MTENDAJI ARUSHA AINGIA KWENYE 18 ZA MAKONDA/MAKONDA AMFUKUZA KAZI/NAOMBA ULINZI WASIJE WAKANIPA SUMU

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024

Комментарии • 210

  • @AmiriMatinde-x7h
    @AmiriMatinde-x7h 3 месяца назад +14

    Wanyoshe hao wakandamizaji wanyonge makonda mungu yu pamoja nawe kakangu.

  • @aishaomaryyousefomaryloiru1990
    @aishaomaryyousefomaryloiru1990 3 месяца назад +12

    Makondaeeeee,mungu akupe ulinzi wa kutosha,🤲

  • @NSCCLORUVANI-TAG
    @NSCCLORUVANI-TAG 3 месяца назад +15

    Eee Mungu, Mponye na kumlinda mkuu wa mkoa Paul Makonda na Viongozi wengine katika nchi yetu wenye nia njema na huruma kwa wanainchi yetu nzuri Tz.

  • @GodfrryGabriel
    @GodfrryGabriel 3 месяца назад +28

    Hata waseme nn juu yako, Wewe ni chaguo la Mungu tu, na daima nyota yako itazidi kung'ara in the name of our almighty God

    • @khadjamhozya
      @khadjamhozya 3 месяца назад

      MUNGU amurinde maana!!!!!!!!🙏🙏🙏🙏🙏

    • @RoseMollel-wo3ls
      @RoseMollel-wo3ls 3 месяца назад

      Makonda kiongoz mzur sana 🥰

    • @Idd-i6l
      @Idd-i6l 2 месяца назад

      Aiseeee! Mungu amwongoze huyu jamaa

    • @JumanneAmiri-pd5wm
      @JumanneAmiri-pd5wm Месяц назад

      1111qwqqq1qqq1wq week​@@khadjamhozya

  • @AmakulataJohn
    @AmakulataJohn 3 месяца назад +10

    Chaguo letu watanzania Makonda wetu♥️♥️

  • @mungholomakalanga8958
    @mungholomakalanga8958 3 месяца назад +18

    Damu ya Kristo ikufunike uendelee kutimiza majukumu yako❤

  • @SelemaniBiafra
    @SelemaniBiafra 3 месяца назад +3

    Piga kazi kaka mungu atakulinda siku zote tulikua na haja yamtu kama wewe unaejitoa kwa wanyonge

  • @CleopaMwakapiso
    @CleopaMwakapiso 3 месяца назад +8

    pongezi kwa makonda kwa kazi njema anayoifanya

  • @AlphonsinaMkongoma
    @AlphonsinaMkongoma 3 месяца назад +5

    Hekima hii uliyo nayo mkuu imetoka kwa Mungu. Mungu akuzidishie hekima na maalifa zaidi na malaika Mikaeli malaika wa ulinzi akulinde popote unapo kwenda na Damu ya Yesu ikufunike

  • @SamwelMahanyu
    @SamwelMahanyu Месяц назад +1

    Mungu akuweke miaka mingi sana ikiwezekana uchukue form 2025 tukupe urais wa nch yetu una dam za magufuli ww kamanda wetu

  • @revocatusphilmon1780
    @revocatusphilmon1780 3 месяца назад +2

    Safiiiii Sana mh makonda nakubali Sana piga kazi brother,mungu akupganie sana

  • @StellaKaale
    @StellaKaale Месяц назад +1

    Makonda nakupenda sana Kwa kazi zako unazofanya nzuri sanaaaa barikiwa upone baba

  • @chujimustafa7209
    @chujimustafa7209 3 месяца назад +2

    Samia ubarikiwe sana kutuchagulia watu wenye utambuzi👍👍👍

  • @barakalesukwi5636
    @barakalesukwi5636 Месяц назад

    Mheshimiwa mkuu Wa mkoa Wa Arusha Makonda tunaona kazi yako nzuri sana Mungu aendelee kukulinda ututete Baba............

  • @JustinWerema
    @JustinWerema Месяц назад +1

    Piga kaz jembe la wanyonge naamin mwenyezi mungu anakusimamia. Na kila wakati sali sar hii salamu maria umejaa neema ------------- na baba yetu uliye mbinguni__________ na tunakukimbilia ulinzi wako __________ hizo sala naamin mwenyez mungu atazifanyia kaz mkuu wa mkoa mtetezi wa wanyonge

  • @RichMfugale
    @RichMfugale Месяц назад +1

    Piga kazi kaka mungu akutangulie.

