Ila Mimi naona Mungu tumpe nafasi ila kama Kuna mkono wa mtu wa kishetani Na Mungu ampe adhabu inayo staili Haina kutubu mana ametuferisha Watanzania wengi AMINA.
Makatili na wampambe wawo wamezulumu taifa la TZ na watz lakini Siku yakiama ambao inakaribia kila aliosika namauaji wa Hayati Magufuli atajitetea mbele yamungu yalale Salama hapo alipo jembe la watz amen
Hakika hayati Rais Magufuli ameibadilisha sana nchi yetu , ameitendea haki Tanzania, wananchi tulio wengi tulimpenda sana Rais wetu Magufuli, hakika bado Tunalia sana , alimpenda Mungu, aliipenda nchi yake na alitupenda sana wananchi wake, nani kama Magufuli? Moyo unauma sana. Ndani ya miaka 5 tu ya uongozi wake maendeleo ya nchi ni kama miaka 20. Je angefika miaka 10 hakika tungefika mbali,
Zote kalii Sana Sana ya dar lkn muonekano zote nzuri mnoo na nmependa Sanaa kuwpo Kama Moll kila stand inajitosheleza na kila kitu mtu akifika anawza kubook hotel akalala akanunua anaxhotaka apo apo yan iko powa😍😍the kila mwaka ilikua kinatoka kitu naimani In Sha Allah tutajenga vingi zaid kwa muda mchache na imara
Kizuri kweli hakidumu ,,Sasa hv Hela imerudi ilikotoka ,,,ila hata mama anapambana sana tumpe mda ,,,maana walianzisha wote na yeye anamalizia ujenzi uliokuwa bado haukukamilika ,,tuna viongoz wazuri sema tunataka matokeo ya haraka sana
@@kabwelasutiviraka4765 Kwan alotoa Hela zake mfukon Hela zlikua za watanzania huo ulikua wajibu wake kama kikwete alivojenga shule za kata Nchi nzma xo usiwe na ushabiki na kiongozi Fulani viongozi wote walopita wamefany meng Mazur
@@thomasbutingo17 hamna chochote fisadi Kikwete na zero brain huyu bibi tozo, JPM amefanya makubwa sana na kazi zake ziko kila sehemu hamuwezi kupoteza legacy yake! Yule mwanamapinduzi aligusa kila sehemu alijenga kila sehemu , ona uongozi wa ovyo wa muimba taarabu hamna chochote cha maana na hamna mradi wowote wa maana atakao uacha kama legacy yake
Tutakukumbuka kaka maguu kwa utumishi wako uliotukuka Leo hii imebackia magofu akuna kinacho endelea zaaid ya rushwa kila kona mbaya zaid kaka magufuli kuna ili jeshi LA polisi uchwara wanapokea rushwa bila adabu bila hofu wanakamata pikipiki za watumishi wanaenda kuwatoza faini za kijambazi faini 75000 upewi risiti wanachofanya wana record kwenye dafitari jioni wanakuja kugawana maeneo ya ana togo
Magufuli alifanya kazi nzuri sana 🙏😍🥰🥰😘😘
Mungu akuangazie mwanga wa milele baba yetu
Magufuli tutakukumbuka daima ungekuepo hivi vitu nakwetu tungevipata.mungu ailaze roho yako mahali pema namwanga wamilele ukuangaze amina.
We ukowap
🎉
johar matawa
As a Kenyan this is the best in East and Central Africa.
Mungu akulaze mahali pema baba yetu Kwan hatutapata raisi kama ww tena mpk Dunia insisha
Ila Mimi naona Mungu tumpe nafasi ila kama Kuna mkono wa mtu wa kishetani Na Mungu ampe adhabu inayo staili Haina kutubu mana ametuferisha Watanzania wengi AMINA.
Magufuli mungu akubariki baba angu huko uliko inaniuma sana nitakukumbuka daima mirere😢
zote nnzuli sana mungu akulaze mahala pema mzee wetu joni pombe magufuli tutalukumbuka daima mzee wawanyonge
Mwenye ndoto alilala na ndoto yake pengine angekuwepo tungekaribia kufika Ile nchi aliyokuwa akiota sikuzote endelea kupumnzika kwa amani jembe 😢😢
Makatili na wampambe wawo wamezulumu taifa la TZ na watz lakini Siku yakiama ambao inakaribia kila aliosika namauaji wa Hayati Magufuli atajitetea mbele yamungu yalale Salama hapo alipo jembe la watz amen
Magufili juu"ungelikuepo Tz ingekuwa ulaya" pumzika kwa Amani baba"sifa zikufikie huko uliko"
Alikuwa raisi wa afrika mzee wetu magufuli lala salama tutakukumbuka kwa mengi uliyoyafanya
Ya dar na mwanza mashallah ❤🥰🥰🇴🇲👌
We si wa mwanza kama mm
2mpoteza mtu mzima kabisa afrika nzima
Magufuli hakika alifanya kazi!!
