SPANA ZA WARIOBA: CCM WAMEMSALITI NYERERE. TANGANYIKA IJIFUNZE KWA ZANZIBAR

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 28 авг 2024
  • Aonya dhidi ya jitihada za kuingiza majeshi kwenye siasa za makundi

Комментарии • 110

  • @hadijasufiani6167
    @hadijasufiani6167 3 месяца назад +10

    Hongera mzee warioba azina ya taifa ❤

  • @simonnaivasha6393
    @simonnaivasha6393 3 месяца назад +5

    Hongera mzee jaji Warioba na SK media kwa kuweka kumbu kumbu sahihi ya nchi yetu! Kuna wahuni kati yetu waliondaa kille walichokiita White paper ,bahati nzuri alikuwepo mwamba na mzalendo wa Taifa hili mwl Nyerere akawmbia sawa lakini lazima kwenda kwenye mfumo wa vyama vingi! Wakanyamaza kama kondoo wanaosubiri kukatwa manyoa wakati wa baridi ! Heko Jaji kwà uzalendo wa kuzaliwa .

  • @EdwinKaywanga-ww7jr
    @EdwinKaywanga-ww7jr 3 месяца назад +7

    Mzee walioba hongera sanasana kwa hekima kubwa ambayo MUNGU amekupa hiyo ni kipawa

  • @LissaJonas
    @LissaJonas 3 месяца назад +16

    Mzee huyu ni hazina ya Taifa 🇹🇿

  • @salummohamed2689
    @salummohamed2689 3 месяца назад +10

    E Mungu mpe maishà mema huyu mzee wetu Warioba.

  • @francismbotomrutu2784
    @francismbotomrutu2784 3 месяца назад +2

    Hongera Sana Mzee Warioba Kwa kusimamia ukweli Kwa faida ya nchi.Bado tafadhali aungwe mkono.Na apewe ulinzi maana wasiopenda mawazo Yake wananguvu.

  • @sammykateregga6238
    @sammykateregga6238 3 месяца назад +6

    mzee Warioba apewe maua yake kweli kweli na ni mzalendo wa kweli wa nchi hii.

    • @paulobanzi5962
      @paulobanzi5962 3 месяца назад

      Mzee J.S.Warioba umetoa ufafanuzi vzr sana ila kwakuwa Wana masilahi Yao binafsi. ndiyo maana. Wanajifanya hawaelewi mzee. Warioba chukua. maua. yako🎉🎉🎉

  • @saviomlelwa
    @saviomlelwa 3 месяца назад +2

    Mungu akubariki Sana Kwa kusimamia kweli hata kama upo peke yako. Always stay blessed and live long

  • @eliassumila8173
    @eliassumila8173 3 месяца назад +7

    Tunampa maua yake,lakini zaidi mimi Nakupa wewe kwa kulipenda taifa letu kaka.Asante sana.

  • @user-qo8uj1ym4m
    @user-qo8uj1ym4m 3 месяца назад +3

    Hii ni tunu ya watanzania tumpe mauwa yake❤maneno ya mtaalamu warioba ni mazima na yana mashiko ❤hongera sana mzee wetu,tunu yetu

  • @paulremigiuspaul3293
    @paulremigiuspaul3293 3 месяца назад +5

    Well said Mzee wetu Joseph Sinde Warioba

  • @salumyussuf2140
    @salumyussuf2140 3 месяца назад +1

    Shukrani sana SK media kiupande wangu namkubali sana mwalimu na yupo na akili sana na yupo free from bias

  • @paulremigiuspaul3293
    @paulremigiuspaul3293 3 месяца назад +4

    Stay blessed Mkuu Ngurumo

  • @eliassumila8173
    @eliassumila8173 3 месяца назад +4

    BIigups SK media.tuandalie tena hii maana imekuwa fupi.its very interested.