  • @StellaKaale
    @StellaKaale Месяц назад +1

    Naomba ukirudi uje kwetu Arusha njini utaponya wengi baba

  • @magrethelipokea7694
    @magrethelipokea7694 3 месяца назад +5

    Eee mungu mlinde makonda mama smia mama yetu mpendwa usimwondie makonda Arusha mwache asafishe jiji

  • @raphaelmchilo-kx4tt
    @raphaelmchilo-kx4tt 3 месяца назад +6

    Makonda safisana

  • @MusaFanuel-v4j
    @MusaFanuel-v4j 3 месяца назад +2

    Emwenyexi mungu mlinde. Mweshimiwa wetu makonda kila haendako awe mikononi mwako

  • @suzycollins2331
    @suzycollins2331 2 месяца назад +2

    Hongera sana mkuu wa mkoa kutetea wanyonge

  • @HabediRajabu
    @HabediRajabu Месяц назад +1

    Sema tupone baba angu umekuwa km malaika wa mungu kwetu❤❤

  • @sarahdeograthias9097
    @sarahdeograthias9097 3 месяца назад +7

    Viva Makonda vivaaaa

  • @MusaFanuel-v4j
    @MusaFanuel-v4j 3 месяца назад +1

    Barikiwa mkuuwangu mungu akulinde miaka mingi sijaso tukupee ilirungu la uraisi uhinyooshee inji kisawaswa seem iliyo wachwa na kamanda mkuu aliye kuibua tukujue sisi watanzani wanaho penda usalenda na haki ya kila mwanainji

  • @JustinWerema
    @JustinWerema Месяц назад

    Hongera san mdgo wake anco magufur tunakuombea kwa mwenyezi mungu atume roho mtakatifu akulinde ukitetea wanyonge tunamkumbuka anco wetu magufur na Raha ya milele ampe. Anco magufuri na mwanga wa milele amwangazie astarehe kwa amani

  • @DorikasiMwakabela
    @DorikasiMwakabela 3 месяца назад +6

    Kwamfumo huu nyota imeangaza jeshi mlindeni huyu kijana kazi Ni nzuli

  • @MusaFanuel-v4j
    @MusaFanuel-v4j 3 месяца назад +2

    Duh jembe la kasi uyoooo. 2030 lasima tukupeee iyo niyako jiyandae baba mkuuu

  • @neemamasimba2981
    @neemamasimba2981 3 месяца назад +2

    Vivaaaaaaaaaaaaa, Makonda Vivaaaaaaaaa.

  • @Fredykapande-vh6cv
    @Fredykapande-vh6cv 3 месяца назад +1

    Wanainji wote wa mkoa wa arusha.mungu amewaona.kuletewa mkuu wa mkoa.mwenye hofu ya mungu.anaependa kutetea haki zawanainji.wanaonyanyaswa naviongozi wa juu.kwkutumia umadalaka walionao.piga spana hao mkuu.wanainjiwako.wamechoka.nausiogope.malaika wamekuzunguka kwakukulinda.🙏

  • @husseinbachwa8372
    @husseinbachwa8372 3 месяца назад +4

    Mimi ninaomba Mwenyezi Mungu uyu mh Makonda alindwe Kazi anazozifanya ni kubwa saana...

  • @dastansimpanzye4019
    @dastansimpanzye4019 2 месяца назад +1

    Mungu akupe maisha marefu Paul Makonda

  • @husseinkuzungu6576
    @husseinkuzungu6576 26 дней назад

    Mheshimiwa Makonda Wewe ni mkufunzi wa Viongozi wa Umma na Jamii kwa ujumla.❤

  • @muriithijohn3390
    @muriithijohn3390 Месяц назад

    From Kenya this is the best leader God bless him

  • @Debora-zp4wx
    @Debora-zp4wx 3 месяца назад +1

    Mungu akulinde sana kaka yangu makonda

  • @PhilkevinFelix
    @PhilkevinFelix 3 месяца назад +12

    Diwani ni mpotofu wa maadili kumuita mtu anayeweza kuwa babu yake "mhuni".

  • @IssaMbaru-qw6ug
    @IssaMbaru-qw6ug 3 месяца назад +1

    Mungu angitukumbuka na sisi burundi atupe mtu kama uyuu khaki ilikua saw

  • @GodfrryGabriel
    @GodfrryGabriel 3 месяца назад +7

    Makonda chumaaaa

  • @EstermollelEster
    @EstermollelEster 2 месяца назад

    Mungu akulinde baba

  • @kimchi-91
    @kimchi-91 3 месяца назад +5

    Huyu mtendaji anaonekana janja Janja ni nyingi.

