RAIS SAMIA AFICHUA SIRI, AMPA MAAGIZO MAGUMU WAZIRI JAFO, "SITAKI UKAE OFISINI, KARIAKOO KUNA SIASA"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 июл 2024
  • #UhondoTV #Uhondo

Комментарии • 31

  • @OptimisticMoonLanding-jd2ho
    @OptimisticMoonLanding-jd2ho 3 дня назад +4

    Namkubali xana Jaffo,Namuomba Yaarab amuongoze zaid.

  • @charlesmwambinga4355
    @charlesmwambinga4355 3 дня назад +3

    Hongera Sana Mama Mh Samia Raisi wetu , Jafo atatufaa sana...eneo la Viwanda na Biashara

  • @amohammed3390
    @amohammed3390 3 дня назад +1

    Dar kunataka kujengwa shopping complex 4 au zaidi zitoshe

  • @jedidahbintidaudi8241
    @jedidahbintidaudi8241 3 дня назад +2

    Mh Jafo, you need to be innovative- mbunifu. haya anayosema Mama ni sawa kabisa ila isiwe unataka tuu kupokea kutoka kwake ya utekelezaji na wewe jiongeze..go ouit there and think what needs to be done then act accordingly. this is now your ministry, sit down with your subordinates and draw done a plan come up with tactics and strategies, divide amongst yurselves these tasks. You also need to involve enterprenuers for more ideas and w/nchi in general. you will be very successful..Jafo, our nation has a huge expectation from yu man!!!

  • @Dottosumun
    @Dottosumun 3 дня назад +1

    Safi sana samia kwakumuamini jafo

  • @JaphetKilimba-zo2iz
    @JaphetKilimba-zo2iz 2 дня назад

    Asante mama kwakumvalisha kiatu selemani jaffo kiatusaiziake

  • @ANYELWISYEGODWIN
    @ANYELWISYEGODWIN 2 дня назад +1

    Huyu jamaa hawezi mwangusha mama!!!

  • @kakawamashariki8978
    @kakawamashariki8978 3 дня назад +2

    Pongezi kwako mh. raisi Samia, kumbe! ukimya wako ni wa kimkakati yaani unapima na kufuatilia yote yanayojiri ili upate mzizi ambao ndiyo suruhu ya tatizo husika. Hakika ' Mavuno ni mengi lakini watenda kazi ni wachache' yaani baadhi ya wateuliwa wanaonyesha unyenyekevu usiyo kifani siku ya uapisho baada ya hapo business as usual.

  • @jedidahbintidaudi8241
    @jedidahbintidaudi8241 3 дня назад +2

    tunaomba pia masoko mengine yote nchini mama..waziri Jafo awe benet na TRA pia...kodi kubwa

  • @stedeteam531
    @stedeteam531 21 час назад

    AHSANTE SANA
    MAMA KIUKWELI MIE BINAFSI
    NNAMKUBALI JAFO
    IN SHAAA ALLLAAAH
    NNAMUOMBA ALLLAAAH AMTANGULIE

  • @richkaja3317
    @richkaja3317 3 дня назад +1

    Mama kumbe viongozi wako unawajua vizuri tumbua majipu acha huruma

  • @richardnott4403
    @richardnott4403 3 дня назад +1

    Hapo sawa naunga mkono wasajiliwe kama alivyo fanya jpm

  • @user-cz7bd9tc5k
    @user-cz7bd9tc5k 3 дня назад +1

    Mama Hapo ume sema kweli na huo ndio ukweli Wenyewe Nime kubariki sana

  • @ImaculathaMasuka
    @ImaculathaMasuka 17 часов назад

    Mama uko vizur.Mimi nakupenda mama.

  • @paulokateme7615
    @paulokateme7615 2 дня назад

    Nakushukuru mno bi mkubwa kwa kukubali kwamba ipo tofauti kati ya Mwanaume na mwanamke.
    Na vile vile mrekebishie Profesional wa uchumi atamwangusha.

  • @Optionxll_Playz1
    @Optionxll_Playz1 3 дня назад

    Kalikoo zingekuwa kama tatu hivi au 4 Dar ni kubwa sana wekeni mtandao mzuri simjifunze Rwanda wanavyofanya .

