YAFAHAMU MAJENGO MAREFU ZAIDI BARANI AFRIKA,TANZANIA YASHIKA NAMBA 10

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 16 сен 2023

Комментарии • 141

  • @iddninga
    @iddninga 8 месяцев назад +5

    Mbona hesabu katika hii makala haipo sawa kabisa
    ,Mwalimu wa Mathematic anahitajika huku

  • @Markhomestz
    @Markhomestz 9 месяцев назад +10

    Mdada anasimulia vizuri ila kachoma vitu vingi sanaa😂😂😂😂

  • @shafarh.
    @shafarh. 8 месяцев назад +3

    Alafu Tanzania wanafananisha dar salaam na Nairobi

  • @Samwelsamwelmera
    @Samwelsamwelmera 8 месяцев назад +1

    Watanzania tunaongopewa sana iweje namba 10 africa alafu namba 2 tx hironamba moja likowap

  • @willymwaipaja6783
    @willymwaipaja6783 9 месяцев назад +7

    Majengo marefu ni mazuri kupendeza macho, ila tujue kuwa hayo hayo yanaweza yakatumika kuleta maafa makubwa kwenye dunia hii ya matetemeko. Adui yetu anajua hivyo, na anatutazamisha kwa fahari na maendeleo kiasi kwamba hatuwazii hatari yake. Ni mtazamo wangu, japo ni reality.

  • @adamkapolo8817
    @adamkapolo8817 8 месяцев назад +1

    Fanya tafiti vizuri sky kwapa

  • @princek047
    @princek047 8 месяцев назад +13

    😂😂😂😂 tembea huku kwetu Kenya upatane na GTC yenye iko Westland na utajua britam sio njengo refu Kenya. Wachana na Google madam tembea uhakikishe

    • @mohdabdalla7070
      @mohdabdalla7070 2 месяца назад

      Mh Yan nyi wakenya Kila ktu kpo kwenu tu mna shida gani?

  • @Pharadge
    @Pharadge 9 месяцев назад +1

    Angalau TZ hatujaachwa

  • @madrassatqadriyapalma
    @madrassatqadriyapalma 8 месяцев назад +2

    Tembeyeni muone sababu Tanzania akuna jengo lefu kushinda Mozambique. Uoo ni uongo tembeyeni

  • @dicksonmatulile1523
    @dicksonmatulile1523 9 месяцев назад +1

    Mita 15!!

  • @raphaelkessy7360
    @raphaelkessy7360 2 месяца назад

    We Dada mnara na jengo ni vitu viwili tofauti la sivyo esabu na minara ya TTCL

  • @mosepaul3886
    @mosepaul3886 9 месяцев назад

    Yan humu ndani mmechoma atarii

  • @selemanmaganga-le4zg
    @selemanmaganga-le4zg 9 месяцев назад

    Sasahivi Millard Ayo taarifa zake azinaga usahihi ilimladi kapost tu hazina mvuto tena!.

  • @BONGOINMOTION
    @BONGOINMOTION 9 месяцев назад

    La pili lipo misri or Algeria?

  • @kazkaz1943
    @kazkaz1943 8 месяцев назад +3

    Endeleen na habar za kina giggy money na babalevo iz habar hamziwez mtaonekana tu matapeli😂

  • @jibrilmohammed3698
    @jibrilmohammed3698 8 месяцев назад

    Nigeria iko wap umekosea saaana

  • @abdallahkisuda4859
    @abdallahkisuda4859 9 месяцев назад +2

    huyu muangaaji ni muongo sana! millard media imekua sasa ajiri mhariri!

  • @totodavis1949
    @totodavis1949 8 месяцев назад +1

    Huyu hajielewi britam Kenya sio refu na hata maelezo Yako sio kweli mengi uwongo

  • @kingfuture7147
    @kingfuture7147 8 месяцев назад

    Habari za kikuma tu

  • @kanankirannko6174
    @kanankirannko6174 4 месяца назад

    Hapa waje engineer waliojenga hayo majengo kila MTU aesme la nchini kwake lina mita za mraba ngapi ndo tutaenea humu,

  • @user-kc4il6yb7u
    @user-kc4il6yb7u 9 месяцев назад

    Hilo la namba Moja la mwenge hawaja update taarifa likaingizwa Kwa kuwa jengo halinamdamrefu ,mupo hapo

    • @djkikombe
      @djkikombe 7 месяцев назад

      Sasa kwann lijulikane namba mbili wasingesema kuwa ninamba mbili wangeachatu mpaka lingeingizwa kwelist ndo waseme kuwa ninamba mbili

  • @zombazezu
    @zombazezu 8 месяцев назад +1

    Eti urefu mita 15 😀😀😀

  • @ayubusanga4997
    @ayubusanga4997 9 месяцев назад +1

    Vp like la ubungo kak 🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @hassaniddrismwamba
    @hassaniddrismwamba 9 месяцев назад +1

