PART:1 DAKTARI AFICHUA MADUDU YA HOSPITALI YA MOUNT MERU ARUSHA "ADAI KUUZIWA DAWA MILIONI 3 NA NUSU

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 фев 2025
  • #JAMBOTV
    ...........
    Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
    ►RUclips: / @jambotv908
    ►INSTAGRAM: / jambotv
    ►TWITTER: / jambotv_
    ►FACEBOOK: / jambotv
    ►WEBSITE: jambo.tz/

Комментарии • 495

  • @ChristineSiriwa
    @ChristineSiriwa 4 дня назад +15

    Pole sana kaka Hospitali zimekua ni biashara yaani Tumuombe Mungu tujue tiba mbadala tuepukane na hizi roho za kununua vyeti au majibu ili awe Daktari. Udaktari ni wito sio kazi😢

  • @NardhisMhagama-sy3eq
    @NardhisMhagama-sy3eq 5 дней назад +26

    Watanzania wanao kufa kwaajili ya matibabu ni wengi kuliko Kongo au Gaza

  • @PeterDuwey
    @PeterDuwey 4 дня назад +3

    Asante sana daktari kwakutusaidia kufichua madudu yaliyotutesa kwa mda mrefu kwaajili ya tamaa za dhambi zinazofanyika pale kwetu mount meru hospital.

  • @samhendawallaa9984
    @samhendawallaa9984 4 часа назад +1

    Ni hatari sana madaktari wa hapo mount meru wanayo fanya sio sahihi na ukivunjika mguu au sehemu yeyote wanakuuzia vyuma za kufunga hiyo sehemu

  • @1961nungwi
    @1961nungwi День назад +2

    Bahati nzuri ni Arusha. Makonda ataweka sawa!

  • @elvisikimaro1178
    @elvisikimaro1178 4 дня назад +2

    Pole sana kaka, Hao madokta ni wanyama, na ugonjwa huo iwapate wao Kwa jina la Yesu, wewe Sio mgonjwa, Kula papain sana na matango

  • @eliasmpanilehi3221
    @eliasmpanilehi3221 4 дня назад +4

    Pole sana ndugu, Hii Ndiyo Tanzania, Haya mambo serikali isipokuwa makini watu wataanza kuchukua hatua mikononi

  • @gloryshayo4866
    @gloryshayo4866 5 дней назад +7

    Kazi ya Afya inahitaji Mungu,sio Tamaa wala maslai jamani...Mungu akufariji sana Daktari.Wewe umeweza Kuliona sababu wewe ni medical personnel kwa wale ambao sio NI WANGAPI WAMEKUFA AU KUPOTEA???Watu wa Afya Mtalipwa haya mambo sio Ya ivi😭😭

  • @evansmoshi1923
    @evansmoshi1923 8 часов назад

    Ndugu yangu ungekuta saiv tunaimba siimbaliiiii, mshukuru sana mungu.

  • @asantielkombole257
    @asantielkombole257 6 дней назад +4

    Pole sana kaka ,mimi nilimpeleka mgonjwa hapo alikuwa ni mjamzito wakamfanyia us scan ,na vipimo vingine .badae tukalipia almost 70,000/= vipimo na baadhi ya dawa .lakini cha kushangaza majibu ya vipimo niliambiwa mpaka niandike barua ya hayo majibu

  • @samhendawallaa9984
    @samhendawallaa9984 3 часа назад +1

    Hapo mount meru hakuna madaktari ni waizi na wafanya biashara za madawa

  • @vincej9275
    @vincej9275 4 дня назад +2

    Haya mambo yanafanyika katika nchi nyingi zetu za Africa. Ni makosa kabisa. Wananchi wa kawaida wanateseka sana. Many hospitals do this to patients. They care more about money than their patients. Thank you for speaking out.

