RAIS SAMIA ATAJA SABABU ZA KUMWONDOA BOSS TRA "UHUNI WOTE WA TRA UMEFANYWA NA WEWE, MLIKUWA MNAIBA"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 июл 2024
  • #UhondoTV #Uhondo

Комментарии • 174

  • @hamisimwinzagu6624
    @hamisimwinzagu6624 3 дня назад +34

    Ungemtumbua waziri wa fedha ingekua vzr sana maana watanzania tunalalamika ila bado yupo tu daa

    • @augustinekusekwa183
      @augustinekusekwa183 3 дня назад +1

      kabisa sio siri

    • @samsonhamery3809
      @samsonhamery3809 3 дня назад +1

      Si vyepesi Sana Rais yeyote kumtumbua Waziri wa fedha anless Rais awe hashirikiani naye kwa njia isiyofaaa Yaani mwaminifu kwelikweli awe na hakika hana makando kando ya kipato cha kificho

    • @Mima-cl2im
      @Mima-cl2im 3 дня назад +2

      Serikali hasikilizi wananchi. Power iko kwa watu, na serikali ni ya wananchi. Wabunge wako bungeni kusimamia haki zetu. Kwa sasa serikali ni ya CCM. Na wabunge wanakiwakilisha chama na sio watu. Mishahara yawo inalipwa na wananchi. Katiba mpya inatakiwa haraka kutuokowa kwenye huu utumwa mambo leo. Watu wasitegemee vyama vya siasa kupata haki zawo. Kila mtu awe na uhuru bila vyama. Walioiteka nchi kupitia vyama vya siasa. Tuseme tu haki, Watanzania wengi wako utumwani

    • @Mima-cl2im
      @Mima-cl2im 3 дня назад +1

      Waziri wa fedha ni kwenye group la wapigaji. Wananchi wamelalamika hawasikikizwi. Rais kajifanya bublu. Kuna Siri gani hapo?

    • @bundaman8542
      @bundaman8542 3 дня назад

      Watu mna roho mbaya hata bila sababu. Hivi bila Mwigulu asingekuwepo pale hiyo miradi mikubwa ingekuwa inatekelezeka. Ni ma trillion ya pesa yanahitajika. Usipokuwa na kichwa kama hicho utafanikiwa wapi. Nenda shule ndo ufahamu watu wanavyofanya kazi

  • @deogratiaskatinda9232
    @deogratiaskatinda9232 3 дня назад +15

    Nchi ikikosa kiongozi ni hatari sana!

    • @geey7893
      @geey7893 День назад +1

      yani ni aibu

  • @mayrfrimi4759
    @mayrfrimi4759 3 дня назад +17

    Mama Samia ukweli ni kwamba kulipa kodi hatuna shida, tatizo kodi zetu za Tz ni za juu mno, zinatuumiza sana

    • @kwisa4899
      @kwisa4899 3 дня назад +2

      kwahiyo zikipotea kwako huna shida ?

    • @section8ight174
      @section8ight174 2 дня назад

      Lol you have on of the lowest taxes in the world and there you are still complaining without doing your due diligence!! Make Google your friend kind sir!!

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 2 дня назад

      Ebu fikiria kodi asilimia 70 ya matumizi yao asilimia 30 ndio ya maendeleo hahaaa yaani wanamatumizi kama mchwa.Bado wanakopa toka Mwendazake atutoke kukopa kweli kweli na bado hajijulikani zinaenda wapi.Cha kushangaza anajua wanaiba anatamka wanaiba kisha bado anawaweka hao hao watanzania hivi tumelogwa ?

