NILIENDA ZANZIBAR KUSAKA MZUNGU | NILIJIFANYA YATIMA | WAZUNGU WATAKUTUMIA WAKUACHIE UKIMWI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 1 окт 2024
  • Ameeleza namna ambavyo kuoa mzungu ilikua ni ndoto yake na namna alivyoipambania na kufanikisha.
    Alijifanya mtoto yatima ili tu apate nafasi ya kua na wazungu.
    Alifunga safari mpaka Zanzibar kusaka mzungu na mwisho ndoto yake ilizaa matunda.
    Thank you Patric Wache for allowing this to be online

Комментарии • 308

  • @upendowakwelinaamani1060
    @upendowakwelinaamani1060 Год назад +13

    Kijana kafunguka kwakweli mwenye maskio na askie kaka sio mchoyo katoa mbinu zote alizotumia kupata mzungu na ushauri katoa sasa kazi kwetu wananzengo kujiongeza tu asante sana shena kwa kijana Patrick kumleta leo katupa nondo za kweli😂

  • @valenakomba9218
    @valenakomba9218 11 месяцев назад +5

    Hallo, kujana wangu nimefurahi sana kusikia uko Slovenia. Mimi nimeshawahi kutembelea huko mara nyingi sanaa. Na napenda sanaa wine yao, na masoseji. Huwa nafikia hapo Maribo. Kunafamilia hapo . Nimeshaenda kule baharini PIRANI, POTOROZIE. NA I AZALIKA. YAANI WEWE UNAKAA NCHI NZURI JAPO NI MBALI SANA.

  • @maria_mutondioriginal5
    @maria_mutondioriginal5 10 месяцев назад +2

    Kumbe we Patrick sometimes unaongea point 🙂 maana kule Instagram saa ingine unaudhi mambo yako 😢 wee nunadu

  • @ashuramdee344
    @ashuramdee344 11 месяцев назад +3

    Kwakweli Patrick unasema ukweli mtupu mimi nilisha mwambia mumewangu sitaki marafiki wengi wanapenda mtu anguke wamcheke

  • @Joe_kabye
    @Joe_kabye Год назад +10

    Huyu kijana n honesty and absolute ameeleweka 🤣🤣🤣huyu nia comedian

  • @utaani1
    @utaani1 8 месяцев назад +4

    Mimi kuishi Unguja siwezi najua nitafilisika kwa sababu kila kitu ghali. Nikiwa Tanzania naenda zangu Pemba kupumzika. Mimi nilipata mwanamke kwenye date site nimepata, nimemfuwata Indonesia na wazee wake wakanipokea na mpaka leo tupo pamoja na tuna mpango wa kwenda kuishi Pemba in sha Allah

    • @OfficialDatingAssistance
      @OfficialDatingAssistance  8 месяцев назад

      MashaAllah
      Nakukaribisha kwenye kipindi 🙏
      +4367764790884

    • @utaani1
      @utaani1 8 месяцев назад

      @@OfficialDatingAssistance ahsante sana

    • @zalfazalfa7810
      @zalfazalfa7810 5 месяцев назад

      😮​@@OfficialDatingAssistance

    • @zalfazalfa7810
      @zalfazalfa7810 5 месяцев назад

      ​@@OfficialDatingAssistance😮😮

  • @dayana5513story
    @dayana5513story Год назад +9

    Uyu kijana ni comedy nimecheka sana ameniongezea siku😀😀😀

  • @valenakomba9218
    @valenakomba9218 11 месяцев назад +4

    Ni vizuri sana kuweka mipaka katika maisha. Tena ni muhimu. Je unakaa sehemu gani. Usiniambie unakaa rubulana. Sababu sipapendi mimi napenda vijijini.

  • @asiaminja3556
    @asiaminja3556 Год назад +8

    Nilikuwa nasikia Wazungu wanakuja Afrika kutafuta wanaume kumbe kweli...kumbe pia kuna watu Afrika nao wanaenda sehemu kusaka Wazungu..,tunajifunza na hii mitandao ya kijamii...kila la kheri

  • @homeandaway2811
    @homeandaway2811 Год назад +11

    Hongera sana kaka kwa kufunguka ,wewe kiboko 😂😂😂 nimependa kuna sehemu umesema "sikuwa muaminifu, NIKAACHIKA" Hili neno wengi wanasema mwanamke tu, wakati hii inahusu wote tu.

