PART 2;MADUDU YAENDELEA KUFUFULIWA HOSPITAL YA MOUNT MERU MADAKTARI WALINIAMBIA NA DK 12O ZA KUISHI
HTML-код
- Опубликовано: 10 фев 2025
- #JAMBOTV
...........
Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
►RUclips: / @jambotv908
►INSTAGRAM: / jambotv
►TWITTER: / jambotv_
►FACEBOOK: / jambotv
►WEBSITE: jambo.tz/
Pole sana watakua wameua wengi sana
Kaka Mungu akulinde hao ni maadui bila wewe kujua,hautakufa Kwa jina la Yesu, wao ma familia zao ndiwatapa hayo magonjwa
Hii Taarifa Inabidi Tu shere adi Haki Ipatikane😢😢Mungu tu atutee maskini
Hizi hospital zinaua watu wengi sana mimi niliwekwa kwenye kitanda alichotoka mgonjwa wa kipundu pindu dakika hiyohiyo nikaugua ni vile MUNGU bado hakutaka niiache dunia nikapona
Hao wote wapelekwe mahakamani
Ningemsifu sana huyo aliyefanyiwa hayo kama angewarekodi. Na kweli huyo mgonjwa alitakiwa kumwona mganga mkuu siku hiyohiyo na kumweleza matukio hayo. Unless ana uhakika kwamba wanashirikiana. Na kwanini asingemwambia hata RC ambaye wote tunajua kwamba ni mwepesi kusaidia watu kwenye huduma za jamii akisaidia wengi wanaoonewa?
Kumbuka mtu anaumwa af anapewa longolongo it's so painful g
Serikali ichukue hatua
Mimi hata hizo dawa siziamini
Swala la usafiri shikilia hapo.kaka yangu alpata changamoto yaoyo hapo mwaka Jana lkn tulilipa milion na laki sitaki ya usafiri WA hosptali .msikatae titoa na dar tukapelekwa na gari ya happy na nes mmoja.
Haha😅😅😅happy nation milion😂😂😂shetani ashindwe
😂😂😂happy jmn