Ijue mikoa kumi tajiri zaidi tanzania na vitega uchumi vyake

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 окт 2024
  • ‪@Wasafi_Media‬ ‪@TheChildhoodlifebyLilyGrace‬ ‪@TBJZL‬ ‪@triplestar3377‬ ‪@xCoelha‬ ‪@fadighazi‬ ‪@asofarmtz‬ ‪@onyaz‬

Комментарии • 271

  • @JamesKasomi
    @JamesKasomi 3 месяца назад +8

    Shinyanga ni tajiri sana, kuna madini, mifugo ya kutosha, mazao ya biashara yapo kama pamba,dengu, choroko na mazao ya chakula kama mpunga, mahindi, mtama mihogo.
    Pia Shinyanga ina watu walio na bidii ya kazi

  • @rozianazolanga4450
    @rozianazolanga4450 3 месяца назад +5

    Tanga ingekuwa ya kwanza kabisa! Iko safi sana kwa biashara! Tanga pokeeni maua yenu🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤

  • @mayungarichard7443
    @mayungarichard7443 3 месяца назад +32

    Shinyanga ilipaswa ishike nafasi ya pili, msiangalie majengo angalieni rasilimali zilizopo. Ila watu wake ni maskini sana, rasilimali zilizopo madini wanabeba wanapeleka ulaya ndo yanakojengwa maghorofa. Nafasi za ajira hawapewi wazawa, wanapewa wengine wanajenga kwao🇹🇿🇹🇿😮‍💨😭

    • @marthastephen6600
      @marthastephen6600 3 месяца назад

      Mbeya nayo ina madini mengi tu na yenye thamani huko chunya kwahyo ni sawa tu

    • @innocentchristopher7571
      @innocentchristopher7571 3 месяца назад +1

      Hv mwanza kwl iwe sawa na shy

    • @Jackjuneart_tz
      @Jackjuneart_tz 3 месяца назад +1

      Hata kongo ni nchi yenye utajili mkubwa lakini sio nchi tajiri zaidi Afrika

    • @SamweliDaudi-q7m
      @SamweliDaudi-q7m 3 месяца назад

      Wewe Jamaa itakuwa umesimliwa hizo taarifa Kwa haziendani na taarifa zako

    • @theblack_6754
      @theblack_6754 3 месяца назад

      Unaumwa mavi😂

  • @EvaristoMwasenga
    @EvaristoMwasenga 2 месяца назад +5

    Arusha ingeshika namba 2

  • @irenengowi8657
    @irenengowi8657 Месяц назад +1

    Uongooo uongoo uongo uongooo

  • @MichaelMaro-hj7yo
    @MichaelMaro-hj7yo 10 дней назад

    TRLION N BILION

  • @ZuenaMkuye
    @ZuenaMkuye День назад

    Hata usipotaja njombe yetu sisi tunajijua ni matajiri wakubwa sana chai yetu hujataja parachichi je mbao je makaa ya mawe je mikoa iliyotajwa mfano mbeya na Dar es salaam wapo na wakwetu wakinga

  • @janengaga2928
    @janengaga2928 3 месяца назад +6

    Mbeya ni kweli ipo juu kweli.ila Iringa hujasema na upo vizuri sana

    • @Mwl_Sanga
      @Mwl_Sanga 2 месяца назад

      Iringa Ina rasilimali lakini imepitwa na mingine

  • @Saikalyasi
    @Saikalyasi 3 месяца назад +4

    Mtafiti haujafka Mtwara ukaangalia mazngira na maendleo binafsi na uchumi wao,
    Wana ges,bandari na ardhi ya vilimo tofauti ikiwemo korosho,mpunga na ufuta na mahindi

    • @valentinetesha8536
      @valentinetesha8536 2 месяца назад

      mtwara ni moja ya mikoa maskini sana daah kuna sikitisha kwa kweli

    • @zainabzain3434
      @zainabzain3434 2 месяца назад

      Anzjuzima data wenyewe tunajua ila ipo siku atasema tu

    • @Munyama675
      @Munyama675 Месяц назад

      ​@@valentinetesha8536Katika mikoa masikini Mtwara haipo au unasema Mtwara ipi?

