HII NDIO SIRI YA KUJENGA DARAJA LA JPM KIGONGO NA BUSISI, RAIS MAGUFULI AWEKA WAZI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 27 дек 2020
  • Dec 28, 2020 Rais Magufuli akiwa njiani kuelekea nyumabni kwake Chato amekagua maendeleo ya Daraja la JPM Kigongo - Busisi ambalo litakuwa na urefu wa kilometa 3.2 na ndilo Daraja refu Afrika Mashariki na Kati

Комментарии • 417

  • @jogoomohamed2652
    @jogoomohamed2652 3 года назад +50

    Nakupenda sana mkuu kwa maongezi yako napia kwa uthubutu wako,hakika tunakoenda panaonekana mkuu hii nchi yetu.Hudumu milele milele mkuu wangu Mhe Rais wetu /wetu John Pombe Joseph Magufuli

    • @user-wc9zg6hk5s
      @user-wc9zg6hk5s 3 года назад

      Usssitajeee chamaaa mkuuu semaa watanzania

  • @maryammohammed5309
    @maryammohammed5309 3 года назад +30

    Mungu akubariki mzee inshaallah tupo pamoja tunakupa mkono ntalipa kodi mara mbili kujenga Tanzania

  • @allystideforever6594
    @allystideforever6594 3 года назад +36

    Asanteee muheshimiwa nilpita juz tar 25 /12 aisee Mungu awe nawe

  • @mamukassim4075
    @mamukassim4075 3 года назад +36

    Mnaotaka magufuli. Asiondoke madarakani like ili tujuane

  • @lucykristensen7145
    @lucykristensen7145 3 года назад +16

    Mwenyezi Mungu akujalie maisha marefu na afya njema Mtukufu Rais wetu

  • @josephatmwambega2874
    @josephatmwambega2874 3 года назад +22

    Hongera mkuu holo ni letu wote niliwahi kupita hapo mars mbili
    Tunashukuru kwa maono yako
    Mungu akubariki sana

  • @florashauri9228
    @florashauri9228 3 года назад +15

    Hongera sana Rais wetu mpendwa Dr.JPM .MUNGU AKUBARIKI SANA KWA KUIPIGANIA NCHI YAKO, MUNGU AKUPE MAISHA MAREFU YENYE HERI,AFYA NJEMA NA BARAKA

  • @sunyareh
    @sunyareh 3 года назад +17

    Hakuna vyama vingi CCM yatosha. Vyama vingine vyote ni wabinafsi na pia wanatumiwa na wazungu wasio penda kuona maendeleo ya mwana wa afrika. Mugufuli ndio mkombozi wa bara la afrika nzima. Mungu akulinde Mh Raisi wa watu.

  • @makaveliomari7211
    @makaveliomari7211 3 года назад +19

    Mimi uwa namuita mfalme wa chato anaefanya tanzania ya watanzania kuwa bora mungu ibariki tanzania mungu ibariki Zanzibar mungu tubariki wote

  • @rugendorunene545
    @rugendorunene545 3 года назад +38

    A Successful Tanzania🇹🇿🇹🇿 is Success to East Africa and Africa as a whole... 🇰🇪 🇰🇪.

  • @wisemanking001
    @wisemanking001 3 года назад +93

    Hadi natamani niombe uraia niwe mtanzania...JPM sio wa kawaida aisee! Mungu akuongoze rais wangu wa Afrika! Mimi mKenya 🇰🇪

    • @bojopa7
      @bojopa7 3 года назад +5

      Tuko pa1 sana ndugu yetu cc watanzania tunakupenda sana

    • @jumachilundajr4853
      @jumachilundajr4853 3 года назад +6

      @@bojopa7 omba tu uraiya hamna shida fata vigezo tu mwamba

    • @hashimabdallah673
      @hashimabdallah673 3 года назад +3

      Ahsante sana uaweza kuomba kwa kigezo hicho karibu tZ

    • @lulanjamd3886
      @lulanjamd3886 3 года назад +4

      Kwa mkenya kupata uraia Tanzania ni rais sana karibu Sana ndugu yetu

    • @lukandotv8101
      @lukandotv8101 3 года назад

      Ingekuwa inawezekana tungebadilisha

  • @j_gh812
    @j_gh812 3 года назад +20

    Mungu azidi kukubariki na kulinda raisi wetu kamanda wetu mkombozi wetu....

  • @simonmuhoja149
    @simonmuhoja149 3 года назад +10

    Hongera Sana Mh. Rais tunaomba Mungu akupe maisha Marefu wewe nichaguo la Mungu.

