HIZI NDIO VITA ALIZOPIGANA PAUL MAKONDA NA KUJIWEKA HATARINI LAKINI AKACHOMOKA SALAMA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 1 окт 2024
  • #Day2NewsTV #CharlesWilliam #Zungu

Комментарии • 164

  • @AlHamra-k4u
    @AlHamra-k4u 3 месяца назад +23

    Hongera sana Zungu kwakutuletea ukumbusho Mh Makonda ni jembe jeshi la mtu mmoja mchapa kazi asiye na majivuno 🎉🎉🎉🎉Hongera nyinyi Mh Makonda Mungu akulinde akupiganie uchape kazi hakika ww ni kiongozi wa wanyonge 🎉🎉🎉

  • @bugabyarugaba3771
    @bugabyarugaba3771 3 месяца назад +9

    Wamkabizi nchi anauwezo wa kuamua

  • @AlHamra-k4u
    @AlHamra-k4u 3 месяца назад +12

    Makonda oyeeeeeeeee❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉Hongera sana Makonda Mungu akulinde

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 3 месяца назад +8

    Kwani uongo wengi wanalala tu Bungeni wengine wabunge ndiyo wanafiki na wenye msimamo madawa ya kulevya viongozi wao wako humo humo ndani ya Serikali yetu

  • @moiseszacariasmoisesmoises
    @moiseszacariasmoisesmoises 3 месяца назад +11

    makonda anafanya kazi kwa ajir ya wana nchi na sio vihongozi wa selikali ambao wanajali matumbo yao. nasema kwamba ukwuli una uma.fanya kazi makonda mungu atakulipa

  • @zayumar2955
    @zayumar2955 3 месяца назад +5

    Pamoja na mabaya yakeee nayoyaskia ila madhal ni kiongozi mkubwa ambae anakemea ushoga hadharani bila kuogopa niko pamoja na wanaotaman kuwa awe Rais na kura nitampigia akigombea😊😊😊

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 3 месяца назад +6

    Wanaharakati waajabu sana hao watu wamekufa kwa ajili ya Ardhi hao Wanaharakati wanasaidia nini wakafie mbele

  • @MaryValerian-u2p
    @MaryValerian-u2p 3 месяца назад +9

    Ma
    Konda Mungu akulinde unawasaidia wasiyo na watetezi/wanyonge

  • @samsonhamery3809
    @samsonhamery3809 3 месяца назад +6

    Hongera Sana mchambuzii Charles wiliamu hii ndio faida ya kuhifadhi kumbukumbu za matukio zinatusaidia kufanya rejea (kweli Makonda ni jembe ni sawa na bondia anayejua kukwepa ngumi za uso maana hizo hupekekea kushindwa pambano)

  • @DullahNyoni-cr2fu
    @DullahNyoni-cr2fu 3 месяца назад +21

    Makonda ni bonge la kiongozi kama mungu anasikia maombi yangu siku moja awe Raisi awanyooshe mafisadi

  • @FellaMbogela
    @FellaMbogela 3 месяца назад +3

    Miongoni mwa HAYO ni SERIKALI kumruka MAKONDA ilifanya makosa JUU ya ushoga

  • @HaulSidney
    @HaulSidney 3 месяца назад +5

    Shida nchi ya Tanzania,ukiwa mkweli tu unauwawa

    • @HawaSwaleheh
      @HawaSwaleheh 3 месяца назад

      Asaante ndugu pia wengine hawampendi kwa mate ndoa yao

    • @EdwardOkemba
      @EdwardOkemba 2 месяца назад

      Makonda hivi ni mungu ndiye anaye kutumia kuibua mambo magumu kama haya mh mkuu wa mkoa

  • @mungholomakalanga8958
    @mungholomakalanga8958 3 месяца назад +6

    Umetukumbusha mbali, hongera

  • @ErizicDaud
    @ErizicDaud 3 месяца назад +4

    Rekodi yake ni shujaa tupu anafaa kuwa raisi na waziri mkuu watajamba huyo mwanaume❤❤❤❤