    • @HamisMghuna-fj3vz
      @HamisMghuna-fj3vz День назад

      Tz Tatizo shule w congo w Zambia Malawi msumbiji Burundi Rwanda wamekimbilia Mombasa kisa TRA Uganda hawana bandari lkn watu wanaenda Uganda, et rist mapato mtapata je

    • @bockerNyarusahi
      @bockerNyarusahi День назад

      Na matumizi yake pia

  • @Mima-cl2im
    @Mima-cl2im 3 дня назад +16

    Watu wanaiba kama hakuna serikali. Watu wanateseka, bunge limetekwa. Wananchi wanaotetea Mali za wanatanzania wanaambiwa wabebe Mizigo yawo watóke bungeni, utafikiri bunge ni la watu binafsi. Uwongo juu ya uwongo. Wabunge wote wakianza kutowa hoja zawo wanamushukuru Mwenyezi Mungu kisha wanamushukuru Rais. Rais amekuwa Mungu wa pili. huku hawatetei haki.. Wenye akiri zetu tunajuwa hizi ni sifa za uwongowa. Wanayoyasema pembeni wanajuwa wenyewe.. Wanaosema ukweli na watetezi wa haki wanafukuzwa bungeni. Haki iko wapi?

    • @rendiman2878
      @rendiman2878 3 дня назад

      Kwasababu matanganyika ni maoga kama mbwa koko

    • @Mima-cl2im
      @Mima-cl2im 2 дня назад

      @@rendiman2878 Na wewe ni raia wa wapi?

    • @rendiman2878
      @rendiman2878 2 дня назад

      @@Mima-cl2im huwa sijibu usenge huo. Mafisi mikishindwa hoja mnaanza kulliza uraia wa mtu kwasababu hamtaki kuambiwa ukweli

    • @section8ight174
      @section8ight174 2 дня назад

      Nyie wasenge sijui Wa Burundi ama Kongo, vipi mmetumwa nini kutuchokonoa?

    • @section8ight174
      @section8ight174 2 дня назад

      @@Mima-cl2immkongo Huyo! Nadhani wanalipwa na wazungu kutuchokonoa, wasenge wanafirwa hawa

  • @elioimer8423
    @elioimer8423 2 дня назад +4

    Kama mama Anasema mnaiba , kwa nini wasistakiwe. Nchi ya ajabu sana.

  • @elisharenatus9351
    @elisharenatus9351 2 дня назад +4

    Sema Rais ni mlalamikaji sana juu wezi badala ya kuchukua hatua ya kuwatumbua very sad

  • @geey7893
    @geey7893 День назад +1

    sjawahi kusikia speech ya hivi kutoka kwa raisi wa nchi ndugu zangu.kazi tunayo

  • @freddymtashi5020
    @freddymtashi5020 2 дня назад +3

    Kama unajua walikuwa wanaiba mbona huwachukulii hatua!!

  • @mwalimumstaafu8529
    @mwalimumstaafu8529 3 дня назад +7

    Professor anasema tunakopa sababu sisi matajiri. Mama hiyo kauli Mh Mwigulu alikuwa atumbuliwe. Ukweli ni kwamba mapato hayaridhishi. Mama matumizi yasiyo ya lazima yapungue. Nashangaa waziri wa fedha halipi kipaumbele. Ripoti ya CAG zinaonyesha pesa nyingi inapotea kwa uzembe wa wafanyakazi. Napendekeza tuwe na sheria kali dhidi ya ubadhirifu wa mali ya umma.

    • @section8ight174
      @section8ight174 2 дня назад

      Kunyongwa tu kama wanavyofanya Uchina au kukata vidole kadiri unavyozidi Kuiba kama Saudi

    • @Mima-cl2im
      @Mima-cl2im 2 дня назад

      Waziri wa fedha hajtali hali ya watanzania. Huyu yumo kwenye kundli la mafisadi ndiyo maana anasema sisi ni matajiri. Ukiingia kwenye siasa unatajirika bila kuwa na kiwanda. Tayali, kisha mmutayalisha Mtoto wake kuingia kwenye siasa. Tanzania tutawaliwa na Hawo Hawo viongozi wetu. Wakitoka wawo wanashika watoto wawo. Vijijini watu wanakula majani. Watoto bado wanakaa chini. Walisema elimu bure, ni Uwongo. Viongozi wetu wanaishi kitajiri na kufumbia macho shida za wananchi. . Mama anakopa anamwaga, watu kama wakina Mwiguru wanachota, Rais hana habari wanamuziba macho na masikio kwa kumpa sifa, mama anaupiga mwingi. Watanzania tuna shida kubwa sana kwa elimu yetu ndogo.

