Это видео недоступно.
Сожалеем об этом.

DC MAGOTI ASHTUKIZA MSIKITI UNAOLAZA WATOTO 90+ “NAWAPA SAA 24 FUNGENI KITUO, WATOTO WARUDI KWAO”

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 9 июл 2024

Комментарии • 1,2 тыс.

  • @maidimples8236
    @maidimples8236 Месяц назад +127

    Haya sasa ni sawa kwauamuzi uliochukuwa, watanzania haya tuungane sasa tulijenge hilo bweni ndani ya muda mchache biith’nillah🤲🏽 togather we can 💪🏾

  • @SalumMkumba-wj2wl
    @SalumMkumba-wj2wl Месяц назад +20

    Hongera sana DC unabusara sana Allah akulinde nasi tuinuke tupige arambee bweni lijengwe biidhin Allah kazi iendelee wanafunzi wasome inshaallah

  • @DafiMohamed-dz8xk
    @DafiMohamed-dz8xk Месяц назад +35

    Mungu atawasaidia matajiri wa kiislam lazima wachangie ili wapate nusra Ya Allah ...Kila jambo na sababu yake ....Sheikh mungu atakulipa

    • @JJ-fb9jp
      @JJ-fb9jp Месяц назад +4

      Kwanini matajiri na siyo wewe?

    • @DafiMohamed-dz8xk
      @DafiMohamed-dz8xk Месяц назад +2

      @@JJ-fb9jp In Shaa Allah ndugu upo sahihi

    • @SGIT-jd6fg
      @SGIT-jd6fg Месяц назад +2

      Kumtolea Mungu ni nia ya mtu na si tajiri buku yako ina msaada sana katika hilo

    • @DafiMohamed-dz8xk
      @DafiMohamed-dz8xk Месяц назад +1

      @@SGIT-jd6fg upo sahihi sheikh wangu

  • @user-ck6ur1vk1f
    @user-ck6ur1vk1f Месяц назад +20

    Ma_ashallah! Shekhe Mungu akuongoze kwa kusema ukweli Allah akutie nguvu

    • @KHAMIS_SHILINGI
      @KHAMIS_SHILINGI Месяц назад

      Allaahumma aamiin yaa rabbi 🤲🤲🤲😢

  • @lulanjamd3886
    @lulanjamd3886 Месяц назад +89

    Mimi ni mkristo nimependa jinsi shekhe alivyo mjibu dc kwa hekima inatakiwa tuishi hivi Watanzania.

    • @user-sv6zy3hc8o
      @user-sv6zy3hc8o Месяц назад

      Kweri ndugu yangu

    • @alkitaamiyMihswan-p3j
      @alkitaamiyMihswan-p3j 29 дней назад

      ndugu yangu mungu aniongoze mimi na wewe hivi ndivo tunavoishi sisi masalafi kwa viongozi wetu.

    • @Lifebeaconuplift
      @Lifebeaconuplift 28 дней назад

      @@lulanjamd3886 kwanini kutanguliza kuwa ww mkristo?

    • @alyumaraos
      @alyumaraos 27 дней назад +2

      Huyo dc ni mshenz kama ingekuwa ni kanisani asengetoa uwamuz kama huo ila ukereketwa na ukafiri umemshikaa t

    • @hamisimtamike9583
      @hamisimtamike9583 20 дней назад

      Yah shehe yup vzr

  • @barakakibale6089
    @barakakibale6089 Месяц назад +73

    huyu Shekhe yuko vyema sana ni msikivu ,Hapo kubwa ni wadau mbalimbali na viongozi wa dini waendeshe harambee mazingira ya boreshwe

    • @kawiche4911
      @kawiche4911 29 дней назад

      SAMIA ANAFANYA NINI? WAUZE HAYO MAGARI YA BEI MBAYA WATUNZA WATOTO WA NCHI YETU, NI KAZI YA SERIKALI, USTAWI WA JAMII UKO WAPI RAISI?

    • @youngtomuller-vh2pu
      @youngtomuller-vh2pu 22 дня назад

      Allah please we need your help iyakanahbudo waiyakanahstainu😢😢

  • @issarashid7707
    @issarashid7707 Месяц назад +18

    Hongera sana DC kwa kazi nzuri hekima busara na Upendo Mungu akusimamie katika kazi zako

  • @ZahraBadri-k9q
    @ZahraBadri-k9q 10 дней назад +1

    Mungu amjaalie huyu shekhe ....hasa kwa juhudi alizokuwa nazo...bahati mbaya amekosa nguvu ......Dc...unahekima sana

  • @deusgulamiwa7489
    @deusgulamiwa7489 Месяц назад +4

    Kazi ya kufundisha dini na maadili mema.
    Ni kazi nzuri ya Mungu, iboreshwe.

    • @trophywilson7211
      @trophywilson7211 29 дней назад +1

      Lakin hao si wanatakiwa waende sekondari ndo huko Wapate na Elimu ya Dini??Ili kesho wasianze.kusema Pastor ana gari lakin shekhe Hata baiskeli hana hahaha

    • @deusgulamiwa7489
      @deusgulamiwa7489 29 дней назад

      @@trophywilson7211
      Kweli, umri ule sio wa elimu ya dini pekee.
      Ukiangalia upande mmoja yaani ustawi "kiroho" unasema ni sawa jambo jema kufundishwa dini.
      Ukiangalia kwa upana wake yaani ustawi wao kwa ujumla unapata jibu wanahitaji elimu ya dunia na ya dini.

  • @sabtinaramadhani5413
    @sabtinaramadhani5413 Месяц назад +4

    DC kisarawe mwenyezi mungu akulinde na kila baya ,akupe kheri na baraka zake

  • @bensonmgaya5693
    @bensonmgaya5693 Месяц назад +52

    Huyu DC ana hekima sanaa jaman nimempenda bure Mungu akubariki

    • @lawrencegwerino1656
      @lawrencegwerino1656 Месяц назад +2

      @@bensonmgaya5693 hiyo sio hekima inatakiwa mtu ahesabiiwe miaka ya shetani …

    • @bensonmgaya5693
      @bensonmgaya5693 Месяц назад +6

      @@lawrencegwerino1656 apana amekili makosa sio kila kosa ni kuhukumu tu bila kufikilia kumbuka hata wewe unakosea Mimi ni mkristo na hekima aliyo tumia na kumpa pesa ya vocha amefanya vizuri sana Cha msingi Mungu aendelee kumpa hekima huyo kiongozi anaona mbali sana

    • @binobino9078
      @binobino9078 Месяц назад +8

      Serikali inatakiwa iwasaidie kuweka mazingira mazuri ya watoto kuendelea na masomo yao, lengo la sheikh lilikua ni zuri tu ila changamoto za kiuchumi ndio shida.
      Ni vyema DC atie nguvu kukisaidia kituo hicho.