Hakika hayati Rais Magufuli ameibadilisha sana nchi yetu , ameitendea haki Tanzania, wananchi tulio wengi tulimpenda sana Rais wetu Magufuli, hakika bado Tunalia sana , alimpenda Mungu, aliipenda nchi yake na alitupenda sana wananchi wake, nani kama Magufuli? Moyo unauma sana. Ndani ya miaka 5 tu ya uongozi wake maendeleo ya nchi ni kama miaka 20. Je angefika miaka 10 hakika tungefika mbali,
1.stand ya magufuli mbezi
2.stand ya nane Dodoma
3.stand ya nyegezi mwanza
4.stand ya morogoro
5.standi ya nyamhongoro then katavi inafata mwisho
Sitendi ya dodoma ni ya pili ya kwanza ya mbezi
Magufuli bus terminal ni baba lao in Tz
Mungu akutunukie vizuri DJP MAGUFURI
Daaah magufuli tutamkumbuka milele sie wananchi katutendea mengi mengi saana 🇹🇿
Tutampata wp mtu kama huyu?
RIP JPM😭😭😭
1,mbezi maguful. 2,nyengez mwanza zinatish San
waooh kazi iendelee zote zuri mashallha
Miaka michache Mambo makubwa
Respect JPM pumzika kw amani baba
Jpm mbez namba moja msamvu namba mbil
ukwel Mwanza imependelewa sana Ina stend mbili nzr balaa
Magufuli alifanya mambo mazuri sana hakika 2takukumbuka daima
Huyo ndio anko magu r I p
Huyu baba kweli tutamkumbukaa
Wewe urie Andra tarifa hii umetukumbusha mbali sana
Kazi ya Mungu itukuke kwa mtumishi wake JPM.
ndyo ivo mungu kampenda zaidi
AmakweliTanzania imepigahatua hongerajohnpombe
Ndio mungu akupunguzie adhabu
Zote kali bt msamvu top tukiacha masiaara
Tatizo msamvu ni ndogo
Magufuli terminal
Mhhhh wa.moro tunajulikana tu
Moro ndo home.
Kwa kweli Jpm alifanya kazi kipindi cha uhai wake
Ya kwanza stendi ya magufuli Terminal bus
Ya pili Nyamhongolo Terminal bus mwanza hizo ndo stend kali kwangu
Zote kalii Sana Sana ya dar lkn muonekano zote nzuri mnoo na nmependa Sanaa kuwpo Kama Moll kila stand inajitosheleza na kila kitu mtu akifika anawza kubook hotel akalala akanunua anaxhotaka apo apo yan iko powa😍😍the kila mwaka ilikua kinatoka kitu naimani In Sha Allah tutajenga vingi zaid kwa muda mchache na imara
Kizuri kweli hakidumu ,,Sasa hv Hela imerudi ilikotoka ,,,ila hata mama anapambana sana tumpe mda ,,,maana walianzisha wote na yeye anamalizia ujenzi uliokuwa bado haukukamilika ,,tuna viongoz wazuri sema tunataka matokeo ya haraka sana
@@petromartini7349 mjnga huyo
Stendi ya dodoma iko mwake❤
JPM JPM JPM JPM JPM JPM JPM JPM JPM JPM forever
Uhakika mzee magufur mungu amlaze mahali mema peponi
Kweli si Kila pombe ni kileo..pombe zingine ni nguzo za nchi
JPM 🙏🏽
Mungu awalaani woote wlohusika na kifo xha jembe letu" Tanzania yetu ingekuwa ulaya!"woote wafe kifo xga aibu
Sitamsahau mwamba
Humu ndo alimokua anapeleka pesa magu pesa ulifanyabkazi na hatumdai chench
Mwamba jpm
Yeees, 👍
Hata ya SINGIDA mkeka wa hatariii!
1. Stend ya maguful mbezi 2.Nyamhongolo Mwanza 3.Dodoma stend 4.Nyegez stend Mwanza 5. Msamvu stend Morogoro 6.Stend ya katavi.
