Hongera sana Zungu kwakutuletea ukumbusho Mh Makonda ni jembe jeshi la mtu mmoja mchapa kazi asiye na majivuno 🎉🎉🎉🎉Hongera nyinyi Mh Makonda Mungu akulinde akupiganie uchape kazi hakika ww ni kiongozi wa wanyonge 🎉🎉🎉
Kwani uongo wengi wanalala tu Bungeni wengine wabunge ndiyo wanafiki na wenye msimamo madawa ya kulevya viongozi wao wako humo humo ndani ya Serikali yetu
makonda anafanya kazi kwa ajir ya wana nchi na sio vihongozi wa selikali ambao wanajali matumbo yao. nasema kwamba ukwuli una uma.fanya kazi makonda mungu atakulipa
Pamoja na mabaya yakeee nayoyaskia ila madhal ni kiongozi mkubwa ambae anakemea ushoga hadharani bila kuogopa niko pamoja na wanaotaman kuwa awe Rais na kura nitampigia akigombea😊😊😊
Hongera Sana mchambuzii Charles wiliamu hii ndio faida ya kuhifadhi kumbukumbu za matukio zinatusaidia kufanya rejea (kweli Makonda ni jembe ni sawa na bondia anayejua kukwepa ngumi za uso maana hizo hupekekea kushindwa pambano)
Gwajima amesema sanaaaa ndiyo maana akaitwa Bashite umechapa kazi nzuri sanaaaa Makonda sasa yamerudi upyq wauzaji wamerudi kama kazi sasa hivi ni kama pipi
Tunahitaji kiongoz mithir ya makonda Tanzania..Mwenye hofu ya Mungu, mwenye huruma, katir na jasiri panapohitajika kufanya hivyo na haogop wala hana wasiwasi...Hi serikal ingeend sawa...Biteko yupo vyema ila Mama samia una huruma sana juu ya vijana wako..Ungemueka makonda Kama Naibu Wazir Mkuu...Tunamuombe baada ya mama kupumzika bas Makonda akabidhiwe form ya kugombea Urais
Hapo bwana makonda naona roho ya hayati magufufi ipo kwake tukipata watanzania warau watano kama hawa tanzania yetu itatakasika serikari yetu itang'ara mungu qetu alie mwema akurinde paul makonda
Makonda mungu akulinde hakuna safali lahisi apa chini yajua mungu Skype wepesi tunakupenda Kila sehemu tunatamani ufike watu watu wanateseka jaki haipo watu wanatumia pesa zao kunyanyasa watu wangonge
Hao ndio viongozi, maana watu wanafanya kaz kwa mazoea na kwakujisikia ndio maana, hawawajibiki ktk kaz ,ndio maana lazma wawajibishwe ,ili waepuke mazoea ya kujisikia, sisi ndio tunataka viongoz wa namna hio na sio wale wanaojiskia na kutaka uongoz wa kuangalia ugal tu
Sisi wenye imani ya Rasita faliani,tunamuoña makonda kama nabii wetu kwasababu anawakumbusha waafirika tuishi kwa tamaduni zetu,,kwanza sio mnafiki,ukizingua anakuanika wazi bila kujali um
Tatizo ni hili, hata awe Raisi hataweza. Uliona watu waliodharau na kuto kutii. Ni mfumo mzima mbovu. Mpaka mfumo ubadilishwe na uanze upya. Mtu mmoja hawezi kufanikiwa katika mfumo mbovu. Haiwezekani.Ni ndoto tupu.
KUWASIKILIZA Wananchi hasa wanawake nadhani hayo ni mambo mazuri tu kwani ukitaka kujua hakuna ustawi wa Jamii TANZANIA au ni wadhaifu sana ni jinsi wadada walivyomiminika kwa Makonda. Badala ya watu kushukuru na kujifunza kwa Makonda ikawa ni kuzidi kumpiga vita.