  • @hildandumbalo5827
    @hildandumbalo5827 3 месяца назад +1

    Tumebaki na mzee Warioba mwenye hekima kubwa ubarikiwe sana Mungu akutunze 🎉 🎉 🎉🎉

  • @mussai.sillas3796
    @mussai.sillas3796 3 месяца назад +4

    Flowers kwa sana to Mzee Warioba

  • @usembiphonedar5632
    @usembiphonedar5632 3 месяца назад

    Hongera mzee Waryoba kwa msimamo wako, Uzalendo wako kwa Taifa letu na uamunifu wako wa Kutetea haki ,una hekima kubwa baba na wewe ndyo mzee mwenye hekima uliyebakia kwa Taifa letu,Mungu akupe afya njema n maisha marefu ili vizazi vtuendelee kujifunza zaidi kwako. Na Watanganyika tunataka katiba mpya na tume huru ya uchaguzi, tunataka Tanganyika yetu iishi,tunataka serikali tatu.Asante.

  • @securityatkizikula
    @securityatkizikula 3 месяца назад +4

    Nampa Mzee Warioba maua yake

  • @eliassumila8173
    @eliassumila8173 3 месяца назад +4

    HUWA NAKUPENDA SANA BROTHER,HUWA UNATUPANGILIA VITU KWA MASLAHI YA UELEWA.Endelea kutuletea vitu na uchambuzi wako tunauheshimu sana.Ningeisikia wapi hii tena mimi.Thank you.

  • @maomacatta9770
    @maomacatta9770 3 месяца назад +8

    Nampa mayai yake Mzee Joseph Sinde Warioba anaongea ukweli mtupu. Serikali hii ilianza kuaribika zaidi baada ya waliojiita wana mtandao kupewa nchi na ndio hao wamerudi tena

  • @bonifacerobert2960
    @bonifacerobert2960 3 месяца назад +3

    NI DHAHIR CCM NI KUNDI HALIFU LA NCHI. MZEE WARIOBA HONGERA SANA, LAKINI BADO UNAWEZA KUFANYA ZAIDI. ANDIKA KITABU CHAKO KIWE NA JINA "TANGANYIKA ITAISHI" AU "MAWAZO MGANDO"

  • @stephenndagalla8183
    @stephenndagalla8183 3 месяца назад +4

    Ni kweli, Wazee Wastaafu wamegawanyika ktk makundi 3: (a)Wazee wanao simamia ukweli na uadilifu: mfn J. Butiku. Lbd kwa kuwa wtt wao si waajiliwa serkalini (b)Wazee waliokengeuka. Ni wanufaika wa mfumo uliopo. Wtt au wanafamilia ni waajiliwa serikalini:mfn Kikwete, Pinda, Malecela,nk.(c). Wazee walioamua kukaa kimya. Sio wanufaika wa mfumo. Mfn Lusinde Sumaye, Msuya, nk.

  • @oss6689
    @oss6689 3 месяца назад +3

    Great and pure soul 👍

    • @adelinelyaruu3036
      @adelinelyaruu3036 3 месяца назад +1

      MHESHIMIWA WARIOBA PAMBANA. USIKUBALI RASIMU YAKO IISHIE KABATINI. TUNAKUOMBEA MAISHA MAREFU❤

    • @nanguniMtaita-hz4zt
      @nanguniMtaita-hz4zt 3 месяца назад +1

      Ngurumo wewe nawe tinakupa maua yako. Unagundua mengi muhimu. Makuombea siku.moja serikali itakapokuwa ya Wananchi Mungu akulinde urudi ushike cheo chochote haraka mupeleke mbio yale tuliyodumazwa na hawa MAKAFIRI WA CCM.

  • @dismasmtui729
    @dismasmtui729 3 месяца назад +5

    Wazee wetu wangekuwa na busara na kuzungumza ukweli namna hii nchi yetu ingekuwa mbali sana kimaendeleo na kidemokrasia.

  • @JerubaalXerxes
    @JerubaalXerxes 3 месяца назад

    Mko vizuri wakuu..

  • @user-cj2iq1qv6n
    @user-cj2iq1qv6n 3 месяца назад +3

    Ccm Msikizeni Warioba Ndio Mtajua Km Ccm Nyinyi Wachumia Tumbo Angekua Lissu Hapo Mgemwita Mbaguzi Na Warioba Je?

  • @kambaragemuya8167
    @kambaragemuya8167 3 месяца назад +2

    Mzee ana busara, amebalance argument bila kupendelea upande wowote! Ukweli huwa haufi mpaka ujidhihirishe! Kwa hiyo hoja ya Serikali tatu kuna siku itashinda ili kutoa usawa!

