kwakweli kiongozi makonda is very intelligent he has full administration wisdom and leadership skills and he is listening his people and solving their problems excellently and at equity hana ubaguzi katika maamuzi yake anahegemea haki na sheria . congratulations kiongozi 🇰🇪🇰🇪🇰🇪tunafuatilia sana uongozi wako
sasa moyo wangu umeanza Kufarijika. tulioyakosa tangu friend of mine Mangufuli apoondoka. More Glory More wisdom More Level of elevations to your sir. Jesus loves You so Much ❤️ 💖 💕 💗
Mkuu kazi yako ni ya haki mungu Akulinde uwatete wanyonge mimi nipo na wewe na Nakuku bali sana ukifika Tanga nitafute tuongee naomba niwe ndugu yako Asnate makonda
Hekima ya Mungu kwa viongozi ni muhimu. Mh. Makonda tunakuombea Mungu akuzidishie hekima upate cheo kikubwa zaidi ulitumikie taifa hili kwa uadilifu. BARIKIWA BABA MTUMISHI WA MUNGU
Makonda uje na kwetu Geita Tunakuombeeni Kwa Mungu na Mungu akulinde Tanzania tunapaswa tupate viongozi wa Kariba Yako tutasonga mbele Kwa hakika Simamia unachokiamini daima endelea kusimama upande wa haki Kwa kauli iliyonyooka bila Shaka.
Mwanangu Makonda Mungu akulinde akupe maisha marefu uendelee kututetea wanyonge
kwakweli kiongozi makonda is very intelligent he has full administration wisdom and leadership skills and he is listening his people and solving their problems excellently and at equity hana ubaguzi katika maamuzi yake anahegemea haki na sheria . congratulations kiongozi 🇰🇪🇰🇪🇰🇪tunafuatilia sana uongozi wako
Heshimuni teuzi ....anaeteuaaa anajuaaaaaaa
Wish we hve someone like makonda in Kenya.
Isseee we bro unatisha, kila sehem unafiti, hongera kwa kaz nzuri
Nafasi uliyonayo sasaiv na na uwezo ulionao ni tofauti Mwenyezi Mungu akujaalie nafasi ya juu zaidi ili ukawaguse watu wengi
Huyu mtoa maelezo kwa RC yupo vizuri sana ( RC ametoa maamuzi ya busara na ya hekima hongera sana Makonda )
Mwamba yupo juu sana mungu Ampe maisha marefu zaidi yenye Amani na Afya njema
sasa moyo wangu umeanza Kufarijika. tulioyakosa tangu friend of mine Mangufuli apoondoka. More Glory More wisdom More Level of elevations to your sir. Jesus loves You so Much ❤️ 💖 💕 💗
Unajua sasa naanza kumuona makonda kwenye Uraisi, Magufuli alimjua tangia zamani, Watanzania wanataka watu kama hawa hawataki vyama
Huyo kiongozi anaemwelezea mhshmw Makonda anajieleza vizuri na kwa uhakika...
yan had unataman kuendelea kumsikiliza tu akiongea,.. watu wanavipaj
on0😊l
Da wanyonge tunaonewa na wenye pesa Asante brother Makonda
Mh Paul makonda chukua maua Yako mungu akubariki sana kwa maamuzi ya busara na ya haki
Mungu akubariki makonda hizi baraka zimiminike hadi kwenye uzao wako❤
Duuh Makonda ni mtu Hatari sana kwa mafisadi , Mungu amlinde Paul Christian Makonda 🙏
Kiongozi kwanza anasikiliza kwa makini, halafu anaangalia haki ilipo, kisha anatoa maamuzi thabiti.
Hongera Mh. Makonda,
Hongera Mh. Rais,
Hongera Serikali!
Kwa unayoyafanya Makonda Arusha Mungu Akubariki
Mama Samia plzzzzz unamuona kijana wako. HUWA MAMA HUKOSEI HATA DADA YUU (KATIBU MKUU WAKO) HACHOMOI BETRY KIZEMBE) BIG UP MAMA SAMIA
Mungu akulinde mh.Makonda piga kazi
Kwakweli Makonda ana sifa zote za uongozi unao hitajika kwa sasa.Mungu akulinde sana.
Asante sana
Mh makomda oyeee !
Chuga mnasemajeeeeeee
Piga Kazi makonda.Mungu akutangulie🎉
Makonda upo smart sana normally I appreciate you salute kaka
Kwa kweli hata mkimsema makonda vibaya kwangu mm naona anafanya vizuri sana
Mungu akubarili mweshimiwa Paul makunda na akupe maisha marefu.amen
Hongera sana RC wa Arusha Paul makonda kazi nzuri bro mungu akulinde siku zote uendako.
Mkuu kazi yako ni ya haki mungu Akulinde uwatete wanyonge mimi nipo na wewe na Nakuku bali sana ukifika Tanga nitafute tuongee naomba niwe ndugu yako Asnate makonda
Mkoa ulioshindikana,wameona MAKONDA ataunyooshaa🙏🙏🙏 Mungu mcmamie MAKONDA
Huyo ndiyo kiongozi tunayemtaka.Mungu umlinde ktk majukumu yake
Saafi sana mkuu wa mkoa mungu akusimamie
Makonda uje uchukue mbuz morogoro aiseee
Makonda nakuchukia wakati wote ilaa leo nsamehe kweli ww nmtenda haki❤❤❤❤❤
Unajua siku zote usiwe na chuki na m2 bila sababu na hili tunalo watanzania wengi
Chukia hiyo Veep apewe Maua yake bana 🎉🎉🎉🎉🎉🎉wewe kuweza
Huna akili,unamchukia,kwani anakula ,kuvaa,na kuishi kwenu
MBONA HUNA AKILI
Mungu akulinde kiongozi pigania haki one love
Mungu ampe maisha marefu
Makonda wewe ni nguvu kazi mungu akupe afya njema
Mungu akubaliki makonda
Hongera makonda Kwa kutupigania wanyonge
Mambo hayo baba una upiga mwingi hongera sana😊
He deserves our country
Na kama hajampatia mkataba sababu ndio hiyo alitaka kuliuza tena kwa mtu mwengine dah Tanganyika kuna watu makauzu kweli
Mheshimiwa Makonda !!! Mungu aendelee kukupa ujasiri na moyo wa kuwatumikia WANANCHI. Unatisha Baba!!
