"HAKUNA UNYAGO KACHEZE NA MKEO "MSIMAMO WA DC MAGOTI WANAFUNZI KWENDA UNYAGO ATANGAZA DAU LA PESA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 сен 2024

Комментарии • 54

  • @rehemarwanda6039
    @rehemarwanda6039 14 дней назад +1

    Hongera sana Mh DC..wasaidie wanafunzi jmn

  • @shaban6644
    @shaban6644 Месяц назад +3

    DC Magoti Akili mingi Sana, Na mcheshi sana. Uko Vizuri DC

  • @matthewmichaelsylvester5612
    @matthewmichaelsylvester5612 Месяц назад

    Hongera kwa kuokoa pwani mkuuu kazi njema......!!!!

  • @marywairimu5682
    @marywairimu5682 Месяц назад +2

    All the way from saudia Arabia 🇸🇦

  • @user-er6ox5xx1i
    @user-er6ox5xx1i Месяц назад +1

    Kama comedi vile kumbe anaongea fact kinoma😅😅😅😅😅

  • @MezdDimoso-j1j
    @MezdDimoso-j1j Месяц назад

    Fantastic 🎉

  • @Dominic-hh2nf
    @Dominic-hh2nf Месяц назад

    Nakubali kiongozi wangu

  • @jamesjjoseph5908
    @jamesjjoseph5908 Месяц назад +1

    Mashangazi mmefikiwa 😃😃😃😃

  • @cisselamerverille5286
    @cisselamerverille5286 Месяц назад +2

    😂😂😂😂😂 mashangazi Wana nongwa ....

  • @harrylivanga7245
    @harrylivanga7245 Месяц назад

    Nakubaliii sannaaaa

  • @MashaKassanga
    @MashaKassanga Месяц назад

    Nampenda sana magoti dc mchapakazi.

  • @yasinmoria5346
    @yasinmoria5346 Месяц назад

    Uko sahihi kabisa mweshimiwa dc

  • @RamaahMtulivu
    @RamaahMtulivu Месяц назад

    DC uko vzr sana

  • @zebedayokatamaduni9676
    @zebedayokatamaduni9676 Месяц назад

    Sawa

  • @didasseveline9013
    @didasseveline9013 Месяц назад

    Safi sana 😂 DC sukuma ndani

  • @lucasbatano333
    @lucasbatano333 Месяц назад +2

    Piga viboko😂😊

  • @modestusndunguru7183
    @modestusndunguru7183 Месяц назад

    Magoti usalama huyooo yupo hapo kimkakati 😂😂😂😂

  • @FredymaswiMwita-oj6gv
    @FredymaswiMwita-oj6gv Месяц назад

    hahahahahahaa..mira za watu hizo bwana Dc...heheheheheeheeeeee kumekucha

  • @user-il5pk2dr5n
    @user-il5pk2dr5n Месяц назад +1

    Nakuunga mkono, ila Utowaweza watu na mila zao wataenda kuwachezea Dar.

  • @ambrose_vevo137
    @ambrose_vevo137 Месяц назад

    😂😂😂 nimecheka sana

  • @florianhenry7198
    @florianhenry7198 Месяц назад

    Saf Mh magoti hii Kaz kama Kaz nyingine taarifa utapata

  • @SmartMaids
    @SmartMaids Месяц назад +2

    nakupa maua yako

  • @user-dw4zq3ii4h
    @user-dw4zq3ii4h Месяц назад

    Wapige shooo 😀😀😀

  • @tukuyutours9535
    @tukuyutours9535 Месяц назад

    Yuko poa sana

  • @rehemashabaniameen
    @rehemashabaniameen Месяц назад

    Mheshimiwa wangu nina shida na namba yako please

  • @modestusndunguru7183
    @modestusndunguru7183 Месяц назад

    Pwani wanawaza unyago tuii....kusomaaa..aahaaaa 😂😂😂

    • @iddiramadhan
      @iddiramadhan 21 день назад

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @noot-oe2mw
    @noot-oe2mw Месяц назад

    ❤❤🎉🎉🎉

  • @FatimaAli-of4gh
    @FatimaAli-of4gh Месяц назад

    Hata mimi nakuunga mkono kwa nini wanacheza watt bado wanafunzi wasubiri wamalize school wamepata wachumba kisha unawacheza lakini wanachezwa mapema na wao wanaenda kuchezea wanaume mimba ngoo matokeo miaka 30 tutafunga wanaume wote tusipoangalia

