Mhe Makonda mkuu wa Mkoa Wa Arusha wafundishe hao kazihawajui wamekalia yulee huyuuu hawatoshi mungu awaone haooo piga kazi wewe nikiongozi wawanyonge wateteeee mpaka mwisho ❤🎉🎉🎉
Makonda mkoa wa Mara uko hovyo sanaaaaa hasa ktk huduma za Afya...watu wanakufa wakiwa wanasubiri huduma...madactari na wauguzi wamkoa huu wengi niwababe sanaaa..tunataman ungekuwa kwenye mkoa wetu utusaidie ktk hili Ndgu zetu wanapoteza maisha kwa uzembe kbs wa watoa huduma..yani inasikitisha sanaaa Tunaye mkuu wetu wa mkoa lkn nikama Simba aliyekufa ni afadhali ya mbwa aliye hai Watu niwazembe Sana mahospitalini..Juzi nilikuwa nyasho hospital nikasikia mama mmoja analia kwa uchungu akisema HIVI NININI KILICHOMUUWA MAGUFULII...INASIKITISHA SANA BAADHI YA WAUGUZI NA MADACTARI WA HOVYO HAWA KUENDELEA KUWEPO
Kama makonda yule aliweza aliweza kufanyiwa yooote hayo vp mpinzani au mwananchi wa kawaida kuna watu wanarudishwa nyuma wanafilisiwa kwa mambo ambaya awajayatenda
Mr. Makonda mwanzoni sikukuelewa pindi uko Dar maana nilipenda kusikia habar za vijiweni na sikuwahi kukufuatlia ila kwa sasa nimekuelewa vzr , pepea kama iwekanavyo tunakuunga mkono
Mimi sikatai kwamba anafanya vizurri....lakini kwenye hio issue yeye ndo alizingua ...hivo vitu alikua anahitaji apate msamaha wa kodi....na mwenye mamlaka hayo ni raisi....yeye hakufanya communication nzurri na raisi....sasaivi anazungumza...hata kama ni kweli Kuna hayo mambo yalitokea sijui kupigwa vita na watu....ila kwa upande mwengine alizingua alitakiwa amshirikishe raisi kuanzia mwanzo ....sasa anakuja mwishoni alafu anataka msamaha wa kodi....na mwenye mamlaka hayo ni raisi kwa mujibu wa katiba
Makonda safi sana piga kazi Mungu akutangulie
Hata saizi mh. Wanasema kuwa huyu anajitafutia jina. Lakini mungu akulinde nasi tunakuombea
Mhe Makonda mkuu wa Mkoa Wa Arusha wafundishe hao kazihawajui wamekalia yulee huyuuu hawatoshi mungu awaone haooo piga kazi wewe nikiongozi wawanyonge wateteeee mpaka mwisho ❤🎉🎉🎉
Nakuona mbali sana rais ajae
Piga Kaz mkuu mwenyezi mungu akulinde
Huyu Makonda namuona Akiwa Rais wa Tanzania
Amen mh hayo maombi kiboko watandikee sawasawa na sisi tunakuombea
pambana kama,, wazalendo wa kweli vita huwa ni Kali sana
Kiongozi wa kweli mungu akulinde
Tatizo tukiwapata watu kama hawa ambao mda wote wanamtukuza mungu huwa hawakaagi sana sjui kwanini
Wanalishwa sumu wanakufa
Fact man of God.
Makonda mungu akulinde uingiapo na utokapo
makonda Nakuona mbali mno
Wewe piga kazi Mungu anakupigania.
