NILIENDA ZANZIBAR KUSAKA MZUNGU | NILIJIFANYA YATIMA | WAZUNGU WATAKUTUMIA WAKUACHIE UKIMWI
HTML-код
- Опубликовано: 1 окт 2024
- Ameeleza namna ambavyo kuoa mzungu ilikua ni ndoto yake na namna alivyoipambania na kufanikisha.
Alijifanya mtoto yatima ili tu apate nafasi ya kua na wazungu.
Alifunga safari mpaka Zanzibar kusaka mzungu na mwisho ndoto yake ilizaa matunda.
Thank you Patric Wache for allowing this to be online
Kijana kafunguka kwakweli mwenye maskio na askie kaka sio mchoyo katoa mbinu zote alizotumia kupata mzungu na ushauri katoa sasa kazi kwetu wananzengo kujiongeza tu asante sana shena kwa kijana Patrick kumleta leo katupa nondo za kweli😂
Yani kaka katoa nondo na nondo
Hahaha dia nitumie ling
😅😅😅😅
Hallo, kujana wangu nimefurahi sana kusikia uko Slovenia. Mimi nimeshawahi kutembelea huko mara nyingi sanaa. Na napenda sanaa wine yao, na masoseji. Huwa nafikia hapo Maribo. Kunafamilia hapo . Nimeshaenda kule baharini PIRANI, POTOROZIE. NA I AZALIKA. YAANI WEWE UNAKAA NCHI NZURI JAPO NI MBALI SANA.
Kumbe we Patrick sometimes unaongea point 🙂 maana kule Instagram saa ingine unaudhi mambo yako 😢 wee nunadu
Kwakweli Patrick unasema ukweli mtupu mimi nilisha mwambia mumewangu sitaki marafiki wengi wanapenda mtu anguke wamcheke
Huyu kijana n honesty and absolute ameeleweka 🤣🤣🤣huyu nia comedian
Yani yuko amazing
@@OfficialDatingAssistancenitakutafuta niko 🇺🇸
Mimi kuishi Unguja siwezi najua nitafilisika kwa sababu kila kitu ghali. Nikiwa Tanzania naenda zangu Pemba kupumzika. Mimi nilipata mwanamke kwenye date site nimepata, nimemfuwata Indonesia na wazee wake wakanipokea na mpaka leo tupo pamoja na tuna mpango wa kwenda kuishi Pemba in sha Allah
MashaAllah
Nakukaribisha kwenye kipindi 🙏
+4367764790884
@@OfficialDatingAssistance ahsante sana
😮@@OfficialDatingAssistance
@@OfficialDatingAssistance😮😮
Uyu kijana ni comedy nimecheka sana ameniongezea siku😀😀😀
😁😁🥰
anachekesha pia naona kwenye account yake ya insta yeye na mzungu wake
Ni vizuri sana kuweka mipaka katika maisha. Tena ni muhimu. Je unakaa sehemu gani. Usiniambie unakaa rubulana. Sababu sipapendi mimi napenda vijijini.
Nilikuwa nasikia Wazungu wanakuja Afrika kutafuta wanaume kumbe kweli...kumbe pia kuna watu Afrika nao wanaenda sehemu kusaka Wazungu..,tunajifunza na hii mitandao ya kijamii...kila la kheri
Hongera sana kaka kwa kufunguka ,wewe kiboko 😂😂😂 nimependa kuna sehemu umesema "sikuwa muaminifu, NIKAACHIKA" Hili neno wengi wanasema mwanamke tu, wakati hii inahusu wote tu.
He is amazing 🥰😁
Hiyo kali ati beach ⛱️ boy kaletwa hotel hapa tushaletewa mwizi bora tuwafukuze wote
Kwahiyo Zanzibar ukiwa na binti wa kizungu bakora ila mzungu akienda na binti wa kiafrica hakuna shida. Hatari sana. sema kwenye kusuka na kuvaa mahereni kwa mtoto wa kiume naunga mkono hoja hata vitabu vitakatifu vinazuia
Kumbe kweli wanavyosemaga ukitengeneza mwili wazungu wa kike wanakupenda heeee makubwaa
😁kila siku ni kujifunza
Zamani
@@OfficialDatingAssistance hakika na Asante dada tunajufunza kweli
Patrick umenivunja mbavu umeweza kuniongezea siku sio kwa coz hiyo ya matusi😂😂
Real storh hixi zangu ukitaka kitu ukipigania kwa kweli
Sana
Nimefurahi sana ,God bless you broo
🙏🙏
Nimependa full interview inafundisha sana maisha,pia source wako anajieleza vizuri sana.
