HII NDIO SIRI YA KUJENGA DARAJA LA JPM KIGONGO NA BUSISI, RAIS MAGUFULI AWEKA WAZI
HTML-код
- Опубликовано: 27 дек 2020
- Dec 28, 2020 Rais Magufuli akiwa njiani kuelekea nyumabni kwake Chato amekagua maendeleo ya Daraja la JPM Kigongo - Busisi ambalo litakuwa na urefu wa kilometa 3.2 na ndilo Daraja refu Afrika Mashariki na Kati
Nakupenda sana mkuu kwa maongezi yako napia kwa uthubutu wako,hakika tunakoenda panaonekana mkuu hii nchi yetu.Hudumu milele milele mkuu wangu Mhe Rais wetu /wetu John Pombe Joseph Magufuli
Usssitajeee chamaaa mkuuu semaa watanzania
Mungu akubariki mzee inshaallah tupo pamoja tunakupa mkono ntalipa kodi mara mbili kujenga Tanzania
Asanteee muheshimiwa nilpita juz tar 25 /12 aisee Mungu awe nawe
Mnaotaka magufuli. Asiondoke madarakani like ili tujuane
🤣
Mwenyezi Mungu akujalie maisha marefu na afya njema Mtukufu Rais wetu
Hongera mkuu holo ni letu wote niliwahi kupita hapo mars mbili
Tunashukuru kwa maono yako
Mungu akubariki sana
Hongera sana Rais wetu mpendwa Dr.JPM .MUNGU AKUBARIKI SANA KWA KUIPIGANIA NCHI YAKO, MUNGU AKUPE MAISHA MAREFU YENYE HERI,AFYA NJEMA NA BARAKA
Hakuna vyama vingi CCM yatosha. Vyama vingine vyote ni wabinafsi na pia wanatumiwa na wazungu wasio penda kuona maendeleo ya mwana wa afrika. Mugufuli ndio mkombozi wa bara la afrika nzima. Mungu akulinde Mh Raisi wa watu.
Mimi uwa namuita mfalme wa chato anaefanya tanzania ya watanzania kuwa bora mungu ibariki tanzania mungu ibariki Zanzibar mungu tubariki wote
A Successful Tanzania🇹🇿🇹🇿 is Success to East Africa and Africa as a whole... 🇰🇪 🇰🇪.
Big YESSS
Umesema vyema sana jirani yangu wa Kenya na ndugu zetu 👍
Hadi natamani niombe uraia niwe mtanzania...JPM sio wa kawaida aisee! Mungu akuongoze rais wangu wa Afrika! Mimi mKenya 🇰🇪
Tuko pa1 sana ndugu yetu cc watanzania tunakupenda sana
@@bojopa7 omba tu uraiya hamna shida fata vigezo tu mwamba
Ahsante sana uaweza kuomba kwa kigezo hicho karibu tZ
Kwa mkenya kupata uraia Tanzania ni rais sana karibu Sana ndugu yetu
Ingekuwa inawezekana tungebadilisha
Mungu azidi kukubariki na kulinda raisi wetu kamanda wetu mkombozi wetu....
Hongera Sana Mh. Rais tunaomba Mungu akupe maisha Marefu wewe nichaguo la Mungu.
Mungu akubariki Sana raisi wetu mpendwa John Pombe Joseph Magufuri kwa maono yako kwa watanzania
Safi of job highs UK 6
Naumia sana nikimsikiliza hyu baba
Mzalendo wa kweli no hypocrisy in you our president.
Mmmh ulisomea wap Mr Daudi
Nakupa mfano wa yesu....umekufa kwa ajili yetu baba
Mwenyezi Mungu anamakusudi na wewe rais wetu.
MUNGU AZIDI KUKUBARIKI NA KUKULINDA RAIS WETU MPENDA MAENDELEO. HONGERA SANA KIONGOZI WETU MAKINI
@@hermanshingisha8471 hakika Huyu.ndio kiongozi nasiyo kidokozi
My presider💪💪 Gonga kazi baba💪💪🤝
Pole sana mh!! Rais kwa yote hayo Mungu akutangulie katika harakati zako
Sina shaka na uongozi wa Raisi JPM. Mungu akulinde Watanzania tunakuhitaji.
😭😭😭😭😭
Babababababa we !!
Maisha Marefu Muheshimiwa RAIS 🙏🏿
😭😭😭
Tanzania is truly thriving. Keep it up Mr president. May God Bless Tanzania and all Tanzanians.
Amen
Mungu akupe maisha marefu ili ushuhudie Tanzania mpya. .
