TUTAFAKARI MANENO YASIYOKUFA YA JAJI WARIOBA, KABUDI, MBOWE NA LISSU KUHUSU MUUNGANO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 28 авг 2024

Комментарии • 150

  • @kilianjulius9882
    @kilianjulius9882 3 месяца назад +12

    Mzeee warioba ubarikiwe sana kwakutuelemisha,, Mungu akujalie uishi miaka mingi zaidi

  • @user-xe8xv6so6s
    @user-xe8xv6so6s 3 месяца назад

    Selikali ya tanganyika kwanini wanakataa katiba ya walioba! Jibu ni kweli mafisadi wa najitahidi kukwepesha waendelee ktuibia. Asante ngurumo kwa uchambuzi. Mungu akubariki.

  • @Byondorujulika17
    @Byondorujulika17 3 месяца назад +4

    Asante sana muzee wetu kwa uchambuzi na utafiti wa hali ya juu. Muzee tulikuwa tumekukumbuka sana kwa sababu tulikuwa hatupati uchambuzi wako, from Cedar Rapids Iowa state USA 🇺🇸

  • @JustineMrosso
    @JustineMrosso 3 месяца назад +11

    Mwandishi na mwariri bora Ansebert.

  • @justinecom7461
    @justinecom7461 3 месяца назад +7

    Katika wanasias ninaowalewa Mzee Warioba ni Jembe,,anajua anachokiongea,,👏👏👏

  • @jumamayonga8914
    @jumamayonga8914 3 месяца назад +10

    Ushauri uliotolewa na tume ya Waryoba uzingatiwe

  • @RamadhanHaruna-di7jk
    @RamadhanHaruna-di7jk 14 дней назад

    Mungu.akulinde.jaji.mstaaf

  • @Mkorajr
    @Mkorajr 3 месяца назад +8

    Nimemwelewa jaji warioba, Zanzibar ni nchi na hivyo Tanganyika nae ajitokeze!!!

  • @rahabufilangali-cp6br
    @rahabufilangali-cp6br 3 месяца назад +4

    Ninaitaka Tanganyika yangu tuamke

  • @kingmzebez7786
    @kingmzebez7786 3 месяца назад

    Mzee we2 jembe letu lililo bakia mungu akupe afya njema mzee walioba msema ukwer ni mpenzi wa mungu dunia tunapita tafakali maneno y mzee walioba ya kujenga taifa lenye usawa kama🇹🇿❤📿🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏✌✌💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪✍✍✍✍✍✍✍🤳

  • @StephenLetta
    @StephenLetta 3 месяца назад +8

    Huu ndiyo ukweli ambao ukisemwa na watu wasiopendwa wanaonekana kama wanatangaza ubaguzi. Katika hali hiyo Lissu ana makosa gani?

  • @elibarikimollel7149
    @elibarikimollel7149 3 месяца назад +4

    Uchambuzi huu mahiri wa mwandishi nguli Ansbert wa historia katika nyakati tofauti juu ya muungano na katiba mpya unafaa uwafikie hawa watawala wetu pengine watazibuka masikio na kuchukua hatua! Kwa umuhimu Watumiwe clip hii wote moja kwa moja bila kungoja mmoja mmoja wakutane nayo mtandaoni...

  • @user-vi1ds6gw9g
    @user-vi1ds6gw9g 3 месяца назад +4

    Namwona profesa kama profesa, ila ukimwuliza leo atakwambia tofauti na yale alisema wakati ule, kwasababu tu anakula mezani pa wakuu, unafiki wa wasomi wa Tz ndiyo kinacholeta matatizo nchi hii!😢😢🇹🇿

    • @jesaminzo
      @jesaminzo 3 месяца назад

      Unamwongelea nani? Kama una maana ya Warioba, utakuwa umekosea sana, hata siku moja hajawahi pindisha maneno.