Makonda ni president ujae kaza buti
Makonda mkoa wa Mara uko hovyo sanaaaaa hasa ktk huduma za Afya...watu wanakufa wakiwa wanasubiri huduma...madactari na wauguzi wamkoa huu wengi niwababe sanaaa..tunataman ungekuwa kwenye mkoa wetu utusaidie ktk hili
Ndgu zetu wanapoteza maisha kwa uzembe kbs wa watoa huduma..yani inasikitisha sanaaa
Tunaye mkuu wetu wa mkoa lkn nikama Simba aliyekufa ni afadhali ya mbwa aliye hai
Watu niwazembe Sana mahospitalini..Juzi nilikuwa nyasho hospital nikasikia mama mmoja analia kwa uchungu akisema HIVI NININI KILICHOMUUWA MAGUFULII...INASIKITISHA SANA BAADHI YA WAUGUZI NA MADACTARI WA HOVYO HAWA KUENDELEA KUWEPO
Huo Mkoa wetu umeshindikana kaka. Sjui tulilaaniwa na Nyerere
Liandike kwenye page ya waziri wa afya na umtagi samia huku kwa makonda hakuna kitu mi nakaa nyakato nimesikitishwa sana
My leader
Pole sana
Makonda uko sahihi
Good broo pambana na Jiji la East Africa ❤
Makonda Hongeraaa sanaaa kaka!hakika unajua pande mbili uongozi na maisha harisia ya mwananchi
Keep on my brother @ Hon Paul Makonda
Makonda nskupenda sana bro
Pole
Safi sana
Watu Wana Roho mbaya tu
Makonda soon unakuja kuwa Rais
Maombi ya kusambaratisha vikao vya sirini😅😅😅
Uko sahihi lakini sio la kukumbuka sababu aliokua waziri wa fedha ni boss wako😅
Siasa za bongoo😂😂
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤kweli
Makonda MUNGU azidi kukulinda na kukuongezea ujasiri
Huyu jamaa,awe president wa Tz,,🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
❤❤❤
Muongo wewe na nyumba uliyotaka kumtapeli GSM Nayo
Utasemaje? Mshahara wa mkuu wa Mkoa amepata wapi hela ya kununua nyumba eneo hilo??
Go up📤
God bless you bro
🎉
Kama makonda yule aliweza aliweza kufanyiwa yooote hayo vp mpinzani au mwananchi wa kawaida kuna watu wanarudishwa nyuma wanafilisiwa kwa mambo ambaya awajayatenda
Mtasema tu ..😂😂
Mr. Makonda mwanzoni sikukuelewa pindi uko Dar maana nilipenda kusikia habar za vijiweni na sikuwahi kukufuatlia ila kwa sasa nimekuelewa vzr , pepea kama iwekanavyo tunakuunga mkono
Makonda tunamuomba Kilimanjaro aje afanye jambo!
Transparency sio Transparent!
Ila umeelewa😂
wajinga kama nyie mnaangaliaga spelling mnaacha content
Sawa mwalimu, ulichokiona ndo hicho tu??😢😢,
POLE MATATIZO HAYO YAPO SEHEMU NYINGI NCHINI
Wewe ndo ulizingua ....hukufata utaratibu wa kuleta vitu kutoka nje
au wewe naye ulikuwa mmoja wao🧐
Makonda ni kiongozi mzuri bro
Mimi sikatai kwamba anafanya vizurri....lakini kwenye hio issue yeye ndo alizingua ...hivo vitu alikua anahitaji apate msamaha wa kodi....na mwenye mamlaka hayo ni raisi....yeye hakufanya communication nzurri na raisi....sasaivi anazungumza...hata kama ni kweli Kuna hayo mambo yalitokea sijui kupigwa vita na watu....ila kwa upande mwengine alizingua alitakiwa amshirikishe raisi kuanzia mwanzo ....sasa anakuja mwishoni alafu anataka msamaha wa kodi....na mwenye mamlaka hayo ni raisi kwa mujibu wa katiba
Ndo wale wale
Muongo
Na magu alikupiga vita?Muongo
Hajasema magu!! Amesema watu walimpelekea Rais magu taarifa ambayo sio sahihi
Daddy alimpenda mako da kwa kazi nzuri kushinda kiongozi yoyote Ila wale kwenye wivu ndio walimchanganya daddy
unaagizaje vitu pasipo kuwasiliana na mamlaka ?
Shida ukishawasiliana nao, wanaanzisha choko, mara oooh ooh ooh
ofisi ya mkoa ni mamlaka vilevile halaf msaada ni siyo taarifa ni unaweza hakuna anayeukataa
@@Nijuzetzdigitalhakuna alie juu ya sheria ndugu yangu Mkuu wa mkoa anausikakaje Kwene ofc za TRA na Bandari tumia akili kidogo
Alichelewa kumwambia magu
We mwongo ilikua mpigaji magum ataperiwi
Mccm bhana hayana hata akili, Sasa Hilo jambo mbona lilikuwa dogo tu
Tapeli
Taperi nani sasa kuma ww ungekua kenya ushakufa mbwa wew
@@BabaZuu-fq8zj Na atawapiga sana pumbu watu msokuwa na akili kama wewe
❤❤❤
🎉