Mungu akubariki Baba(Mweshimiwa Rais Wangu)
Yani nilipoona Lissu anajigamba kuwa kwa vyovyote atangazwe yeye kama Rais alinitia hasira kabisa nikaamua kufunga biashara yangu kwenda kupiga tu kura ya Rais, maana hii nchi ingeuzwa kwa mabeberu, Magufuri Mungu akulinde wewe ni Baba wa Taifa hili, ungefuatia wewe baada ya Nyerere hii nchi tungekuwa mbali
Hahahaahaha!
Hongera sana mi niliwakuta kijiweni nikawauliza mmepiga kura wakasema hapana nikasema yess atapitaje
Atapitaje huyu Tundu wenu na hamkupiga kura
Aliyepashwa kufuatia baada ya Nyerere walimuua wahujumu uchumi lakini nawao wanateseka kwa sasa Sokoine
Congratulations 👏🏽 Tanzania 🇹🇿 of People’s and have love 💗 of his owns people’s citizens populations country ❤️
Mwenyezi MUNGU akubariki sana raisi wetu. Hongera sana kwa kutupigania sisi watanzani. Viongozi wa afrika tuige mfano huu wa uzalendo anaouonyesha mh. JPM. Kiukweli, hapa kazi tu.
Hongera sana mhe rais kwa uzalendo huu ulionao
THIS MAN IS MAKING US PROUD..... JPM MAKE TANZANIA GREAT AGAIN 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿✔
@Darron Cherpak hhdd
@Darron Cherpak l
@Darron Cherpak h
@Darron Cherpak hhhgg
@Darron Cherpak nnn
Hongera rais wetu
Serikali ya mwendo Kazi duo maana ya hapa Kazi tu JPM hoyee
Pongez sana mh rais mungu akupe nguvu na afya tele
Mungu ame kuepusha na kifo miaka hiyo kweli Mungu ni mwema
Kweli ulikuwa ni mpango wa Mungu
Kiki toka chuma kinakuja chuma after magu I wish aje majaliwa Kassimu weweeeee Kama ulaya kazikazi safi Sana JPM
Mungu akubariki raisi wetu akulinde inshaallah
Tujenge na ZANZIBAR rais wetu..daraja
Nadhani atajenga la underground mpka Zanzibar kama la Uk
Zanzibar akawajengea Rais wenu huko na sisi huku bara atatujengea MAGUFULI
Sawa kabisa rais mzalendo tunaweza sisi ni matajiri ila ufisadi ulituchelewesha, tawala miaka mingi mpaka roho za kifisadi ziishe.
Chuma kazini🔥🔥🔥🔥🔥
Congratulations president John Magufuli 👋🏽👍🏽🪐🌍🌏❤️💗🎉🥳💐🌹🥂👏🏽🙏🏽
Magufuli
We subiri siku moja atakuja na wazo la daraja kuunga Zanzibar na bara hii ni type nyingine kama mnategemea mipango ipangwe ulaya hapo mushafeli tunamaliza show wenyewe
Aaah mzee huyu hashindwi.
Hilo wazo lipo aliwahi kulisema bado maamuzi tuu ck akiamkaa amepanga kumaliza utata tutaona mengne
Kiukweli jemma yuko serious kikazi honestly anamaanisha yale asemayo mungu amuongoze Amin
Kabisa bro tuko pa1
@@mohammedally2289 na lazima watakuja kulijenga tu hilo daraja
Raisi wetu mpendwa❤
Tanzania first magufuli beloved President
Mbeba maono hafiiiiii,.
Dah mungu akulinde mzee
Mfalme namuona kwenye ubora wake
Ni Rais siyo mfalme. Elewa tofauti ya Rais na mfalme.
Dah jamani mungu atupe nini ndotumshukuru, watanzania ebu tumshukuru mungu kwakutupa kiongozi mwenye maona makubwa kama haya, mwenye udhubutu mkibwa kama huyu,aa huyu mtu cyo wakawaida inawezekana duniani hawez kutokea miaka mingi ijayo. binafisi natamani hata uongoze miaka mia aisee tubadishe katiba tusikubali watanzania kumpoteza joni asitafu tutampata nani kama yeye?
Asante sana Rais wetu JPM na Mungu akubariki kwa mawazo mema na akulinde ukamilishe kusudi la utumishi wako kwa Taifa letu Tanzania.❤🇹🇿🙏
Sithani Kama Atakujaga Kutokea Raisi Mwenye Maono Makubwa Kama wew Mzee Wangu Upendo wangu kwako Mungu ndio anajua
Na ukileta mchezo unaliwa kichwa kama mkurugenzi wa igunga
I'm proud of you mr president
Our president not yours alone
Dream became true 🙏
Wewe nakupenda bure !Mungu akubariki sana !Na tumbo lilokuzaa libarikiwe mno !!Nakemea kila mpango ovu juu yako !Malaika wafanye kituo kukulinda!Umenigusa moyo wangu ,naahidi kukuombea !
