LISSU ANAMACHUNGU NA MAKONDA ASIMULIA "HUYU NI MHALIFU ALIHUSIKA KUPIGWA KWANGU ANAPASWA KUWA JELA"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 27 сен 2024
  • LISSU ANAMACHUNGU NA MAKONDA ASIMULIA "HUYU NI MHALIFU ALIHUSIKA KUPIGWA KWANGU ANAPASWA KUWA JELA"
    🔘JE, NA WEWE UNA HABARI?
    🔘WASILIANA NA MwanaHALISI TV (+255 767 400402),
    🔘WhatsApp (+255 767 400402)
    🔘Email: mwanahalisitvnews@gmail.com
    🔘KWA HABARI ZA KILA SIKU: mwanahalisionli...

Комментарии • 805

  • @kenedysimon3566
    @kenedysimon3566 7 месяцев назад +25

    Mungu mwema alikuacha Kwa makusud

    • @danielmarwa5122
      @danielmarwa5122 7 месяцев назад +1

      Sioni jipya kila siku kila sehemu kilio ndo hicho hicho kama ana ushahidi afungue mashitaka tumeshachoka kusikia same story kila siku.

    • @alimussa2655
      @alimussa2655 7 месяцев назад

      ​@@danielmarwa5122we kuma nini asa akafungue kesi na wakati nchi anaongoza ccm

    • @jesaminzo
      @jesaminzo 7 месяцев назад

      ​@@danielmarwa5122bila shaka wewe ni mmojawapo wa members wa lile kundi la kigaidi la wasiojulikana, ipo siku yenu itakuja tu.

    • @frankjohn8706
      @frankjohn8706 6 месяцев назад

      MUNGU hujikipizia kisasi kwa wanaoonewa ​@@danielmarwa5122

    • @jumamustapha8254
      @jumamustapha8254 2 месяца назад

      Hivi wewe kibaraka wa ulaya utaacha maneno yako ya kipuuzi, lengo lako ni upuuzi mtupu.

  • @vicentbunzal7342
    @vicentbunzal7342 2 месяца назад +4

    Mh lisu mungu azidi kukupa maisha malefu ili wabaya wako woote wazidi kuumbuka ukiwa hai na maana mungu alikuacha kwa makusudi yake bila wewe hii tz wengi hatukuwa tunaijua haki yetu .mungu azidi tu kukuwekea urinzi na kukupa masha malefu ili wanaya wako wajulikane wooote

    • @StellaKaluwa
      @StellaKaluwa 13 дней назад

      BILA KUPENDA MARIDHIANO UNGEONGEA? LEO HAPO? KUSEMA TU MANGAPI YAMASEMWA USIMHUKUM MTU KWA HISIA ALIHUSIKA KUMBE HAKUHUSIKA MIMI NAMUONA NI MPENDA HAKI KULIKO HATA WEWE LISU

  • @alexanderdustan8872
    @alexanderdustan8872 7 месяцев назад +14

    Mambo ya Magufuli cc ndio tunayataka sasa

  • @SongoloMgallah
    @SongoloMgallah 7 месяцев назад +10

    Huna ushahidi wowote na unasema wapo watu walio kwambia na WA uhakika kwanini usiwaseme hao na ndio wawe mashahidi?

    • @kapingageorge7635
      @kapingageorge7635 7 месяцев назад +2

      kwann police hawwjafuata huo ushaihid kwann hao police wako hawajachunguza hlo tukio

    • @hajihassan5433
      @hajihassan5433 7 месяцев назад +2

      ​@@kapingageorge7635Polisi hawafanyikazi hivyo. Mwenye ushahidi apeleke. Dereva yupo wapi?

    • @RevocatusMchau-mp2mg
      @RevocatusMchau-mp2mg 7 месяцев назад

      @@hajihassan5433 eti Dereva

    • @jesaminzo
      @jesaminzo 7 месяцев назад

      Halafu magaidi wote wa like kundi la wasiojulikana majina yenu ni 'User'😅

    • @SaidiMohamedi-n2u
      @SaidiMohamedi-n2u 6 месяцев назад

      Marekani nao hawana ushaidi

  • @Yussuf-b3b
    @Yussuf-b3b 7 месяцев назад +6

    MWANAHALISI CHANNEL MUNATUBOA WEKENI MAHOJIANO YOTE MWANZO MPAKA MWISHO HIVI MUNAKATA VIPANDE VIPANDE HAILETI PICHA NZURI ,,JITAHIDINI KUWAIGA WENZENU KAMA JAMBO TV AU MWANZO TV...lissu unatowa madini mazito hakika lissu ni mkombozi na mzalendo wa kweli hongera sana ,,towa madini kamanda wetu

  • @AmaniMrema-i3i
    @AmaniMrema-i3i 7 месяцев назад +11

    Na bado lazima unyamazishwe kwani dawa ya kichaa ni sindano ya simu

    • @erasalmon
      @erasalmon 7 месяцев назад +2

      Kama ni simu utanyweshwa wewe mjinga mmoja

    • @awadhally1052
      @awadhally1052 7 месяцев назад +2

      Kwel kabisaa

    • @monicamwita7865
      @monicamwita7865 7 месяцев назад +2

      Utazimishwa mwenyewe na Mungu.