  • @shikeniwilliam5531
    @shikeniwilliam5531 3 месяца назад

    Nakupa maua yako 🎉Mzalendo pekee uliyebaki, Ambae ujamsaliti Mwalimu.Ahsante pia kwa kutuelimisha na kutuamsha usingizini.

  • @KhalfanHumaid-ks2fb
    @KhalfanHumaid-ks2fb 3 месяца назад

    MY ALMIGHTY GOD BLESSES YOU WARIOBA

  • @shadrackmijjinga9793
    @shadrackmijjinga9793 3 месяца назад +7

    Tanganyika IPO siku itapatikana japo walioko madarakani hawataki Kwa ajenda zao zisizo na mashiko... Nawapongeza wazanzibar kuipigania na kuitetea Nchi Yao Kwa jasho na Damu.... Hongereni wazanzibar.... Tanganyika tuamke.

  • @karamarwamugema3700
    @karamarwamugema3700 3 месяца назад +2

    Huu muundo wa sasa ndio unaokwaza muungano wa Africa mashariki na pengine African Union. Nchi nyingine zinaogopa kumezwa. Kuhusu gharama, unnecessary expenses mfano gharama za wabunge rukuki wa viti maalum zinaweza kuendesha serikali.

  • @user-rt3nt1lj7n
    @user-rt3nt1lj7n 3 месяца назад +1

    Yuko.sahihi

  • @sketchbabu
    @sketchbabu 3 месяца назад +3

    Mzee wetu apewe maua yake. Amenena vizuri.

  • @aliyageorge6794
    @aliyageorge6794 3 месяца назад +1

    Wow👌

  • @user-ub3gy5od1m
    @user-ub3gy5od1m 3 месяца назад +1

    Tuache tamaa ya mali tuwe wakweli tu kama mzee Warioba, mali tutazipata tu hata nje ya madaraka. Hongera sana mzee Warioba kwa kusimama katika ukweli

  • @yakoubfaki2026
    @yakoubfaki2026 3 месяца назад +3

    Mzee mauwa mengi sana, Ila tutakuja mkumbuka wakati hayupo tena so now wacha watu wapuuze Ila wakati unakuja taka mawzo ya mzee hayupo tena apo ndio tuta juwa

  • @malkavoice2570
    @malkavoice2570 3 месяца назад

    Huyu mzee anabusara na baraka zote za hii nchi endapo atapewa sikio na viongozi wa sasa ataacha legacy moja nzuri mno

  • @albertkamala6843
    @albertkamala6843 3 месяца назад +3

    Warioba..tunu ya taifa..mzalendo aliyesimama imara kupigania uhuru & haki kwa taifa lake, Tanzania (Tanganyika na Zanzibar)..maua yote apewe!

  • @CHRISTOPHERKIMWAGA
    @CHRISTOPHERKIMWAGA 3 месяца назад +3

    Mzee Warioba ndio Mzee mzalendo wa taifa hili mungu akulinde viongozi wa nazani watanzania ni wajinga

  • @rev.livingstoneelihuruma-fk7es
    @rev.livingstoneelihuruma-fk7es 3 месяца назад

    Surely

  • @LissaJonas
    @LissaJonas 3 месяца назад +4

    Nimempa maua ykee🎉🎉🎉🎊🎊😹😹

  • @gowekogoweko5803
    @gowekogoweko5803 3 месяца назад

    ""HEKO OUR HERO MR WARIOBA MWENYE ENZI MUNGU AENDELEE KUTUPIGANIA

  • @bsmonline8482
    @bsmonline8482 3 месяца назад

    Mmeona Vichwa vya Mwalimu Nyerere hivyo wajomba. Yule Mzee kwanza watu mnamkosea sana kumlinganisha na wengine.

  • @geraldmihimbo1542
    @geraldmihimbo1542 3 месяца назад

    Ukweli hata uupinge kwa nguvu nyingi kiasi gani BADO UTASIMAMA.asante sn MZEE WARIOBA .

