MAKONDA MBELE YA RAIS SAMIA, ATISHIA KUWATAJA MAWAZIRI WANAOTUMA WATU KUMTUKANA RAIS

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 11 апр 2024
  • www.youtube.com/@Wasafi_Media...
    WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 409

  • @user-nh9zf7vv3r
    @user-nh9zf7vv3r 23 дня назад +44

    Boss wangu makonda nakupenda sana kaka mimi ni wa congo ila una ongeya vizuri nauko mshapa kazi bora mungu akulinde wewe ni raisi waaamu ya saba 7 tanzania

    • @ustawiwetu
      @ustawiwetu 20 дней назад

      Hawezi kuwa Rais

    • @Afsah90
      @Afsah90 20 дней назад

      Wapumbavu kama ww ndo wanadhani huyu anaweza kuwa rais....ivi wewe kwa hali ya kawaida unaanzaje kumpa rais confidential issues mbele ya public..?? Anaropoka hajui aongee nini na wakati gani..?? Haya yanayoendelea ni kwa sababu ya huyu mpumbavu...anapenda kiki sana hana ethics za uongozi, hana leadership anapenda kuongelewa...ili ni li bashite kweli halina akili....yani huyu hana akili kabisa

    • @JohnDWASHI
      @JohnDWASHI 18 дней назад

      Ingia uwanjani ukajipime!

  • @rachelndaki5642
    @rachelndaki5642 20 дней назад +2

    AshaAllah 👏👏Allah azidi kukupa moyo mkujufu uendelee kuifanya kazi yako ww unaweza kwa uwezo wake Allah akubariki 🤲🤲

  • @ZawadMussa-sd1od
    @ZawadMussa-sd1od 23 дня назад +21

    Uyu baba nampenda adi nasahau kula nikiwa namfatili otuba zake ivi Iko siku naweza kutana nae kwel nikiwa duniani ama maana kagera vijijini hajawahi kuja Sina shida sna zaidi ya kump mkono wa hongera

  • @asnathlaizer4603
    @asnathlaizer4603 23 дня назад +28

    Mungu akulinde makonda Arusha tunakukubali %100

  • @judithkirenga9977
    @judithkirenga9977 23 дня назад +6

    Kaka Makonda we are with you ❤❤

  • @user-nx5jg2dn5b
    @user-nx5jg2dn5b 21 день назад +3

    Your so blessed ,najiuliza unawezaje kumudu stress kaka makonda ,,,

  • @eliasjoseph9712
    @eliasjoseph9712 23 дня назад +6

    Nakuhusudu sana kiongozi wangu njoo kigamboni tunakungoja tukupe ubunge

  • @kelyjames5452
    @kelyjames5452 23 дня назад +5

    Mwambaaaa kwelikweli ,nakubali sana Rais ujaye ❤❤❤

  • @MatendoMenganyi-xq8lx
    @MatendoMenganyi-xq8lx 22 дня назад +3

    Mhe .Makonda, kiongozi Imara na Shupavu kwelkwel, safi sana unamsaidia mhe .Dr .SSH, kiuhalisia ,wew uko safi an

  • @AmourMawalanga
    @AmourMawalanga 23 дня назад +17

    Confidently & charismatic

  • @user-gy3wo2ez4d
    @user-gy3wo2ez4d 23 дня назад +5

    Mungu ibariki tanzania mungu mbariki makonda

  • @msafirimfilinge8222
    @msafirimfilinge8222 23 дня назад +6

    President of Tanzania ajaye!❤❤❤

    • @Afsah90
      @Afsah90 20 дней назад

      Wapumbavu kama ww ndo wana mawazo hayoo 😅😅😅 eti president

  • @jr_mkumbojr
    @jr_mkumbojr 23 дня назад +16

    Kaongea very smart aisee,Mungu ampe busara zaidi atende mema zaidi

  • @tupacthedon7104
    @tupacthedon7104 22 дня назад +2

    Wananchi wa Arusha umewatambulisha vizuri sana,sisi kama Wanachuga tunasema we are prod of you brother

  • @tibbsminja2575
    @tibbsminja2575 23 дня назад +6

    Kama Hali ni yakuendelea kutishana kwenye kazi bado tuna Hali ngumu sana kuendelea kama Taifa.
    Wasiojulikana wanaweza kuendelea kuwepo!