  • @utaani1
    @utaani1 8 месяцев назад +2

    Hiyo kali ati beach ⛱️ boy kaletwa hotel hapa tushaletewa mwizi bora tuwafukuze wote

  • @jonasmpita2206
    @jonasmpita2206 5 месяцев назад +1

    Kwahiyo Zanzibar ukiwa na binti wa kizungu bakora ila mzungu akienda na binti wa kiafrica hakuna shida. Hatari sana. sema kwenye kusuka na kuvaa mahereni kwa mtoto wa kiume naunga mkono hoja hata vitabu vitakatifu vinazuia

  • @aisharamadhani1948
    @aisharamadhani1948 Год назад +5

    Kumbe kweli wanavyosemaga ukitengeneza mwili wazungu wa kike wanakupenda heeee makubwaa

  • @neemasalema1546
    @neemasalema1546 4 месяца назад +1

    Patrick umenivunja mbavu umeweza kuniongezea siku sio kwa coz hiyo ya matusi😂😂

  • @dn.n4983
    @dn.n4983 Год назад +5

    Real storh hixi zangu ukitaka kitu ukipigania kwa kweli

  • @emelecianafrancis5655
    @emelecianafrancis5655 Год назад +6

    Nimefurahi sana ,God bless you broo

  • @azizastationary6383
    @azizastationary6383 Год назад +3

    Nimependa full interview inafundisha sana maisha,pia source wako anajieleza vizuri sana.

  • @sarahsesa8851
    @sarahsesa8851 Год назад +2

    😅😅😅😅eti amenipenda 😅😅😅unajua kumsoma mtu hakili yake inavo fanya kazi

  • @amneriyami2409
    @amneriyami2409 11 месяцев назад +2

    habibt shena nimependa sana hii storry kijana mdogo lakili katulia akili yake mungu ambarik

  • @jakuabdull34
    @jakuabdull34 3 месяца назад

    Kumbuka kuwa utamaduni c jambo la muungano

  • @Aishamohd-tu5fj
    @Aishamohd-tu5fj 9 месяцев назад +2

    Yani broo umeongeya kweli tu wazanzibar tuko ivooo❤❤❤

  • @judithsalvatory2892
    @judithsalvatory2892 Год назад +7

    Asante sana nimefurahi sana naming nipo Paje nimefurahi asna

  • @mikeraphael957
    @mikeraphael957 Год назад +2

    Nilikuwa na Ndoto hizi😅 Sasa sio Ndoto Tena Naishi Maisha halisi hapa States ila wangu nilimpata hapa States. Bongo niliwahi kupata na kupendwa ila haikufanikiwa sababu nililuwa sijui tabia zao. Na tamaduni zao.

    • @FrolaNdozi-bd2wg
      @FrolaNdozi-bd2wg Год назад

      Nipe hyo connection ndg Yang mm n gentleman natmia simu ya shangaz yangu

  • @kassiannyamba805
    @kassiannyamba805 Месяц назад

    Dada naona unafurahia story😂😂

  • @hajiameir8688
    @hajiameir8688 Год назад +3

    Kuna wajinga wengine huko Tanganyika wanasema Zanzibar si nchi wanaturudisha nyuma sio vizuri

    • @fainajaffary4070
      @fainajaffary4070 11 месяцев назад +1

      Acha usenge tanganyika ya baba ako uko ww haiitwi tanganyika inaitwa tanzania uache ushamba

    • @NancyPatrick-il8zj
      @NancyPatrick-il8zj 11 месяцев назад +1

      Watakuwa walikufanyia mchezo mchafu

    • @fainajaffary4070
      @fainajaffary4070 10 месяцев назад

      @@NancyPatrick-il8zj 😁😁😁😀

  • @jennytugara9470
    @jennytugara9470 Год назад +3

    Kaka una Vision nene bado ndoa changa na Mungu anaona moyo wako na una hekima sana. Siku za mwanadamu hazifanani mtajaliwa mali na watoto wa kutosha. Point noted Africa tuna roho za koroshoooo!!!

