UJENZI wa CHUO wa BILIONI 1.4 WAKWAMA - DC MAGOTI AFOKA AKIFANYA UKAGUZI KISARAWE...
HTML-код
- Опубликовано: 5 фев 2025
- UJENZI wa CHUO wa BILIONI 1.4 WAKWAMA - DC MAGOTI AFOKA AKIFANYA UKAGUZI KISARAWE...
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9z...
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
Wakati mwingine kumbe wakandarasi hawana shida
Wajanjaa wanazizungushaa pesaa za watu...Wanamsumbua sana mama yetu....pesa awape mpaka kifuatilia aanze kupiga kelele...!
Side mnyamwez hongera sana engineer kwa kaz nzuri. Dit civil o.d10moja hiyo
Hiyo wilaya Mbunge ndie sababu ana raho.mbaya sana. Husikii hata siku 1 akiitetea wikaya yake
Safi Mh.DC. Magoti, hakuna kubembelezana Mura kazi iendelee😂
Huyu jamaa ana kiwango cha kuongoza mkoa aisee!
Hayo ndio Majidudu yanayoitafuna hii Nchi.
Kama ipo sehemu imepelekwa fedha na hamna mfuatiliaji ahaa ndipo wapigaji wanapataka hapo kusomeshea Watoto wao Ulaya.
Mungu anawalipa Mitoto yenyewe ina kuwa Mishoga ikirudi huko Shule... Billal Shenzii.
Hiyo ndio shida ya watendaji wetu Ni Kwa nini hawafungwi wakichelewesha muradi kama huu.
Ongera mkuu wilaya
Ongera ni jina la mtu? Au una maana hongera ( yaani pongezi )
Huyo jamaa anayejibu maswali ya DC ana akili sana
Fanyen muende kwa DC magoti akawape historia yake ya elimu mpk kufikia hapa alipo tunahitaj
Yan watendaji wengi wa kitanzania wanatia hasira san kuna vyuo vingi havijengwi kwa kua wana hongwa na vyuo binafsi wasiharakishe
Hivi kweli kodi ya watanzania inachezewa hivi duh kwakweli hali siyo
We want deeds not words.
Mkuu wa wilaya Safi sio chawa
Wapigie Simu Moja kwa moja
Magufuli 2takukumbka
Mheshimiwa wiraya yetu ipo nyuma kiuchumi hakuna kitagauchumi vijijini wengine tumeacha nchi yetu kwa ajiri hakuna ajira
Kuna ardhi kubwa ni utajii mkubwa
Nondo zipo nje ya zege la jamvi
Safi mkuu Serikali inahitaji watendaji makini wenye ubunifu wa kazi kama nyie
CCM inaoka vijana
Wapike mpaka waungue
boss mtoto
Watanzani wamezoea kujaribu uskubari kujaribiwa mama amekuweka hapo kwaimani kubwa
Pengo la magufuli halitafutika
Haha kajamaa kajeuri sana
😅
Mkuunauriyamabasinikubwakutokakigogompakamsanga sh 6000 ukishukapopotebeindiyoiyoiyo fuatiliailo
Ata we menyewe una weza kusoma daah
@@salimalaquimane3077😂😂😂😂😂😂
Balaaaaa!!
Shule za sekondar zijengwe kwenye vijiji ili kila myazania asome maana shule za kata zipo mbali Sana na jamiii hivyo husababisha utoro na ukosefu wa elimu kwa uma wa WaTanzania!!!!
@@salimalaquimane3077yani watu wengine mpk unawaz hvi vichwa vyao vinakua na nn yani, dhahir waonyesha ndio ameanza kushika simu na akili zao ni mbili😅🤦🏿♂️