Majengo marefu ni mazuri kupendeza macho, ila tujue kuwa hayo hayo yanaweza yakatumika kuleta maafa makubwa kwenye dunia hii ya matetemeko. Adui yetu anajua hivyo, na anatutazamisha kwa fahari na maendeleo kiasi kwamba hatuwazii hatari yake. Ni mtazamo wangu, japo ni reality.
Hahahahahaha daaah nimecheka sana jengo namba kumi Lina urefu wa mita 15 namba mbili kwa ukubwa Tanzania lakini ilo namba moja kwenye majengo marefu alijawekwa
Sasa sindo nashangaa linashikilia nafasi ya pili kwa urefu Tanzania na nafasi ya pili kwa majengo marefu Dareslaam asa jengo namba Moja Tanzania na Dareslaam si ndo ulitaje Hilo kuliko kututajia namba mbili
Nikwakuwa lile la mwenge liko mbali lingewekwa posta lingezidi kupendezesha mji na aliyeshauri jengo lile kujengwa mwenge hakuwa na akili sawa sawa muwe mnaangalia hata ushauri
Hamjaedit makala yenu kabla ya ku upload ghorofa 35 na mita 15 Hamna hata aibu kula mabando yetu kwa uongo Wasting floor ya ghorofa n mita 4 mpaka 4.5 so chukua 35×4 kisha mjicheke wenyewe
Mbona hesabu katika hii makala haipo sawa kabisa
,Mwalimu wa Mathematic anahitajika huku
Mdada anasimulia vizuri ila kachoma vitu vingi sanaa😂😂😂😂
Alafu Tanzania wanafananisha dar salaam na Nairobi
Watanzania tunaongopewa sana iweje namba 10 africa alafu namba 2 tx hironamba moja likowap
Majengo marefu ni mazuri kupendeza macho, ila tujue kuwa hayo hayo yanaweza yakatumika kuleta maafa makubwa kwenye dunia hii ya matetemeko. Adui yetu anajua hivyo, na anatutazamisha kwa fahari na maendeleo kiasi kwamba hatuwazii hatari yake. Ni mtazamo wangu, japo ni reality.
Fanya tafiti vizuri sky kwapa
😂😂😂😂 tembea huku kwetu Kenya upatane na GTC yenye iko Westland na utajua britam sio njengo refu Kenya. Wachana na Google madam tembea uhakikishe
Mh Yan nyi wakenya Kila ktu kpo kwenu tu mna shida gani?
Angalau TZ hatujaachwa
Tembeyeni muone sababu Tanzania akuna jengo lefu kushinda Mozambique. Uoo ni uongo tembeyeni
Mita 15!!
We Dada mnara na jengo ni vitu viwili tofauti la sivyo esabu na minara ya TTCL
Yan humu ndani mmechoma atarii
Sasahivi Millard Ayo taarifa zake azinaga usahihi ilimladi kapost tu hazina mvuto tena!.
La pili lipo misri or Algeria?
Endeleen na habar za kina giggy money na babalevo iz habar hamziwez mtaonekana tu matapeli😂
Nigeria iko wap umekosea saaana
huyu muangaaji ni muongo sana! millard media imekua sasa ajiri mhariri!
