UNAIJUA MIAMBA MITATU HII YA SIASA TANZANIA? NYERERE, MAALIM SEIF, MBOWE. UNA MAONI GANI?
HTML-код
- Опубликовано: 13 сен 2024
- Hii ni tafakuri juu ya wanasiasa watatu ambao wameathiri kwa kiasi kikubwa siasa za Tanzania kwa kujenga vyama imara - Mwalimu Julius Nyerere, Maalim Seif Shariff Hamad, na Freeman Mbowe. Nani anasema hayo? Fuatilia uchambuzi huu mfupi.
I fully agree with you.
Nakubali
Ahsante kaka Ngurumo. Nakubaliana na mchango wao katika kuongoza vyama vyao kufikia hapo vilipofikia
Mh.A.Gurumo Nakubaliana na wewe,na uchambuzi wa hao Maprofesa kwa 99%. Mungu ibariki Tanzania, mbariki Mbowe na makamanda wote
Mbowe is father of modern politics. Ni baba wa siasa za kileo
Heshima yataifa letu ndani na nje ya nchi imetokana ma wanasiasa wengi waliowahi kuishi ktk nchi yetu so hao 3 tu. Mf Dr Ahmed Sakim, Marais wetu, mabalozi nk. Kwa hiyo Tanzania ijayo klhazina kubwa ya wanasiasa maarufu.
Benedict: Swala kilikuwa kutaja Watatu waliofanya kazi ya Siasa ya kupigiwa mfano na kwa muda mrefu. Sio wooote!
Maalim alitufundusha siasa za kuipenda na kuitetea Zanzibar bila ya kuyumba wala kuogopa
Nakubaliana na maprofesa hao Mbowe ni Mwamba.
Mbona naona act wazalendo inakufa sasa maana huyu kiongozi wao zitto ni mchumiatumbo
Sanaet
TRUE
Mungu akubariki sana Ngurumo
Nakubaliana na fikra za maprofesor ni kweli mwl. Nyerere na maalim Seif na Mbowe kuwa ni wanasiasa bora kabisa
Ndiyo ninakubaliana na mtizamo na uchambuzi huu 💯
Mbowe tosha tunamuelewa tangu mwazo agombee urais 2025
Nakubaliana
Nakubaliana ww MW NYERERE (MAALIM SEIF) F/A MBOWE hao ndio pekee nawakubali wengine hhhh wapo wspo tu
mimi kwa mtazamo wangu naona mbowe ndio mwanasiasa bora mahili kuwahi kutokea Tanzania
UKO sawa kabisa. Hawajakosea maprofesa. KWA Sasa tunaweza KUWA na wasiwasi Kama wakati wa Baba wa Taifa alivyotaka kun'atuka tuliona hakuna wa kulingana na yeye kiuongozi tulikuwa na wasiwasi.Hata KWA Mbowe Ana kipaji kumfuatia KWA Baba wa Taifa.Mbowe NI wa Karne hii ya vyama bingo anafaa!!!
Kamkubwa wangu nakusoma unaongea Deep kabisa lnapendeza
Nimekuelewa. Asante.
Tundu lisu
Nakubaliana na wewe
Nakubaliana
Kimtazamo wa nje utamuongelea maalim seif kua muunganishaji wazanzibar ila ukija kiundan kabisa tunajua cc wazanzibar co wanaojiita wazanzibar Kuna vtu mctusemee tunajua cc wazanzibar co wanaojiita wazanzibar kwenye kuunganisha wazanzibar Hilo nakataa sana kuunganisha kwake co kizanzibar tatzo lenu mnaojita watafit wa siasa mnatafit kichama co kitaifa njoo. Zanzibar watafuten wazanzibar co wanaojiita wazanzibar mtapata meng
huyu ambaye anamshauri mbowe aende ccm ni kati ya watu wasiotambua nini maana ya uongozi
na hawa ni kati ya watu wanaololazimisha kuwa viongozi bila kujua jamii atakayoiongoza inataka
nini.
Huyo mbunge anajaribu kupinga ukweli na kuleta ukereketwa, maprofesor wamefanya uchambuzi kwa kutumia akili sio kwa kutumia matumbo.
Bowe nikiogozi wa kuigwa
Hizo zinaitwa hisa za kisiasa. Bahati mbaya hakuna Soko la Hisa za Kisiasa ( SHK) "Political Stock Exchange Market" (PSEM). Hisa hizi huonekana Sana kipindi Cha uvlchaguzi. Wingi wa mashabiki na wameachana wanaomuunga mkono mwanasiasa.
Mbowe is superb
Uko sahihi kabisa
Sawia
Kwa mbowe umefeli ungewka magufuli apo
%1000000000
Huyo mbunge wa CCM nimeipenda kauli inaonekana aliondoka chadema akiwa bado anampenda mwenyekiti wake
Wewe hapo mbunge wa Ccm ndio unatumia vibaya ubunge wako unatakiwa ijiunge na Chadema hapo ndipo ubunge wako ungetumika vizuri
mbowe ni zaidi
Nimwamba
Mbowe ni mashuhuri ni shujaa yupo ndani ya mioyo ya mamilioni ya watanzania
Me nasema ongeza sauti hapo kwa mh.mbowe
nakubalian na wewe asilimia mia moja
Mbowe ni baba lao amepitia magumu hakina mfano na Mbowe ni Yule Yule amebarikiwa sana huyu jamaa
Mbowe is the first following with Maalim seif. Then the last one is Mwalimu Julius K Nyerere.
Ni kwa sababu Nyerere aliongoza nchi ikiwa na wasomi wachache sana
Nakubaliana kwa watu wawili.1.Freeman mbowe.2.maalim seif. Kwa habari ya nyerere ni kwamba alikuwa mtu wa hila