😅😅😅😅eti amenipenda 😅😅😅unajua kumsoma mtu hakili yake inavo fanya kazi
habibt shena nimependa sana hii storry kijana mdogo lakili katulia akili yake mungu ambarik
Kumbuka kuwa utamaduni c jambo la muungano
Yani broo umeongeya kweli tu wazanzibar tuko ivooo❤❤❤
Asante sana nimefurahi sana naming nipo Paje nimefurahi asna
🥰🥰
Namimi ni je huko
Mimi pia
Nilikuwa na Ndoto hizi😅 Sasa sio Ndoto Tena Naishi Maisha halisi hapa States ila wangu nilimpata hapa States. Bongo niliwahi kupata na kupendwa ila haikufanikiwa sababu nililuwa sijui tabia zao. Na tamaduni zao.
Nipe hyo connection ndg Yang mm n gentleman natmia simu ya shangaz yangu
Dada naona unafurahia story😂😂
Kuna wajinga wengine huko Tanganyika wanasema Zanzibar si nchi wanaturudisha nyuma sio vizuri
Acha usenge tanganyika ya baba ako uko ww haiitwi tanganyika inaitwa tanzania uache ushamba
Watakuwa walikufanyia mchezo mchafu
@@NancyPatrick-il8zj 😁😁😁😀
Kaka una Vision nene bado ndoa changa na Mungu anaona moyo wako na una hekima sana. Siku za mwanadamu hazifanani mtajaliwa mali na watoto wa kutosha. Point noted Africa tuna roho za koroshoooo!!!
Ameen kwake
Afadhali ulivyojua ukweli wa mzungu , 😂 , matapeli kama watu wengine tu , na akitaka kukuua anakuua tu . Binadamu wote tuko sawa. Cha muhimu muombe mungu akupe amani na kuridhika , mzungu au mweusi wote ni sawa.
Hizo sheria za zanj Uwe na cheti cha ndoa Hao ni wabaguzi wao ndo wanzinzi no 1. Hiyo znj niya kitalii nawatalii wanapenda kuona culture.
Patrick uko vzr na very focused, hongera
Dada uko vizur Sana kweny interview
ondoweni fikra za kuamini eti kila mzungu ni bilionea,wengine ni wadangaji tu,tufanyeni kazi kwa bidii,mzungu sio solution ya umaskini wako
good
Wanawake wa kiafrika ndio mabilionea😢
Nimecheka jamani..🤣🤣🤣
😂😂
Mgosi kafunguka kikubwa kwenye maisha ni kuwa na malengo kila kitu kinawezekana
😂😂😂😂
Hi dada I would like to sheer my story with you guys I am from Zanzibar and now living to Europe poland
Please contact me WhatsApp +4367764790884
Beautiful story haki imenigusa❤love from 🇰🇪🇰🇪
Shukran 🙏
@@OfficialDatingAssistance q
@@OfficialDatingAssistance.....Reka huyu😂
Nimekusikiliza sana ila nimeona ww hapo upo kimaslai Zaid maana ww hapo ulimtafuta mzungu unataka utajilike ondoa hiyo
@@OfficialDatingAssistancedada naomba mawasiliano ya huyu Patrick kama akiridhia, nataka kwenda kufanya kazi huko Ulaya au America
naomba app ya kupata mzungu
Tinder
Brothers Slovenia is an opportunity ,patoo anaimbiwa nyimbo....😅😅😅 kama Tanga vile 😊
😂😂
Malengo ni zaidi ya utumwa tuishi HUMO
Nimependa sana Patrick alichosema amefunguka real, niongee kitu kwa vijana mzungu nilazima akuone mara kwa mara
Yani huyu kaka ana chekesha jaman 😂
Na anaongea ukweli juu 😁
Mbona kama wifi kalamba upawa jamaaniii😅😅
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Umejenga tanga kaka umeupiga mwingiiiiii❤❤❤❤❤❤❤❤ yaani una akiri saaaana
Is too late wazanzibar wamechelewa kuidhibiti Zanzibar sahivi sio ile Zanzibar ilotulea kwa maadili mema ....sahivi ni uchafu mtupu ....
