DR SLAA: "MIMI NI MPENZI WA MUUNGANO - MAGUFULI TULIFAHAMIANA TANGU BUNGENI - MIMI BADO NI BALOZI"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 11 окт 2024
  • DR SLAA: "MIMI NI MPENZI WA MUUNGANO - MAGUFULI TULIFAHAMIANA TANGU BUNGENI - MIMI BADO NI BALOZI"
    Jishindie Zawadi na Global TV
    Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
    👉🔥👉forms.gle/aU9z...
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Комментарии • 34

  • @gaagwasaugustino2584
    @gaagwasaugustino2584 5 месяцев назад +1

    Dr.Slaa wewe bado ni Balozi,heshima yako Baba. Endelea kupambania Taifa letu tupate Katiba mpya na tume huru ya uchaguzi, asante.

  • @JamesAbel-ig8wb
    @JamesAbel-ig8wb 5 месяцев назад +3

    Kwenye msimamo uko vizuri kuwa balozi ungekuwa ccm lakini ulikataa

  • @gowekogoweko5803
    @gowekogoweko5803 5 месяцев назад +1

    MSOMI HALISI 👏🏼👏🏼👏🏼HEKO BALOZI WILLBROD SLAA

  • @barrynzeyimana6270
    @barrynzeyimana6270 5 месяцев назад +2

    Dr Slaa ni kigeugeu sana

  • @ChristmasMaheri
    @ChristmasMaheri 5 месяцев назад

    Excellent experience of the current social-political situation and hope for the future of the country.

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 5 месяцев назад +3

    Alikuwa balozi mzuri sana huko Scandinavia🎉🎉

    • @Mima-cl2im
      @Mima-cl2im 5 месяцев назад

      Nchi za kiafrica viongozi waliokuwa wapenda haki, na viongozi bora, huwa wanachukiwa na kuondolewa madarakani, tunabakia na wapiga makofi ya uwongo kwa Rais ili kuchunga nafasi zawo kwa manufaa yawo wenyewe

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 5 месяцев назад

      Hii nchi ni mgumu sana ndugu

  • @Felix-e6t4m
    @Felix-e6t4m 5 месяцев назад

    asante sana watanganyika atutaki muungano Tena kupuuzwa na uongozi ulioko tuone sura alisi ya Tanganyika kwamaana iyo watanganyika fungueni macho tunayajua yote Sasa ni mapambano kwa wadhalimu waende kwao waarabu na wazungu na Zanzibar watawala kutoka visiwani Zanzibar kutawala Tanganyika tukatae kabisa kwasauti moja serekali iwache porojo wenu ni simba sauti ya wanyonge

  • @usembiphonedar5632
    @usembiphonedar5632 5 месяцев назад

    Kweli Dr.Slaa anaongea ukweli Bunge haliisimamii serikali na limebaki kuwa wapiga debe wa serikali badala ya wananchi! Mahakama siyo huru! Jaji anaweza kupigiwa simu na kutekeleza maagizo kutoka juu! Mfumo wa hovyo sana! Tunataka katiba mpya na tume huru ya uchaguzi!

  • @JosephuSwai
    @JosephuSwai 5 месяцев назад

    Kweli baba

  • @karyori69
    @karyori69 5 месяцев назад +1

    Marekani ilishakuwa na civil wars baada ya abolition of slavery!

  • @braystuskibassa3842
    @braystuskibassa3842 5 месяцев назад

    Katiba ni simple ila tatizo mifumo yetu bado si rafiki

  • @usembiphonedar5632
    @usembiphonedar5632 5 месяцев назад +1

    Ccm wakikataa katiba mpya na tume huru ya uchaguzi na kulazimisha uchaguzi ufanyike kwa katiba hii wanayoitumia kuiba uchaguzi, basi wanaharakati wote na wananchi wote wenye akili timamu na viongozi wa dini na vyama vya siasa visivyo vibaraka wa ccm tuungane tuunganishe nguvu zetu pamoja tuandae maandamano makubwa Nchi nzima siku ya uchaguzi tukiwa na mabango makubwa mengi kiasi cha kutosha kuionyesha serikali ya ccm na mafisadi wake pia kuionyesha Dunia kwamba tunataka katiba mpya! hatutaki kufanya uchaguzi huo wa mchongo bila katiba mpya na tume huru ya uchaguzi! Na hii inatakiwa ianze uchaguzi wa mwaka huu wa serikali za mitaa! kama ccm wanakaidi kuleta katiba mpya. Asanteni, mwenye akili timamu ataelewa ninachokisema.