  • @sshaby52
    @sshaby52 23 дня назад +10

    Tanzania naona viongozi wawili ambao ukosema unawapa inchi wataiweza vizuri MAKONDA na POLE POLE

  • @marikwilliam9886
    @marikwilliam9886 23 дня назад +18

    Jembe letuu ❤❤

  • @jackmabirangacharles9398
    @jackmabirangacharles9398 23 дня назад +8

    Mwamba Anajiamini Sana na Hapo alipo sema na Wengine ni Mawaziri hapo sasa kazi ipo

  • @ArcadiusMukimara-fr4wx
    @ArcadiusMukimara-fr4wx День назад

    Makonda uko vzr kwel Mungu akutangulie ktk majukum yako

  • @franklinjr996
    @franklinjr996 21 день назад +2

    Hi ni mbegu alioiacha mzee Magufuli Big up Champez Makonda

  • @BrightenTanzania
    @BrightenTanzania 22 дня назад +2

    Hongera sana kiongozi, umekuwa mfano wa uongozi kwa vijana wengi.
    Unajua kupangilia maneno, unajua kushawishi, unajua kuvuta hisia za wengi.
    Uongozi ni uwezo wa kushawishi kwa ajili ya maendeleo.

  • @user-vr6fc5qm2i
    @user-vr6fc5qm2i 23 дня назад +3

    Next president of tanzania 🇹🇿 namuoneyaa mbali sana huyu kamanda. Atakama hawakupendi. Your the Next president of tanzania. Uko na uzalendo mkubwa sana na nchii yako. Mungu akuongoze inshallah. vita ni vikubwa sana. Mtegeemee Mungu . Utashida. no matter what usiteteleke. Wala usibabaishwe. Na wanafki walioko ndani ya chama chako. Chapa kazi.

  • @NyakihemeleJuma
    @NyakihemeleJuma 23 дня назад +8

    Good job

  • @HashimuAbubakar-ej8gc
    @HashimuAbubakar-ej8gc 23 дня назад +20

    Kaka makonda umsema ukweli hata Raisi magufuli alipo kufa wapo mawaziri walisema mungu kaamuwa ugomvi bahari imetulia wakati watanzania wanalia makonda pambana kukemea viongozi wanafiki usikate tamaa

  • @RamadhanKilibate
    @RamadhanKilibate 21 день назад

    Makonda chapa kazi Mungu akutangulie kujali wanyonge na msema ukweli AMINA

  • @burudatv751
    @burudatv751 23 дня назад +11

    Biggie brain makondaa💪💪

  • @georgekimasaofficial1629
    @georgekimasaofficial1629 23 дня назад +21

    Mama etu Yuko smart amependeza pia 👏👏

  • @PeterNMzee
    @PeterNMzee 23 дня назад +7

    Heko kaka makonda.... niwadokeze tu sifa kubwa ya kiongozi halisi ni TRANSPARENCY!. MAKONDA MAKONDA MAKONDA unazo sifa za kimataifa ndugu yetu.... Watu kama nyie ni adimu sana sana. Sina chakusema zaidi yaku kuweka kwenye maombi yangu kila siku.

    • @josephsisa8139
      @josephsisa8139 22 дня назад

      Utaishi miaka mingi sana makonda sababu watanzania wengi wanakusemea vzuri nice

    • @josephsisa8139
      @josephsisa8139 22 дня назад

      Ijapo unaopambana nao ni wengi alafu wananguvu kiuchumi lakini mungu ata kurinda kama alivyo waambia waisrael kwamba wasiogope silaa maana zimeumbwa nayeye nahao wanao tengeneza wameumbwa nayeye

    • @josephsisa8139
      @josephsisa8139 22 дня назад

      Kwahiyo makonda kwakushirikiana namheshimiwa Rais songa mbele kuwakomboa waisrael kuna tumaini mbele yako

  • @MaulidNdunda-cl3gz
    @MaulidNdunda-cl3gz 23 дня назад +6

    Kweli mh rais Arusha barabaran za ndan zinataka Rami coz mji wa kitalii unaitaji kujengwa zaid

  • @abdull_hafidh
    @abdull_hafidh 23 дня назад +30

    Makonda hana woga hata kidogo hili ni jembe na hazina ya Tanzania

    • @fredrickmwakalinga6390
      @fredrickmwakalinga6390 23 дня назад +1

      Vibaka wanaweza wakawa hazina akili mdogo kweli tz

    • @yugemasanza1008
      @yugemasanza1008 23 дня назад +3

      ​@@fredrickmwakalinga6390wewena kundi lako ndo vibaka wakubwa

    • @MathewNathan-yb2bz
      @MathewNathan-yb2bz 22 дня назад

      ​@@fredrickmwakalinga6390umeongea vema tatizo la nchi hii ni wananchi wenye akili ndogo.

