Kwa uchungu MAKONDA afichua ukweli wote, MAKONTENA yake yaliyokamatwa kipindi cha MAGUFULI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 окт 2024

Комментарии • 76

  • @eradiusdezideri
    @eradiusdezideri 2 месяца назад +6

    Makonda safi sana piga kazi Mungu akutangulie

  • @FredrickKyando
    @FredrickKyando 2 месяца назад +18

    Hata saizi mh. Wanasema kuwa huyu anajitafutia jina. Lakini mungu akulinde nasi tunakuombea

  • @menelus911mene5
    @menelus911mene5 2 месяца назад +7

    Mhe Makonda mkuu wa Mkoa Wa Arusha wafundishe hao kazihawajui wamekalia yulee huyuuu hawatoshi mungu awaone haooo piga kazi wewe nikiongozi wawanyonge wateteeee mpaka mwisho ❤🎉🎉🎉

  • @kastorkidumu6579
    @kastorkidumu6579 2 месяца назад +6

    Nakuona mbali sana rais ajae

  • @fransismsaki303
    @fransismsaki303 2 месяца назад +6

    Piga Kaz mkuu mwenyezi mungu akulinde

  • @JacksonMbites
    @JacksonMbites 2 месяца назад +19

    Huyu Makonda namuona Akiwa Rais wa Tanzania

  • @gladistaemanueliy6336
    @gladistaemanueliy6336 2 месяца назад +6

    Amen mh hayo maombi kiboko watandikee sawasawa na sisi tunakuombea

  • @DottoMussa-ro6rw
    @DottoMussa-ro6rw 2 месяца назад +3

    pambana kama,, wazalendo wa kweli vita huwa ni Kali sana

  • @DafiMohamed-dz8xk
    @DafiMohamed-dz8xk 2 месяца назад +7

    Kiongozi wa kweli mungu akulinde

  • @eliyalaiza6768
    @eliyalaiza6768 2 месяца назад +8

    Tatizo tukiwapata watu kama hawa ambao mda wote wanamtukuza mungu huwa hawakaagi sana sjui kwanini

    • @geey7893
      @geey7893 2 месяца назад

      Wanalishwa sumu wanakufa

  • @stephenkilalacharles1981
    @stephenkilalacharles1981 2 месяца назад +13

    Fact man of God.

  • @ShekySwai
    @ShekySwai 2 месяца назад

    Makonda mungu akulinde uingiapo na utokapo

  • @ScopionScopion-zj9cd
    @ScopionScopion-zj9cd 3 месяца назад +15

    makonda Nakuona mbali mno

  • @eliasthomas1547
    @eliasthomas1547 2 месяца назад +4

    Wewe piga kazi Mungu anakupigania.

  • @Micaelamerico8699
    @Micaelamerico8699 2 месяца назад +14

    Makonda ni president ujae kaza buti

  • @Teddy-k9o3v
    @Teddy-k9o3v 2 месяца назад +3

    Makonda mkoa wa Mara uko hovyo sanaaaaa hasa ktk huduma za Afya...watu wanakufa wakiwa wanasubiri huduma...madactari na wauguzi wamkoa huu wengi niwababe sanaaa..tunataman ungekuwa kwenye mkoa wetu utusaidie ktk hili
    Ndgu zetu wanapoteza maisha kwa uzembe kbs wa watoa huduma..yani inasikitisha sanaaa
    Tunaye mkuu wetu wa mkoa lkn nikama Simba aliyekufa ni afadhali ya mbwa aliye hai
    Watu niwazembe Sana mahospitalini..Juzi nilikuwa nyasho hospital nikasikia mama mmoja analia kwa uchungu akisema HIVI NININI KILICHOMUUWA MAGUFULII...INASIKITISHA SANA BAADHI YA WAUGUZI NA MADACTARI WA HOVYO HAWA KUENDELEA KUWEPO

    • @geey7893
      @geey7893 2 месяца назад

      Huo Mkoa wetu umeshindikana kaka. Sjui tulilaaniwa na Nyerere

    • @eng.lazarongoro
      @eng.lazarongoro 2 месяца назад

      Liandike kwenye page ya waziri wa afya na umtagi samia huku kwa makonda hakuna kitu mi nakaa nyakato nimesikitishwa sana