    • @ezekieljacob5795
      @ezekieljacob5795 7 месяцев назад +1

      Chizi wewe

    • @jesaminzo
      @jesaminzo 7 месяцев назад

      Pepo wa makaburini we, subirini ipo siku yenu

  • @SalamaNauthar
    @SalamaNauthar 7 месяцев назад +3

    Mmmmh' nashindwa nicoment nini''' Tanzania yetu jamani 😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @rashdiyange7758
    @rashdiyange7758 7 месяцев назад +9

    Ila kwa GSM NI KWERI KABISA KAAPA MAKONDA ALIZUNGUA SANA KWAKWERRRR SEEEEE MAKONDA KWAIL LIZINGUA LA GSM MPKA LEO GSM ANA UMIA MOYO

  • @nancymcgill5059
    @nancymcgill5059 3 месяца назад +2

    Mzee siyo kweli kuhusu Paul makonda marekani haikumruhusu kwa sababu ya haki za mashoga ni kwa sababu mr makonda alipigana vita ya mashoga kutaka haki zao wakati wanajua mila za wantanzania haziendani na mila za kiafrica hiyo ndio ukweli . Makonda hajahusika na matatizo yaliyokutokea mzee.😊

    • @GraceGaudent
      @GraceGaudent 2 месяца назад

      Risu anapenda kiki uyu yy ndo anajiona mwema wengine niwaalifu ovyooo

  • @fatumamahoiga3978
    @fatumamahoiga3978 Месяц назад +5

    Mungu mponye Makonda

    • @ziadasalimu1730
      @ziadasalimu1730 Месяц назад +1

      Ukiuuwa Kwa upanga nawe utauliwa Kwa upanga,

  • @SalomeKiduko
    @SalomeKiduko Месяц назад +1

    Lisu hayo mambo umesema mara nyingi sana,kama una ukweli wape ushirikiano polisi ili jambo hilo liishe.

  • @Thevineyard9889
    @Thevineyard9889 7 месяцев назад +5

    It makes a lot of sense.
    Hizi accusations zinamlemea Paul Makonda vibaya. Anapaswa achunguzwe na akajitetee mahakamani

    • @monicamwita7865
      @monicamwita7865 7 месяцев назад

      Mahakama za Tanzania., sijui kama zinatenda haki!

  • @loveneskasanga4186
    @loveneskasanga4186 7 месяцев назад +6

    Pole Sana mwachie mungu

  • @SophiaNjamasi
    @SophiaNjamasi 7 месяцев назад +9

    Duu pole sana mtu wa Mungu Tundu lisu ila hujafa kwa sababu hujalimaliza kusudi la Mungu lililokuleta Duniani

    • @monicamwita7865
      @monicamwita7865 7 месяцев назад

      Well said. Kusudi la Mungu Baba hakuna wa kuzuia.

    • @monicamwita7865
      @monicamwita7865 3 месяца назад

      Wèll ßaid. Kusudi la Mungu Baba kwa Lissu hawezi hakuna atakayezuia

  • @ScopionScopion-zj9cd
    @ScopionScopion-zj9cd 7 месяцев назад +3

    kwenda zako uko ww makonda kazuiliwa kwenda marekani kwasabab ya kuakamata mashoga naww mwenyewe mshenzi2 ww ulikua raisi wa TLS mbona.mikataba ilikua inasainiawa ya hovyo kbx ulishindwa kutoa hata ushauli unauza maisha ya watu kwasabab pkapu kwenda

    • @floramongi1410
      @floramongi1410 7 месяцев назад +1

      Tundulisu aliongea sana Kwa habari ya mikataba mibovu😊

    • @monicamwita7865
      @monicamwita7865 7 месяцев назад +1

      Kwenda zako mwenyewe usijitambua

    • @makobamasawemangu4122
      @makobamasawemangu4122 7 месяцев назад

      Wew ni kichwa cha mwendawezim kwani wew ulikuwa humuoni Lissu jinsi alivyopambana na mamikataba mabovu toka bungeni au ni chuki za kijinga tu

    • @Yussuf-b3b
      @Yussuf-b3b 6 месяцев назад

      @@makobamasawemangu4122 kweli bro ,,NA MATOKEO YAKE VILE VICHWA VYOTE VINAVYOSEMA UKWELI UCHAGUZI WA 2020 WALIPORWA KWA NGUVU NA SASA MIBUNGE YA CCM YAKO PEKE YAO WANAENDELEA KUIUZA NCHI KWA MIKATABA MIBOVU

    • @GraceGaudent
      @GraceGaudent 2 месяца назад

      Tuko wengi tunao muona Ivo izo kauli za shombo zote tamaa yamadalaka naizo kaulizake zakinafki ndozanazo mnyima madalaka ajielewi

  • @kitengenyembo4223
    @kitengenyembo4223 7 месяцев назад +11

    Muheshimiwa Lisu,sisi tunafahamu vyema kuwa makonda alipigwa marufuku kuingia. Marekani baada ya kuzuia ushoga usifanyike ndani ya jiji la Dar es salaam,wapenda ushoga Duniani wakasema amekiuka haki za binaadamu,je wa naume kwa wanaume kugongana Ni haki ya binaadamu au ya Shetani?