  • @deboramuhoja1777
    @deboramuhoja1777 22 дня назад

    Makonda kuwa Arusha ni Baraka kubwa sana, surely yupo Kwa mji wa wapambanaji na wasiokata tamaa, Karibu sana Mhe. Makonda, Baba Kegan, tuko pamoja nawe kukuunga mkono ktk Kila hatua kufanya Arusha yetu iendelee kung'ara🔥VIVA VIVA MAMA MH. S.S.H🥰💪VIVA VIVA MHE. MAKONDA💪💪

  • @DavidKaonga-bz5mg
    @DavidKaonga-bz5mg 23 дня назад +15

    Properly speech, is not easy to derives in front of Powerful leaders. .. kalama ya uongozi ikondani yake Jamaa .

    • @RamaNinga-jv2xw
      @RamaNinga-jv2xw 23 дня назад +1

      Tanzania ujinga ni silaha,Ana kesi mahakani hakujibu utiifu wake uko wapi kwa mamlaka? Tutajuaje Kama alihusika na udhulumaji, nonsense!

    • @jenahando2747
      @jenahando2747 22 дня назад

      @@RamaNinga-jv2xw acha uboya basi

    • @mcback4384
      @mcback4384 22 дня назад

      So relaxed and contented wengine wangejamba

    • @rosetreffert4179
      @rosetreffert4179 22 дня назад

      ​@@RamaNinga-jv2xwwapuuzi kama wewe hawakosekani

  • @shadrackmwakalinga865
    @shadrackmwakalinga865 23 дня назад +2

    May God protect you

  • @user-cs2pg3ng8l
    @user-cs2pg3ng8l 23 дня назад +14

    Makonda Mungu akubariki Afya njema siku Moja uliongoze hili taifa kama itakupendeza...

  • @sarahdeograthias9097
    @sarahdeograthias9097 23 дня назад +11

    Unguruma Jembe,unguruma

  • @msafirimfilinge8222
    @msafirimfilinge8222 23 дня назад +1

    Fire sana 🔥🔥🔥🔥

  • @elibarikimollel7149
    @elibarikimollel7149 23 дня назад +5

    Wakurugenzi makada nchi nzima mmesikia?! Mnalo hiloo..kazi kwenu.

  • @ChumHamza
    @ChumHamza 21 день назад +1

    Asante mkuuu

  • @JohnJosephwatolile
    @JohnJosephwatolile 10 дней назад

    Nex president of TZ after mama Samia

  • @user-dd3ek5fh5g
    @user-dd3ek5fh5g 23 дня назад +16

    Kimeumana Arusha MAKONDA 🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🦾

  • @user-qg1iy5ov3u
    @user-qg1iy5ov3u 23 дня назад +8

    Wakuu wa mikoa mwingine waige mfano wa Makonda

  • @ismailimatola3727
    @ismailimatola3727 23 дня назад +28

    Wapo wasenge wanasikiliza kwa makini ili atakapokosea watimke waende kwenye mitandao wakamchafue wasenge wakubwa nyie ata akikosea sisi tuponae pamoja

    • @innocentkikoti757
      @innocentkikoti757 23 дня назад +2

      WE NAE NI MSENGE TU😅 KAJITIEEE UKO

    • @RamaNinga-jv2xw
      @RamaNinga-jv2xw 23 дня назад +1

      Ww ni mjinga wa mwisho hujitambui

    • @JonesKapipo-fx8vh
      @JonesKapipo-fx8vh 23 дня назад +1

      We ndio msenge una tukana Tena we k😊

    • @Ambwene
      @Ambwene 23 дня назад

      Wasenge wapo kaka yaani ni makuma kabisa ila sisi tupo na Makonda mwanzo mwisho 💪 💪 💪 💪 💪 💪 💪 💪 💪 💪

    • @user-lo8ef9qn2r
      @user-lo8ef9qn2r 22 дня назад

      Waliokoment makasiliko ndio walioitwa ivyo na wamejikubali

  • @estameryngogo594
    @estameryngogo594 23 дня назад +1

    Mungu akulinde Makonda

  • @zobakazizi7637
    @zobakazizi7637 23 дня назад +15

    Kuweni makini na aina ya miti. Kuna aina ya miti inakausha maji.