  • @husseinbachwa8372
    @husseinbachwa8372 3 месяца назад +2

    Baada ya Mama chukua Nchi utunyooshee watu malipo utayakuta kw Mungu..

  • @BadihamadinoorHamadi
    @BadihamadinoorHamadi Месяц назад

    Mungu akulinde kaka kwa kuteteya

  • @alexletayolaizer8515
    @alexletayolaizer8515 3 месяца назад +1

    Mungu akutunze Makonda, wanyooshe hao.

  • @Justin-z1m
    @Justin-z1m 3 месяца назад +1

    Makonda humalizi bando langu bule ahsante kwa utetezi wa wanyonge

    • @israelmwakatika8342
      @israelmwakatika8342 2 месяца назад

      Hata Mimi bundle langu liende tu kwa huyu mwamba 👋👋👋

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio4054 3 месяца назад +37

    KIONGOZI MAKONDA SAMAHANI HULISOMEA SHULE YA SHELIA NDANI AU NJEE YA NCHI????MIMI NIPO NJEE YA NCHI MIAKA MINGI ULISOMIA SHELIA MWAMBA WANGU MAKONDA UBALIKIWE KIONGOZI MAKONDA ❤❤❤😂❤❤❤❤

    • @eleonorashirima1604
      @eleonorashirima1604 3 месяца назад +2

      Hongera kaka

    • @JUU-lw2je
      @JUU-lw2je 3 месяца назад

      Makonda amesoma chuo cha ushirika moshi sidhani kama kuna course ya sheria

    • @Abdallah_mussa
      @Abdallah_mussa 3 месяца назад +6

      Sio SHELIA ni SHERIA
      Sio ubalikiwe ni UBARIKIWE

    • @JuliusHatari
      @JuliusHatari 3 месяца назад +2

      ​@@Abdallah_mussaDah watanzania Kwa ukosoaji mko vizuri,, Mimi Niko Mexico huku nawaona mbashara

    • @section8ight174
      @section8ight174 3 месяца назад +2

      Hili tobwe hata kiswahili hukiwezi, aibu tupu ndio manaake Wakenya wanatucheka, hovyooo

  • @AronJoseph-h8b
    @AronJoseph-h8b 3 месяца назад +1

    Akonda n mtu na nusu 🙏🙏🙏🙏🙏

  • @JerryMosi
    @JerryMosi 3 месяца назад +2

    Eliya akamwambia Elisha omba kwangu lolote ulitakalo nikutendee, Elisha akasema naomba sehemu maradufu ya roho yako,2falme 2:9 (RIP John aka ELIYA) PAUL MAKONDA ELISHA

  • @AbdilahiMriri
    @AbdilahiMriri 3 месяца назад +1

    Kikubwa zaidi kingine cha kujua ni kwamba watu wanataharuki juu ya upya wa uendeshaji wa shughuli za Serikali., hivyo upole kidogo unahitajika pamoja na hongera kubwa sana kwa mhe Mkuu wa.

  • @MohamedOmary-s9n
    @MohamedOmary-s9n 3 месяца назад +5

    Mh. Huyu jamaa siyo mkweli pia anapoteza muda ,pia siyo mchapa kazi na anakula hela ya wananchi pia mfukuze kazi na pia mfulie kesi kuwa zulumu wanachi pamoja kutumia aneno ya machafu pamoja na ubavu

  • @mbondelotv8380
    @mbondelotv8380 3 месяца назад +4

    Kwa kiiingereza wamepiga 30 milioni

  • @songeza
    @songeza 3 месяца назад +1

    Yaani nimekunyanyulia mikono juu kwa majibu ya papo kwa papo kipawa hicho Mungu akulinde

  • @BJMKANGALA1
    @BJMKANGALA1 3 месяца назад +1

    Nimekubali pasipo shaka kuwa Makonda ni mtambo wa kukoboa na kusaga. Piga "spana" Mkuu na Mungu akulinde.
    Arusha mmelamba dume!