    • @bongoupdatestv9322
      @bongoupdatestv9322 Месяц назад

      ​@@valentinetesha8536😅😅

    • @Joycekahigi
      @Joycekahigi 25 дней назад

      😂​@@valentinetesha8536

  • @jacksonkihongosi2862
    @jacksonkihongosi2862 17 дней назад +1

    iringa ndio mwakilishi mkubwa kanda ya kusini
    mzalishaji mkuu wa uzalishaji wa mbao tz
    mzalishaji wa mahindi
    kiwanda kikubwa cha karatasi east africa ,mbuga kubwa tz,kilimo,uwekezeji etc.
    lakin hujaiweka hata kweny 10 bora fool!!!!😅😅

  • @STELLASAYE
    @STELLASAYE Месяц назад

    🎉❤❤❤❤ Shinyanga

  • @lilianluhasi311
    @lilianluhasi311 3 месяца назад +1

    Iringa tajiri kuliko bàadhi ya uliuotaja, tena mbaka wananchi wake. Wewe mwongo sana

  • @nehemiahmgawe975
    @nehemiahmgawe975 3 месяца назад +2

    Yupo sahihi kwa shinyanga,mji wa kahamatu uliopo shinyanga unaweza kuishinda hata baadhi ya mikoa mingine.

  • @daudinyello4033
    @daudinyello4033 2 месяца назад +1

    DODOMA mbali na kuwa Jiji lakini IPO KWENYE MIKOA YENYE WATU WENYE KIPATO CHA CHINI ikiwemo KAGERA, TABORA,KIGOMA NA SINGIDA ila IRINGA umeionea mana ipo top ten

  • @meshackmwalongo9798
    @meshackmwalongo9798 3 месяца назад

    Tunataka takwimu za 2023 2024 ruma na Njombe Njombe haiwezikuzidiwa na ruvuma

  • @elipidtesha5466
    @elipidtesha5466 22 дня назад

    Hakuna uk😊weli wa data zako babu

  • @ROZITHOMAS-y4q
    @ROZITHOMAS-y4q 2 месяца назад +1

    Huyu ameenda kwa mapato yanayopatikana inawezekana kweli

  • @ElishaMollel-ih3jq
    @ElishaMollel-ih3jq 3 месяца назад +2

    Ww hujawahi fika arusha nazani pita hv

    • @robertphilip385
      @robertphilip385 3 месяца назад

      Kwanza nomeshangaa eti shinyanga inaizidi Arusha hi twakim niyakitapeli asee

  • @gandeone1585
    @gandeone1585 3 месяца назад +9

    Arusha ,nilijua itashika nafas ya 3

    • @muremyi
      @muremyi 3 месяца назад

      Mikoa Arusha Una jiji moja to Arusha mikoa mbeya shinyanga Zili jiji zaidi moja jiji kubwa

    • @muremyi
      @muremyi 3 месяца назад

      Mikoa Arusha Una jiji moja to Arusha mikoa mbeya shinyanga Zili jiji zaidi moja jiji kubwa

    • @Aminmwansile-we8vn
      @Aminmwansile-we8vn 3 месяца назад

      Mashamba wee hujui hata kuandika kwa taarifa yako Arusha uchumi hamna hata Jiji la Arusha linashindwa kujiendesha kimapato

    • @GerardLaizzer
      @GerardLaizzer 3 месяца назад

      Arusha ni Jiji lenye Hela sana kuzid mbeya

    • @Aminmwansile-we8vn
      @Aminmwansile-we8vn 3 месяца назад

      @@GerardLaizzer wadanganye wasiojua au nenda kachukue takwimu za serikali za mapato ya majiji na mikoa ndipo utaelewa

  • @bishweko
    @bishweko 3 месяца назад +4

    Wagamba amazima aho.