    • @khamishumba6511
      @khamishumba6511 Месяц назад

      ​@@lawrencegwerino1656acha ujinga

    • @aminakipande5645
      @aminakipande5645 Месяц назад

      @@lawrencegwerino1656😂😂 😂

  • @Henricovicent
    @Henricovicent Месяц назад +19

    Hongera sana Mhe. DC Petro Magoti kwa hekima na busara uliyo itumia. Mungu akubariki sana!

  • @kichanganionlinetv8023
    @kichanganionlinetv8023 Месяц назад +16

    Sisi wengine tumesoma maeneo kama hayohayo leo hii tuna maadili yetu na tuna maisha mazur Alhamdulillah nikiona hivi binasfi najua na maisha tu magumu nawaombea dua ndugu zetu hawa iko siku huyu Ustadh ataneemeka tena mda si mrefu in shaa Allah

    • @bokasinvestment9219
      @bokasinvestment9219 Месяц назад +1

      Maashaallah kaka watu markazi tumevumilia cz kilichotupeleka tunakifahamu tusilqzimishane mirengo shule kuna nnn kama huna maadili mzigo tuuu mtaan sindo hao wasomi wanaokaa uchi na kusema ndo utandawaziiii wenye dini hawafanyi upumbavu kama huo

    • @Pelegrinoemanuel
      @Pelegrinoemanuel Месяц назад +1

      Huyu atakuwa alifundisha ugaidi

    • @kichanganionlinetv8023
      @kichanganionlinetv8023 Месяц назад +3

      @@Pelegrinoemanuel wakristo mnachuki sana na uislam hilo tunalijua na quran ishatuambia kuwa chuki mlizonazo kwenye mioyo yenu ni kubwa kuliko hizi mnazozidhihirisha so tunawajua vzr kwahiyo comment kama hii yako ningeshangaa isiwepo

    • @maymunamakungu6265
      @maymunamakungu6265 Месяц назад +1

      @@Pelegrinoemanuel Acha ushenzi wewe

    • @geraldkayanda6075
      @geraldkayanda6075 Месяц назад

      Toa ujinga wenu,mlizaa watoto kuwapeleka kulelewa? Kama uwezo wa kulea hamna mnazaa wa nini? Badala watoto mkawapeleke shule wasome elimu inayoeleweka mpo busy na kiarabu.

  • @ZuhuraKivaju
    @ZuhuraKivaju Месяц назад +5

    Allah amekujaaalia hikma sana sheikh, akulipe kwa nia yako na azidi kukuhifadhi.

  • @abdallahidrisa710
    @abdallahidrisa710 Месяц назад +69

    Mkuu wa Wilaya yuko sahihi.Tena huyu jamaa anabusara sana.Tusilaumu tuchangie kuboresha mazingira. Allah Jaalia kituo kisajiliwe

    • @emmadora7848
      @emmadora7848 Месяц назад +5

      Salute kwako kaka ,wenzio wataanza sema waisilamu tunaonewa

    • @shinipapaya846
      @shinipapaya846 Месяц назад

      ​@@emmadora7848nani anakuonea amka usingizini ndugu yangu hizo dini sio zenu tumeletewa na wakoloni amkeni usingizini ndugu zangu 😭😭

    • @Official83640
      @Official83640 Месяц назад +2

      MM NIMESEMA LKN NAONEKANA NA MM KAFILI WAKATI UKWELI NDY HUO SEHEMU SIO SALAMA WATU WAANGALIE WASIMLAUMU MKUU WA WILAYA TU NI BORA WAOMBE MICHANGO KITUO KISAJILIWE BWENI LIJENGWE MAFUNZO YAENDELEE

    • @HassanJaphari-rx7jy
      @HassanJaphari-rx7jy Месяц назад +3

      Ameen

    • @zully756
      @zully756 Месяц назад

      ​@@emmadora7848kuna mtu alisema ugaidi unaanzia hapo.

  • @user-ov6bq8dc6t
    @user-ov6bq8dc6t Месяц назад +5

    Elimu ya akhera haipatikan kiurahisi allah atawasimamia na hiki kituo kitaendelea inshaallah

  • @PendoMatemba-ql1ng
    @PendoMatemba-ql1ng Месяц назад +16

    Shekhe umejibu kwa busara sana mwenyezi mungu Akusaidie uweze kukamilisha hilo itaji la moyo wako nakuombea

  • @DicksonEdson
    @DicksonEdson Месяц назад +16

    Huyu shehe nimempenda sana nimstarabu

    • @jasmintanga2474
      @jasmintanga2474 Месяц назад

      Saana Allah amfanyie wepesi ktk usambazaji wake wa dini aende kisheria

    • @EliasPaul-qs2ib
      @EliasPaul-qs2ib 17 дней назад

      Hata kama siyo mstaarabu hapo lazima ajifunze kuwa mstaarabu Kwa Maana akijifanya mkali jela inamhusu

  • @hidayahshabani3379
    @hidayahshabani3379 Месяц назад +4

    Allah amfanyie wepes sheikh tuchangie waweke bweni, mkuu wa wilaya yuko vixur ana huruma sana, sheikh nae mkweli, mkuu w wilaya ana huruma sana,

  • @twalibtz1936
    @twalibtz1936 Месяц назад +44

    Maoni yangu binafsi
    Dini ina dhalilika hapa, waislamu Tujitoe katika dini yetu tuchangie kuendeleza madrassa zetu hii ni AIBU
    Sheikh anadhalilika hapa nia ni Njema Uwezeshaji hamna

    • @perfecttentech6208
      @perfecttentech6208 Месяц назад +1

      mkuu sidhsni kama hapa ni Madrasa. wazazi wawajibike kila mahli kuna madrasa na watotot wanaenda shele na madrasa. kwa nini hawa hawaendi shule?