    Kenya kuna mijengo mirefu kuliko hio britam

  • @sofiaabdirahman7838
    @sofiaabdirahman7838 8 месяцев назад

    Jengo ndefu kenya ni Times towers. Acheni hizo

  • @kingfuture7147
    @kingfuture7147 8 месяцев назад +2

    Namba mbili kwa uref zaidi Tanzania. na namba mbili kwa urefu zaidi dar es salaam 🤣🤣🤣🤣🤣

  • @babasandra638
    @babasandra638 9 месяцев назад +1

    Kwan mwana habari ni Samia suluhu

  • @djsunextv
    @djsunextv 7 месяцев назад

    Sijakubaliana na nyingi kabisaa GTC Towers ina urefu zaidi ya Britam towers

  • @easternyerembe7271
    @easternyerembe7271 8 месяцев назад

    Hata kitega buchumi ni jengo refu sana dar, 😂

  • @MuhidinMangu
    @MuhidinMangu 9 месяцев назад

    Mmepigwa

  • @keteargaszpubg2672
    @keteargaszpubg2672 8 месяцев назад +1

    Hizi ni stori za jaba😂

  • @alipetrelis7109
    @alipetrelis7109 8 месяцев назад

    Jengo namba 10 Africa , alafu namba2 tz😂😂😂

  • @shabaniduduma8885
    @shabaniduduma8885 9 месяцев назад

    Hovyoooo

  • @brianmasiga9748
    @brianmasiga9748 7 месяцев назад

    Wewe hujui kitu unasema😂😂😂

  • @berusarga2897
    @berusarga2897 7 месяцев назад

    Leo nimeharibu mb zangu pumbavu

  • @masoudabdoul8447
    @masoudabdoul8447 9 месяцев назад

    Mita 15😂

  • @fireworks574
    @fireworks574 8 месяцев назад

    Dada, simulia ulale

  • @SakinaSadiki-tw2qt
    @SakinaSadiki-tw2qt 8 месяцев назад

    Hahahahahaha daaah nimecheka sana jengo namba kumi Lina urefu wa mita 15 namba mbili kwa ukubwa Tanzania lakini ilo namba moja kwenye majengo marefu alijawekwa

  • @stellahwilfred5762
    @stellahwilfred5762 8 месяцев назад

    La pili ndiyo la kwanza khaaa cjaelewa

  • @stivertz7014
    @stivertz7014 9 месяцев назад +1

    Hasa hilo jengo la Tanzania si wangeweka linaloongoza ambalo lipo pale Njia ya kwenda Mwenge PSPF tower

  • @abdirahmanabby761
    @abdirahmanabby761 9 месяцев назад +3

    @1:43 ETI MSIKITI MKUU NCHINI MISRI IPO ALGERIA? NIKAMA KUSEMA MSIKITI MKUU WA DAR IPO NAIROBI 😮😅😅😅

  • @amazi6796
    @amazi6796 9 месяцев назад

    Mita 15???

  • @abdalahfundi7936
    @abdalahfundi7936 9 месяцев назад

    Huyu dada anaitwa nan

  • @saudaramadhan5855
    @saudaramadhan5855 9 месяцев назад +1

    Mnatupotezea bando

  • @DM_15
    @DM_15 8 месяцев назад

    Jengo namba moja na nambambili sijaelewq vizur yoteyapo taifamoja au😂

    • @hamisichande4231
      @hamisichande4231 8 месяцев назад

      Namb moja n rozar rotana ambalo bado halijaingia kwny orodga hii

  • @mikelokamba1202
    @mikelokamba1202 8 месяцев назад

    Mwanamke huyu mwehu kumbe yani jengo namba 10 africa ndio namba 2 tanzania

  • @Dunia129
    @Dunia129 7 месяцев назад

    lililoko misri nchini Algeria nan ameskia hii😂😂😂

  • @maxwellsanga3662
    @maxwellsanga3662 8 месяцев назад +5

    Tembea Kenya dada😂 britam sio jengo kubwa kenya

  • @parabinamu55
    @parabinamu55 9 месяцев назад +1

    Naona Millard Ayo ulikuwa unatupima kama tupo makini habari itolewayo au tunatizamaga tyu ili tumalze mabando yetu 😂😂😂