Mh Makonda, huo uchapaji Wa kazi, ninaomba tupatie kidogo huku Mozambique. Nina penda ningelikuwa mwanafunzi wako, unanifurahisha, unanipa moyo, ninakubali kwamba, África, kuna siku itakuwa safi, ita nyooka. Kila la Kheri!
Mazito na ya hatari yalikua yale ya 2018 aliyodiriki kuwataja watu innocent katika kazi za hatari kama madawa ya kulevya. Hayo ndio yaligeuka shubiri katika vichwa vya watanzania wengi pamoja na waliotajwa,wote tulitahayari kwakweli lakini alikua na ngao ya chuma hakuna ambaye angeweza kujitokeza kushindana naye ndani wala nje ya serikali angegusa moto
Watu wanalia sana wanateseka sana nani atawatetea nilijua tu makonda awezi kutetea watu nakutenda aki akabaki apo lasima atakua na mingongo na ccm daa makonda ulipo mungu akulinde san watu wanalia 😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Nakwambia ukweli ccm munashida san nyinyi mufanye kazi ila mungu yupo ccm siyo wakweli niwaongo nyiye mukiona mutu anadany kazi zuri amumutaki anakua namisukosuko kwanin mungu awalani nyinyi kam wew upo apo umekaa tu unanenepa tumbo yako bani anayajua acha ushamba tu yote ayo niyaukweli siy uongo munatendea watu vitu vyaovyo sana mungu apendi mungu anakua nachuki nanyie acha kua watu mumepewa madalaka ila ayamuyatumii ifatavyo munanyanyasa watu munatesa watu
RC PAUL MAKONDA MUNGU ATAKULINDA DHIDI YA KUTETEA HAKI . USIWAOGOPE WADHULUMAJI WA HAKI..RAISI WETU MAMA SAMIA KUWA MAKINA NA WANAOMCHAFUA MAKONDA. HAO NI MAWAKILI WA TUMBO NJAA.
@@HawaSwaleheh kiongozi hutakiwi kuwa na maneno ya kashfa ile ni kashfa ulisikiliza vizuri ile video???? Huna akili ww ni bora ungenyamaza unanijua mimi?? Ninyi ndiyo wale wale
Hongera sana Zungu kwakutuletea ukumbusho Mh Makonda ni jembe jeshi la mtu mmoja mchapa kazi asiye na majivuno 🎉🎉🎉🎉Hongera nyinyi Mh Makonda Mungu akulinde akupiganie uchape kazi hakika ww ni kiongozi wa wanyonge 🎉🎉🎉
Wamkabizi nchi anauwezo wa kuamua
Makonda oyeeeeeeeee❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉Hongera sana Makonda Mungu akulinde
Kwani uongo wengi wanalala tu Bungeni wengine wabunge ndiyo wanafiki na wenye msimamo madawa ya kulevya viongozi wao wako humo humo ndani ya Serikali yetu
makonda anafanya kazi kwa ajir ya wana nchi na sio vihongozi wa selikali ambao wanajali matumbo yao. nasema kwamba ukwuli una uma.fanya kazi makonda mungu atakulipa
Pamoja na mabaya yakeee nayoyaskia ila madhal ni kiongozi mkubwa ambae anakemea ushoga hadharani bila kuogopa niko pamoja na wanaotaman kuwa awe Rais na kura nitampigia akigombea😊😊😊
Wanaharakati waajabu sana hao watu wamekufa kwa ajili ya Ardhi hao Wanaharakati wanasaidia nini wakafie mbele
Ma
Konda Mungu akulinde unawasaidia wasiyo na watetezi/wanyonge
Hongera Sana mchambuzii Charles wiliamu hii ndio faida ya kuhifadhi kumbukumbu za matukio zinatusaidia kufanya rejea (kweli Makonda ni jembe ni sawa na bondia anayejua kukwepa ngumi za uso maana hizo hupekekea kushindwa pambano)
Makonda ni bonge la kiongozi kama mungu anasikia maombi yangu siku moja awe Raisi awanyooshe mafisadi
Miongoni mwa HAYO ni SERIKALI kumruka MAKONDA ilifanya makosa JUU ya ushoga
Shida nchi ya Tanzania,ukiwa mkweli tu unauwawa
Asaante ndugu pia wengine hawampendi kwa mate ndoa yao
Makonda hivi ni mungu ndiye anaye kutumia kuibua mambo magumu kama haya mh mkuu wa mkoa
Umetukumbusha mbali, hongera
Rekodi yake ni shujaa tupu anafaa kuwa raisi na waziri mkuu watajamba huyo mwanaume❤❤❤❤
Ccm siku mkijichanganya mumpe makonda agombee uraisi aki ya Mungu naenda kumpa kura na sijawahi piga kura kbs ila makonda nitaenda
Una kadi ya mpiga kura
@@VictorEmilio-y4c ipo ipo
Kama hujawahi kupiga kura, ulipoteza haki yako ya kikatiba, ila kwako wewe usilalamike kuhusu yanayotendeka kwenye nchi, maana hujachagua kiongozi.