  • @PeterNMzee
    @PeterNMzee 2 дня назад +2

    Nasikia kichefu2

  • @gm003
    @gm003 2 дня назад +2

    Mtu anaeiba anawezaje kupewa kazi ingine???
    Unatuambia nini Mama Abdul sisi Watanzania Mafala?

  • @justinemsela3593
    @justinemsela3593 3 дня назад +3

    Mh rais wetu Samia, kwann watu au taasisi zinazotajwa na CAG kufuja pesa za uma hawachukuliwi hatua za kisheria na kiwajibishwa

  • @gm003
    @gm003 2 дня назад +1

    Kutokopa mama Abdul kunawezekana, PUNGUZA ZIGO LA MATUMIZI YA SERIKALI...mashangingi na mianya ya kupotea kwa pesa za walipakodi, kupitia watendaji wa serikali...na hii kazi ccm haimuwezi.

  • @michaelmabula7444
    @michaelmabula7444 3 дня назад +2

    Mama naomba uwe serious na watz
    Wengi majizi ,ndo maana nchi haisogei

  • @deogratiaskatinda9232
    @deogratiaskatinda9232 3 дня назад +3

    Mchoma picha ya raisi yupo sero ilihali wezi na mafisadi wanaachwa tu kwa kubembelezwabembelezwa! Tanzania na vichekesho vya viongozi wetu.

  • @ngamugamahonzelosanga3316
    @ngamugamahonzelosanga3316 2 дня назад +1

    Punguzeni VAT ni kubwa mno wekeni walau iwe 12% ili waingizwame walipa kodi wengi zaidi

  • @Piscesblair
    @Piscesblair День назад

    Hongera Sana Mama yetu. Tutanyooka tu. Mdogomdogo. Bado Halmashauri zetu.

  • @lukomanomaliki5442
    @lukomanomaliki5442 3 дня назад +4

    Hivi vyeo vya kupeana vina tabu sana.Mtu anaharibu hapa anapelekwa pale.

  • @MATIKO9640
    @MATIKO9640 2 дня назад +3

    Katiba ya nchi yetu hakika ilitudhurumu haki yetu ya msingi ya kupiga kura, kumchagua kiongozi takwa letu sisi wananchi na sio takwa la katiba ya zamani ambayo haina hata mchango wa mawazo yetu sisi kama raia wa sasa tunaongozwa, huko ni kutuburuza, kutulazimisha kukubali maamuzi ambayo hatukushiriki, Dah!. hayati rais wa Iran alipofariki kwa ajali, uchaguzi ukaitishwa ili kupata rais wa wananchi, na hivyo ndivyo inavyotakiwa hata katiba iwe,makamu wa rais hatumchagui sisi, inakuwaje then anakuwa rais na hatujamchagua? au mimi ndo sielewi, basi mnisaidie mawazo.

  • @yusufurhobi9678
    @yusufurhobi9678 3 дня назад +3

    Sio kwamba wanakula kulingana na urefu wa kamba yao

  • @amohammed3390
    @amohammed3390 3 дня назад +1

    If there’s system of justice there would be no stealing but caring thieves is not acceptable

  • @MalamboSelijusi
    @MalamboSelijusi 3 дня назад +3

    Mwigulu yupo njiani nawengine nimeshasoma nyakati

  • @raymondtenga
    @raymondtenga 2 дня назад +1

    Mama nakupongeza kwa jitihada ZAKO. Ulinip nafasi ya kukushauri, nitakujulisha Kama ifuatavyo:- Watoza Kodi Wana elimu ya kutoza Kodi lakini walipa Kodi hawana elimu ya kulipa Kodi. 2 Walipa Kodi wakifanya makosa Wana adhabu(penalty) Watoza Kodi wakifanya makosa hawana adhabu. Ukubwa wa adhabu unatoa fursa ya watoza Kodi Kutengeneza fursa za rushwa na wizi. 3 mbinu za kushawishi ongezeko la wafanyabiashara NI dhaifu. Njia za wafanyabiashara kupata mtaji NI finyu. Mifumo ya mikopo NI mibovu ( mikopo kausha damu) imezidi na inadumaza biashara. Waziri wa biashara na viwanda awe na eliminate yakinifu ya ujasiriamali ( Entrepreneur ship knowledge know how.)

