Hekima hi yo muheshimiwa sio wewe ime toka kwa Mungu .Mungu aliyekuita akuogezee hekima na maalifa kutoka kwake ili uzindi kuwatetea wa Tanzania wanyoge
Hekima hii uliyo nayo mkuu imetoka kwa Mungu. Mungu akuzidishie hekima na maalifa zaidi na malaika Mikaeli malaika wa ulinzi akulinde popote unapo kwenda na Damu ya Yesu ikufunike
Piga kaz jembe la wanyonge naamin mwenyezi mungu anakusimamia. Na kila wakati sali sar hii salamu maria umejaa neema ------------- na baba yetu uliye mbinguni__________ na tunakukimbilia ulinzi wako __________ hizo sala naamin mwenyez mungu atazifanyia kaz mkuu wa mkoa mtetezi wa wanyonge
Barikiwa mkuuwangu mungu akulinde miaka mingi sijaso tukupee ilirungu la uraisi uhinyooshee inji kisawaswa seem iliyo wachwa na kamanda mkuu aliye kuibua tukujue sisi watanzani wanaho penda usalenda na haki ya kila mwanainji
Hongera san mdgo wake anco magufur tunakuombea kwa mwenyezi mungu atume roho mtakatifu akulinde ukitetea wanyonge tunamkumbuka anco wetu magufur na Raha ya milele ampe. Anco magufuri na mwanga wa milele amwangazie astarehe kwa amani
Wanainji wote wa mkoa wa arusha.mungu amewaona.kuletewa mkuu wa mkoa.mwenye hofu ya mungu.anaependa kutetea haki zawanainji.wanaonyanyaswa naviongozi wa juu.kwkutumia umadalaka walionao.piga spana hao mkuu.wanainjiwako.wamechoka.nausiogope.malaika wamekuzunguka kwakukulinda.🙏
KIONGOZI MAKONDA SAMAHANI HULISOMEA SHULE YA SHELIA NDANI AU NJEE YA NCHI????MIMI NIPO NJEE YA NCHI MIAKA MINGI ULISOMIA SHELIA MWAMBA WANGU MAKONDA UBALIKIWE KIONGOZI MAKONDA ❤❤❤😂❤❤❤❤
Kikubwa zaidi kingine cha kujua ni kwamba watu wanataharuki juu ya upya wa uendeshaji wa shughuli za Serikali., hivyo upole kidogo unahitajika pamoja na hongera kubwa sana kwa mhe Mkuu wa.
Mh. Huyu jamaa siyo mkweli pia anapoteza muda ,pia siyo mchapa kazi na anakula hela ya wananchi pia mfukuze kazi na pia mfulie kesi kuwa zulumu wanachi pamoja kutumia aneno ya machafu pamoja na ubavu
Tangia Makonda awe Mkuu wa mkoa nimefurahia sana juu tunanyanyaswa sana na hawa viongozi wetu kwani wanadhamini fedha kuliko wanainchi ukipatwa na tatizo kama huna pesa hautapata msaada ❤
Ni aibu sana kwa nchi mtu ambae alitakiwa kuwa nacheo kikubwa kama sio rais basi waziri mkuu eti saizi anakuwa mkuu wa mkoa makonda hastaili kuwa mkuu wa mkoa alistaili awe rais au waziri mkuu
Arusha kuna kero nyingi jipange mh,kuna watu tumevunjiwa. Nyumba na manispaa kwa Hadi ya kujengwa gorofa ilibadaye tupewe. Hadi Leo hakuna kitu wazee wetu wamekufa kwa mapresha
Kiongozi makonda sio uyo tu na mwengine yupo Dar kituo cha kwamnyamani sasa kahamishwa vingunguti nae yupo kama uyo anawaonea sana wananchi ata mimi mwenyewe alinionea awa watendaji wakikaa pale wanajiona weshavuka mto awatishwi tena wanatunyanyasa sana sisi wananchi
Tatizo la hili kabila letu,akisoma mpaka lasaba akipata kacheo kidogo,anawanyanyasa wengine ambae hawajafanikiwa kupata hicho cheo,mtendaji supana inakuhusu maana unajifanya unajua kila kitu,hafu mbishi,,umekutana na moto,huyo sio laigwanani wa kumpiga kiswahili,makonda tobiko,
Muheshimiwa makondo huko arusha naona km dodoma huku imekuwa to much mambo ya ardhi jiji kuna wizi na ufisadi sana utoa pesa kutaka kibali cha ujenzi hela wanakula miezi inakwenda kibali hakuna jamani sisi ni watanzani halisi mnatupeleka wapi nchi yetu hii tuhurumieni
Wanyoshe hao wakandamizaji wanyonge makonda mungu yu pamoja nawe kakangu.