Mungu wetu mkuu amlinde!
Mzee baba na pikipiki ushagonga uko sawa
Ewe mwenyezi MUNGU nazidi kukuomba enderea kumuongoza kumsimamia kumrinda na kuzidi kuimalisha afya yake raisi wangu
Hatuponaye tena Mungu ameshamchukua. R.I.p Jpm
Asante sana mheshimiwa
Heshima kwako mtani wangu magufuli mungu akuongoze kazi zako zoooooote ilatu na sisi apo Dodoma mpunguzi tulete maendeleo hata uwanja za ndege weka mahala pazuli sana
Raisi hongera Sana unapiga kazi tunaona
Mwenyezi mungu akulinde, kiongozi kama wewe afrika ajawayi tokeya hata mmoja.
May Allah protect you all the time our hero.
Mzee baba oyee
nakubali
Nasemaga huyu jamaa aongezewe Muda aiseee
Kama na wewe unawaza kama mm gonga like
Mzee magu wewe nishida sijui kama tutakuja kumpata mtu kama wewe
Hkn tena kaka
Pamoja Ako Magu. Tunakuombea
Wewe Rais Magufuli Mungu akulinde tu sina mengine .wenzako majilani kuliko kutekeleza wanainchi wawo wanawawuwa tu eti sio wanachama au wanapinga chama.Hivyo wenzako kila siku hewani safali kwenda kwa Mabelelo !!!!!
Nakupendaga sana, nakuombea sana na Mungu akupe nguvu na hekima utuongoze
Mungu akutunze Mh Rais 🙏
"Tanzania ni tajiri" Watanzania tunaweza bila msaada kutoka kokote,isipokuwa kwa Mungu pekee. Salaam kwako Jpm.
Walio kuwa wanasubiri mkoa wao utajwe lakini haijatajwa naombeni like zenu😅😅😅
Alisema Watanzania wote wamechangia. Kwahiyo ni mikoa yote.
Safi baba yetu Mungu akulinde sana na akuongoze zaidi na zaidi na atawale miaka 20
Mungu akulinde rais wetu
indeed Tanzanians u av the very best prezo ever in the whole world hata natamani awe mkenya wetu lakini tuombeeni tupate kiongozi mwenye kuhudumia wakenya bila tamaa
Hakika ni kazi kubwa sana unayofanya mh.raisi.asiyekubali ni mfu.
Asante sana rais wetu kutuongoza kuelekea nchi ya asali na maziwa🇹🇿🦒
Ila we mzee uko karibu sana na mungu, Apo uliponea chupu chupu, na kwenye kupewa sumu, mungu, akusimamie. Maana una nia njema na nchi yako.
MUNGU akupe maisha marefu, 🇹🇿🙌
Tunakushukuru MUNGU kwa ajili ya Rais huyu Magufuli
we love u
Nchi inaenda kwa kasi
Man of the people ✊
",DR. JPM ,RAIS WA WATANZANIA HONGERA SANA KWA MOYO WA UZALENDO"
Mungu akubariki sana raisi wetu mpendwa JPM
Nimependa sana hii hongera mzee
Mi 5tena
Nasisi tunakuomva tukuongezee 10.tena baba
Oooh Rest In Peace Dr Magufuli💔💔🇹🇿✨
Hakika Rais Magufuli Ni mtu mwenye maono ya Hali ya juu Sana. Vyote hufanya kwa hisi za maono ya MUNGU. Ninakuombea kila siku Mungu akupe uhai mrefu.
🔥🇹🇿😜❤️ Mungu akupe maisha maref mkuu
Duu magu oyeeeeee
🙏🏼🙏🏼
Mungu akubariki na akulinde raisi wetu
😢😢😢 ingekua ridhaa yangu ungeendelea hadi kifo
Mungu akubariki sana na akulinde.
TANZANIA RAHA SANA
Mungu ibark Tz kw kupta kiongz mweny maon Kam huy
Magufuli ni mwanaume asee
Mungu akubariki Rais wangu 😢
Hujawah kosea mheshimiwa
Nakupenda sana mh rais wetu Mungu akupe maisha marefu baba nasisi tutaenda one day kutalii huko
Kazi zako zitaishi Baba pumzika kwa amani JPM the champion.
🎥NAIYONA TANZANIA IKIPAAAAA🇹🇿🚀
God bless our president abundantly
Goooooooooood