  • @AbdulrazakEddy-ub3zh
    @AbdulrazakEddy-ub3zh 10 дней назад

    Hkuna kitu ulichosema wew ni muongo hjui takwimu yoyot

  • @LeakeyKanyamaha
    @LeakeyKanyamaha 3 месяца назад +1

    Kagera kahawa

  • @cyrilmtei700
    @cyrilmtei700 2 месяца назад +1

    😂😂😂 Arusha hata 5 bora haipo😮

  • @KelvinWalioba
    @KelvinWalioba 14 дней назад

    Duuh hii ndo nchi ya bongo taarfa za uongo siasa nying

  • @AlvaroSammiryMwansana
    @AlvaroSammiryMwansana Месяц назад

    Ni kweli au unatuchora uenda upo sawa

  • @emanueliurio-o4k
    @emanueliurio-o4k Месяц назад

    Duuh nilijua Arusha inashika top 3

  • @AllyMohammed-nv5sj
    @AllyMohammed-nv5sj 3 месяца назад +2

    Takwimu zako siyo sahihi kabisa Wacha uongo unapotoshosa

  • @JofreyTito-g1i
    @JofreyTito-g1i 22 дня назад

    😢😢😢😢 takwim mchemko shy, ya pili

  • @LUDOVICKMrosso
    @LUDOVICKMrosso 2 месяца назад +1

    Hamna kitu

  • @MauriceMwilapwa
    @MauriceMwilapwa 3 месяца назад +1

    Siyo mikoa. Sema miji

  • @eliasharun3273
    @eliasharun3273 3 месяца назад

    Shinyanga ni Tajiri sana,tena kungekuwa na usimamizi mzuri wa maliasili ya madini ungeongoza kwa kuchangia mapato nchini.Kuna Almasi hakuna mkoa mwingine wenye Almasi nchini Tanzania.Dhahabu nyingi Kahama.Mgodi wa Buzwagi ndiyo unaongoza kutoa Dhahabu nchini Tz upo Kahama Shy.Asilimia 50% ya mapato ya nchi inatokana na madini.na madini mengi yapo Shy

  • @GoodluckMushy
    @GoodluckMushy Месяц назад

    Kichaa ww

  • @costofamily4861
    @costofamily4861 3 месяца назад +2

    Takwimu za ovyo sana, hizi

  • @omarybakunda2554
    @omarybakunda2554 3 месяца назад

    Uko sawa mwandishi

  • @allymbarouk5362
    @allymbarouk5362 Месяц назад

    Mtafiti hajatembea

  • @GoodluckMushy
    @GoodluckMushy 3 месяца назад +2

    Unavuta bangi sana

  • @hassanomary9825
    @hassanomary9825 3 месяца назад +1

    Dodoma haipo

  • @juliusdaniel3705
    @juliusdaniel3705 3 месяца назад

    Manyara unaiachaje Kwa mfano,,tafiti haipo sawa.sisi tunalima Hadi tunakosa pa kupeleka,weka na TANZANITE

  • @CharlesNzalia
    @CharlesNzalia 4 месяца назад +1

    Awap

  • @JohnMasatu-oj5mj
    @JohnMasatu-oj5mj 3 месяца назад

    Kweli Shinyanga inazidi Kwa maana inarasilimali nyingi mfano madini 😊

  • @johansonmonyo3898
    @johansonmonyo3898 3 месяца назад +1

    Siyo kweli!!