  • @mejamiela7436
    @mejamiela7436 3 месяца назад +14

    Ccm siku mkijichanganya mumpe makonda agombee uraisi aki ya Mungu naenda kumpa kura na sijawahi piga kura kbs ila makonda nitaenda

    • @VictorEmilio-y4c
      @VictorEmilio-y4c 2 месяца назад +1

      Una kadi ya mpiga kura

    • @mejamiela7436
      @mejamiela7436 2 месяца назад +1

      @@VictorEmilio-y4c ipo ipo

    • @DudddyWhyCant
      @DudddyWhyCant 2 месяца назад

      Kama hujawahi kupiga kura, ulipoteza haki yako ya kikatiba, ila kwako wewe usilalamike kuhusu yanayotendeka kwenye nchi, maana hujachagua kiongozi.

    • @DudddyWhyCant
      @DudddyWhyCant 2 месяца назад

      Nyie msio piga kura mnakuwa wa kwanza kulalamika kwamba viongozi fulani hawafai.

    • @fredrickmbuvi9603
      @fredrickmbuvi9603 Месяц назад

      kweli? kupiga Kura ni aki yako mbona

  • @josephk90
    @josephk90 3 месяца назад +4

    Kiswahili sahihi ni "Hivi ndivyo vita alivyopigana" siyo "Hizi ndio vita alizopigana".
    Vita ya -❌
    Vita za -❌
    Vita vya -☑

    • @RuthWarombo
      @RuthWarombo 2 месяца назад

      Ewe Mwenye Enzi wewe ujuwaye ukweli uliomo duniani nakomba utete yaliyo haki

  • @AlHamra-k4u
    @AlHamra-k4u 3 месяца назад +8

    Kwani uongo bunge wengi wao mnalala.
    Mh Makonda ni jembe jeshi la mtu 🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤

    • @aud548
      @aud548 8 дней назад

      😂😂😂😂😂😂

  • @MngwaliAllykizangwa
    @MngwaliAllykizangwa 3 месяца назад +4

    Huyu atakuja kuwa Rais,labda asiwe na tamaa ya hilo

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 3 месяца назад +6

    Gwajima amesema sanaaaa ndiyo maana akaitwa Bashite umechapa kazi nzuri sanaaaa Makonda sasa yamerudi upyq wauzaji wamerudi kama kazi sasa hivi ni kama pipi

  • @jumashedafa
    @jumashedafa 3 месяца назад +3

    Tunahitaji kiongoz mithir ya makonda Tanzania..Mwenye hofu ya Mungu, mwenye huruma, katir na jasiri panapohitajika kufanya hivyo na haogop wala hana wasiwasi...Hi serikal ingeend sawa...Biteko yupo vyema ila Mama samia una huruma sana juu ya vijana wako..Ungemueka makonda Kama Naibu Wazir Mkuu...Tunamuombe baada ya mama kupumzika bas Makonda akabidhiwe form ya kugombea Urais

  • @wisdomfolks
    @wisdomfolks 14 дней назад

    Kiboko ya wachawi tu labda kuwe ushoga tu hapo kwengine kote ni ziro

  • @mejamiela7436
    @mejamiela7436 3 месяца назад +5

    Namkubali sana makonda

  • @FaridaOngala
    @FaridaOngala 7 дней назад +1

    Raisi wa tanzania wa badae nakupenda makonda

  • @Evance-op4jw
    @Evance-op4jw 3 месяца назад +3

    mh Makonda wanachi tunakukubali tunakuombea kwa Mwenyezi Mungu akulinde kwani hiyo unayofanya ndo kazi inayotakiwa na Mungu pia wananchi

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 3 месяца назад +10

    Safi sanna zungu kutukumbusha taarifa za Jembe Makonda.🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤

  • @BeniJohn-xd3cn
    @BeniJohn-xd3cn 3 месяца назад +3

    Makonda dawa ya CCM wanafiki

  • @hamzafishten9560
    @hamzafishten9560 3 месяца назад +4

    Huyu jama ni kiongozi na anahofu ya mungu

  • @CalmOmbreSky-iz2hj
    @CalmOmbreSky-iz2hj 3 месяца назад +4

    Makoda hongera sana makonda mungu yuko pamoja nawe using usiogope baba mungu atakupigania kwamagumu unayo kutana nayo

  • @JohnJoseph-qq7ow
    @JohnJoseph-qq7ow 3 месяца назад +6

    Makonda anafaa kuwa raisi

  • @ndikumanaismail5419
    @ndikumanaismail5419 3 месяца назад +2

    Nikweli vp wabunge wanalala bungeni hao niwabunge wazembe

  • @AlipoMwasenga
    @AlipoMwasenga 3 месяца назад +3

    Hapo bwana makonda naona roho ya hayati magufufi ipo kwake tukipata watanzania warau watano kama hawa tanzania yetu itatakasika serikari yetu itang'ara mungu qetu alie mwema akurinde paul makonda

  • @stevensoso7506
    @stevensoso7506 2 месяца назад +1

    Apewe nchi ana msimamo mkali sana wa kimaendeleo kama jp kaamka

  • @Misheckkazilist-cv2hb
    @Misheckkazilist-cv2hb 3 месяца назад +4

    Huyu mwamba namkubali sanah ❤❤❤

  • @sonnyr1899
    @sonnyr1899 3 месяца назад +3

    Wanaharakati wa haki za uvivu wafiye uko.

  • @CharlesMisungwi-f8t
    @CharlesMisungwi-f8t 3 месяца назад +2

    Hao wanaharakati nao saa zingine hulipukatu kama petroli iliyovujia kwenye cheche zamoto. bila maarifa autaaluma zao.

  • @KisigeraKisigera
    @KisigeraKisigera 3 месяца назад +4

    Makonda nijembe

  • @jalinachilala8465
    @jalinachilala8465 3 месяца назад +12

    Mungu akulinde bro makonda kwa Kila lenye Shari na ww amiin

  • @YusufZavala-j4j
    @YusufZavala-j4j 2 месяца назад +2

    Magufuli & Makonda heroes

  • @GracedMkonongo
    @GracedMkonongo 3 месяца назад +10

    Nakupogeza sana mh makonda kwa kazi nzuri ya kutetea wanyone,Mungu yu pamoja nawe

  • @abdallabundala404
    @abdallabundala404 3 месяца назад +3

    Makonde ni bonge la kiongozi

  • @rithaurassa
    @rithaurassa 2 месяца назад

    Hatuna wabunge kabisaa Tz hii ZAIDI ya JEMBE MAKONDA.MUNGU mwuepushie na baya lolote lisimpate.

  • @AlHamra-k4u
    @AlHamra-k4u 3 месяца назад +2

    @Alimasudi jambazi ww na family yako shenzi ww na mtanyooka hadi nywele zinyonyoke. Makonda oyeee 🎉🎉🎉

  • @SamwelRichard-ep4sd
    @SamwelRichard-ep4sd 3 месяца назад +3

    Nimeielewa hyo ya DC makonda

  • @rosetreffert4179
    @rosetreffert4179 2 месяца назад +2

    MAKONDA MUNGU awatangulie katika kazi zako ❤

  • @LightnessUrio-fo7mq
    @LightnessUrio-fo7mq Месяц назад

    Emungu mlinde makonda mtetee mpe hui mpe uzima mpe afya njema mungu tunakuomba usikie kilio chawatanzania

  • @MusawitsonskanaMusawitso-iy4vh
    @MusawitsonskanaMusawitso-iy4vh 3 месяца назад +2

    Namkubali makonda

  • @NeemaJackson-s5f
    @NeemaJackson-s5f Месяц назад

    Niseme tunitaoomba kwajili Takis ku zote ili mungu alete kiongozi Kama wew nahuku