    • @fredgonga
      @fredgonga 22 дня назад

      🤣🤣🤣 hiyo ni mikaratusi

  • @bibianakiwali1969
    @bibianakiwali1969 22 дня назад

    Mungu kuwekee MKONO WAKE AKUTIE NGUVU UZIDI KUIMARIKA MWANANGU.

  • @RamaNinga-jv2xw
    @RamaNinga-jv2xw 23 дня назад +2

    Peoples powerrrr!

  • @rukiawagaba2080
    @rukiawagaba2080 22 дня назад

    Makonda chaps kazi mungu mkumbwa Amina❤

  • @yusuphlusonzo5124
    @yusuphlusonzo5124 23 дня назад +7

    Uko vzr saana Mhe Rais mtarajiwa Insha Allah

  • @charlesmangombo684
    @charlesmangombo684 23 дня назад

    Brother big up🎉

  • @paulkulwa7216
    @paulkulwa7216 23 дня назад +10

    Mwamba kwelkwel

  • @josephatmathiasgalagalabuh786
    @josephatmathiasgalagalabuh786 23 дня назад +15

    Askofu Pengo anasikiliza na kutazama kwa makini sana

    • @elibarikimollel7149
      @elibarikimollel7149 23 дня назад

      Anajua mwanaye alikiri uongo akakosea!

    • @elibarikimollel7149
      @elibarikimollel7149 23 дня назад

      Anamtazama kwa tafakuri!Aliyembariki akamuita baba wa kiroho alikiri imani asiyoiamini na kumtweza kwa uongo,na zaidi sana kumkosea MUNGU mwenyezi.

  • @BarnabaChota-tw7ol
    @BarnabaChota-tw7ol 23 дня назад +2

    Ubarikiwe sana.

  • @charlesmillinga992
    @charlesmillinga992 23 дня назад +10

    NAWASALIMU KWA JINA LA JMT, NAANDIKA KWA HEEUFI KUBWA. "HAKIKA MAKONDA NI MWAMBA WENYE UJASIRI NA BARAKA KUBWA YA MUNGU" KAKA MUNGU AKULINDE NA HILA CHAFU, NINAAMINI MUNGU ANA JAMBO NAWE KWA AJILI YA WATANZANIA" VIVA MAKONDA, VIVA CCM , VIVA TANZANIA. KUBWA KABISA MHE. RAIS PONGEZI KUBWA KWAKO KWA KUKIAMINI CHUMA HIKI KATIKA KAZI ZA TAIFA HILI NA MAKONDA NI KIPENZI CHA WATANZANIA WENGI WANAOPENDA AMANI, HAKI NA USAWA. AMINA.🙏🙏🙏

  • @emmanueldaniel1781
    @emmanueldaniel1781 23 дня назад +13

    Jamaa anafaa kuwa zaidi ya waziri

    • @josephwilliammnyune5464
      @josephwilliammnyune5464 23 дня назад

      Hakufaa uenezi, atafaa uwaziri? Nauliza tu.

    • @user-ku8dk7bu7p
      @user-ku8dk7bu7p 19 дней назад

      ​@@josephwilliammnyune5464sio hakufaaa kapelekwaaa kuleee kwaaa malengoo maalumuu

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 23 дня назад +10

    Makonda ana uwezo mkubwa wa kuongea hata masaa 30 na akawa confedent

  • @evodiuskalema2123
    @evodiuskalema2123 22 дня назад

    Mungu akulinde pia Akupambanie

  • @christopheritungi1228
    @christopheritungi1228 23 дня назад +3

    Huyu mwamba ni kichwa sana.

  • @johnbahati478
    @johnbahati478 23 дня назад +19

    Hii nafasi jamaa haimtoshi,kiatu kinambana. Uenzezi ulimfaa sana

    • @officiallnobystar
      @officiallnobystar 23 дня назад +1

      Wamembana Sana Mimi Mwenyewe Sijapenda Kuwa Mkuu Wa Mkoa Bora Angekuwa Mwenezi Tu Mana Alikuwa Anawanyoosha Mafisadi Sasa Apo Atawaonea Wa Chuga Tu

    • @rasvegas8991
      @rasvegas8991 23 дня назад

      Kabisaaa alitakiwaa zaidi yabhapo

    • @user-bt3wt6nt4z
      @user-bt3wt6nt4z 23 дня назад +1

      @officiallnobystaryaan hakuna Cha kuwaonea Wala nn kumbuka tushaambiwa Kuna wadudu kuleeeeeee😂😂😂😂😂😂

