Shinyanga ni tajiri sana, kuna madini, mifugo ya kutosha, mazao ya biashara yapo kama pamba,dengu, choroko na mazao ya chakula kama mpunga, mahindi, mtama mihogo. Pia Shinyanga ina watu walio na bidii ya kazi
Shinyanga ilipaswa ishike nafasi ya pili, msiangalie majengo angalieni rasilimali zilizopo. Ila watu wake ni maskini sana, rasilimali zilizopo madini wanabeba wanapeleka ulaya ndo yanakojengwa maghorofa. Nafasi za ajira hawapewi wazawa, wanapewa wengine wanajenga kwao🇹🇿🇹🇿😮💨😭
Hata usipotaja njombe yetu sisi tunajijua ni matajiri wakubwa sana chai yetu hujataja parachichi je mbao je makaa ya mawe je mikoa iliyotajwa mfano mbeya na Dar es salaam wapo na wakwetu wakinga
Mtafiti haujafka Mtwara ukaangalia mazngira na maendleo binafsi na uchumi wao, Wana ges,bandari na ardhi ya vilimo tofauti ikiwemo korosho,mpunga na ufuta na mahindi
iringa ndio mwakilishi mkubwa kanda ya kusini mzalishaji mkuu wa uzalishaji wa mbao tz mzalishaji wa mahindi kiwanda kikubwa cha karatasi east africa ,mbuga kubwa tz,kilimo,uwekezeji etc. lakin hujaiweka hata kweny 10 bora fool!!!!😅😅
DODOMA mbali na kuwa Jiji lakini IPO KWENYE MIKOA YENYE WATU WENYE KIPATO CHA CHINI ikiwemo KAGERA, TABORA,KIGOMA NA SINGIDA ila IRINGA umeionea mana ipo top ten
Shinyanga ni Tajiri sana,tena kungekuwa na usimamizi mzuri wa maliasili ya madini ungeongoza kwa kuchangia mapato nchini.Kuna Almasi hakuna mkoa mwingine wenye Almasi nchini Tanzania.Dhahabu nyingi Kahama.Mgodi wa Buzwagi ndiyo unaongoza kutoa Dhahabu nchini Tz upo Kahama Shy.Asilimia 50% ya mapato ya nchi inatokana na madini.na madini mengi yapo Shy
Wewe mtangazaji ni fala hujui billion na tirion kahama peke yake mapato ya ndani anakusanya billion 12 umechochora ndg sema tirion sio bilion mkoa hauwezi kukusanya billion mlionielewa nipeni like zangu
Mbona ndg mwandishi hujaelezea kwa kina kuhusu huo utajiri kwa kutoa mifano ya rasilimali zinazopatikana katika mkoa husika kwan unatakiwa utaje pamoja na kipato chake kwa kila rasilimali na inachangia kwa asilimia ngapi?
Kwani we unahisi kinaangaliwa nini me nafikiria wanaangalia pato la halmashauri husika hivyo ruvuma lazima itaizidi iringa coz ruvuma kuna kilimo kikubwa zaidi ya iringa pia kuna mgodi mkubwa wa makaa ya mawe ukilinganisha na iringa
@@nazarethally9509 mim siwez pinga ila kiukweli hizo takwimu ni za uongo kabxaaa amin usiamin an mimi ni mtu wa ruvuma tena songea hapa mji mwema akin kusema takwimu za songea zizid mkoa ule.wa iringa ni uongo kabxaa iringa kuna vivutio vingi sana vya utalii tena ni zaid ya vivutio kwamba hivyo haangaliwi an mm naweza sema takwimu hizi ni za uongo bwana kak amin usiamini
Morogoro ilitakiwa isogee sogee kidogo maana biashara,ufugaji,kilimo na uchimbaji wa madini kama dhahabu,ruby,ulanga,fieldspar,rodillite n.k bado kuna hifadhi kubwa tatu ambazo ni Mikumi, Udzungwa na Nyerere.
