TAZAMA STENDI ZA MABASI TANO NZURI ZAIDI TANZANIA NA UNAMBIE IPI KALI ZAIDI

Поделиться
HTML-код

Комментарии • 259

  • @user-xh3hm5zi3i
    @user-xh3hm5zi3i 2 месяца назад +7

    Magufuli alifanya kazi nzuri sana 🙏😍🥰🥰😘😘

  • @IsackyChars
    @IsackyChars 18 дней назад +2

    Mungu akuangazie mwanga wa milele baba yetu

  • @henrydege378
    @henrydege378 Год назад +28

    Magufuli tutakukumbuka daima ungekuepo hivi vitu nakwetu tungevipata.mungu ailaze roho yako mahali pema namwanga wamilele ukuangaze amina.

  • @pinchesmbuche4354
    @pinchesmbuche4354 Месяц назад +5

    As a Kenyan this is the best in East and Central Africa.

  • @SophiaSalumu-j5t
    @SophiaSalumu-j5t 11 дней назад +1

    Mungu akulaze mahali pema baba yetu Kwan hatutapata raisi kama ww tena mpk Dunia insisha

  • @user-cm8jx5qf3w
    @user-cm8jx5qf3w 2 месяца назад +2

    Ila Mimi naona Mungu tumpe nafasi ila kama Kuna mkono wa mtu wa kishetani Na Mungu ampe adhabu inayo staili Haina kutubu mana ametuferisha Watanzania wengi AMINA.

  • @MARIAMYANGOLE-lu6xj
    @MARIAMYANGOLE-lu6xj 23 дня назад +1

    Magufuli mungu akubariki baba angu huko uliko inaniuma sana nitakukumbuka daima mirere😢

  • @user-rp1lt1oi4e
    @user-rp1lt1oi4e Месяц назад +2

    zote nnzuli sana mungu akulaze mahala pema mzee wetu joni pombe magufuli tutalukumbuka daima mzee wawanyonge

  • @josephattindi9333
    @josephattindi9333 2 месяца назад +3

    Mwenye ndoto alilala na ndoto yake pengine angekuwepo tungekaribia kufika Ile nchi aliyokuwa akiota sikuzote endelea kupumnzika kwa amani jembe 😢😢

  • @aminaabdallah7702
    @aminaabdallah7702 Год назад +4

    Makatili na wampambe wawo wamezulumu taifa la TZ na watz lakini Siku yakiama ambao inakaribia kila aliosika namauaji wa Hayati Magufuli atajitetea mbele yamungu yalale Salama hapo alipo jembe la watz amen

  • @khadijayusuph2634
    @khadijayusuph2634 Год назад +7

    Magufili juu"ungelikuepo Tz ingekuwa ulaya" pumzika kwa Amani baba"sifa zikufikie huko uliko"

  • @daurdwambuto1877
    @daurdwambuto1877 Год назад +9

    Alikuwa raisi wa afrika mzee wetu magufuli lala salama tutakukumbuka kwa mengi uliyoyafanya

  • @fatmasalim8293
    @fatmasalim8293 Год назад +12

    Ya dar na mwanza mashallah ❤🥰🥰🇴🇲👌

  • @hajiyakara8301
    @hajiyakara8301 Год назад +17

    2mpoteza mtu mzima kabisa afrika nzima

  • @micamathew2595
    @micamathew2595 Год назад +16

    Magufuli hakika alifanya kazi!!

  • @user-gr9px4pi2w
    @user-gr9px4pi2w Год назад +3

    Hakika hayati Rais Magufuli ameibadilisha sana nchi yetu , ameitendea haki Tanzania, wananchi tulio wengi tulimpenda sana Rais wetu Magufuli, hakika bado Tunalia sana , alimpenda Mungu, aliipenda nchi yake na alitupenda sana wananchi wake, nani kama Magufuli? Moyo unauma sana. Ndani ya miaka 5 tu ya uongozi wake maendeleo ya nchi ni kama miaka 20. Je angefika miaka 10 hakika tungefika mbali,

  • @wilsonelijah
    @wilsonelijah Год назад +6

    1.stand ya magufuli mbezi
    2.stand ya nane Dodoma
    3.stand ya nyegezi mwanza
    4.stand ya morogoro
    5.standi ya nyamhongoro then katavi inafata mwisho