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 5 месяцев назад

      Big point 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @johnkashandu2117
    @johnkashandu2117 5 месяцев назад +1

    Phd rubish

  • @rashidsuleiman9253
    @rashidsuleiman9253 5 месяцев назад

    Ni jimbo gani katika hayo majimbo ya Marekani yamewahi kua nchi huru na kua na kiti umoja wa mataifa? Halafu ujue hizo tanganyika na Zanzibar sio state mzee

  • @lgf7297
    @lgf7297 5 месяцев назад

    Anajikanyagakanyaga hana hoja. Nani ateue? Warioba aliteuliwa na nani?

  • @AyoubKhatib-p4k
    @AyoubKhatib-p4k 5 месяцев назад +1

    Muungano uvunjwe Tanganyika wazaifu sana mna roho mbaya sijui ilikuaje tukaungana na nyie

    • @charlesboniphace2249
      @charlesboniphace2249 5 месяцев назад +1

      😂😂😂😂
      Mm najua Zanzibar ni Mali ya Tanganyika na wazamzibari wote ni WA Tanganyika sema ni watumwa mliobakishwa zanzibari baadae ya biashara ya watumwa kukomeshwa

    • @afropatriot7769
      @afropatriot7769 5 месяцев назад

      Kaka kichogo kipo flat au mchongoko🤣🤣🤣 maana kama ni flat inabidi tukusamehe

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 5 месяцев назад

      ​@@charlesboniphace2249😂😂😂😂😂😂😂😂 watumwa ugonjwa wa moyo😂😂😂 kwa maneno yako 😂😂😂

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 5 месяцев назад

      ​​@@afropatriot7769😂😂😂😂😂😂😂😂😂 mchongoko😂😂😂😂

  • @arthurmwabulambo1201
    @arthurmwabulambo1201 5 месяцев назад +1

    Huyu mzee anasema hana chama wakati ongea yake yote ni chadema. Kama walivyomwambia Petro zungumza yako inakutambulisha kuwa ni mfuasi wa Yesu.

  • @nakalikyumile3234
    @nakalikyumile3234 5 месяцев назад +1

    Ccm inajua kabisa,endapo ukipatikana mfumo bora wa uchaguzi yaani kusiwepo upendeleo wowote kwa chama chochote kile,huo ndio mwisho wao,hilo wanalijua kabisa,maana ikiwa kweli wewe unatoka mitaani,basi unajua wazi jinsi watu wengi wanavyoichukia ccm"

    • @usembiphonedar5632
      @usembiphonedar5632 5 месяцев назад

      Hakika umeongea ukweli ndugu! Hawa mafisiemu inatakiwa waondoke madarakani japo wengi wanaona ni kazi kuwatoa lakini nguvu ya pamoja inawezekana kuwatoa! Tusikubali kugawanywa ns ccm hiyo ndiyo mbinu wanayoitumia pamoja na pesa kuhonga na kuwagawa wananchi ili wao wapate mwanya wa kushinda!

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 5 месяцев назад

      Hilo halipingiki ndugu

  • @hajihassan5433
    @hajihassan5433 5 месяцев назад +2

    Mhe. Dr. Slaa tukizungumzia KATIBA MPYA achana kabisa na Tume ya Warioba na Katiba Pendekezwa kwa sababu maoni ya Warioba ni HARAM alilazimisha maoni yawe yanaukubali Muungano na waliokataa waliwekwa ndani miaka 9 bila Mahakama. Tanzania ni Muungano wa Tanganyika na Zanzibar hivyo kila upande ukajadili na kupiga kura ya maoni, tuendelee nao au la, kama tuendelee nao ndio tutafute maoni Katiba yetu iwe je, hapo tutapata Katiba vinginevyo ni kupoteza tu muda.

    • @JosephuSwai
      @JosephuSwai 5 месяцев назад +2

      Boya

    • @hajihassan5433
      @hajihassan5433 5 месяцев назад +1

      @JosephuSwai Watanganyika mumevaa koti la Muungano kila kitu kimataifa ni nyinyi halafu ndio mnaozungumzia Katiba mpya bila ya sampuli hata ya ibara 1. Kama nia ya Muungano haipo tuuvunje waliouhitaji hawapo na walivyoutaka ulikuwa na una miaka 60 sasa ni ujinga kujadili sijuwi walikosea hapa au pale.

  • @braystuskibassa3842
    @braystuskibassa3842 5 месяцев назад

    Katiba ni simple ila tatizo mifumo yetu bado si rafiki

    • @hamisimuhunzi7916
      @hamisimuhunzi7916 5 месяцев назад

      mifumo ni zao la katiba ni sawa na kusema gari nzuri lakini ingini mbaya