  • @eliastlaghasinaaly-wx4jo
    @eliastlaghasinaaly-wx4jo 3 месяца назад

    Hakika, mzee Warioba anastahili kumpa kumpongeza sana, hivyo CCM Wanatakiwa wajifunze kutoka kwake sio kubwabaja TU.

  • @salmanmagwe222
    @salmanmagwe222 3 месяца назад +1

    Viongozi wetu wanapata akili wakistaafu,na ukimchunguza huyu mzee ktk utawala wake utakuta hakufanya kitu

  • @helencyprian8745
    @helencyprian8745 3 месяца назад

    Maua kwa jaji Warioba

  • @user-gl5hv3fu1m
    @user-gl5hv3fu1m 3 месяца назад

    Napamauayake.mzee.warioba.waambiukwelihawa.mafisad.mungu.akupemaishamaref.babu.mpendahaki

  • @nanguniMtaita-hz4zt
    @nanguniMtaita-hz4zt 3 месяца назад +2

    Mzee Warioba wewe tunakukubali, umkweli, sio nyan'gau wala.fisadi. Achana na CCM ya majizi ya leo.

  • @alexjovin2981
    @alexjovin2981 3 месяца назад +3

    Nampa mauwa yake

  • @nebatjailos8362
    @nebatjailos8362 3 месяца назад +2

    Kama inawezekana kumpa yote achukue kabisa!!

  • @paulremigiuspaul3293
    @paulremigiuspaul3293 3 месяца назад +1

    Stand up with Justice being witnesses for GOD. And then even if it is against your own people. (Quran 4:135)

  • @dillonfoya
    @dillonfoya 3 месяца назад

    Mzee Warioba kwa hali ya heshima aliyo nayo hawamsikilizi itakuwaje akiondoka ni nani anafaidika kwa kiburi hiki na matokeo yake itakuwa nini

  • @gangmore9091
    @gangmore9091 3 месяца назад +1

    Daima zanzibar itakua mwalimu kwa Tanganyika

  • @evaristosanga471
    @evaristosanga471 3 месяца назад

    Huyu ni simba.Ana hekima na hayumbi hata siku moja.Anasimamia kweli.

  • @fabby1181
    @fabby1181 3 месяца назад +2

    Hivi mafisiem hawaonagi wala kumsikia busara za huyu Mzee?! Kwa haya unaweza wachukia viongozi wa CCM milele KW kuziba masikio yao na pamba.

    • @user-gx3jp6uk2f
      @user-gx3jp6uk2f 3 месяца назад

      Mafisiem wamewaloga watanzania

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 3 месяца назад

      Ila mwisho wao umefika ukingoni mchawi wao Yuko mahututi

  • @patrickjohn50
    @patrickjohn50 3 месяца назад

    Mungu akulinde uishi miaka mingi sana

  • @KhalfanHumaid-ks2fb
    @KhalfanHumaid-ks2fb 3 месяца назад

    Sio Maua GARDEN Inayostahili

  • @gabrielmahala9848
    @gabrielmahala9848 3 месяца назад +1

    Mzee warioba nampa maua yake

  • @GuntramLyassa-fb8rp
    @GuntramLyassa-fb8rp 3 месяца назад

    Baba wa Taifa alisema,Mimi siyo Mungu.Kama Kuna mahali pamepotoka ,rekebisheni.Sasa Wa Tanganyika tunataka Muungano wa serikali 3.Kwani wenzetu wameisha jitoa.Kwa mfano,wanaserikali Yao,Bunge,katiba,jina la Nchi, kuweka Mabalozi Nchi za Nje,Wana Raisi nk.Tunatoa maoni maoni kama wasomi wa Nchi ya Tanganyika.

  • @user-op7vm9mr3z
    @user-op7vm9mr3z 3 месяца назад

    Mzee sinde heshima yako . Siyo lile guberi linaitwa wasira kichwa kimepata moto

  • @dbamwenzaki
    @dbamwenzaki 3 месяца назад +1

    Ninampa maua yake.

  • @bsmonline8482
    @bsmonline8482 3 месяца назад

    Kuna siku alimwambia mtu yule ni kiongozi mzuri sana ila arudi akajifunze miiko ya Maadili na miiko ya Uongozi 😅😅😅

  • @user-cw2nj4io3v
    @user-cw2nj4io3v 3 месяца назад +1

    Jaji Warioba ni hazina pekee iliyobaki chini Tanzania!

