UJENZI DARAJA LA JP MAGUFULI (KIGONGO-BUSISI) KUKAMILIKA DESEMBA 30, MWAKA HUU

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 2 окт 2024

Комментарии • 17

  • @amirymdee4259
    @amirymdee4259 3 месяца назад

    ***Korogeshen ni kitu gani?Kiswahili hamjui?

  • @lilhydon452
    @lilhydon452 3 месяца назад +1

    Mwaka Jana tuliambiwa mwezi wa kumi 2023 sasa mmeongeza mwakwa mumoja na miezi miwili..😮tuombe tu uzima

  • @ShkiruIsmail
    @ShkiruIsmail 2 месяца назад

    pongezi kwa serikali kwa daraja la jpm bridge

  • @robertjerald317
    @robertjerald317 3 месяца назад +1

    Eng. Kaswaga kazi nzuri hongera sana@TRD SNG

  • @NixonJohnson-zn8nk
    @NixonJohnson-zn8nk 3 месяца назад

    Hakuna cha daraja LA magufuli ni daraja letu wananchi na kodi zetu tu sio mtu

  • @yustomwaisomania2587
    @yustomwaisomania2587 3 месяца назад +1

    Ila wewe Mwanachatto lala kwa amani baba, Mungu kwanini ulitunyang'anya Zawadi nzuri vilee Mungu wetu Why any way wewe ndo unajua madhumuni ya hili ulilolifanya sisi hatuna cha kufanya zaidi ya kukushikuru kwa yote

  • @eddechriss2664
    @eddechriss2664 3 месяца назад +1

    Ma engineer km hawa wenye kutoka maelezo mazuri km hv wapo wachache sana Tz

  • @omarybakunda2554
    @omarybakunda2554 3 месяца назад +1

    Kumbe haya bana Tabasamu

  • @dinoboyarnold661
    @dinoboyarnold661 3 месяца назад

    JPM forever

  • @NixonJohnson-zn8nk
    @NixonJohnson-zn8nk 3 месяца назад

    Tunashukuru fikra za mtu na tunalaumu viongozi wazembe wa nchi hii kwa kutuchekewesha kutumia kodi zetu kwa maendeleo yetu

  • @cyprianmwageni701
    @cyprianmwageni701 3 месяца назад

    Miezi 18 =miaka mi4? Engineer umepigaje hapo?

  • @omarybakunda2554
    @omarybakunda2554 3 месяца назад

    Nawaombeni sana hayo majani yaliyo ota ziwani myatoe yanaharibu mwonekano wa daraja.

    • @ulimbombonaulindi5088
      @ulimbombonaulindi5088 2 месяца назад

      Hayo ni magugumaji, yanaelea juu ya maji. Mbinu nyingi zimetumika kujaribu kuyatokomeza lakini zimegonga mwamba. Ni tatizo la ziwa lote, pande zote yaani Kenya, Uganda na Tanzania hivyo yanahitaji mbinu shirikishi.

  • @chanceshihana9491
    @chanceshihana9491 3 месяца назад

    JP 🙏🏾

  • @IbrahimMohamed-c3c
    @IbrahimMohamed-c3c 3 месяца назад

    R. I. P JPM😢

  • @TuntufyeBrayson
    @TuntufyeBrayson 3 месяца назад

    Perfect