  • @helmanmhanga4905
    @helmanmhanga4905 3 месяца назад +3

    Karibu Iringa mkuu

    • @JojiMganga
      @JojiMganga Месяц назад

      Dodoma kumbe nawenyewe ni mkoa masikini Tz

  • @yohanaraphael1922
    @yohanaraphael1922 25 дней назад

    Wewe mtangazaji ni fala hujui billion na tirion kahama peke yake mapato ya ndani anakusanya billion 12 umechochora ndg sema tirion sio bilion mkoa hauwezi kukusanya billion mlionielewa nipeni like zangu

  • @CassimEmanuel
    @CassimEmanuel 2 месяца назад

    Jaman tumsikilize

  • @zephaniachallo6260
    @zephaniachallo6260 Месяц назад

    Liongo

  • @careemdulla1629
    @careemdulla1629 2 месяца назад

    Hapo kapatia Dar pekeake ...

  • @MzeeMkoloni
    @MzeeMkoloni 3 месяца назад

    Data hizo sio sahihi

  • @JohnMasatu-oj5mj
    @JohnMasatu-oj5mj 3 месяца назад +1

    😮 kweli Shinyanga inazidi Arusha na tanga

    • @magigesabai8674
      @magigesabai8674 2 месяца назад

      ndio unaijua kahama na madini yake ?

  • @johnsonfrank2643
    @johnsonfrank2643 20 дней назад

    Kutoiweka Arusha top3 hapo umefel

  • @MosesMayun
    @MosesMayun Месяц назад

    Vp kuhusu arusha

  • @EstherJulius-cv9tk
    @EstherJulius-cv9tk 3 месяца назад

    Acah uongo wee mjinga aisee

  • @gilbertuisso3385
    @gilbertuisso3385 26 дней назад

    Nikajua Tanga haipo niandamane🎉

  • @eddyngaga873
    @eddyngaga873 2 месяца назад

    😂😂😂 KAFANYE TAFITI PUMBAVU.

  • @SeleJackson
    @SeleJackson Месяц назад

    Arusha wa jana yule

  • @EvaristoMwasenga
    @EvaristoMwasenga 2 месяца назад

    Uyu kuuma arudishe MB zetu

  • @GodwinKwacha
    @GodwinKwacha 2 месяца назад

    We muhaya acha utapeli😂

  • @johansonmonyo3898
    @johansonmonyo3898 3 месяца назад +1

    Utafiti huo unatilia shaka,

  • @musaeliasi
    @musaeliasi 4 месяца назад +2

    usitudanganye arusha vp

    • @DudddyWhyCant
      @DudddyWhyCant 3 месяца назад

      Arusha inategemea kitega uchumi kipi? Kanda ya ziwa kuna ziwa, madini, ufugaji n.k

  • @japhetmichael2270
    @japhetmichael2270 14 дней назад

    Ndugu mtafiti umetupiga

  • @peterphilipo31
    @peterphilipo31 Месяц назад

    Mbona ndg mwandishi hujaelezea kwa kina kuhusu huo utajiri kwa kutoa mifano ya rasilimali zinazopatikana katika mkoa husika kwan unatakiwa utaje pamoja na kipato chake kwa kila rasilimali na inachangia kwa asilimia ngapi?

  • @JanualiusSiriyamungu
    @JanualiusSiriyamungu 25 дней назад

    Bukoba yangap ??❤

  • @bayekefarijala5042
    @bayekefarijala5042 3 месяца назад +3

    Shillingi bilioni?😅😅😅😊
    Hiyo si ni hela ya kujenga km 2 za lami tu

  • @zephaniachallo6260
    @zephaniachallo6260 Месяц назад

    Dodoma

  • @DenisMdemu-wc6cv
    @DenisMdemu-wc6cv 3 месяца назад +2

    Ajabu sana hii iringa unaacha wap ety ruvuma mwandish huna jipya

    • @nazarethally9509
      @nazarethally9509 3 месяца назад

      Kwani we unahisi kinaangaliwa nini me nafikiria wanaangalia pato la halmashauri husika hivyo ruvuma lazima itaizidi iringa coz ruvuma kuna kilimo kikubwa zaidi ya iringa pia kuna mgodi mkubwa wa makaa ya mawe ukilinganisha na iringa

