LISSU ANAMACHUNGU NA MAKONDA ASIMULIA "HUYU NI MHALIFU ALIHUSIKA KUPIGWA KWANGU ANAPASWA KUWA JELA"
HTML-код
- Опубликовано: 27 сен 2024
- LISSU ANAMACHUNGU NA MAKONDA ASIMULIA "HUYU NI MHALIFU ALIHUSIKA KUPIGWA KWANGU ANAPASWA KUWA JELA"
🔘JE, NA WEWE UNA HABARI?
🔘WASILIANA NA MwanaHALISI TV (+255 767 400402),
🔘WhatsApp (+255 767 400402)
🔘Email: mwanahalisitvnews@gmail.com
🔘KWA HABARI ZA KILA SIKU: mwanahalisionli...
Mungu mwema alikuacha Kwa makusud
Sioni jipya kila siku kila sehemu kilio ndo hicho hicho kama ana ushahidi afungue mashitaka tumeshachoka kusikia same story kila siku.
@@danielmarwa5122we kuma nini asa akafungue kesi na wakati nchi anaongoza ccm
@@danielmarwa5122bila shaka wewe ni mmojawapo wa members wa lile kundi la kigaidi la wasiojulikana, ipo siku yenu itakuja tu.
MUNGU hujikipizia kisasi kwa wanaoonewa @@danielmarwa5122
Hivi wewe kibaraka wa ulaya utaacha maneno yako ya kipuuzi, lengo lako ni upuuzi mtupu.
Mh lisu mungu azidi kukupa maisha malefu ili wabaya wako woote wazidi kuumbuka ukiwa hai na maana mungu alikuacha kwa makusudi yake bila wewe hii tz wengi hatukuwa tunaijua haki yetu .mungu azidi tu kukuwekea urinzi na kukupa masha malefu ili wanaya wako wajulikane wooote
BILA KUPENDA MARIDHIANO UNGEONGEA? LEO HAPO? KUSEMA TU MANGAPI YAMASEMWA USIMHUKUM MTU KWA HISIA ALIHUSIKA KUMBE HAKUHUSIKA MIMI NAMUONA NI MPENDA HAKI KULIKO HATA WEWE LISU
Mambo ya Magufuli cc ndio tunayataka sasa
Point
Huna ushahidi wowote na unasema wapo watu walio kwambia na WA uhakika kwanini usiwaseme hao na ndio wawe mashahidi?
kwann police hawwjafuata huo ushaihid kwann hao police wako hawajachunguza hlo tukio
@@kapingageorge7635Polisi hawafanyikazi hivyo. Mwenye ushahidi apeleke. Dereva yupo wapi?
@@hajihassan5433 eti Dereva
Halafu magaidi wote wa like kundi la wasiojulikana majina yenu ni 'User'😅
Marekani nao hawana ushaidi
MWANAHALISI CHANNEL MUNATUBOA WEKENI MAHOJIANO YOTE MWANZO MPAKA MWISHO HIVI MUNAKATA VIPANDE VIPANDE HAILETI PICHA NZURI ,,JITAHIDINI KUWAIGA WENZENU KAMA JAMBO TV AU MWANZO TV...lissu unatowa madini mazito hakika lissu ni mkombozi na mzalendo wa kweli hongera sana ,,towa madini kamanda wetu
Na bado lazima unyamazishwe kwani dawa ya kichaa ni sindano ya simu
Kama ni simu utanyweshwa wewe mjinga mmoja
Kwel kabisaa
Utazimishwa mwenyewe na Mungu.
