Mungu hajalala amesikia atatenda kwa wakati wake kila mwenye Nia ya dhati kutoka kwenye janga Hilo na atamuinua kwa ukubwa.. Mungu ilinde Tanzania 🇹🇿 iondoe kwenye majanga haya na mengineyo yanayoitesa Dunia. AMEN
Hakika hii ni zaidi ya sanaa. Nawapongeza saaana kwa mlichokifanya, mmefikisha ujumbe kwa njia rahisi na yenye kuvuta hisia. Mungu aliponye taifa letu dhidi ya janga hili.
Inachoma moyoni inaniumiza mpaka natokwa na machozi imenifanya nimkumbukue rafiki yangu ambae kaka yake aliuwawa kwa kumchomwa kisu na producer nakabaki yeye na mama yake tu nae alifariki na kuzikwa pembeni ya nyumba yake karibu na gate ili mwanae asije uza nyumba lakini kwa akili ya unga akauza hakujali hata kaburi ya mama yake nyumba ilikuwa ya ghorofa na ukubwa wa eneo zaidi 5000sqm kwa mlioni Mia na 20 tu, inahuzunisha sana namuombea kill kukicha asirudie tena maana aliacha.
Mama Samia wewe ni mama nakupenda mnoo MAOMBI YANGU NA DUA ZANGU MUNGU ASIKUACHE ASIKUPUNGUKIE MAMA WEWE NI MAMA MAMA HAWEZI BADILIKA AKAACHA WATOTO WAKE MAMA NAKUOMBEA SANAAA UTUFIKISHE MAHALI SAHIHI MAMA NAKUOMBEA SANAAA
Daàaa kiukweli naomba wimbohuu uluxhwe kwenye tv tarehe 8/8/2024 ilimaelfu ya watu waweze kusikiliza angalau kazi ya MUNGU nanguvu yake ikawaponye vijana Amina
Uwiiiiiiiiiiiiiiiii wimbo unagusa sanaaaa .......MAMA YANGU SAMIA NAKUPENDA MAMA NAKUOMBEA UFANIKIWE KUWALEA WATOTO HAWA WA MTAANI WATOTO WETU HAWA NAWAOMBEA SANAA .....
Hakika mmefanya wanders sanaaaa... Hapa kilichobaki in KUOKOKA TU, MUMPE YESU MAISHA YENU...!!! Maana kuacha dhambi Ba kumwamini YESU na kuokoka ni vena zaidi ya kuacha madawa ya mulevya na kula ngada...!!! YESU ANAWAPENDA BY JESTUS MHELELA
Naomba hii nyimbo ipigwe kwenye azam tv two kabla ya kuanza pambano la yanga tarehe 8 mwezi ujao ili maelfu ya wengi itaonekana na wengi maana hao wateja wengi hawana cm ya whtsup naona watajipata na wataokoka 80 cio Tanzania na nchi jirani pia watapata tiba ! Na pia iwe inapigwa kila cku kwenye tv Amun
Nimeipenda sana njia hii ya risala, hakuna anayeponyoka kuisikiliza hii, very touching. Tupeni elimu namna ya kuwasaidia hawa tulionao huku mtaani. Tunawasaidia kuwalisha lakini wanahitaji kazi tufanyeje?
Kuna watu wakubwa na wafanyabiashara wa hayo madawa unakuta wapo hapo, watoto wa wenzao wanaangamia wao wanaingiza vipato kwa ajili ya watoto wao, dah Mungu tusaidie
Nyinyi fanyeni wazimu tu hapo. Mujaze matumbo yenu na kulala usungizi mororo. Mnaowangoza wanalala njaa. Serekali haina haqqi za kibinaadamu. Julie i wazimu apo lkn mtakwenda kujibu mbele ya alla mb'wa nye.