  • @mabondolawrence1812
    @mabondolawrence1812 3 дня назад +7

    Mwizi anakaa mesa Moja na muheshimiwa! Mwizi.....nani analinda raia na Mali zao? Nani anapambana na kuzuia rushwa?

  • @kwisa4899
    @kwisa4899 3 дня назад +1

    Anahistoria ya wizi arafu Tiss inapatika kazi nchi ngumu hii

  • @elibarikimollel7149
    @elibarikimollel7149 2 дня назад +1

    Haya yote unayokataza yanakujaje kila mara yanajirudia,na ĺundo la kodi tusilolimudu linakujaje?! Uongozi wa juu umeshindwa kubuni vyanzo vya kodi tofauti na kukamua wananchi tu?! Huyu waziri wa fedha hana ubunifu tofauti akaacha kukopa mfululizo huku anatuletea tozo mfululizo!? Loh! Mtatuua lkn na ninyi mtakufa mtaziacha

  • @raymondjohn3798
    @raymondjohn3798 3 дня назад +1

    Kodi bado IPO juu Sana, especially kuna watu wa nao ishi nje ya nchi ambao wanapotaka kurudi nyumbani huja na Mali zao Sasa Kwa Nini walipe Kodi ya Mali zao???wakati nivitu walipata Kwa Kazi zao.

  • @gm003
    @gm003 2 дня назад +1

    Mama Abdul, unafurahisha, Kidata jizi, sasa ndo MSHAURI WAKO WA KODI, haaa Watz kweli sisi ni mafala, ilibifi tuingie mitaani jana na sio kesho, ccm wanatuchezea!!

  • @ImamuKitale
    @ImamuKitale 2 дня назад +1

    2:28 magufuli tuu

  • @jeremiahngoka4980
    @jeremiahngoka4980 3 дня назад +1

    Nchi ya kulalamika kila mmoja.Aibu sana

  • @iddiabdallah7352
    @iddiabdallah7352 3 дня назад +2

    Tra ,takukuru,ewura,tcra,nida ni institution zinazotakiwa ziangaliwe kwa jicho sanifu mlo kwani ni sekta nyeti ktk maendeleo ya nchi why?we lives like this?

  • @user-ze6lx9ng6s
    @user-ze6lx9ng6s 3 дня назад +2

    Waziri ndiyo fisadi,tumbua mawaziri wako,huyo umemuonea,

  • @siamollel6051
    @siamollel6051 3 дня назад +1

    Jamani ,jamani,Tuafika kweli?Maisha nimagumu

  • @samsonhamery3809
    @samsonhamery3809 3 дня назад +1

    Kwa kauli hii ya Rais ni kama kusema "Mchawi mpe mwanao akulelee"

  • @generosennko8343
    @generosennko8343 3 дня назад +1

    Viongozi mweenye skio na asikie. Mama kwa utulivu amewapa hekima ktk kuongoza kwenu.hakubakisha kitu. Please go and perform. Asante mamakwa maneno yenye mshiko. I hope wameelewa ulivyowaagia. Mungu barikiTanznia

    • @GibsonNtamamilo
      @GibsonNtamamilo День назад

      Huwezi kumteua unayejua kuwa alikuwa anaiba. Hii inaumiza sana tena .Binafsi nimesikitika sana.

  • @MagrethKatondo-qs9oz
    @MagrethKatondo-qs9oz День назад

    Mmmmhhh mungu tuhurumie.

  • @jolitabukabengwe3070
    @jolitabukabengwe3070 3 дня назад +3

    Mama SMAIA SULUHU HASSAN.
    Umenena vizuri umeelewaka.
    Sasa Fukuza kazi Majizi yote serkalini ili update pesa za kuendesha shughuri za serkali.. usiyaoneee huruma kabisa. Ukifanya hivyo utaona hazina pesa zinajaaa tele..