    • @ilynpayne7491
      @ilynpayne7491 23 дня назад

      Huyu apewe ata waziri mkuu 😢

    • @martinabayyo9982
      @martinabayyo9982 23 дня назад

      Huyu anatakiwa kuwa raisi mauaji ya ajabu na unyanyasaji wa kijinsia ungetokomea

  • @user-ft7qb1wq8i
    @user-ft7qb1wq8i 22 дня назад

    huyu jamaa kuna mwaka atakua na cheo kikubwa sana kwenye hii nchi .mungu akuongoze makonda big up sana you diserve to be a presidaaa

  • @martinchambala9399
    @martinchambala9399 22 дня назад

    Mungu amjaalie sana makonda baadae awe Rais wa nchi hakika hii ni hazina ya Tanzania

  • @petermboje5839
    @petermboje5839 10 дней назад

    Makonda una hotubq nzuri kweli

  • @SimuliziDhahiri
    @SimuliziDhahiri 23 дня назад

    ❤❤❤❤❤❤❤

  • @nathangeor7098
    @nathangeor7098 23 дня назад

    MAKONDA MAKONDA❤❤❤

  • @AloyceKatayay
    @AloyceKatayay 23 дня назад

    ❤❤❤❤

  • @user-qe7or5jc1u
    @user-qe7or5jc1u 23 дня назад +5

    Makonda nikivutio kikubwa!!!

  • @geoffreymanyara3613
    @geoffreymanyara3613 19 дней назад

    Next tz president.I like this guy from kenya

  • @LEAHX-zh8vs
    @LEAHX-zh8vs 22 дня назад

    Natural politician. Enjoy your hard-earned trust Paul

  • @user-kw5pb9dd7p
    @user-kw5pb9dd7p 22 дня назад +1

    Hongera mhe makonda

  • @hajjiomary2383
    @hajjiomary2383 23 дня назад +5

    Wanabahati sana watu wa arusha ungekaa kwetu kigamboni ukatujengea sasa uki kmya

  • @SuleimanKitisa
    @SuleimanKitisa 18 дней назад

    ❤❤❤❤nakupenda sana makonda

  • @NehemiahAmani
    @NehemiahAmani 22 дня назад +1

    Ongera sana makonda

  • @christopherjoseph8330
    @christopherjoseph8330 23 дня назад +3

    Arusha pazuri sas itapendeza zaidi

  • @BimkubwaJuma-ew5dg
    @BimkubwaJuma-ew5dg 22 дня назад

    Mh Samia natamani nikuone nije kutowa kilio changu kwako laminitis sijakata tamaa kwa Rehman za mungu nitakuona kwakweli mama una moyo wapekee mungu akulipe na akusmamie ila sisi wadogo hatukuoni mh laminitis tupo nawewe mama

  • @TM-zs3rm
    @TM-zs3rm 23 дня назад +1

    Kanisani pabaki patakatifu na nyumba ya kumwabudu Mungu tu. Si mahali pa siasa. Ogopeni watu wanaotumia helali la Mungu kwa biashara.
    Acheni Mungu awe na aitwe Mungu. Mwogopeni Mungu . Msilitumie Hekalu la Mungu vibaya.
    Hivi tunajielwa kama tuko kwenye nyumba ya Mungu na si ofisi ya chama cha siasa?
    Mungu atusamehe hatujui tulitendao.

  • @Heismasai
    @Heismasai 23 дня назад

    Makonda fundiiii sanaaaa🎉🎉🎉

  • @JM-eo3wo
    @JM-eo3wo 19 дней назад

    Wish kenya tuna kiongosi kama makonda kiongosi sober na ninaomba wa tz mama samia akimalisa miaka yake patieni makonda nafasi

  • @hemedmwipopo780
    @hemedmwipopo780 23 дня назад +1

    Wapo wanao mponda Makonda kwa kazi anayo ifanya ila wao wanataka kuendeleza porojo za kisiasa Katika maisha ya Watanzania.