    • @InnocentBakedCustard-zp7ib
      @InnocentBakedCustard-zp7ib 7 месяцев назад

      Ndugu yangu kongole sana kwa kuwaelewesha Hawa mashoga wagawa mizigo

    • @jesaminzo
      @jesaminzo 7 месяцев назад

      Ushoga ndiyo unazuia haki ya mtu kuishi? Ipo siku tu haijalishi muda gani unapita, yote yatakuwa wazi.

    • @InnocentBakedCustard-zp7ib
      @InnocentBakedCustard-zp7ib 7 месяцев назад

      @@jesaminzo acha kusema ivyo hata yesu alisema atakuja lakini mpka Leo ajaja sasa nimwambie tuu huo wakat hautakukuta ww ukiwapo utakuja wakat ambao ccm itaangisha VYAMA vyote na kuendesha nchi miaka yote kama hamtoanza kurekebisha chama chenu kwa kuweka misng na kuwa na democrasia halisi na syo hii ya udanganyifu

    • @AurelianMtundu-hz9fp
      @AurelianMtundu-hz9fp Месяц назад

      Hawa mashoga wanatuharinia nchi sana

  • @simumbaken4902
    @simumbaken4902 7 месяцев назад +4

    Rais wagu lissu agaria ccm inakwanda kasi kuliko ss kila siku ss chadema ss tutaongea walinipiga risasi tuogea vt amavyo watu anataka kwasasa

    • @nathanmmasi3890
      @nathanmmasi3890 7 месяцев назад

      Ivi unajuwa aliye pingwa risas alikuwa simba au tembo au ingekuwa ni wewe unge saau au usinge zungumziya angaliya wewe nibinadam tena unaishi chini yajuwa ujuwi siku Wala sawa naamishaya yamekuwa mangumu na ccm ndowanao kula pesa zetu.

  • @fredrickkitende8439
    @fredrickkitende8439 7 месяцев назад +4

    Wanyonge kuwapatia pakuongerea wewe unaonekana ujapenda.kama ungengua unafatilia vizuri matatizo ya yanayoonekana kwaeanyonge ungeweza kusaport hili walau watu waponeshe vidonda,mnyonge akiyake apewe atakwamapungufu yote uliyoyataja ungeonyesha ata mazur yanayofanyika ktk mikutano yake ungekua mchambuzi mzuri,ila unaonekana unatafuta ubaya tu ila kila mwenye ubaya akosi uzuri wake

    • @ismailimatola3727
      @ismailimatola3727 7 месяцев назад

      Washamba tua asa uyu anaesema anataka urais ampe nani? Chizi

  • @mussamabawa2973
    @mussamabawa2973 7 месяцев назад +2

    KAMA WALIKWAMBIA KWANNI WASINGE KWAMBIA KABLA ILI UJIHAMI ?

  • @ayoubpapiy6692
    @ayoubpapiy6692 7 месяцев назад +3

    Tuhuma za Lisu kwa Makonda sizitilii maanani, ila tuhuma za Marekani kwa Makonda sizakupuuzwa inapaswa achunguzwe

    • @martinemaganga5253
      @martinemaganga5253 7 месяцев назад +2

      Tatizo makonda alipiga marufuku ushoga ndo kosa lake lilikuwa hilo

    • @jonasdaniel1025
      @jonasdaniel1025 7 месяцев назад

      Yeye mwenyewe shoga tu,,​@@martinemaganga5253

    • @hajihassan5433
      @hajihassan5433 7 месяцев назад +1

      ​@@martinemaganga5253 Wewe unalijuwa kosa la Makonda, aliwadhibiti kwa maovu yao.

  • @SongoloMgallah
    @SongoloMgallah 7 месяцев назад +2

    Wewe acha siasa chafu huna jipya kabisa kama ni magufuli watu walio kosa haki zao na wanazipata tatizo Nini kwako

  • @SaidCannal
    @SaidCannal 7 месяцев назад +3

    Kama ana uchungu si akajifungue

  • @FurahaMwajeka
    @FurahaMwajeka 7 месяцев назад +4

    Angekuwa na ushahidi angefungua kesi

    • @alimussa2655
      @alimussa2655 7 месяцев назад

      We kuma kweli fatilia acha ukuma

    • @hasbunakhamis487
      @hasbunakhamis487 6 месяцев назад

      Kwan wanaosmamiakes nani

    • @rabsonchisumo6640
      @rabsonchisumo6640 6 месяцев назад

      Uko na akili kweli

    • @FurahaMwajeka
      @FurahaMwajeka 6 месяцев назад

      @@alimussa2655.umefirisika kiakiri wewe ni mwehu ndo maana mnashindwa kuchukua nchi mnaishia kutukana, tengenezeni hoja sio matusi