    • @dennismwakilembe5800
      @dennismwakilembe5800 Месяц назад

      Mimi sio Muislamu ila nimeipenda comment yako upo tofaut na wengine wafia Dini hawataki kuambiwa ukweli
      Mtu anawaza kumsomea dua Dc anaacha kuwaza jinsi ya kutatua hiyo changamoto

    • @ziggertv3185
      @ziggertv3185 Месяц назад

      Na ishu nikutatua changamoto na sio kulalamika

    • @michaelthobias9967
      @michaelthobias9967 Месяц назад

      Inabidi elimu izingatiwe sio elimu dini tu

    • @sheilalolila2233
      @sheilalolila2233 Месяц назад

      Michango jamani tuanzishe haraka kujenga bweni la msikiti

  • @rehemavickie6521
    @rehemavickie6521 Месяц назад +2

    Mungu akubariki sheikh, aisee una Mungu uko mnyenyekevu

  • @user-kr7ux2dw5l
    @user-kr7ux2dw5l Месяц назад +16

    Shekhe Allah akulipe kheri kwa kutimiza heshima na twaa kwa kiongozi wako. Ila unaona wazi kabisa viongozi wa serikali hawajijui kuwa wao ni watumwa wa wananchi. Hapo waislamu washajitahidi sana kilichobakia viongozi kumalizia tu. Na si kuwa abisha waislamu kiasi hiko. Unauzalilisha uislamu hapo. Wa ache watoto wa some dini yao. Ww waekee mazingira mazuri tu kama kweli nataka kusaidia.

    • @arbababdul3099
      @arbababdul3099 25 дней назад +1

      Bado kazungumzia bajeti ya 60million inafanya nini kama si kujenga mambo kama hayo... mimi nakubaliana na wewe

    • @EzzyEddy-nv6ti
      @EzzyEddy-nv6ti 17 дней назад

      Comment yako Haina maana na Haina mashiko nenda katoe msaada

    • @MariamAnafi-bf9gy
      @MariamAnafi-bf9gy 14 дней назад

      Kweli

    • @EmmaPonera
      @EmmaPonera 10 дней назад

      Amedhalilisha nn mbona wakristo wanafungiwa unataka kuweka udini badala ya kuwahurumia watoto,kwani wakristo wanajengewa si wanajenga wenyewe

  • @fatumapedersen193
    @fatumapedersen193 8 дней назад +1

    Mama samia watoto nitaifa lakesho wakisoma watajenga inchi sasa watoto wanalala chini niaibu sana. Masalaam Fatuma.

  • @seneu.2128
    @seneu.2128 Месяц назад +13

    Waislamu ndugu zetu mkienda msikitini toeni sadaka ili maendeleo kama haya yafanywe kwa viwango vizuri maana lengo kama nikufundishwa dini ni jambo jema ila dini haipaswi kufundishwa kama adhabu, Ile kasumba yakusema hatutoi sadaka kufaidisha viongozi wa dini muache kabisa. Sadaka ni muhimu kwa maendeleo na ukuaji wa dini yenu ikitumika vizuri kwenye mambo kama haya.

    • @margarethpolepole7438
      @margarethpolepole7438 21 день назад

      Seneu mwisho wa waumini wa dini hiyo kutoa mchango qa sadaka ni ahs mia 5 hao watajamiana tu jinsia moja Mhe Magoti hamna kitu hapo wakubwa watawaonea wakubwa kwa kuwalazimisha

  • @innocentlukeka6802
    @innocentlukeka6802 Месяц назад +12

    Aliesikia magodoro ya maisha kwa kutafuta watoto anipe likes zangu3

  • @hamadiayossy
    @hamadiayossy Месяц назад +6

    Mh DC Mwenyezi Mungu akubariki sana,Mungu akupe maisha marefu in sha Allah,

  • @nasrasalumu7005
    @nasrasalumu7005 29 дней назад +1

    Shekhe uko sahihi sikuizi watoto wadogo watukutu huku mtaani bora kuwe navituo kama hivi hata huku mtaani wangekuwa watoto wenye heshima chamsingi tumuwezeshe shekhe atufundishie watoto wetu huku mitaani hakufai asante mkuu kwa busara zako pia shekhe allah akulipe kwa hekima uliyonayo tukiwezeshe kituo waislamu inshallah

  • @fawaaidibnjuma8716
    @fawaaidibnjuma8716 Месяц назад +21

    Kwenye kulingania dini kuna mitihani mingi. Allah akupeni subra nusra ya allah ipo pamoja na matatizo

    • @HusseinAbdul-is9xq
      @HusseinAbdul-is9xq Месяц назад +2

      Sahihi Allah s.w.t awape subra

    • @groundtrader173
      @groundtrader173 Месяц назад +1

      Serikali inataka kufunga Madrassa. Maneno yake yanaonesha niya yake kamili

    • @KHAMIS_SHILINGI
      @KHAMIS_SHILINGI Месяц назад +1

      Allaahumma aamiin yaa rabbi 😢😢😢

    • @trophywilson7211
      @trophywilson7211 29 дней назад

      ndo kulala huko kuitafuta mbingu?

    • @FghgRyy
      @FghgRyy 4 дня назад

      Allahumma Aamiyn 😢

  • @user-kr7ux2dw5l
    @user-kr7ux2dw5l Месяц назад +7

    Masha Allah watoto wanasoma dini yao hapo waachane tu mnachotakiwa mujenge mabweni tu. Na sikuzalilisha.

    • @EmmaPonera
      @EmmaPonera 10 дней назад

      Sio kudhalilisha angalia usalama wa watoto

    • @user-kr7ux2dw5l
      @user-kr7ux2dw5l 10 дней назад

      Tunajua unatafutwa uslama ndio lakini si kwa njia ya kuzalilisha

  • @user-du5wk9ns9m
    @user-du5wk9ns9m Месяц назад +11

    Bakwata simamia hili,sio kusimamia sikukuu na mirad ya msktin

  • @vincentcharles4385
    @vincentcharles4385 Месяц назад +2

    DC na sheikh Mungu awabariki sana.

  • @mohamedkwiga6870
    @mohamedkwiga6870 Месяц назад +1

    Nmewapenda wote shekhe na DC Magoti...Hapo mkuu wa wilaya tusaidie angalau Bweni Moja Inshallah

  • @ahmedyunus7211
    @ahmedyunus7211 Месяц назад +19

    Kabla ya kuisoma Dunia ni vyema kuisoma akhera yetu wenye Dunia tuwaachie Dunia yao

    • @AhmadaHassan-gy5uj
      @AhmadaHassan-gy5uj Месяц назад

      Swadaqta wa jina

    • @groundtrader173
      @groundtrader173 Месяц назад +1

      Serikali wanataka madrassa zifungwe. Hawana lolote hawa. Wanataka elimu ya kizungu tu.