  • @majaliwabwitonde6900
    @majaliwabwitonde6900 3 дня назад +3

    Kumbe walikuwa wanaiba

  • @MariaCassian-e2i
    @MariaCassian-e2i День назад

    Sina lakusema zaidi ya😂😂😂😂 maana kama mwizi wa kuku yupo segerea au kauwawa wezi wa fedha ya serikali❤❤❤

  • @selemanijumaselemani7191
    @selemanijumaselemani7191 День назад

    Shida wanakusanya kisha wanaiba pengo linazibwa na mikopo,mzigo unabaki palepale kwa wananchi kulipa deni, hiyo ndio mifumo ya viongozi wa Africa tunaomba Mungu amuongoze.

  • @MalamboSelijusi
    @MalamboSelijusi 3 дня назад +1

    Kweli mama

  • @user-rn9og1rk3l
    @user-rn9og1rk3l 3 дня назад +8

    Unamtumaje mwizi akafichue mbinu za wizi alizoziweka mwenyewe???
    SSH Watanzania siyo wajinga kiasi hicho...
    Wewe sema umemtoa kidata kwa chuki binafsi...
    Wewe mama ni wa hovyo sana

    • @htx1873
      @htx1873 День назад

      Trust me I wonder the same way , !! Like hooooooowww ?😮 yani hai make sense kwa kweli, eti mwizi akawabadilishe wezi wenzie 😂😂😂😂 jamani nimechekaaaaaaa😂😂😂

  • @MathewNathan-yb2bz
    @MathewNathan-yb2bz 3 дня назад

    Hongera mama,kuwa mkali sana na usicheke na kima.

  • @michaelmoro4801
    @michaelmoro4801 3 дня назад

    Safi sana mama kwa maneno mazuri nakupenda sana

  • @Nedjadist
    @Nedjadist 3 дня назад +2

    Watu wamewaibia wananchi maskini yab idi kwanza wzfilisiwe pili makama tatu warudishe mali. Marufuku kufanya kazi ya umma milele. Halafu anamteua mtu anayekiri ni mwizi! Unauchekea ufisadi! Ila mtu akipasua picha....

  • @davidmgedzi9879
    @davidmgedzi9879 2 дня назад

    Mama nakuelewa ila ebu tumbua kidogo shida mama una hofu ta mungu sana watu wanaona km we we huna sumu ebu wang,ate kwanza😅

  • @rahimmaulid2283
    @rahimmaulid2283 День назад

    Tatizo tukishauri serikali ndo utasikia ila mimi kama kijana Anaependa nchi yake ukweli mama yangu Rais wangu kumtoa kidata Dar cjui ili sijazungumza vibaya dr es salaam inatakiwa mtu kamq mzee wetu kidata Aliweza sana tena sana

  • @PeterNMzee
    @PeterNMzee 2 дня назад

    Hamna kitu hapa.....hata hiyo hela mliyo kopa mmeiba.....madeni sisi ndo tutalipa.....anyway nadhani mnaona yakiotokea kenya

  • @edgerphanuel6967
    @edgerphanuel6967 День назад

    Kila la kher

  • @ignasnyembo1256
    @ignasnyembo1256 12 часов назад

    Mungu wangu jamani nchi haina rais

  • @JonathanMwandala-hs3ld
    @JonathanMwandala-hs3ld 2 дня назад +1

    Yaaani unajua kwamba ni mwizi afu unampa tena cheo,daaah hatare sana iii

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 2 дня назад +1

      Sikuwahi kuona kushuhudia kusikia Raisi wa nchi anaongea hivi inasikitisha mno

  • @htx1873
    @htx1873 День назад

    Fisi anapelekwa kwenye mifupa halafu tunaexpect asile mifupa , jamani hivini ni kweli ? 🥴🥴🥴 Time will Tell !!!