Makondaeeeee,mungu akupe ulinzi wa kutosha,🤲
Eee Mungu, Mponye na kumlinda mkuu wa mkoa Paul Makonda na Viongozi wengine katika nchi yetu wenye nia njema na huruma kwa wanainchi yetu nzuri Tz.
*wanaNchi
Inchi ndio kitu gani fala wewe
Hekima hi
yo muheshimiwa sio wewe ime
toka kwa Mungu .Mungu aliyekuita akuogezee hekima na maalifa kutoka kwake ili uzindi kuwatetea wa Tanzania wanyoge
Amina
Hata waseme nn juu yako, Wewe ni chaguo la Mungu tu, na daima nyota yako itazidi kung'ara in the name of our almighty God
MUNGU amurinde maana!!!!!!!!🙏🙏🙏🙏🙏
Makonda kiongoz mzur sana 🥰
Aiseeee! Mungu amwongoze huyu jamaa
1111qwqqq1qqq1wq week@@khadjamhozya
Chaguo letu watanzania Makonda wetu♥️♥️
Damu ya Kristo ikufunike uendelee kutimiza majukumu yako❤
Piga kazi kaka mungu atakulinda siku zote tulikua na haja yamtu kama wewe unaejitoa kwa wanyonge
pongezi kwa makonda kwa kazi njema anayoifanya
Hekima hii uliyo nayo mkuu imetoka kwa Mungu. Mungu akuzidishie hekima na maalifa zaidi na malaika Mikaeli malaika wa ulinzi akulinde popote unapo kwenda na Damu ya Yesu ikufunike
Mungu akuweke miaka mingi sana ikiwezekana uchukue form 2025 tukupe urais wa nch yetu una dam za magufuli ww kamanda wetu
Safiiiii Sana mh makonda nakubali Sana piga kazi brother,mungu akupganie sana
Makonda nakupenda sana Kwa kazi zako unazofanya nzuri sanaaaa barikiwa upone baba
Samia ubarikiwe sana kutuchagulia watu wenye utambuzi👍👍👍
Mheshimiwa mkuu Wa mkoa Wa Arusha Makonda tunaona kazi yako nzuri sana Mungu aendelee kukulinda ututete Baba............
Piga kaz jembe la wanyonge naamin mwenyezi mungu anakusimamia. Na kila wakati sali sar hii salamu maria umejaa neema ------------- na baba yetu uliye mbinguni__________ na tunakukimbilia ulinzi wako __________ hizo sala naamin mwenyez mungu atazifanyia kaz mkuu wa mkoa mtetezi wa wanyonge
Piga kazi kaka mungu akutangulie.
Naomba ukirudi uje kwetu Arusha njini utaponya wengi baba
Eee mungu mlinde makonda mama smia mama yetu mpendwa usimwondie makonda Arusha mwache asafishe jiji
Makonda safisana
Emwenyexi mungu mlinde. Mweshimiwa wetu makonda kila haendako awe mikononi mwako
Hongera sana mkuu wa mkoa kutetea wanyonge
Sema tupone baba angu umekuwa km malaika wa mungu kwetu❤❤
Viva Makonda vivaaaa
Barikiwa mkuuwangu mungu akulinde miaka mingi sijaso tukupee ilirungu la uraisi uhinyooshee inji kisawaswa seem iliyo wachwa na kamanda mkuu aliye kuibua tukujue sisi watanzani wanaho penda usalenda na haki ya kila mwanainji
Hongera san mdgo wake anco magufur tunakuombea kwa mwenyezi mungu atume roho mtakatifu akulinde ukitetea wanyonge tunamkumbuka anco wetu magufur na Raha ya milele ampe. Anco magufuri na mwanga wa milele amwangazie astarehe kwa amani
Kwamfumo huu nyota imeangaza jeshi mlindeni huyu kijana kazi Ni nzuli
Duh jembe la kasi uyoooo. 2030 lasima tukupeee iyo niyako jiyandae baba mkuuu
Vivaaaaaaaaaaaaa, Makonda Vivaaaaaaaaa.
