"Nisisikie mfanyabiashara analalamika" JAFO atumwa kazi maalumu KARIAKOO Rais SAMIA ampa somo

Поделиться
HTML-код

Комментарии • 26

  • @zainabumartin9520
    @zainabumartin9520 14 дней назад +3

    Mitano tena mama. I love mama❤❤

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 16 дней назад +4

    Mama ujakosea hilo jembeeeeee Kariakooooooooo❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉

  • @khatibjuma9455
    @khatibjuma9455 8 дней назад

    Asante mama endelea kuwapa kazi vijana wafanya kazi

  • @wizydeko1496
    @wizydeko1496 16 дней назад +5

    Safi saana

  • @user-vp1zu3fb5w
    @user-vp1zu3fb5w 16 дней назад +5

    DU! KUMBE MWANAUME NI MWANAUME TU NA MWANAMKE NI MWANAMKE TU 😂

    • @MashakaMagesa
      @MashakaMagesa 14 дней назад

      Hata katika vitabu vya mungu imeandikwa

  • @ponsianomnyaru9140
    @ponsianomnyaru9140 14 дней назад +3

    Mama kaz ya kuongoza nchi huiwez achia ngaz hii nchi inahtaj watu wenye maamuz magum

  • @user-mt3jc6no5w
    @user-mt3jc6no5w 10 дней назад

    Mama tuko pamoja nawe mi5 tena❤❤❤❤❤❤

  • @petersilas4234
    @petersilas4234 16 дней назад +2

    Be careful there is a catch there, Kariakoo na wamachinga ni siasa. Maandamano yanadoda kwa kukosa kuungwa mkono na wamachinga na bodaboda, ndio uhai wa vijana wa Hali ya chini.

  • @NanaMaembe
    @NanaMaembe 16 дней назад +1

    HUYU MAMA NI MJANJA SANA AISEE...... KAONA MOTO UMEWASHWA KENYA KUUSU KUKOPA KOPA MADENI YA INCH

  • @machujamathias7165
    @machujamathias7165 16 дней назад

    Aise katika siku zote ambazo nimesikiliza speech za Raisi wetu mpendwa mama Samia. Nasadiki kusema mitano tenaa kwa Mama

  • @MashakaMagesa
    @MashakaMagesa 14 дней назад

    Jafo ni kiongozi mzuri kama ataendelea kujisimamia kama Makonda

  • @user-mt3jc6no5w
    @user-mt3jc6no5w 10 дней назад

    Mama wachina wameisha shindikana apa bongo warudi tu kwao

  • @benjaminmiselya2622
    @benjaminmiselya2622 14 дней назад

    Hahaha ha kazi ya Uraisi mtoto wa like haimusitahili😂🤣🤣🤣🤣

  • @user-so8uh8bt5t
    @user-so8uh8bt5t 16 дней назад

    Mama kumbe unaweza hongera

  • @OmarMihulu
    @OmarMihulu 16 дней назад +2

    Kumbe unajuwa km kunakazi wanawake hawaziwezi

    • @stevenkatani3047
      @stevenkatani3047 14 дней назад

      Hahahhahahahha aiseeeee wa tz kazi mama yupo kazin na anajua vitu vingi ssh5 tena

  • @DaimaNyakunga-jb6do
    @DaimaNyakunga-jb6do 12 дней назад

    Kama mwanamke hawezi mbona ww upon kumbe mnajijua kuwa nyinyi ni dhaifu

  • @NanaMaembe
    @NanaMaembe 16 дней назад

    HAPO SAMIA NAKUPA HEKO KUBWA SANA KWA KUMCHAGUA JAFO KUWA KWENYE BIASHARA.

  • @zainabumartin9520
    @zainabumartin9520 14 дней назад

    Pepeta😂😂

  • @SanziNzige
    @SanziNzige 16 дней назад

    Nyinyi mnafanya mchezo tu .haya!

    • @user-kw3yb2sh3s
      @user-kw3yb2sh3s 14 дней назад +1

      Naona mke wa Lisu bado unaleta siasa mpaka huku youtube mende wewe

  • @zainabumartin9520
    @zainabumartin9520 14 дней назад

    ❤❤❤❤