Huyu hajielewi britam Kenya sio refu na hata maelezo Yako sio kweli mengi uwongo
Gtc hiko na 208ft
Habari za kikuma tu
Hapa waje engineer waliojenga hayo majengo kila MTU aesme la nchini kwake lina mita za mraba ngapi ndo tutaenea humu,
Hilo la namba Moja la mwenge hawaja update taarifa likaingizwa Kwa kuwa jengo halinamdamrefu ,mupo hapo
Sasa kwann lijulikane namba mbili wasingesema kuwa ninamba mbili wangeachatu mpaka lingeingizwa kwelist ndo waseme kuwa ninamba mbili
Eti urefu mita 15 😀😀😀
Vp like la ubungo kak 🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Kenya kuna mijengo mirefu kuliko hio britam
Jengo ndefu kenya ni Times towers. Acheni hizo
Namba mbili kwa uref zaidi Tanzania. na namba mbili kwa urefu zaidi dar es salaam 🤣🤣🤣🤣🤣
Kwan mwana habari ni Samia suluhu
Sijakubaliana na nyingi kabisaa GTC Towers ina urefu zaidi ya Britam towers
Hata kitega buchumi ni jengo refu sana dar, 😂
Mmepigwa
Hizi ni stori za jaba😂
Jengo namba 10 Africa , alafu namba2 tz😂😂😂
Hovyoooo
Wewe hujui kitu unasema😂😂😂
Leo nimeharibu mb zangu pumbavu
Mita 15😂
Dada, simulia ulale
Hahahahahaha daaah nimecheka sana jengo namba kumi Lina urefu wa mita 15 namba mbili kwa ukubwa Tanzania lakini ilo namba moja kwenye majengo marefu alijawekwa
La pili ndiyo la kwanza khaaa cjaelewa
Hasa hilo jengo la Tanzania si wangeweka linaloongoza ambalo lipo pale Njia ya kwenda Mwenge PSPF tower
kabisa
Hapana lile halifikii hata yale majengo yote ya posta
@1:43 ETI MSIKITI MKUU NCHINI MISRI IPO ALGERIA? NIKAMA KUSEMA MSIKITI MKUU WA DAR IPO NAIROBI 😮😅😅😅
Mita 15???
Huyu dada anaitwa nan
Mnatupotezea bando
Jengo namba moja na nambambili sijaelewq vizur yoteyapo taifamoja au😂
Namb moja n rozar rotana ambalo bado halijaingia kwny orodga hii
Mwanamke huyu mwehu kumbe yani jengo namba 10 africa ndio namba 2 tanzania
lililoko misri nchini Algeria nan ameskia hii😂😂😂
Tembea Kenya dada😂 britam sio jengo kubwa kenya
Wanaangalia hadi spire
Naona Millard Ayo ulikuwa unatupima kama tupo makini habari itolewayo au tunatizamaga tyu ili tumalze mabando yetu 😂😂😂
Tembea Nairobi ujue britam sio refund tena
Jengo la Tz lina mita 15?😅
Msikiti mkuu uliopo miasri, aljers algeria
Nd nin sasa
Wakiwa wanaandaa makala wajaribu kuwasiliana na wahusika basi
😅😅😅
TRA tower la Tanzania lina urefu wa mita 15?😳 huyu dada hayupo makini 🤷🏾♂️
GTC iko wapi,from 254
Westland ama nn
@@elinamilyatuu7337 yes chiromo
Aliyeelewa kuhusu hilo jengo la Tanzania anieleweshe😮
Tanzania yangap kwaukubwa was jeshi
We ni fala tu
Mnatubeba ujinga
Tanzania na majengo marefu wap na wap 😂
Ivi mnajua mnara ulioko congo wa Mitac 212 au mnabuni tu
Msameheni ameteleza
Ameanguka kabisa huyu hata haja teleza 😂😂😂😂
Mmetuokota.
Sasa ni namba mbili Tanzania inakuaje namba Kumi afrika.