  • @NaumMwamengo
    @NaumMwamengo 2 месяца назад

    Wew nijembe baba mungu akulinde

  • @raphaelkiungulia4366
    @raphaelkiungulia4366 3 месяца назад +1

    Makonda uko vizuri,tunakutamani dodoma

    • @neemamasimba2981
      @neemamasimba2981 3 месяца назад

      Hata sisi Morogoro tunammezea mate sana, Samia tunakuomba utuletee na sisi mtu kama Makonda Huku Morogoro

  • @NeemaMachara
    @NeemaMachara 3 месяца назад +2

    MUNGU akufunike makonda ppt utakapoenda malaika wakutangulie akuepushe husda za walimwengu

  • @japhetmasunga8889
    @japhetmasunga8889 3 месяца назад +1

    mdgo ake magu kazi ipo chuga mtanyoooka

  • @MirajiIssa-sl2li
    @MirajiIssa-sl2li 3 месяца назад +1

    Safii mwamba

  • @IssaIra-j9u
    @IssaIra-j9u 3 месяца назад +3

    Nyota kali sana

  • @KitindiMatawa-uk4qk
    @KitindiMatawa-uk4qk 3 месяца назад +1

    Makonda pigakazi mungu atakulida

  • @rendozrendo7804
    @rendozrendo7804 3 месяца назад +5

    Mwenyezi Mungu akubariki sana RC

  • @sugashTv
    @sugashTv 3 месяца назад +1

    Huyu Jamaa ni kiongozi kabisa. Dah! Yani huyu ndiye atakuja kuwa raisi wa Tanzania.

  • @AmaniLukumay-wk6zm
    @AmaniLukumay-wk6zm 2 месяца назад

    Tangia Makonda awe Mkuu wa mkoa nimefurahia sana juu tunanyanyaswa sana na hawa viongozi wetu kwani wanadhamini fedha kuliko wanainchi ukipatwa na tatizo kama huna pesa hautapata msaada ❤

  • @YEHOSHAPHATMAKILILO
    @YEHOSHAPHATMAKILILO 3 месяца назад +4

    Duu spana ya hatari asee

  • @AbdilahiMriri
    @AbdilahiMriri 3 месяца назад +2

    Yani hapo ni jamaa wa Kijiji waliona uchungu Mzee kupata pesa nyingi wakamtageti kutoa peasa hizo Mhe RC Makonda.

  • @MwanaishaShattry
    @MwanaishaShattry 3 месяца назад +3

    Kweli yu janja janja

  • @RamadhaniSuru
    @RamadhaniSuru 3 месяца назад +2

    Safi kiongozi makonda

  • @NeemaMrengera
    @NeemaMrengera 2 месяца назад

    Naomba mungu akulinde na huamishiwe Kagera watu tupone maanamh mungu tusaidie kagera

  • @AbdulFatah-f7g
    @AbdulFatah-f7g 2 месяца назад

    Makonda mungu akutunze jmn

  • @SamwelMahanyu
    @SamwelMahanyu Месяц назад +1

    Yan makonda nakukubali hii inchi ingesemakana igawanywe tungekupa uraisi wa arusha uwe raising wa chuga tu

  • @songeza
    @songeza 3 месяца назад +1

    RC haki Mungu walai upo vzuri we ni rais inafaa kutembelea Mikoa yote. Tanzania

  • @JohnMungwana-te4rm
    @JohnMungwana-te4rm 3 месяца назад +1

    Mheshimiwa makonda ungekuja nahuku kibaigwa maana Hali sishwari

  • @evajosephmtandika5015
    @evajosephmtandika5015 3 месяца назад +1

    Jamani wamemlia fidia Yake

  • @ShanuniRashidi
    @ShanuniRashidi 2 месяца назад

    Mungia akupe maisha marefu haina baya

  • @GulamMumbweh
    @GulamMumbweh 3 месяца назад +3

    No sana

  • @SebaLucas-j4l
    @SebaLucas-j4l 2 месяца назад

    Mungu akulinde makonda wewe nikiogozi unaefaa kuwa tumikia wanaichi

  • @KalutasMtayoba
    @KalutasMtayoba 3 месяца назад +1

    Albino kagera

  • @DorisMroso-tx9mb
    @DorisMroso-tx9mb 3 месяца назад +1

    Uwe Rais wetu 2 ndio tunachomwomba Mungu

  • @DM_15
    @DM_15 3 месяца назад +2

    Wali mdulumu huyu mzee kwa sababu yatamaa ya pesa alizo lipwa waka ona wamwambie achangie maendeleo😂😂😂 mzee akakubali

  • @AmiriMatinde-x7h
    @AmiriMatinde-x7h 3 месяца назад +4

    Tunakuombea makonda kwa mungu chapa kazi

  • @AlanusGerodi-mo3dm
    @AlanusGerodi-mo3dm 3 месяца назад +3

    Makonda wanyooshe huo uozo upo Kila sehemu du

  • @neemaelia3436
    @neemaelia3436 3 месяца назад +1

    ❤❤❤❤❤

  • @StanleyMolla
    @StanleyMolla 3 месяца назад +1

    Nyie arusha mkimchoka mtuambie tuwabadilishie na huyu

  • @neemaelia3436
    @neemaelia3436 3 месяца назад +1

    Vivaaaaaaaaaaa, makonda Vivaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa

  • @OdongoOwino-hm3op
    @OdongoOwino-hm3op 3 месяца назад +1

    Waoo kaka endelea kuwapiga sipana hao ni matapeli tu

  • @zidatv1122
    @zidatv1122 3 месяца назад +4

    Majizi matupu

  • @NabwikeKanyamale
    @NabwikeKanyamale 3 месяца назад +1

    Ni aibu sana kwa nchi mtu ambae alitakiwa kuwa nacheo kikubwa kama sio rais basi waziri mkuu eti saizi anakuwa mkuu wa mkoa makonda hastaili kuwa mkuu wa mkoa alistaili awe rais au waziri mkuu

  • @nathanaeledward5613
    @nathanaeledward5613 3 месяца назад +2

    Pga supana wanyooke mkuu

  • @songeza
    @songeza 3 месяца назад +2

    Na hujui hizo pesa kazipataje kws shida na si ajabu hata kipofu alitoa mchango ona hilo unaekula vya watu bila jasho lake afukuzwe hivyo

  • @moseslaizar843
    @moseslaizar843 3 месяца назад +2

    hapa ni spana tu hamna ujacha😂

  • @SophiaKamgunda
    @SophiaKamgunda 3 месяца назад +1

    Watendaji wa aina hii Serikali haiwez kupendwa itakuwa niyakubezwa kila mara

  • @africatoeuropechurchtv8856
    @africatoeuropechurchtv8856 3 месяца назад +1

    Serkali imlinde kabisa na tusimuachie Yesu kumlinda.

  • @RweyungaPhilbert
    @RweyungaPhilbert Месяц назад

    Amna

  • @khadija5761
    @khadija5761 3 месяца назад +1

    Viaaa makonda viaaa

  • @HamadMaavere
    @HamadMaavere 3 месяца назад +2

    Arusha kuna kero nyingi jipange mh,kuna watu tumevunjiwa. Nyumba na manispaa kwa Hadi ya kujengwa gorofa ilibadaye tupewe. Hadi Leo hakuna kitu wazee wetu wamekufa kwa mapresha

  • @LumanijaMatiga-j6h
    @LumanijaMatiga-j6h Месяц назад

    Paul Makonda anafaa kuwa Rais wa Tanzania

  • @jumamustapha8254
    @jumamustapha8254 3 месяца назад +1

    Umri wake miaka 59 Sasa, 2020 alikuwa na 55, kaamua kukusanya kinguvu ili ajiandae na kustaafu. Fisadi huyo.

  • @Lutenganomwenzegule
    @Lutenganomwenzegule 2 месяца назад

    njoo na iringa kamanda

  • @khalidkhalfan1556
    @khalidkhalfan1556 Месяц назад

    Kiongozi makonda sio uyo tu na mwengine yupo Dar kituo cha kwamnyamani sasa kahamishwa vingunguti nae yupo kama uyo anawaonea sana wananchi ata mimi mwenyewe alinionea awa watendaji wakikaa pale wanajiona weshavuka mto awatishwi tena wanatunyanyasa sana sisi wananchi

  • @CleopaMwakapiso
    @CleopaMwakapiso 3 месяца назад +1

    MUNGU mlinde makonda mimi cleopa lusajo mwakapiso nasoma utawala chuo kikuu mzumbe mkoani morogoro

  • @aishaomaryyousefomaryloiru1990
    @aishaomaryyousefomaryloiru1990 3 месяца назад +1

    Tatizo la hili kabila letu,akisoma mpaka lasaba akipata kacheo kidogo,anawanyanyasa wengine ambae hawajafanikiwa kupata hicho cheo,mtendaji supana inakuhusu maana unajifanya unajua kila kitu,hafu mbishi,,umekutana na moto,huyo sio laigwanani wa kumpiga kiswahili,makonda tobiko,

  • @hajrasaid1924
    @hajrasaid1924 2 месяца назад

    Muheshimiwa makondo huko arusha naona km dodoma huku imekuwa to much mambo ya ardhi jiji kuna wizi na ufisadi sana utoa pesa kutaka kibali cha ujenzi hela wanakula miezi inakwenda kibali hakuna jamani sisi ni watanzani halisi mnatupeleka wapi nchi yetu hii tuhurumieni