  • @johnmanonijohn5544
    @johnmanonijohn5544 3 месяца назад

    Alipigwa Kofi na Makonda.

  • @mumuomar5541
    @mumuomar5541 3 месяца назад

    BLESSED 🎉❤

  • @baghabaghaingwengwe1750
    @baghabaghaingwengwe1750 3 месяца назад +1

    Usimsahau na Butiku naye bado yupo wazi mno

  • @gulalakitinya7615
    @gulalakitinya7615 3 месяца назад +1

    Hii serikali iliyoko sasa hivi na zile kuanzia awamu ya 3 mara baada ya Nwl Nyerere kuondoka duniani zimeifanya serikali kuwa kubwa sana bila sababu zozote zile.Ukubwa huu wa serikali umetokana na kupeana madaraka kwa urafiki,undugu na hao sasa hivi wanaitwa chawa. Kuanzishwa mikoa,wilaya kata hata vijiji hakuna tija chanya bali ni kuongeza mzigo mkubwa kwa serikali kutoa huduma hitajika. Iko siku atatokea kiongozi zezeta zaidi ya hawa tulionao atanzisha viinch vingine vidogo vidogo ndani ya nchi na kila kiinchi kiwe na karais kake pia. Kwa maoni ya Jaji Waryoba maana yake Muungano ulikwisha sambaratika baada ya mwl kuondoka, taasisi kama Mahakama na bunge kuuawa hivyo ni nchi isiyakuwa na katiba. It is a Banana Republic.Fragmented like Somalia.Very unfortunate.

  • @user-ex1cm1ks8k
    @user-ex1cm1ks8k 3 месяца назад

    Bro mm na kukubali ila naomba uwe unatupunguzia muda wa clip kuplay angalau ziwe dkka 15

  • @aliyageorge6794
    @aliyageorge6794 3 месяца назад +1

    Huyu mwandishi anaye muhoji mh warioba ni mpuuzi eti wananchi wanaweza kuwa na simu 3 😂 how many wananchi wanaweza ku own simu tatu ?

  • @bsmonline8482
    @bsmonline8482 3 месяца назад

    Huyu mzee kanyooka balaaa

  • @user-bx3ko9ft5t
    @user-bx3ko9ft5t 3 месяца назад +1

    Mzeee wewe ni mkweli ila ccm hawapendi kusikia unacho ongea kwa kua katiba hiii Ina Wanufaisha na watoto wao hawataki kubadilisha katiba

  • @sabaskimboka7301
    @sabaskimboka7301 3 месяца назад +1

    Apewe maua, mengi tu!

  • @scoreupdate4591
    @scoreupdate4591 3 месяца назад

    Tuwe na Utamaduni wa kuipenda Nchi yetu na kuifatilia mana Video hii ni ya kitambo sana

  • @user-xe8xv6so6s
    @user-xe8xv6so6s 3 месяца назад

    Heko Joseph S. Walioba. Pia maua yake ngurumo tunakuelewa Sana. Sana shida hii iko kwenye Chama tawala. Wanatetea watoto Wao waendelee kujilimbikizia Mali ya watanzania walipa kodi. Kodi zetu wenyewe zinatutesa Sana mungu waondoe madalakani. Wameng'ang'ana utafikiri nchi Yao. 😭😭😭Peke. Bila sisi wangemuongoza Nani! Acheni ubabe nchi ya wananchi.

  • @Kwelihukuwekahuru
    @Kwelihukuwekahuru 3 месяца назад

    Ole wake yule aliyempiga kibao

  • @Stonecity01
    @Stonecity01 3 месяца назад +4

    Mauwa apewe mzee.shida ya taifa letu wanaotakiwa kuleta maendeleo ni vijana ila hao vijana awataki kusikiliza maneno ya wazee kama hawa wapo na mambo ya hivyo Sana

  • @AyoubMsonga-ch5xg
    @AyoubMsonga-ch5xg 3 месяца назад +1

    Mzee maua yako na ukigombea urais saa kumi na mbili asubuhi umeshinda

  • @shadrackenock2299
    @shadrackenock2299 3 месяца назад

    Sidhani kuwa serikali tatu zina haja. Zanzibar ni eneo dogo sana. Hivyo, ukiweka serikali tatu utakuwa na maraisi wawili wenye hadhi moja tu. Yaani raisi wa Tanganyika na raisi wa Muungano hawatakuwa na utofauti. Hivyo mantiki yake huvurugika.

