MTOTO WA MRISHO MPOTO AWALIZA VIONGOZI KWA UCHUNGU

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 6 фев 2025
  • Katika maadhimisho ya kupiga vita dawa za kulevya 2024

Комментарии • 201

  • @AngelAfric
    @AngelAfric 6 месяцев назад +17

    Mungu hajalala amesikia atatenda kwa wakati wake kila mwenye Nia ya dhati kutoka kwenye janga Hilo na atamuinua kwa ukubwa.. Mungu ilinde Tanzania 🇹🇿 iondoe kwenye majanga haya na mengineyo yanayoitesa Dunia. AMEN

  • @theopisterjovent3483
    @theopisterjovent3483 7 месяцев назад +17

    Bwana wa Majeshi Mungu Mkuu uishiye Milele tunakuomba uwashe taa yako isiyozimika ndani ya mioyo ya watoto wetu wakujue wewe kuwa unatosha🙏🙏🙏

  • @ErickLusabara
    @ErickLusabara 7 месяцев назад +9

    Hakika hii ni zaidi ya sanaa. Nawapongeza saaana kwa mlichokifanya, mmefikisha ujumbe kwa njia rahisi na yenye kuvuta hisia. Mungu aliponye taifa letu dhidi ya janga hili.

  • @mcmlandali441
    @mcmlandali441 7 месяцев назад +11

    Hiii ni zuri mno and so emotional hongera sana Mrisho Mpoto

    • @nassercurtis9579
      @nassercurtis9579 6 месяцев назад

      Inachoma moyoni inaniumiza mpaka natokwa na machozi imenifanya nimkumbukue rafiki yangu ambae kaka yake aliuwawa kwa kumchomwa kisu na producer nakabaki yeye na mama yake tu nae alifariki na kuzikwa pembeni ya nyumba yake karibu na gate ili mwanae asije uza nyumba lakini kwa akili ya unga akauza hakujali hata kaburi ya mama yake nyumba ilikuwa ya ghorofa na ukubwa wa eneo zaidi 5000sqm kwa mlioni Mia na 20 tu, inahuzunisha sana namuombea kill kukicha asirudie tena maana aliacha.

  • @robertmwanja-ld4hd
    @robertmwanja-ld4hd 5 месяцев назад +4

    Hongereni sana ujumbe mzuri na umefika, mbalikiwe sana mwenyezi MUNGU awalinde.

  • @MagrethMhina
    @MagrethMhina 6 месяцев назад +16

    Mungu kumbuka watoto wetu ooh yesu asaidieeee matumbo mengi ya wamama yanaliaaaa kwa watoto kutumizaaa oooooh Yesuuuuuu

  • @AngelinaChacha-gb3yh
    @AngelinaChacha-gb3yh 6 месяцев назад +7

    Wimbo huu uibwe angalau kwa kila chombo cha habari walau mara moja kwa wiki jioni maana unaelimisha sana. Mungu ibariki Tanzania.

  • @estamarodaofficialtz5233
    @estamarodaofficialtz5233 7 месяцев назад +9

    Asante mungu mkwakulitetea taifa la Tz mungu ibariki tanzania bariki viongozi waTz

  • @zuberimkuba2324
    @zuberimkuba2324 3 месяца назад

    Hongera sana kaz nzur kwa kufikisha ujumbe mzur ktk jamii

  • @joycehaule9717
    @joycehaule9717 7 месяцев назад +19

    Mtoto wa nyoka ni nyoka wallah, Mrisho hongera

  • @FaridaSalum-l5w
    @FaridaSalum-l5w 3 месяца назад

    Hongera mjomba ujhmbe mzuri na wakusikitusha pia kiukweli nimelia japo nimesikiliza peke yangu,big up.