  • @ndorobocarworks-dx4pf
    @ndorobocarworks-dx4pf 2 дня назад

    Mama mpole mpole ila kama mkali kiaina

  • @nasibuathumani7705
    @nasibuathumani7705 3 дня назад +1

    Nataman siku moja. Nikutane na mama. Nimwambie njia nyingine ya kupata pesa. Nampenda sana

  • @PaschalGerad-xq4lw
    @PaschalGerad-xq4lw День назад

    Ao wanalipwa msahara mkubwa alafu unawachekea kuwa mkali kama umeshindwa kaapembeni ata akuna point uloifanya apo

  • @JonasMathias-s6m
    @JonasMathias-s6m 2 дня назад

    Bora tufe sisi watoto wetu waishi kesho,hatuna rais hapa

  • @msowamhokole7714
    @msowamhokole7714 2 дня назад

    Mama leo mkali umekuwa

  • @hijaabdalah9235
    @hijaabdalah9235 2 дня назад

    waislam awaibaki mama umecheza kama pele

  • @bettyrugemalila9185
    @bettyrugemalila9185 День назад

    Angemtumbua waziri wa Fedha,ni mwizi halafu kiburi cna

  • @richardrugemalira6934
    @richardrugemalira6934 2 дня назад

    BIG UP mama! Nimeipenda level ya seriousness ktk hotuba. Lakini wahusika ktk system wawajibishwe wanaohujumu mapato

    • @sylvestercameo6263
      @sylvestercameo6263 День назад

      Actions speak louder than words! Otherwise these are mere orders of the day!

    • @user-lw3tg3yg5b
      @user-lw3tg3yg5b 15 часов назад

      Nanni awajibiswe na liniwawajibishe? Ripoti za cag nani aliwajibiswa? Hayo maneno tu

  • @florencemeza6540
    @florencemeza6540 День назад

    Huyo ndo ataiba zaidi ya hao

  • @geey7893
    @geey7893 День назад

    we si ulisema Magufuli alkua anakusanya kodi za manyanyaso? sasa mikopo ya nini? bado hamjasemaaaaaa

  • @lawrencegwerino1656
    @lawrencegwerino1656 День назад

    Unafiki viongozi raisi akiongea wanasimama wanainama unafiki ,sisi watu weusi alieturoga alishakufa….

  • @ReginaJoseph-cm3cx
    @ReginaJoseph-cm3cx 2 дня назад

    Ali participate halafu akazibe

  • @iddyekanda6456
    @iddyekanda6456 День назад

    Kuna majizi yanaiba hayashitakiwi alafu wananchi tunakamuliwa kulipa kodi punguza kodi iwe rafiki na mfanya biashara hakuna mwananchi atahepa kulipa kodi,, Kariakoo ukinunua bidhaa ukiitisha risiti unaulizwa upewe risiti ya kusafirisha bidhaa au ya kununulia,

  • @alexdukes5547
    @alexdukes5547 2 дня назад

    Mwarubain nikutengeneza mfumo mmoja unayokusanha mapato yote ya serikali na taasisi zake,hii kunyesheana vidole hata hujuwi pesa zako zinaibiwa wapi ni uongo,kila unapolala hakikisha umefunga hesabu zako za makusanyo kila siku,kumbuka pesa ni namba unashindwaje kutengeneza mfumo unayoweza kuzibiti rushwa?😊

  • @BonyGood
    @BonyGood День назад

    Mama Suluhu

  • @theonalyalfred8087
    @theonalyalfred8087 День назад

    Tunashida miaka5

  • @lusajomwaipopo5042
    @lusajomwaipopo5042 День назад

    Inchi NGumu hii bila mageuzi ya kimfumo taifa litasota saana

  • @MalamboSelijusi
    @MalamboSelijusi 3 дня назад +1

    Nikweli mama ila angalieni kiwango mnacho toza

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 2 дня назад

      Shida ni hiyo hawaangalii ngo'mbe anahitaji nini mpaka afikie kukamuliwa maziwa, wao kazi yao kukamua tu mpaka ngo'mbe atoke damu badala ya kutoa maziwa