  • @jasirimjasirimedia7940
    @jasirimjasirimedia7940 2 месяца назад +4

    My leader

  • @JosephineAlex-d8f
    @JosephineAlex-d8f 2 месяца назад

    Pole sana

  • @MathewNathan-yb2bz
    @MathewNathan-yb2bz 2 месяца назад +2

    Makonda uko sahihi

  • @brunotemu8069
    @brunotemu8069 2 месяца назад +2

    Good broo pambana na Jiji la East Africa ❤

  • @YusuphNdakama
    @YusuphNdakama 2 месяца назад

    Makonda Hongeraaa sanaaa kaka!hakika unajua pande mbili uongozi na maisha harisia ya mwananchi

  • @bitutuatemba2164
    @bitutuatemba2164 2 месяца назад +1

    Keep on my brother @ Hon Paul Makonda

  • @amourmunga8356
    @amourmunga8356 2 месяца назад +1

    Makonda nskupenda sana bro

  • @SaidKudavada
    @SaidKudavada 2 месяца назад

    Pole

  • @JOSEPHPETERMACHOTA
    @JOSEPHPETERMACHOTA 2 месяца назад +1

    Safi sana

  • @Optionxll_Playz1
    @Optionxll_Playz1 2 месяца назад +3

    Watu Wana Roho mbaya tu

  • @paulmaganga9700
    @paulmaganga9700 2 месяца назад

    Makonda soon unakuja kuwa Rais

  • @davidnyambuche352
    @davidnyambuche352 2 месяца назад +2

    Maombi ya kusambaratisha vikao vya sirini😅😅😅

  • @MilamboMarco
    @MilamboMarco 2 месяца назад +1

    Uko sahihi lakini sio la kukumbuka sababu aliokua waziri wa fedha ni boss wako😅

  • @salumjabir813
    @salumjabir813 2 месяца назад +3

    Siasa za bongoo😂😂

  • @BakariMapua-t9u
    @BakariMapua-t9u 2 месяца назад

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤kweli

  • @JamesSichimata-w1u
    @JamesSichimata-w1u 2 месяца назад

    Makonda MUNGU azidi kukulinda na kukuongezea ujasiri

  • @emmanuelaloyce932
    @emmanuelaloyce932 2 месяца назад

    Huyu jamaa,awe president wa Tz,,🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @exaverysimon1064
    @exaverysimon1064 2 месяца назад +1

    ❤❤❤

  • @hamidabarraball3162
    @hamidabarraball3162 2 месяца назад +1

    Muongo wewe na nyumba uliyotaka kumtapeli GSM Nayo
    Utasemaje? Mshahara wa mkuu wa Mkoa amepata wapi hela ya kununua nyumba eneo hilo??

  • @nuhhumwakanyamale4771
    @nuhhumwakanyamale4771 2 месяца назад +1

    Go up📤
    God bless you bro

  • @IbrahimHajiDini
    @IbrahimHajiDini 2 месяца назад

    🎉

  • @ibrahimjoseph3221
    @ibrahimjoseph3221 2 месяца назад

    Kama makonda yule aliweza aliweza kufanyiwa yooote hayo vp mpinzani au mwananchi wa kawaida kuna watu wanarudishwa nyuma wanafilisiwa kwa mambo ambaya awajayatenda

  • @nimrodsigulu6249
    @nimrodsigulu6249 2 месяца назад

    Mtasema tu ..😂😂

  • @CharlesKalisa-p1g
    @CharlesKalisa-p1g 2 месяца назад

    Mr. Makonda mwanzoni sikukuelewa pindi uko Dar maana nilipenda kusikia habar za vijiweni na sikuwahi kukufuatlia ila kwa sasa nimekuelewa vzr , pepea kama iwekanavyo tunakuunga mkono

  • @silasmarandu1485
    @silasmarandu1485 2 месяца назад

    Makonda tunamuomba Kilimanjaro aje afanye jambo!

  • @karyori69
    @karyori69 2 месяца назад +1

    Transparency sio Transparent!