  • @omaryyusuph7877
    @omaryyusuph7877 3 месяца назад +5

    Ccm toeni pamba masikioni huu mungano uko mbele utaleta shida katika taifa

  • @edesaron9070
    @edesaron9070 3 месяца назад +5

    Ukweli siku zote unasimama wenyewe

  • @godsson5954
    @godsson5954 3 месяца назад +8

    Hivi Lissu ndo kaibua yote haya

  • @luganomwaigomole7441
    @luganomwaigomole7441 3 месяца назад +1

    MZEE WARIOBA NI AKILI KUBWA NA TUNU YA TAIFA❤

  • @MuhojaMalicho
    @MuhojaMalicho 3 месяца назад +3

    ❤❤❤❤❤ kweli mwamba

  • @MathewNathan-yb2bz
    @MathewNathan-yb2bz 3 месяца назад +7

    Naunga mkono hoja,serikali tatu ndio suluhisho

  • @user-hu9bf7nw4c
    @user-hu9bf7nw4c 3 месяца назад +3

    Mzee warioba upo sahihi kusema ukwel ila wanaopenda kula pesa za nchi pasipo haki Yao ,ambao n viongoz hua mtu akiweka Waz au kuzungumza ukwel unakuata wanamchukia, ndio maana nchi hii imejaa umaskin wakat nchi inalasilimal nyingi

  • @ChristmasMaheri
    @ChristmasMaheri 3 месяца назад +2

    Tanganyika ibebe majukumu yake kikamilifu.Isidhani muungano na Zanzibar,kwa muundo uliopo kuna faida muhimu sana kwake.Tunajua historia ya mtu mweusi duniani na kazi ya ukombozi iliyofanyika tayari.Kwa sasa,huwezi kuamini kuwa jamii zile tulizopingana nazo katika ukombozi ndiyo zimekuwa kimbilio.Tumeyumba kabisa.Tutulie tujenge nchi yetu Tanganyika.

  • @SarahShao-jw1up
    @SarahShao-jw1up 3 месяца назад +4

    Huu MUUNGANO Kuna watu wachache WANAULAZIMISHA kwa makusudi mabaya waliyo nayo sirini ya kuangamiza Tanganyika.....

    • @jesaminzo
      @jesaminzo 3 месяца назад

      Na si kuiangamiza Tanganyika tu, bali pia wao wanafaidi na huo muungano wenye mashaka.

  • @yusuphabel5530
    @yusuphabel5530 3 месяца назад

    Mungu amlinde Mzee wetu.

  • @aminieljohn5475
    @aminieljohn5475 3 месяца назад

    Jaji JS Warioba ni political think tank wa Tanzania, ana maarifa makubwa sana. Mawazo yake ndiyo yatakayookoa muungano...tukiziba masikio ya fikra zetu na welewa kwasababu ya kidumu chama chetu tutajuta muda si mrefu ujao. Wanaong'ang'gania mfumo huu dhalili wa muungano tujue "you can fool some of the people some of the time but not all the people all the time....anayoyasema Lissu ni dhahiri....watanzania gawatakua wadanganyika tena wala wagalatania waliorogwa! Wakati hu ndiyo wakati wa kutengeneza.... Mama Samia Suluhu wewe ndiyo suluhu wakati huu....weka historia...weka legacy kama mama....unaitwa mama kuwa mama kweli katika hili...ukiweza hili utaitwa mama wa taifa...!!??....kwanini ccm hawataki huu ukweli?.......