  • @NelsonKiwara
    @NelsonKiwara 4 дня назад +2

    Pole sana comrade kiufupi utaratibu wa kitabibu hauko hivyo RC Makonda limemfikia atalipambania wazembe ni wengi sana

  • @elinurukitomali6008
    @elinurukitomali6008 6 дней назад +7

    Sawa sawa ....upewe pesa zako zote. Pia jamani waziri embu toa number zako

  • @Bellamfinanga
    @Bellamfinanga День назад +1

    Tz Mungu wangu komesha haya

  • @jumaally4263
    @jumaally4263 10 дней назад +20

    Alisema mtanikumbuka. Na kweli tunamkumbuka

  • @AbiaWilliam-s1s
    @AbiaWilliam-s1s 5 дней назад +3

    Pole kaka mungu yupo atawajibu

  • @abisaimuhanji3687
    @abisaimuhanji3687 10 дней назад +11

    Tiba ni kazi ya wito ni hatari sana kucheza na Afya za watu

  • @SadickShui-kl3du
    @SadickShui-kl3du День назад +1

    apo madaktar wamezengua,laakin tujitaidi kuepuka ujuaji tunapokuwa sehem za afya,ata kama unajua afya ila ujuaji tupunguze kwakweli utatugharimu maisha yetu 🙏

  • @herielshedrack4730
    @herielshedrack4730 10 часов назад

    Makonda mwananchi wako huyo Kaka, Fanya kazi yako!

  • @lukongeinnocent8425
    @lukongeinnocent8425 10 дней назад +5

    Asante kwa ujasili huh.

  • @HusseinIsmail-i9q
    @HusseinIsmail-i9q 8 дней назад +10

    Mkuu wetu wa Mkoa atakuwa amelisikia Hilo?Makonda pambania Hilo kwa heshima🤔🤔🙏🙏

  • @vicentmathias3166
    @vicentmathias3166 5 дней назад +7

    Kaka pole sana nakushauri nenda mahakamani ili iwe fundisho kwa madaktari uchwara matapeli

    • @richardnganya2311
      @richardnganya2311 4 дня назад

      Mahakama gani ?? Hizi zetu hakimu anapigiwa simu tu anaitupa kesi !

    • @gaagwasaugustino2584
      @gaagwasaugustino2584 2 дня назад

      ​@@richardnganya2311Ila ipo siku yao tena hao mashetani mbele za Mungu.

  • @johnsonswai1766
    @johnsonswai1766 4 дня назад

    Pole sana ndugu yangu Mungu akupe wepesi wakati huu mgumu Amina

  • @NdelimbijohnSwai-k5s
    @NdelimbijohnSwai-k5s 4 дня назад +2

    Pole sana kakangu kwanza kabisa hao ni matapeli tuu nenda kafanye matibabu sahihi moshi hospital inaitwa Albina wako vizuri sana nilimpeleka babangu alikuwa na shida ya moyo kama ulivyosema lakini kwasasa ni mzima kabisa

    • @MussaSakumi
      @MussaSakumi 4 дня назад

      @ndelimbijohnswai.hii hospital ipo moshi sehemu gani

  • @hermanhhaaly9685
    @hermanhhaaly9685 8 дней назад +5

    Tunaomba matokeo ya uchunguzi hadharani,Mount Meru inalalamikiwa sana,viongozi wa hospitality hawasikii malalamiko hayo au na wao ndio sehemu ya tatizo

  • @DanKirahi
    @DanKirahi 10 дней назад +10

    Pole sana ndugu. Toa namba za simu yako nitakupa ushauri wa alternative medicine bure.

  • @mosseskindoroko8835
    @mosseskindoroko8835 5 дней назад +4

    Pole🤝ila kwanini msingeshauriana na takukuru ingeweza kubainika ukweli zaidi kulikoni maana hiyo pia ingeweza kubwa solution nzr tu kwa upande wako kwa kuwa huenda hukuridhika.hilo lingeweza kubaini ukweli ama kupata haki kwa maoni yangu tu.

  • @talents7934
    @talents7934 День назад +2

    Hizi umbwa tunazisomesha kwa kodi zetu kisha zikishamaliza kusoma zinatugeuzia makalio zinatujambia sisi walipa kodi😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢

  • @RoseMallya-h9u
    @RoseMallya-h9u 4 дня назад +3

    Pole waziri mwenye dhamana aigilie kati kuichunguza mount meru😅

  • @Ammykurunge-q8y
    @Ammykurunge-q8y 19 часов назад

    Pole baba yangu Ila usitibiwe tena hapo utachomwa sindano ufe na mm sitak ufe baba yangu MUNGU Akulinde na kukuponya

  • @elinurukitomali6008
    @elinurukitomali6008 6 дней назад +7

    Yaani wafungwe wote kabisa.