  • @joycehaule9717
    @joycehaule9717 7 месяцев назад +9

    Mama Samia wewe ni mama nakupenda mnoo MAOMBI YANGU NA DUA ZANGU MUNGU ASIKUACHE ASIKUPUNGUKIE MAMA WEWE NI MAMA MAMA HAWEZI BADILIKA AKAACHA WATOTO WAKE MAMA NAKUOMBEA SANAAA UTUFIKISHE MAHALI SAHIHI MAMA NAKUOMBEA SANAAA

  • @rithaurassa
    @rithaurassa 6 месяцев назад +8

    Wauza. Unga wamo humo wametulia kwenda kuziandaa hawapendi watoto wa wenzenu mnataka wafe wo te ili watot wenu wabaki

  • @yustinasindamwaka8072
    @yustinasindamwaka8072 6 месяцев назад +9

    Ntaonyesha vijana wanaonizunguka wengi ni walevi hawatadhubutu Mungu ibariki na kuirehemu Tanzania

  • @RusiaMwambungu
    @RusiaMwambungu 6 месяцев назад +2

    Daàaa kiukweli naomba wimbohuu uluxhwe kwenye tv tarehe 8/8/2024 ilimaelfu ya watu waweze kusikiliza angalau kazi ya MUNGU nanguvu yake ikawaponye vijana Amina

  • @victoriafaronendakwamakond4816
    @victoriafaronendakwamakond4816 6 месяцев назад +2

    Mungu akubariki Rais wetu

  • @juliethmagezi3104
    @juliethmagezi3104 6 месяцев назад +12

    Ipo NGUVU YA MUNGU mahali apo....I can feel it

  • @EmmaKirua
    @EmmaKirua 7 месяцев назад +2

    Nimeipenda hii mungu akupe hekma zaidi

  • @WillyKibiki
    @WillyKibiki 4 месяца назад

    Yasin broo umeuwa god bless you kwa huu ujumbe umefika kaka

  • @felistakibiki7307
    @felistakibiki7307 3 месяца назад +1

    Imeniliza sana. Hakika ujumbe umefika

  • @Tariqxxtenations
    @Tariqxxtenations 5 месяцев назад +3

    Ujumbe mzuri ila hapohapo watu wa selikali ndo wanayofanya hayo.inasikitika mnno😢😢😢😢

  • @SamwelSimion-l5g
    @SamwelSimion-l5g 4 месяца назад +1

    Nyimbo nzur ila nikisikia sifa kwa binadamu nachukia bora umshukuru mungu

  • @emmymwakabana
    @emmymwakabana 7 месяцев назад +2

    Hongera sana kazi nzuri

  • @khadejakhadeja9713
    @khadejakhadeja9713 6 месяцев назад +6

    Kweli haramu ni tamu .mmmmmh..china Wa. Tanzania..wakishikwa wanadungwa .sindano ya.sumu .na kuchomwa .kwenye .pipa . Lakini wao.wakikatwa..hatusikui.chochote..😭😭😭😭🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿😭😭😭😭

  • @zaishanga1622
    @zaishanga1622 6 месяцев назад

    Mamangu kipenzi chetu pambana mama tembo hashindwi na mkonga wake pambana mm big up mungu akutunze kwa ajiri yetu!!

  • @JuniorVsllence
    @JuniorVsllence 6 месяцев назад +1

    Party two hii,hongera kaka mrsho mpoto,hii ni zaid ya sanaa

  • @mamaabubakari2752
    @mamaabubakari2752 6 месяцев назад

    Ni dhana njema kuangalia chanzo cha tatizo, uwajibikaji dhaifu wa wazazi. Hongera sana kwa ujumbe mzito wenye kuleta athari pia.

  • @Jameskisinga
    @Jameskisinga 6 месяцев назад +1

    It's very good song for the society god help us to mantain our life

  • @FatnaAlly-go7yt
    @FatnaAlly-go7yt 6 месяцев назад

    Mashallah kwa kufikiaha ujumbe mzuri kwakeeli dunia imearibika

  • @blessingmapazia9545
    @blessingmapazia9545 6 месяцев назад

    Bwana Yesu Kristo naomba waponye watoto wetu walio kwenye makundi mabaya

  • @shamiramsoke1365
    @shamiramsoke1365 7 месяцев назад +28

    BWANA YESU ULIE KETI MBNGUNI KONE KITI CHA ENZI NAKUOMBA UWASAIDIE WATOTO WETU

  • @KissBoytz-t9i
    @KissBoytz-t9i 6 месяцев назад +31

    Kama nawew umeludia malambili kama Mimi ngonga like😢

  • @judithmwakibete3036
    @judithmwakibete3036 7 месяцев назад +8

    Kwa yo yote aliesikiliza ujumbe huu Ana nafasi ya kusemezana na kijana wa jinsia yote juu ya janga hili

