VIDEO YA MAKONDA ALIVYOCHARUANA na HUYU DADA ''HAUONGEI na MCHUMBA WAKO HAPA, UNAFANYA DHARAU?''

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 май 2024
  • 𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 50

  • @MfaumeIbrahim
    @MfaumeIbrahim 29 дней назад +12

    Mzee simamia KAZI za taifa mungu atakulipa watanzania wengi sio wazalendo

  • @AzaeliMbise
    @AzaeliMbise 13 дней назад +4

    Makonda apo unaenda vizuri.nitakua na imani na wewe sasa asante mungu akulinde

  • @vascombembela3632
    @vascombembela3632 26 дней назад +8

    Tunahitaji Makonda wengine angalau 10 tu naamini nchi hii itakuwa vizuri. Hongera sana mheshimiwa Makonda kwani kazi unayofanya ni kubwa sana. Ni vema na watendaji wengine waige mfano huu kwani nchi hii inaibiwa sana!

  • @user-st3tz7lk2k
    @user-st3tz7lk2k 4 дня назад +1

    Makonda pokea mauwa yakoo kaka uko vizurii ....I wish Rais wetu 2030❤

  • @molenicharles9107
    @molenicharles9107 8 дней назад +2

    MH.RAIS HUYU MWAMBA ATUMIKIA KAZI YA UKUU WA MIKOA ASIZIDI MWAKA MMOJA KWA MKOA MMOJA...KILA MWAKA AWE ANAHAISHIWA MKOA MWINGINE ILI AINYOOSHE NCHI.💪💪

  • @AngelaniAbwe
    @AngelaniAbwe 3 дня назад

    Mungu abariki Sana katika utumishi wake

  • @e11said23
    @e11said23 5 дней назад

    Kazi yako nzuri makonda lakini majibu yako kwauyo mama umemdhalilisha sio vizuri

  • @craudiadominicus6995
    @craudiadominicus6995 8 дней назад

    Hakika ni Mungu amekuchagua mkuu wa mkoa,YEREMIA:1;5, Nakuombea Mungu akutunze mpaka utimize kusudi lake.lSAYA:54;17, ubarikiwe sana baba.

  • @happyfrancis9809
    @happyfrancis9809 12 дней назад +1

    Makonda ninoma sanaaa❤❤❤

  • @user-xb7ys5lf4x
    @user-xb7ys5lf4x 2 дня назад

    BwanaYesu akufunike Makonda

  • @Renatus-fk5lr
    @Renatus-fk5lr 2 дня назад +1

    Makonda ivi wewe mbona unaubongo wa hayati Mzee wetu magufuli ungekuwa unaungwa mkono taifa lisingelia na umasikini

  • @AsumaniMAtanga
    @AsumaniMAtanga 29 дней назад +4

    Hello

  • @benjaminierick8274
    @benjaminierick8274 6 дней назад

    Mungu akulinde

  • @user-xx4kb6qz6p
    @user-xx4kb6qz6p 9 дней назад

    Mungu akulinde mheshimiwa uaminifu ni kitu kizuri na uongo unagharama yake

  • @RajabuAmir-cl3ke
    @RajabuAmir-cl3ke 5 дней назад

    yani tanesco ana bei kuliko rea

  • @CalmOmbreSky-iz2hj
    @CalmOmbreSky-iz2hj День назад

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @AsumaniMAtanga
    @AsumaniMAtanga 29 дней назад +4

    🇺🇸🙋🇹🇿

  • @olivastephano2900
    @olivastephano2900 29 дней назад +2

    Kamata wezi

  • @AnnaKessy-yr6gs
    @AnnaKessy-yr6gs 4 дня назад

    Tunataka watu kama hawa

  • @RajabuAmir-cl3ke
    @RajabuAmir-cl3ke 5 дней назад

    mafundi hamuwalipi kwawati ndiomna wanaondka

  • @AloyceStnford
    @AloyceStnford 6 дней назад

    hakuna kamaww kwenye hiinchi

  • @sabrinaandrew4245
    @sabrinaandrew4245 9 дней назад

    Mh mkuu wa mkoa mwenyezi mungu akupe umri.mrefu.wewe ni mtu wa mwenyezi mungu napia ni mtu wawatu.yaani upo vzr kwa haki na kiswahili kizuri.Aiwezekani hajitambui mara sita mara nane mara 18.wanafuja pesa.Hakii waongo.hapo kasema kulipa bill sasa anasema kuingiza umeme.ushuru😳sasa ni ushuru au mafuta😳

  • @RajabuLanda
    @RajabuLanda 24 дня назад

    Wakowengi Dana watu Kama hawo Kira wiraya nnchi hiyi Mambo ya hovyo xana hayo sii happy tuu