  • @WilliamManyelezi
    @WilliamManyelezi 2 месяца назад +3

    Sitendi ya dodoma ni ya pili ya kwanza ya mbezi

  • @Maalim_Samatta
    @Maalim_Samatta Год назад +12

    Magufuli bus terminal ni baba lao in Tz

  • @niyongabojonas4760
    @niyongabojonas4760 Год назад +3

    Mungu akutunukie vizuri DJP MAGUFURI

  • @malikzafarani172
    @malikzafarani172 Год назад +3

    Daaah magufuli tutamkumbuka milele sie wananchi katutendea mengi mengi saana 🇹🇿

  • @deusisindwa616
    @deusisindwa616 Год назад +7

    Tutampata wp mtu kama huyu?
    RIP JPM😭😭😭

  • @georgedaudi4600
    @georgedaudi4600 Год назад +5

    1,mbezi maguful. 2,nyengez mwanza zinatish San

  • @safiyatheonlything7848
    @safiyatheonlything7848 Год назад +6

    waooh kazi iendelee zote zuri mashallha

  • @sarahgaula2220
    @sarahgaula2220 Год назад +9

    Miaka michache Mambo makubwa

  • @winniecharles8883
    @winniecharles8883 Год назад +2

    Respect JPM pumzika kw amani baba

  • @mbarukumakakala4895
    @mbarukumakakala4895 Год назад +4

    Jpm mbez namba moja msamvu namba mbil

  • @thomasbutingo17
    @thomasbutingo17 Год назад +6

    ukwel Mwanza imependelewa sana Ina stend mbili nzr balaa

  • @DisimasAresi
    @DisimasAresi 9 дней назад

    Magufuli alifanya mambo mazuri sana hakika 2takukumbuka daima

  • @lidyacharles1201
    @lidyacharles1201 Год назад +7

    Huyo ndio anko magu r I p

  • @rehemaabdullah7606
    @rehemaabdullah7606 Год назад +7

    Huyu baba kweli tutamkumbukaa

  • @SabunNgalaba-oi6ml
    @SabunNgalaba-oi6ml 2 месяца назад +1

    Wewe urie Andra tarifa hii umetukumbusha mbali sana

  • @aloycehongoa6284
    @aloycehongoa6284 Год назад +8

    Kazi ya Mungu itukuke kwa mtumishi wake JPM.

  • @geraldwagumba1947
    @geraldwagumba1947 Год назад +5

    AmakweliTanzania imepigahatua hongerajohnpombe

  • @neemahabibu-p3i
    @neemahabibu-p3i 6 дней назад

    Ndio mungu akupunguzie adhabu

  • @kelvinzegega2242
    @kelvinzegega2242 Год назад +7

    Zote kali bt msamvu top tukiacha masiaara

  • @user-wu7vz8ot5i
    @user-wu7vz8ot5i 10 дней назад

    Kwa kweli Jpm alifanya kazi kipindi cha uhai wake

  • @agustinopaulo7981
    @agustinopaulo7981 Год назад +2

    Ya kwanza stendi ya magufuli Terminal bus
    Ya pili Nyamhongolo Terminal bus mwanza hizo ndo stend kali kwangu

  • @sashoright8213
    @sashoright8213 Год назад +6

    Zote kalii Sana Sana ya dar lkn muonekano zote nzuri mnoo na nmependa Sanaa kuwpo Kama Moll kila stand inajitosheleza na kila kitu mtu akifika anawza kubook hotel akalala akanunua anaxhotaka apo apo yan iko powa😍😍the kila mwaka ilikua kinatoka kitu naimani In Sha Allah tutajenga vingi zaid kwa muda mchache na imara

    • @petromartini7349
      @petromartini7349 Год назад

      Kizuri kweli hakidumu ,,Sasa hv Hela imerudi ilikotoka ,,,ila hata mama anapambana sana tumpe mda ,,,maana walianzisha wote na yeye anamalizia ujenzi uliokuwa bado haukukamilika ,,tuna viongoz wazuri sema tunataka matokeo ya haraka sana