  • @mayrfrimi4759
    @mayrfrimi4759 10 дней назад +11

    Pole sana kaka, sasa tuelewe kuwa hapo Mounteru kuna wezi , majambazi, wanajificha nyuma ya pazia,
    Na huyo anaesema kuwa hawezi kujua kila kitu ni majibu gani hao, eti watu ni wengi, kama hawamudu hizo kazi si waajiri watu ili kuongeza nguvu, kuliko kuulizwa swali na kusema huwezi kujua, .

    • @rosekimaro384
      @rosekimaro384 9 дней назад +2

      Makonda shughulika na hao Majambazi kwanza wauuwaji shetani hao

    • @MatridaPetro
      @MatridaPetro 8 дней назад

      Sawa

    • @kaluluu2011
      @kaluluu2011 4 дня назад

      ILO CYO SWALI NI JIBU TENA WANA SMG WAMEZIFUNIKA ZA USAID UHUUUUU

  • @jerome3143
    @jerome3143 9 дней назад +5

    Kaka ndiyo tabia yao hapo niliwahi kumpoteza mdogo wangu hapo kwa uzembewao hapo😊

  • @beatrice4780
    @beatrice4780 8 дней назад +2

    Pole sana. Ila ni kweli Mount Meru hospital ni uozo. Hasa Emergency na hiyo inayoitwa ICU, pale ni biashara kwa kwenda mbele. Uchunguzi ufanyike na hatua zichukuliwe.

  • @LiberathMosha
    @LiberathMosha День назад

    Duh ni hatari mnoo tumuombe Mungu sana wacheza na uhai wa binadamu wenzao madaktari

  • @ZionLevi-sp4hw
    @ZionLevi-sp4hw 2 дня назад

    Pole sana baba, ni kweli kabisa unayosema mount meru ni jina tu saiv wapo kibiashara sana😭😭😭inaumiza sana

  • @byabatotv3283
    @byabatotv3283 10 дней назад +4

    Ndo maana mi siendagi hospitali😂

  • @AmisseMwenetombwe
    @AmisseMwenetombwe День назад

    Tanzânia má tapeli wengi sana!!!

  • @juliunusphilipo5828
    @juliunusphilipo5828 4 дня назад

    Pole sana br

  • @jorydoalglobalinc.6708
    @jorydoalglobalinc.6708 6 дней назад +3

    Huyo Administrator anajua kitu. Huenda hao ndio kikosi kazi chake. Msikilize tu jinsi anavyo defend😊

  • @belindakimaro457
    @belindakimaro457 День назад

    Mount meru wapigaji wazuri sanaaaaa

  • @hildpaul7823
    @hildpaul7823 2 дня назад

    doctor Elia na Aisha Mungu anawaona

  • @EmanuelMasawe-c8v
    @EmanuelMasawe-c8v День назад

    Atariii sana MUNGU akutetee

  • @rashidchimwenda
    @rashidchimwenda День назад

    Pole sana . Na ulichofayiea sio haki.Ila wewe ni mtu wa medical umeathirikaje kisaikolojia na majibu ya uongo!?

  • @SimonPeter-j3r
    @SimonPeter-j3r 10 дней назад +2

    Pole,sana ndugu yetu serekali yetu ishulikie Hilo swala

  • @USACAUDIOVISUALMATERIALS
    @USACAUDIOVISUALMATERIALS День назад +1

    Watu wa hospitali huwa tunamuomba Mungu atujaalie riziki. Yaani watu wasipoumwa tutakufa. 😂😂😂