  • @Reece-qk9ji
    @Reece-qk9ji 8 месяцев назад +1

    Tembea Nairobi ujue britam sio refund tena

  • @muddybreezy4595
    @muddybreezy4595 8 месяцев назад

    Jengo la Tz lina mita 15?😅

  • @shafiikhamis2336
    @shafiikhamis2336 9 месяцев назад +3

    Msikiti mkuu uliopo miasri, aljers algeria
    Nd nin sasa

  • @t1910j
    @t1910j 5 месяцев назад

    TRA tower la Tanzania lina urefu wa mita 15?😳 huyu dada hayupo makini 🤷🏾‍♂️

  • @kingbeetimoo
    @kingbeetimoo 8 месяцев назад

    GTC iko wapi,from 254

  • @dadamuebrania1539
    @dadamuebrania1539 8 месяцев назад +2

    Aliyeelewa kuhusu hilo jengo la Tanzania anieleweshe😮

  • @user-ec5we1gr4f
    @user-ec5we1gr4f 7 месяцев назад

    We ni fala tu

  • @rogasianshayo3740
    @rogasianshayo3740 9 месяцев назад

    Mnatubeba ujinga

  • @EsauNaboth-yn2fl
    @EsauNaboth-yn2fl 8 месяцев назад +1

    Tanzania na majengo marefu wap na wap 😂

  • @GeorgeEbake
    @GeorgeEbake 9 месяцев назад

    Ivi mnajua mnara ulioko congo wa Mitac 212 au mnabuni tu

  • @Abdallahmosha35
    @Abdallahmosha35 8 месяцев назад

    Msameheni ameteleza

    • @ygggggg9762
      @ygggggg9762 7 месяцев назад +1

      Ameanguka kabisa huyu hata haja teleza 😂😂😂😂

  • @michaelfrenkline3429
    @michaelfrenkline3429 9 месяцев назад +2

    Mmetuokota.
    Sasa ni namba mbili Tanzania inakuaje namba Kumi afrika.
    Iyo namba moja Tanzania je

    • @IsraelKisaila
      @IsraelKisaila 9 месяцев назад

      😂😂😂😂😂Dunia ngumu hii

    • @GeofreyKalo-ot3we
      @GeofreyKalo-ot3we 9 месяцев назад

      Tumepigwa hapo namba moja hawajaweka

    • @hamisichande4231
      @hamisichande4231 8 месяцев назад

      Namb moja n rozar rotana,bdo halijaingia kwny hz orodha

  • @mwakyusamwakyusa686
    @mwakyusamwakyusa686 8 месяцев назад

    Haka kadada kujinga sana

  • @stanleyjohn1361
    @stanleyjohn1361 9 месяцев назад

    Hilo la bandari ni uwongo

    • @johnmlay4759
      @johnmlay4759 9 месяцев назад

      hizo ni research zinafanyika sio ati mtu anakurupuka

    • @fahadfaraj6474
      @fahadfaraj6474 9 месяцев назад

      Unabisha simulia wewe basi

    • @johnmlay4759
      @johnmlay4759 9 месяцев назад

      @@fahadfaraj6474 si ndio, mtu anabisha bila fact

    • @fahadfaraj6474
      @fahadfaraj6474 9 месяцев назад

      @@johnmlay4759 kashashiba chapati zake na njegere kaweka kibando chake cha mia tano anatafuta wakumtolea hasira zake za maisha

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 9 месяцев назад

      Atuletee yaliyo ya kweli kama kaona haya ni oungo

  • @officialstar_walker
    @officialstar_walker 9 месяцев назад +2

    Sasa kama hilo ni namba mbili tanzania kwanini msingelieka namba moja tulijue ,alaf kutuambia hilo mita 15 ni uongo

    • @EzzyEddy-il3ce
      @EzzyEddy-il3ce 9 месяцев назад

      Sasa sindo nashangaa linashikilia nafasi ya pili kwa urefu Tanzania na nafasi ya pili kwa majengo marefu Dareslaam asa jengo namba Moja Tanzania na Dareslaam si ndo ulitaje Hilo kuliko kututajia namba mbili

    • @officialstar_walker
      @officialstar_walker 9 месяцев назад

      @@EzzyEddy-il3ce kabisa yani kwanza apo mambo mengi kaongea ya uongo

    • @hamisichande4231
      @hamisichande4231 8 месяцев назад

      Ypo sahih dada,namb moja linaitw rozar rotana ambalo bdo wakt orodh hii inatok lilikuw bdo halijaingia kwny orodha

  • @vitrahbongz9420
    @vitrahbongz9420 9 месяцев назад +4

    Hapo kweny tower la kibongo hapaelewek vizur 😂😅
    -Mita 15 😂
    -Nr 2 nchini 😂

  • @williamkirema6254
    @williamkirema6254 9 месяцев назад

    Fanya uchunguzi vizuri wewe

  • @IMANWILLIAM-bl2ui
    @IMANWILLIAM-bl2ui 9 месяцев назад +1

    Jengo lefu Tanzania si lile pspf tower pale mwenge?