  • @nsubisiseth2993
    @nsubisiseth2993 5 месяцев назад +2

    Very touching message

  • @SafielMsuya-d2k
    @SafielMsuya-d2k 3 месяца назад

    Yesu alitetee taifa letu la Tanzania

  • @joycehaule9717
    @joycehaule9717 7 месяцев назад +10

    Uwiiiiiiiiiiiiiiiii wimbo unagusa sanaaaa .......MAMA YANGU SAMIA NAKUPENDA MAMA NAKUOMBEA UFANIKIWE KUWALEA WATOTO HAWA WA MTAANI WATOTO WETU HAWA NAWAOMBEA SANAA .....

  • @RehemaMgoba-v4z
    @RehemaMgoba-v4z 6 месяцев назад +5

    Mungu isaidie Tanzania

  • @SakinaMwanga-v4t
    @SakinaMwanga-v4t 6 месяцев назад

    mungu ibariki Tanzania mung u walinde watotowetu

  • @lazaroeliphas8353
    @lazaroeliphas8353 5 месяцев назад +1

    God bless Tanzania God bless Africa

  • @MwinjilistiJestusMhelela
    @MwinjilistiJestusMhelela 5 месяцев назад

    Hakika mmefanya wanders sanaaaa...
    Hapa kilichobaki in KUOKOKA TU, MUMPE YESU MAISHA YENU...!!!
    Maana kuacha dhambi Ba kumwamini YESU na kuokoka ni vena zaidi ya kuacha madawa ya mulevya na kula ngada...!!!
    YESU ANAWAPENDA
    BY
    JESTUS MHELELA

  • @khadejakhadeja9713
    @khadejakhadeja9713 6 месяцев назад +7

    Kwakweli inaumaa.sana madawa.ya.kulevyaa imeangamiza watu wengi🇹🇿🇹🇿🇹🇿🤲😭😭😭😭😭😭

  • @THEEaglz
    @THEEaglz 5 месяцев назад +1

    Kubwaa sanaaa my g

  • @khaylatmwinyi8675
    @khaylatmwinyi8675 4 месяца назад

    Mtoto wa nyoka n nyoka...,hongera kaka mwisho mpoto

  • @DereckNdunguru
    @DereckNdunguru 5 месяцев назад

    Mungu akubariki kipaji chako

  • @GervasMalimi
    @GervasMalimi 5 месяцев назад

    We ino jowakunifanya nilie mimi kisa kusikiliza nyimbo hii😢😢😢😊

  • @zaishanga1622
    @zaishanga1622 6 месяцев назад +13

    Naomba hii nyimbo ipigwe kwenye azam tv two kabla ya kuanza pambano la yanga tarehe 8 mwezi ujao ili maelfu ya wengi itaonekana na wengi maana hao wateja wengi hawana cm ya whtsup naona watajipata na wataokoka 80 cio Tanzania na nchi jirani pia watapata tiba ! Na pia iwe inapigwa kila cku kwenye tv Amun

  • @mimiMaiko-p6i
    @mimiMaiko-p6i 7 месяцев назад +2

    Touching song, moyo unatetemeka

  • @TausiGeorge
    @TausiGeorge 5 месяцев назад +1

    Naumia mm hili janga linaniumiza mm malengo yake yote yameisha kwenye madawa angalau kidogo afya ni nzuri 😭😭😭😭

  • @mariakilasile8792
    @mariakilasile8792 6 месяцев назад

    Nimeipenda sana njia hii ya risala, hakuna anayeponyoka kuisikiliza hii, very touching. Tupeni elimu namna ya kuwasaidia hawa tulionao huku mtaani. Tunawasaidia kuwalisha lakini wanahitaji kazi tufanyeje?