  • @jactonmoris3034
    @jactonmoris3034 День назад

    Pole sana ni ujinga wa Serekali hii watendaji Leo wanafanya mambo ya ovyo

  • @nickodemmdalingwa2921
    @nickodemmdalingwa2921 9 дней назад +4

    Ipo siku najua watanzania mtanikumbuka 😮😨😨😯

  • @MissarEpafraNgweshemi
    @MissarEpafraNgweshemi 3 дня назад

    Duniani kuna watu na majitu. Hawa Mungu awatizame kwa hasira na kuwazamisha hadi wajue wao ni wanadamu sio miungu. Mara nyingi watu hawa wakistaafu tabu na mashaka huwaandama bila kujua kuwa waliyapanda wenyewe.
    Tumikieni watu sio matumbo yenu. Mishahara mnalipwa kwa kuridhia leo mnakuwa tayari kuangamiza ili mchume visivyo vyenu. Majipu yawaote kila angle ya maisha yenu. Ovyo kabisa hapa namaanisha mko sawa na takataka.

  • @elinurukitomali6008
    @elinurukitomali6008 6 дней назад +1

    Pole sana kaka....eti majibu ni yaserikali.....serikali ndiyo inaumwa? Yaani tunaimani na mkuu wetu wa mkoa . Yaani tunaomba mkuu wa mkoa ampeleke huyu kaka akamuoneshe mmoja baada ya mwingine...fukuza

  • @Maha-rk5nl
    @Maha-rk5nl 7 дней назад +3

    Pole, shida hii ya kunyimwa rufaa ya kwenda India ilinipata Muhimbili MOI hospital mwaka 2015. Nililazimika kusaini kuondoka bila rufaa kwa ridhaa yangu mwenyewe. Walisema siwezi kupewa rufaa kwa matibabu wanayoweza kufanya. Niliomba rufaa baada ya kughundua kasoro kubwa ktk operation walionifanyia baada kuvunjika mfupa baada ya accident. India waligundua kipande cha mfupa kimeoza kikaondolewa kikatupwa. Wakasema hata mganga wa kienyeji angefanya vizuri zaidi ku-'aline' kipande cha mfupa. Kama nisingekwenda India, mfupa ungeoza cansorous pengine hadi kukatwa. Niliwasamehe bure.

  • @MosesMisalaba-r4y
    @MosesMisalaba-r4y 4 дня назад +2

    Kweli wafanyakazi saiv wanafanya kama wanavyotka si taluma yao tena mungu tusaidie

  • @sullemanmeshack
    @sullemanmeshack 5 дней назад +1

    Mzee wetu aliteseka sana Mt Meru, yani nachukia sana hiyo hospitali

  • @JasmineRamadhani-q6i
    @JasmineRamadhani-q6i 16 часов назад

    Makonda atawaweka sana mm eyewa isige kuwa Dockt mkuu nigekufa na ilikuwa kipindi cha makufuli kama auna hel wanakuuwa

  • @NeemaJonasmushi-q8i
    @NeemaJonasmushi-q8i 2 дня назад +1

    Uyo mzee Alex Ernst akishikwa vzr na Aisha na yule doctor mwingine wataeleza maelezo yalio nyooka

  • @shabaniiddi510
    @shabaniiddi510 3 дня назад +1

    Mambo ayo yanafanyika bongo tu

  • @juliusakilimali9424
    @juliusakilimali9424 2 дня назад +1

    Nilipima mkoani nikaambiwa moyo umetanuka nikapewa rufaa nikapanda gari kwenda jakaya kikwete nimefika huko nikapimwa upya nikakuta shida sio Moyo kutanuka😅😅😅😅

  • @erickgabriel6645
    @erickgabriel6645 15 часов назад

    Mount Meru hospital shikamoo

  • @RehemaPanga-x6z
    @RehemaPanga-x6z День назад

    Kuna siku nilienda ucku saa 4 hivi nimebanwa na kifua asthma (pumu) nmekaa pale nje yule boda na ndg yangu wakamwita nesi kuwa mbona mnampita tu jmn mtu hapumui mbona mtamuua hajajibu chochote yule boda aliyetuleta akamwambia ndg yangu twende niwapeleke kuna pharmacy ipo karibu na mount meru kwa wale wanaojua mount meru ukikata ile kona ya kuingia kwao kuna pharmacy kubwa ndo nikapelekwa hapo nikahudumiwa Mungu mkubwa nlitoka salama na nilichomwa sindano nikawa fresh ,,, kwahiyo hizi hospital za serikali cyo pwa tunaonewa sanaa

  • @florinaNgussa-oc3tm
    @florinaNgussa-oc3tm 4 дня назад +3

    Pole sana kaka yangu tunajua serikali yetu ni sikivu na watashugulikiwa ipasavyo kabisa tunategemea majijibu tuyaone humuhumu live mtandaoni tunaomba.

