Mh Jafo, you need to be innovative- mbunifu. haya anayosema Mama ni sawa kabisa ila isiwe unataka tuu kupokea kutoka kwake ya utekelezaji na wewe jiongeze..go ouit there and think what needs to be done then act accordingly. this is now your ministry, sit down with your subordinates and draw done a plan come up with tactics and strategies, divide amongst yurselves these tasks. You also need to involve enterprenuers for more ideas and w/nchi in general. you will be very successful..Jafo, our nation has a huge expectation from yu man!!!
Pongezi kwako mh. raisi Samia, kumbe! ukimya wako ni wa kimkakati yaani unapima na kufuatilia yote yanayojiri ili upate mzizi ambao ndiyo suruhu ya tatizo husika. Hakika ' Mavuno ni mengi lakini watenda kazi ni wachache' yaani baadhi ya wateuliwa wanaonyesha unyenyekevu usiyo kifani siku ya uapisho baada ya hapo business as usual.
😱🫣tumezoea maneno mazuri mama km haya je wanaopewa majukumu km hayo kwenda kutenda utendaji sahihi wote tuwe satisfy na maisha yaende,nimependa kila miezi 3 au week 3 km nimechanganya hapo maana tofauti na hapo ndio inaleta kutoelewana 🙏🏿☝️🤲
Hapa Dar inataka kujengwa shopping centres kama 4 ili zitosheleze hmahitaji. Kariakoo jengo tokea mkoloni. Ni kufumba macho na kujenga shopping centres Dar kwanza kisha mikoa mengine. Rais wasaidizi wake hawamshauri vizuri kama hawajatembea nje ya nchi.
Sasa mhe. rais na dada yangu. Ni sahihi kabisa kupangua safu ya watendaji wako kwa kuzingatia mazingira mbalimbaliì unayoyaona katika kuendesha nchi. Kitu kimoja, nashauri, unapotuma wasaidizi wako field naona ingefaa nawe uwe ukinyanyuka na kuwafuatilia, mithili ya Nyerere, Karume, Sokoine, baba Mwinyi, Magufuli nk. hawa watangulizi wako walikuwa hawalali, wakiwa na ziara za mara kwa mara mikoani. Kwa kweli sijaona ukitokwa jasho ziara za humu nchini ukifuatilia/kusimamia maagizo/miradi mbalimbali. Wasaidizi wako wakijua hawatafuatiliwa, nakuhakikishia watalala tu au kukupa ripoti za uongo! Ila sasa ziara za nje ya nchi naona upo vizuri. Pili nimeshangaa leo unasema hauelewi kwa nini waziri anagombana/haelewani na katibu mkuu wake au wafuasi wake waandamizi. Umesahau na kusahau kibinadamu. Siku za nyuma uliwahi sema unajua kwa nini wanagombana. Nikukumbushe, ulisema: wanagombea posho, safari za kikazi nk. Ukaongeza/ukawaonya kwamba kila mmoja ajue mipaka yake na mbuzi ale kwa urefu wa kamba/mkia wake! Na kwamba hakika umegumdua kwamba kwa sasa wanakula hadi wanavimbewa! Amina.
😂😂😂 hao jamaa hawafai hata kidogo, ukichelewa tu kuwalipa wanakutangaza mwizi na tapeli ktk mitandao na kuwatumia msg watu wote waliokuwa kwenye namba yako ya simu uliyowapa. Kuna jamaa mmoja walimfanyia hivyo akataka kuwapeleka mahakamani walimharibia heshima yake yote kwa shilingi elfu 30 tu. Jamaa hawana subira hata kidogo, kiufupi hayo ni magenge ya wezi tu 😂😂😂😂😂
Namkubali xana Jaffo,Namuomba Yaarab amuongoze zaid.
Hongera Sana Mama Mh Samia Raisi wetu , Jafo atatufaa sana...eneo la Viwanda na Biashara
Dar kunataka kujengwa shopping complex 4 au zaidi zitoshe
Mh Jafo, you need to be innovative- mbunifu. haya anayosema Mama ni sawa kabisa ila isiwe unataka tuu kupokea kutoka kwake ya utekelezaji na wewe jiongeze..go ouit there and think what needs to be done then act accordingly. this is now your ministry, sit down with your subordinates and draw done a plan come up with tactics and strategies, divide amongst yurselves these tasks. You also need to involve enterprenuers for more ideas and w/nchi in general. you will be very successful..Jafo, our nation has a huge expectation from yu man!!!
Safi sana samia kwakumuamini jafo
Asante mama kwakumvalisha kiatu selemani jaffo kiatusaiziake
Huyu jamaa hawezi mwangusha mama!!!