    • @mariamlucas9054
      @mariamlucas9054 Год назад

      @@petromartini7349 mjnga huyo

  • @NURUMASIMA
    @NURUMASIMA 7 дней назад

    Stendi ya dodoma iko mwake❤

  • @salimalaquimane3077
    @salimalaquimane3077 Год назад +10

    JPM JPM JPM JPM JPM JPM JPM JPM JPM JPM forever

  • @magambojuma5385
    @magambojuma5385 2 месяца назад

    Uhakika mzee magufur mungu amlaze mahali mema peponi

  • @flova7022
    @flova7022 Год назад +2

    Kweli si Kila pombe ni kileo..pombe zingine ni nguzo za nchi

  • @shadymbuki87
    @shadymbuki87 Год назад +9

    JPM 🙏🏽

  • @khadijayusuph2634
    @khadijayusuph2634 2 месяца назад

    Mungu awalaani woote wlohusika na kifo xha jembe letu" Tanzania yetu ingekuwa ulaya!"woote wafe kifo xga aibu

  • @J4UPro
    @J4UPro Год назад +4

    Sitamsahau mwamba

  • @jaydenbedas5729
    @jaydenbedas5729 Год назад +2

    Humu ndo alimokua anapeleka pesa magu pesa ulifanyabkazi na hatumdai chench

  • @lelemabuyagu1457
    @lelemabuyagu1457 Год назад +8

    Mwamba jpm

  • @estherjackson6038
    @estherjackson6038 Год назад +7

    Hata ya SINGIDA mkeka wa hatariii!

  • @thomasbutingo17
    @thomasbutingo17 Год назад +15

    1. Stend ya maguful mbezi 2.Nyamhongolo Mwanza 3.Dodoma stend 4.Nyegez stend Mwanza 5. Msamvu stend Morogoro 6.Stend ya katavi.

    • @aidancherehani9431
      @aidancherehani9431 Год назад +2

      Stendi ya Katavi haiifikii stendi ya Sumbawangai

    • @kabwelasutiviraka4765
      @kabwelasutiviraka4765 Год назад +2

      Zote kazi za JPM na vitu vizuri Tanzania ya mavi kunuka mtaviona nchi jirani bibi tozo hamna kitu hapo

    • @thomasbutingo17
      @thomasbutingo17 Год назад +2

      @@kabwelasutiviraka4765 Kwan alotoa Hela zake mfukon Hela zlikua za watanzania huo ulikua wajibu wake kama kikwete alivojenga shule za kata Nchi nzma xo usiwe na ushabiki na kiongozi Fulani viongozi wote walopita wamefany meng Mazur

    • @kabwelasutiviraka4765
      @kabwelasutiviraka4765 Год назад +1

      @@thomasbutingo17 hamna chochote fisadi Kikwete na zero brain huyu bibi tozo, JPM amefanya makubwa sana na kazi zake ziko kila sehemu hamuwezi kupoteza legacy yake! Yule mwanamapinduzi aligusa kila sehemu alijenga kila sehemu , ona uongozi wa ovyo wa muimba taarabu hamna chochote cha maana na hamna mradi wowote wa maana atakao uacha kama legacy yake

    • @thomasbutingo17
      @thomasbutingo17 Год назад

      @@kabwelasutiviraka4765 Swali je hzo pesa alitoa mfukon mwake? Huo ni wajibu kama Rais lazm afanye ivo

  • @martharenati1660
    @martharenati1660 Год назад +2

    Hakika tuendelee kumuenzi Baba Magufuli amefanya mengi Kama mwanadamu wengine hatuwezi

  • @yohanabundala9162
    @yohanabundala9162 Год назад +2

    Mwanza wanabahati sana Terminal stand mbili zote zipo ndani ya Jiji

  • @magigesabai8674
    @magigesabai8674 Год назад +3

    1.mbezi 2.nyegezi mwanza 3.Nyamohongoro mwanza

    • @thomasbutingo17
      @thomasbutingo17 Год назад

      Hpn nyamhongolo ni nzr zaid ya nyegez mara mbili

    • @bonnymakuke3153
      @bonnymakuke3153 Год назад

      @@thomasbutingo17 nyegezi ilikua bado haijaisha vizuri Ila niatari wewe!