Chizi wewe
Pepo wa makaburini we, subirini ipo siku yenu
Mmmmh' nashindwa nicoment nini''' Tanzania yetu jamani 😭😭😭😭😭😭😭😭
Ila kwa GSM NI KWERI KABISA KAAPA MAKONDA ALIZUNGUA SANA KWAKWERRRR SEEEEE MAKONDA KWAIL LIZINGUA LA GSM MPKA LEO GSM ANA UMIA MOYO
Pole zake
Mzee siyo kweli kuhusu Paul makonda marekani haikumruhusu kwa sababu ya haki za mashoga ni kwa sababu mr makonda alipigana vita ya mashoga kutaka haki zao wakati wanajua mila za wantanzania haziendani na mila za kiafrica hiyo ndio ukweli . Makonda hajahusika na matatizo yaliyokutokea mzee.😊
Risu anapenda kiki uyu yy ndo anajiona mwema wengine niwaalifu ovyooo
Mungu mponye Makonda
Ukiuuwa Kwa upanga nawe utauliwa Kwa upanga,
Lisu hayo mambo umesema mara nyingi sana,kama una ukweli wape ushirikiano polisi ili jambo hilo liishe.
It makes a lot of sense.
Hizi accusations zinamlemea Paul Makonda vibaya. Anapaswa achunguzwe na akajitetee mahakamani
Mahakama za Tanzania., sijui kama zinatenda haki!
Pole Sana mwachie mungu
Duu pole sana mtu wa Mungu Tundu lisu ila hujafa kwa sababu hujalimaliza kusudi la Mungu lililokuleta Duniani
Well said. Kusudi la Mungu Baba hakuna wa kuzuia.
Wèll ßaid. Kusudi la Mungu Baba kwa Lissu hawezi hakuna atakayezuia
kwenda zako uko ww makonda kazuiliwa kwenda marekani kwasabab ya kuakamata mashoga naww mwenyewe mshenzi2 ww ulikua raisi wa TLS mbona.mikataba ilikua inasainiawa ya hovyo kbx ulishindwa kutoa hata ushauli unauza maisha ya watu kwasabab pkapu kwenda
Tundulisu aliongea sana Kwa habari ya mikataba mibovu😊
Kwenda zako mwenyewe usijitambua
Wew ni kichwa cha mwendawezim kwani wew ulikuwa humuoni Lissu jinsi alivyopambana na mamikataba mabovu toka bungeni au ni chuki za kijinga tu
@@makobamasawemangu4122 kweli bro ,,NA MATOKEO YAKE VILE VICHWA VYOTE VINAVYOSEMA UKWELI UCHAGUZI WA 2020 WALIPORWA KWA NGUVU NA SASA MIBUNGE YA CCM YAKO PEKE YAO WANAENDELEA KUIUZA NCHI KWA MIKATABA MIBOVU
Tuko wengi tunao muona Ivo izo kauli za shombo zote tamaa yamadalaka naizo kaulizake zakinafki ndozanazo mnyima madalaka ajielewi
Muheshimiwa Lisu,sisi tunafahamu vyema kuwa makonda alipigwa marufuku kuingia. Marekani baada ya kuzuia ushoga usifanyike ndani ya jiji la Dar es salaam,wapenda ushoga Duniani wakasema amekiuka haki za binaadamu,je wa naume kwa wanaume kugongana Ni haki ya binaadamu au ya Shetani?
Ndugu yangu kongole sana kwa kuwaelewesha Hawa mashoga wagawa mizigo
Ushoga ndiyo unazuia haki ya mtu kuishi? Ipo siku tu haijalishi muda gani unapita, yote yatakuwa wazi.
@@jesaminzo acha kusema ivyo hata yesu alisema atakuja lakini mpka Leo ajaja sasa nimwambie tuu huo wakat hautakukuta ww ukiwapo utakuja wakat ambao ccm itaangisha VYAMA vyote na kuendesha nchi miaka yote kama hamtoanza kurekebisha chama chenu kwa kuweka misng na kuwa na democrasia halisi na syo hii ya udanganyifu
Hawa mashoga wanatuharinia nchi sana
Rais wagu lissu agaria ccm inakwanda kasi kuliko ss kila siku ss chadema ss tutaongea walinipiga risasi tuogea vt amavyo watu anataka kwasasa
Ivi unajuwa aliye pingwa risas alikuwa simba au tembo au ingekuwa ni wewe unge saau au usinge zungumziya angaliya wewe nibinadam tena unaishi chini yajuwa ujuwi siku Wala sawa naamishaya yamekuwa mangumu na ccm ndowanao kula pesa zetu.