  • @georgeexavier5921
    @georgeexavier5921 3 месяца назад +7

    Makonda jembe 🔥

  • @danielerasto
    @danielerasto Месяц назад

    Kiongozi masubuti wa afrika jeda jemedari

  • @rezikomer9552
    @rezikomer9552 Месяц назад

    Wanacheya kazi lazima watiwe adabu kwani siriyasi ishu nikweli makonda

  • @danielerasto
    @danielerasto Месяц назад

    Magufuli aeliyejificha kwa makonda

  • @NeemaJackson-s5f
    @NeemaJackson-s5f Месяц назад

    Makonda mungu akulinde hakuna safali lahisi apa chini yajua mungu Skype wepesi tunakupenda Kila sehemu tunatamani ufike watu watu wanateseka jaki haipo watu wanatumia pesa zao kunyanyasa watu wangonge

  • @fredrickmbuvi9603
    @fredrickmbuvi9603 Месяц назад

    makonda kafanya Sawa kabsa,hao wanao sema nikosa lakawaida hao ndio wanao didimiza inji,je wanakumbuka barua Yao yakwanza wakiomba KAZI kua endapo nitapatikana kwakosa lolote niadhibiwe kwanjia yoyote,iyo niadhabu kama hadhabu zengine hajawafuta kazi

  • @EmmanuelSabibi
    @EmmanuelSabibi 3 месяца назад +1

    Hao ndio viongozi, maana watu wanafanya kaz kwa mazoea na kwakujisikia ndio maana, hawawajibiki ktk kaz ,ndio maana lazma wawajibishwe ,ili waepuke mazoea ya kujisikia, sisi ndio tunataka viongoz wa namna hio na sio wale wanaojiskia na kutaka uongoz wa kuangalia ugal tu

  • @rezikomer9552
    @rezikomer9552 Месяц назад

    Hataki upuuzi kwani hawo wakuchezeya kazi watafurahi kuktiwamishara maanahwakufanya kazivitakikanavyo maharawarapatakamili lazima makota atete haki yaserikali

  • @Carolina-sm5zt
    @Carolina-sm5zt 2 месяца назад +1

    Mdiyo hawa tunawategemea katika kuipigania Nchi pamoja na Raia wake

  • @jangalavolcano
    @jangalavolcano 2 месяца назад

    Sisi wenye imani ya Rasita faliani,tunamuoña makonda kama nabii wetu kwasababu anawakumbusha waafirika tuishi kwa tamaduni zetu,,kwanza sio mnafiki,ukizingua anakuanika wazi bila kujali um

  • @kayumbasosthenes3596
    @kayumbasosthenes3596 3 месяца назад +1

    Vita vy rohoni eeh maana mwilini anapigana israel na palestina

  • @sizyathom-qq5cx
    @sizyathom-qq5cx 2 месяца назад

    Makonda ndamu yesukristoo inene mume kwakoo.

  • @nyerere1259
    @nyerere1259 3 месяца назад +1

    KUNGEKUWA NA TUZO YA MWANASIASA BORA BAS MAKO DESERVES

  • @johannesrutaihwa8029
    @johannesrutaihwa8029 Месяц назад

    Makonda jembe hata urais tunakupa

  • @songeza
    @songeza Месяц назад

    Ndiyo yaliyokuponza mpenda haki

  • @AhmedAhmed-gf1rd
    @AhmedAhmed-gf1rd 3 месяца назад +5

    Yan unatokosha unavosimulia 💯

  • @nurisahim7898
    @nurisahim7898 3 месяца назад +2

    Ivi mboe alienda kwel

  • @BeniJohn-xd3cn
    @BeniJohn-xd3cn 3 месяца назад +2

    Spana spana 😂😂

  • @DianaMafuru
    @DianaMafuru Месяц назад

    Na hili la sasa litapita mungu atamulinda makonda

  • @richardkatuli2269
    @richardkatuli2269 2 месяца назад

    Mmmmmm unafaaaaaa ilaaaaaa

  • @DavidNgalowoka
    @DavidNgalowoka 3 месяца назад +8

    Huyu mwamba namkubali

  • @jamesmzaki6041
    @jamesmzaki6041 3 месяца назад +1

    'We enlightene the dark side' Hongereni Zungu na team yenu.