  • @erastomollel9832
    @erastomollel9832 3 месяца назад

    Nampa Maua yake❤

  • @bonifacerobert2960
    @bonifacerobert2960 3 месяца назад

    Nampa mauaridi yote!

  • @AthumanJuma-iw8fh
    @AthumanJuma-iw8fh 3 месяца назад

    Uko sahihi mazee

  • @josephpetro2968
    @josephpetro2968 3 месяца назад

    mzee huyu ni hazina bunge la katiba harikua nauzalendo hata kidogo ndiyo maana liliferi likawatoa waliokuwa na uzalendo ukawa hivyo tunapelekwa tusivyotaka watanzania.

  • @AliAbdullah-oy6yo
    @AliAbdullah-oy6yo 3 месяца назад

    Nampa maua yake

  • @NoufelSalim
    @NoufelSalim 3 месяца назад

    Mzee warioba njoo nikupe hata 500 ukanunue hata maji .

  • @neliusgosbertbaguma8693
    @neliusgosbertbaguma8693 3 месяца назад

    Tumpelekee zawadi yake huyu mzee, tumchangie zawadi tumpelekee huyu mzee ni muwazi sana, mwenye namba yake anisaidie

  • @WazaeliStefano
    @WazaeliStefano 3 месяца назад

    Wao ndio wamemsaliti mwalim azimio la Arusha liko wapii

  • @ISMAILISADIKI-kh2fh
    @ISMAILISADIKI-kh2fh 3 месяца назад

    mzee waliyoba apewe mauwa yake

  • @piusdeo9380
    @piusdeo9380 3 месяца назад

    Sinde walioba wa kanda maalum

  • @abdalahgunda1319
    @abdalahgunda1319 3 месяца назад

    But on this comment from warioba ccm leadership they will hart him but we have to leave old man rest has been exhausted explanation consern late julias kambarege Nyerere and aman abed karume agreement because ccm run away into reality when the crush use old man warioba as the tools to help them whale few politician into leadership who are coruption disturbing our nation call Tanzania

  • @MathewNathan-yb2bz
    @MathewNathan-yb2bz 3 месяца назад

    Serikali tatu itatenda HAKI kwa kila upande.

  • @ceciliamagalabajimmy4391
    @ceciliamagalabajimmy4391 3 месяца назад

    Maua apewe yoteee

  • @djumakonki1964
    @djumakonki1964 3 месяца назад +2

    Viongozi wa chama cha mapinduzi wanastahili pongezi kubwa kwa kuubeba huu muungano mpaka .
    kusema kweli Viongozi waliopita wameacha matatizo makubwa ktk muungano huu.
    kinachotakiwa sasa ni muungano wa serikali tatu.
    kinyume cha serikali tatu hakuna muungano wa kweli.

  • @magdalenanicholaus5459
    @magdalenanicholaus5459 3 месяца назад +1

    Pokea maua yako baba

  • @GuntramLyassa-fb8rp
    @GuntramLyassa-fb8rp 3 месяца назад

    Baba wa Taifa alisema,Mimi siyo Mungu.Kama Kuna mahali pamepotoka ,rekebisheni.Sasa Wa Tanganyika tunataka Muungano wa serikali 3.Kwani wenzetu wameisha jitoa.Kwa mfano,wanaserikali Yao,Bunge,katiba,jina la Nchi, kuweka Mabalozi Nchi za Nje,Wana Raisi nk.Tunatoa maoni maoni kama wasomi wa Nchi ya Tanganyika.

  • @samsonrusagira5168
    @samsonrusagira5168 3 месяца назад +3

    Maua Yako Jaji Warioba.

  • @clarencehilary5588
    @clarencehilary5588 3 месяца назад

    Nampa maua yake