  • @kurumwagodfrey7052
    @kurumwagodfrey7052 7 месяцев назад +2

    Hivi huyu ndy anaesapoti ushoga

  • @Elias-gy8qu
    @Elias-gy8qu 3 месяца назад

    Sionaona ww mwenyewe aujui ata unacho kisema, umeanza kusema makonda ni kama magufuli sasa sinajionyesha kua iyo ni wifu . Lakin maneno yako ata ayatakua na maana na ushindwe kwa jina lake baba mwenyezi mungu muumba wa kila jambo apa duniani

  • @YustoManco
    @YustoManco 7 месяцев назад +2

    Mimi ninakushangaa.magufuli Alisha kufa bi
    fu ya nini

  • @HumudAlmaawaly
    @HumudAlmaawaly 7 месяцев назад +1

    Angalikufa jee inamana pia KC isingalichunguzwa jee hii ndio Sheria inavyosema ?

  • @bkkomesho9272
    @bkkomesho9272 7 месяцев назад +3

    Ulianza vizuri, ila hapo kwenye magufuli ridax, niondolee utahira

    • @awadhally1052
      @awadhally1052 7 месяцев назад +1

      Ndio maana na wambia huyu mzee ni chocoo wa wazunguuu

    • @nicholausmramu
      @nicholausmramu 5 месяцев назад

      Magufuli kwani alikuwa Mungu jamani mbona maraisi wengine wote wakisemwa mpaka nyerere

  • @sskondopoleani9616
    @sskondopoleani9616 7 месяцев назад +1

    Duuuh kila siku unalia na Makonda, HUCHOKI??sasa UNATAKAJE? Maana toka umeanza kulia nae hali ni ileile, nenda ICJ basi

  • @JosephSahan
    @JosephSahan 7 месяцев назад +7

    ulikua unaheshimika sana lakini sahz hauna jipya brother huez kushindana na Makonda huna akili kumbe hata kidogo rudi tu huko kwa wazungu toka kabisa huna jipya

    • @kilianjulius9882
      @kilianjulius9882 7 месяцев назад +3

      Kama ni mzungu atarudi kwa wazungu anza wewe usiyejielewa

    • @EvonAmos
      @EvonAmos 7 месяцев назад +4

      Ww tumia akili yaani jenga hoja watu wakuelewe

    • @danielmazagwa6188
      @danielmazagwa6188 7 месяцев назад

      Hv angekuwa baba yako au ndugu yako amepigwa risasi kama risasi ungeweza kusema hayo!?

    • @melch3097
      @melch3097 7 месяцев назад

      Just wait,

    • @evansdecaprio8196
      @evansdecaprio8196 7 месяцев назад +2

      Inzi wakijani wanashida Sana yani wewe unaona anachofanya makonda kina saidia

  • @elbaricktv1632
    @elbaricktv1632 7 месяцев назад +2

    Ccm wanapambana kwa kila hali wabak madarakan ila siku wakitoka madarakan chamoto watakuona makonda na wenzake wote kunyongwa tu hakuna kingne

  • @Fesary
    @Fesary 7 месяцев назад +6

    Mungu mkubwa hukufa bali unaishi

  • @YohanaMakambuya
    @YohanaMakambuya 7 месяцев назад +2

    Pamoja mkuu

  • @MASOKONABIASHARATV
    @MASOKONABIASHARATV 7 месяцев назад +1

    Yana ukweli lakini haya mweshimiwa?

  • @franciskarangwa6554
    @franciskarangwa6554 2 месяца назад

    Oooooohmen Politicians wadanganyifu saana>> Kumbe uyu muzei naye nimucafu hivi!!!

  • @richarddavidmk
    @richarddavidmk 7 месяцев назад +5

    Lisu Mungu akutunze 🎉

  • @MRHURUMAHuruma
    @MRHURUMAHuruma 7 месяцев назад +2

    Mwachen mtu aseme angelikuwa baba ako kaka ako au ni wewe ungejisikiaje ana haki ya kulalamika.

    • @InnocentBakedCustard-zp7ib
      @InnocentBakedCustard-zp7ib 7 месяцев назад

      Yalishapita mtu unalalamika miaka 10 sasa utafanya maendeleo saangap aache malalamiko arudi kufanya siasa yenye tija kwa chama chake