Nyie msio piga kura mnakuwa wa kwanza kulalamika kwamba viongozi fulani hawafai.
kweli? kupiga Kura ni aki yako mbona
Kiswahili sahihi ni "Hivi ndivyo vita alivyopigana" siyo "Hizi ndio vita alizopigana".
Vita ya -❌
Vita za -❌
Vita vya -☑
Ewe Mwenye Enzi wewe ujuwaye ukweli uliomo duniani nakomba utete yaliyo haki
Kwani uongo bunge wengi wao mnalala.
Mh Makonda ni jembe jeshi la mtu 🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤
😂😂😂😂😂😂
Huyu atakuja kuwa Rais,labda asiwe na tamaa ya hilo
Gwajima amesema sanaaaa ndiyo maana akaitwa Bashite umechapa kazi nzuri sanaaaa Makonda sasa yamerudi upyq wauzaji wamerudi kama kazi sasa hivi ni kama pipi
Tunahitaji kiongoz mithir ya makonda Tanzania..Mwenye hofu ya Mungu, mwenye huruma, katir na jasiri panapohitajika kufanya hivyo na haogop wala hana wasiwasi...Hi serikal ingeend sawa...Biteko yupo vyema ila Mama samia una huruma sana juu ya vijana wako..Ungemueka makonda Kama Naibu Wazir Mkuu...Tunamuombe baada ya mama kupumzika bas Makonda akabidhiwe form ya kugombea Urais
Kiboko ya wachawi tu labda kuwe ushoga tu hapo kwengine kote ni ziro
Namkubali sana makonda
Raisi wa tanzania wa badae nakupenda makonda
mh Makonda wanachi tunakukubali tunakuombea kwa Mwenyezi Mungu akulinde kwani hiyo unayofanya ndo kazi inayotakiwa na Mungu pia wananchi
Safi sanna zungu kutukumbusha taarifa za Jembe Makonda.🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤
Makonda dawa ya CCM wanafiki
Huyu jama ni kiongozi na anahofu ya mungu
Makoda hongera sana makonda mungu yuko pamoja nawe using usiogope baba mungu atakupigania kwamagumu unayo kutana nayo
Makonda anafaa kuwa raisi
Nikweli vp wabunge wanalala bungeni hao niwabunge wazembe
Hapo bwana makonda naona roho ya hayati magufufi ipo kwake tukipata watanzania warau watano kama hawa tanzania yetu itatakasika serikari yetu itang'ara mungu qetu alie mwema akurinde paul makonda
Apewe nchi ana msimamo mkali sana wa kimaendeleo kama jp kaamka
Huyu mwamba namkubali sanah ❤❤❤
Wanaharakati wa haki za uvivu wafiye uko.
Hao wanaharakati nao saa zingine hulipukatu kama petroli iliyovujia kwenye cheche zamoto. bila maarifa autaaluma zao.
Makonda nijembe
Mungu akulinde bro makonda kwa Kila lenye Shari na ww amiin
Magufuli & Makonda heroes
Nakupogeza sana mh makonda kwa kazi nzuri ya kutetea wanyone,Mungu yu pamoja nawe
Makonde ni bonge la kiongozi
Hatuna wabunge kabisaa Tz hii ZAIDI ya JEMBE MAKONDA.MUNGU mwuepushie na baya lolote lisimpate.
