DC MAGOTI AMUWAKIA ASKOFU "USITUMIE DINI KUDHULUMU WATU, USIRUDIE KUNIDANGANYA"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024

Комментарии • 21

  • @abuusaid3297
    @abuusaid3297 2 месяца назад

    Safi sn dc, pia bora silaa arudishwe wzr ya ardhi,kwanini ametolewa kulikoni? wakati nijembe kwelikweli😢😢😢

  • @knowledgetv5594
    @knowledgetv5594 2 месяца назад +2

    Kama na wewe unatamani sana hekima ya Mh, Rais Dr Samia Suluhu Hasain impendeze zaidi amrudishe Mh Jerry-Slaa katika wizara ya Ardhi naomba like nyingi ili tuandike barua kwa Mh Rais wetu.❤

  • @kafitiwilliam8358
    @kafitiwilliam8358 2 месяца назад

    Safiii sanaaa

  • @JumaRamadhaninjama
    @JumaRamadhaninjama 2 месяца назад +4

    Honger mh mkuu wa wilaya

  • @ourearthmatters5206
    @ourearthmatters5206 2 месяца назад

    Mkuu wa wilaya yuko very disorganized

  • @richardnganya2311
    @richardnganya2311 2 месяца назад +2

    Sasa Mh. J. Slaa ametolewa kwenye wizara..
    Hapo angekwenda kufanya ziara eneo la tukio na kutoa majibu yenye ufumbuzi.

  • @GibsonNtamamilo
    @GibsonNtamamilo 2 месяца назад +2

    Kwakweli Mimi binafsi kuondolewa kwa Jerry Slaaa ni mapema mno angemuacha Hadi uchaguzi 2025

  • @DeoKimbe-gt4op
    @DeoKimbe-gt4op 2 месяца назад +2

    Namuomba mh raisi kama itakupendeza umludishe jeri sila ardhi

  • @EshaMichael-zw7zi
    @EshaMichael-zw7zi 2 месяца назад

    Jaman magoti kana nawe

  • @ramadhanimtetu3656
    @ramadhanimtetu3656 2 месяца назад

    Safi sana Ayo TV kwa kusaport kazi za DC wa kimataifa

  • @aboudasilver6541
    @aboudasilver6541 2 месяца назад

    Anajitaidi huyu kiongozi mainshaallah

  • @wamadenzatv4174
    @wamadenzatv4174 2 месяца назад +1

    😂😂😂😂😂😂 ila dc aise anavituko uyo

  • @sofiamsuya2254
    @sofiamsuya2254 2 месяца назад +1

    Hahaha askofu kanisa gani inabid utaje maana 😂😂

  • @josepherjosephpaul1138
    @josepherjosephpaul1138 2 месяца назад +3

    Nenda taratibu km ni askofu wa kweli na km hana kosa. Neno la Mungu linasema msiwaguse wapakwa mafuta wangu. Wakikunenea baya km umewaaibisha na kuwashushua bila sababu ni balaa mpaka kizazi cha nne

    • @SonofJacol-t6h
      @SonofJacol-t6h 2 месяца назад

      Muendelezo wa hicho kikao
      ruclips.net/video/Yu96ptMl8sU/видео.htmlsi=9aK5FWnHMKb9Eiki
      Usisahau kuwa hata Yesu aliwaumbua hadharani Mafarisayo na Masadukayo (waandishi) na walikuwa viongozi wa kiroho wenye heshima kubwa wakati ule.

  • @BeniJohn-xd3cn
    @BeniJohn-xd3cn 2 месяца назад +1

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @andreapesambili7981
    @andreapesambili7981 2 месяца назад

    Dc,kuwa makini na maneno yako,kasi yako siyo nzuri,uongozi,ni busara hasa kwa unao waongoza lazima uwe makini sana kwenye matamshi ya lugha,fuatilia jambo kwa kina usihukumu kwa mihemko na acha kuchezea viongozi wa dini kuongoza halaiki ni kazi ngumu unafikiri ni vikao vya ndani,vinginevyo hicho cheo ni wazi hakikutoshi huo ndo ukweli

    • @SonofJacol-t6h
      @SonofJacol-t6h 2 месяца назад

      Muendelezo wa hicho kikao
      ruclips.net/video/Yu96ptMl8sU/видео.htmlsi=9aK5FWnHMKb9Eiki
      Usisahau kuwa hata Yesu aliwaumbua hadharani Mafarisayo na Masadukayo (waandishi) na walikuwa viongozi wa kiroho wenye heshima kubwa wakati ule.

  • @athanaskitime1484
    @athanaskitime1484 2 месяца назад

    Kumkemea na kumkalipia huyo askofu mbele ya halaiki ya watu kama si kweli DC inaweza kuja kukuponza, what if kesho ukaja kugundua alikuwa sahihi na umesha mzalilisha? Kiongozi unapaswa kuwa msikivu fatilia kabla ya kufanya maamuzi kwenye public.

    • @SonofJacol-t6h
      @SonofJacol-t6h 2 месяца назад

      Muendelezo wa hicho kikao
      ruclips.net/video/Yu96ptMl8sU/видео.htmlsi=9aK5FWnHMKb9Eiki
      Usisahau kuwa hata Yesu aliwaumbua hadharani Mafarisayo na Masadukayo (waandishi) na walikuwa viongozi wa kiroho wenye heshima kubwa wakati ule.