Sasa huo utajiri inabidi serikali uutumie kutuletea mabadiliko chanya katika sekta mbali mbali, watanzania wapate afya bora, elimu bora, umeme na mabadiliko mengine chanya kwa watu wake
Kwa mujibu wa tafiti nyingi arusha inazidiwa hd na iringa, kwa kuwa mapato ya arusha yanasomewa dar, kwa maana wawekezaji wengi wa arusha wanatokea dar
Ukweli nauhalisia kihaki.....kamasioubatilifu wakisiasa basi Arusha, Moshi na Tanga....hii ndiomikoa iliopaswa iwe nitajiri zaidi nihii....kwavipi....utali...kilimo na madini....mikoa hii ndio ilioibeba Tanzania nzima kwamadini
Shinyanga ni tajiri sana, kuna madini, mifugo ya kutosha, mazao ya biashara yapo kama pamba,dengu, choroko na mazao ya chakula kama mpunga, mahindi, mtama mihogo.
Pia Shinyanga ina watu walio na bidii ya kazi
Almas pia
Tanga ingekuwa ya kwanza kabisa! Iko safi sana kwa biashara! Tanga pokeeni maua yenu🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤
Shinyanga ilipaswa ishike nafasi ya pili, msiangalie majengo angalieni rasilimali zilizopo. Ila watu wake ni maskini sana, rasilimali zilizopo madini wanabeba wanapeleka ulaya ndo yanakojengwa maghorofa. Nafasi za ajira hawapewi wazawa, wanapewa wengine wanajenga kwao🇹🇿🇹🇿😮💨😭
Mbeya nayo ina madini mengi tu na yenye thamani huko chunya kwahyo ni sawa tu
Hv mwanza kwl iwe sawa na shy
Hata kongo ni nchi yenye utajili mkubwa lakini sio nchi tajiri zaidi Afrika
Wewe Jamaa itakuwa umesimliwa hizo taarifa Kwa haziendani na taarifa zako
Unaumwa mavi😂
Arusha ingeshika namba 2
Uongooo uongoo uongo uongooo
TRLION N BILION
Hata usipotaja njombe yetu sisi tunajijua ni matajiri wakubwa sana chai yetu hujataja parachichi je mbao je makaa ya mawe je mikoa iliyotajwa mfano mbeya na Dar es salaam wapo na wakwetu wakinga
Mbeya ni kweli ipo juu kweli.ila Iringa hujasema na upo vizuri sana
Iringa Ina rasilimali lakini imepitwa na mingine
Mtafiti haujafka Mtwara ukaangalia mazngira na maendleo binafsi na uchumi wao,
Wana ges,bandari na ardhi ya vilimo tofauti ikiwemo korosho,mpunga na ufuta na mahindi
mtwara ni moja ya mikoa maskini sana daah kuna sikitisha kwa kweli
Anzjuzima data wenyewe tunajua ila ipo siku atasema tu
@@valentinetesha8536Katika mikoa masikini Mtwara haipo au unasema Mtwara ipi?
@@valentinetesha8536😅😅
😂@@valentinetesha8536
iringa ndio mwakilishi mkubwa kanda ya kusini
mzalishaji mkuu wa uzalishaji wa mbao tz
mzalishaji wa mahindi
kiwanda kikubwa cha karatasi east africa ,mbuga kubwa tz,kilimo,uwekezeji etc.
lakin hujaiweka hata kweny 10 bora fool!!!!😅😅
🎉❤❤❤❤ Shinyanga
Iringa tajiri kuliko bàadhi ya uliuotaja, tena mbaka wananchi wake. Wewe mwongo sana
Yupo sahihi kwa shinyanga,mji wa kahamatu uliopo shinyanga unaweza kuishinda hata baadhi ya mikoa mingine.