Huyu jamaa maelezo yake siyaelewagi,kwenye mahojiano mengine anasema kaishia la Saba na anasema alikutana na demu wake Zanzibar kwenye biashara za utalii
Haya ndio mahojiano yake sasa ya safari nzima ya mahusiano.. 🥰🥰 katufungukia
@@OfficialDatingAssistancemm sielewagi nishafatilia akiwa anahojiwa sasa hapa anasema kingine
Kuuza culture ni utalii
Ndy
Alikuwa anauza kacha, hiyo haihitaji elimu kubwa
Huyu Kaka anahekimasana na nimuelewa Yani nimependa haki
kumbe sio wasukuma pekee wanaopenda wanawake weupe😂😂😂😂
N
Kupeana nafasi umeongea vyema.sie wenngine tunapitia hilo nimependa kipindi chako.
Namuona shemeji anapita pita nyuma behind the camera 😂
Shena your interviews are very interesting loving your channel❤❤❤
Mbona izo sheria zilikuepo wakati wa karume kaka na ilikua kunywa pombe ilikua uwe na cheti. Nashauri tujifunzeni historia za kujua chimbuko la nchi zetu za kiafrika. tusiongee tu sometimes. Europe kuna vitabu vingi vya historia ya Tanzania
Good story but bad influence to african youth wengi Wana zani ku date na mzungu niku toboa kimaisha ...therefore nowadays more young african are after white man and ladies for success
Wa nyumbani Kilosa huyo
Ni kweli kbs, watu weusi sisi furaha yetu ni kuona mwenzio anaharibikiwa,ni tabia mbaya sana, na ukiweka mipaka wanakuona unaringa
Ni bora wakuone hivyo aisee. Piga chini, watu wengi majanga bongo. Ishi kivyako
Ila ushoga ni mamuzi ya mtu bado serikali inaingilia, Anashanga kusuka? Zanzibar inasheria na katiba zake . Na si mila za tanzania kusuka.
Sasa wamasai wanahali gani huko kuhusu kusuka jamani 😁
Mmasai ataachwa na mila zake ila nikwambie ukweli wazungu wengi Wanawake na wanaume waliokuja Zanziba hawasuki sijui uko nchi mnazoishi.
@@newbwejuu4302Wazungu huwa hawasuki wanapenda kusuka ni African American.
Interviews kaliii sana🔥🔥🔥🔥
Upuuz wa zanzibar wait 2030 itakuwa mkoa wa bara 100% Hawkins udini hakuna sheria ya dini popote kwenye mipaka ya URT kuanzia 2030
Patrick ukija bongo unitafute mimi niko kilwa Dreams beach tunaweza kupeana mawazo ya kujenga Jamii zetu
Hakika nipenda Sana interview yako
Hawa wazungu watatoa watu rohooo jaman mhhh mungu awasaidie wadogo zetu
kiukweli kijana ni mkweli sana kajua kupambana mungu amsaidie mtanga tanga raha
Usiisem vibay Zanzibar kil nnchi zin Sheria Zak ww umekuj umepat lak shkuru
Woooowww nimependa interview ya kaka...congratulations ❤
He is amazing
Muong pat unakunbuk michezo yako uliyo kua unatufundisha kucheza ili tupate zangu tena unaenda kifuwa wazi na pensi tu Ila umetoboa ndugu YANGU hongera
Hongera Sana ndugu Yangu Msambaa mwenzetu
Watanzania wengi wakishafika ulaya wanajidai, majisifu mengi mno na hawana msaada wowote isipokua kujidai na wengine wanawasababisha watu kufungwa. Pia tuache tabia ya kuwasifia wazungu ni wabaguzi sana. Apo alipo patrick hana mdomo anakokotwa na kulelewa tu na msichana (yeye mwenyewe anapenda shortcut asiwaseme vijana wa tanzania buana na Africa kwa ujumla.
Shina ningependa kupata mawasiliono yake mimi pia na hotel napokea watalia tunaweza kufanya jambo ambayo inatwa kilwa dreams beach resort
Si dhani kama ni sahihi kuingilia taratibu na mila za nchi husika wachie wenyeji wahoji wenye tamaduni zake
Hongera Kaka waslovenia ni wanawake wasafi watunza nyumba na wenye wivu kupindukia
Dada asante nakufuatilia sana
🙏🙏
Upendo wa wazazi wako ni wa msingi sana ndio maana upo hapo ulipo
Imenifundisha kujiamn na kuna nguvu kubwa iliyondan yetu kikubwa n kujiamn na kutokujal
Hongera msambaa mwenzangu
Wabongo wengi munawaona watu wenye ngozi nyeupe km wafalme ila hawa watu ni wabaya sana hususa ni hao wazungu
Kaka Patrick hongera sana nimekuelewa
Yani katoa bonge la darasa
Kaka kajiongeza
Hatari 😁
Kiufupi patrick waache leo uneongea ukweli mno 🇬🇷🇬🇷🇬🇷🇹🇿
Eti kijin ha ha ha ha haaa Patrick jmn
😁😁
Hahahahaha nimekumbuka zamani sana huyu jamaa kafanya kama babu yangu aliniambia cha kwanza jifunze matusi ya hilo eneo hahahahahah hapo uko sawa
Ebwana nzuri sana dada yetu Asante kwa kazi nzuri...