  • @samsonmwijage1869
    @samsonmwijage1869 3 месяца назад +1

    Asante kwa tafakari hizo ni za msingi.
    Toleo lijalo hebu jadili na tutafakari kinachoendelea ndani ya chadema kwa wiki kadhaa sasa kama kweli kinaakisi alichosema Sumaye wakati anaondoka chadema baadaye kurudi CCM kwamba alifanyiwa MIZENGWE asigombee nafasi ya M/kiti ili Mbowe abaki madarakani na madai yake kwamba hakuna demokrasia ya kweli ndani ya chadema !!!!! Sababu ambazo pia alisema Katambi aliyekuwa m/kiti wa vijana chadema (BAVICHA) akaicha nafasi hiyo na kuamua kuhamia CCM.
    Hebu jadili kwa hiki kinachoendelea ndani ya chadema je ni kweli sababu za kufukuzwa ndani ya chadema akina Zito na wenzake zilikuwa na mashiko au fitina za kisiasa tu na madai yake kuwa walifukuzwa bila kupewa nafasi ya kujitetea?

    • @samsonkatigiri2344
      @samsonkatigiri2344 3 месяца назад +1

      kama hata hayo ya kina zito na katambi huyajui basi wewe sio mwanasiasa,fuatilia hata mpira nao ni mzuri 😂😂😂😂

    • @jesaminzo
      @jesaminzo 3 месяца назад

      Kama huyajui ya akina Zitto, nitafute inbox nikwambie ninachokifahamu

  • @user-td5ye9zb1l
    @user-td5ye9zb1l 3 месяца назад

    Lisu +Mbowe and Kabudi Asante kwa elimu hii ya juu.

  • @aminielkombe66
    @aminielkombe66 3 месяца назад +4

    Warioba mtu na nusu

  • @robertzingu9889
    @robertzingu9889 3 месяца назад +2

    Aisee, sasa Jaji Joseph Warioba anafunua mambo kiasi cha kuacha nyeti za kuku kuonekana wazi kabisa. CCM hata wafanyeje, mabadiliko ya mfumo wa muungano na uendeshaji nchi lazima yafanyike na kama sio kwa hiari basi itakuwa ni kwa lazima!

  • @khamisdaima1455
    @khamisdaima1455 3 месяца назад +1

    Inaonesha tatizo lenu mmeshalielewa, jee sasa mpo tyr kuitwa watanganyika? Maana mnaskia aibu mkiitwa watanganyika

  • @edsonnelson4464
    @edsonnelson4464 3 месяца назад +3

    Kwa hilo nimekuelewa Tundu Lisssu na Mbowe kazeni buti tu watu wataelewa

  • @sylvestersamwel8210
    @sylvestersamwel8210 3 месяца назад

    Mzee Kinana,Nape na mambulula wengine kazi kwenu, kosoeni na haya sasa!!

  • @reginamwendwa6709
    @reginamwendwa6709 3 месяца назад

    Viva mzee Warioba viva

  • @MathewNathan-yb2bz
    @MathewNathan-yb2bz 3 месяца назад +2

    Tunataka serikali tatu na kama itashindikana hizo serikali tatu ni bora Muungano uvunjike kabisa.Muungano uliopo sasa hautendi haki kabisa.

  • @richardmwandanji65
    @richardmwandanji65 3 месяца назад +2

    Sijui tumelogwa na nani watumilioni hamsini tumeshindwaje kupata Raisi mpaka tunakopeshwa na wazanzibari ee Mungu tuhurumie

    • @richardnganya2311
      @richardnganya2311 3 месяца назад

      CCM ndiyo inayologa watu.. tumelogeka na kujazwa woga na ujinga..!!

  • @edwardmwingira7096
    @edwardmwingira7096 3 месяца назад

    Serikali 3 ni muhim sana. Serikali ya Tanganyika lazima iwepo!

  • @aminieljohn5475
    @aminieljohn5475 3 месяца назад

    Kwa miaka mingi tumekuwa tukitenfenezwa kama kizazi cha wadanyika.....vipofu wa utiaifa wetu na utambulisho wetu....na upofu wa fikra umejengwa na personalities kama mzee wasira na ndugu yangu Abdulraman Elahmedi Kinana...

  • @user-sl1ko9me7u
    @user-sl1ko9me7u 3 месяца назад

    VIVA MH. MZEE WARIOBA....MZALENDO WA KWELI WA NCHI YETU.