DODOMA mbali na kuwa Jiji lakini IPO KWENYE MIKOA YENYE WATU WENYE KIPATO CHA CHINI ikiwemo KAGERA, TABORA,KIGOMA NA SINGIDA ila IRINGA umeionea mana ipo top ten
Tunataka takwimu za 2023 2024 ruma na Njombe Njombe haiwezikuzidiwa na ruvuma
Hakuna uk😊weli wa data zako babu
Huyu ameenda kwa mapato yanayopatikana inawezekana kweli
Ww hujawahi fika arusha nazani pita hv
Kwanza nomeshangaa eti shinyanga inaizidi Arusha hi twakim niyakitapeli asee
Arusha ,nilijua itashika nafas ya 3
Mikoa Arusha Una jiji moja to Arusha mikoa mbeya shinyanga Zili jiji zaidi moja jiji kubwa
Mikoa Arusha Una jiji moja to Arusha mikoa mbeya shinyanga Zili jiji zaidi moja jiji kubwa
Mashamba wee hujui hata kuandika kwa taarifa yako Arusha uchumi hamna hata Jiji la Arusha linashindwa kujiendesha kimapato
Arusha ni Jiji lenye Hela sana kuzid mbeya
@@GerardLaizzer wadanganye wasiojua au nenda kachukue takwimu za serikali za mapato ya majiji na mikoa ndipo utaelewa
Wagamba amazima aho.
Hkuna kitu ulichosema wew ni muongo hjui takwimu yoyot
Kagera kahawa
😂😂😂 Arusha hata 5 bora haipo😮
Duuh hii ndo nchi ya bongo taarfa za uongo siasa nying
Ni kweli au unatuchora uenda upo sawa
Duuh nilijua Arusha inashika top 3
Takwimu zako siyo sahihi kabisa Wacha uongo unapotoshosa
Leta zako zilizosahihi tuone
@@jrsaid4270 umedanganya mmno
😢😢😢😢 takwim mchemko shy, ya pili
Hamna kitu
Siyo mikoa. Sema miji
Shinyanga ni Tajiri sana,tena kungekuwa na usimamizi mzuri wa maliasili ya madini ungeongoza kwa kuchangia mapato nchini.Kuna Almasi hakuna mkoa mwingine wenye Almasi nchini Tanzania.Dhahabu nyingi Kahama.Mgodi wa Buzwagi ndiyo unaongoza kutoa Dhahabu nchini Tz upo Kahama Shy.Asilimia 50% ya mapato ya nchi inatokana na madini.na madini mengi yapo Shy
Kichaa ww
Takwimu za ovyo sana, hizi
Uko sawa mwandishi
Mtafiti hajatembea
Unavuta bangi sana
Dodoma haipo
Manyara unaiachaje Kwa mfano,,tafiti haipo sawa.sisi tunalima Hadi tunakosa pa kupeleka,weka na TANZANITE
Awap
Kweli Shinyanga inazidi Kwa maana inarasilimali nyingi mfano madini 😊
Siyo kweli!!
Karibu Iringa mkuu
Dodoma kumbe nawenyewe ni mkoa masikini Tz
Wewe mtangazaji ni fala hujui billion na tirion kahama peke yake mapato ya ndani anakusanya billion 12 umechochora ndg sema tirion sio bilion mkoa hauwezi kukusanya billion mlionielewa nipeni like zangu
Jaman tumsikilize
Liongo
Hapo kapatia Dar pekeake ...
Data hizo sio sahihi
😮 kweli Shinyanga inazidi Arusha na tanga
ndio unaijua kahama na madini yake ?
Kutoiweka Arusha top3 hapo umefel
Vp kuhusu arusha
Acah uongo wee mjinga aisee
Nikajua Tanga haipo niandamane🎉
😂😂😂 KAFANYE TAFITI PUMBAVU.
Arusha wa jana yule
Uyu kuuma arudishe MB zetu
We muhaya acha utapeli😂
Utafiti huo unatilia shaka,
usitudanganye arusha vp
Arusha inategemea kitega uchumi kipi? Kanda ya ziwa kuna ziwa, madini, ufugaji n.k
Ndugu mtafiti umetupiga
Mbona ndg mwandishi hujaelezea kwa kina kuhusu huo utajiri kwa kutoa mifano ya rasilimali zinazopatikana katika mkoa husika kwan unatakiwa utaje pamoja na kipato chake kwa kila rasilimali na inachangia kwa asilimia ngapi?
