EXCLUSIVE: DR SLAA -"SINA CHAMA-NASIMAMIA UPANDE wa HAKI-CHADEMA WAKISHIKA DOLA TUTAWAKAMATA RUSHWA"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 май 2024
  • EXCLUSIVE: DR SLAA -"SINA CHAMA - NASIMAMIA UPANDE wa HAKI - CHADEMA WAKISHIKA DOLA TUTAWAKAMATA KUHUSU RUSHWA"...
    Jishindie Zawadi na Global TV
    Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
    👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Комментарии • 26

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  22 дня назад +1

    Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7

  • @jeanbaraka1008
    @jeanbaraka1008 19 дней назад +1

    Dr tafadhali sana rejea kiti chako, achana na Sauti ya wantanzania, anao uko wako na mategemeo ya Chadema...

  • @gowekogoweko5803
    @gowekogoweko5803 21 день назад +4

    HAIJIBU KWASABABU HAINA MAJIBU........WELL SAID MR WILLBROD SLAA

  • @evelina9621
    @evelina9621 21 день назад +3

    Safi.sana.mzee.drslaa

  • @anosiata8242
    @anosiata8242 21 день назад +2

    Mjadara mzuri sana Dr uwanga sichoki kukusikiliza.

  • @allyfutto8763
    @allyfutto8763 21 день назад +2

    Dr Slaa ni jembe kubali kataa.

  • @petermogha7025
    @petermogha7025 22 дня назад +1

    Mnafeli padogo sana cdm

  • @sasha-ri7tf
    @sasha-ri7tf 21 день назад +3

    Sla ulisema chadema chama cha kigaid na Mbowe ni gaid, umesha feili siasa, nenda kalee wajukuu zako Bukoba. Mchawi wa Taifa la Tanzania 🇹🇿🇹🇿🇹🇿.

  • @SaidAlly-uh4qw
    @SaidAlly-uh4qw 21 день назад +1

    Huyu mzee anatumia mkorogo😂😂😂

  • @2003hintay
    @2003hintay 21 день назад +1

    Mzee umekwisha huna namba. Umekaa Nchi za wenzetu CCM ndio iliyokuwezesha hata ukafika huko. Sasa hivi njaa inakusumbua

  • @omarybakunda2554
    @omarybakunda2554 21 день назад +1

    Huyu mzee alituambia mbowe ameuza chadema kwa lowasa bilioni 11 ili agombee uraisi.

  • @anosiata8242
    @anosiata8242 21 день назад +1

    Ngaila party too please

  • @gowekogoweko5803
    @gowekogoweko5803 21 день назад +1

    MWAANDISHI TUTAONA MENGINE MENGI

  • @frankraphael7546
    @frankraphael7546 22 дня назад +1

    Nyie niwababaishaji tu ni Bora muache ccm itawale maana najua nyie niwababaishaji mnaniuzi wewe unachama kweli wewe ni ccm usitudanganye

  • @pascalkalimba-nf9vy
    @pascalkalimba-nf9vy 19 дней назад

    00

  • @SaidAlly-uh4qw
    @SaidAlly-uh4qw 21 день назад +2

    Hii nchi hatuwezi kuwaachia wapinzani kwa njia ya kura bado tutaendelea kuiongoza Tanzania ccm ni chama tawala

    • @usembiphonedar5632
      @usembiphonedar5632 20 дней назад

      Kauli yako ni ya wale wasiyokuwa na majibu kwa hoja za msingi! Waulize "KANU" utajua hujui!

  • @abdull_hafidh
    @abdull_hafidh 22 дня назад +1

    Huyu mzee ameshafufuka au

  • @stewartdyamvunye-wz6rn
    @stewartdyamvunye-wz6rn 19 дней назад

    Cmde Slaa, ebu nisaidie, kauli yako kwamba Benki ya Dunia ni chombo cha Umoja wa Mataifa, ni sawa? Sidhani. Hivyo naomba elimu hapo kwani kwa ufahamu wangu World Bank ni chombo cha mabeberu (imperialists) wa USA na Ulaya Magharabi ili kunyonya vizuri na kikamilifu umma wa wanyonge duniani hususani walioko Afrika.

  • @KilonzoJohn-mg7cw
    @KilonzoJohn-mg7cw 21 день назад +2

    Richadi wewe ni chawa tu Kam waandishi wengine walivyo nunuliwa huna jipya

    • @habarika1083
      @habarika1083 20 дней назад

      Kwa niaba ya Richard Ngailla,Thibitisha kama kanunuliwa

    • @habarika1083
      @habarika1083 20 дней назад

      Kwa niaba ya Richard Ngailla,Thibitisha kama kanunuliwa

    • @habarika1083
      @habarika1083 20 дней назад

      Kwa niaba ya Richard Ngailla,Thibitisha kama kanunuliwa

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 21 день назад +1

    CHADEMA WAKURUDISHE ILI TUKUCHAGUE KAMA RAIS.