  • @abdull_hafidh
    @abdull_hafidh 3 месяца назад +4

    Mupo sahihi Tafuteni Tanganyika yenu

    • @Sheba4651
      @Sheba4651 3 месяца назад

      Waongo tu hao, wajanja wajanja tu, kelele hizo za mazimwi, wanaiwinda kuimaliza Zanzibar tu iwe mkoa.
      Mbona Tanganyika ndio inayofaidika mia percent, wanalohitaji kwa maendeleo yao kwa miaka 60 iliyopita mzanzibari hakusubutu kuwazuiya, hata hayo anayoamua sasa hivi mama na wao wenyewe wamo humo humo.
      Kero za muungano kila uchwao Zanzibar ndio wanalia, watuposhe uko.

  • @malindimalindimerinyo1632
    @malindimalindimerinyo1632 3 месяца назад

    Kutokana na ukweli huu wote Samia angetakiwa awe wa serikali ya muumgano serikali Zanzibar iwe na rais wao Mzanzibar na serikali Tanganyika iwe na rais mtanganyika ..... Nyerere alikuwa na mawazo mazuri wakati ule leo kuna watu wenye mawazo mazuri zaidi.....alafu kinacho sikitisha nikwamba mtanganyika naona nikipofu haoni ukweli shida sana

  • @edwardmizambwa237
    @edwardmizambwa237 3 месяца назад

    Tatizo ambalo haliongelewi sana ni ule woga kwa Watanganika kua Zanzibar na Tanganyika zikiwa nchi mbili tofauti, huu ukanda wa bahari ( tunayo pakana) itakua ni free zone kiasi cha kukosekana kwa usalama wa hizi nchi na ukanda wa bahari ya Hindi kwa kwa ujumla.
    Je haupo uwezekano wa kukabiliana na hilo?
    Hofu ta Watanganika ni hiyo.

  • @bcozhenry2698
    @bcozhenry2698 3 месяца назад

    Ukisikia akili ni mali, basi ni hii ya Mzee Warioba

  • @RaymondKilomeye
    @RaymondKilomeye 3 месяца назад

    Mungu tusaidie hakika mungano huu nimchongo hauna uwaz Wala usawa hili swala linahtaj ujasiri mkubwa kwa watanganyika

  • @Stonecity01
    @Stonecity01 3 месяца назад +1

    SK MEDIA huwa nafwatilia taarifa nyingi ila ni kisikia kwako naelewa kwa kina

  • @allyomary2271
    @allyomary2271 3 месяца назад +1

    Mliokuwa mnampinga lisu kama nawaona maana hoja zote alizozitoa kuhusu muungano warioba kaja kujazia nyama

  • @user-ct7ks1pv3z
    @user-ct7ks1pv3z 3 месяца назад

    Nashauri uwepo wa serekali tatu ,yaani serekali ya muungano ,serekali ya Tanganyika na serekali ya Zanzibar

  • @user-cz9zu7ur1h
    @user-cz9zu7ur1h 3 месяца назад +2

    Hapo serikali tatu ndio muafaka

  • @paschalkimboka4605
    @paschalkimboka4605 3 месяца назад +1

    Hapo Kabudi alikuwa alikuwa na akili timamu

  • @iddibakari3969
    @iddibakari3969 3 месяца назад +2

    Hapa hakuna muungano

  • @frankremishoy5778
    @frankremishoy5778 3 месяца назад +1

    Ccm mnajuwa sema mmeweka pamba makusudi

  • @user-cz9zu7ur1h
    @user-cz9zu7ur1h 3 месяца назад +1

    Utakavo fanya zanzibar ninchi inavielelezo kabisa ila huku tanganyika hakuna utaifa watanganyika naimeuliwa naviongozi nawanajuwa nasijui walimanisha nini inaumiza