  • @soundbreezetv
    @soundbreezetv 7 месяцев назад +4

    Kwani marekani ni binguni. Kibaraka wewe

    • @Thevineyard9889
      @Thevineyard9889 7 месяцев назад

      Mjinga wewe. Hutumii akili zako vyema

    • @soundbreezetv
      @soundbreezetv 7 месяцев назад +2

      @@Thevineyard9889 CCM IKO IMARA KAMA SIMBA NA ITAONGOZA MIAKA MILLION 10 UPENDE USIPENDE

    • @soundbreezetv
      @soundbreezetv 7 месяцев назад +1

      Makonda ATAKUA Rais kabla ya hiki kibaraka chako

    • @Imaniamockgmail
      @Imaniamockgmail 7 месяцев назад

      ​@@Thevineyard9889🎉🎉🎉🎉🎉❤

    • @Imaniamockgmail
      @Imaniamockgmail 7 месяцев назад

      ​@@soundbreezetv🎉🎉🎉🎉🎉❤

  • @robosia2915
    @robosia2915 7 месяцев назад +1

    Huyu lisu ni mshenzi tu acha aendelee kupanua domo lake akisema Magufuli alituma auawe ili iweje. Mtu anaweza kupigwa risasi zote hizo akapona???? Kwanini aliambiwa atoe ushirikiano amlete yule dreva wake hakutaka kabisa hii ilikuwa mipango yao na watu wake. Tena afunge domo lake kumtaja raisi wetu Magufuli. Mungu amlaze pema peponi.

    • @Imaniamockgmail
      @Imaniamockgmail 7 месяцев назад

      🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤

  • @leonardalphonce8924
    @leonardalphonce8924 Месяц назад +1

    Ila wwe huna unaongea mambo yakishwaini unafki mkubwa

  • @judithtitomalyeta4000
    @judithtitomalyeta4000 7 месяцев назад

    Mungu anakuona usipende kuhukumu tupo duniani unaheshimika sana punguza ukali wa maneno

  • @SweetBertMlinda-bq7mp
    @SweetBertMlinda-bq7mp 7 месяцев назад +2

    Hiyo habar ya urais achana nayo mzee, you will never eveeeer be ....

    • @leahmgunda4154
      @leahmgunda4154 4 месяца назад

      Are you the mighty god who knows everything? Keep your one vote secret.

  • @aediayumgo8546
    @aediayumgo8546 7 месяцев назад +2

    Hama nchi msee kazi kulaumu watu mala makonda mala Raisi samia mala magufuri tafuta nchi unayona utakiwa huru kaishi huko😫😫😫

    • @MathewNathan-yb2bz
      @MathewNathan-yb2bz 7 месяцев назад

      Hutaenda mbinguni ww

    • @aediayumgo8546
      @aediayumgo8546 7 месяцев назад

      @@MathewNathan-yb2bz nenda wewe Na huyo mungu wako lissu wasanya,👹👹

  • @EdsonedmundiAkili
    @EdsonedmundiAkili 7 месяцев назад

    Nii kweli anachokisema. Lissu hajawai sema. Uongoo 7:41

  • @samsonsimon3138
    @samsonsimon3138 7 месяцев назад +1

    Ni mtengo wao tu wa chadema ili kumchafulia magufuli wagekuwa wametumwa wasigekubakiza sababu wagekuja kw kudhamilia na ulikuwa kwny 18 zao ila kw kuwa ulikuwa mchenzo wenu wa chadema do maana walikubakiza

  • @fransicmushenyera9302
    @fransicmushenyera9302 7 месяцев назад +9

    wewe nikibaraka wa wazungu unajipya sasa unaenda kuzungumza ya watu.binafisi

    • @williamgeorge-hd2tn
      @williamgeorge-hd2tn 7 месяцев назад +4

      Kama kuna vilaza na wapumbavu ktk nchi hii wew ni namba moja.

    • @Yusuphkadary
      @Yusuphkadary 7 месяцев назад +3

      Zero brain

    • @kilianjulius9882
      @kilianjulius9882 7 месяцев назад +3

      Acha ujinga uende mbinguni

    • @kakanicodemus3632
      @kakanicodemus3632 7 месяцев назад +1

      Marekani hai aminiki....ila haki uinua taifa.....

    • @fadhililihinda6491
      @fadhililihinda6491 7 месяцев назад +2

      Unawajua vibaraka wa wazungu wewe? Labda neno kibaraka/vibaraka hujui maana yake. Unakiweka wapi chama tawala kwenye hizo tuhuma zako kwa Tundu

  • @victustemba
    @victustemba 7 месяцев назад +3

    UMEME ULIKUWEPO, MAJI YALITOKA,MIRADI MIKUBWA ILIFANYIKA,HIVYO NDIVYO TUNAVYOKUMBUKA MH.LISSU

    • @driss4957
      @driss4957 6 месяцев назад

      Hata makaburu walitoa hivyo vitu zaidi ya hapa,ila walipokanyaga haki za watu walichukiwa,walifurushwa madarakani.

  • @OmaryTambi
    @OmaryTambi 7 месяцев назад +2

    Wamarekani ni wauza silaha tu

  • @BoniphaceRhodec
    @BoniphaceRhodec 6 месяцев назад

    Hivi kweli Mungu upo

  • @anixtra7887
    @anixtra7887 7 месяцев назад +1

    Pole sana MH. Tundu Lisu. Hata sasa mkono wa Mungu umekushika. Siku imepigwa risasi nililia sana, nilichanganyikiwa sana. Niliumia sana nikama kaka yangu ndo kapigwa risasi. Nilikuomba sana Mungu atende muujiza usife. Namshukuru sana Mungu kua hujafa na sasa nakusikiliza.