  • @peterlucas7246
    @peterlucas7246 6 месяцев назад +10

    I was thinking that am strong ....i find myself very weak while listening this song😭😭

  • @EvaPatrickboko
    @EvaPatrickboko 6 месяцев назад +2

    Mungu bariki watoto wetu

  • @FredricktheonestShayo
    @FredricktheonestShayo 6 месяцев назад

    Mmetisha kinomanoma❤❤❤❤

  • @JakcsonShija-h1f
    @JakcsonShija-h1f 6 месяцев назад

    Mungu akuinue katika kipaji chako chauimbaji

  • @kalamuyangu1
    @kalamuyangu1 7 месяцев назад +8

    Mbegu bora iliyopandwa juu ya mtoto huyu yapaswa kulindwa kwa gharama kubwa.

  • @daudkindy5807
    @daudkindy5807 5 месяцев назад +1

    Ujumbe mzur sana

  • @AnaraelMpungu
    @AnaraelMpungu 6 месяцев назад +1

    Duuu.upo.vizuri.dogo

  • @novatht8377
    @novatht8377 3 месяца назад

    Daaaa nimelia hata sielewi 😢😢😢

  • @DavidAnthony-bk1lm
    @DavidAnthony-bk1lm 7 месяцев назад +4

    Ni kweli madawa ya kulevya ni hatari Kwa taifa letu

  • @EmmanuelMajele-ny2hk
    @EmmanuelMajele-ny2hk 6 месяцев назад +1

    Mungu lbariki Tanzania 🇹🇿

  • @JoycebarakaEster
    @JoycebarakaEster 5 месяцев назад

    Kazi nzuli kaka

  • @tatumatango2207
    @tatumatango2207 6 месяцев назад +14

    Najuta kuusikiliza mbele za watu,,bora ningeusikiliza nyumbani nikalia vzr,,maana naona aibu nalia mbele za watu😢😢😢