  • @peterbangari4273
    @peterbangari4273 3 месяца назад

    Ngulumo Asante sana unaufahumu mkubwa sana hasa katika uchambuzi wako ni wa makini na uhalisia mkubwa

  • @godsson5954
    @godsson5954 3 месяца назад +1

    Ndo maana baada ya kwamba kutoweka kulikua na sinto faham nyng

  • @abdulrahmankhamis4099
    @abdulrahmankhamis4099 3 месяца назад

    mbowe anakosea sana, huwezi kuilinganisha Zanzibar na Tanga kwasababu Tanga haijwahi kuwa dola huru, hata hao wa .... kuoka zanzibar bado ni kidgo kasababu issue ya 2 third majority haifanyi kazi. Wazanzibar walitowa soverenity yao na bado wamekubali kuwa na wabunge wachache kwenye bunge. lakini pia hata hao wapiga kura wa waanzibar ambao wameamuwa kutowa hadhi ya nchi yao na kumpa raisi ya wa jamuhuri ya muungano hawana say katika kumchaguwa huyo mtu waliyempa haki yao. kama wazanzibar wote watamkataa mtu aliyechaguliwa na watanganyika bado atakuwa raisi ya muungano. hli mbowe mbona hulisemi.

  • @elibarikimollel7149
    @elibarikimollel7149 3 месяца назад +1

    Tafakuri yangu inaniambia: hawa watawala wachache wa ccm wanaokataa hoja hizi za umuhimu wa katiba mpya, wanangoja makusudi kwa tamaa ya madaraka idadi ya tunaodai Tanganyika iwe kubwa tuidai kwa miguu yetu ili iweje?! Muungano wa Tanganyika na Zanzibar kwa makubaliano ya mgawanyo sawa na serikali tatu ni muhimu sana.

  • @emmanuelsulle911
    @emmanuelsulle911 3 месяца назад +1

    Mwandishi Mzuri Mno

  • @salummohamed2689
    @salummohamed2689 3 месяца назад +2

    Haya yamesemwa takribani miaka 10 iliyopita, ni haki kuwa tuwe tunarudiarudia kulumbana lumbana Kwa mambo yayolalamikiwa mara Kwa mara?

    • @AnsbertNgurumo
      @AnsbertNgurumo  3 месяца назад +2

      Kulumbana ni muhimu ili kusisitiza hoja. Ukweli usiposemwa, propaganda zitatawala. Hakuna kikomo cha muda wa kuyazungumzia.

  • @AthumanJuma-iw8fh
    @AthumanJuma-iw8fh 3 месяца назад +1

    Tubadiri katiba iwe inahaki sawa

  • @gwantwamwalyaje8515
    @gwantwamwalyaje8515 3 месяца назад

    Warioba Ninakuelewa Hauja Zeeka Vibaya Unafaa Kuishi Miaka Mingi

  • @philemonsnyanda9450
    @philemonsnyanda9450 3 месяца назад

    Kabudi kabudi, nakuita mara2 hivi huyu kabudi kabla ya kulamba cheo ndiyo huyu🤣

  • @user-gd2xj3xd1b
    @user-gd2xj3xd1b 3 месяца назад +5

    LAZIMA TURUDI KTK MKATABA WA MUUNGANO

  • @robertnkyalu3241
    @robertnkyalu3241 3 месяца назад

    Kiongozi ambaye akifa nitalia machozi ni Joseph sinde warioba tu Kwa nini , sbb yangu pekee nimzee ambaye sio mwongo ndio sifa yake nzuri nayo Iona ambayo wengine hawana

  • @geofreyyotham502
    @geofreyyotham502 3 месяца назад +2

    Serikali tatu ndio suruhisho

  • @kenedysimon3566
    @kenedysimon3566 3 месяца назад

    Achana na mizinga wabunge 77 kutoka Zanzibar Ili Hali jmla Yao ni milion Moja

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 3 месяца назад

    👍👊✌️.