    • @manish-fp1fb
      @manish-fp1fb Месяц назад +2

      ​@@groundtrader173usingesoma ya kizungu, ungetuandikia nni hapa????.. ndio inayokusaidia kupambanua mambo

    • @omarymwaluko9765
      @omarymwaluko9765 29 дней назад

      ​@@manish-fp1fbMambo gani ww choko nini

  • @m-tatu1050
    @m-tatu1050 Месяц назад +6

    Mimi ni Muslim ila Kwa hili usalama wa watoto haujazingatiwa. DC upo sahihi na umetumia busara kubwa shekhe pia umetumia busara kukubali makosa kukiri makosa. Mungu ni mwema yametokea haya kabla madhara hayajawapata watoto.

  • @meryshekoloa961
    @meryshekoloa961 29 дней назад

    Hongera sana mungu akufanyie wepesi kwa kila jambo shehe pamoja na DC maisha magumu Sana wakirudishwa tunazalisha panyarodi mungu tutetee

  • @husseinyusuph7297
    @husseinyusuph7297 Месяц назад +2

    Mkuu magoti
    Mungu akubariki sana kwa hekima kubwa uliyo onesha InshaAllah
    Kazi njema

  • @ukhtyrehemaabdy2830
    @ukhtyrehemaabdy2830 Месяц назад +5

    Ukiwa na busara raha sanaaa DC anabusara Sheikh anabusara hapo Lugha ni Moja Mashaallah

  • @hermanaaron6945
    @hermanaaron6945 Месяц назад +18

    Kazi nzuri sana DC

  • @yusufumbwene5669
    @yusufumbwene5669 29 дней назад +1

    Mtume wetu Muhammad ( s.a.w ) ukiangalia maisha yake yote alikuwa akilala mchangani kula alikuwa anakula tende na sio kwamba alikuwa masikini , starehe za kidunia zitawapotosha vijana , huyu dc atafute vijana ambao hawana ajira mtaani awasaidie acheni kusakama uislam

  • @vincentcharles4385
    @vincentcharles4385 Месяц назад +1

    Sheikh Mungu amekupa hekima kubwa sana,wewe ni zaida ya sheikh wa mkoa,Mungu akuzidishie Ndugu yangu.

  • @sabojanvierjaja2007
    @sabojanvierjaja2007 Месяц назад +3

    Sheikh hongera sana umeweza kujitambua na kujieleza vizuri sana Mumgu akubariki sana
    Japo mi ni mu christo nimekuelewa sana na nimekupenda sana bure Na Bwana DC asante kwa kumuelewa Sheikh

  • @user-gi1vf3gh1e
    @user-gi1vf3gh1e Месяц назад +14

    Achen akili mbovu iyo hali sio nzuri tuache dini pambeni watoto wanakaaje hapo ubishi sio mzuri tubadilike

    • @user-yj5on8cz3e
      @user-yj5on8cz3e Месяц назад

      Chuki na uislamu tuuh mungu anawaona mbona watu wanauza uchi na mashoga hawakamatwi wanachekelewa tuuh na viongozi awachukui hatuwa

    • @emmadora7848
      @emmadora7848 Месяц назад

      ​@@user-yj5on8cz3enani aichukie dini ambayo watu wake wako kama mawe? Miaka yote hawataki kubadilika ,ninyi ni wabishi sana na ndio maana wengi hamsomi ila kulalama mnapenda sana

    • @ramadhanimwinyi-7445
      @ramadhanimwinyi-7445 Месяц назад

      Didi haiwezi kuachwa pembeni ila utaratibu uchukuliwe dini yeyote haisemi watoto wateswe

    • @leonnyntandu4324
      @leonnyntandu4324 Месяц назад

      ​@@user-yj5on8cz3e haya mambo ya kuendekeza udini ndio yaliyosababisha majanga kibiti,mkuranga,Amboni na mtwara mtu anaendesha mafundisho bila hata uongozi wa dini mkoa hufahamu tena unalaza watu msikitini alafu unatetea tu ujinga et dini kuna mtu asiyejua maana ya kumuomba Mungu na kujifunza mafundisho mema kwann mnataka sana kulazimisha dini ya kiislam ionekane na taswira mbaya kwa kukosa elimu ya dunia ninyi ndio mnaofanya uislam uonekane vibaya mbele za watu kwakujiona kama malaika na wengine ni mashetani ingali ndani humo humo kuna mashetani zaidi hata ya hawa mnaowaona wadhambi badilikeni mnakera sana vile hamjui tu mnatufanya tunaowaamini na kutamani kujifunza mafundisho mazuri ya kiislam tuchukie

    • @lampadshigonko3006
      @lampadshigonko3006 Месяц назад

      ​@@user-yj5on8cz3ehawakamatwi vp... Mbona sinza wameshika madangulo yote

  • @user-fj5qu1qy4u
    @user-fj5qu1qy4u Месяц назад +1

    KAZI nzuri magoti DC

  • @khalifaaliomar7989
    @khalifaaliomar7989 29 дней назад +1

    Asante chief

  • @kitejamayunga7645
    @kitejamayunga7645 Месяц назад +33

    Sheikh ni mstaarabu sana. Amesema ukweli wake na Allah atamsimamia kupitia ukweli wake. Mafundisho ya Dini ni muhimu sana, tena sana, lakini shida mazingira siyo rafiki. Simple tu kuelewa.

    • @JoyceMourice
      @JoyceMourice Месяц назад +2

      Amesema ukweli wap anafanya watoto wasisome mtoto wa darasa la nne amemkumbatia asomi na alisema anawatoto wakubwa kumbe na wadogo wapo

    • @florencejohn6427
      @florencejohn6427 Месяц назад +1

      Angekuwa mstaraab angefanya huu upuuzi? Ovyoo

    • @user-rw2mm1jk6o
      @user-rw2mm1jk6o Месяц назад

      ​@@florencejohn6427chizi ww achakutukana watu unaongea kwajazba ya dini tu fyuuu

    • @kasimubangu1875
      @kasimubangu1875 Месяц назад

      ​Upuuzi gani ndugu@@florencejohn6427

    • @zahranabdi8124
      @zahranabdi8124 Месяц назад

      Kuna machokoraa wamejazana mtaani iyo serikali imefany jukumu gan lakuwasomesha?​@@JoyceMourice

  • @BLUBEENICE
    @BLUBEENICE Месяц назад +2

    Safi sana MH.ila wazazi wa hao watoto nao vichwa vyao sio sawa.