  • @khadejakhadeja9713
    @khadejakhadeja9713 6 месяцев назад +2

    Wapi stive nyerere .aje asikie..kizungu au kingereza.😂😂😂😂😂

  • @mbonigabasamueli1860
    @mbonigabasamueli1860 7 месяцев назад +2

    Mara nyingi Mtoto hufanya kazi ya babaye, Mrisho ndagukunda

  • @edwinraymond3404
    @edwinraymond3404 5 месяцев назад +1

    Kwaiyo mjomba kashaanza kumuwela mtoto kwenye system 😅😅😅

  • @JoyceChacha-i3w
    @JoyceChacha-i3w 5 месяцев назад

    Wimbo mzuri sana

  • @bintmuhammad4913
    @bintmuhammad4913 3 месяца назад

    Very emotional song 😭😭😭

  • @annalugano5246
    @annalugano5246 6 месяцев назад +1

    Hadi machozi yamenitoka ,Mungu saidia watoto wetu

  • @daxmtiwandege5063
    @daxmtiwandege5063 6 месяцев назад

    🌹🌹🌹 Dogo ameua

  • @fahmiabdi7539
    @fahmiabdi7539 7 месяцев назад +6

    Ujumbe unasikitisha na ufahmuka na najikuta naliaaaa

  • @MathiasMpundukwa
    @MathiasMpundukwa 7 месяцев назад

    Nakupenda mrisho hii ni zaid ya move

  • @fintanchavala2145
    @fintanchavala2145 7 месяцев назад

    Well organized
    Hongereni kwa ujumbe murua

  • @RahelyKudela
    @RahelyKudela 3 месяца назад

    Vizuri

  • @bloodofjesus7542
    @bloodofjesus7542 6 месяцев назад +6

    Mpoto kapata mrithi

  • @youtube.mwosatv
    @youtube.mwosatv 7 месяцев назад +3

    Bonge la movie leny ujumbe mzito

  • @kelvinryoba779
    @kelvinryoba779 7 месяцев назад +1

    😂😂😂safi sanaaaa

  • @PaschalPaulo-k6m
    @PaschalPaulo-k6m 5 месяцев назад

    Nice❤

  • @mariamabdul7686
    @mariamabdul7686 6 месяцев назад

    ujumbe🎉

  • @shakiramshule342
    @shakiramshule342 7 месяцев назад +1

    ❤❤❤❤❤ amina

  • @FridaGodson
    @FridaGodson Месяц назад

    mungu walinde watoto wetu

  • @HarunMsigwa-od1gd
    @HarunMsigwa-od1gd 6 месяцев назад

    Hapa ndo sanaa🎉

  • @Mojabo-qi7sv
    @Mojabo-qi7sv 6 месяцев назад

    Amina alla aepushie ili janga

  • @lucypatrick7830
    @lucypatrick7830 5 месяцев назад

    Kuna watu wakubwa na wafanyabiashara wa hayo madawa unakuta wapo hapo, watoto wa wenzao wanaangamia wao wanaingiza vipato kwa ajili ya watoto wao, dah Mungu tusaidie

  • @StellaMawanz
    @StellaMawanz 3 месяца назад

    Da hakika ukiwa mzazi lazma ulie

  • @challemartin
    @challemartin 6 месяцев назад +12

    Mungu waponye watoto wetu wakike na wakiume

  • @shamimujamaly8197
    @shamimujamaly8197 6 месяцев назад

    Nimelia daaa 😭😭😭

  • @Passy-gj9nc
    @Passy-gj9nc 6 месяцев назад +1

    Mungu uwaponye watoto wetu

  • @reginalotashu1529
    @reginalotashu1529 3 месяца назад

    So emotional 😢😢😢

  • @AmiriHumudi-hn6pt
    @AmiriHumudi-hn6pt 4 месяца назад

    Nyinyi fanyeni wazimu tu hapo. Mujaze matumbo yenu na kulala usungizi mororo. Mnaowangoza wanalala njaa. Serekali haina haqqi za kibinaadamu. Julie i wazimu apo lkn mtakwenda kujibu mbele ya alla mb'wa nye.

  • @BinBiNasir
    @BinBiNasir 7 месяцев назад

    Nimeipenda hii😭😭

  • @zackzack9730
    @zackzack9730 6 месяцев назад +5

    Ukwel watoto wetu watakua kwa usalama zaidi endepo madawa yakitokomea

  • @BenedictSamweli
    @BenedictSamweli 7 месяцев назад +1

    😂daaah wimbowauchungusana ukikaa kwamakini Italian sana wengine wasiojua watakushangaa

  • @AsiaMohamed-gw6fq
    @AsiaMohamed-gw6fq 6 месяцев назад +1

    MUNGU atusaidie sana

  • @stopazmusictz4201
    @stopazmusictz4201 7 месяцев назад

    ❤❤ kwa woteeee

  • @boazikibuyu7457
    @boazikibuyu7457 7 месяцев назад

    Wimbo bora

  • @AshaRashid-q8h
    @AshaRashid-q8h 5 месяцев назад

    Aminii

  • @hashimposho-ju6nz
    @hashimposho-ju6nz 5 месяцев назад

    Wimbo mzuri ila najiuliza serikali haijui madawa yanapitia wapi

  • @ElizabethKaroli
    @ElizabethKaroli 5 месяцев назад

    Aaa jamaniii this is too emotional

  • @SeverinoLuis-j1h
    @SeverinoLuis-j1h 3 месяца назад

    Waongo wao wataacha kamwe

  • @bujanlau7079
    @bujanlau7079 5 месяцев назад +4

    Wameu design vzuri huu wimbo na hatta jinsi ya ku ACT uhalisia saafi saana kwa ajili ya kuokoa ambao wanataka kuingia au wameshaingia lakin wanashida ya kutoka....
    MADAWA YA KULEVYA HUANZIA KWA KUSHAWISHIWA NA WATU WA KARIBU EITHER MARAFIKI AU WANAFUNZI WENZAKO WENGI WAO HUANZIA MASHULEN...

  • @AnnaKulwa-k3g
    @AnnaKulwa-k3g 4 месяца назад

    Unagusa sana huo wimbo 😢😢