MAKONDA MBELE YA RAIS SAMIA, ATISHIA KUWATAJA MAWAZIRI WANAOTUMA WATU KUMTUKANA RAIS
HTML-код
- Опубликовано: 11 апр 2024
- www.youtube.com/@Wasafi_Media...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm - Развлечения
Boss wangu makonda nakupenda sana kaka mimi ni wa congo ila una ongeya vizuri nauko mshapa kazi bora mungu akulinde wewe ni raisi waaamu ya saba 7 tanzania
Hawezi kuwa Rais
Wapumbavu kama ww ndo wanadhani huyu anaweza kuwa rais....ivi wewe kwa hali ya kawaida unaanzaje kumpa rais confidential issues mbele ya public..?? Anaropoka hajui aongee nini na wakati gani..?? Haya yanayoendelea ni kwa sababu ya huyu mpumbavu...anapenda kiki sana hana ethics za uongozi, hana leadership anapenda kuongelewa...ili ni li bashite kweli halina akili....yani huyu hana akili kabisa
Ingia uwanjani ukajipime!
AshaAllah 👏👏Allah azidi kukupa moyo mkujufu uendelee kuifanya kazi yako ww unaweza kwa uwezo wake Allah akubariki 🤲🤲
Uyu baba nampenda adi nasahau kula nikiwa namfatili otuba zake ivi Iko siku naweza kutana nae kwel nikiwa duniani ama maana kagera vijijini hajawahi kuja Sina shida sna zaidi ya kump mkono wa hongera
Mungu akulinde makonda Arusha tunakukubali %100
😅
Kaka Makonda we are with you ❤❤
Your so blessed ,najiuliza unawezaje kumudu stress kaka makonda ,,,
Yupoo vzr San huyuu jomn aseeh😅😅
Nakuhusudu sana kiongozi wangu njoo kigamboni tunakungoja tukupe ubunge
Mwambaaaa kwelikweli ,nakubali sana Rais ujaye ❤❤❤
Mhe .Makonda, kiongozi Imara na Shupavu kwelkwel, safi sana unamsaidia mhe .Dr .SSH, kiuhalisia ,wew uko safi an
Confidently & charismatic
Mungu ibariki tanzania mungu mbariki makonda
President of Tanzania ajaye!❤❤❤
Wapumbavu kama ww ndo wana mawazo hayoo 😅😅😅 eti president
Kaongea very smart aisee,Mungu ampe busara zaidi atende mema zaidi
Wananchi wa Arusha umewatambulisha vizuri sana,sisi kama Wanachuga tunasema we are prod of you brother
Kama Hali ni yakuendelea kutishana kwenye kazi bado tuna Hali ngumu sana kuendelea kama Taifa.
Wasiojulikana wanaweza kuendelea kuwepo!
Tanzania naona viongozi wawili ambao ukosema unawapa inchi wataiweza vizuri MAKONDA na POLE POLE
Pole Pole ana chuki dhidi yetu Wazanzibari wala hii nchi haimfai
Kweli kabisa
Jembe letuu ❤❤
Mwamba Anajiamini Sana na Hapo alipo sema na Wengine ni Mawaziri hapo sasa kazi ipo
Makonda uko vzr kwel Mungu akutangulie ktk majukum yako
Hi ni mbegu alioiacha mzee Magufuli Big up Champez Makonda
Hongera sana kiongozi, umekuwa mfano wa uongozi kwa vijana wengi.
Unajua kupangilia maneno, unajua kushawishi, unajua kuvuta hisia za wengi.
Uongozi ni uwezo wa kushawishi kwa ajili ya maendeleo.
Next president of tanzania 🇹🇿 namuoneyaa mbali sana huyu kamanda. Atakama hawakupendi. Your the Next president of tanzania. Uko na uzalendo mkubwa sana na nchii yako. Mungu akuongoze inshallah. vita ni vikubwa sana. Mtegeemee Mungu . Utashida. no matter what usiteteleke. Wala usibabaishwe. Na wanafki walioko ndani ya chama chako. Chapa kazi.
Good job
Kaka makonda umsema ukweli hata Raisi magufuli alipo kufa wapo mawaziri walisema mungu kaamuwa ugomvi bahari imetulia wakati watanzania wanalia makonda pambana kukemea viongozi wanafiki usikate tamaa
Makonda chapa kazi Mungu akutangulie kujali wanyonge na msema ukweli AMINA
Biggie brain makondaa💪💪
Mama etu Yuko smart amependeza pia 👏👏
Heko kaka makonda.... niwadokeze tu sifa kubwa ya kiongozi halisi ni TRANSPARENCY!. MAKONDA MAKONDA MAKONDA unazo sifa za kimataifa ndugu yetu.... Watu kama nyie ni adimu sana sana. Sina chakusema zaidi yaku kuweka kwenye maombi yangu kila siku.
Utaishi miaka mingi sana makonda sababu watanzania wengi wanakusemea vzuri nice
Ijapo unaopambana nao ni wengi alafu wananguvu kiuchumi lakini mungu ata kurinda kama alivyo waambia waisrael kwamba wasiogope silaa maana zimeumbwa nayeye nahao wanao tengeneza wameumbwa nayeye
Kwahiyo makonda kwakushirikiana namheshimiwa Rais songa mbele kuwakomboa waisrael kuna tumaini mbele yako
Kweli mh rais Arusha barabaran za ndan zinataka Rami coz mji wa kitalii unaitaji kujengwa zaid
Makonda hana woga hata kidogo hili ni jembe na hazina ya Tanzania
Vibaka wanaweza wakawa hazina akili mdogo kweli tz
@@fredrickmwakalinga6390wewena kundi lako ndo vibaka wakubwa
@@fredrickmwakalinga6390umeongea vema tatizo la nchi hii ni wananchi wenye akili ndogo.