Sasa wewe baba mtu wa Morogoro inakuwaje mtanga na msambaa. Tuweke sawa wewe unafata kabila gani??
Jamani huyu kijana kanifurahisha sana
He is super amazing
Ya interview 🔥🔥
Je salama? Unakosea unapokwenda front na wazungu Kuna eneo. Nenda wewe kama wewe.
Uko vzr kaka mungu awatangulie katika ndoa yenu
Ina mana wazungu ndio wamefanywa mtaji 😮, duh
Mtihani ikiwa hivi watu watazidi kupotea
Nimejifunza kitu
Kweli kabisa wabongo tunapenda kuona aliyefanikiwa kaanguka
Mtihani mkubwa
Hatupendani
Kaka nimekufaham sana Mimi nipo bwenuu wewe umeongea ukweli walio wengi ambao wanawazungu tamaa sana malengo hamuna mwishowasiku wanhalibikiwa wanpoachwanawake wanachanganyikiws hawataki kuniwekeza nahamimi nilikuwa namutaka kwasabu huku najiendereza nakazi yanu jipushi kwanza ndoupushiwe usisubilikupewa bolaulikuwa unajishugulisha ukijazanziba kwamalengounatusua uswemulevimwizi kama ulivyosma mwaminifu Asante nipo Zanzibar bwenuu kwamyaka 24
Mimi nipo bwenuu myaka 24
Namimi nipo bwejuu
Kaka napita km ulipopita ww
😁😁
Natamani nije gupata mzungu anaependa Africa kweri hata mimi inje ya ichi sipendi kuishi gutembea sawa
This guy muongo...he said he had elfu 5tu
Safi sana Kaka maisha yapo hivyo
Ana wivu huyo mwanamke ? Anafatilia interview
Naishi Marekani. Watoto wangu Baba yao anatoka Slovenia. Nimewahi kutembea mara mbili. Watoto wanaenda kwao mara nyingi tu. Baba yao amefika Kagera na kuzunguka kijijini. Slovenians wanapenda sana Africa. Wa Slovenian wana roho nzuri sana. Wanaishi Radovljica. Nikiena nitakutafuta. Baba yao ndo amerudi Marekani. Nitakutafuta.
Karibu sana kwenye kipindi pia utupatie elimu ya Slovenia na Marekani +4367764790884
Umesema ukweli ndugu yetu mtanga umetufundisha umetukumbusha kitu mweye kuelewa atakuelewa mimi nimekuelewa
Hello, namuomba Patric anitafutie wanunu wa Mkonge mm niko Tanga
Kwakeli umepata Wewe Ni kijana mwenye. Akili muhimu umempenda kakupenda
Sio Zanzibar tu chafu Tanzania nzima hapo earport tu Dar ni pachafu
Mungu ni wa ajabu sana unachokipenda ndicho anachokusogezea mfano ww unataka kununuwa Noah voks sasa kila unapopita njiani utakutana na noah voksi hivo yaani ndo maana uliona wazungu wanakutaka taka tu ni kitu ulichopenda
Well said
Uaminifu upo sahihi
Safi sana mwamba pambana Jenga heshima ya TZ
Iman yavunja mlima aisee,
Try to minimize interview duration time
When it is long, you leave. Some of us we love that way
😅😅😅😅😅😅 @@bellabakera
Waafrika tuna akili mbovu sana na uvivu juu.
Nikukosa KAZI Africa KAZI hakuna that's why a lot of our people going after white people and Chinese
@@Mina.15. Kweli na zikiwemo na akili mbovu mana uhiyari ukafumuliwe nyuma si bora uuze japo maandazi??? Hawa watu ushenzi wa nyuma ni kawaida kwao asikudanganye mtu.
kabisa hiki kitu kinanikera sanaaa
😂😂😂😂😂
@@Fear_Allah394acheni fikira mbovu kufunuliwa nyuma ni mtu kutaka mwenyewe tu sema ni choyo tu