  • @PaschalGerad-xq4lw
    @PaschalGerad-xq4lw День назад

    Mama achavupumbavu selikali siyo mumewako. Acha kunyenyekea kiivo unaangamizanchi. Toa kauli za kishujaaa ao wapumbavu wanakucholatu. Kwamala yakwanza nchi itachafuka kwenye uongoziwako

  • @gosbertrwezahura3645
    @gosbertrwezahura3645 3 дня назад +3

    Samia nchi imekushinda. Una woga mwingi. Huna udhubutu, unawaogopa wala rushwa wenzako. Ripoti ya CAG imekushinda kuifanyia kazi. Tumepiga kelele mpaka tumechoka. Mnakusanya kodi zinaishia kwenye mifuko yenu. Kama hamkujifunza kutoka Kenya basi zibeni masikio.

    • @rayisadesigns2646
      @rayisadesigns2646 3 дня назад

      Utafungwa na domo lako hilo, hivi ukiulizwa unaweza kutoa uthibitisho kwa hicho unachomshutumia raisi?!

    • @BraxedaDomina-xn4zc
      @BraxedaDomina-xn4zc 7 часов назад

      ​@@rayisadesigns2646Acha kutisha watu bro

  • @SanziNzige
    @SanziNzige 3 дня назад

    Na mwigulu ndo tatizo kubwa katika taifa hili wengine ndo wanafuata.mwigulu jamani

  • @user-vb8ki3jo9t
    @user-vb8ki3jo9t 3 дня назад

    Mama safiiii

  • @MagrethKatondo-qs9oz
    @MagrethKatondo-qs9oz День назад

    Mungu tusaidie wewe peke yako hakuna mwingine. Na waziri wa fedha je? Mmmh .

  • @gabrielsanya3278
    @gabrielsanya3278 2 дня назад +1

    Mtumbue waziri wako wa fedha yeye ndiye KASWENDE KUBWA matatizo yote ya RUSHWA Bandarini, Kariakoo yeye anjua Siri zote na ndiye mtoa maagizo ya kusamehesha KODI. Utawabadilisha Makamishina na Kuwatumbua kwa maelfu lakini hujajibu KIDONDA.

  • @alexkatama4341
    @alexkatama4341 2 дня назад

    Tukodishe management ya TRA kutoka nje kwa mwaka mmoja tu....Wabunge pia wanapaswa kulipa kodi

  • @ImamuKitale
    @ImamuKitale 2 дня назад

    2:28

  • @user-so8uh8bt5t
    @user-so8uh8bt5t 3 дня назад

    Mama usiogope vimbe mungu zamana uliopewa utakuja kuulizwa komaa maangu nyoosha kama mtangulizi wako kwahili umenikuna

  • @simonsadala2386
    @simonsadala2386 3 дня назад

    Mh Rais umemalizia vyema kwa kusema cheo ni dhamana

  • @mayrfrimi4759
    @mayrfrimi4759 3 дня назад +4

    Samia wetu mpendwa, tafadhali ondoa matumizi yasio ya lazima serekalini, mfano, magar ya garama, kwa baadhi ya viongoz,

  • @zobakazizi7637
    @zobakazizi7637 3 дня назад

    Rudisheni mfumo wa kusajili wafanya biashara hata mama lishe. Ili mjue jinsi ya kuwasaidia.

  • @user-wj6zj1ly4e
    @user-wj6zj1ly4e 2 дня назад

    Maneno mazuri kbx, tatzo linakuja wap? Rais au wateule wake? Rais mm nakuelewa sana lkn skupi kura maana unaoteua wote ni mizgo,

  • @MohamedBlanker-jw9qy
    @MohamedBlanker-jw9qy 2 дня назад

    Mama kata mzizi hayo matawi unayaonea tu

  • @thomaskwibonelwa9240
    @thomaskwibonelwa9240 День назад

    Ni ajabu kiongozi kulalamika. Watanzania tupo milioni 60, kwanini akumbatiwe mwizi mmoja! Wapo wenye sifa, shida hawajui kuimba mapambio kusifia.