  • @MartinaLulu-x3e
    @MartinaLulu-x3e 6 дней назад

    Pole sana

  • @shebbyelphonce8514
    @shebbyelphonce8514 4 дня назад +1

    Hii ni balaa lkn swal langu haya malipo tunayofanya tukiende kwenye hiz hospital zinaenda kwenye acount gani jaman? Ujue haya mambo tunakutana nayo jaman nilimpeleka baba mkwe wangu niliyopitia we tulia tu in

  • @jacksonnyaki2517
    @jacksonnyaki2517 3 дня назад +1

    Duuuu..
    Like he is making stories..
    Mtu anashikilia tuu, milioni 3 na nusu…
    Lazima Compasation tutafute tu mzee wangu..

  • @VIOLETKABASHA
    @VIOLETKABASHA 4 дня назад

    Hatari sana. Je watu wengine itakuwaje?

  • @witnesskessy9705
    @witnesskessy9705 3 дня назад +2

    Wengi wanateseka ila awasemi sema baba nimekupenda bure huu utakua mfano mzuri kwa wenye iyo tabia

  • @ShebaJohn-ch1ml
    @ShebaJohn-ch1ml 2 дня назад

    Kifupi ni kwamba ungetoa hizo pesa na wangekupoteza ili ukose ushaidi,aisee.pole sana kaka

  • @JamesMakoye-d8l
    @JamesMakoye-d8l 20 часов назад

    Nimependa sana, unavyotoa ushahidi juu ya ukairitimbi uliofanyiwa na uongozi wa madakitari!" Hongera sana mzee wangu, Mh, mkuu wa mkoa Mh Paul Makonda, namwamini Kwa uchunguzi wake wa kina na yakinifu, atarifanyia kazi"
    Haki unayo hapo mzee wangu!"

  • @gloryanistarick2848
    @gloryanistarick2848 4 дня назад +2

    Huyo mfawidhi awekwe kikaangoni ataongea vizuri.. maana kama majibu tu wamemnyima mgonjwa je wangeruhusu mgonjwa kukutana na mtu wa ngazi ya juu ???? Hawezi kulalamika y ameenda kwenye media akati kwenye simu tu kashindwa kuongea kitu cha kueleweke. @ watanzania kwa umoja tupaze sauti kusaidia wale ambao hawana hata uwezo wa kufika kwa hizi media na wanapitia haya huko mahospitalini.

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 9 дней назад +3

    Huyo Dr mwenyewe NI dudu

  • @marrypius576
    @marrypius576 9 дней назад +4

    Kuna dada alipata shida ya figo kwasababu ya hawa wasenge tumeshamzika masikini yeye kaenda anakifua alafu wao wakasema anaugonjwa wa kifua kikuu mwisho wa siku hizo dawa zikamleta figo kufeli

  • @bitemollel-fo1rj
    @bitemollel-fo1rj 2 дня назад

    Wameniulia mama angu hao sina hamu nao,staki kuisikia Mount Meru😰😰Haifai

  • @emmanuelnkondola3944
    @emmanuelnkondola3944 8 дней назад +2

    Daktari kuna dawa inaitwa Streptokinase/alteplase / tenecleplase ni kindi la rtpa, zinatimika kumanage acute MI, dose ya sindano moja ni balaaa

  • @JohnKiboko
    @JohnKiboko 5 дней назад +2

    Hao madakitali wamesomeshwa bure na kodi za wanainchi halafu wanasumbua watu…! Na wanasababisha vifo Ndy maana wanaNg’olewaga meno kwa koleo na kucha kwa ujeuli wao😢😢

    • @mackjr5291
      @mackjr5291 4 дня назад

      Jenga hoja kusema wamesoma kwa kodi za wana nchi wakati ni mkopo na wanalipia mkopo

    • @NabuluLaiser-k2k
      @NabuluLaiser-k2k 4 дня назад

      Nani anawang'oa?