  • @andulilemwakihabha2048
    @andulilemwakihabha2048 3 года назад +61

    Mungu akubariki Sana raisi wetu mpendwa John Pombe Joseph Magufuri kwa maono yako kwa watanzania

  • @mrigojohn7326
    @mrigojohn7326 3 года назад +46

    Mzalendo wa kweli no hypocrisy in you our president.

  • @liliansamson674
    @liliansamson674 3 года назад +37

    Mwenyezi Mungu anamakusudi na wewe rais wetu.

    • @hermanshingisha8471
      @hermanshingisha8471 3 года назад +3

      MUNGU AZIDI KUKUBARIKI NA KUKULINDA RAIS WETU MPENDA MAENDELEO. HONGERA SANA KIONGOZI WETU MAKINI

    • @telaamtauta2227
      @telaamtauta2227 3 года назад

      @@hermanshingisha8471 hakika Huyu.ndio kiongozi nasiyo kidokozi

  • @bchikop
    @bchikop 3 года назад +30

    My presider💪💪 Gonga kazi baba💪💪🤝

  • @petermanda4241
    @petermanda4241 3 года назад +16

    Pole sana mh!! Rais kwa yote hayo Mungu akutangulie katika harakati zako

  • @hoseakavubu2844
    @hoseakavubu2844 3 года назад +52

    Sina shaka na uongozi wa Raisi JPM. Mungu akulinde Watanzania tunakuhitaji.

  • @ipyanaamos5105
    @ipyanaamos5105 3 года назад +45

    Maisha Marefu Muheshimiwa RAIS 🙏🏿

  • @um_185
    @um_185 3 года назад +20

    Tanzania is truly thriving. Keep it up Mr president. May God Bless Tanzania and all Tanzanians.

  • @zenj1986
    @zenj1986 3 года назад +28

    Mungu akupe maisha marefu ili ushuhudie Tanzania mpya. .

  • @elishamkasu5191
    @elishamkasu5191 3 года назад +28

    Mungu akubariki Baba(Mweshimiwa Rais Wangu)

  • @shibilitimedia3312
    @shibilitimedia3312 3 года назад +20

    Yani nilipoona Lissu anajigamba kuwa kwa vyovyote atangazwe yeye kama Rais alinitia hasira kabisa nikaamua kufunga biashara yangu kwenda kupiga tu kura ya Rais, maana hii nchi ingeuzwa kwa mabeberu, Magufuri Mungu akulinde wewe ni Baba wa Taifa hili, ungefuatia wewe baada ya Nyerere hii nchi tungekuwa mbali

    • @jacobmakono6983
      @jacobmakono6983 3 года назад +1

      Hahahaahaha!

    • @bojopa7
      @bojopa7 3 года назад +3

      Hongera sana mi niliwakuta kijiweni nikawauliza mmepiga kura wakasema hapana nikasema yess atapitaje

    • @bojopa7
      @bojopa7 3 года назад +3

      Atapitaje huyu Tundu wenu na hamkupiga kura

    • @hashimabdallah673
      @hashimabdallah673 3 года назад +4

      Aliyepashwa kufuatia baada ya Nyerere walimuua wahujumu uchumi lakini nawao wanateseka kwa sasa Sokoine

  • @peterokalo9632
    @peterokalo9632 3 года назад +22

    Congratulations 👏🏽 Tanzania 🇹🇿 of People’s and have love 💗 of his owns people’s citizens populations country ❤️

  • @marianmartin7483
    @marianmartin7483 3 года назад +4

    Mwenyezi MUNGU akubariki sana raisi wetu. Hongera sana kwa kutupigania sisi watanzani. Viongozi wa afrika tuige mfano huu wa uzalendo anaouonyesha mh. JPM. Kiukweli, hapa kazi tu.

  • @dominicikuja7392
    @dominicikuja7392 3 года назад +30

    Hongera sana mhe rais kwa uzalendo huu ulionao

  • @KS-iw7qv
    @KS-iw7qv 3 года назад +62

    THIS MAN IS MAKING US PROUD..... JPM MAKE TANZANIA GREAT AGAIN 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿✔

  • @faraolion6822
    @faraolion6822 3 года назад +38

    Hongera rais wetu

  • @jarsaduba2626
    @jarsaduba2626 3 года назад +30

    Serikali ya mwendo Kazi duo maana ya hapa Kazi tu JPM hoyee

  • @gloriakiria6096
    @gloriakiria6096 3 года назад +14

    Pongez sana mh rais mungu akupe nguvu na afya tele

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 3 года назад +10

    Mungu ame kuepusha na kifo miaka hiyo kweli Mungu ni mwema

  • @raymondanthony6207
    @raymondanthony6207 3 года назад +27

    Kweli ulikuwa ni mpango wa Mungu

  • @charleskaozya9924
    @charleskaozya9924 3 года назад +26

    Kiki toka chuma kinakuja chuma after magu I wish aje majaliwa Kassimu weweeeee Kama ulaya kazikazi safi Sana JPM