    • @alinaalina5044
      @alinaalina5044 Месяц назад

      Kutafuta elim sio mpaka update pazuri sio

  • @peterdominick27
    @peterdominick27 4 дня назад

    D C magoti mungu akutangulie

  • @athumanyassin7796
    @athumanyassin7796 Месяц назад +2

    Hizo pesa zinazotolewa ni kiasi gani kinatengwa kwa ajili ya taasisi za kidini kabla hatujawalaumu na kuwadhalilisha viongozi wa kidini?

  • @winfridamakonyola9887
    @winfridamakonyola9887 Месяц назад +9

    Mimi machozi yamenitoka eti kwa ajili ya huyo ostaz alivyo mnyenyekevu hadi nimelia😢 jamani achangiwe bweni lijengwe

    • @mohamedkwiga6870
      @mohamedkwiga6870 Месяц назад

      Nmejiskia huruma kweli asee

    • @jafarinauma6798
      @jafarinauma6798 Месяц назад +1

      Ndio ujue umuhimu wa kusoma dini huyo sheikh kasoma dini

    • @marywigira3904
      @marywigira3904 28 дней назад +1

      Yaani anaunyenyekevu mnoo Mungu amuinulie wafadhili wa project hii

    • @joycemkeka3769
      @joycemkeka3769 26 дней назад

      Kwakweli jambo la msingi nikuchanga tu wajengewe bweni zuri waendelee na mafundisho hayo yanafaida sana ila tatizo ni mazingira

  • @HassanWasiwasi-lq1kh
    @HassanWasiwasi-lq1kh Месяц назад +5

    Acha kuidanganya jamii!!!
    Msikiti ni zaidi ya kufanya ibada, tafadhali tumia lugha nzuri.😢

    • @Chakol123-k7s
      @Chakol123-k7s Месяц назад

      Nyumba ya ibada wanapika jaman hiyo ni kambi ya jeshi au ugaidi.. nyumba ya ibada ni ibada tu

  • @SaidVaddy
    @SaidVaddy Месяц назад +2

    Huyo dc alaniwe na mungu nakila kiumbe kinacho muamin allaah

  • @EmmaPonera
    @EmmaPonera 10 дней назад +2

    Hapo kamsaidia kupata wadau wa kujenga hoster

  • @nathanielshauri5135
    @nathanielshauri5135 Месяц назад +3

    Hongera sana DC kazi nzuri sana ndio viongozi tunao waitaji watazania big up

    • @libandaonline5358
      @libandaonline5358 Месяц назад

      Sasa kazi ya nini hapo au ndio ukafiri unakusumbua

  • @RaphaelHhari
    @RaphaelHhari Месяц назад +11

    Dc amefanya kazi nzuri

  • @AbuuAnuwar-ip7dr
    @AbuuAnuwar-ip7dr Месяц назад

    Asante sana muheshimiwa, umetumia njia mzuri sana nahekma yahali yajuu licha yakuwa ulikuwa nauwezo nahaki yakumhukumu Shekhe wetu huyo maana kosa lake likowazi

  • @joasitz9559
    @joasitz9559 Месяц назад +1

    Hongera DC, nimependa approach yako. Hope Shehe ataboresha

  • @JK-uq1tv
    @JK-uq1tv Месяц назад +9

    Haya mambo ya kuaza kufundisha watoto namna ya kuja kuwa magaidi yameaza tena jaman 😢

    • @MuhamedAjigar-dw9ve
      @MuhamedAjigar-dw9ve Месяц назад

      Nyooo umesikia wanafundisha ugaidi pale kuwa muelewa

    • @JumaJuma-i2g
      @JumaJuma-i2g Месяц назад

      @@JK-uq1tv kwani ww umefatilia kua wanafundishwa kuja kua magaidi ?

    • @devisshirima6780
      @devisshirima6780 Месяц назад +7

      Acheni fikra za kimagharib zilizojaa chuki, uislam sio ugaidi bwana, hiyo ni sawa na Sunday school kwa sisi wakristo !! Tusiwekeane mipaka kwa kuwapandikiza wengine ubaya !! Dini ni upendo, kwa taarifa tuu magaidi wakwanza ni hao wanaotuharibia watoto kwa ushoga na usagaji na tena wanalazimisha dunia iangamie, sembuse hawa wanaoipigania dini yao !! Acha chiki bwana

    • @JumaJuma-i2g
      @JumaJuma-i2g Месяц назад

      @@devisshirima6780 sahihi kabisa ndugu

    • @shadhirimaalim9739
      @shadhirimaalim9739 Месяц назад

      Hizo ni chuki zako wee unaubaguzi kwanza akuna gaidi

  • @ramadhanikitenge3182
    @ramadhanikitenge3182 Месяц назад +9

    Huyo shkh mm namjua anajitahd sana na ana group la mchango wa hayo mabweni ila ndo hvyo watu wanatoa kdog kdogo sana

    • @jasmintanga2474
      @jasmintanga2474 Месяц назад +1

      Allah atamuongoja

    • @jasmintanga2474
      @jasmintanga2474 Месяц назад +1

      Atamuongoza inshaa Allah

    • @mshambaused3840
      @mshambaused3840 Месяц назад +1

      Tuma link yake ya group

    • @ramadhanikitenge3182
      @ramadhanikitenge3182 Месяц назад

      Mtu anaweza akaweka namba yake nkamtumia akuunge kwny group

    • @MrA24G
      @MrA24G Месяц назад

      Angepata network uarabuni wampe fedha za kujenga mabweni.Uarabuni pesa zipo ni apate link Bakwata wangempa link.Ama angeenda ubalozi wa Oman Saudia nk wangemsaidia.Waislam jikusanyeni msaidieni sheikh muonganisheni na waarabu nje ya nchi wam finance.Km dini nyingine wanavyotafuta funds nje na kujenga maskuli nk.

  • @SophyDan-c4s
    @SophyDan-c4s Месяц назад +1

    Dc Mungu akubrki,una hekima sana

  • @slaviuslivinusnguvumali6063
    @slaviuslivinusnguvumali6063 21 день назад

    Shekh hongera

  • @OchoaHomeDecor_
    @OchoaHomeDecor_ Месяц назад +14

    Maisha hayo ni bora kuliko maisha ya watoto kuzurura mitaani...
    Kuwa wahuni,wezi,madawa ya kulevya nk...

    • @HusseinAbdul-is9xq
      @HusseinAbdul-is9xq Месяц назад +1

      Sahihi

    • @luluray2115
      @luluray2115 Месяц назад

      Uko sahii ila kumbuka watoto Bado wanaitaji shule hicho kituo kinaitaji kijulikane kwa serikal na kwa wakubwa wa dini ili watoto wapewe malez Bora kinacho fanyika hapa ni sahii kabsa

    • @queenmwasanguti2370
      @queenmwasanguti2370 Месяц назад +1

      Umeambiwa ni wa mtaani hao?