  • @marykennedymarwa1641
    @marykennedymarwa1641 Год назад +1

    Afadhali ulivyojua ukweli wa mzungu , 😂 , matapeli kama watu wengine tu , na akitaka kukuua anakuua tu . Binadamu wote tuko sawa. Cha muhimu muombe mungu akupe amani na kuridhika , mzungu au mweusi wote ni sawa.

  • @jamlaashiri372
    @jamlaashiri372 5 месяцев назад +1

    Hizo sheria za zanj Uwe na cheti cha ndoa Hao ni wabaguzi wao ndo wanzinzi no 1. Hiyo znj niya kitalii nawatalii wanapenda kuona culture.

  • @jonasmpita2206
    @jonasmpita2206 5 месяцев назад +1

    Patrick uko vzr na very focused, hongera

  • @mylisheacademictv4290
    @mylisheacademictv4290 Год назад +3

    Dada uko vizur Sana kweny interview

  • @afropanorama4730
    @afropanorama4730 Год назад +4

    ondoweni fikra za kuamini eti kila mzungu ni bilionea,wengine ni wadangaji tu,tufanyeni kazi kwa bidii,mzungu sio solution ya umaskini wako

  • @aikandosa
    @aikandosa Год назад +5

    Nimecheka jamani..🤣🤣🤣

  • @Salumchiwili2023
    @Salumchiwili2023 Год назад +4

    Mgosi kafunguka kikubwa kwenye maisha ni kuwa na malengo kila kitu kinawezekana

  • @franek6477
    @franek6477 10 месяцев назад +1

    Hi dada I would like to sheer my story with you guys I am from Zanzibar and now living to Europe poland

  • @trizereve3386
    @trizereve3386 Год назад +6

    Beautiful story haki imenigusa❤love from 🇰🇪🇰🇪

    • @OfficialDatingAssistance
      @OfficialDatingAssistance  Год назад

      Shukran 🙏

    • @janemugoya1316
      @janemugoya1316 Год назад

      @@OfficialDatingAssistance q

    • @pillykinabo8722
      @pillykinabo8722 Год назад

      ​@@OfficialDatingAssistance.....Reka huyu😂

    • @JescaMwagama-oc9yt
      @JescaMwagama-oc9yt 11 месяцев назад

      Nimekusikiliza sana ila nimeona ww hapo upo kimaslai Zaid maana ww hapo ulimtafuta mzungu unataka utajilike ondoa hiyo

    • @silasgerrychannel225
      @silasgerrychannel225 10 месяцев назад

      ​@@OfficialDatingAssistancedada naomba mawasiliano ya huyu Patrick kama akiridhia, nataka kwenda kufanya kazi huko Ulaya au America

  • @mauasama43
    @mauasama43 Год назад +3

    naomba app ya kupata mzungu

  • @pendoclement6672
    @pendoclement6672 Год назад +2

    Brothers Slovenia is an opportunity ,patoo anaimbiwa nyimbo....😅😅😅 kama Tanga vile 😊

  • @hamisihassankengejr4375
    @hamisihassankengejr4375 Год назад +1

    Malengo ni zaidi ya utumwa tuishi HUMO
    Nimependa sana Patrick alichosema amefunguka real, niongee kitu kwa vijana mzungu nilazima akuone mara kwa mara

  • @lissamugondo3369
    @lissamugondo3369 Год назад +7

    Yani huyu kaka ana chekesha jaman 😂

  • @ilakozasembumende1975
    @ilakozasembumende1975 Год назад +2

    Umejenga tanga kaka umeupiga mwingiiiiii❤❤❤❤❤❤❤❤ yaani una akiri saaaana

  • @kadhyanassor5046
    @kadhyanassor5046 4 месяца назад

    Is too late wazanzibar wamechelewa kuidhibiti Zanzibar sahivi sio ile Zanzibar ilotulea kwa maadili mema ....sahivi ni uchafu mtupu ....

