#TBC1

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 24 июн 2024
  • Kipindi Hiki Cha Wekeza Tanzania kinakupeleka site ukajionee uhalisia wa 98.01% ya mradi wa kimkakati wa bwawa la kufua umeme la Julius Nyerere ambalo kukamilika kwake kutazalisha Megawati 2115 za umeme
    Mtangazaji - Vumilia Mwasha
    Mwongozaji - Neligwa Muggitu
    Mdhamini - AZANIA BANK

Комментарии • 40

  • @mimiraia2531
    @mimiraia2531 6 дней назад +11

    MAGUFULI….MAGUFULI…MAGUFULI

  • @SalumuChikoi
    @SalumuChikoi 7 дней назад +13

    Nashukuru nami ni mmoja kati ya watu walioshiliki katika ujenzi kwa mikono yangu

  • @mathiasmichael9915
    @mathiasmichael9915 4 дня назад +3

    Mwenyezi Mungu akubariki huko uliko Rais DK JPM

  • @johanesemmanuel4655
    @johanesemmanuel4655 7 дней назад +6

    Pongezi kwa serikali yetu,mungu wabariki viongozi Wetumpka wakiongozwa na raisi Wetu mama Dr.Samia Suruhu Hassan.Mungu ibariki Tanzania,mungu Ibariki Afrika.Amen

  • @JohanessMarwa
    @JohanessMarwa 7 дней назад +3

    Hilo ni jambo Jema sana kwa Taifa letu kiuchumi na hata kiusalaama. Napongeza serikali kwa Hilo. Kikubwa wasimamizi wote wanao husika na watakao husika wasimamie kwa kuzingatia uweredi na uzarendo🤝🤝👍👍
    Johaness Marwa Toka Burundi 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @anastazialushika
    @anastazialushika День назад

    Karibuni sana Rufiji karibu Julius nyerere hydro powe project,

  • @MoinaminaAmina-qh1jb
    @MoinaminaAmina-qh1jb 17 часов назад

    Mashallah mungu yayibariki tz na viongozi wake

  • @zawadimwangupili4518
    @zawadimwangupili4518 22 часа назад

    Tunamshukuru Mungu na viongozi wetu Mungu awabariki

  • @francomwacha2262
    @francomwacha2262 7 дней назад +2

    Walau nimeshiriki kwa kiwango kikubwa kwenye ujenzi wa huu mradi kama operator.. kazi nzuri kwa serekali

  • @joachimluhamo3042
    @joachimluhamo3042 6 дней назад +2

    Mlisema mtapunguza bei za umeme ngoja tusubili tuone

  • @user-ue2nz3vc4j
    @user-ue2nz3vc4j 7 дней назад +3

    Kazi iendelee samia mi 🖐 tena 💞

  • @daudimaniseli759
    @daudimaniseli759 2 дня назад

    ALLAH AMPE KAULI THABIT....SIKU YA UWEKAJI JIWE LA MSINGI TULIAMBIWA KUNA DARAJA KUBWA LITAJENGWA HAPA KUBWA LITAKALO UNGANISHA MIKOA MIWILI NA NAWATANI WAKE WAZARAMO MTAKUJA KUFANYA UTALII NA KUPIGA PICHA ZA NDOA HAPA...AISEE NIKWEL YA ALLAH MPE KAULI THABIT...MUHIMU DUA TU NDIO FAIDA YAKE,,,NA UKIWASHA TAAA UJUE THAWABU HUMFATA ..NAPIA HONGERA MH.RAIS KWA KUKAMILISHA HILO MALIPO NI THAWABU NA PEPO KWAKO...

  • @hassanfeiswal5454
    @hassanfeiswal5454 5 дней назад

    Well done sister vumilia. Its good to have these development information. Keep it up. God bless you.