  • @niyonkurusalim2186
    @niyonkurusalim2186 Месяц назад

    Magufuri mungu ampe pepo kbsa

  • @MabamboMabambo
    @MabamboMabambo 2 месяца назад

    Mungu Mkubwa amlinde sana magufuli nawazazi wangu wote

  • @msemasungura5651
    @msemasungura5651 Год назад +3

    Zote nzuri

  • @agnesslucas4744
    @agnesslucas4744 Год назад +3

    magufuri ulifanya kazi kweri

  • @KelvinAmos-ow7pf
    @KelvinAmos-ow7pf 2 месяца назад

    Magufuli Tanzania alikua ameiiinua haki ya mungu amulide apumuzike kwa amani

  • @dankedaudimwangombe3962
    @dankedaudimwangombe3962 Год назад +2

    Kali ya dare s salaam

  • @godfreyanthony4386
    @godfreyanthony4386 Год назад +1

    Magufuli Bus Terminal yakiume💚💚💚💚

  • @user-bt2tz4re2p
    @user-bt2tz4re2p 2 месяца назад

    Hakika mimi ndiye aliyenifanya nipige kura kwa mara ya kwanza magu bado tunakuenzi ilisema tutakukumbuka kweli yametimia

  • @jeremiahmakoye6340
    @jeremiahmakoye6340 Год назад +5

    RIP Hon.Dr.JPM

  • @PauloMboje
    @PauloMboje 28 дней назад

    Magufuli stendi ndo funga kazi siyo tanzania tu mpa nje ya nchi iko kwenye 10 bora mwanba magu alipambana kwa mengi sana

  • @sammimbuta4561
    @sammimbuta4561 25 дней назад

    Magufuli ulionesha uzalendo angekuwepo Hadi sasa Tzania ingekuwa Ulaya ndogo

  • @ziadamtebwa3712
    @ziadamtebwa3712 Год назад +2

    Kwa kweli mungu ampe nguvu Mweshimiwa mama samia kazi ni kubwa miji lnapendeza.

    • @rehemaabdullah7606
      @rehemaabdullah7606 Год назад +1

      Mpuuz nn stend kajenga Bibi yenu hiyo? Au unataka cheo lkulu🙄🙄🙄kamalizia Kaz hiyo

    • @seraphinalameck1731
      @seraphinalameck1731 Год назад

      @@rehemaabdullah7606 msamehe alikuwa amesinzia katoka usingizin na kucoment bila kuelewa anachocomment

  • @peterkapel5332
    @peterkapel5332 2 месяца назад

    Kwanini Nyamhongolo na Nyegezi uziunganishe wakati ni Stendi mbili zinafakanya kazi tofauti

  • @user-bp3kp4on2r
    @user-bp3kp4on2r Месяц назад

    daaah ama kwer bb wa afric

  • @luganomwaipaja-bj6qz
    @luganomwaipaja-bj6qz Год назад +2

    Maboresho ya mazingira tafadhali kwenye stendi tunaomba, kama vitalu vya maua na miti kama ilivyo kwenye viwanja vya ndege

