kuwalinda maana vijana wengi mliopata nafasi serikalini mmetumika vibaya kuihujumu nchi! Ndiyo sababu CCM imemleta Mzee wasira anayeijua nchi tangu ukoloni mpaka Sasa ili mrudi kwenye uzalendo! wenye akili watamsikiliza!Nchi inapelekwa kubaya na vijana huko maofini!

  • @AbdilahiMriri
    @AbdilahiMriri 6 дней назад +1

    Huyu Mzee Kimiti sio mwana CCM tena kumbe siku hizi.
    Maana katika vipindi CCM umetokea na nguvu za ajabu ni sasa.
    Hebu ona Chadema wanavyoparurana.
    Sikilizia tar 5 keshokutwa vigpgo wataorudi CCM. CCM oyeee.nb

  • @MihayoMageta-k4n
    @MihayoMageta-k4n 6 дней назад +1

    Kumbe bia inaongeza umri aise😅

  • @abuumuhammad7133
    @abuumuhammad7133 6 дней назад +1

    Umechanganyiliwa umeona unachuki maana tunaona wanekashfu mambo mengi ya Serekali.ya Mama Samia ni baadhi ya watu wa dini fulani tu yaana wao ndio chuki kali

  • @sebastiansalamba313
    @sebastiansalamba313 6 дней назад +1

    Mzee wewe hauna roho mbaya unajua uliotufanyia hata sisi watoto wa malofa kabisa waziri wa kazi na maendeleo ya vijana kweli ulitujali

  • @AbdilahiMriri
    @AbdilahiMriri 6 дней назад +2

    Huyu Mzee Kimiti sio mwana CCM tena kumbe siku hizi.
    Maana katika vipindi CCM umetokea na nguvu za ajabu ni sasa.
    Hebu ona Chadema wanavyoparurana.
    Sikilizia tar 5 keshokutwa vigpgo wataorudi CCM. CCM oyeee.

  • @TomasiklistophaMwinuka
    @TomasiklistophaMwinuka 6 дней назад

    Tunashukuru ila viongozi wasaiz wapo kimaslai hawasikii nahawaachii uongozi mpaka wamrithishe mtoto wake

  • @JustinJoseph-k2t
    @JustinJoseph-k2t 6 дней назад +1

    Mwalinda ulii baba

  • @AzizMasenga
    @AzizMasenga 6 дней назад +2

    Miaka 30! Bungeni!??.

  • @Biteme358
    @Biteme358 6 дней назад +1

    Hakuwa mwizi mwizi kama walivyo wengine?

  • @NardhisMhagama-sy3eq
    @NardhisMhagama-sy3eq 6 дней назад +2

    Lukuvi wasira mkuchika

  • @thetas08
    @thetas08 6 дней назад +1

    Sasa huyu mzee kapumzika mzee waasiira bado yumo tuu ccm vijana mpo wapi Sasa mzee wasira msikize huyu mzee ujielewe. Japo umechaguliwa omba andika barua kwamba unawapisha vijana utaheshimika lakini sasahivi hukubaliki. Kabisa

  • @evelina9621
    @evelina9621 6 дней назад +1

    Hawa.wazee.mkuchika.nawengine.waachia.vijana

  • @ThekingBuddar
    @ThekingBuddar 5 дней назад

    WANA CCM WAACHIE VIJANA

  • @helentelemla5623
    @helentelemla5623 6 дней назад +1

    Nakulola mkombe, nkukulaula sile, mkombe

  • @ThekingBuddar
    @ThekingBuddar 5 дней назад

    WAMBIE NA CCM WAACHIE VIJANA

  • @NickmbeckNkinda-z3g
    @NickmbeckNkinda-z3g 6 дней назад +1

    Hukupita kiujanja ujanja

    • @TNgwale-eu3xl
      @TNgwale-eu3xl 6 дней назад

      Waambie CCM waache tabia za uchawa ndio unaoharibu kuwa na upinzani wa nguvu

  • @NuruNurudin
    @NuruNurudin 2 дня назад

    Zzzzzz