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 3 месяца назад

    Watanganyika tuanze kuandamana kudai Tanganyika lazima watanganyika tufikili sana kama tunaaza kuandamana mara moja kudai kudai Tanganyika yetu

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 3 месяца назад

    Nape kama unawapenda sana wazanzibar hamia huko na utafukuzwa saa hiyo hoyo kama utahamia usiku utafukuzwa usiku huo huo. Ndiyo utaanza kujifahamu na kuanza kuwa akili timamu.

  • @sebastianmwantuge5597
    @sebastianmwantuge5597 3 месяца назад

    Kuna viongozi wakuu wa Serikali kutoka Tanganyika wanaisaliti Tanganyika na Watanganyika kwa sababu wao wanakula wanashiba,hawana wasiwasi.
    Nchi imekuwa masikini kwa sababu ya huu muungano mbovu.
    Wazanzibari wanatutawala Tanganyika.Tumeshakuwa werevu sasa,tunataka kuwa na Serikali yetu.
    Mtu from no where anaamua kugawa rasilimali za Tanganyika na viongozi wa Tanzania bara mpo tu!

  • @user-ct7ks1pv3z
    @user-ct7ks1pv3z 3 месяца назад

    Lisu mungu akulinde zaidi ili utuelimishe mengi juu ya matatizo ya nchi yetu

  • @user-ix9hf4yw9r
    @user-ix9hf4yw9r 3 месяца назад

    Ok

  • @user-oy3dg3pq2v
    @user-oy3dg3pq2v 3 месяца назад

    Kiufupi Mimi sioni faida ya sisi kuungana Zanzibar

  • @user-uq7kk4dw2o
    @user-uq7kk4dw2o 3 месяца назад +1

    Heeeeeee 🤣🤣🤣🤣🤣🙄🙄

  • @franklinmalugu3934
    @franklinmalugu3934 3 месяца назад

    Watanganyika tuache uzuzu ....tunataka serikali yetu ya Tanganyika. Tunataka usawa katika Muungano

  • @neliusgosbertbaguma8693
    @neliusgosbertbaguma8693 3 месяца назад

    Haipingiki Samia analo jambo la kufanya, mpaka uchaguzi ukija kukaa sawa atanyooka

  • @NOORMOHAMED-sg9lo
    @NOORMOHAMED-sg9lo 3 месяца назад

    Huyu kabudi si ndiyo alituambia sisi ni wakenya?
    Hakuna mtanzania.
    Alijitayarisha na kenya ili tusiwe na mwenzetu mrusi?
    Wasaliti wa mwalimu nyerere na umoja wetu.
    Tuyaanzie ili tuwe huru.
    Na hiyo congo nani anaiweka katika hali hiyo enyi wasaliti wa Mwalimu nyerere?
    Wa umoja hoyeeeeeeee

  • @japhetmathayo2499
    @japhetmathayo2499 3 месяца назад +2

    kwakweli muungano wetu ni kizungumkuti na njia ya haraka haraka ya kuuweka sawa ni kutengeneza serikali tatu japo pia changamoto inayokuja ni ile aliyoisema mwalimu Nyerere kuhusu gharama za uendeshaji wa serikali 3

    • @AnsbertNgurumo
      @AnsbertNgurumo  3 месяца назад +3

      Gharama? Mbona ni rahisi kuliko ilivyo sasa?

