Kama na wewe unatamani sana hekima ya Mh, Rais Dr Samia Suluhu Hasain impendeze zaidi amrudishe Mh Jerry-Slaa katika wizara ya Ardhi naomba like nyingi ili tuandike barua kwa Mh Rais wetu.❤
Nenda taratibu km ni askofu wa kweli na km hana kosa. Neno la Mungu linasema msiwaguse wapakwa mafuta wangu. Wakikunenea baya km umewaaibisha na kuwashushua bila sababu ni balaa mpaka kizazi cha nne
Muendelezo wa hicho kikao ruclips.net/video/Yu96ptMl8sU/видео.htmlsi=9aK5FWnHMKb9Eiki Usisahau kuwa hata Yesu aliwaumbua hadharani Mafarisayo na Masadukayo (waandishi) na walikuwa viongozi wa kiroho wenye heshima kubwa wakati ule.
Dc,kuwa makini na maneno yako,kasi yako siyo nzuri,uongozi,ni busara hasa kwa unao waongoza lazima uwe makini sana kwenye matamshi ya lugha,fuatilia jambo kwa kina usihukumu kwa mihemko na acha kuchezea viongozi wa dini kuongoza halaiki ni kazi ngumu unafikiri ni vikao vya ndani,vinginevyo hicho cheo ni wazi hakikutoshi huo ndo ukweli
Muendelezo wa hicho kikao ruclips.net/video/Yu96ptMl8sU/видео.htmlsi=9aK5FWnHMKb9Eiki Usisahau kuwa hata Yesu aliwaumbua hadharani Mafarisayo na Masadukayo (waandishi) na walikuwa viongozi wa kiroho wenye heshima kubwa wakati ule.
Kumkemea na kumkalipia huyo askofu mbele ya halaiki ya watu kama si kweli DC inaweza kuja kukuponza, what if kesho ukaja kugundua alikuwa sahihi na umesha mzalilisha? Kiongozi unapaswa kuwa msikivu fatilia kabla ya kufanya maamuzi kwenye public.
Muendelezo wa hicho kikao ruclips.net/video/Yu96ptMl8sU/видео.htmlsi=9aK5FWnHMKb9Eiki Usisahau kuwa hata Yesu aliwaumbua hadharani Mafarisayo na Masadukayo (waandishi) na walikuwa viongozi wa kiroho wenye heshima kubwa wakati ule.
Safi sn dc, pia bora silaa arudishwe wzr ya ardhi,kwanini ametolewa kulikoni? wakati nijembe kwelikweli😢😢😢
Kama na wewe unatamani sana hekima ya Mh, Rais Dr Samia Suluhu Hasain impendeze zaidi amrudishe Mh Jerry-Slaa katika wizara ya Ardhi naomba like nyingi ili tuandike barua kwa Mh Rais wetu.❤
Safiii sanaaa
Honger mh mkuu wa wilaya
Mkuu wa wilaya yuko very disorganized
Sasa Mh. J. Slaa ametolewa kwenye wizara..
Hapo angekwenda kufanya ziara eneo la tukio na kutoa majibu yenye ufumbuzi.
Kwakweli Mimi binafsi kuondolewa kwa Jerry Slaaa ni mapema mno angemuacha Hadi uchaguzi 2025
Namuomba mh raisi kama itakupendeza umludishe jeri sila ardhi
Jaman magoti kana nawe
Safi sana Ayo TV kwa kusaport kazi za DC wa kimataifa
Anajitaidi huyu kiongozi mainshaallah
😂😂😂😂😂😂 ila dc aise anavituko uyo
Hahaha askofu kanisa gani inabid utaje maana 😂😂
Nenda taratibu km ni askofu wa kweli na km hana kosa. Neno la Mungu linasema msiwaguse wapakwa mafuta wangu. Wakikunenea baya km umewaaibisha na kuwashushua bila sababu ni balaa mpaka kizazi cha nne
Muendelezo wa hicho kikao
ruclips.net/video/Yu96ptMl8sU/видео.htmlsi=9aK5FWnHMKb9Eiki
Usisahau kuwa hata Yesu aliwaumbua hadharani Mafarisayo na Masadukayo (waandishi) na walikuwa viongozi wa kiroho wenye heshima kubwa wakati ule.
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Dc,kuwa makini na maneno yako,kasi yako siyo nzuri,uongozi,ni busara hasa kwa unao waongoza lazima uwe makini sana kwenye matamshi ya lugha,fuatilia jambo kwa kina usihukumu kwa mihemko na acha kuchezea viongozi wa dini kuongoza halaiki ni kazi ngumu unafikiri ni vikao vya ndani,vinginevyo hicho cheo ni wazi hakikutoshi huo ndo ukweli
Muendelezo wa hicho kikao
ruclips.net/video/Yu96ptMl8sU/видео.htmlsi=9aK5FWnHMKb9Eiki
Usisahau kuwa hata Yesu aliwaumbua hadharani Mafarisayo na Masadukayo (waandishi) na walikuwa viongozi wa kiroho wenye heshima kubwa wakati ule.
Kumkemea na kumkalipia huyo askofu mbele ya halaiki ya watu kama si kweli DC inaweza kuja kukuponza, what if kesho ukaja kugundua alikuwa sahihi na umesha mzalilisha? Kiongozi unapaswa kuwa msikivu fatilia kabla ya kufanya maamuzi kwenye public.
Muendelezo wa hicho kikao
ruclips.net/video/Yu96ptMl8sU/видео.htmlsi=9aK5FWnHMKb9Eiki
Usisahau kuwa hata Yesu aliwaumbua hadharani Mafarisayo na Masadukayo (waandishi) na walikuwa viongozi wa kiroho wenye heshima kubwa wakati ule.