  • @jamesassanga8581
    @jamesassanga8581 Год назад +4

    Huyu jamaa maelezo yake siyaelewagi,kwenye mahojiano mengine anasema kaishia la Saba na anasema alikutana na demu wake Zanzibar kwenye biashara za utalii

    • @OfficialDatingAssistance
      @OfficialDatingAssistance  Год назад +1

      Haya ndio mahojiano yake sasa ya safari nzima ya mahusiano.. 🥰🥰 katufungukia

    • @pendo8082
      @pendo8082 Год назад

      ​@@OfficialDatingAssistancemm sielewagi nishafatilia akiwa anahojiwa sasa hapa anasema kingine

    • @jacqueisaac8155
      @jacqueisaac8155 Год назад

      Kuuza culture ni utalii

    • @sarah-hy7gz
      @sarah-hy7gz Год назад

      Ndy

    • @soleotanzania2015
      @soleotanzania2015 10 месяцев назад

      Alikuwa anauza kacha, hiyo haihitaji elimu kubwa

  • @BellaBella-mv4uw
    @BellaBella-mv4uw 5 месяцев назад +1

    Huyu Kaka anahekimasana na nimuelewa Yani nimependa haki

  • @wamburaneema-w7r
    @wamburaneema-w7r 6 месяцев назад +1

    kumbe sio wasukuma pekee wanaopenda wanawake weupe😂😂😂😂

  • @HafidhaStar
    @HafidhaStar 4 месяца назад

    N

  • @mohamedimohamedi58
    @mohamedimohamedi58 Год назад +1

    Kupeana nafasi umeongea vyema.sie wenngine tunapitia hilo nimependa kipindi chako.

  • @athumanizaidi8560
    @athumanizaidi8560 Год назад +1

    Namuona shemeji anapita pita nyuma behind the camera 😂

  • @naturelle1097
    @naturelle1097 10 месяцев назад +1

    Shena your interviews are very interesting loving your channel❤❤❤

  • @rahimahamad1016
    @rahimahamad1016 6 месяцев назад

    Mbona izo sheria zilikuepo wakati wa karume kaka na ilikua kunywa pombe ilikua uwe na cheti. Nashauri tujifunzeni historia za kujua chimbuko la nchi zetu za kiafrika. tusiongee tu sometimes. Europe kuna vitabu vingi vya historia ya Tanzania

  • @bushsutimeline766
    @bushsutimeline766 10 месяцев назад

    Good story but bad influence to african youth wengi Wana zani ku date na mzungu niku toboa kimaisha ...therefore nowadays more young african are after white man and ladies for success

  • @armanichicandow1225
    @armanichicandow1225 10 месяцев назад +1

    Wa nyumbani Kilosa huyo

  • @annatemu4488
    @annatemu4488 10 месяцев назад +1

    Ni kweli kbs, watu weusi sisi furaha yetu ni kuona mwenzio anaharibikiwa,ni tabia mbaya sana, na ukiweka mipaka wanakuona unaringa

    • @simonrusigwa3024
      @simonrusigwa3024 5 месяцев назад

      Ni bora wakuone hivyo aisee. Piga chini, watu wengi majanga bongo. Ishi kivyako

  • @newbwejuu4302
    @newbwejuu4302 Год назад +3

    Ila ushoga ni mamuzi ya mtu bado serikali inaingilia, Anashanga kusuka? Zanzibar inasheria na katiba zake . Na si mila za tanzania kusuka.

    • @OfficialDatingAssistance
      @OfficialDatingAssistance  Год назад +2

      Sasa wamasai wanahali gani huko kuhusu kusuka jamani 😁

    • @newbwejuu4302
      @newbwejuu4302 Год назад

      Mmasai ataachwa na mila zake ila nikwambie ukweli wazungu wengi Wanawake na wanaume waliokuja Zanziba hawasuki sijui uko nchi mnazoishi.