    • @leothardngonya4842
      @leothardngonya4842 7 месяцев назад

      Mungu yupi? Muuaji mkubwa wewe. Mbona hukutoa pole kwa watu wa Rufiji? Ulituma watu kuchukua silaha Sitaki shari. Hivi mjinga wewe Merekani ni mama yako? Ameua Irak Libya Afghanistan, Arab spring hivi una akili wewe.!!!! Kapumuliwe hukoooo.

  • @TrustElbashil
    @TrustElbashil 7 месяцев назад +3

    nikweri kamanda lisu ipo siku makonda atajuta we mweche haoni nchi za wenzetu marais wanavoteswa Sasa ivi

  • @edrickniwamanya5665
    @edrickniwamanya5665 7 месяцев назад +1

    Sometimes Lissu akili yake inakuja na kupotea sio mzima msenge sana😡😡😡😡😡😡

  • @BarakaFesto-w5n
    @BarakaFesto-w5n 5 дней назад

    💪✌️

  • @fredyjeremia7074
    @fredyjeremia7074 7 месяцев назад +8

    Watoa coment wengine ni mabashite kweli humu..huyu mbunge anaeleza vtu na utu..lakin kwa chuki za mabashite nyie...

    • @alexanderdustan8872
      @alexanderdustan8872 7 месяцев назад +1

      Ila ujingani mzigo ko unataka kila mtu accoment unavyopenda wewe?

  • @SelijusiMalambo-q2u
    @SelijusiMalambo-q2u 7 месяцев назад +2

    Yani wamarekani walikua dodoma ndio wanaushahidi. Kibaraka

    • @awadhally1052
      @awadhally1052 7 месяцев назад

      Choco hili zeee choco la wazunguuu

    • @SelijusiMalambo-q2u
      @SelijusiMalambo-q2u 7 месяцев назад

      @@awadhally1052 Mimi nasahangaa et na wamarekani wanushahidi ,wakati anapigwa risasi wamarekani walikua wamesimama umbali Gani natarifa walizipata kwamda Gani. Kama umekula Hera Yao akawalipe

    • @deogratiusmaila676
      @deogratiusmaila676 6 месяцев назад

      Ndo maana Mungu alimukoa kutoka kwa wewe muuaji

  • @kenedysimon3566
    @kenedysimon3566 4 месяца назад

    Mungu mwema

  • @AbdilahiMriri
    @AbdilahiMriri 6 месяцев назад

    Lkn ilionekana kuna shida nyuma ya pazia kwakuwa Dereva wako mlimpoteza hadi leo na ndie alitakiwa kuwa shahidi namba moja huoni mlikwamisha wenyewe Mkuu?

  • @irenekalinga323
    @irenekalinga323 2 месяца назад

    Marekani wenyewe ndio wauaji wakubwa

  • @BakariJuma-s8v
    @BakariJuma-s8v 2 месяца назад

    Lissu shikamo!!

  • @annastaziakingu-i6d
    @annastaziakingu-i6d Месяц назад

    Lawama ulimpa magu ukamsifia mama Leo mama mbaya mda huu makonda muuovpe mungu we baba

  • @wannaproducts
    @wannaproducts 7 месяцев назад +1

    Hivi taratibu za kushitaki mtu Ambae unasema unao ushahidi wote dhidi ya mauaji zikoje?
    Nadhani Tundu ni wakili lakini sijajua kwanini inashindikana kupeleka mahakamani madai yake.
    Si hasa

    • @allymuhammad325
      @allymuhammad325 7 месяцев назад

      Jinai ni yaserikali, akipeleka madai, yeye ndo atatakiwa atoe ushahidi, serikali haitachunguza ila itasubiri ushahidi tu

  • @mwananganzi
    @mwananganzi 7 месяцев назад +2

    Pole sana Mungu atakulipia kwa yyt aliehusika na hilo . Muachie Mungu coz hujashudia ila mungu atakupa haki yako ya maumivu

  • @PhilipoLeonard-q5w
    @PhilipoLeonard-q5w 7 месяцев назад +1

    Wewe ni Mshenzi sana huna jipya mbwa

  • @HamdunHamdan
    @HamdunHamdan Месяц назад

    Wewe lisu ukosikutafuta kura uweshika nchi kwaushoga ata ccm akiruhusu ushoga atatoka mungu atatupa kiongozi tulikutegemea ukakoroga achananamakonda wewe siosera

  • @Gmedia_Africa
    @Gmedia_Africa 7 месяцев назад

    Next time zingatieni mwanga kwenye video zenu

  • @SofretyMaingu
    @SofretyMaingu 10 дней назад

    Lissu Kwani Ukiwa Raia USA Uwezi gombea urais Usa

  • @hajihassan5433
    @hajihassan5433 7 месяцев назад +4

    Jinai haifi kama ni hivyo kaombe ushahidi kwa wa Marekani.