Pongezi kwako mh. raisi Samia, kumbe! ukimya wako ni wa kimkakati yaani unapima na kufuatilia yote yanayojiri ili upate mzizi ambao ndiyo suruhu ya tatizo husika. Hakika ' Mavuno ni mengi lakini watenda kazi ni wachache' yaani baadhi ya wateuliwa wanaonyesha unyenyekevu usiyo kifani siku ya uapisho baada ya hapo business as usual.
tunaomba pia masoko mengine yote nchini mama..waziri Jafo awe benet na TRA pia...kodi kubwa
AHSANTE SANA
MAMA KIUKWELI MIE BINAFSI
NNAMKUBALI JAFO
IN SHAAA ALLLAAAH
NNAMUOMBA ALLLAAAH AMTANGULIE
Mama kumbe viongozi wako unawajua vizuri tumbua majipu acha huruma
Hapo sawa naunga mkono wasajiliwe kama alivyo fanya jpm
Mama Hapo ume sema kweli na huo ndio ukweli Wenyewe Nime kubariki sana
Mama uko vizur.Mimi nakupenda mama.
Nakushukuru mno bi mkubwa kwa kukubali kwamba ipo tofauti kati ya Mwanaume na mwanamke.
Na vile vile mrekebishie Profesional wa uchumi atamwangusha.
Kalikoo zingekuwa kama tatu hivi au 4 Dar ni kubwa sana wekeni mtandao mzuri simjifunze Rwanda wanavyofanya .
😱🫣tumezoea maneno mazuri mama km haya je wanaopewa majukumu km hayo kwenda kutenda utendaji sahihi wote tuwe satisfy na maisha yaende,nimependa kila miezi 3 au week 3 km nimechanganya hapo maana tofauti na hapo ndio inaleta kutoelewana 🙏🏿☝️🤲
Piya mludishe silinde tamisemi
Hapa Dar inataka kujengwa shopping centres kama 4 ili zitosheleze hmahitaji. Kariakoo jengo tokea mkoloni. Ni kufumba macho na kujenga shopping centres Dar kwanza kisha mikoa mengine. Rais wasaidizi wake hawamshauri vizuri kama hawajatembea nje ya nchi.
Nimemwelewa rais
Mikopo kwenye ap ya mitandaoni inatuumiza ni zaidi ya kausha damu tusaidie
Sasa mhe. rais na dada yangu. Ni sahihi kabisa kupangua safu ya watendaji wako kwa kuzingatia mazingira mbalimbaliì unayoyaona katika kuendesha nchi. Kitu kimoja, nashauri, unapotuma wasaidizi wako field naona ingefaa nawe uwe ukinyanyuka na kuwafuatilia, mithili ya Nyerere, Karume, Sokoine, baba Mwinyi, Magufuli nk. hawa watangulizi wako walikuwa hawalali, wakiwa na ziara za mara kwa mara mikoani. Kwa kweli sijaona ukitokwa jasho ziara za humu nchini ukifuatilia/kusimamia maagizo/miradi mbalimbali. Wasaidizi wako wakijua hawatafuatiliwa, nakuhakikishia watalala tu au kukupa ripoti za uongo! Ila sasa ziara za nje ya nchi naona upo vizuri. Pili nimeshangaa leo unasema hauelewi kwa nini waziri anagombana/haelewani na katibu mkuu wake au wafuasi wake waandamizi. Umesahau na kusahau kibinadamu. Siku za nyuma uliwahi sema unajua kwa nini wanagombana. Nikukumbushe, ulisema: wanagombea posho, safari za kikazi nk. Ukaongeza/ukawaonya kwamba kila mmoja ajue mipaka yake na mbuzi ale kwa urefu wa kamba/mkia wake! Na kwamba hakika umegumdua kwamba kwa sasa wanakula hadi wanavimbewa! Amina.
NAJIVUNIA KUWA NA RAIS SAMIA.UPO VZR MAMA TUNAKUPENDA.
Miezi mitatu si unahalalisha ufisadi wewe mama, wananchi tunaumia na ufisadi wako, RIP JPM
Hongera mama yetu kipenzi
Mikopo ya mitandaoni inatudhalilisha sana tusaidie mheshimiwa rais
😂😂😂 hao jamaa hawafai hata kidogo, ukichelewa tu kuwalipa wanakutangaza mwizi na tapeli ktk mitandao na kuwatumia msg watu wote waliokuwa kwenye namba yako ya simu uliyowapa. Kuna jamaa mmoja walimfanyia hivyo akataka kuwapeleka mahakamani walimharibia heshima yake yote kwa shilingi elfu 30 tu. Jamaa hawana subira hata kidogo, kiufupi hayo ni magenge ya wezi tu 😂😂😂😂😂
Acha kukopa, Kam utak kudhalilishwa
Mama ni kweli kuna Kazi mwanamke Heshma Lazima ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Hakuna dample za kisasa Jafo amefailisha taifa. Serikali inashindwa nini kujenga dample kusaidia kuondoa uchafu mitaani?