Stendi ya Katavi haiifikii stendi ya Sumbawangai
Zote kazi za JPM na vitu vizuri Tanzania ya mavi kunuka mtaviona nchi jirani bibi tozo hamna kitu hapo
@@kabwelasutiviraka4765 Kwan alotoa Hela zake mfukon Hela zlikua za watanzania huo ulikua wajibu wake kama kikwete alivojenga shule za kata Nchi nzma xo usiwe na ushabiki na kiongozi Fulani viongozi wote walopita wamefany meng Mazur
@@thomasbutingo17 hamna chochote fisadi Kikwete na zero brain huyu bibi tozo, JPM amefanya makubwa sana na kazi zake ziko kila sehemu hamuwezi kupoteza legacy yake! Yule mwanamapinduzi aligusa kila sehemu alijenga kila sehemu , ona uongozi wa ovyo wa muimba taarabu hamna chochote cha maana na hamna mradi wowote wa maana atakao uacha kama legacy yake
@@kabwelasutiviraka4765 Swali je hzo pesa alitoa mfukon mwake? Huo ni wajibu kama Rais lazm afanye ivo
Hakika tuendelee kumuenzi Baba Magufuli amefanya mengi Kama mwanadamu wengine hatuwezi
Mwanza wanabahati sana Terminal stand mbili zote zipo ndani ya Jiji
Ndo maana likaitwa jiji la miamba the rock city
si kwenu lakini
1.mbezi 2.nyegezi mwanza 3.Nyamohongoro mwanza
Hpn nyamhongolo ni nzr zaid ya nyegez mara mbili
@@thomasbutingo17 nyegezi ilikua bado haijaisha vizuri Ila niatari wewe!
Magufuri mungu ampe pepo kbsa
Mungu Mkubwa amlinde sana magufuli nawazazi wangu wote
Zote nzuri
magufuri ulifanya kazi kweri
Magufuli Tanzania alikua ameiiinua haki ya mungu amulide apumuzike kwa amani
Kali ya dare s salaam
Magufuli Bus Terminal yakiume💚💚💚💚
Hakika mimi ndiye aliyenifanya nipige kura kwa mara ya kwanza magu bado tunakuenzi ilisema tutakukumbuka kweli yametimia
RIP Hon.Dr.JPM
Magufuli stendi ndo funga kazi siyo tanzania tu mpa nje ya nchi iko kwenye 10 bora mwanba magu alipambana kwa mengi sana
Magufuli ulionesha uzalendo angekuwepo Hadi sasa Tzania ingekuwa Ulaya ndogo
Kwa kweli mungu ampe nguvu Mweshimiwa mama samia kazi ni kubwa miji lnapendeza.
Mpuuz nn stend kajenga Bibi yenu hiyo? Au unataka cheo lkulu🙄🙄🙄kamalizia Kaz hiyo
@@rehemaabdullah7606 msamehe alikuwa amesinzia katoka usingizin na kucoment bila kuelewa anachocomment
Kwanini Nyamhongolo na Nyegezi uziunganishe wakati ni Stendi mbili zinafakanya kazi tofauti
daaah ama kwer bb wa afric
Maboresho ya mazingira tafadhali kwenye stendi tunaomba, kama vitalu vya maua na miti kama ilivyo kwenye viwanja vya ndege
kwani mbeya na songwe tuliwakosea nn
Magufuli terminal is the best one❤❤❤❤
Magufuli buss terminal ndo mpango mzma
Waooo
Aic nashindwa hata kuchagua zote kiwango juu bg up magufuli
Msamvu aiseh babalao mana ni ndogo ila ina raman kali sana ni mfano wa meli
Stand ya Ramadi hamjaiweka hapo no nzuri sana
Salute kw anko magu
Magufuli hatumsahau maishani katuachia kumbukumbu kubwssmnoo
Dah mzee halpambana
Magufuli ndie raise peke kwa upande wangu Bado sijaona wa kufanya nae
MAGU hoyeeeeeee
Kali ya magufuri 😢😮😅
Ahsante 🙏 🙏 🙏 🙏 🙏 🙏 🙏 🙏
The best President in Tanzania
Kizuri hakidum hakika
Bariadi - Simiyu
1 magu
2 Nyegezi
3 nyamongolo
4 msavu
5 nane8
Noma zinashinda hata airport zetu
Magu alikuwa Mtanzania sio Mwanasiasa
Magu alifanya kaz, sjui kwasasa, samia kafanya nn?
Fedha hip zilitoka wapi
Respect JPM
Mwanza kaka nyegez
Make a video comparison between beautiful city DODOMA AND MWANZA , ARUSHA
Unachekesha wew mwanza ni jiji lenye hadhi nafasi ya pili tanzania usiilinganishe na hivyo vijiji
Stend ya Magufuli ni ya kisasa kabisa
Namba 1 nikali sana
nyegez send inaongoza
Rest in Peace JPM
Tutakukumbuka kaka maguu kwa utumishi wako uliotukuka Leo hii imebackia magofu akuna kinacho endelea zaaid ya rushwa kila kona mbaya zaid kaka magufuli kuna ili jeshi LA polisi uchwara wanapokea rushwa bila adabu bila hofu wanakamata pikipiki za watumishi wanaenda kuwatoza faini za kijambazi faini 75000 upewi risiti wanachofanya wana record kwenye dafitari jioni wanakuja kugawana maeneo ya ana togo
Atuwez kupata mwingine Kama makufuli
Tutamkumbuka daimaaa
Mbona ya chato ujaiweka
Mi nimtoto wa mwanza lakin stendi yakwanza kwenye tano ni dar inayofata ni mwanza haina ubishi nyegez na nyamhongoro tamu baraaaaàaaa