    • @aishaalbalushaishabalush8291
      @aishaalbalushaishabalush8291 7 месяцев назад +1

      kabsa ndugu anazingua sana huyu mzee hafai kua rais hana hoja za kuwalinda wananchi zaid ya kusingizia watu matukio

  • @mbikamtanganaki
    @mbikamtanganaki 7 месяцев назад +4

    Kuma mayo marekani nakina mbona unawaabudu sisi wetu ni makonda bwana usitutoe kwenye reli

    • @kilianjulius9882
      @kilianjulius9882 7 месяцев назад

      Kinywa chako kinanuka matusi mbika jitafakari thamini utu wa mtu lisu angekuwa ndugu yako kwa hayo yaliyompata ungeinua kinywa chako kutukana?

    • @MathewNathan-yb2bz
      @MathewNathan-yb2bz 7 месяцев назад

      Ww mwenyewe serikali yako inaitegemea hiyo hiyo marekani au ww hujui?huu mtandao ni wa hao hao wamarekani kama hujui fala ww.

  • @HanifaOman-oo4pl
    @HanifaOman-oo4pl Месяц назад

    Wenae kibalaka wamalekani. Sshatuwataki hao wamalekani unajipendekeza utuletee matatizo. Makafiliwaklle tuachie.makondawetu. wwutajuananae ss huku anatufaa sana makonda ugonviwwnu msituusishe

  • @ImanNjogolo
    @ImanNjogolo Месяц назад

    Kula chuma hicho lisu ana sauti ya kike halafu anapenda kulalamika ovyo ndio maana anapigwa piga huyo

  • @HeriMohamedi-p6g
    @HeriMohamedi-p6g 7 месяцев назад +1

    Hao wanaomkosoa lisu akili zao ni ndogo kuna watu na viatu kwa hiyo hao ni viatu

  • @KibakiKibaki-jm2ni
    @KibakiKibaki-jm2ni Месяц назад

    Kwa hyo lisi nado unautaka uraidi

  • @InnocentBakedCustard-zp7ib
    @InnocentBakedCustard-zp7ib 7 месяцев назад +1

    Wanaume wa lisu wapo marrkan na ndo maana hata watoto wake hawana uraia wa tanzania

    • @awadhally1052
      @awadhally1052 7 месяцев назад

      Kuma huyu mzee hajielew kaisha changa nyikiwaa

  • @alvinsafi2733
    @alvinsafi2733 6 месяцев назад

    CCM n= Chama Cha Magangstar

  • @winifridarugayana7312
    @winifridarugayana7312 7 месяцев назад

    Taaluma za watu,tusiwe tunazirukiarukia Lisu ni msomi wa sheria ambaye hakuna msomi washeria katika ccm na Serikali pia

  • @KidijeiNuru
    @KidijeiNuru 7 месяцев назад +1

    Kwahiyo chadema inachukia Sana watu wakitatuliwa shidazao, mafala nyinyi

  • @dorothmsuya1686
    @dorothmsuya1686 7 месяцев назад +4

    Wewe unadai ni mwanasheeia nguli. Kwa nini hujampeleka Mahakamani na ushahidi unao?? Acha kuharibia wenzako maisha! Una roho mbaya sana wewe kaka!

    • @MelissaMhina
      @MelissaMhina 7 месяцев назад

      HAO WALIOKWAMBIA NDIO ADUI ZAKO. KUZUIWA KUINGIA MAREKANI USIPOTOSHE NI MASWALA YA USHOGA ASIE JUA NANI . TATIIZO UNAONGEA SANA .ILA KIKULACHO KINGUONI MWAKO

    • @malkavoice2570
      @malkavoice2570 7 месяцев назад

      Apeleke mahakama ipi itakayomsikiliza kwa mfano?

    • @JackKanyigo
      @JackKanyigo 7 месяцев назад

      Hii nchi ina wajinga wengi and your the one of them

    • @dorothmsuya1686
      @dorothmsuya1686 7 месяцев назад

      @@JackKanyigo wewe mwenyewe ni mjinga kama huyo unayemtetea! Usimdharau usiyemjua! Fyuuuu!

  • @GraceGaudent
    @GraceGaudent 2 месяца назад

    Uzushi mnadanganyana wanasiasa naww pia uchunguzwe mnapakana kashifa zaovyoovyo sijui Hanna zakufanya

  • @ChristerShao
    @ChristerShao 7 месяцев назад +2

    Lissu ni msomaji wa vitabu,ni mtafiti alivyokuwa bungeni aliwahimiza sana kupenda kusoma miswada kabla ya kuijadili na kuitolea maamuzi,hakurupuki.