    • @damariszuckschwert9489
      @damariszuckschwert9489 Год назад

      ​@@newbwejuu4302Wazungu huwa hawasuki wanapenda kusuka ni African American.

  • @MAISHAYACROATIA
    @MAISHAYACROATIA Год назад +3

    Interviews kaliii sana🔥🔥🔥🔥

  • @kevinmary7129
    @kevinmary7129 7 месяцев назад

    Upuuz wa zanzibar wait 2030 itakuwa mkoa wa bara 100% Hawkins udini hakuna sheria ya dini popote kwenye mipaka ya URT kuanzia 2030

  • @kilwadreamsbeachresort9319
    @kilwadreamsbeachresort9319 4 месяца назад

    Patrick ukija bongo unitafute mimi niko kilwa Dreams beach tunaweza kupeana mawazo ya kujenga Jamii zetu
    Hakika nipenda Sana interview yako

  • @peterkaale6977
    @peterkaale6977 11 месяцев назад +1

    Hawa wazungu watatoa watu rohooo jaman mhhh mungu awasaidie wadogo zetu

  • @amneriyami2409
    @amneriyami2409 11 месяцев назад +1

    kiukweli kijana ni mkweli sana kajua kupambana mungu amsaidie mtanga tanga raha

  • @ghanimajongo7817
    @ghanimajongo7817 5 месяцев назад

    Usiisem vibay Zanzibar kil nnchi zin Sheria Zak ww umekuj umepat lak shkuru

  • @typicalgamertrevor5086
    @typicalgamertrevor5086 6 месяцев назад +1

    Woooowww nimependa interview ya kaka...congratulations ❤

  • @TamimYunus-pi7oj
    @TamimYunus-pi7oj 11 месяцев назад

    Muong pat unakunbuk michezo yako uliyo kua unatufundisha kucheza ili tupate zangu tena unaenda kifuwa wazi na pensi tu Ila umetoboa ndugu YANGU hongera

  • @AmnaAmna1-xs3rx
    @AmnaAmna1-xs3rx 5 месяцев назад +1

    Hongera Sana ndugu Yangu Msambaa mwenzetu

  • @rahimahamad1016
    @rahimahamad1016 6 месяцев назад

    Watanzania wengi wakishafika ulaya wanajidai, majisifu mengi mno na hawana msaada wowote isipokua kujidai na wengine wanawasababisha watu kufungwa. Pia tuache tabia ya kuwasifia wazungu ni wabaguzi sana. Apo alipo patrick hana mdomo anakokotwa na kulelewa tu na msichana (yeye mwenyewe anapenda shortcut asiwaseme vijana wa tanzania buana na Africa kwa ujumla.

  • @kilwadreamsbeachresort9319
    @kilwadreamsbeachresort9319 4 месяца назад

    Shina ningependa kupata mawasiliono yake mimi pia na hotel napokea watalia tunaweza kufanya jambo ambayo inatwa kilwa dreams beach resort

  • @jakuabdull34
    @jakuabdull34 3 месяца назад

    Si dhani kama ni sahihi kuingilia taratibu na mila za nchi husika wachie wenyeji wahoji wenye tamaduni zake

  • @saidabdillahi8107
    @saidabdillahi8107 Год назад +1

    Hongera Kaka waslovenia ni wanawake wasafi watunza nyumba na wenye wivu kupindukia

  • @tecratzmwakyambomwakyambo7243
    @tecratzmwakyambomwakyambo7243 Год назад +4

    Dada asante nakufuatilia sana

  • @joycejackson2320
    @joycejackson2320 Год назад +1

    Upendo wa wazazi wako ni wa msingi sana ndio maana upo hapo ulipo

  • @JazilaSiraja-st8cu
    @JazilaSiraja-st8cu 2 месяца назад

    Imenifundisha kujiamn na kuna nguvu kubwa iliyondan yetu kikubwa n kujiamn na kutokujal

  • @batulimohamed6088
    @batulimohamed6088 Год назад +2

    Hongera msambaa mwenzangu

  • @salymsuleiman2035
    @salymsuleiman2035 Месяц назад

    Wabongo wengi munawaona watu wenye ngozi nyeupe km wafalme ila hawa watu ni wabaya sana hususa ni hao wazungu