Bukoba yangap ??❤
Shillingi bilioni?😅😅😅😊
Hiyo si ni hela ya kujenga km 2 za lami tu
😂😂😂
Dodoma
Ajabu sana hii iringa unaacha wap ety ruvuma mwandish huna jipya
Kwani we unahisi kinaangaliwa nini me nafikiria wanaangalia pato la halmashauri husika hivyo ruvuma lazima itaizidi iringa coz ruvuma kuna kilimo kikubwa zaidi ya iringa pia kuna mgodi mkubwa wa makaa ya mawe ukilinganisha na iringa
@@nazarethally9509 mim siwez pinga ila kiukweli hizo takwimu ni za uongo kabxaaa amin usiamin an mimi ni mtu wa ruvuma tena songea hapa mji mwema akin kusema takwimu za songea zizid mkoa ule.wa iringa ni uongo kabxaa iringa kuna vivutio vingi sana vya utalii tena ni zaid ya vivutio kwamba hivyo haangaliwi an mm naweza sema takwimu hizi ni za uongo bwana kak amin usiamini
Inatia mashaka
Ww ni mpumbavu
Ruvuma!
Takwimu yake sahihi
Mbwa muongo sana uyuu duh atA kama hna D atA Moja
Singapore namba 3 mm nimexema dengu kama kawa
Arusha imebaki unasema shenyang mala shinyanga
Akuna kitu sijui izo tarifa kapata wap
Arusha inawezaje kukosejana 3 Bora?
Njombe ya ngapi ? Acha usengelema
Utafiti wa kishamba! JINGA KABISA PUMBAVU! Shinyanga katika umaskini unafika nafasi ya 2
mkoa wa lindi
Mwandishi hajuwi kitu chochote
Toa takwimu zako tuzione
Mwandishi hujui chochote takwimu za uongo kabisha
Leta zako zilizosahihi tuone
Umechemka
Arusha
Ingeshikq.nafasi.yq.pili.unajuwa.inamadini
Adhimu
Arusha hamna mapato hata Jiji la Arusha linashindwa kujiendesha
Tujuzeni yote mikoa yetu tujue upi wa mwisho na kwa sababu zipi
Duuuuuuh sijui ila nitakuwepo
yukosahihi?unachonga nawelete utaftiwako
Morogoro ilitakiwa isogee sogee kidogo maana biashara,ufugaji,kilimo na uchimbaji wa madini kama dhahabu,ruby,ulanga,fieldspar,rodillite n.k bado kuna hifadhi kubwa tatu ambazo ni Mikumi, Udzungwa na Nyerere.
Sasa huo utajiri inabidi serikali uutumie kutuletea mabadiliko chanya katika sekta mbali mbali, watanzania wapate afya bora, elimu bora, umeme na mabadiliko mengine chanya kwa watu wake
Uongo unapenda, ukweli aaah
😂😂shinyanga tene
Shinyanga mkoa tajiri sana, una machimbo kibao ya madini yanayouingizia mkoa mabilioni ya tsh.
We ujielewi unaacha wp chuga kwa mfano
Kigoma ya ngap
huyu fala yani tanga kuna uchumi mkubwa kuliko arusha ??
Arusha ina nini mkoa unategemea utalii
We ndo huelewi.
Punguzeni wizi ili kipato kieleweke, Arusha kuna nn??
Uongo
hizi pesa zinaenda wapii
Hayo nimawazo yako ila sikweli
Arusha no 2 na mwanza ni no 3
Arusha haiwezi kuiona mwanza kwa kila kitu ukianzia uzuri,utajiri Nk
Kwa mujibu wa tafiti nyingi arusha inazidiwa hd na iringa, kwa kuwa mapato ya arusha yanasomewa dar, kwa maana wawekezaji wengi wa arusha wanatokea dar
Zanzibar sio Tanzania! Au hapo kwenye 10?
na mm nilijua hivyo
Hujui kitu
Uwong huna ulipo kwend kufany utafti
Ukweli nauhalisia kihaki.....kamasioubatilifu wakisiasa basi Arusha, Moshi na Tanga....hii ndiomikoa iliopaswa iwe nitajiri zaidi nihii....kwavipi....utali...kilimo na madini....mikoa hii ndio ilioibeba Tanzania nzima kwamadini
Una matatizo ya kiakiri Mkuu ,,inabidi ukapimwe
Arusha ingetakiwa iwe ya pili
Dar watu zaidi ya 7m.
Tz ipo katika kundi la nchi masikini. Iweje iwe na mikoa tajiri?
Kwa mujibu wa sensa yako ya macho kwa kuangalia daladala zinavyojaza watu