@Alimasudi jambazi ww na family yako shenzi ww na mtanyooka hadi nywele zinyonyoke. Makonda oyeee 🎉🎉🎉
Nimeielewa hyo ya DC makonda
MAKONDA MUNGU awatangulie katika kazi zako ❤
Emungu mlinde makonda mtetee mpe hui mpe uzima mpe afya njema mungu tunakuomba usikie kilio chawatanzania
Namkubali makonda
Niseme tunitaoomba kwajili Takis ku zote ili mungu alete kiongozi Kama wew nahuku
Makonda jembe 🔥
Kiongozi masubuti wa afrika jeda jemedari
Wanacheya kazi lazima watiwe adabu kwani siriyasi ishu nikweli makonda
Magufuli aeliyejificha kwa makonda
Makonda mungu akulinde hakuna safali lahisi apa chini yajua mungu Skype wepesi tunakupenda Kila sehemu tunatamani ufike watu watu wanateseka jaki haipo watu wanatumia pesa zao kunyanyasa watu wangonge
makonda kafanya Sawa kabsa,hao wanao sema nikosa lakawaida hao ndio wanao didimiza inji,je wanakumbuka barua Yao yakwanza wakiomba KAZI kua endapo nitapatikana kwakosa lolote niadhibiwe kwanjia yoyote,iyo niadhabu kama hadhabu zengine hajawafuta kazi
Hao ndio viongozi, maana watu wanafanya kaz kwa mazoea na kwakujisikia ndio maana, hawawajibiki ktk kaz ,ndio maana lazma wawajibishwe ,ili waepuke mazoea ya kujisikia, sisi ndio tunataka viongoz wa namna hio na sio wale wanaojiskia na kutaka uongoz wa kuangalia ugal tu
Hataki upuuzi kwani hawo wakuchezeya kazi watafurahi kuktiwamishara maanahwakufanya kazivitakikanavyo maharawarapatakamili lazima makota atete haki yaserikali
Mdiyo hawa tunawategemea katika kuipigania Nchi pamoja na Raia wake
Sisi wenye imani ya Rasita faliani,tunamuoña makonda kama nabii wetu kwasababu anawakumbusha waafirika tuishi kwa tamaduni zetu,,kwanza sio mnafiki,ukizingua anakuanika wazi bila kujali um
Vita vy rohoni eeh maana mwilini anapigana israel na palestina
Makonda ndamu yesukristoo inene mume kwakoo.
KUNGEKUWA NA TUZO YA MWANASIASA BORA BAS MAKO DESERVES
Makonda jembe hata urais tunakupa
Ndiyo yaliyokuponza mpenda haki
Yan unatokosha unavosimulia 💯
Ivi mboe alienda kwel
Spana spana 😂😂
Na hili la sasa litapita mungu atamulinda makonda
Mmmmmm unafaaaaaa ilaaaaaa
Huyu mwamba namkubali
'We enlightene the dark side' Hongereni Zungu na team yenu.
Zungu baba lao 💯
Alikuwa sahihi Sana
God protect you my broo your so man of God has provided
Kwani yukwapi
Makonda songs mbele na Mungu akulinde
Eemwenyezi MUNGU kwa hili usinyamaze hakuna kilichokushindwa milele EE MUNGU uikomboe Tanzania yangu
Niko tayali kupigania jembe azishe gurupu lake nitajiuga tumechoka😢😢😢
Huyu mm
noma sana
Kisamembe mabura rushanga
Pi
Nchi hii ukiwa na lugha nyepesi hutafanya chochote watu wanapenda kuburuzwa..you have to be unique like Makonda.❤❤❤
mungu akutunze
asee kumbe nishida?