    • @abdulmruke2246
      @abdulmruke2246 9 месяцев назад

      Hapana lile ni la tano ni kwa vile liko peke yake Ndo maana unaona vile

  • @user-uy6fg1ze7q
    @user-uy6fg1ze7q 9 месяцев назад

    Nikwakuwa lile la mwenge liko mbali lingewekwa posta lingezidi kupendezesha mji na aliyeshauri jengo lile kujengwa mwenge hakuwa na akili sawa sawa muwe mnaangalia hata ushauri

    • @abdulmruke2246
      @abdulmruke2246 9 месяцев назад

      Ila lile jengo linamuonekano nzuri tena sana kuliko hata lile la bandari pale posta

  • @engribertinnocent7536
    @engribertinnocent7536 8 месяцев назад +1

    Linakuwaje jengo refu na unasema lina mita 15??

  • @kenedykimulika2224
    @kenedykimulika2224 8 месяцев назад +1

    msikiti upo algiers mara nchini misri mara upo Algeria

  • @josemedia6661
    @josemedia6661 7 месяцев назад

    sasa kama linashika namba 10 na wakati huo ni jengo namba 2 tz mh cjaelewa hapo 😂😂😂😂

  • @leuyaxt5382
    @leuyaxt5382 8 месяцев назад

    Djamaa el Djazaïr msikiti mkuu nchini misri uliopo Algiers, Algeria. Yoo ni nini unaongea au Algeria sio nchi😂😂😂

  • @frankshindano4620
    @frankshindano4620 8 месяцев назад

    😂

  • @kassimayoubmohd6313
    @kassimayoubmohd6313 9 месяцев назад +31

    😂😂😂😂 Jengo namba 10 kwa urefu Africa lkn ni namba 2 kwa Tz😂😂😂sasa hilo namba 1 kw tz linashika namb ngp kw Africa???😂😂😂

  • @JacksonDominicko-st2qy
    @JacksonDominicko-st2qy 9 месяцев назад +1

    bwana ww 😂😂😂 MITA 15

  • @faustinaurio3703
    @faustinaurio3703 9 месяцев назад

    Mnatulazimisha kukanyaga tope siyo? eti Mita 15 na la pili tz hakiki habari vizuri ala!

  • @Runkiller1
    @Runkiller1 8 месяцев назад +1

    Kwanini hilo lililo shika namba ya kwanza Tanzania lisiwe la 10 Africa 😂😂😂😂

  • @MrGoatAi
    @MrGoatAi 7 месяцев назад

    Sky krapa wewe kuwa makini

  • @ayubusanga4997
    @ayubusanga4997 9 месяцев назад

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @raulianraphael6853
    @raulianraphael6853 9 месяцев назад

    Hamjaedit makala yenu kabla ya ku upload ghorofa 35 na mita 15
    Hamna hata aibu kula mabando yetu kwa uongo
    Wasting floor ya ghorofa n mita 4 mpaka 4.5 so chukua 35×4 kisha mjicheke wenyewe

  • @zashayrasaid8950
    @zashayrasaid8950 8 месяцев назад

    Khaaaah mfyuuuuuuuh 🤣😂🤣😂🤣 Tanzania tena

  • @user-iw9zm7zh2u
    @user-iw9zm7zh2u 9 месяцев назад +1

    Mtawekaje number 2 wakati number1 ipo

  • @kennar012
    @kennar012 7 месяцев назад

    GTC towers is way too tall than BRITAM. stop lying. Kenyans we know that.

  • @ibrahimgwasma1223
    @ibrahimgwasma1223 9 месяцев назад

    Hahahahaahhaha hiyo post atakuwa amefanya MTU tofauti na Mkenya

  • @armandoleonardo6966
    @armandoleonardo6966 9 месяцев назад +5

    Como é possível nessa lista constar Tanzania e não Mocambique uma vez que Tanzania não tem nenhum prédio que supera o de maputo de 33 andares?

    • @allyhumoud
      @allyhumoud 9 месяцев назад

      Esse de Tanzânia tem 35

    • @gadyetheboss8738
      @gadyetheboss8738 8 месяцев назад

      Hata mimi sijaelewa inawezekana vipi kama sio kutuongopea

    • @lazzrchanal1935
      @lazzrchanal1935 8 месяцев назад

      Além disso, a analista é tanzaniana, isso não pode te machucar

    • @samuelnjau1600
      @samuelnjau1600 8 месяцев назад

      😊

    • @user-si6ct5jz1h
      @user-si6ct5jz1h 6 месяцев назад

      Sasa jengo n la pili kwa urefu Tanzania na la kwanza halipo top ten

  • @KisofaOg-wv8ex
    @KisofaOg-wv8ex 8 месяцев назад

    ruclips.net/video/aVaia6YaW-Y/видео.htmlsi=x58znitIflbBNC3N tweni tukatizame