  • @boniphacepaskal4024
    @boniphacepaskal4024 28 дней назад +3

    Viongozi wengne mnawapa vyeo visivyo wafaa kabsa tusidharilishane majukwaani babu hatujasomeshana Kila mtu kasomeshwa kwao kwahiyo Kama unataka Kiki tunakutoa wanaingia wengne

    • @bashayabenjamin-ot7xi
      @bashayabenjamin-ot7xi 27 дней назад

      Huna hoja

    • @meshacknyandongo577
      @meshacknyandongo577 24 дня назад +1

      Una uwezo wa kumtoa nani wewe acha kiongozi afanye kazi hukusomeshwa ila uibe fedha za wananch

    • @meshacknyandongo577
      @meshacknyandongo577 24 дня назад

      Una uwezo wa kumtoa nani wewe acha kiongozi afanye kazi hukusomeshwa ila uibe fedha za wananch

  • @angellomarcel5677
    @angellomarcel5677 28 дней назад

    Makonda hana Tatizo, Tatizo lipo kwa anao wagusa..kuna Ubadhirifu mwingi Makonda anaufukua kwa hiyo atatafutiwa kila aina ya Chuki ili kumfitini

  • @HancyHancy-wn5et
    @HancyHancy-wn5et 9 дней назад

    Makonda sijui nisemeje tu

  • @mraeliphas9293
    @mraeliphas9293 6 дней назад

    huyu Bashite ni mpumbavu, bado anawadhalilisha wanawake, eti ana mke mzuri, nonsense.

  • @user-oo2fx8nk5r
    @user-oo2fx8nk5r 27 дней назад

    Sasa Na yeye Anajieleza Sijisikia bati sjisijia mbao hapo au hayo madarasa yamejengwaa bila bati na mbao

  • @babyboy6310
    @babyboy6310 10 дней назад

    RC. Tuko pamoja fanya kazi. Nchi iko pabaya uongo umezidi. watu wamekuwa waongo

  • @user-rv2gb1ym9d
    @user-rv2gb1ym9d 29 дней назад

    🙆🙆🙆🙆 21:23

  • @ChescoJohn-gc8qt
    @ChescoJohn-gc8qt 5 дней назад

    Tunaomba Mr.rais amluhusu ndungu makonda awezekuhudumia kira mkoa mwaka mmoja mmoja make ni mtetez wa wanyonge

  • @AbdullyCharles
    @AbdullyCharles 13 дней назад

    Kaka gombania na uraisi

  • @user-td4le3xf7h
    @user-td4le3xf7h 24 дня назад

    Makonda alikuwa sahihi

  • @msongojumbe486
    @msongojumbe486 14 дней назад

    Acha upuuzi militia kwanza

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 15 дней назад

    Wizi mtupu😢

  • @RajabuAmir-cl3ke
    @RajabuAmir-cl3ke 5 дней назад

    rajabu

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio4054 16 дней назад

    SUPANA ZIENDELEHE PEMBE ZOTE ARUSHA 😂😂😂

  • @happyfrancis9809
    @happyfrancis9809 12 дней назад

    Nakutabiria utakuja kuwa rais wajamuhuri ya muungano wa tanzania naamin ilo kipenzi cha wengiii nchi hiii itanyooka sanaaa mungu akutunze ili litimie❤

    • @brunidamadege3747
      @brunidamadege3747 7 дней назад

      Bwana Yesu atende namsubiri Raisi ajaye kwenye wakati aliomsaza.

  • @JumaAwamu
    @JumaAwamu 7 дней назад

    Anko oooooo chukuw kiti uwe raisiiiiii nimefulahiiii umakiini wakooooooo

  • @josephbosire4788
    @josephbosire4788 День назад

    Mondamano

  • @user-ys5iu3qu3u
    @user-ys5iu3qu3u 29 дней назад +1

    😅😅😅😅😅

  • @user-xz7fm3sf7z
    @user-xz7fm3sf7z 11 дней назад

    😂aaa

  • @BIGBOSS-hl3bu
    @BIGBOSS-hl3bu 23 дня назад

    kama unaamini dada hana shida lakini Hiyo miwani ya kuogelea ndio inamfanya dada aonekane kuwa anakiburi , gonga like hapa 😂😂😂😂😂

  • @uzungupoint
    @uzungupoint 26 дней назад

    SOIL TEST 10M😂🙌

  • @user-pk5tu4be6r
    @user-pk5tu4be6r 14 дней назад +1

    Tunaomba ndugu Makonda ajje namkoa kigoma