    • @josephmussa0625
      @josephmussa0625 2 месяца назад +1

      Ila umeelewa😂

    • @gregory6165
      @gregory6165 2 месяца назад +1

      wajinga kama nyie mnaangaliaga spelling mnaacha content

    • @georgemhalla8853
      @georgemhalla8853 2 месяца назад

      Sawa mwalimu, ulichokiona ndo hicho tu??😢😢,

  • @dennisngonyani1795
    @dennisngonyani1795 2 месяца назад

    POLE MATATIZO HAYO YAPO SEHEMU NYINGI NCHINI

  • @bny3595
    @bny3595 2 месяца назад +8

    Wewe ndo ulizingua ....hukufata utaratibu wa kuleta vitu kutoka nje

    • @denisyohana8104
      @denisyohana8104 2 месяца назад +4

      au wewe naye ulikuwa mmoja wao🧐

    • @paulsibu5770
      @paulsibu5770 2 месяца назад +3

      Makonda ni kiongozi mzuri bro

    • @bny3595
      @bny3595 2 месяца назад

      Mimi sikatai kwamba anafanya vizurri....lakini kwenye hio issue yeye ndo alizingua ...hivo vitu alikua anahitaji apate msamaha wa kodi....na mwenye mamlaka hayo ni raisi....yeye hakufanya communication nzurri na raisi....sasaivi anazungumza...hata kama ni kweli Kuna hayo mambo yalitokea sijui kupigwa vita na watu....ila kwa upande mwengine alizingua alitakiwa amshirikishe raisi kuanzia mwanzo ....sasa anakuja mwishoni alafu anataka msamaha wa kodi....na mwenye mamlaka hayo ni raisi kwa mujibu wa katiba

    • @ndetitave466
      @ndetitave466 2 месяца назад

      Ndo wale wale

    • @JosephineDeus-tb5tr
      @JosephineDeus-tb5tr 2 месяца назад

      Muongo

  • @JosephineDeus-tb5tr
    @JosephineDeus-tb5tr 2 месяца назад +1

    Na magu alikupiga vita?Muongo

    • @kefamwakipesile275
      @kefamwakipesile275 2 месяца назад +2

      Hajasema magu!! Amesema watu walimpelekea Rais magu taarifa ambayo sio sahihi

    • @jenyyusuph4973
      @jenyyusuph4973 2 месяца назад +2

      Daddy alimpenda mako da kwa kazi nzuri kushinda kiongozi yoyote Ila wale kwenye wivu ndio walimchanganya daddy

  • @kwisa4899
    @kwisa4899 2 месяца назад +4

    unaagizaje vitu pasipo kuwasiliana na mamlaka ?

    • @nicasissa
      @nicasissa 2 месяца назад

      Shida ukishawasiliana nao, wanaanzisha choko, mara oooh ooh ooh

    • @Nijuzetzdigital
      @Nijuzetzdigital 2 месяца назад +1

      ofisi ya mkoa ni mamlaka vilevile halaf msaada ni siyo taarifa ni unaweza hakuna anayeukataa

    • @kwisa4899
      @kwisa4899 2 месяца назад

      ​@@Nijuzetzdigitalhakuna alie juu ya sheria ndugu yangu Mkuu wa mkoa anausikakaje Kwene ofc za TRA na Bandari tumia akili kidogo

    • @LameckZakaria-qg9vv
      @LameckZakaria-qg9vv 2 месяца назад +1

      Alichelewa kumwambia magu

  • @MjuniLaulian
    @MjuniLaulian 2 месяца назад

    We mwongo ilikua mpigaji magum ataperiwi

  • @DavidKagulu
    @DavidKagulu 2 месяца назад +1

    Mccm bhana hayana hata akili, Sasa Hilo jambo mbona lilikuwa dogo tu

  • @hoseastephen4508
    @hoseastephen4508 2 месяца назад +1

    Tapeli

    • @BabaZuu-fq8zj
      @BabaZuu-fq8zj 2 месяца назад

      Taperi nani sasa kuma ww ungekua kenya ushakufa mbwa wew

    • @hoseastephen4508
      @hoseastephen4508 2 месяца назад

      @@BabaZuu-fq8zj Na atawapiga sana pumbu watu msokuwa na akili kama wewe

  • @exaverysimon1064
    @exaverysimon1064 2 месяца назад

    ❤❤❤

  • @sujaiazicani9510
    @sujaiazicani9510 2 месяца назад

    🎉