    • @libandaonline5358
      @libandaonline5358 Месяц назад

      Hakuna dc hapa ni ukristo tu unataka kuturudisha nyuma katika dini laana tu llah

    • @libandaonline5358
      @libandaonline5358 Месяц назад

      Wallah nakuomba mungu sambaratisha cheo chake huyu kafiri adharirike mpaka kaima🤲🤲

  • @adinanibuma6096
    @adinanibuma6096 Месяц назад +6

    Kama serikali mnatoa kwa ajili ya mashule basi mtoe na kwa ajili ya madrasa kwani kuna wengine sio kwamba wanapenda kuwa wabunge raisi na cheo zingine za kiserikali kuna wengine wanataka kuwa masheikh serikali iangalie hili msiwalazimishe watoto na ndoto zao

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 21 день назад

    Magoti umechapa kazi vizuri sanaaaa hao nikujamiana tu jinaiq moja Mungu walibse hao watoto

    • @PrinceMgeni
      @PrinceMgeni 20 дней назад

      Ujielew inaonekana ulizaliw unatukan

  • @user-so5vi2vk2j
    @user-so5vi2vk2j Месяц назад +1

    Ubarikiwe shehe na dc kwa hekima

  • @user-dr2lk7im7r
    @user-dr2lk7im7r Месяц назад +13

    Je hao watoto wanafundishwa dini tu. watoto hao waulizwe wanachofundishwa.

  • @TV-se1lf
    @TV-se1lf Месяц назад +18

    Jamani shughuli za uendeshaji shughuli za dini ni changamoto sana, ukizingatia hakuna mfadhili wa kukamilisha kila kitu kwa wakati. serikali ituvumilie waisilamu. Ikiwezekana serikali iangalie namna ya kuwezesha taasisi za dini.

    • @adinanibuma6096
      @adinanibuma6096 Месяц назад

      Ni kweli kabisa

    • @HusseinAbdul-is9xq
      @HusseinAbdul-is9xq Месяц назад

      Sahihi kwasababu nawatu wa dini lengo 1 VP watu wataishi Kwa Imani na khofu hvyo wanafanya kazi kubwa saana kusaidia jeshi la police 🚨 kureta usalam.

    • @canibalgazaboy8325
      @canibalgazaboy8325 Месяц назад +1

      Taasisi za dini zitengeneze mazingira mazuri zenyewe ko kabla ya kuibebesha lawama serikali kwanza jikagueni wenyewe kwanza muone kama mnaweza kutoa huduma hiyo

    • @maymunamakungu6265
      @maymunamakungu6265 Месяц назад +1

      @@canibalgazaboy8325 Mwisho wa siku huduma lzm ziendelee watoto mashaallah wanazaliwa wengi kama yukisubira mazingiza mazuri watapotea wate hao vijiweni kwa bangi, unga n.k

    • @cecilialivingstone9202
      @cecilialivingstone9202 Месяц назад

      😂😂😂😂

  • @issaabdi9129
    @issaabdi9129 14 дней назад

    Wote wako sawa dc nampongeza na sheikh ana hikma sana.

  • @RiyanyMwakipunda
    @RiyanyMwakipunda Месяц назад

    Nakupongeza Dc Magoti mpakanimetokwa na chozi kwa hekima zako good bro

  • @alphoncewilliam4325
    @alphoncewilliam4325 Месяц назад +3

    Hii aijakaa sawa

  • @Optionxll_Playz1
    @Optionxll_Playz1 Месяц назад +10

    Hivi Serikari wanakuwaga wapi mpka kitu kama hiki kinatokea ? Alipataje leseni ? Mambo ya aibu sana haya.

    • @WaziriAbdallah-vr4xg
      @WaziriAbdallah-vr4xg Месяц назад +4

      Hakuna jambo la aibu hapo hayo maisha ndo maisha asilimia 90 watu wanaishi huko mikoani hivyo usifanye kama Kijiji kwako hakuna

    • @OchoaHomeDecor_
      @OchoaHomeDecor_ Месяц назад +4

      Leseni?
      Leseni gani?
      Alafu hayo ni maisha tunayoishi kila siku...
      Nina jirani yangu anawatoto sita wanalala kwenye chumba kimoja na wazazi wao kwenye chumba kimoja...
      Maisha hayo ni afadhari kuliko maisha ya watoto kuzurura mitaani kuwa wauni na vibaka

    • @Optionxll_Playz1
      @Optionxll_Playz1 Месяц назад

      @@OchoaHomeDecor_ ndio maana Serikari inatakiwa na watalamu wake wanatakiwa kutoka Elimu na makazi bora Ni 2024 sio 1940 lazima wawatoe wanainchi kwenye umasikini kama huo sio wanafikilia matumbo Yao tu .

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 Месяц назад

      Ajabu sana hii

    • @happymvula
      @happymvula Месяц назад

      Me nauliza hao watoto wanaenda saa ngapi shule? Maana navyojua wanaenda madrasa wakitoka shule...siyo kuhamia ,labda kama wapo hapo kwa muda .

  • @user-xz9zg2yk6m
    @user-xz9zg2yk6m 27 дней назад

    Jamani umetoa maoni mazuri sana mungu akulinde kwa kufuatilia hayo mazingira ya hao watoto🙏🙏🙏

  • @user-rm3vd6yi8f
    @user-rm3vd6yi8f 23 дня назад

    Shekh wangu uko saw Allah akufanyie wepesi

  • @HamisiKashushu
    @HamisiKashushu Месяц назад +8

    Uko vizuri sana mkuu nenda na kwa mwamposa wanala nje na wagonjwa

    • @arushijuma6056
      @arushijuma6056 Месяц назад +1

      😂😂😂😂 kwakweli

    • @naifathassan2607
      @naifathassan2607 Месяц назад

      Wale ni watu wazima hawa ni watoto wanaweza hata kufanyana vibaya tatizo mnaanza kuleta udini

    • @therealkingo
      @therealkingo Месяц назад

      🎉😂😂

    • @user-mc2zl1gj6u
      @user-mc2zl1gj6u Месяц назад

      Usha sema hao ni wagonjwa acha wahangikie tiba na uponyaji pia ni watu wazima hawajitaji kwenda Shure ludishrni hao watt kwa wazazi wao wakaende shure na kulijenga taifa msikiti ni sehemu ya kusali na kuludi nyumbani siyo kuishi humo kazi au Shure wanafanya saa ngap? Ulizeni hao watt wanacho fundishwa kusije kukawa kunazalishwa akina hamza

    • @AlexKing-yg2cc
      @AlexKing-yg2cc Месяц назад

      ​@@user-mc2zl1gj6uKwa uandishi huu hata wewe unatakiwa kwenda shule. Shure ndiyo nn?