Wanainji wote wa mkoa wa arusha.mungu amewaona.kuletewa mkuu wa mkoa.mwenye hofu ya mungu.anaependa kutetea haki zawanainji.wanaonyanyaswa naviongozi wa juu.kwkutumia umadalaka walionao.piga spana hao mkuu.wanainjiwako.wamechoka.nausiogope.malaika wamekuzunguka kwakukulinda.🙏
Mimi ninaomba Mwenyezi Mungu uyu mh Makonda alindwe Kazi anazozifanya ni kubwa saana...
Zaidi sana tuombe Mungu ampe ulinzi wa Malaika
Mungu akupe maisha marefu Paul Makonda
Mheshimiwa Makonda Wewe ni mkufunzi wa Viongozi wa Umma na Jamii kwa ujumla.❤
From Kenya this is the best leader God bless him
Mungu akulinde sana kaka yangu makonda
Diwani ni mpotofu wa maadili kumuita mtu anayeweza kuwa babu yake "mhuni".
Mungu angitukumbuka na sisi burundi atupe mtu kama uyuu khaki ilikua saw
Makonda chumaaaa
Mungu akulinde baba
Huyu mtendaji anaonekana janja Janja ni nyingi.
Baada ya Mama chukua Nchi utunyooshee watu malipo utayakuta kw Mungu..
Mungu akulinde kaka kwa kuteteya
Mungu akutunze Makonda, wanyooshe hao.
Makonda humalizi bando langu bule ahsante kwa utetezi wa wanyonge
Hata Mimi bundle langu liende tu kwa huyu mwamba 👋👋👋
KIONGOZI MAKONDA SAMAHANI HULISOMEA SHULE YA SHELIA NDANI AU NJEE YA NCHI????MIMI NIPO NJEE YA NCHI MIAKA MINGI ULISOMIA SHELIA MWAMBA WANGU MAKONDA UBALIKIWE KIONGOZI MAKONDA ❤❤❤😂❤❤❤❤
Hongera kaka
Makonda amesoma chuo cha ushirika moshi sidhani kama kuna course ya sheria
Sio SHELIA ni SHERIA
Sio ubalikiwe ni UBARIKIWE
@@Abdallah_mussaDah watanzania Kwa ukosoaji mko vizuri,, Mimi Niko Mexico huku nawaona mbashara
Hili tobwe hata kiswahili hukiwezi, aibu tupu ndio manaake Wakenya wanatucheka, hovyooo
Akonda n mtu na nusu 🙏🙏🙏🙏🙏
Eliya akamwambia Elisha omba kwangu lolote ulitakalo nikutendee, Elisha akasema naomba sehemu maradufu ya roho yako,2falme 2:9 (RIP John aka ELIYA) PAUL MAKONDA ELISHA
Kikubwa zaidi kingine cha kujua ni kwamba watu wanataharuki juu ya upya wa uendeshaji wa shughuli za Serikali., hivyo upole kidogo unahitajika pamoja na hongera kubwa sana kwa mhe Mkuu wa.
Mh. Huyu jamaa siyo mkweli pia anapoteza muda ,pia siyo mchapa kazi na anakula hela ya wananchi pia mfukuze kazi na pia mfulie kesi kuwa zulumu wanachi pamoja kutumia aneno ya machafu pamoja na ubavu
Kwa kiiingereza wamepiga 30 milioni
Yaani nimekunyanyulia mikono juu kwa majibu ya papo kwa papo kipawa hicho Mungu akulinde
Nimekubali pasipo shaka kuwa Makonda ni mtambo wa kukoboa na kusaga. Piga "spana" Mkuu na Mungu akulinde.
Arusha mmelamba dume!
Wew nijembe baba mungu akulinde
Makonda uko vizuri,tunakutamani dodoma
Hata sisi Morogoro tunammezea mate sana, Samia tunakuomba utuletee na sisi mtu kama Makonda Huku Morogoro
MUNGU akufunike makonda ppt utakapoenda malaika wakutangulie akuepushe husda za walimwengu
mdgo ake magu kazi ipo chuga mtanyoooka
Safii mwamba
Nyota kali sana
Makonda pigakazi mungu atakulida
Mwenyezi Mungu akubariki sana RC
Huyu Jamaa ni kiongozi kabisa. Dah! Yani huyu ndiye atakuja kuwa raisi wa Tanzania.
