Ila wewe Mwanachatto lala kwa amani baba, Mungu kwanini ulitunyang'anya Zawadi nzuri vilee Mungu wetu Why any way wewe ndo unajua madhumuni ya hili ulilolifanya sisi hatuna cha kufanya zaidi ya kukushikuru kwa yote
Hayo ni magugumaji, yanaelea juu ya maji. Mbinu nyingi zimetumika kujaribu kuyatokomeza lakini zimegonga mwamba. Ni tatizo la ziwa lote, pande zote yaani Kenya, Uganda na Tanzania hivyo yanahitaji mbinu shirikishi.
***Korogeshen ni kitu gani?Kiswahili hamjui?
Mwaka Jana tuliambiwa mwezi wa kumi 2023 sasa mmeongeza mwakwa mumoja na miezi miwili..😮tuombe tu uzima
pongezi kwa serikali kwa daraja la jpm bridge
Eng. Kaswaga kazi nzuri hongera sana@TRD SNG
Hakuna cha daraja LA magufuli ni daraja letu wananchi na kodi zetu tu sio mtu
Ila wewe Mwanachatto lala kwa amani baba, Mungu kwanini ulitunyang'anya Zawadi nzuri vilee Mungu wetu Why any way wewe ndo unajua madhumuni ya hili ulilolifanya sisi hatuna cha kufanya zaidi ya kukushikuru kwa yote
AMINA, AMINA AMINA.
Ma engineer km hawa wenye kutoka maelezo mazuri km hv wapo wachache sana Tz
Kumbe haya bana Tabasamu
JPM forever
Tunashukuru fikra za mtu na tunalaumu viongozi wazembe wa nchi hii kwa kutuchekewesha kutumia kodi zetu kwa maendeleo yetu
Miezi 18 =miaka mi4? Engineer umepigaje hapo?
Nawaombeni sana hayo majani yaliyo ota ziwani myatoe yanaharibu mwonekano wa daraja.
Hayo ni magugumaji, yanaelea juu ya maji. Mbinu nyingi zimetumika kujaribu kuyatokomeza lakini zimegonga mwamba. Ni tatizo la ziwa lote, pande zote yaani Kenya, Uganda na Tanzania hivyo yanahitaji mbinu shirikishi.
JP 🙏🏾
R. I. P JPM😢
Perfect