  • @ashaimohammedi6754
    @ashaimohammedi6754 3 года назад +5

    Mungu akubariki raisi wetu akulinde inshaallah

  • @eischerschwederm7876
    @eischerschwederm7876 3 года назад +18

    Tujenge na ZANZIBAR rais wetu..daraja

    • @happyjohn5882
      @happyjohn5882 3 года назад +2

      Nadhani atajenga la underground mpka Zanzibar kama la Uk

    • @user-rd7jt1vi5x
      @user-rd7jt1vi5x 3 года назад

      Zanzibar akawajengea Rais wenu huko na sisi huku bara atatujengea MAGUFULI

  • @simonjoseph1775
    @simonjoseph1775 3 года назад +17

    Sawa kabisa rais mzalendo tunaweza sisi ni matajiri ila ufisadi ulituchelewesha, tawala miaka mingi mpaka roho za kifisadi ziishe.

  • @ramadhaniharuna8110
    @ramadhaniharuna8110 3 года назад +15

    Chuma kazini🔥🔥🔥🔥🔥

  • @peterokalo9632
    @peterokalo9632 3 года назад +13

    Congratulations president John Magufuli 👋🏽👍🏽🪐🌍🌏❤️💗🎉🥳💐🌹🥂👏🏽🙏🏽

  • @jacksonpeter3840
    @jacksonpeter3840 3 года назад +31

    We subiri siku moja atakuja na wazo la daraja kuunga Zanzibar na bara hii ni type nyingine kama mnategemea mipango ipangwe ulaya hapo mushafeli tunamaliza show wenyewe

    • @jamesthomas390jj
      @jamesthomas390jj 3 года назад +4

      Aaah mzee huyu hashindwi.

    • @stevenfabian2208
      @stevenfabian2208 3 года назад +5

      Hilo wazo lipo aliwahi kulisema bado maamuzi tuu ck akiamkaa amepanga kumaliza utata tutaona mengne

    • @mohammedally2289
      @mohammedally2289 3 года назад +6

      Kiukweli jemma yuko serious kikazi honestly anamaanisha yale asemayo mungu amuongoze Amin

    • @bojopa7
      @bojopa7 3 года назад +1

      Kabisa bro tuko pa1

    • @jamesthomas390jj
      @jamesthomas390jj 3 года назад +2

      @@mohammedally2289 na lazima watakuja kulijenga tu hilo daraja

  • @omarymasalu5072
    @omarymasalu5072 3 года назад +13

    Raisi wetu mpendwa❤

  • @mushtaqdada9804
    @mushtaqdada9804 3 года назад +5

    Tanzania first magufuli beloved President

  • @godfreyleka5839
    @godfreyleka5839 3 года назад +11

    Mbeba maono hafiiiiii,.

  • @matukionavichekesho4678
    @matukionavichekesho4678 3 года назад +9

    Dah mungu akulinde mzee

  • @zakariaalfred3167
    @zakariaalfred3167 3 года назад +34

    Mfalme namuona kwenye ubora wake

    • @leverimlaki5667
      @leverimlaki5667 3 года назад

      Ni Rais siyo mfalme. Elewa tofauti ya Rais na mfalme.

  • @kenicemkaka2824
    @kenicemkaka2824 3 года назад +18

    Dah jamani mungu atupe nini ndotumshukuru, watanzania ebu tumshukuru mungu kwakutupa kiongozi mwenye maona makubwa kama haya, mwenye udhubutu mkibwa kama huyu,aa huyu mtu cyo wakawaida inawezekana duniani hawez kutokea miaka mingi ijayo. binafisi natamani hata uongoze miaka mia aisee tubadishe katiba tusikubali watanzania kumpoteza joni asitafu tutampata nani kama yeye?