Wameu design vzuri huu wimbo na hatta jinsi ya ku ACT uhalisia saafi saana kwa ajili ya kuokoa ambao wanataka kuingia au wameshaingia lakin wanashida ya kutoka.... MADAWA YA KULEVYA HUANZIA KWA KUSHAWISHIWA NA WATU WA KARIBU EITHER MARAFIKI AU WANAFUNZI WENZAKO WENGI WAO HUANZIA MASHULEN...
Mungu hajalala amesikia atatenda kwa wakati wake kila mwenye Nia ya dhati kutoka kwenye janga Hilo na atamuinua kwa ukubwa.. Mungu ilinde Tanzania 🇹🇿 iondoe kwenye majanga haya na mengineyo yanayoitesa Dunia. AMEN
Bwana wa Majeshi Mungu Mkuu uishiye Milele tunakuomba uwashe taa yako isiyozimika ndani ya mioyo ya watoto wetu wakujue wewe kuwa unatosha🙏🙏🙏
Hakika hii ni zaidi ya sanaa. Nawapongeza saaana kwa mlichokifanya, mmefikisha ujumbe kwa njia rahisi na yenye kuvuta hisia. Mungu aliponye taifa letu dhidi ya janga hili.
Hiii ni zuri mno and so emotional hongera sana Mrisho Mpoto
Inachoma moyoni inaniumiza mpaka natokwa na machozi imenifanya nimkumbukue rafiki yangu ambae kaka yake aliuwawa kwa kumchomwa kisu na producer nakabaki yeye na mama yake tu nae alifariki na kuzikwa pembeni ya nyumba yake karibu na gate ili mwanae asije uza nyumba lakini kwa akili ya unga akauza hakujali hata kaburi ya mama yake nyumba ilikuwa ya ghorofa na ukubwa wa eneo zaidi 5000sqm kwa mlioni Mia na 20 tu, inahuzunisha sana namuombea kill kukicha asirudie tena maana aliacha.
Hongereni sana ujumbe mzuri na umefika, mbalikiwe sana mwenyezi MUNGU awalinde.
Mungu kumbuka watoto wetu ooh yesu asaidieeee matumbo mengi ya wamama yanaliaaaa kwa watoto kutumizaaa oooooh Yesuuuuuu
Wimbo huu uibwe angalau kwa kila chombo cha habari walau mara moja kwa wiki jioni maana unaelimisha sana. Mungu ibariki Tanzania.
Asante mungu mkwakulitetea taifa la Tz mungu ibariki tanzania bariki viongozi waTz
Hongera sana kaz nzur kwa kufikisha ujumbe mzur ktk jamii
Mtoto wa nyoka ni nyoka wallah, Mrisho hongera
Hongera mjomba ujhmbe mzuri na wakusikitusha pia kiukweli nimelia japo nimesikiliza peke yangu,big up.
Mama Samia wewe ni mama nakupenda mnoo MAOMBI YANGU NA DUA ZANGU MUNGU ASIKUACHE ASIKUPUNGUKIE MAMA WEWE NI MAMA MAMA HAWEZI BADILIKA AKAACHA WATOTO WAKE MAMA NAKUOMBEA SANAAA UTUFIKISHE MAHALI SAHIHI MAMA NAKUOMBEA SANAAA
Wauza. Unga wamo humo wametulia kwenda kuziandaa hawapendi watoto wa wenzenu mnataka wafe wo te ili watot wenu wabaki
Ntaonyesha vijana wanaonizunguka wengi ni walevi hawatadhubutu Mungu ibariki na kuirehemu Tanzania
Daàaa kiukweli naomba wimbohuu uluxhwe kwenye tv tarehe 8/8/2024 ilimaelfu ya watu waweze kusikiliza angalau kazi ya MUNGU nanguvu yake ikawaponye vijana Amina
Mungu akubariki Rais wetu
Ipo NGUVU YA MUNGU mahali apo....I can feel it
Nimeipenda hii mungu akupe hekma zaidi
Yasin broo umeuwa god bless you kwa huu ujumbe umefika kaka
Imeniliza sana. Hakika ujumbe umefika
Ujumbe mzuri ila hapohapo watu wa selikali ndo wanayofanya hayo.inasikitika mnno😢😢😢😢
Nyimbo nzur ila nikisikia sifa kwa binadamu nachukia bora umshukuru mungu
Hongera sana kazi nzuri
Kweli haramu ni tamu .mmmmmh..china Wa. Tanzania..wakishikwa wanadungwa .sindano ya.sumu .na kuchomwa .kwenye .pipa . Lakini wao.wakikatwa..hatusikui.chochote..😭😭😭😭🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿😭😭😭😭
Mamangu kipenzi chetu pambana mama tembo hashindwi na mkonga wake pambana mm big up mungu akutunze kwa ajiri yetu!!
