"MIMI NIMEWAHI KUKUTANA NA SHETANI, NILITIMKA MBIO!" | SIKIA USHUHUDA HUU WA AJABU WA ASKOFU GWAJIMA
HTML-код
- Опубликовано: 4 фев 2025
- Dr Josephat Gwajima is the Senior Pastor of a Largest Church in Tanzania. He is also the Arch-Bishop and founder of Ufufuo na Uzima Churches worldwide. God is using him to raise the dead, heal the sick and performing of signs and wonders in the name of Jesus. Follow his Facebook page jgwajima Instagram bishopgwajima
Join our Live Online Services every sunday at 1030 East Africa Time
AMINA KUBBWA
"BILA NGUVU ZA MUNGU HAKUNA ANAEMUWEZA SHETANI".
An international revivalist 🎉🎉❤❤❤
Amen🙏
Ameen Mtu wa Mungu
Amen nakupenda askofu
Ahaahaaaaa asante sana Baba yangu umenipa kitu kikubwa sana
Hatari sana, uko vizuri sana Mchungaji
Baba nakupenda,
Mungu akubariki by pastor erick
Amen
USHUHUDA HUU UENDELEE...TUONE WALE WATU ILIKUAJE MWISHONI...
Kweli pasipo Yesu Kristo mwanadamu hatuwezi jambo lolote
Jozeee gwash
Dah😊
Hahaahaha Mungu akubariki sana dah
Dah nimecheka sana bila MUNGU sis atuwez kitu
Askof mvuvua Watu unaingilia Kazi ya Mungu
Kazi ipi hiyo
Soma biblia
Kufa na Wewe tukufufue
Mungu ni roho ili kumsaidia mtu anamtumia mtu
Soma mathayo 10: 8. Iko wazi kabisa fufueni wafu. Toeni pepo. Takaseni wenye ukoma.
Mijusi🔥🔥😄😄😄😄
Duh!
Naomba kujua ilikua ni somo la lini maana najaribu kuangalia nakosa
😍 we love u Dady
Duh
Najiuriza hii dini yakiyahudi au niukristo
🙏🙏🙏 nahitaji msaada wa uponyaji naomba namba ya mtumishi huyu wa MUNGU
*Omba* Endelea kuomba usikate tamàa.
Kuomba mwenyewe ni vyema zaidi
Mhh..... huwezi kuipata kirahisi. Labda uende kanisani kwake
Asante naomba kamwe sitaacha kuomba MUNGU anionyeshe njia ya kutoka katika hili
Naamini MUNGU atatenda na nitayasimlia matendo yake
@@NoelaTembe-x5i pole sana kama utakuwa tayari tuzungumze nikupe namba yangu,,, Naitwa mtumishi wa Mungu Lucas
Jaman tusijisahau kunao wale watu waliochoma chanjo ya COVID soon watageuka cjui vitugani
Washa geuka, saivi kuna ma zombie kibao
Kasheshe
😂😂😂❤
uongo mwingine bn!!!!
😭😭😭
Na mie niliisha kutuna nae live huyo wa mionzi liikuwa hatare sana, ilijuwa usiku
Tupe sasa ushuhuda ilikuwaje
Huyu ni mchawi sasa
Kweli makenge wanadanganyika
Gwajima sometimes anajua kuuza watuu😂😂😂😂
Ukiona unauzwa si usisikilize Kwan umelazimishwa
Hii ni kweli Yesu ni ufufuo na uzima.
❤😂😂
Itakuwa ni miongoni mwa Ile misukule. Hivi iko wap
Wewe acha kudanganya watu 😂
Niombeje 😂
😂😂. Vigagula wapo kanisani weengi 😅😅 wanalaza watu. Na kumnyonya nguvu mchungaji
😂😂
Una ujinga
Wadanganye makengeeeee weweeee
Mhh ningekujibu ila basi tu
Ifike hatua tuwe na akili haijalishi anaeongea ni mwanasiasa mtu wadini..tuishi kwa ufaham ukweli huo niuongo ibadazote zinarekodiwa vp ckuhio zilikuawapi?akunakitu km hicho cha ajabu watu wengi wanakuckiliza
We hujui kitu, Kama unataka kuamini haya Anza kushughulikia roho za watu utamwona shetani alivyo, upo hivyo kwakuwa hujishughulishi na maisha ya kuokoa roho za watu,watumishi wanakutana na mambo ya ajabu, mambo ya rohoni nimazito we unadhari mashambuliz ya shetani kamera zinaweza kurekodi? Usibishe usichokijua
Amen 🙏