  • @muharamiesther5908
    @muharamiesther5908 3 года назад +1

    Asante sana Rais wetu JPM na Mungu akubariki kwa mawazo mema na akulinde ukamilishe kusudi la utumishi wako kwa Taifa letu Tanzania.❤🇹🇿🙏

  • @gwajiboiboi8664
    @gwajiboiboi8664 3 года назад +3

    Sithani Kama Atakujaga Kutokea Raisi Mwenye Maono Makubwa Kama wew Mzee Wangu Upendo wangu kwako Mungu ndio anajua

  • @jacksonpeter3840
    @jacksonpeter3840 3 года назад +14

    Na ukileta mchezo unaliwa kichwa kama mkurugenzi wa igunga

  • @josephramsonmtukufu3149
    @josephramsonmtukufu3149 3 года назад +8

    I'm proud of you mr president

  • @jastinekanjost8073
    @jastinekanjost8073 3 года назад +15

    Dream became true 🙏

  • @marthaleonard2444
    @marthaleonard2444 3 года назад +3

    Wewe nakupenda bure !Mungu akubariki sana !Na tumbo lilokuzaa libarikiwe mno !!Nakemea kila mpango ovu juu yako !Malaika wafanye kituo kukulinda!Umenigusa moyo wangu ,naahidi kukuombea !

  • @azizawadh5973
    @azizawadh5973 3 года назад +7

    Mzee baba na pikipiki ushagonga uko sawa

  • @athumaniomari2833
    @athumaniomari2833 3 года назад +37

    Ewe mwenyezi MUNGU nazidi kukuomba enderea kumuongoza kumsimamia kumrinda na kuzidi kuimalisha afya yake raisi wangu

  • @christiankambuga9338
    @christiankambuga9338 3 года назад +8

    Asante sana mheshimiwa

  • @mussajohn8182
    @mussajohn8182 3 года назад +1

    Heshima kwako mtani wangu magufuli mungu akuongoze kazi zako zoooooote ilatu na sisi apo Dodoma mpunguzi tulete maendeleo hata uwanja za ndege weka mahala pazuli sana

  • @thomastemu3332
    @thomastemu3332 3 года назад +3

    Raisi hongera Sana unapiga kazi tunaona

  • @batatukatotolabikay5296
    @batatukatotolabikay5296 3 года назад +1

    Mwenyezi mungu akulinde, kiongozi kama wewe afrika ajawayi tokeya hata mmoja.
    May Allah protect you all the time our hero.

  • @daslamonline4665
    @daslamonline4665 3 года назад +18

    Mzee baba oyee

  • @kakaziller
    @kakaziller 3 года назад +13

    nakubali

  • @enockoward2656
    @enockoward2656 3 года назад +9

    Nasemaga huyu jamaa aongezewe Muda aiseee
    Kama na wewe unawaza kama mm gonga like

  • @dullasalim8603
    @dullasalim8603 3 года назад +15

    Mzee magu wewe nishida sijui kama tutakuja kumpata mtu kama wewe

  • @temuemanuel4671
    @temuemanuel4671 3 года назад +7

    Pamoja Ako Magu. Tunakuombea

  • @simonntibaziyaremye5607
    @simonntibaziyaremye5607 3 года назад +7

    Wewe Rais Magufuli Mungu akulinde tu sina mengine .wenzako majilani kuliko kutekeleza wanainchi wawo wanawawuwa tu eti sio wanachama au wanapinga chama.Hivyo wenzako kila siku hewani safali kwenda kwa Mabelelo !!!!!

  • @AliMohamed-kd1uc
    @AliMohamed-kd1uc 3 года назад +1

    Nakupendaga sana, nakuombea sana na Mungu akupe nguvu na hekima utuongoze

  • @elizabethmwandu6937
    @elizabethmwandu6937 3 года назад +2

    Mungu akutunze Mh Rais 🙏

  • @kakawamashariki8978
    @kakawamashariki8978 3 года назад +3

    "Tanzania ni tajiri" Watanzania tunaweza bila msaada kutoka kokote,isipokuwa kwa Mungu pekee. Salaam kwako Jpm.

  • @chuwafamily496
    @chuwafamily496 3 года назад +4

    Walio kuwa wanasubiri mkoa wao utajwe lakini haijatajwa naombeni like zenu😅😅😅

    • @husseinmkanga7794
      @husseinmkanga7794 3 года назад

      Alisema Watanzania wote wamechangia. Kwahiyo ni mikoa yote.

  • @fatmamatola393
    @fatmamatola393 3 года назад +1

    Safi baba yetu Mungu akulinde sana na akuongoze zaidi na zaidi na atawale miaka 20

  • @methuselayusto9708
    @methuselayusto9708 3 года назад +3

    Mungu akulinde rais wetu

  • @dicksoncario3365
    @dicksoncario3365 3 года назад +4

    indeed Tanzanians u av the very best prezo ever in the whole world hata natamani awe mkenya wetu lakini tuombeeni tupate kiongozi mwenye kuhudumia wakenya bila tamaa

  • @erickchitumbi1308
    @erickchitumbi1308 3 года назад +1

    Hakika ni kazi kubwa sana unayofanya mh.raisi.asiyekubali ni mfu.