Party two hii,hongera kaka mrsho mpoto,hii ni zaid ya sanaa
Ni dhana njema kuangalia chanzo cha tatizo, uwajibikaji dhaifu wa wazazi. Hongera sana kwa ujumbe mzito wenye kuleta athari pia.
It's very good song for the society god help us to mantain our life
Mashallah kwa kufikiaha ujumbe mzuri kwakeeli dunia imearibika
Bwana Yesu Kristo naomba waponye watoto wetu walio kwenye makundi mabaya
BWANA YESU ULIE KETI MBNGUNI KONE KITI CHA ENZI NAKUOMBA UWASAIDIE WATOTO WETU
AMINA NA ITAKUWA HIVYO TANZANIA NA ULIMWENGUNI KOTE
@@juliethmagezi3104 AMINA KWA JINA LA YESU KRISTO ALIE HAI
Amen
Amina
Kama nawew umeludia malambili kama Mimi ngonga like😢
Kwa yo yote aliesikiliza ujumbe huu Ana nafasi ya kusemezana na kijana wa jinsia yote juu ya janga hili
Very touching message
Yesu alitetee taifa letu la Tanzania
Uwiiiiiiiiiiiiiiiii wimbo unagusa sanaaaa .......MAMA YANGU SAMIA NAKUPENDA MAMA NAKUOMBEA UFANIKIWE KUWALEA WATOTO HAWA WA MTAANI WATOTO WETU HAWA NAWAOMBEA SANAA .....
Mungu isaidie Tanzania
mungu ibariki Tanzania mung u walinde watotowetu
God bless Tanzania God bless Africa
Hakika mmefanya wanders sanaaaa...
Hapa kilichobaki in KUOKOKA TU, MUMPE YESU MAISHA YENU...!!!
Maana kuacha dhambi Ba kumwamini YESU na kuokoka ni vena zaidi ya kuacha madawa ya mulevya na kula ngada...!!!
YESU ANAWAPENDA
BY
JESTUS MHELELA
JESTUS
Kwakweli inaumaa.sana madawa.ya.kulevyaa imeangamiza watu wengi🇹🇿🇹🇿🇹🇿🤲😭😭😭😭😭😭
Kubwaa sanaaa my g
Mtoto wa nyoka n nyoka...,hongera kaka mwisho mpoto
Mungu akubariki kipaji chako
We ino jowakunifanya nilie mimi kisa kusikiliza nyimbo hii😢😢😢😊
Naomba hii nyimbo ipigwe kwenye azam tv two kabla ya kuanza pambano la yanga tarehe 8 mwezi ujao ili maelfu ya wengi itaonekana na wengi maana hao wateja wengi hawana cm ya whtsup naona watajipata na wataokoka 80 cio Tanzania na nchi jirani pia watapata tiba ! Na pia iwe inapigwa kila cku kwenye tv Amun
🎉🎉.
🎉🎉🎉
Touching song, moyo unatetemeka
Naumia mm hili janga linaniumiza mm malengo yake yote yameisha kwenye madawa angalau kidogo afya ni nzuri 😭😭😭😭
Nimeipenda sana njia hii ya risala, hakuna anayeponyoka kuisikiliza hii, very touching. Tupeni elimu namna ya kuwasaidia hawa tulionao huku mtaani. Tunawasaidia kuwalisha lakini wanahitaji kazi tufanyeje?