  • @Ibrahim-ne3in
    @Ibrahim-ne3in 7 месяцев назад +1

    Wewe kila cku story n hizo hizo....yan kama makonda alifanya ivo kwa sasa hana dhambi tena😂😂😂😂😂 bado hujasema na utasema yaaan mpaka useeeme yan hapo baadoooo

  • @saulilaizar767
    @saulilaizar767 7 месяцев назад +2

    Mungu anamakusudi kwa uhai wako, nashukuru mungu wa Haki kusimamia maisha ya lisu.

  • @ChristerShao
    @ChristerShao 7 месяцев назад +1

    Francis Mushenyera,tunahitaji comment za kuelimishana,hivi Lissu ni kibaraka kweli kwa yaliyomkuta na anayoyaongea.

  • @juliuszakayo6771
    @juliuszakayo6771 7 месяцев назад

    Rais wangu lisu umenigusa ,, damu ya mtu haiendi bure , kunasiku watawajibika 💪💪💪 neno la nguvu

  • @samwelmwinyi1893
    @samwelmwinyi1893 Месяц назад

    "Kuna siku litafanyiwa KAZI" Nmeifunga kaul hii kwa AKBA ya wakat UJAO

  • @simonyohana8995
    @simonyohana8995 7 месяцев назад +1

    Upinzani wenu uliishia 2010 sasa ni ubabaishaji tu sisi tunahitaji akina magufuli wengi

    • @evansdecaprio8196
      @evansdecaprio8196 7 месяцев назад

      Bado upo na unazidi kutuelimisha sana

    • @deogratiusmaila676
      @deogratiusmaila676 6 месяцев назад

      pole huu ni wakati Mungu ku deliver watu wake kwenye mikono ya CCM

  • @JoyceMhina-i4e
    @JoyceMhina-i4e Месяц назад

    Makonda tunampenda sana rudi ulikotoka huko ulama atukuhitaji

  • @abeidbhuzo520
    @abeidbhuzo520 7 месяцев назад

    Em tusiwe serious kidog.. app kuna mtu kajamba au ni kochi😅😅 dakika ya 8:18

  • @MariaKitonka
    @MariaKitonka Месяц назад

    Aaaah

  • @AmedeusKessy-o1h
    @AmedeusKessy-o1h 7 месяцев назад +2

    Ndugu mwandishi upo vizuri kuuliza maswali

  • @sulemanmagesa2181
    @sulemanmagesa2181 7 месяцев назад

    Ushahidi dhaifu. Eye to eye evidence ndio inathibitisha Ukweli Mahakamani. Niliambiwa , nilisimuliwa Haina mashiko.

  • @farajambaza
    @farajambaza 7 месяцев назад +2

    ila mahojiano mengine daaah!!! Lisu samehe tu, Mungu mwema

    • @InnocentBakedCustard-zp7ib
      @InnocentBakedCustard-zp7ib 7 месяцев назад +1

      Mungu anahusiana nin na upunguani wenu wa siasa zisizo za kizalendo mnaungana na na ushoga

  • @lazarokitomari5927
    @lazarokitomari5927 Месяц назад

    Umesema ukweli

  • @AnordFrolian
    @AnordFrolian 6 месяцев назад

    Kama ushaidi upo toa ushaidi hili mwende mbele ya Sheria ,Sheria haiitaji kupindisha

  • @Ibrahim-ne3in
    @Ibrahim-ne3in 7 месяцев назад +1

    Makonda ni Master plan nyie si n wahuni sasa mmekutana na muhun mwenzenu....sahz mnatetemeka

  • @AbdilahiMriri
    @AbdilahiMriri 5 месяцев назад

    😊

  • @clarencelazaro9600
    @clarencelazaro9600 7 месяцев назад +1

    Lissu ni big brain so vilaza na vibaraka wa ccm hawezi kukuelewa

    • @robosia2915
      @robosia2915 7 месяцев назад

      Ataendelea kubweka tu na kujipendekeza kwa warekani

  • @ismailmshana2828
    @ismailmshana2828 7 месяцев назад +3

    Bashite mtu mbaya Sanna mungu atamzalilisha ipo siku inshallah

  • @madukurumwanileles7909
    @madukurumwanileles7909 7 месяцев назад

    Kwa hiyo nchi si salama kabisa kama tuna amuliwa mambo na marekani, Kwa hiyo hatuko huru!?.

  • @nshoyachacha3497
    @nshoyachacha3497 7 месяцев назад

    Tundu Lissu ukisema ukweli utakuweka huru. Serikali ya Marekani haikumpenda Makonda kwa sababu ya Makonda kupinga ushoga
    Unasema umeambiwa na hutaki kuwataja wale waliokuambia.
    Mimi ninakushauri achana na mambo ambayo huna ushahidi nao.
    Sasa hivi Makonda amewashika pabaya kisiasa lazima mtafute hoja za kisiasa za kumjibu Makonda kwenye majukwaa.
    Siasa za kusema watu bila ushahidi

  • @paskaziasholla7471
    @paskaziasholla7471 7 месяцев назад

    Lisu hili halina kipingamizi tunajua na MUNGU aliweka wazi kikubwa tuendelee kumshukuru MUNGU na tuamini atajibu kwa wakati