  • @user-js1sv8kk3t
    @user-js1sv8kk3t Месяц назад +4

    Taarifa za kiintelligensia zimebeba mambo mengi kuhusu hicho kituo..

  • @user-rf1gg4ix4y
    @user-rf1gg4ix4y 27 дней назад

    DC Allah akulinde na akuzidishie hekima na busara.

  • @KONDOBANNAHMUSIC
    @KONDOBANNAHMUSIC 26 дней назад

    Mh.magoti ila big up sana aseee angkuwa kiongozi mwingine hapo angetaka masifa ila wew muheshimiwa HUNA masifa ALLAH akubariki

  • @hamishatibu699
    @hamishatibu699 Месяц назад +4

    Wajengewe mabweni watoto wasome Mbona Tanga wanamabweni watoto wanasoma vizuli tu

  • @ednalugano2906
    @ednalugano2906 Месяц назад +4

    Serikali iache kulea vitu hivi kwa kisingizio cha uhuru wa Imani. Hivi vituo vinavyokusanya watoto kiholela vinakiuka haki ya watoto ya elimu,nk. Magonjwa yakitokea nani anawahudumia? Na wazazi wenye watoto hawa wachukuliwe hatua za kisheria.

  • @IgnacioAndrew-rj8pd
    @IgnacioAndrew-rj8pd 26 дней назад

    Shekhe yuko vizuri sana ni mazingira hakuyaanda vizuri

  • @cleartzboy
    @cleartzboy Месяц назад +1

    Yupo sawa na hii niaibu kwetu sisi waisalam tumekua wagumu sana katka swala zima la din yetu hapa tujifunze waislam hii kitu ipo sahihi lakn inaonekana kipato nikidgo ili utendaj umalizeke kifup waislam tuchangie kumaliza hil na kosa nkwamba mashekhe waliwahi kufanya huduma hyo bila miundo mbinu kukamilika

  • @aboudasilver6541
    @aboudasilver6541 Месяц назад +6

    Ukweli tusifiche WAISLAM Kwa hili wanakosea sana hii tabia misikiti MINGI hiyo tabia ipo sana kuwakusanya watoto sehem km hiyo unatabia ya ongezeko la Ushoga watoto wengi wamearibiwa sehem km hizo za mikusanyiko

    • @barackmoses7003
      @barackmoses7003 Месяц назад +1

      𝐊𝐖𝐄𝐋𝐈 𝐊𝐀𝐁𝐈𝐒𝐀

    • @husnathabiti4114
      @husnathabiti4114 Месяц назад +1

      Mbona mfalme zumaridi mbona Analaza usiseme waislam ili nikosa kama makosa mengine

    • @shabanponera2895
      @shabanponera2895 Месяц назад +1

      Sunday school hawaharibiwi?

    • @user-ci9mr5pt9v
      @user-ci9mr5pt9v Месяц назад +1

      Kwani mwenyezi mungu kwenye vitabu vyake anasemaje na mtume naye na watu wema waliishije kipindi chao? Na kuhusu ushoga mungu kakataza lakini pia vilevile kuchanganyika na Wanawake imekatazwa tusiongee tu kwa ushabiki turudi kwa mungu tufate taurati, zaburi, injili na quraan.

    • @IbrahimuLikolinji-ly2tp
      @IbrahimuLikolinji-ly2tp Месяц назад

      Acha ujinga

  • @ednalugano2906
    @ednalugano2906 Месяц назад +5

    Waziri Gwajima, ukaguzi ifanyike nchi nzima. Makanisa na misikiti yote ikaguliwe. Na sheria iwe Kali kwa wazazi na walezi. Iko siku waovu wataweka vituo km hivi kuendesha Mafunzo ya ugaidi, ushoga,nk alaumiwe nani?

  • @yusufumbwene5669
    @yusufumbwene5669 29 дней назад +1

    Huyu anausakama uislam , mimi siwez unga mkono kabisa , anajifanya busara ila moyoni ana maana yake . Pambaneni na wimbi la ushoga . Chuki tu moyoni ndio zimewajaa

  • @SultanMilizar
    @SultanMilizar Месяц назад

    Mh DC Magoti M Mungu akujaalie umli mrefu endelea utafika mbali umetumia hekima sana ila nikuombe umsaidie shekhe ili kupata ufadhiri wa kujengewa bweni za hao watoto
    Msadie Alifa kupata msaada wewe ni mtu wa watu pia ustadhi tupo tayari kukuchangia nipo tayari takuja kisarawe kukutembelea

  • @msemasungura5651
    @msemasungura5651 Месяц назад +4

    Hiyo pia nielimu kama mtoto ameshindwa kwenda shule kuliko kuzurura hata dini asome .nilazima itambulike kua pia hii nielimu.

    • @adinanibuma6096
      @adinanibuma6096 Месяц назад

      Ni sahihi akhy kuna watu hapa nahisi si waislam wengine pia ni nawasiasa tu wanongelea vitu vya kijinga sana

    • @luluray2115
      @luluray2115 Месяц назад

      Kwann ashindwe kwenda shule tunajua dini ni muhimu sawa lakin kumbuka elimu ni Bure kwann ashindwe kwenda shule??

  • @ABUU426
    @ABUU426 Месяц назад +6

    Yule asiyefahamu nini maana ya dini atamuunga mkono sana DC,na Yule anaefahamu nini maana ya dini atamlaumu sana DC.

    • @rashidyyusuph4386
      @rashidyyusuph4386 Месяц назад

      Ukwel DC kakurupuka alafu watu wanaishi maisha ya shida kuliko hayo alafu wala mtu aongei chochote kwa kuwa jambo la dini na la waislam ndio hivyo tena
      Kumbuka sis tumesoma elimu ya dunia hiyo hiyo kwa kukaa chni na vyoo vya kulenga Lakin miaka sana yote tumeishi hivyo leo jambo la dini watu washabikia DC mwenyewe maneno machafu

    • @perfecttentech6208
      @perfecttentech6208 Месяц назад

      kiongozi hakuna kulaumu mtu. hapo ni kusecure usalama wa hao watoto. shekhe ajenge hostel afanye hiyo kazi

    • @ABUU426
      @ABUU426 Месяц назад +1

      @@perfecttentech6208 Kama hujui hapo kuna baadhi ni watoto wa mitaani wameletwa hapo kusaidiwa jee warudi mitaani wakazurure na kulala barabarani na masokoni? Au huko ndio salama zaidi.