Iyo namba moja Tanzania je
😂😂😂😂😂Dunia ngumu hii
Tumepigwa hapo namba moja hawajaweka
Namb moja n rozar rotana,bdo halijaingia kwny hz orodha
Haka kadada kujinga sana
Hilo la bandari ni uwongo
hizo ni research zinafanyika sio ati mtu anakurupuka
Unabisha simulia wewe basi
@@fahadfaraj6474 si ndio, mtu anabisha bila fact
@@johnmlay4759 kashashiba chapati zake na njegere kaweka kibando chake cha mia tano anatafuta wakumtolea hasira zake za maisha
Atuletee yaliyo ya kweli kama kaona haya ni oungo
Sasa kama hilo ni namba mbili tanzania kwanini msingelieka namba moja tulijue ,alaf kutuambia hilo mita 15 ni uongo
Sasa sindo nashangaa linashikilia nafasi ya pili kwa urefu Tanzania na nafasi ya pili kwa majengo marefu Dareslaam asa jengo namba Moja Tanzania na Dareslaam si ndo ulitaje Hilo kuliko kututajia namba mbili
@@EzzyEddy-il3ce kabisa yani kwanza apo mambo mengi kaongea ya uongo
Ypo sahih dada,namb moja linaitw rozar rotana ambalo bdo wakt orodh hii inatok lilikuw bdo halijaingia kwny orodha
Hapo kweny tower la kibongo hapaelewek vizur 😂😅
-Mita 15 😂
-Nr 2 nchini 😂
Fanya uchunguzi vizuri wewe
Jengo lefu Tanzania si lile pspf tower pale mwenge?
Hapana lile ni la tano ni kwa vile liko peke yake Ndo maana unaona vile
Nikwakuwa lile la mwenge liko mbali lingewekwa posta lingezidi kupendezesha mji na aliyeshauri jengo lile kujengwa mwenge hakuwa na akili sawa sawa muwe mnaangalia hata ushauri
Ila lile jengo linamuonekano nzuri tena sana kuliko hata lile la bandari pale posta
Linakuwaje jengo refu na unasema lina mita 15??
msikiti upo algiers mara nchini misri mara upo Algeria
sasa kama linashika namba 10 na wakati huo ni jengo namba 2 tz mh cjaelewa hapo 😂😂😂😂
Djamaa el Djazaïr msikiti mkuu nchini misri uliopo Algiers, Algeria. Yoo ni nini unaongea au Algeria sio nchi😂😂😂
😂
😂😂😂😂 Jengo namba 10 kwa urefu Africa lkn ni namba 2 kwa Tz😂😂😂sasa hilo namba 1 kw tz linashika namb ngp kw Africa???😂😂😂
Hahahahaa!!! Ndo wandishi wetu sasa tutafanyeje ngoja tuibiwe MB zetu
so funny 😂😂😂😂😂
😀😀😀😀🤣🤣🤣
Hawajielewi hawajitambui
Wamezingua 😂😂
bwana ww 😂😂😂 MITA 15
Mnatulazimisha kukanyaga tope siyo? eti Mita 15 na la pili tz hakiki habari vizuri ala!
Hata USA plaza ni zaidi ya Mt 15 hapa Leganga Usa river
Watu wana msongo wa kausha damu
@@aminielimushi8709 😂😂
Kwanini hilo lililo shika namba ya kwanza Tanzania lisiwe la 10 Africa 😂😂😂😂
Sky krapa wewe kuwa makini
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Hamjaedit makala yenu kabla ya ku upload ghorofa 35 na mita 15
Hamna hata aibu kula mabando yetu kwa uongo
Wasting floor ya ghorofa n mita 4 mpaka 4.5 so chukua 35×4 kisha mjicheke wenyewe
Khaaaah mfyuuuuuuuh 🤣😂🤣😂🤣 Tanzania tena
Mtawekaje number 2 wakati number1 ipo
Ndo ushangae na wewe
GTC towers is way too tall than BRITAM. stop lying. Kenyans we know that.
Hahahahaahhaha hiyo post atakuwa amefanya MTU tofauti na Mkenya
Como é possível nessa lista constar Tanzania e não Mocambique uma vez que Tanzania não tem nenhum prédio que supera o de maputo de 33 andares?
Esse de Tanzânia tem 35
Hata mimi sijaelewa inawezekana vipi kama sio kutuongopea
Além disso, a analista é tanzaniana, isso não pode te machucar
😊
Sasa jengo n la pili kwa urefu Tanzania na la kwanza halipo top ten
ruclips.net/video/aVaia6YaW-Y/видео.htmlsi=x58znitIflbBNC3N tweni tukatizame