    • @DenisMdemu-wc6cv
      @DenisMdemu-wc6cv 3 месяца назад

      @@nazarethally9509 mim siwez pinga ila kiukweli hizo takwimu ni za uongo kabxaaa amin usiamin an mimi ni mtu wa ruvuma tena songea hapa mji mwema akin kusema takwimu za songea zizid mkoa ule.wa iringa ni uongo kabxaa iringa kuna vivutio vingi sana vya utalii tena ni zaid ya vivutio kwamba hivyo haangaliwi an mm naweza sema takwimu hizi ni za uongo bwana kak amin usiamini

  • @viatorymkama8925
    @viatorymkama8925 3 месяца назад

    Inatia mashaka

  • @GoodluckMushy
    @GoodluckMushy 3 месяца назад

    Ww ni mpumbavu

  • @AlfredMapile
    @AlfredMapile Месяц назад

    Ruvuma!

  • @sarahkingunza1516
    @sarahkingunza1516 3 месяца назад

    Takwimu yake sahihi

  • @EvaristoMwasenga
    @EvaristoMwasenga 2 месяца назад

    Mbwa muongo sana uyuu duh atA kama hna D atA Moja

  • @PetroMorice
    @PetroMorice 25 дней назад

    Singapore namba 3 mm nimexema dengu kama kawa

  • @ShukuruLazaro
    @ShukuruLazaro Месяц назад

    Arusha imebaki unasema shenyang mala shinyanga

  • @emmanuelnnko-dv1th
    @emmanuelnnko-dv1th 3 месяца назад

    Akuna kitu sijui izo tarifa kapata wap

  • @theobahatkisakisa177
    @theobahatkisakisa177 3 месяца назад +1

    Arusha inawezaje kukosejana 3 Bora?

  • @barakamalanga4977
    @barakamalanga4977 2 месяца назад +1

    Njombe ya ngapi ? Acha usengelema

  • @ezekielmabwai482
    @ezekielmabwai482 3 месяца назад

    Utafiti wa kishamba! JINGA KABISA PUMBAVU! Shinyanga katika umaskini unafika nafasi ya 2

  • @jihnmshamba
    @jihnmshamba Месяц назад

    mkoa wa lindi

  • @YOHANAOLEKIBUDA
    @YOHANAOLEKIBUDA 3 месяца назад +2

    Mwandishi hajuwi kitu chochote

  • @frankurio9906
    @frankurio9906 3 месяца назад

    Mwandishi hujui chochote takwimu za uongo kabisha

    • @jrsaid4270
      @jrsaid4270 3 месяца назад

      Leta zako zilizosahihi tuone

  • @halimamathew285
    @halimamathew285 8 дней назад

    Umechemka
    Arusha
    Ingeshikq.nafasi.yq.pili.unajuwa.inamadini
    Adhimu

    • @Aminmwansile-we8vn
      @Aminmwansile-we8vn 6 дней назад

      Arusha hamna mapato hata Jiji la Arusha linashindwa kujiendesha

  • @Faridagongo
    @Faridagongo 3 месяца назад

    Tujuzeni yote mikoa yetu tujue upi wa mwisho na kwa sababu zipi

  • @protamwenyegzaketv7408
    @protamwenyegzaketv7408 3 месяца назад

    Duuuuuuh sijui ila nitakuwepo

  • @QasammaMachibya
    @QasammaMachibya 3 месяца назад +2

    yukosahihi?unachonga nawelete utaftiwako

  • @jamesmzaki6041
    @jamesmzaki6041 3 месяца назад

    Morogoro ilitakiwa isogee sogee kidogo maana biashara,ufugaji,kilimo na uchimbaji wa madini kama dhahabu,ruby,ulanga,fieldspar,rodillite n.k bado kuna hifadhi kubwa tatu ambazo ni Mikumi, Udzungwa na Nyerere.