Aaah Makondaaaa aisee unanifurahisha sana
Thank you Mr governor Paul Makonda.
You are my best teacher, I have a dream to become a governor in my Country.
Mungu akulinde daima baba
Hekima ya Mungu kwa viongozi ni muhimu. Mh. Makonda tunakuombea Mungu akuzidishie hekima upate cheo kikubwa zaidi ulitumikie taifa hili kwa uadilifu. BARIKIWA BABA MTUMISHI WA MUNGU
Naomba siku moja mungu ajalie nikuone nasi tumezurumiwa nyumba
Hongera makonda
Barikiwa Sana waziri mkuu ajaye
Mungu anabariki sana mkuu wamkoa
Makonda MUNGU akulinde sanaa
Watu wenye vihela wanatunyanyasa sana safi sana Makonda
Yani Mungu akulinde baba makonda
Ila Makonda Mungu akulinde Sana
😂😂😂😂 nilifika pale wale walokole wakataka kuniombea😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂
Amina
😂😂😂
Kwani alikuwa na mapepo😂😅😊
😂😂😂😂😂😂😂😂
Mheshimiwa Makonda Mungu amekupa hekima kubwa. Mungu aendelee kukutunza
THIS WAS A VERY INTELLIGENT AND SMART RESOLUTION. HUYU MZEE NI MTAPELI.
kweli makonda mungu akulinde
Tamaa mbaya
Tamaa mbaya sana, inakupeleka shimon huku unajiona
Hongera sana sana sana Rc umpe Akili na wengine wafanye hivi. You are Dynamic Action Person.
Makonda ni mtoto mwenye uwezo mzuri wa kufikiria
Umetisha makonda
EEH MUNGU TULINDIE HUYU MAKONDA NDO HUYU HUYU KWA SASA TULIYE NAYE 😢😢🙏🏽🙏🏽
Shalom Aleichem blessing to makonda,
Makonda uje na kwetu Geita Tunakuombeeni Kwa Mungu na Mungu akulinde
Tanzania tunapaswa tupate viongozi wa Kariba Yako tutasonga mbele Kwa hakika Simamia unachokiamini daima endelea kusimama upande wa haki Kwa kauli iliyonyooka bila Shaka.
Asante kaka🙏🙏
Dah makonda kaka unakazi mungu akujalie
Kiukwer ukwer usemwe hii nchi viongozi bora wanatoka kanda ya ziwa tu huko kwingine sijui 😅
Kwamba Kanda ya kati hakuna?😢
Kuna watu wawili nawakubali sana Maconda pamoja na Musukuma Geita Moja nilipozaliwa
Kweli makonda no kiboko atainyosha arusha
Barikiwa
Makonda wewe kamanda kweli.
Saf Makonda Team
Uyu Mzee uyu mmmm😊😊😊
Asante sana baba mtetezi wa wanyonge ❤
Makonda mungu akuweke nakupenda sana mwanangu kipenzi
Ukakae ndani kidooogo mzee
Sukuma ndani Makonda🤣🤣🤣🤣
Kaka Makonda sijawahi kukuelewa ila leo nimekuelewa hongera sana
Hongera mh Makonda hapa ndipo tunajua kiongozi ni nani?
Njoo na Kagera Bukoba yapo ya namna hii uje utumbue😊
Makond umeenda sehemu yenyew
Makonda ni Alama ya jpm kabisaaaaa
Haya mambo yapo Sanaa,,watu wanateseka
Makonda Hoyeeeee
Nakuona kama ni Raisi wetu ajae big up!
Daaaaah Makonda anafurahisha sana piga kazi kaka
⁹hivi wakuu wa Mikoa wengine mbona wamelala maofisini awaongei na wananchi wao?
Igeni utendaji wa makonda
Mhe.Makonda watu kama huyo mzee ni wengi sana❤❤❤❤❤
Daaaaa, Makonda ishi tuuu, Mungu akuweke sanaaaaass
Amen
Mungu wa mbinguni akubariki makonda
Makonda nakupendaga pamoja na Kassim majaliwa
Kama Tanzania nzima tungekuwa na viongozi wenye busara na haki kma Malinda tungekuwa Kama china
Mzee mlagai huyu Tia yeye ndani miaka Miami moja
Asante makonda
Intelligent
Dah
Makonda nazid kukupenda
mama yet tunakiomba uyu makonda usije kumuachisha kaz wala usimfkuze. Uyu ni zaidi ya majaliwa.
Hongera sana kijana wetu
Kweli ilikua mzeee kashauza
😊
Baba keagan ...hii n arusha tu Iko hv vip mikoa mwingne vipi kule vjijin ambalo hakuna mtu kama makonda 😢😢
Mdogo wangu Makonda nakuelewa sasa baada ya miaka mingi
Duu makonda mungu akujalia afya njema