UJENZI wa CHUO wa BILIONI 1.4 WAKWAMA - DC MAGOTI AFOKA AKIFANYA UKAGUZI KISARAWE...

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 фев 2025
  • UJENZI wa CHUO wa BILIONI 1.4 WAKWAMA - DC MAGOTI AFOKA AKIFANYA UKAGUZI KISARAWE...
    Jishindie Zawadi na Global TV
    Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
    👉🔥👉forms.gle/aU9z...
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Комментарии • 36

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  7 месяцев назад +1

    Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7

    • @safnosmosha
      @safnosmosha 7 месяцев назад

      Wakati mwingine kumbe wakandarasi hawana shida

  • @salumally663
    @salumally663 7 месяцев назад +7

    Wajanjaa wanazizungushaa pesaa za watu...Wanamsumbua sana mama yetu....pesa awape mpaka kifuatilia aanze kupiga kelele...!

  • @emmanuelhayghaimo3969
    @emmanuelhayghaimo3969 7 месяцев назад +3

    Side mnyamwez hongera sana engineer kwa kaz nzuri. Dit civil o.d10moja hiyo

  • @RenaldaZeramula
    @RenaldaZeramula 6 месяцев назад +1

    Hiyo wilaya Mbunge ndie sababu ana raho.mbaya sana. Husikii hata siku 1 akiitetea wikaya yake

  • @piuskusenge-jf2ob
    @piuskusenge-jf2ob 7 месяцев назад +1

    Safi Mh.DC. Magoti, hakuna kubembelezana Mura kazi iendelee😂

  • @celestinermantenga2463
    @celestinermantenga2463 6 месяцев назад +1

    Huyu jamaa ana kiwango cha kuongoza mkoa aisee!

  • @AmanaHassan-cy4fi
    @AmanaHassan-cy4fi 6 месяцев назад

    Hayo ndio Majidudu yanayoitafuna hii Nchi.
    Kama ipo sehemu imepelekwa fedha na hamna mfuatiliaji ahaa ndipo wapigaji wanapataka hapo kusomeshea Watoto wao Ulaya.
    Mungu anawalipa Mitoto yenyewe ina kuwa Mishoga ikirudi huko Shule... Billal Shenzii.

  • @Optionxll_Playz1
    @Optionxll_Playz1 6 месяцев назад +1

    Hiyo ndio shida ya watendaji wetu Ni Kwa nini hawafungwi wakichelewesha muradi kama huu.

  • @tediusmakwara3931
    @tediusmakwara3931 7 месяцев назад +3

    Ongera mkuu wilaya

    • @DudddyWhyCant
      @DudddyWhyCant 6 месяцев назад

      Ongera ni jina la mtu? Au una maana hongera ( yaani pongezi )

  • @rewardyesse7314
    @rewardyesse7314 7 месяцев назад +4

    Huyo jamaa anayejibu maswali ya DC ana akili sana

  • @jumashedafa
    @jumashedafa 7 месяцев назад +4

    Fanyen muende kwa DC magoti akawape historia yake ya elimu mpk kufikia hapa alipo tunahitaj

  • @abuuramadhan8093
    @abuuramadhan8093 7 месяцев назад +1

    Yan watendaji wengi wa kitanzania wanatia hasira san kuna vyuo vingi havijengwi kwa kua wana hongwa na vyuo binafsi wasiharakishe

  • @damianokwaangw4402
    @damianokwaangw4402 7 месяцев назад

    Hivi kweli kodi ya watanzania inachezewa hivi duh kwakweli hali siyo

  • @michaelndilima6210
    @michaelndilima6210 6 месяцев назад

    We want deeds not words.

  • @MusaOgwoko
    @MusaOgwoko 5 месяцев назад

    Mkuu wa wilaya Safi sio chawa

  • @renatusblandes1131
    @renatusblandes1131 7 месяцев назад

    Wapigie Simu Moja kwa moja

  • @MathewAlphonce
    @MathewAlphonce 7 месяцев назад +2

    Magufuli 2takukumbka

  • @StAr-yu3vz
    @StAr-yu3vz 7 месяцев назад

    Mheshimiwa wiraya yetu ipo nyuma kiuchumi hakuna kitagauchumi vijijini wengine tumeacha nchi yetu kwa ajiri hakuna ajira

  • @fundimtz8111
    @fundimtz8111 6 месяцев назад

    Nondo zipo nje ya zege la jamvi

  • @byabatokaroma2522
    @byabatokaroma2522 7 месяцев назад +1

    Safi mkuu Serikali inahitaji watendaji makini wenye ubunifu wa kazi kama nyie

  • @AliVuai-cv8xv
    @AliVuai-cv8xv 7 месяцев назад

    CCM inaoka vijana

  • @youthmediatv257
    @youthmediatv257 7 месяцев назад

    Wapike mpaka waungue

  • @ScopionScopion-zj9cd
    @ScopionScopion-zj9cd 7 месяцев назад

    boss mtoto

  • @MatokeoKasindi
    @MatokeoKasindi 6 месяцев назад +1

    Watanzani wamezoea kujaribu uskubari kujaribiwa mama amekuweka hapo kwaimani kubwa

  • @Allen-u4s
    @Allen-u4s 4 месяца назад

    Pengo la magufuli halitafutika

  • @ramadhaniraphael6955
    @ramadhaniraphael6955 7 месяцев назад +1

    Haha kajamaa kajeuri sana

  • @MenelusCzar
    @MenelusCzar 6 месяцев назад

    😅

  • @hamzasaidi7697
    @hamzasaidi7697 7 месяцев назад

    Mkuunauriyamabasinikubwakutokakigogompakamsanga sh 6000 ukishukapopotebeindiyoiyoiyo fuatiliailo

    • @salimalaquimane3077
      @salimalaquimane3077 7 месяцев назад

      Ata we menyewe una weza kusoma daah

    • @zakayomgaya2758
      @zakayomgaya2758 7 месяцев назад

      ​@@salimalaquimane3077😂😂😂😂😂😂

    • @athumanishabani1143
      @athumanishabani1143 7 месяцев назад

      Balaaaaa!!

    • @athumanishabani1143
      @athumanishabani1143 7 месяцев назад

      Shule za sekondar zijengwe kwenye vijiji ili kila myazania asome maana shule za kata zipo mbali Sana na jamiii hivyo husababisha utoro na ukosefu wa elimu kwa uma wa WaTanzania!!!!

    • @husseinmramba
      @husseinmramba 6 месяцев назад

      @@salimalaquimane3077yani watu wengine mpk unawaz hvi vichwa vyao vinakua na nn yani, dhahir waonyesha ndio ameanza kushika simu na akili zao ni mbili😅🤦🏿‍♂️