    • @JohnKiboko
      @JohnKiboko 4 дня назад

      @ ukiwa mkopo ndy utake kumuuwa binadamu mwenzio kisa pesa za mchongo

    • @mackjr5291
      @mackjr5291 4 дня назад

      @JohnKiboko jikite kwenye hoja why litokee misconduct?, lakini si kusema tumesoma kwa kodi zenu, unajua riba tunayolipa?, waliosoma kwa kodi zenu ndiyo hao wanaowaamulia utumbo walisoma bure enzi zao.

  • @enosruben7687
    @enosruben7687 День назад

    Ningependa tusikilize na upended wa mshitakiwa,,pia atuambie ye dactal wa wapi?

  • @NyatseLogistics
    @NyatseLogistics День назад

    Kweli kwanini asiende kwenye menejimenti kwanza?

  • @Yesuniwokovu
    @Yesuniwokovu 15 часов назад

    Nitashangaa kama hao madaktari watakuwa kazini mpaka muda huu

  • @AmisseMwenetombwe
    @AmisseMwenetombwe День назад

    Hakuna daktari yeyote anauwezo waku kamilisha dakika za logo chá MTU. Mimi ni daktari!! Mungu ndo anajua dakika zetu za kuishi

  • @JeneeNdanu
    @JeneeNdanu 2 дня назад

    Ninukweli mtupu kwanini tuandikie mate na wino upo🎉🎉 ush 32:19 ahidi anao doctor na recoding na kwanini anyimwe rufaa

  • @johnjescajohnjesca
    @johnjescajohnjesca 8 дней назад +2

    Ccm oyeeee, kazi iendeleee

    • @EmmanuelMlowe-u1v
      @EmmanuelMlowe-u1v 4 дня назад +1

      Watanzania wengi Sana hawana akili hasa wanachama wa chadema. Sasa chama na hospital wap na wapi?.ivi huoni Kama unatumia vibaya Sana akili?. Unapoenda hospitali unaenda kwenye ofisi ya chama?. Kwann watu wa chadema Kila kitu mnaona ni siasa?

    • @richardnganya2311
      @richardnganya2311 4 дня назад +1

      ​@@EmmanuelMlowe-u1vHEBU TOFAUTISHA SAMIA WA CCM NA SAMIA WA IKULU NA SAMIA ANAYETEUA WAZIRI WA AFYA

  • @blandinamwarabu5025
    @blandinamwarabu5025 10 дней назад +5

    Wewe ni mgonjwa kweli 😮

    • @halimamasai2234
      @halimamasai2234 10 дней назад

      Sidhani huyu ni mlalamikaji 😂😂

    • @DinaKyahe
      @DinaKyahe 9 дней назад

      😢

    • @bennybeanuce8146
      @bennybeanuce8146 8 дней назад

      Huyu ni kama mpelelezi

    • @snipershort6988
      @snipershort6988 5 дней назад

      ​@@halimamasai2234ndio utajua hujui, kuwa dunia ni kijiji

    • @Theironrod9373
      @Theironrod9373 4 дня назад

      @@halimamasai2234 sasa wewe unadhani huyu ni doctor au Nersi

  • @kelvinanselimu1281
    @kelvinanselimu1281 3 дня назад

    Pole sn mkuu ongera kwa kutoa Siri za maovu ya nchi yetu

  • @MwitaBoy-l5k
    @MwitaBoy-l5k 3 дня назад +1

    Madaktali wengi ukienda unaumwa wanakumalizia bora ujitibu kienyeji

  • @milkajm4762
    @milkajm4762 10 дней назад

    Mungu akusaidie ndugu

  • @nongollohsuleyman9734
    @nongollohsuleyman9734 2 дня назад

    Tanzania bado kazi tunayo mimi ni mmoja wapo lakin najua ni ufunguzi wa uchumi na mzunguko wa pesa pia kujivunia majengo ya hospital na zahanati

  • @witnesskessy9705
    @witnesskessy9705 3 дня назад

    Du Pole sana😢

  • @JasmineRamadhani-q6i
    @JasmineRamadhani-q6i 16 часов назад

    Makonda atashuulika mtetezi wa wayonge 😢

  • @hermanhhaaly9685
    @hermanhhaaly9685 8 дней назад

    Jenister Mhagama kazi kwako,waziri mkuu ingilia kati,hao madaktari kama bado wapo kazini wanailetea serikali taswira mbaya mbaya mbaya sana sana kwa Serikali ya awamu sita.Hayo amefanyiwa daktari jamani tumeisha.