    • @lawrencekombe2929
      @lawrencekombe2929 3 месяца назад +1

      KUHUSU GHARAMA ALIOSEMA NYERERE ALIKUWA ANAWADANGANYA WATANGANYIKA.HEBU JIULIZE MAV8 YANAYONUNULIWA KQA MAWAZIRI,WAKUU WA MIKOA, WILAYA, WAKURUGENZI,WENYE VITI WA BODI MBALIMBALI SPKA WA BUNGE NK.KUMBUKA V8 I NI MILION 5OO.TAFAKARI

  • @Kwelihukuwekahuru
    @Kwelihukuwekahuru 3 месяца назад

    Natamani Nape amjibu Warioba na Kabudi

  • @peterbangari4273
    @peterbangari4273 3 месяца назад

    Nimeona kwamba Hawa viongozi 4 wete walisema neno Moja ambalo ni sahihi Ila kwa sasa amelisema mweshimiws lisu wanamsakama sana kana kwamba hakuna mtu alishawai kusema haya mneno

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 3 месяца назад

    Kwa nini CCM wanaangamiza Tanganyika ? Kwnza kuna siri za CCM ili waweze kuiba pesa na kufanya ufisadi mwingi wa mali za Inchi na pia kuweza kupata nafasi kuchaguwa raisi wa Zanzibar kwa Wazanzibari na kulazimisha kuwafanya watanganyika watumwa wa CCM kwa kweli ukiona wanachokifanya CCM kwa wanainchi wa Tanganyika katika koti la hiyo Tanzania ye CCM. CCM hao wanachaguwa wabunge wote, CCM wanafanya Zanzibar pia watufanye kama mazuzu. Tuwe na mambo tunayoshirikuana, CCM ndiyo Sababu nawambia watanganyika tu mazuzu kabisa na Bado Nape na maccm wanabwata hovyo ati ukiita Wazanzibari. Hivi Nape nadiyo mwenye huyo muungano.

  • @PhilipoMwita-wc1ku
    @PhilipoMwita-wc1ku 3 месяца назад

    Kwakweli lissu ana nyota ya ajabu Yani KAULI yake Moja tu Hadi ccm wanatetemeka wanahangaika

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 3 месяца назад

    Kwani muungano mbona haupo tena! Muungano wa Tanzania uliisha wakati Zanzibar walipotoa vipengele kuvipeleka Zanzibar. Arudishe kila alicho gawa cha Tanganyika. Mzanzibari arudi kwao kabla hatujaanza kurudisha KATIBA ya Tanganyika na kufanyika Tanganyika huru awe ameenda kwao si anajua yaliyoandikwa kwenye KATIBA ya kwao Zanzibar. Sasa hapa anafaya nini kama kweli CCM si wanafiki?

  • @simonnaivasha6393
    @simonnaivasha6393 3 месяца назад

    Mheshimiwa Kabudi, mara nyingi unatumiwa elimu yako ya ujerumani kusaidia Taifa, Jaji Warioba na mheshimiwa Tundu Lissu saidieni kamati kuu ya chama maji yako shingoni.

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 3 месяца назад

    Wabunge waliojaa bunge la Tanganyika na kula pesa za kodi la watanganyika.

  • @moahmed7588
    @moahmed7588 3 месяца назад

    Kwanini baba wa Taifa kawafanyia hivi hawa ndugu zetu wa bara? Aliwaza nini? Sasa wanaonekana kama kwamba Wazanzibari ndio walioutengeneza huu muungano wa aina hii wakati wao pia hawautaki kwa changamoto wanazozipitia hasa kimataifa. Hakuna sababu ya kuwatukana Wazanzibari kwa dhambi ya Mwalim Nyerere au watuambie kwamba mwalimu nae alikua ni Mzanzibari

  • @MikaLepilal
    @MikaLepilal 3 месяца назад

    Duh! mada ngumu

  • @agastokissatu2667
    @agastokissatu2667 3 месяца назад

    .... tunaomba tuwe na nchi ya ya Tanganyika....ili tuwe na muungano halisi....!!!