Wanyonge kuwapatia pakuongerea wewe unaonekana ujapenda.kama ungengua unafatilia vizuri matatizo ya yanayoonekana kwaeanyonge ungeweza kusaport hili walau watu waponeshe vidonda,mnyonge akiyake apewe atakwamapungufu yote uliyoyataja ungeonyesha ata mazur yanayofanyika ktk mikutano yake ungekua mchambuzi mzuri,ila unaonekana unatafuta ubaya tu ila kila mwenye ubaya akosi uzuri wake
Washamba tua asa uyu anaesema anataka urais ampe nani? Chizi
KAMA WALIKWAMBIA KWANNI WASINGE KWAMBIA KABLA ILI UJIHAMI ?
Tuhuma za Lisu kwa Makonda sizitilii maanani, ila tuhuma za Marekani kwa Makonda sizakupuuzwa inapaswa achunguzwe
Tatizo makonda alipiga marufuku ushoga ndo kosa lake lilikuwa hilo
Yeye mwenyewe shoga tu,,@@martinemaganga5253
@@martinemaganga5253 Wewe unalijuwa kosa la Makonda, aliwadhibiti kwa maovu yao.
Wewe acha siasa chafu huna jipya kabisa kama ni magufuli watu walio kosa haki zao na wanazipata tatizo Nini kwako
Kama ana uchungu si akajifungue
Angekuwa na ushahidi angefungua kesi
We kuma kweli fatilia acha ukuma
Kwan wanaosmamiakes nani
Uko na akili kweli
@@alimussa2655.umefirisika kiakiri wewe ni mwehu ndo maana mnashindwa kuchukua nchi mnaishia kutukana, tengenezeni hoja sio matusi
Hivi huyu ndy anaesapoti ushoga
Sionaona ww mwenyewe aujui ata unacho kisema, umeanza kusema makonda ni kama magufuli sasa sinajionyesha kua iyo ni wifu . Lakin maneno yako ata ayatakua na maana na ushindwe kwa jina lake baba mwenyezi mungu muumba wa kila jambo apa duniani
Mimi ninakushangaa.magufuli Alisha kufa bi
fu ya nini
Angalikufa jee inamana pia KC isingalichunguzwa jee hii ndio Sheria inavyosema ?
Ulianza vizuri, ila hapo kwenye magufuli ridax, niondolee utahira
Ndio maana na wambia huyu mzee ni chocoo wa wazunguuu
Magufuli kwani alikuwa Mungu jamani mbona maraisi wengine wote wakisemwa mpaka nyerere
Duuuh kila siku unalia na Makonda, HUCHOKI??sasa UNATAKAJE? Maana toka umeanza kulia nae hali ni ileile, nenda ICJ basi
ulikua unaheshimika sana lakini sahz hauna jipya brother huez kushindana na Makonda huna akili kumbe hata kidogo rudi tu huko kwa wazungu toka kabisa huna jipya
Kama ni mzungu atarudi kwa wazungu anza wewe usiyejielewa
Ww tumia akili yaani jenga hoja watu wakuelewe
Hv angekuwa baba yako au ndugu yako amepigwa risasi kama risasi ungeweza kusema hayo!?
Just wait,
Inzi wakijani wanashida Sana yani wewe unaona anachofanya makonda kina saidia
Ccm wanapambana kwa kila hali wabak madarakan ila siku wakitoka madarakan chamoto watakuona makonda na wenzake wote kunyongwa tu hakuna kingne
Mungu mkubwa hukufa bali unaishi
Pamoja mkuu
Yana ukweli lakini haya mweshimiwa?
Oooooohmen Politicians wadanganyifu saana>> Kumbe uyu muzei naye nimucafu hivi!!!
Lisu Mungu akutunze 🎉
Mwachen mtu aseme angelikuwa baba ako kaka ako au ni wewe ungejisikiaje ana haki ya kulalamika.