I was thinking that am strong ....i find myself very weak while listening this song😭😭
Mungu bariki watoto wetu
Mmetisha kinomanoma❤❤❤❤
Mungu akuinue katika kipaji chako chauimbaji
Mbegu bora iliyopandwa juu ya mtoto huyu yapaswa kulindwa kwa gharama kubwa.
Ujumbe mzur sana
Duuu.upo.vizuri.dogo
Daaaa nimelia hata sielewi 😢😢😢
Ni kweli madawa ya kulevya ni hatari Kwa taifa letu
Mungu lbariki Tanzania 🇹🇿
Kazi nzuli kaka
Najuta kuusikiliza mbele za watu,,bora ningeusikiliza nyumbani nikalia vzr,,maana naona aibu nalia mbele za watu😢😢😢
We lia tu sio shida wakikuuliza ndo useme kinachokuliz
Jaman
Pole my dear
Polee unaumiza hakika
Hii Part 2
Wapi stive nyerere .aje asikie..kizungu au kingereza.😂😂😂😂😂
Mara nyingi Mtoto hufanya kazi ya babaye, Mrisho ndagukunda
Kwaiyo mjomba kashaanza kumuwela mtoto kwenye system 😅😅😅
Wimbo mzuri sana
Very emotional song 😭😭😭
Hadi machozi yamenitoka ,Mungu saidia watoto wetu
🌹🌹🌹 Dogo ameua
Ujumbe unasikitisha na ufahmuka na najikuta naliaaaa
Nakupenda mrisho hii ni zaid ya move
Well organized
Hongereni kwa ujumbe murua
Vizuri
Mpoto kapata mrithi
Bonge la movie leny ujumbe mzito
😂😂😂safi sanaaaa
Nice❤
ujumbe🎉
❤❤❤❤❤ amina
mungu walinde watoto wetu
Hapa ndo sanaa🎉
Amina alla aepushie ili janga
Kuna watu wakubwa na wafanyabiashara wa hayo madawa unakuta wapo hapo, watoto wa wenzao wanaangamia wao wanaingiza vipato kwa ajili ya watoto wao, dah Mungu tusaidie
Da hakika ukiwa mzazi lazma ulie
Mungu waponye watoto wetu wakike na wakiume
Amin
Amina tukeshe tukiomba.
Ameeeeeeeen Mungu awanusuru
Nimelia daaa 😭😭😭
Mungu uwaponye watoto wetu
So emotional 😢😢😢
Nyinyi fanyeni wazimu tu hapo. Mujaze matumbo yenu na kulala usungizi mororo. Mnaowangoza wanalala njaa. Serekali haina haqqi za kibinaadamu. Julie i wazimu apo lkn mtakwenda kujibu mbele ya alla mb'wa nye.
Nimeipenda hii😭😭
Ukwel watoto wetu watakua kwa usalama zaidi endepo madawa yakitokomea
😂daaah wimbowauchungusana ukikaa kwamakini Italian sana wengine wasiojua watakushangaa
MUNGU atusaidie sana
❤❤ kwa woteeee
Wimbo bora
Aminii
Wimbo mzuri ila najiuliza serikali haijui madawa yanapitia wapi
Aaa jamaniii this is too emotional
Waongo wao wataacha kamwe
Wameu design vzuri huu wimbo na hatta jinsi ya ku ACT uhalisia saafi saana kwa ajili ya kuokoa ambao wanataka kuingia au wameshaingia lakin wanashida ya kutoka....
MADAWA YA KULEVYA HUANZIA KWA KUSHAWISHIWA NA WATU WA KARIBU EITHER MARAFIKI AU WANAFUNZI WENZAKO WENGI WAO HUANZIA MASHULEN...
Unagusa sana huo wimbo 😢😢