Tunahitaji Makonda wengine angalau 10 tu naamini nchi hii itakuwa vizuri. Hongera sana mheshimiwa Makonda kwani kazi unayofanya ni kubwa sana. Ni vema na watendaji wengine waige mfano huu kwani nchi hii inaibiwa sana!
Mh mkuu wa mkoa mwenyezi mungu akupe umri.mrefu.wewe ni mtu wa mwenyezi mungu napia ni mtu wawatu.yaani upo vzr kwa haki na kiswahili kizuri.Aiwezekani hajitambui mara sita mara nane mara 18.wanafuja pesa.Hakii waongo.hapo kasema kulipa bill sasa anasema kuingiza umeme.ushuru😳sasa ni ushuru au mafuta😳
Mzee simamia KAZI za taifa mungu atakulipa watanzania wengi sio wazalendo
Makonda apo unaenda vizuri.nitakua na imani na wewe sasa asante mungu akulinde
Tunahitaji Makonda wengine angalau 10 tu naamini nchi hii itakuwa vizuri. Hongera sana mheshimiwa Makonda kwani kazi unayofanya ni kubwa sana. Ni vema na watendaji wengine waige mfano huu kwani nchi hii inaibiwa sana!
Makonda pokea mauwa yakoo kaka uko vizurii ....I wish Rais wetu 2030❤
MH.RAIS HUYU MWAMBA ATUMIKIA KAZI YA UKUU WA MIKOA ASIZIDI MWAKA MMOJA KWA MKOA MMOJA...KILA MWAKA AWE ANAHAISHIWA MKOA MWINGINE ILI AINYOOSHE NCHI.💪💪
Mungu abariki Sana katika utumishi wake
Kazi yako nzuri makonda lakini majibu yako kwauyo mama umemdhalilisha sio vizuri
Hakika ni Mungu amekuchagua mkuu wa mkoa,YEREMIA:1;5, Nakuombea Mungu akutunze mpaka utimize kusudi lake.lSAYA:54;17, ubarikiwe sana baba.
Makonda ninoma sanaaa❤❤❤
BwanaYesu akufunike Makonda
Makonda ivi wewe mbona unaubongo wa hayati Mzee wetu magufuli ungekuwa unaungwa mkono taifa lisingelia na umasikini
Hello
Mungu akulinde
Mungu akulinde mheshimiwa uaminifu ni kitu kizuri na uongo unagharama yake
yani tanesco ana bei kuliko rea
❤❤❤❤❤❤❤❤❤
🇺🇸🙋🇹🇿
Kamata wezi
Tunataka watu kama hawa
mafundi hamuwalipi kwawati ndiomna wanaondka
hakuna kamaww kwenye hiinchi
Mh mkuu wa mkoa mwenyezi mungu akupe umri.mrefu.wewe ni mtu wa mwenyezi mungu napia ni mtu wawatu.yaani upo vzr kwa haki na kiswahili kizuri.Aiwezekani hajitambui mara sita mara nane mara 18.wanafuja pesa.Hakii waongo.hapo kasema kulipa bill sasa anasema kuingiza umeme.ushuru😳sasa ni ushuru au mafuta😳
Wakowengi Dana watu Kama hawo Kira wiraya nnchi hiyi Mambo ya hovyo xana hayo sii happy tuu
Viongozi wengne mnawapa vyeo visivyo wafaa kabsa tusidharilishane majukwaani babu hatujasomeshana Kila mtu kasomeshwa kwao kwahiyo Kama unataka Kiki tunakutoa wanaingia wengne
Huna hoja
Una uwezo wa kumtoa nani wewe acha kiongozi afanye kazi hukusomeshwa ila uibe fedha za wananch
Una uwezo wa kumtoa nani wewe acha kiongozi afanye kazi hukusomeshwa ila uibe fedha za wananch
Makonda hana Tatizo, Tatizo lipo kwa anao wagusa..kuna Ubadhirifu mwingi Makonda anaufukua kwa hiyo atatafutiwa kila aina ya Chuki ili kumfitini
Makonda sijui nisemeje tu
huyu Bashite ni mpumbavu, bado anawadhalilisha wanawake, eti ana mke mzuri, nonsense.
Sasa Na yeye Anajieleza Sijisikia bati sjisijia mbao hapo au hayo madarasa yamejengwaa bila bati na mbao
RC. Tuko pamoja fanya kazi. Nchi iko pabaya uongo umezidi. watu wamekuwa waongo
🙆🙆🙆🙆 21:23
Tunaomba Mr.rais amluhusu ndungu makonda awezekuhudumia kira mkoa mwaka mmoja mmoja make ni mtetez wa wanyonge
Kaka gombania na uraisi
Makonda alikuwa sahihi
Acha upuuzi militia kwanza
Wizi mtupu😢
rajabu
SUPANA ZIENDELEHE PEMBE ZOTE ARUSHA 😂😂😂
Nakutabiria utakuja kuwa rais wajamuhuri ya muungano wa tanzania naamin ilo kipenzi cha wengiii nchi hiii itanyooka sanaaa mungu akutunze ili litimie❤
Bwana Yesu atende namsubiri Raisi ajaye kwenye wakati aliomsaza.
Anko oooooo chukuw kiti uwe raisiiiiii nimefulahiiii umakiini wakooooooo
Mondamano
😅😅😅😅😅
😂aaa
kama unaamini dada hana shida lakini Hiyo miwani ya kuogelea ndio inamfanya dada aonekane kuwa anakiburi , gonga like hapa 😂😂😂😂😂
SOIL TEST 10M😂🙌
Tunaomba ndugu Makonda ajje namkoa kigoma