  • @ecramarajabu7330
    @ecramarajabu7330 Год назад +3

    Kaka Patrick hongera sana nimekuelewa

  • @angelalyimo2862
    @angelalyimo2862 Год назад +3

    Kaka kajiongeza

  • @chalemofaraji8797
    @chalemofaraji8797 9 месяцев назад

    Kiufupi patrick waache leo uneongea ukweli mno 🇬🇷🇬🇷🇬🇷🇹🇿

  • @glorymasy7687
    @glorymasy7687 Год назад +3

    Eti kijin ha ha ha ha haaa Patrick jmn

  • @sherry7339
    @sherry7339 5 месяцев назад

    Hahahahaha nimekumbuka zamani sana huyu jamaa kafanya kama babu yangu aliniambia cha kwanza jifunze matusi ya hilo eneo hahahahahah hapo uko sawa

  • @edwardfaraji1133
    @edwardfaraji1133 11 месяцев назад +1

    Ebwana nzuri sana dada yetu Asante kwa kazi nzuri...

  • @ndalusanzekassim5902
    @ndalusanzekassim5902 10 месяцев назад

    Sasa wewe baba mtu wa Morogoro inakuwaje mtanga na msambaa. Tuweke sawa wewe unafata kabila gani??

  • @ecramarajabu7330
    @ecramarajabu7330 Год назад +3

    Jamani huyu kijana kanifurahisha sana

  • @barakamazigo4840
    @barakamazigo4840 8 месяцев назад +1

    Ya interview 🔥🔥

  • @sebastianmathew8475
    @sebastianmathew8475 7 месяцев назад

    Je salama? Unakosea unapokwenda front na wazungu Kuna eneo. Nenda wewe kama wewe.

  • @Judy-dy4zt
    @Judy-dy4zt 11 месяцев назад +1

    Uko vzr kaka mungu awatangulie katika ndoa yenu

  • @zulekhaa6817
    @zulekhaa6817 8 месяцев назад

    Ina mana wazungu ndio wamefanywa mtaji 😮, duh
    Mtihani ikiwa hivi watu watazidi kupotea

  • @doreenniver6643
    @doreenniver6643 Год назад +1

    Nimejifunza kitu

  • @Jessy-f9w
    @Jessy-f9w Год назад +4

    Kweli kabisa wabongo tunapenda kuona aliyefanikiwa kaanguka

    • @OfficialDatingAssistance
      @OfficialDatingAssistance  Год назад

      Mtihani mkubwa

    • @angelalyimo2862
      @angelalyimo2862 Год назад

      Hatupendani

    • @JustinMapunda-z9r
      @JustinMapunda-z9r Год назад

      Kaka nimekufaham sana Mimi nipo bwenuu wewe umeongea ukweli walio wengi ambao wanawazungu tamaa sana malengo hamuna mwishowasiku wanhalibikiwa wanpoachwanawake wanachanganyikiws hawataki kuniwekeza nahamimi nilikuwa namutaka kwasabu huku najiendereza nakazi yanu jipushi kwanza ndoupushiwe usisubilikupewa bolaulikuwa unajishugulisha ukijazanziba kwamalengounatusua uswemulevimwizi kama ulivyosma mwaminifu Asante nipo Zanzibar bwenuu kwamyaka 24

    • @JustinMapunda-z9r
      @JustinMapunda-z9r Год назад

      Mimi nipo bwenuu myaka 24

    • @JustinMapunda-z9r
      @JustinMapunda-z9r Год назад

      Namimi nipo bwejuu

  • @GubraCity-dm5sx
    @GubraCity-dm5sx Год назад +3

    Kaka napita km ulipopita ww

  • @MarieLulu-k9u
    @MarieLulu-k9u Год назад

    Natamani nije gupata mzungu anaependa Africa kweri hata mimi inje ya ichi sipendi kuishi gutembea sawa