Ispokuwa muhimu alitakiwa awatendee haki kwa KUWASIKILIZA maafisa hao wa Ardhi.
jembeeee huyu
Tatizo ni hili, hata awe Raisi hataweza. Uliona watu waliodharau na kuto kutii. Ni mfumo mzima mbovu. Mpaka mfumo ubadilishwe na uanze upya. Mtu mmoja hawezi kufanikiwa katika mfumo mbovu. Haiwezekani.Ni ndoto tupu.
KUWASIKILIZA Wananchi hasa wanawake nadhani hayo ni mambo mazuri tu kwani ukitaka kujua hakuna ustawi wa Jamii TANZANIA au ni wadhaifu sana ni jinsi wadada walivyomiminika kwa Makonda.
Badala ya watu kushukuru na kujifunza kwa Makonda ikawa ni kuzidi kumpiga vita.
Mh Makonda, huo uchapaji Wa kazi, ninaomba tupatie kidogo huku Mozambique. Nina penda ningelikuwa mwanafunzi wako, unanifurahisha, unanipa moyo, ninakubali kwamba, África, kuna siku itakuwa safi, ita nyooka.
Kila la Kheri!
Mazito na ya hatari yalikua yale ya 2018 aliyodiriki kuwataja watu innocent katika kazi za hatari kama madawa ya kulevya. Hayo ndio yaligeuka shubiri katika vichwa vya watanzania wengi pamoja na waliotajwa,wote tulitahayari kwakweli lakini alikua na ngao ya chuma hakuna ambaye angeweza kujitokeza kushindana naye ndani wala nje ya serikali angegusa moto
Mi namsubiri tu Makonda achukue form ya uraisi nitaamka saa 10 kuwahi foleni Tuombeane uzima tu basi
Iv mimi najiuliza mwenyew nakosa jibu hii nchi inamutaka mtu wa namna gan???
Na hata pool akiuwawa nanyi Mungu hatawaonea haya kwa hilo ukiuwa kwa upanga hata nawe utauwawa kwa upanga
Watu wanalia sana wanateseka sana nani atawatetea nilijua tu makonda awezi kutetea watu nakutenda aki akabaki apo lasima atakua na mingongo na ccm daa makonda ulipo mungu akulinde san watu wanalia 😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Good mwandishi
Makonda dume la sisa sheria na uongozi mfano pekee wa kuigwa. Kiongozi bora na dhamira zake nizakuungwa mkono na nchi
Nakwambia ukweli ccm munashida san nyinyi mufanye kazi ila mungu yupo ccm siyo wakweli niwaongo nyiye mukiona mutu anadany kazi zuri amumutaki anakua namisukosuko kwanin mungu awalani nyinyi kam wew upo apo umekaa tu unanenepa tumbo yako bani anayajua acha ushamba tu yote ayo niyaukweli siy uongo munatendea watu vitu vyaovyo sana mungu apendi mungu anakua nachuki nanyie acha kua watu mumepewa madalaka ila ayamuyatumii ifatavyo munanyanyasa watu munatesa watu
RC PAUL MAKONDA MUNGU ATAKULINDA DHIDI YA KUTETEA HAKI . USIWAOGOPE WADHULUMAJI WA HAKI..RAISI WETU MAMA SAMIA KUWA MAKINA NA WANAOMCHAFUA MAKONDA. HAO NI MAWAKILI WA TUMBO NJAA.
Jamni uyu mwamna mungu amtete ukoaliko make miaka ijayo anaweza kuwa rais wetu
Siyo kweli maneno ya dharau sana punguza maneno yako eti mke wangu mzuri
Huyu ndio mwanaume sasa maana chako kisifie mwenyewe usisubiri wakusifue we kama mumuwe au hawarako hajawahi kukusifia wivu unakusumbua
@@HawaSwaleheh kiongozi hutakiwi kuwa na maneno ya kashfa ile ni kashfa ulisikiliza vizuri ile video????
Huna akili ww ni bora ungenyamaza unanijua mimi?? Ninyi ndiyo wale wale
Mengine nilikuwa sijui kama alikuwa ni mtu na nusu kitambo .....safi sana