  • @LuckymusykiLuckymusyoki
    @LuckymusykiLuckymusyoki 7 дней назад +3

    Dada unajua kazi yako

    • @vumiliamwasha191
      @vumiliamwasha191 6 дней назад

      Asante Kwa kuendelea kufatilia Wekeza Tanzania

  • @YohanaYoramu-nl6bw
    @YohanaYoramu-nl6bw 6 дней назад +2

    Pongezi kwa serikali pamoja nawewe vumiliya mwasha unatangaza vizuri

    • @vumiliamwasha191
      @vumiliamwasha191 6 дней назад

      Asante sana endelea kutazama Wekeza Tanzania

  • @stevensosipita
    @stevensosipita 22 часа назад

    R.I.P DKT JOHN POMBE MAGUFULI MUNGU AIWEKE ROHO YAKO MAHALI PEMA PEPONI

  • @user-fl3fb5gh6b
    @user-fl3fb5gh6b 7 дней назад +1

    Rip jpm,sijakosea kumpa mwanangu jina lako

  • @daslamonline4665
    @daslamonline4665 4 дня назад +1

    Mtakamilisha huko mtahamia kwenye miundombinu mitaani migao iendelee kama kawa

  • @mndambokilavo2502
    @mndambokilavo2502 5 дней назад +2

    Kama bei ya umeme haitopungua hili bwawa litakuwa kazi bure

    • @killy_hoffman2698
      @killy_hoffman2698 4 дня назад

      mpka sasa bei ya umeme ni nafuu cha muhimu ni kupata umeme wa uhakika kwanza

    • @ZeProDJay
      @ZeProDJay 4 дня назад +2

      Buku unapata units 8 ukiwa kwenye mfumo wa tarrif 0 bado bei ni nafuu kuliko hata vifurushi vya simu hiyo buku ni siku 1 tu salio linakata..

  • @vinenswilliam3534
    @vinenswilliam3534 12 часов назад

    Huo ufunguo kwa nje ya mlango 😅

  • @HajiKlein-so1rk
    @HajiKlein-so1rk 7 дней назад +2

    🇹🇿🇹🇿🌹👏

  • @mawazoaliselemani
    @mawazoaliselemani 4 дня назад

    Karibu sana zipo nyingi.dakika nne😂

  • @edsonnelson4464
    @edsonnelson4464 6 дней назад

    Tunasubiri bei ya umeme ishuke, maaana mwanzilishi ambaye ni Jpm alisema bei itashuka ili tupikie umeme tuachane na mkaa

  • @omarybakunda2554
    @omarybakunda2554 7 дней назад +1

    Vumilia mm huwa ni shabiki yako sana natamani siku moja nikuone live. Mm na mke wangu.

  • @Madizizi
    @Madizizi 7 дней назад

    Kila siku 98% tumechoka kusubiri

  • @emmanuelmalifedha3391
    @emmanuelmalifedha3391 7 дней назад +1

    Hiyo mashine na tisa mbona inatoa 166.4MW? maana najua efficient haiwezi kuwa 100% but hiyo ni chini ya asilimia 70.... kuna nini hapo mtujuze kidogo

    • @matheobaha773
      @matheobaha773 7 дней назад

      Rpm yke n ndogo hata hivyo ukiangalia

    • @magorymara5515
      @magorymara5515 7 дней назад

      Kama siyo macho ya camera kushindwa kuonyesha ukubwa wa hicho kifaa basi nyie mtakuwa kuna jambo mmeliona ambalo lipo tofauti na ufafanuz wa jamaa

  • @daudimaniseli759
    @daudimaniseli759 2 дня назад

    AISEE NACHO ONA MM HAPO NI MITAMBO MINGI SANA.... AMBAYO NI YAKISASA KABISAA KAZI KUBWA SANA IMEFANYIKA ALLAH AWALIPE WEMA NA PEPO....MH.MAGUFULI UTAISHI SANA,,NIKI KUMBUKA MM ILE HUTUBA YA SIKU YA KWANZA LEO IMEKUWA KWELI MUNGU PEKEE NDIE ANAJUA CHA KULIPA,,PIA RAIS SAMIA HONGERA KWA HILO KAZI UMEIFANYA

  • @tanzcanmediatv4473
    @tanzcanmediatv4473 3 дня назад

    Jpm