  • @AhmedAhmed-gf1rd
    @AhmedAhmed-gf1rd 3 месяца назад +4

    Zungu baba lao 💯

  • @kulwankuba2785
    @kulwankuba2785 Месяц назад

    Alikuwa sahihi Sana

  • @ChristopherMgonja
    @ChristopherMgonja 2 месяца назад +1

    God protect you my broo your so man of God has provided

  • @kamongosanga71
    @kamongosanga71 Месяц назад

    Kwani yukwapi

  • @elizabethbigilwa6822
    @elizabethbigilwa6822 3 месяца назад +5

    Makonda songs mbele na Mungu akulinde

  • @OleLucas
    @OleLucas 2 месяца назад

    Eemwenyezi MUNGU kwa hili usinyamaze hakuna kilichokushindwa milele EE MUNGU uikomboe Tanzania yangu

  • @davidsebastian661
    @davidsebastian661 2 месяца назад

    Niko tayali kupigania jembe azishe gurupu lake nitajiuga tumechoka😢😢😢

  • @AbdallahShaweji-c7r
    @AbdallahShaweji-c7r Месяц назад

    Huyu mm

  • @mcmasaitv9491
    @mcmasaitv9491 2 дня назад

    noma sana

  • @KisameMabula-rd8dq
    @KisameMabula-rd8dq Месяц назад

    Kisamembe mabura rushanga

  • @GradiceAmani-v8q
    @GradiceAmani-v8q Месяц назад

    Pi

  • @naturelle1097
    @naturelle1097 2 месяца назад

    Nchi hii ukiwa na lugha nyepesi hutafanya chochote watu wanapenda kuburuzwa..you have to be unique like Makonda.❤❤❤

  • @monicamichael-sr4kx
    @monicamichael-sr4kx 3 месяца назад +1

    mungu akutunze

  • @hazygardmericho9571
    @hazygardmericho9571 3 месяца назад +1

    asee kumbe nishida?

  • @AbdilahiMriri
    @AbdilahiMriri 2 месяца назад

    Ispokuwa muhimu alitakiwa awatendee haki kwa KUWASIKILIZA maafisa hao wa Ardhi.

  • @tiopherysanga2934
    @tiopherysanga2934 3 месяца назад +3

    jembeeee huyu

  • @TM-zs3rm
    @TM-zs3rm 2 месяца назад

    Tatizo ni hili, hata awe Raisi hataweza. Uliona watu waliodharau na kuto kutii. Ni mfumo mzima mbovu. Mpaka mfumo ubadilishwe na uanze upya. Mtu mmoja hawezi kufanikiwa katika mfumo mbovu. Haiwezekani.Ni ndoto tupu.

  • @AbdilahiMriri
    @AbdilahiMriri 2 месяца назад

    KUWASIKILIZA Wananchi hasa wanawake nadhani hayo ni mambo mazuri tu kwani ukitaka kujua hakuna ustawi wa Jamii TANZANIA au ni wadhaifu sana ni jinsi wadada walivyomiminika kwa Makonda.
    Badala ya watu kushukuru na kujifunza kwa Makonda ikawa ni kuzidi kumpiga vita.

  • @bostonbensonkapute5274
    @bostonbensonkapute5274 2 месяца назад

    Mh Makonda, huo uchapaji Wa kazi, ninaomba tupatie kidogo huku Mozambique. Nina penda ningelikuwa mwanafunzi wako, unanifurahisha, unanipa moyo, ninakubali kwamba, África, kuna siku itakuwa safi, ita nyooka.
    Kila la Kheri!

