Yan katika vitu ambavyo mtu hutakiwi kujidanganya ni kujiona una mamlaka kuliko Mungu kuleta mapana ya hovyo mbele ya watumishi waliochaguliwa na Mungu hao ni watumishi wa Mwenye Mamlaka isiyowezwa muulize Farao na jeshi lake, muulize sesera na jeshi lake, muulize Goliath na jeshi lake, Muulize Ibilisi shetani na jeshi lake, do politics lkn kuwa na nidhamu kwa Mungu, Mungu hatishiwi Nyau Mzee huyo ni mwisho wa vituo yan hata uwe nani akiamua kukufuta kwenye ramani ya dunia ni jambo la sekunde tu
Kazi yako ni njema sana nimekufatilia sana unafanya kazi n Njema mnoo ila tu namna umemfokea askofu daa na namna uliongea na mashehe nitofauti ....DC KAZI YAKO NI NZURI SANA ILA NI HILO TU KAMA UNAWAONGELESHA MASHEHE KWA UPOLE NA ASKOFU WAONGELESHE HIVYOHIVYO KWAKWELI
Mwenyezi Mungu awasimamie viongozi kama hawa, waendelee kupiga kazi wawasaidie wananchi wanaodhulumika.
Dc magoti mie nipo bukoba lakin nakukubali sana kazi nzuri
Makonda,Magoti,Mtaka nawapendaaaaaaa sana
Mheshimiwa ana MKWARA et anaruka MEZA 😂😂😂 MAGOT 👍👍👍
U're doing good....walakini wawezaondolewa kama Jerry Slaa..daaah!
Kazi nzuri sana hii, kongole, ila watu wanaosema sana bongo hii
Magotiiiiiiiii napiga dua hapa uje uhamishiwe kwetu maana unapga kazi sana
Well done sasa Mh: Magoti kdgo kwambali naanza kukuelewa elewa
Well done DC chapa kazi wasikuchukulie poa
😂😂😂😂 huyo jamaaa mwenye mabakamabaka duuuuu!!! Ukikohoa tu umeliwa😂😂
Hahaha uyo afande namjua vizuri niafande wangu
😂😂😂😂
Hahaha 😅😅😅😅😅
Toka umekuja kisarawe tumepata heshima iliyopotea mheshimiwa Kweli umekuja kutusaidia nakukubali Sana mungu akulinde nipo nawe
Yan katika vitu ambavyo mtu hutakiwi kujidanganya ni kujiona una mamlaka kuliko Mungu kuleta mapana ya hovyo mbele ya watumishi waliochaguliwa na Mungu hao ni watumishi wa Mwenye Mamlaka isiyowezwa muulize Farao na jeshi lake, muulize sesera na jeshi lake, muulize Goliath na jeshi lake, Muulize Ibilisi shetani na jeshi lake, do politics lkn kuwa na nidhamu kwa Mungu, Mungu hatishiwi Nyau Mzee huyo ni mwisho wa vituo yan hata uwe nani akiamua kukufuta kwenye ramani ya dunia ni jambo la sekunde tu
Mungu akulnde
Umetisha magoti
😂😂😂😂😂ee Mungu wangu wewe, eti mzuka umenipanda naweza kuruka meza 😅😅😅😅nimecheka kizembe duh
Ongelasana
Dc ninae mpenda Sana kwa kuchapa kazi😅😅😅😅
Uyu jamaa safi sana duu aisee kama ingekua kua wakuu wa wilaya wote wapo ivi mbona nchi ingekua poa sana
Kazi yako ni njema sana nimekufatilia sana unafanya kazi n
Njema mnoo ila tu namna umemfokea askofu daa na namna uliongea na mashehe nitofauti ....DC KAZI YAKO NI NZURI SANA ILA NI HILO TU KAMA UNAWAONGELESHA MASHEHE KWA UPOLE NA ASKOFU WAONGELESHE HIVYOHIVYO KWAKWELI
Yaani watu wanazurumiwa...dunia hii.. viongozi hwafanyi kazi..kabisa yaani magoti anavumbua madudu
Yani hivi ndio wanatakiwa wakuu wa mikoa wakuu wa wilaya wanavo takiwa kumsaidia Raisi wetu
Mbona kama kavaa kihu ...
Kwahiyo wewe ni mhuni siyo?
Kisalawe Kumenoga
Fatilia biwanja bya makazi vijepimwa Visegese mwaka wa 10 wamevigawana wanaviuza ghali sana ndio maana visegese haijengeki wala muwekezaji hawaji
Nitaomba endelee nione io mitikasi
CCM hawataki kisarawe iendelee. Miaka 80 wikaya ipo km kitongoji
Hatakama kumbe mnashughulikia watu kihuni na si kwamujibu wa sheria?
Huyu dada hapo pembeni ni nani? maana siku zooote namuona hapo pembeni kwa Mkuu
Ndo Mkurugenzi
Demu wake huyo
Bibi yako mzaa babu yako hahahahaaa
@@kainimlowe9646shindwa