  • @robertmagubu4586
    @robertmagubu4586 3 месяца назад +3

    Yaani kiukweli una uwezo mkubwa sana wa kuona mambo. Kimsingi yaliyosemwa na wasemaji wa miaka 10 iliyopita na ambayo Serekali miaka yote wamekuwa wakiyakataa ndio yanaenda kutokea. Tanganyika inaenda kudaiwa kwa nguvu kubwa sana. Watawala wasiposoma alama za nyakati muungano utavunjika siku si nyingi na wakati hayo yakitokea huwenda ikawa kwa mzozo mkubwa sana.
    Watu wanaosimamia vitengo nyeti wanatakiwa kuyaona haya na kuwashauri watawala nini cha kufanya. Kushupaza shingo jambo litaharibika tu na ni suala la muda.

  • @user-cz9zu7ur1h
    @user-cz9zu7ur1h 3 месяца назад +1

    Kaka nikisikiliza hizi habari zako unaongea kwafact nilicho gunduwa viongozi kutoka tanganyika ndii waliyo iuwa tanganyika

  • @evodiusbahegwa6557
    @evodiusbahegwa6557 3 месяца назад

    Oya sasa toeni njia ya kunyofoka hapo

  • @saidiathuman-og6bc
    @saidiathuman-og6bc 3 месяца назад

    Haki hatupat wa Tanganyika kamavipi muungano ufe au tupate selekali tatu3 lakini kwaivi ilivyo mim naona mazng zong,,,

  • @fredquinbi2389
    @fredquinbi2389 3 месяца назад

    Kwani lazma simkae na tanganyika yenu

  • @daudkondo4069
    @daudkondo4069 3 месяца назад

    Kuna haja ya kufuata ya warioba

  • @malkavoice2570
    @malkavoice2570 3 месяца назад

    Huu muungano hauna faida kwetu sisi watanganyika hata kidogo huu muungano wakiupigaji. Zanzbar wanatupiga tunaona. Kwani tukiuvunja ninani atakayeumia kati yetu bara na visiwani?

  • @user-zj4ii6uf7t
    @user-zj4ii6uf7t 3 месяца назад

    Viongozi wetu msijitoe ufahamu, tunataka Tanganyika yetu sisi watanganyika, sisi watanganyika siyo wabaguzi wabaguzi ni wazanzi bar ndo walio tugawa watanganyika, Jamani watanganyika tuamke tuidai katiba na Tanganyika yetu kwa nguvu zetu zote na kwa akili zetu zote,tuamke Jamani watanganyika kudai haki yetu km wat

  • @richardmwandanji65
    @richardmwandanji65 3 месяца назад

    Kunawatu nchi hii wanaishi kwa uchawa kama Alina nape na Alina mwigilu na wanao tushambulia tunao dai KATIBA MPYA na tanganyika yetu sijui wanataka tudai Tanganyika yetu kwa nguvu au Nini sisi ni wazalendo tunataka watusikilize tunataka Taifa letu na mungano wa makubaliano sio kwa lazima

  • @rebekakulwa6159
    @rebekakulwa6159 3 месяца назад

    Fisiyemu hautaweza watu washaanza kujua haki zao kama kudanganya. Danganya misukule wenzio

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 3 месяца назад

    Sasa Samia anasimamisha mishipa kutaka kuwa Raisi ya Tanganyika hivi kweli tu wapumbavu?

  • @jastinmodest8073
    @jastinmodest8073 3 месяца назад

    Huyu Mzee licha ya kwamba ni mwanasheria pia ana hekima busara na akili nying aise

  • @felixmsengi1084
    @felixmsengi1084 3 месяца назад

    Nafurahi kwa hoja hizi, swali Nini kifanyike Sasa kutatua ?

  • @malkavoice2570
    @malkavoice2570 3 месяца назад

    Sasa kama hili lilitokea tangu 2010 imekuwaje 2016 Raisi awe Mzanzbar inamaana sisi Tanganyika nani aliyetuloga?

  • @ConfusedDaisies-rb5
    @ConfusedDaisies-rb5 3 месяца назад

    Tatizo la wasomi na viongozi wetu ni wanafiki wanajali matumbo yao tu