  • @elibarikimollel7149
    @elibarikimollel7149 2 месяца назад

    Mazito na ya hatari yalikua yale ya 2018 aliyodiriki kuwataja watu innocent katika kazi za hatari kama madawa ya kulevya. Hayo ndio yaligeuka shubiri katika vichwa vya watanzania wengi pamoja na waliotajwa,wote tulitahayari kwakweli lakini alikua na ngao ya chuma hakuna ambaye angeweza kujitokeza kushindana naye ndani wala nje ya serikali angegusa moto

  • @videralfred8889
    @videralfred8889 2 месяца назад

    Mi namsubiri tu Makonda achukue form ya uraisi nitaamka saa 10 kuwahi foleni Tuombeane uzima tu basi

  • @CantiusBenedict
    @CantiusBenedict 2 месяца назад

    Iv mimi najiuliza mwenyew nakosa jibu hii nchi inamutaka mtu wa namna gan???

  • @OleLucas
    @OleLucas 2 месяца назад

    Na hata pool akiuwawa nanyi Mungu hatawaonea haya kwa hilo ukiuwa kwa upanga hata nawe utauwawa kwa upanga

  • @MussaMarwa-z3n
    @MussaMarwa-z3n 2 месяца назад

    Watu wanalia sana wanateseka sana nani atawatetea nilijua tu makonda awezi kutetea watu nakutenda aki akabaki apo lasima atakua na mingongo na ccm daa makonda ulipo mungu akulinde san watu wanalia 😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @ramadhanibahati2829
    @ramadhanibahati2829 3 месяца назад +4

    Good mwandishi

  • @VictorEmilio-y4c
    @VictorEmilio-y4c 2 месяца назад

    Makonda dume la sisa sheria na uongozi mfano pekee wa kuigwa. Kiongozi bora na dhamira zake nizakuungwa mkono na nchi

  • @MussaMarwa-z3n
    @MussaMarwa-z3n 2 месяца назад

    Nakwambia ukweli ccm munashida san nyinyi mufanye kazi ila mungu yupo ccm siyo wakweli niwaongo nyiye mukiona mutu anadany kazi zuri amumutaki anakua namisukosuko kwanin mungu awalani nyinyi kam wew upo apo umekaa tu unanenepa tumbo yako bani anayajua acha ushamba tu yote ayo niyaukweli siy uongo munatendea watu vitu vyaovyo sana mungu apendi mungu anakua nachuki nanyie acha kua watu mumepewa madalaka ila ayamuyatumii ifatavyo munanyanyasa watu munatesa watu

  • @jamesbayo1910
    @jamesbayo1910 2 месяца назад

    RC PAUL MAKONDA MUNGU ATAKULINDA DHIDI YA KUTETEA HAKI . USIWAOGOPE WADHULUMAJI WA HAKI..RAISI WETU MAMA SAMIA KUWA MAKINA NA WANAOMCHAFUA MAKONDA. HAO NI MAWAKILI WA TUMBO NJAA.

  • @christopherishengoma6692
    @christopherishengoma6692 2 месяца назад

    Jamni uyu mwamna mungu amtete ukoaliko make miaka ijayo anaweza kuwa rais wetu

  • @margarethsaramaki3966
    @margarethsaramaki3966 3 месяца назад +1

    Siyo kweli maneno ya dharau sana punguza maneno yako eti mke wangu mzuri

    • @HawaSwaleheh
      @HawaSwaleheh 3 месяца назад

      Huyu ndio mwanaume sasa maana chako kisifie mwenyewe usisubiri wakusifue we kama mumuwe au hawarako hajawahi kukusifia wivu unakusumbua

    • @margarethsaramaki3966
      @margarethsaramaki3966 3 месяца назад

      @@HawaSwaleheh kiongozi hutakiwi kuwa na maneno ya kashfa ile ni kashfa ulisikiliza vizuri ile video????
      Huna akili ww ni bora ungenyamaza unanijua mimi?? Ninyi ndiyo wale wale

  • @Joseph-lu4yj
    @Joseph-lu4yj 2 месяца назад

    Mengine nilikuwa sijui kama alikuwa ni mtu na nusu kitambo .....safi sana