Tangia Makonda awe Mkuu wa mkoa nimefurahia sana juu tunanyanyaswa sana na hawa viongozi wetu kwani wanadhamini fedha kuliko wanainchi ukipatwa na tatizo kama huna pesa hautapata msaada ❤
Duu spana ya hatari asee
Yani hapo ni jamaa wa Kijiji waliona uchungu Mzee kupata pesa nyingi wakamtageti kutoa peasa hizo Mhe RC Makonda.
Kweli yu janja janja
Safi kiongozi makonda
Naomba mungu akulinde na huamishiwe Kagera watu tupone maanamh mungu tusaidie kagera
Makonda mungu akutunze jmn
Yan makonda nakukubali hii inchi ingesemakana igawanywe tungekupa uraisi wa arusha uwe raising wa chuga tu
RC haki Mungu walai upo vzuri we ni rais inafaa kutembelea Mikoa yote. Tanzania
Mheshimiwa makonda ungekuja nahuku kibaigwa maana Hali sishwari
Jamani wamemlia fidia Yake
Mungia akupe maisha marefu haina baya
No sana
Mungu akulinde makonda wewe nikiogozi unaefaa kuwa tumikia wanaichi
Albino kagera
Uwe Rais wetu 2 ndio tunachomwomba Mungu
Wali mdulumu huyu mzee kwa sababu yatamaa ya pesa alizo lipwa waka ona wamwambie achangie maendeleo😂😂😂 mzee akakubali
Wahuni Sio Watu🤣🤣🤣🤣
Tunakuombea makonda kwa mungu chapa kazi
Makonda wanyooshe huo uozo upo Kila sehemu du
❤❤❤❤❤
Nyie arusha mkimchoka mtuambie tuwabadilishie na huyu
Vivaaaaaaaaaaa, makonda Vivaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Waoo kaka endelea kuwapiga sipana hao ni matapeli tu
Majizi matupu
Ni aibu sana kwa nchi mtu ambae alitakiwa kuwa nacheo kikubwa kama sio rais basi waziri mkuu eti saizi anakuwa mkuu wa mkoa makonda hastaili kuwa mkuu wa mkoa alistaili awe rais au waziri mkuu
Pga supana wanyooke mkuu
Na hujui hizo pesa kazipataje kws shida na si ajabu hata kipofu alitoa mchango ona hilo unaekula vya watu bila jasho lake afukuzwe hivyo
hapa ni spana tu hamna ujacha😂
Watendaji wa aina hii Serikali haiwez kupendwa itakuwa niyakubezwa kila mara
Serkali imlinde kabisa na tusimuachie Yesu kumlinda.
Amna
Viaaa makonda viaaa
Arusha kuna kero nyingi jipange mh,kuna watu tumevunjiwa. Nyumba na manispaa kwa Hadi ya kujengwa gorofa ilibadaye tupewe. Hadi Leo hakuna kitu wazee wetu wamekufa kwa mapresha
Paul Makonda anafaa kuwa Rais wa Tanzania
Umri wake miaka 59 Sasa, 2020 alikuwa na 55, kaamua kukusanya kinguvu ili ajiandae na kustaafu. Fisadi huyo.
njoo na iringa kamanda
Kiongozi makonda sio uyo tu na mwengine yupo Dar kituo cha kwamnyamani sasa kahamishwa vingunguti nae yupo kama uyo anawaonea sana wananchi ata mimi mwenyewe alinionea awa watendaji wakikaa pale wanajiona weshavuka mto awatishwi tena wanatunyanyasa sana sisi wananchi
MUNGU mlinde makonda mimi cleopa lusajo mwakapiso nasoma utawala chuo kikuu mzumbe mkoani morogoro
Tatizo la hili kabila letu,akisoma mpaka lasaba akipata kacheo kidogo,anawanyanyasa wengine ambae hawajafanikiwa kupata hicho cheo,mtendaji supana inakuhusu maana unajifanya unajua kila kitu,hafu mbishi,,umekutana na moto,huyo sio laigwanani wa kumpiga kiswahili,makonda tobiko,
Muheshimiwa makondo huko arusha naona km dodoma huku imekuwa to much mambo ya ardhi jiji kuna wizi na ufisadi sana utoa pesa kutaka kibali cha ujenzi hela wanakula miezi inakwenda kibali hakuna jamani sisi ni watanzani halisi mnatupeleka wapi nchi yetu hii tuhurumieni