  • @MahdouMomba
    @MahdouMomba 3 месяца назад +3

    Sasa huo utajiri inabidi serikali uutumie kutuletea mabadiliko chanya katika sekta mbali mbali, watanzania wapate afya bora, elimu bora, umeme na mabadiliko mengine chanya kwa watu wake

  • @TOGOLANIDICKSON
    @TOGOLANIDICKSON 2 месяца назад

    Uongo unapenda, ukweli aaah

  • @golebenson4597
    @golebenson4597 3 месяца назад

    😂😂shinyanga tene

    • @gregorybakuza5796
      @gregorybakuza5796 3 месяца назад

      Shinyanga mkoa tajiri sana, una machimbo kibao ya madini yanayouingizia mkoa mabilioni ya tsh.

  • @BenjaminNduuni
    @BenjaminNduuni 3 месяца назад +1

    We ujielewi unaacha wp chuga kwa mfano

  • @JosiaRubali
    @JosiaRubali 26 дней назад

    Kigoma ya ngap

  • @valentinetesha8536
    @valentinetesha8536 2 месяца назад +3

    huyu fala yani tanga kuna uchumi mkubwa kuliko arusha ??

  • @stellatemu2458
    @stellatemu2458 3 месяца назад

    Uongo

  • @MohamediMussa-fu3ld
    @MohamediMussa-fu3ld 3 месяца назад +1

    hizi pesa zinaenda wapii

  • @sifaphilip8258
    @sifaphilip8258 3 месяца назад

    Hayo nimawazo yako ila sikweli

  • @irenengowi8657
    @irenengowi8657 Месяц назад +1

    Arusha no 2 na mwanza ni no 3

    • @Mwakakabera
      @Mwakakabera 26 дней назад

      Arusha haiwezi kuiona mwanza kwa kila kitu ukianzia uzuri,utajiri Nk

    • @khatibabdallah6185
      @khatibabdallah6185 12 дней назад

      Kwa mujibu wa tafiti nyingi arusha inazidiwa hd na iringa, kwa kuwa mapato ya arusha yanasomewa dar, kwa maana wawekezaji wengi wa arusha wanatokea dar

  • @MataroJoel
    @MataroJoel 2 месяца назад

    Zanzibar sio Tanzania! Au hapo kwenye 10?

  • @MatokeoKakulu
    @MatokeoKakulu Месяц назад

    na mm nilijua hivyo

  • @stellatemu2458
    @stellatemu2458 3 месяца назад

    Hujui kitu

  • @SalimHassan-w3d
    @SalimHassan-w3d 26 дней назад

    Uwong huna ulipo kwend kufany utafti

  • @kharashbabar7393
    @kharashbabar7393 3 месяца назад +1

    Ukweli nauhalisia kihaki.....kamasioubatilifu wakisiasa basi Arusha, Moshi na Tanga....hii ndiomikoa iliopaswa iwe nitajiri zaidi nihii....kwavipi....utali...kilimo na madini....mikoa hii ndio ilioibeba Tanzania nzima kwamadini

    • @guyisaac8325
      @guyisaac8325 3 месяца назад

      Una matatizo ya kiakiri Mkuu ,,inabidi ukapimwe

  • @محمدالقايد-د6ب
    @محمدالقايد-د6ب 2 месяца назад

    Arusha ingetakiwa iwe ya pili

  • @SalvatoryMtunga
    @SalvatoryMtunga 3 месяца назад +4

    Dar watu zaidi ya 7m.

    • @Ranaimuye
      @Ranaimuye 3 месяца назад +1

      Tz ipo katika kundi la nchi masikini. Iweje iwe na mikoa tajiri?

    • @yohanaraphael1922
      @yohanaraphael1922 25 дней назад

      Kwa mujibu wa sensa yako ya macho kwa kuangalia daladala zinavyojaza watu