    • @egbertlambert
      @egbertlambert 29 дней назад +1

      Duh kweli

    • @Ommy-n7d
      @Ommy-n7d 7 дней назад

      Chuki dhidi ya uislamu hakuna chochote

  • @JUMAMGWENOMGWENOABDALHAMAN
    @JUMAMGWENOMGWENOABDALHAMAN Месяц назад

    Mwenyezimungu DC akupe mywaka mingi

  • @MdIsmail-s9l
    @MdIsmail-s9l 24 дня назад

    insha'Allah litangazwe tupo Oman tutachangia

  • @IsraelMjita
    @IsraelMjita Месяц назад +7

    Angalieni hapo kama hakuna viashiria vya mafunzo ya kigaidi

    • @AshuraMaulid
      @AshuraMaulid Месяц назад +1

      Nilitaka kusema hili nimewaza kama wewe yaani wachunguzwe

    • @dickmagige9315
      @dickmagige9315 Месяц назад

      Msiwe na mawazo mgando nyie

    • @shabanimfikirwa7618
      @shabanimfikirwa7618 Месяц назад +1

      Hivi kwa nn waislam wakipewa mafunzo ya kidini mnagusisha na ugaid wakati wenzetu wakristo huwa wanakaa makambi ya kupewa kipaimara but hakuna inshu Kama hizo,then hao wanaoambiwa ni magaidi huwa watu wanaowadhamn ni wazungu,naomba tuwe wataft wa mambo kabla ya kuyazungumza.

    • @madengejr
      @madengejr Месяц назад

      Watoto wakibanwa wataeleza wanalishwa sumu ya itikadi

    • @SuleymanIbrahim-zi3ot
      @SuleymanIbrahim-zi3ot Месяц назад

      Acha ujinga wew Kila kitu ugaid ulaniwe milelw

  • @user-hz6zl1jr8v
    @user-hz6zl1jr8v Месяц назад +14

    Waangaliqe na afya zao je ni wazima? Je hawajaingiliwa kimwili.?

    • @salmamlokela1987
      @salmamlokela1987 Месяц назад

      Yaan wewe una mawazo ya ovyoo

    • @fashion7442
      @fashion7442 Месяц назад

      Wataingiliwaje wote hao naww uwe na akili

    • @IbrahimMaestro
      @IbrahimMaestro Месяц назад

      Tahila ww

    • @yusuphmnyamani2199
      @yusuphmnyamani2199 Месяц назад +2

      Kwahiyo ulivy ingiliw wew ukiw mdog unadhani na haw watoto itakuw hivyo

    • @saidMahinde
      @saidMahinde 28 дней назад

      kweli tabiaza za m2 zikiwa chafu na mawazoyake yanakua machafu alio zoea kulawitiwa pia mawazoyake kua kilam2 analawitiwa kama yeye

  • @HamisiKashushu
    @HamisiKashushu Месяц назад

    Kwa hili nakupongeza sana kazi nzuri

  • @ramadhanizengwe
    @ramadhanizengwe Месяц назад

    Sheikh yupo vizur sana na dc nimemkubali sana hongela dc

  • @israeluronu9958
    @israeluronu9958 Месяц назад +7

    Nyie mnaolalamika eti anazuia kazi ya Mungu mnakosea!!! Haowatt kilamtu ametoka kwao na tabia zake. Hivi vitendo vya ukarili nivingi sikwawaislamu wala wakristo. Kwaiyo wacheni kiongozi afanye kazi yake. Watt wakiumia ninyie mtalaumu jmn

  • @lawrencegwerino1656
    @lawrencegwerino1656 Месяц назад +3

    Ni aibu kwa inchi.kuona haya mambo yanafanyika na serikali ipo…

  • @tatujuma4795
    @tatujuma4795 Месяц назад +2

    Big up sana mkuu una mauwa yako toka kwangu, umefanya kazi nzuri sana, kwanza ni watoto wa kiume tupu huu unaweza kuwa mwanzo wa ulawiti na kulawitiwa kwa watoto hao

    • @user-vl5tz6xt2m
      @user-vl5tz6xt2m Месяц назад

      Ushoga ndio unaanzia humour,ni ujinga sana huo.

    • @omarymatumika4600
      @omarymatumika4600 Месяц назад

      ​@@user-vl5tz6xt2m hahahahaha wewe kweli akili huna

  • @MichaelKingazi-wm7xj
    @MichaelKingazi-wm7xj Месяц назад

    Dc well done,but wenzetu wana nia.njema sana, mi.umaskini tu,serikali iwasaidie. Amen

  • @petroyohana1126
    @petroyohana1126 Месяц назад +5

    Wazazi wenyewe ni maboya Sanaa, mungu atusaidie sana. Sijui nani katuloga

    • @olivajoseph1697
      @olivajoseph1697 Месяц назад

      Hata mm nashangaa akili Gani hizi za wazazi. Ndiomana watoto wanafanywa vibaya

    • @mohamedkamota1903
      @mohamedkamota1903 Месяц назад

      Hauna AKILI wewe

    • @AkidaMashaka
      @AkidaMashaka Месяц назад

      achakukurupuka mjomba hakuna mzazi asie mtakia mwanaeheri wamezania heri wakawapeleka wanao ilamzingira ndio changamoto

  • @thomasdunstan8263
    @thomasdunstan8263 Месяц назад +14

    Wachunguzwe wanacho wafundisha hao watoto. Wengine wanatumia mgongo wa dini kupenyeza maovu

  • @DuuSaid
    @DuuSaid 29 дней назад +1

    Msikiti sio Kama kanisa asichanganye haki na batili..shehe wekeni namba zenu za tigo pesa mupate michango kuinua madrasa

    • @user-bs7cw1oi6z
      @user-bs7cw1oi6z 29 дней назад

      Duu said mbona unadhalau wakristo , watoto wanaoshi vibaya wewe unaleta uchochezi acha unafiki Mungu sio wa kwako tu, viongozi wameshauri vizuri wewe unadhalau wakristo sio sawa ukome kabisa

  • @user-ei5di4oi7g
    @user-ei5di4oi7g 20 дней назад

    Ninawaombea miundo mbinu iboreshwe. Shekhe Allah akulinde