  • @paulombay6884
    @paulombay6884 9 дней назад +2

    afu kibaya bro anatoa hela yake Yan hii nchi hatari

  • @archbordygodfrey2614
    @archbordygodfrey2614 10 дней назад +2

    Wanaoenda Mt Meru ni wageni Arusha,hapafai pale wanakuua chap tu😢

  • @kayombogregory8241
    @kayombogregory8241 10 дней назад +3

    Hiyo hospitali ni yahovyo kabisa siku nyingi. Kuna madaktari wa ajabu.

  • @rahimkatwe89
    @rahimkatwe89 День назад

    3 m ni gharama kubwa kwa madawa ya kawaida dawa nyingi ni antibiotics na hizi dawa huwa niza bei yakawaida 3 m sidhani akienda kwengine .kma bei .itakuwa hiyo

  • @JosephIsrael-t6n
    @JosephIsrael-t6n 5 дней назад

    Mama mh. Samia Suluhu Hasan,clip inayotrend ni ya kweli,watu wengi wanafanyiwa haya hawana mtetezi zaidi ya kuhatarisha maisha yao.mf Mimi nilpatiwa dawa iliuopitwa na wakati na hosp ya Selian Lutheran hosp,Tume iliundwa na wizara ikishirikiana na RMO na Dr Chande Tume ikajiridhisha ktk vikao 6 kilichofuata wote waliohusika kuhabarisha walipata adhabu k.m mtangazaji wa TBC leodgar Manga alihamishwa Singida na mwandishi wa gazeti la D/News Aliachishwa kazi! Mama wizara inajua swala hili wakiwepo makatibu wa wizara Afya na R.M.Os wliopita mkoa Arusha. Mama Tuhuma nyingi hazifanyiwi kazi na mara nyingi wengi wanaogopa Kutoa Taarifa hata kama SI la uzembe kwa hofu ya maisha Yao kuona hakuna hatua zozote zilizochukuliwa

  • @LuganoMwalwembe
    @LuganoMwalwembe 22 часа назад

    Hapo ingekuwa takataka ya dar ingelopo hovyo na mmasai wa afya angese wamekata picha je na huyu vp kakata picha ovyo sana mnapenda kuteteana

  • @moniepaul8972
    @moniepaul8972 День назад

    Makonda Maunt meru pamekua ni hatari tunakuomba unda tume ya uchunguzi haraka haya mambo nimengi sana

  • @Zwangendaba97
    @Zwangendaba97 3 дня назад +1

    imagine watu wasio jua haki zao wanavyo onewa

  • @RobertJohannes-n3c
    @RobertJohannes-n3c 10 дней назад +2

    Hao ndio madaktari tulionao na wakiongozwa na CCM ya akina Wasira!et kazi iendelee ni aibu!

  • @Mary-ru7xz
    @Mary-ru7xz 4 дня назад

    Mmmmmh Mungu awasaidie tu

  • @peterdavid20149
    @peterdavid20149 9 дней назад +3

    Ndugu yangu moja alipata ajali pale Arusha, wakati tunafikiria pa kumpeleka mtu moja alisema huyu watamweza kcmc tu lakini nendeni m meru mpewe barua ya rufaa, lakini m meru nawajua mtababaishwa sana kwa haki hamtapewa rufaa, toeni hela mtapata kwa haraka. Kweli tulipofika daktari moja akasema hebu elewekeni mkomboe mda mkawahi kcmc, tukampa pesa na haraka akatupeleka kwa mhusika barua ikaandikwa haraka ndani ya dakika 10 tayari tukaenda kcmc

  • @PauloMbwambo
    @PauloMbwambo 2 дня назад

    Watu wanateseka sana kwenye hio hosptal ila Mungu ataamua waendee kutesa watu