  • @deusrobert1343
    @deusrobert1343 3 года назад +1

    Asante sana rais wetu kutuongoza kuelekea nchi ya asali na maziwa🇹🇿🦒

  • @emmanuelbuganga7325
    @emmanuelbuganga7325 3 года назад +2

    Ila we mzee uko karibu sana na mungu, Apo uliponea chupu chupu, na kwenye kupewa sumu, mungu, akusimamie. Maana una nia njema na nchi yako.

  • @adammwita3150
    @adammwita3150 3 года назад +4

    MUNGU akupe maisha marefu, 🇹🇿🙌

  • @exaudvahaye8873
    @exaudvahaye8873 3 года назад +1

    Tunakushukuru MUNGU kwa ajili ya Rais huyu Magufuli
    we love u

  • @mohamedmuhajiri4690
    @mohamedmuhajiri4690 3 года назад +8

    Nchi inaenda kwa kasi

  • @rogatiusscarion726
    @rogatiusscarion726 3 года назад +5

    Man of the people ✊

  • @williamlucas238
    @williamlucas238 3 года назад +3

    ",DR. JPM ,RAIS WA WATANZANIA HONGERA SANA KWA MOYO WA UZALENDO"

  • @zaharaniiddy5572
    @zaharaniiddy5572 3 года назад +1

    Mungu akubariki sana raisi wetu mpendwa JPM

  • @jescajulius8023
    @jescajulius8023 3 года назад +2

    Nimependa sana hii hongera mzee

  • @raboymziki336
    @raboymziki336 3 года назад +15

    Mi 5tena

    • @fredkyara3278
      @fredkyara3278 3 года назад

      Nasisi tunakuomva tukuongezee 10.tena baba

  • @dominicponsian4360
    @dominicponsian4360 3 года назад +4

    Oooh Rest In Peace Dr Magufuli💔💔🇹🇿✨

  • @margarethorgenes4874
    @margarethorgenes4874 3 года назад +2

    Hakika Rais Magufuli Ni mtu mwenye maono ya Hali ya juu Sana. Vyote hufanya kwa hisi za maono ya MUNGU. Ninakuombea kila siku Mungu akupe uhai mrefu.

  • @starlonejadamskp8224
    @starlonejadamskp8224 3 года назад +1

    🔥🇹🇿😜❤️ Mungu akupe maisha maref mkuu

  • @tozzaalexandar4905
    @tozzaalexandar4905 3 года назад +8

    Duu magu oyeeeeee

  • @missmwayway4704
    @missmwayway4704 3 года назад +11

    🙏🏼🙏🏼

  • @gladynicolaus956
    @gladynicolaus956 3 года назад +1

    Mungu akubariki na akulinde raisi wetu

  • @filbertodilo8035
    @filbertodilo8035 3 года назад +2

    😢😢😢 ingekua ridhaa yangu ungeendelea hadi kifo

  • @eliufoowiliam8882
    @eliufoowiliam8882 3 года назад +1

    Mungu akubariki sana na akulinde.

  • @mohamedindalo2663
    @mohamedindalo2663 3 года назад +3

    TANZANIA RAHA SANA

  • @jpintrospection1315
    @jpintrospection1315 3 года назад +1

    Mungu ibark Tz kw kupta kiongz mweny maon Kam huy

  • @lisajema743
    @lisajema743 3 года назад +5

    Magufuli ni mwanaume asee

  • @julianacharles6014
    @julianacharles6014 3 года назад +1

    Mungu akubariki Rais wangu 😢

  • @badmanwilly1784
    @badmanwilly1784 3 года назад +7

    Hujawah kosea mheshimiwa

  • @angelqwaray9174
    @angelqwaray9174 3 года назад

    Nakupenda sana mh rais wetu Mungu akupe maisha marefu baba nasisi tutaenda one day kutalii huko

  • @cephasalphaxard304
    @cephasalphaxard304 3 года назад

    Kazi zako zitaishi Baba pumzika kwa amani JPM the champion.

  • @kingwatabata4230
    @kingwatabata4230 3 года назад +3

    🎥NAIYONA TANZANIA IKIPAAAAA🇹🇿🚀

  • @michaelmedard5709
    @michaelmedard5709 3 года назад +3

    God bless our president abundantly

  • @salvatorsalvation1455
    @salvatorsalvation1455 3 года назад +4

    Goooooooooood