Yalishapita mtu unalalamika miaka 10 sasa utafanya maendeleo saangap aache malalamiko arudi kufanya siasa yenye tija kwa chama chake
Kwani marekani ni binguni. Kibaraka wewe
Mjinga wewe. Hutumii akili zako vyema
@@Thevineyard9889 CCM IKO IMARA KAMA SIMBA NA ITAONGOZA MIAKA MILLION 10 UPENDE USIPENDE
Makonda ATAKUA Rais kabla ya hiki kibaraka chako
@@Thevineyard9889🎉🎉🎉🎉🎉❤
@@soundbreezetv🎉🎉🎉🎉🎉❤
Huyu lisu ni mshenzi tu acha aendelee kupanua domo lake akisema Magufuli alituma auawe ili iweje. Mtu anaweza kupigwa risasi zote hizo akapona???? Kwanini aliambiwa atoe ushirikiano amlete yule dreva wake hakutaka kabisa hii ilikuwa mipango yao na watu wake. Tena afunge domo lake kumtaja raisi wetu Magufuli. Mungu amlaze pema peponi.
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤
Ila wwe huna unaongea mambo yakishwaini unafki mkubwa
Mungu anakuona usipende kuhukumu tupo duniani unaheshimika sana punguza ukali wa maneno
Anapaswa kusema kweli daima
Hiyo habar ya urais achana nayo mzee, you will never eveeeer be ....
Are you the mighty god who knows everything? Keep your one vote secret.
Hama nchi msee kazi kulaumu watu mala makonda mala Raisi samia mala magufuri tafuta nchi unayona utakiwa huru kaishi huko😫😫😫
Hutaenda mbinguni ww
@@MathewNathan-yb2bz nenda wewe Na huyo mungu wako lissu wasanya,👹👹
Nii kweli anachokisema. Lissu hajawai sema. Uongoo 7:41
Ni mtengo wao tu wa chadema ili kumchafulia magufuli wagekuwa wametumwa wasigekubakiza sababu wagekuja kw kudhamilia na ulikuwa kwny 18 zao ila kw kuwa ulikuwa mchenzo wenu wa chadema do maana walikubakiza
Jitafakari!
wewe nikibaraka wa wazungu unajipya sasa unaenda kuzungumza ya watu.binafisi
Kama kuna vilaza na wapumbavu ktk nchi hii wew ni namba moja.
Zero brain
Acha ujinga uende mbinguni
Marekani hai aminiki....ila haki uinua taifa.....
Unawajua vibaraka wa wazungu wewe? Labda neno kibaraka/vibaraka hujui maana yake. Unakiweka wapi chama tawala kwenye hizo tuhuma zako kwa Tundu
UMEME ULIKUWEPO, MAJI YALITOKA,MIRADI MIKUBWA ILIFANYIKA,HIVYO NDIVYO TUNAVYOKUMBUKA MH.LISSU
Hata makaburu walitoa hivyo vitu zaidi ya hapa,ila walipokanyaga haki za watu walichukiwa,walifurushwa madarakani.
Wamarekani ni wauza silaha tu
Hivi kweli Mungu upo
Pole sana MH. Tundu Lisu. Hata sasa mkono wa Mungu umekushika. Siku imepigwa risasi nililia sana, nilichanganyikiwa sana. Niliumia sana nikama kaka yangu ndo kapigwa risasi. Nilikuomba sana Mungu atende muujiza usife. Namshukuru sana Mungu kua hujafa na sasa nakusikiliza.
Mungu yupi? Muuaji mkubwa wewe. Mbona hukutoa pole kwa watu wa Rufiji? Ulituma watu kuchukua silaha Sitaki shari. Hivi mjinga wewe Merekani ni mama yako? Ameua Irak Libya Afghanistan, Arab spring hivi una akili wewe.!!!! Kapumuliwe hukoooo.
nikweri kamanda lisu ipo siku makonda atajuta we mweche haoni nchi za wenzetu marais wanavoteswa Sasa ivi
Sometimes Lissu akili yake inakuja na kupotea sio mzima msenge sana😡😡😡😡😡😡
Akili zako zinakutosha
💪✌️
Watoa coment wengine ni mabashite kweli humu..huyu mbunge anaeleza vtu na utu..lakin kwa chuki za mabashite nyie...
Ila ujingani mzigo ko unataka kila mtu accoment unavyopenda wewe?