  • @iddiabdallah7352
    @iddiabdallah7352 3 дня назад

    😱🫣tumezoea maneno mazuri mama km haya je wanaopewa majukumu km hayo kwenda kutenda utendaji sahihi wote tuwe satisfy na maisha yaende,nimependa kila miezi 3 au week 3 km nimechanganya hapo maana tofauti na hapo ndio inaleta kutoelewana 🙏🏿☝️🤲

  • @Dottosumun
    @Dottosumun 3 дня назад

    Piya mludishe silinde tamisemi

  • @amohammed3390
    @amohammed3390 3 дня назад

    Hapa Dar inataka kujengwa shopping centres kama 4 ili zitosheleze hmahitaji. Kariakoo jengo tokea mkoloni. Ni kufumba macho na kujenga shopping centres Dar kwanza kisha mikoa mengine. Rais wasaidizi wake hawamshauri vizuri kama hawajatembea nje ya nchi.

  • @NhonokaStephano
    @NhonokaStephano 3 дня назад

    Nimemwelewa rais

  • @user-qg1iy5ov3u
    @user-qg1iy5ov3u 3 дня назад

    Mikopo kwenye ap ya mitandaoni inatuumiza ni zaidi ya kausha damu tusaidie

  • @stewartdyamvunye-wz6rn
    @stewartdyamvunye-wz6rn 12 часов назад

    Sasa mhe. rais na dada yangu. Ni sahihi kabisa kupangua safu ya watendaji wako kwa kuzingatia mazingira mbalimbaliì unayoyaona katika kuendesha nchi. Kitu kimoja, nashauri, unapotuma wasaidizi wako field naona ingefaa nawe uwe ukinyanyuka na kuwafuatilia, mithili ya Nyerere, Karume, Sokoine, baba Mwinyi, Magufuli nk. hawa watangulizi wako walikuwa hawalali, wakiwa na ziara za mara kwa mara mikoani. Kwa kweli sijaona ukitokwa jasho ziara za humu nchini ukifuatilia/kusimamia maagizo/miradi mbalimbali. Wasaidizi wako wakijua hawatafuatiliwa, nakuhakikishia watalala tu au kukupa ripoti za uongo! Ila sasa ziara za nje ya nchi naona upo vizuri. Pili nimeshangaa leo unasema hauelewi kwa nini waziri anagombana/haelewani na katibu mkuu wake au wafuasi wake waandamizi. Umesahau na kusahau kibinadamu. Siku za nyuma uliwahi sema unajua kwa nini wanagombana. Nikukumbushe, ulisema: wanagombea posho, safari za kikazi nk. Ukaongeza/ukawaonya kwamba kila mmoja ajue mipaka yake na mbuzi ale kwa urefu wa kamba/mkia wake! Na kwamba hakika umegumdua kwamba kwa sasa wanakula hadi wanavimbewa! Amina.

  • @jumanneselemani2172
    @jumanneselemani2172 3 дня назад

    NAJIVUNIA KUWA NA RAIS SAMIA.UPO VZR MAMA TUNAKUPENDA.

  • @user-ze6lx9ng6s
    @user-ze6lx9ng6s 3 дня назад

    Miezi mitatu si unahalalisha ufisadi wewe mama, wananchi tunaumia na ufisadi wako, RIP JPM

  • @zacharianjanga
    @zacharianjanga 3 дня назад +1

    Hongera mama yetu kipenzi

  • @user-qg1iy5ov3u
    @user-qg1iy5ov3u 3 дня назад

    Mikopo ya mitandaoni inatudhalilisha sana tusaidie mheshimiwa rais

    • @rayisadesigns2646
      @rayisadesigns2646 2 дня назад

      😂😂😂 hao jamaa hawafai hata kidogo, ukichelewa tu kuwalipa wanakutangaza mwizi na tapeli ktk mitandao na kuwatumia msg watu wote waliokuwa kwenye namba yako ya simu uliyowapa. Kuna jamaa mmoja walimfanyia hivyo akataka kuwapeleka mahakamani walimharibia heshima yake yote kwa shilingi elfu 30 tu. Jamaa hawana subira hata kidogo, kiufupi hayo ni magenge ya wezi tu 😂😂😂😂😂

    • @yonakisarangata4608
      @yonakisarangata4608 День назад

      Acha kukopa, Kam utak kudhalilishwa

  • @AleiHadji-js3ed
    @AleiHadji-js3ed 3 дня назад +1

    Mama ni kweli kuna Kazi mwanamke Heshma Lazima ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @zobakazizi7637
    @zobakazizi7637 3 дня назад

    Hakuna dample za kisasa Jafo amefailisha taifa. Serikali inashindwa nini kujenga dample kusaidia kuondoa uchafu mitaani?