  • @nsiamasawe4578
    @nsiamasawe4578 2 дня назад

    Manabii na mitume wa uongo walipe kodi wanawaibia wananchi maskini

  • @user-cy5jg4cx7i
    @user-cy5jg4cx7i 3 дня назад

    Ni kweli wafanyabiashara mikoani hawazitumii EFD ukiwauliza list wanasema hawamuelewi waziri wako wa fedha mbadilishe ili nchi iende

  • @MartineShija
    @MartineShija 3 дня назад

    Msicheke tunaumizwa Sana Maumeme nayo niwizi2 wabunge nao wanakunja posho2 walahata hawalisemei hilo wamebaki

  • @deogratiaskatinda9232
    @deogratiaskatinda9232 3 дня назад

    Mbwa mwitu akipewa nafasi ya kuchunga kondo, je kondoo watapona? Hatuna kiongozi!

  • @msamanga2277
    @msamanga2277 3 дня назад

    Mama hii ni kweli kabisa, waambie wapunguzue kukopa

  • @lailafakhihaji
    @lailafakhihaji 3 дня назад

    Wanakusanya wanatia mfukoni TRA ni cance ambayo haina dawa katika kiwanja Cha ndege dar wanakwambia kabisa mzigo wako bei ya kawaida ni milioni lakini ukitoa laki Tano nakuandia lakitatu laki mbili mfukoni mwake kwa siku anakusanya ngapi cargo huko na ushahidi ninao wanasumbua sana watu

  • @majaliwaharuna4064
    @majaliwaharuna4064 2 дня назад

    Suala la kuiba fedha za serikali ni kweli wanaiba lakini mama unaposhindwa kuwachukulia hatua hao wizi ni wazi kuwa hata huyo mpya ataishi kama waliotangulia.unapomtengua mtu Kisha anakuwa mshauri wako sijui unategemea nn hapo

  • @EmmanuelMalola-l9i
    @EmmanuelMalola-l9i 3 дня назад

    Nchi za we huu ndo zina tawaliwa na ke,😅😅😅 tanganyika bwana imavaa ckti

  • @ImamuKitale
    @ImamuKitale 2 дня назад

    Magufuli tuu

  • @user-no2ut7yd3e
    @user-no2ut7yd3e 3 дня назад

    Mama kumbe sasa umewagundua kwa ushauri ondoa waziri wa fedha,mambo ya nje,mipango na mawasiliano hawa wanacheni kali ila ni ya wazi sana tunaiona kwani wananini ,mama wafuatilie na ukihitaji msaada tupo.Ushauri sina kinyongo ila nakuhurumia kwa kutuhangaikia na wezi wanakucheka .

  • @feiswalsalim2117
    @feiswalsalim2117 3 дня назад

    kwani mum haukuona mjpmba alikuwa akifanya kazi kwa hosipitali ya vetinary hapo wito kwani mum haukuiona nikuwa tu nikupatarifa

  • @bundalaizina652
    @bundalaizina652 3 дня назад

    Bashe jee

  • @feiswalsalim2117
    @feiswalsalim2117 3 дня назад

    mum aslm uko sahihi lakoni uiiziba ukuta sip suluhisho chaa mchongi ni ufutoliajia kunapoelekea kisha muwape vicado vyakuwa umengiza mzogo kisha haujalipia ndio utajuwa kuwa ilikuwa ni shida imemkabili or tabia yao kishaa tutawakua hapo hilo ni ombi sio kuwa nafahamu

  • @SanziNzige
    @SanziNzige 3 дня назад

    Yani na limwigulu limo TU HUMO ndani? na wewe mama una mwangalia TU mwigulu kafanya zuri lipi huyo unamuacha HUMO?. NI vichekesho TU.

  • @mwalimhamad3825
    @mwalimhamad3825 3 дня назад

    Hii sio sawa paka kulinda kitoeo mchawi kumpa mtoto alee kutia mkono kizani dawa ni kuwambia hadharani mama samia tunakukubali ila chukua hatua na sio mikwala tu waondoe kazini moja kwa moja nia yako nzuri ila wakazie kuachisha kazi 1 badala ya mwengine washazoea anza na waziri wa fedha ndio anaepitisha miamala