Yani wamarekani walikua dodoma ndio wanaushahidi. Kibaraka
Choco hili zeee choco la wazunguuu
@@awadhally1052 Mimi nasahangaa et na wamarekani wanushahidi ,wakati anapigwa risasi wamarekani walikua wamesimama umbali Gani natarifa walizipata kwamda Gani. Kama umekula Hera Yao akawalipe
Ndo maana Mungu alimukoa kutoka kwa wewe muuaji
Mungu mwema
Lkn ilionekana kuna shida nyuma ya pazia kwakuwa Dereva wako mlimpoteza hadi leo na ndie alitakiwa kuwa shahidi namba moja huoni mlikwamisha wenyewe Mkuu?
Marekani wenyewe ndio wauaji wakubwa
Lissu shikamo!!
Lawama ulimpa magu ukamsifia mama Leo mama mbaya mda huu makonda muuovpe mungu we baba
Hivi taratibu za kushitaki mtu Ambae unasema unao ushahidi wote dhidi ya mauaji zikoje?
Nadhani Tundu ni wakili lakini sijajua kwanini inashindikana kupeleka mahakamani madai yake.
Si hasa
Jinai ni yaserikali, akipeleka madai, yeye ndo atatakiwa atoe ushahidi, serikali haitachunguza ila itasubiri ushahidi tu
Pole sana Mungu atakulipia kwa yyt aliehusika na hilo . Muachie Mungu coz hujashudia ila mungu atakupa haki yako ya maumivu
Wewe ni Mshenzi sana huna jipya mbwa
wewe ndo mshenzi
Wewe lisu ukosikutafuta kura uweshika nchi kwaushoga ata ccm akiruhusu ushoga atatoka mungu atatupa kiongozi tulikutegemea ukakoroga achananamakonda wewe siosera
Next time zingatieni mwanga kwenye video zenu
Lissu Kwani Ukiwa Raia USA Uwezi gombea urais Usa
Jinai haifi kama ni hivyo kaombe ushahidi kwa wa Marekani.
kabsa ndugu anazingua sana huyu mzee hafai kua rais hana hoja za kuwalinda wananchi zaid ya kusingizia watu matukio
Kuma mayo marekani nakina mbona unawaabudu sisi wetu ni makonda bwana usitutoe kwenye reli
Kinywa chako kinanuka matusi mbika jitafakari thamini utu wa mtu lisu angekuwa ndugu yako kwa hayo yaliyompata ungeinua kinywa chako kutukana?
Ww mwenyewe serikali yako inaitegemea hiyo hiyo marekani au ww hujui?huu mtandao ni wa hao hao wamarekani kama hujui fala ww.
Wenae kibalaka wamalekani. Sshatuwataki hao wamalekani unajipendekeza utuletee matatizo. Makafiliwaklle tuachie.makondawetu. wwutajuananae ss huku anatufaa sana makonda ugonviwwnu msituusishe
Kula chuma hicho lisu ana sauti ya kike halafu anapenda kulalamika ovyo ndio maana anapigwa piga huyo
Hao wanaomkosoa lisu akili zao ni ndogo kuna watu na viatu kwa hiyo hao ni viatu
Kwa hyo lisi nado unautaka uraidi
Wanaume wa lisu wapo marrkan na ndo maana hata watoto wake hawana uraia wa tanzania
Kuma huyu mzee hajielew kaisha changa nyikiwaa
CCM n= Chama Cha Magangstar
Taaluma za watu,tusiwe tunazirukiarukia Lisu ni msomi wa sheria ambaye hakuna msomi washeria katika ccm na Serikali pia
Kwahiyo chadema inachukia Sana watu wakitatuliwa shidazao, mafala nyinyi
Wemsenge utakufa uzikwe na CCM
Huna akili
Wewe unadai ni mwanasheeia nguli. Kwa nini hujampeleka Mahakamani na ushahidi unao?? Acha kuharibia wenzako maisha! Una roho mbaya sana wewe kaka!