  • @janethpallangyo3855
    @janethpallangyo3855 22 дня назад

    ❤❤❤

  • @GilgariMinistryTanzania
    @GilgariMinistryTanzania 23 дня назад +2

    Mr Makonda nakupenda sanaa sanaa kiongozi wangu ila nikushauri kaka yangu mambo mengine usiwe unasema maana hii ni Tanzania kaka tunaitaji kukuona unafika mbali

  • @judithtitomalyeta4000
    @judithtitomalyeta4000 22 дня назад +2

    Jamani makonda namkubali ana kipaji cha ajabu na uzalendo nampenda bure

  • @jonathansam4159
    @jonathansam4159 23 дня назад +1

    Unaweza mdogo wangu,pambana

  • @user-sl1ko9me7u
    @user-sl1ko9me7u 23 дня назад +1

    SIASA ZA MAJI TAKA KUWACHAFUA MAWAZIRI.....WATANZANIA TUNA IMANI NA TAASISI YETU YA USALAMA WA TAIFA!

  • @jackisonmlaari4556
    @jackisonmlaari4556 18 дней назад

    Huyu jamaa ni mnafiki sana yaani basi 2

  • @kennedyjohn8900
    @kennedyjohn8900 22 дня назад +1

    Sio kweli kama kweli awataje alete na ushaidi safi sana hiyo ndio kazi ya mkuu wa mkoa watajeeeeeeeee

  • @michaelmlugu5654
    @michaelmlugu5654 23 дня назад +2

    Utambulisho wa dharau wa makonda juu ya wananchi kwamba utambulisho usio na umuhimu nidharau kubwa sana wameahidiwa ngombe kwa umasikini wao wanapiga vigeregere kwakuwa hawaelewi kinachoendelea huku wakidharauliwa

    • @JAMESGASPER-kj5bk
      @JAMESGASPER-kj5bk 21 день назад

      Umesoma protocal au unaandika usivyovijua unafahamu kanuni za uongozi

    • @annamariajackson4842
      @annamariajackson4842 20 дней назад

      Jamani tuwe na usikivu wakati mtu yeyote anaooongea ili kumwelea badala ya kurusha maneno makali. Hapo wapi kaonyesha dharau?

  • @SamweliMwashilindi-fq1me
    @SamweliMwashilindi-fq1me 23 дня назад +4

    Makonda wewe ni thamani ya uzalendo wetu wa Tanzania tunamshukuru mama yetu Samia kwa kuivumbua hii nyota ya makonda mungu awalinde Sana viongozi wetu nyie,kwer mungu ailinde Tanzania yetu iliyo na amani

  • @user-uo4uz3gq8d
    @user-uo4uz3gq8d 20 дней назад

    Malinda uki gombea uraisi ntakuwa wa kwanza kukupigia kampeni ama kuwa shawishi wakupigie kura

  • @hakimmusa368
    @hakimmusa368 22 дня назад

    🎉🎉

  • @ChumHamza
    @ChumHamza 21 день назад

    Mm mwenezi wa ccm tawi kivunge A karibu zanzibar

  • @TheBest-TZ
    @TheBest-TZ 18 дней назад

    Ifikie hatua watanzania tujivunie amani tulio nayo na tuwaheshim sana viongozi mana hakun aliyekamili 100%

  • @jitabojilala6162
    @jitabojilala6162 23 дня назад +2

    Mungu akubariki na akulinde

  • @MagritaMalkiori
    @MagritaMalkiori 6 дней назад

    Kiongozi shupavu paul makonda ndiye mkuu wt wa mkoa wa arusha😅

  • @prosperjohn2047
    @prosperjohn2047 23 дня назад +1

    NAMUONA MAGUFULI WETU, EE MUNGU MLINDE HUYU KAKA YANGU😢😢😢

  • @OmmyJames-xn7ji
    @OmmyJames-xn7ji 23 дня назад +1

    STRIKE WARNING SIGNS 😢😢😢

  • @richardnganya2311
    @richardnganya2311 23 дня назад +1

    Kuna uwaziri mkuu unatafutwa au umakamu wa Rais... huko mbele kuna mchuano...

  • @user-id3pf9tr4r
    @user-id3pf9tr4r 20 дней назад

    ❤❤❤❤❤

  • @user-ch3ku3yx2z
    @user-ch3ku3yx2z 23 дня назад

    Bg bro makonda piga kazi mwamba

  • @victustemba
    @victustemba 22 дня назад +1

    1#Trending 😂😅🙌🏽

  • @judithkirenga9977
    @judithkirenga9977 23 дня назад +1

    Mkuu wetu wa mkoa, Mungu akubariki,umeongea vitu tunashida navyo hasaa❤

  • @jacksonchilukusha2747
    @jacksonchilukusha2747 20 дней назад

    Makonda pinga kazi na mungu akulida usije badilika kaka .wasije kukuuwa kama walivyo muuwa mangufuli