  • @ilovuguyssandimu6508
    @ilovuguyssandimu6508 10 месяцев назад

    This guy muongo...he said he had elfu 5tu

  • @sarafinasangajenga1378
    @sarafinasangajenga1378 11 месяцев назад +1

    Safi sana Kaka maisha yapo hivyo

  • @ROZITHOMAS-y4q
    @ROZITHOMAS-y4q 5 месяцев назад

    Ana wivu huyo mwanamke ? Anafatilia interview

  • @agnettakamugisha4984
    @agnettakamugisha4984 6 месяцев назад

    Naishi Marekani. Watoto wangu Baba yao anatoka Slovenia. Nimewahi kutembea mara mbili. Watoto wanaenda kwao mara nyingi tu. Baba yao amefika Kagera na kuzunguka kijijini. Slovenians wanapenda sana Africa. Wa Slovenian wana roho nzuri sana. Wanaishi Radovljica. Nikiena nitakutafuta. Baba yao ndo amerudi Marekani. Nitakutafuta.

    • @OfficialDatingAssistance
      @OfficialDatingAssistance  6 месяцев назад

      Karibu sana kwenye kipindi pia utupatie elimu ya Slovenia na Marekani +4367764790884

  • @ABILAHIYUSUFU
    @ABILAHIYUSUFU 10 месяцев назад

    Umesema ukweli ndugu yetu mtanga umetufundisha umetukumbusha kitu mweye kuelewa atakuelewa mimi nimekuelewa

  • @idrisabakar1076
    @idrisabakar1076 10 месяцев назад

    Hello, namuomba Patric anitafutie wanunu wa Mkonge mm niko Tanga

  • @WahidaAlharthi
    @WahidaAlharthi 5 месяцев назад

    Kwakeli umepata Wewe Ni kijana mwenye. Akili muhimu umempenda kakupenda

  • @FatmaHamad-g6s
    @FatmaHamad-g6s 6 месяцев назад

    Sio Zanzibar tu chafu Tanzania nzima hapo earport tu Dar ni pachafu

  • @KhadijaAbdallah-kn3ii
    @KhadijaAbdallah-kn3ii Год назад +1

    Mungu ni wa ajabu sana unachokipenda ndicho anachokusogezea mfano ww unataka kununuwa Noah voks sasa kila unapopita njiani utakutana na noah voksi hivo yaani ndo maana uliona wazungu wanakutaka taka tu ni kitu ulichopenda

  • @hassanmataula7063
    @hassanmataula7063 Год назад +1

    Safi sana mwamba pambana Jenga heshima ya TZ

  • @mwitaagness455
    @mwitaagness455 Год назад +1

    Iman yavunja mlima aisee,

  • @eliacletus7469
    @eliacletus7469 Год назад +2

    Try to minimize interview duration time

    • @bellabakera
      @bellabakera Год назад +3

      When it is long, you leave. Some of us we love that way

    • @zaydelabay9776
      @zaydelabay9776 8 месяцев назад

      😅😅😅😅😅😅 ​@@bellabakera

  • @Fear_Allah394
    @Fear_Allah394 Год назад +4

    Waafrika tuna akili mbovu sana na uvivu juu.

    • @Mina.15
      @Mina.15 Год назад

      Nikukosa KAZI Africa KAZI hakuna that's why a lot of our people going after white people and Chinese

    • @Fear_Allah394
      @Fear_Allah394 Год назад

      @@Mina.15. Kweli na zikiwemo na akili mbovu mana uhiyari ukafumuliwe nyuma si bora uuze japo maandazi??? Hawa watu ushenzi wa nyuma ni kawaida kwao asikudanganye mtu.

    • @piusgadau6328
      @piusgadau6328 Год назад

      kabisa hiki kitu kinanikera sanaaa

    • @Lizzyktd
      @Lizzyktd Год назад

      😂😂😂😂😂

    • @Msomali-o7f
      @Msomali-o7f 10 месяцев назад

      ​@@Fear_Allah394acheni fikira mbovu kufunuliwa nyuma ni mtu kutaka mwenyewe tu sema ni choyo tu