  • @FlorajonasHaule
    @FlorajonasHaule Месяц назад

    Magufuli terminal is the best one❤❤❤❤

  • @theresiauhahula6710
    @theresiauhahula6710 Месяц назад

    Magufuli buss terminal ndo mpango mzma

  • @omarsaleh733
    @omarsaleh733 Год назад +1

    Waooo

  • @paullukas5131
    @paullukas5131 Год назад

    Aic nashindwa hata kuchagua zote kiwango juu bg up magufuli

  • @SaiMbena
    @SaiMbena Месяц назад

    Msamvu aiseh babalao mana ni ndogo ila ina raman kali sana ni mfano wa meli

  • @rehemahassan7685
    @rehemahassan7685 Год назад

    Stand ya Ramadi hamjaiweka hapo no nzuri sana

  • @HafsaHabibu-hi2lg
    @HafsaHabibu-hi2lg Месяц назад

    Salute kw anko magu

  • @laylayl5166
    @laylayl5166 Год назад

    Magufuli hatumsahau maishani katuachia kumbukumbu kubwssmnoo

  • @Dimentious-bj3yh
    @Dimentious-bj3yh 2 месяца назад

    Dah mzee halpambana

  • @AishaNassor-lm6eq
    @AishaNassor-lm6eq 2 месяца назад

    Magufuli ndie raise peke kwa upande wangu Bado sijaona wa kufanya nae

  • @maswamills3161
    @maswamills3161 Год назад +1

    MAGU hoyeeeeeee

  • @ChrisantSwenya
    @ChrisantSwenya Месяц назад

    Kali ya magufuri 😢😮😅

  • @AmaniThomas-xk1be
    @AmaniThomas-xk1be Год назад

    Ahsante 🙏 🙏 🙏 🙏 🙏 🙏 🙏 🙏

  • @FredsonHytham-dx4xk
    @FredsonHytham-dx4xk Год назад

    The best President in Tanzania

  • @StivinMpesa
    @StivinMpesa Месяц назад

    Kizuri hakidum hakika

  • @Sanagu05
    @Sanagu05 Месяц назад

    Bariadi - Simiyu

  • @rahmaSimba-gl9qc
    @rahmaSimba-gl9qc Год назад

    1 magu
    2 Nyegezi
    3 nyamongolo
    4 msavu
    5 nane8

  • @HassaniMkozi
    @HassaniMkozi Месяц назад

    Noma zinashinda hata airport zetu

  • @MaywaTifurukwa
    @MaywaTifurukwa Месяц назад

    Magu alikuwa Mtanzania sio Mwanasiasa

  • @victorkisenha5933
    @victorkisenha5933 Месяц назад

    Magu alifanya kaz, sjui kwasasa, samia kafanya nn?

  • @josephnjella4919
    @josephnjella4919 Год назад +1

    Fedha hip zilitoka wapi

  • @jonasntikangishwa3791
    @jonasntikangishwa3791 Год назад +1

    Respect JPM

  • @jumaotumani925
    @jumaotumani925 Год назад +1

    Mwanza kaka nyegez

  • @filbert9138
    @filbert9138 Год назад +1

    Make a video comparison between beautiful city DODOMA AND MWANZA , ARUSHA

    • @Josamjosam8
      @Josamjosam8 Год назад

      Unachekesha wew mwanza ni jiji lenye hadhi nafasi ya pili tanzania usiilinganishe na hivyo vijiji

  • @Mosalarmosalar
    @Mosalarmosalar 22 дня назад

    Stend ya Magufuli ni ya kisasa kabisa

  • @hekimalyaumi8214
    @hekimalyaumi8214 Год назад

    Namba 1 nikali sana

  • @aizackmwinuka3624
    @aizackmwinuka3624 Год назад

    nyegez send inaongoza

  • @PaulsenMgema
    @PaulsenMgema Год назад +12

    Rest in Peace JPM

    • @thomastarimo
      @thomastarimo Год назад

      Tutakukumbuka kaka maguu kwa utumishi wako uliotukuka Leo hii imebackia magofu akuna kinacho endelea zaaid ya rushwa kila kona mbaya zaid kaka magufuli kuna ili jeshi LA polisi uchwara wanapokea rushwa bila adabu bila hofu wanakamata pikipiki za watumishi wanaenda kuwatoza faini za kijambazi faini 75000 upewi risiti wanachofanya wana record kwenye dafitari jioni wanakuja kugawana maeneo ya ana togo

  • @FATAKIIBRAHIM
    @FATAKIIBRAHIM 18 дней назад

    Atuwez kupata mwingine Kama makufuli

  • @AugustKisaka-qy7kl
    @AugustKisaka-qy7kl 2 месяца назад

    Tutamkumbuka daimaaa

  • @MashaurybandihoDaudi
    @MashaurybandihoDaudi 23 дня назад

    Mbona ya chato ujaiweka

  • @MasaiStephano-ji9wc
    @MasaiStephano-ji9wc 2 месяца назад

    Mi nimtoto wa mwanza lakin stendi yakwanza kwenye tano ni dar inayofata ni mwanza haina ubishi nyegez na nyamhongoro tamu baraaaaàaaa