  • @salumahmadasalum1556
    @salumahmadasalum1556 Месяц назад

    Kajamaa haka

  • @Awaasha-cn6bx
    @Awaasha-cn6bx Месяц назад

    😂😂😂😂Mh. Dc mbavu zangu nimejua kucheka

  • @Kabwela776
    @Kabwela776 Месяц назад +4

    Mkataze hayo mambo hata vigodoro ndio maana pwani wako nyuma sana kielimu wakichezwa unyago tu wanaanza kupata nyege na kutaka kutombwa !

    • @abdallavictory6723
      @abdallavictory6723 Месяц назад

      Uwe na Stara Mdomoni, na Watoto wanasoma Comenti zako!

    • @Kabwela776
      @Kabwela776 Месяц назад

      @@abdallavictory6723 watoto wanafuata Nini page za wakubwa

    • @Abuu-gs1yi
      @Abuu-gs1yi Месяц назад

      Sio kweli

    • @FatimaAli-of4gh
      @FatimaAli-of4gh Месяц назад

      Sadakta kabwela watafungwa wanaume wote miaka 30😂😂😂😂

    • @Kabwela776
      @Kabwela776 Месяц назад

      @@FatimaAli-of4gh hizi Mila ni kujaza ujinga kichwani watoto wa kike sehemu zote walizokuwa Na ushenzi huo wanawake wako nyuma kimaendeleo Na kielimu mfano pwani tanga mtwara lind nk ni upuuzi mtupu wako nyuma sana kimaendeleo

  • @jamesloshilunye414
    @jamesloshilunye414 Месяц назад

    Hupaswi kuingilia mila za watu kirahisi hivo,,watu wanapaswa kuelimishwa taratibu ila nguvu kama hizo vinaweza kugharimu kidogo,sisi wamasai hatuingiliwagi mila zetu na hatutokaa turuhusu kuingiliwa kirahisi hivo

  • @modestusndunguru7183
    @modestusndunguru7183 Месяц назад

    Wazaramo na wandendereko ..basi kuweni na stara basi..... bora wamalize hata chuo au kidato cha sita angalau hata akitiwa mimba...analima mihogo...na jamaa lake lililo mjaza..asa nyi ...la saba..form one...hatasoma huyooo zaidi ya kuwaza ukuda 😂😂😂

  • @user-kd9dc4li7f
    @user-kd9dc4li7f Месяц назад

    Wewe kigoti iyo ni suna kwa ss waislam na ni Mila kwa watu wa pwani huko Siyo kwenu musoma watu hawakati govi huko watu wanatoa iyo condomu ya mbele wacha ujinga

  • @jamiinaafyanjema2966
    @jamiinaafyanjema2966 Месяц назад

    😂😂🎉🎉

  • @gigoyrn4394
    @gigoyrn4394 Месяц назад

    Millard hivi una lipwa na haka kajamaa mana kila saa ni kumpost

  • @marywairimu5682
    @marywairimu5682 Месяц назад +1

    Muacha mila n mtumwa 😢 kipindi cha mababu zetu ilikuwepo

    • @Kabwela776
      @Kabwela776 Месяц назад +2

      Mila za kishenzi na za kipuuzi hamna

    • @emmadora7848
      @emmadora7848 Месяц назад

      Hizo pande ukiangalia Kila kitu kipo nyuma Kwa sababu ya ujinga mwingi, hayo mambo yafundishwe Kwa umri sahihi

    • @FatimaAli-of4gh
      @FatimaAli-of4gh Месяц назад +1

      Hawajakatazwa kuendeleza mila mpaka watt wamalize school ndio wachezwe wanacheza wanafunzi na wao wanatamani kuwachezea wanaume kwani hukusikia DC kasema watt wananengua kuliko wazazi wetu😂😂😂😂

    • @Kabwela776
      @Kabwela776 Месяц назад

      @@FatimaAli-of4gh hizo mila ni za kipuuzi tu hazina faida yeyote mbona makabila mengine hawana huo unyago Na wanaongoza kwa kuwa Na wanawake smart walioenda shule Na wana maendeleo mfano wachaga hawana upuuzi huo