HAO WALIOKWAMBIA NDIO ADUI ZAKO. KUZUIWA KUINGIA MAREKANI USIPOTOSHE NI MASWALA YA USHOGA ASIE JUA NANI . TATIIZO UNAONGEA SANA .ILA KIKULACHO KINGUONI MWAKO
Apeleke mahakama ipi itakayomsikiliza kwa mfano?
Hii nchi ina wajinga wengi and your the one of them
@@JackKanyigo wewe mwenyewe ni mjinga kama huyo unayemtetea! Usimdharau usiyemjua! Fyuuuu!
Uzushi mnadanganyana wanasiasa naww pia uchunguzwe mnapakana kashifa zaovyoovyo sijui Hanna zakufanya
Lissu ni msomaji wa vitabu,ni mtafiti alivyokuwa bungeni aliwahimiza sana kupenda kusoma miswada kabla ya kuijadili na kuitolea maamuzi,hakurupuki.
Wewe kila cku story n hizo hizo....yan kama makonda alifanya ivo kwa sasa hana dhambi tena😂😂😂😂😂 bado hujasema na utasema yaaan mpaka useeeme yan hapo baadoooo
Hata ungekuwa wewe ungefanya hivyo
Hahahahah😂
Mungu anamakusudi kwa uhai wako, nashukuru mungu wa Haki kusimamia maisha ya lisu.
Francis Mushenyera,tunahitaji comment za kuelimishana,hivi Lissu ni kibaraka kweli kwa yaliyomkuta na anayoyaongea.
Msamehe bure hajitambui mpaka leo
Rais wangu lisu umenigusa ,, damu ya mtu haiendi bure , kunasiku watawajibika 💪💪💪 neno la nguvu
2:46ok
"Kuna siku litafanyiwa KAZI" Nmeifunga kaul hii kwa AKBA ya wakat UJAO
Upinzani wenu uliishia 2010 sasa ni ubabaishaji tu sisi tunahitaji akina magufuli wengi
Bado upo na unazidi kutuelimisha sana
pole huu ni wakati Mungu ku deliver watu wake kwenye mikono ya CCM
Makonda tunampenda sana rudi ulikotoka huko ulama atukuhitaji
Anakufira
Em tusiwe serious kidog.. app kuna mtu kajamba au ni kochi😅😅 dakika ya 8:18
Aaaah
Ndugu mwandishi upo vizuri kuuliza maswali
Ushahidi dhaifu. Eye to eye evidence ndio inathibitisha Ukweli Mahakamani. Niliambiwa , nilisimuliwa Haina mashiko.
ila mahojiano mengine daaah!!! Lisu samehe tu, Mungu mwema
Mungu anahusiana nin na upunguani wenu wa siasa zisizo za kizalendo mnaungana na na ushoga
Umesema ukweli
Kama ushaidi upo toa ushaidi hili mwende mbele ya Sheria ,Sheria haiitaji kupindisha
Makonda ni Master plan nyie si n wahuni sasa mmekutana na muhun mwenzenu....sahz mnatetemeka
Kudada deki mpaka waseme nawazungu wao
😊
Lissu ni big brain so vilaza na vibaraka wa ccm hawezi kukuelewa
Ataendelea kubweka tu na kujipendekeza kwa warekani
Bashite mtu mbaya Sanna mungu atamzalilisha ipo siku inshallah
Kwa hiyo nchi si salama kabisa kama tuna amuliwa mambo na marekani, Kwa hiyo hatuko huru!?.
Wewe Kwa akili yako unaonaje?
Tundu Lissu ukisema ukweli utakuweka huru. Serikali ya Marekani haikumpenda Makonda kwa sababu ya Makonda kupinga ushoga
Unasema umeambiwa na hutaki kuwataja wale waliokuambia.
Mimi ninakushauri achana na mambo ambayo huna ushahidi nao.
Sasa hivi Makonda amewashika pabaya kisiasa lazima mtafute hoja za kisiasa za kumjibu Makonda kwenye majukwaa.
Siasa za kusema watu bila ushahidi
Lisu hili halina kipingamizi tunajua na MUNGU aliweka wazi kikubwa tuendelee kumshukuru MUNGU na tuamini atajibu kwa wakati