Makonda kuwa Arusha ni Baraka kubwa sana, surely yupo Kwa mji wa wapambanaji na wasiokata tamaa, Karibu sana Mhe. Makonda, Baba Kegan, tuko pamoja nawe kukuunga mkono ktk Kila hatua kufanya Arusha yetu iendelee kung'ara🔥VIVA VIVA MAMA MH. S.S.H🥰💪VIVA VIVA MHE. MAKONDA💪💪
Properly speech, is not easy to derives in front of Powerful leaders. .. kalama ya uongozi ikondani yake Jamaa .
Tanzania ujinga ni silaha,Ana kesi mahakani hakujibu utiifu wake uko wapi kwa mamlaka? Tutajuaje Kama alihusika na udhulumaji, nonsense!
@@RamaNinga-jv2xw acha uboya basi
So relaxed and contented wengine wangejamba
@@RamaNinga-jv2xwwapuuzi kama wewe hawakosekani
May God protect you
Makonda Mungu akubariki Afya njema siku Moja uliongoze hili taifa kama itakupendeza...
Unguruma Jembe,unguruma
Fire sana 🔥🔥🔥🔥
Wakurugenzi makada nchi nzima mmesikia?! Mnalo hiloo..kazi kwenu.
Asante mkuuu
Nex president of TZ after mama Samia
Kimeumana Arusha MAKONDA 🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🦾
Wakuu wa mikoa mwingine waige mfano wa Makonda
Kwamba
Haiigwi ni karama kutoka juu mbinguni
Wapo wasenge wanasikiliza kwa makini ili atakapokosea watimke waende kwenye mitandao wakamchafue wasenge wakubwa nyie ata akikosea sisi tuponae pamoja
WE NAE NI MSENGE TU😅 KAJITIEEE UKO
Ww ni mjinga wa mwisho hujitambui
We ndio msenge una tukana Tena we k😊
Wasenge wapo kaka yaani ni makuma kabisa ila sisi tupo na Makonda mwanzo mwisho 💪 💪 💪 💪 💪 💪 💪 💪 💪 💪
Waliokoment makasiliko ndio walioitwa ivyo na wamejikubali
Mungu akulinde Makonda
Kuweni makini na aina ya miti. Kuna aina ya miti inakausha maji.
🤣🤣🤣 hiyo ni mikaratusi
Mungu kuwekee MKONO WAKE AKUTIE NGUVU UZIDI KUIMARIKA MWANANGU.
Peoples powerrrr!
Makonda chaps kazi mungu mkumbwa Amina❤
Uko vzr saana Mhe Rais mtarajiwa Insha Allah
Brother big up🎉
Mwamba kwelkwel
Askofu Pengo anasikiliza na kutazama kwa makini sana
Anajua mwanaye alikiri uongo akakosea!
Anamtazama kwa tafakuri!Aliyembariki akamuita baba wa kiroho alikiri imani asiyoiamini na kumtweza kwa uongo,na zaidi sana kumkosea MUNGU mwenyezi.
Ubarikiwe sana.
NAWASALIMU KWA JINA LA JMT, NAANDIKA KWA HEEUFI KUBWA. "HAKIKA MAKONDA NI MWAMBA WENYE UJASIRI NA BARAKA KUBWA YA MUNGU" KAKA MUNGU AKULINDE NA HILA CHAFU, NINAAMINI MUNGU ANA JAMBO NAWE KWA AJILI YA WATANZANIA" VIVA MAKONDA, VIVA CCM , VIVA TANZANIA. KUBWA KABISA MHE. RAIS PONGEZI KUBWA KWAKO KWA KUKIAMINI CHUMA HIKI KATIKA KAZI ZA TAIFA HILI NA MAKONDA NI KIPENZI CHA WATANZANIA WENGI WANAOPENDA AMANI, HAKI NA USAWA. AMINA.🙏🙏🙏
❤❤❤
Jamaa anafaa kuwa zaidi ya waziri
Hakufaa uenezi, atafaa uwaziri? Nauliza tu.
@@josephwilliammnyune5464sio hakufaaa kapelekwaaa kuleee kwaaa malengoo maalumuu
Makonda ana uwezo mkubwa wa kuongea hata masaa 30 na akawa confedent
Mungu akulinde pia Akupambanie
Huyu mwamba ni kichwa sana.
Hii nafasi jamaa haimtoshi,kiatu kinambana. Uenzezi ulimfaa sana
Wamembana Sana Mimi Mwenyewe Sijapenda Kuwa Mkuu Wa Mkoa Bora Angekuwa Mwenezi Tu Mana Alikuwa Anawanyoosha Mafisadi Sasa Apo Atawaonea Wa Chuga Tu
Kabisaaa alitakiwaa zaidi yabhapo
@officiallnobystaryaan hakuna Cha kuwaonea Wala nn kumbuka tushaambiwa Kuna wadudu kuleeeeeee😂😂😂😂😂😂
Huyu apewe ata waziri mkuu 😢
Huyu anatakiwa kuwa raisi mauaji ya ajabu na unyanyasaji wa kijinsia ungetokomea
huyu jamaa kuna mwaka atakua na cheo kikubwa sana kwenye hii nchi .mungu akuongoze makonda big up sana you diserve to be a presidaaa
Mungu amjaalie sana makonda baadae awe Rais wa nchi hakika hii ni hazina ya Tanzania
Makonda una hotubq nzuri kweli
❤❤❤❤❤❤❤
MAKONDA MAKONDA❤❤❤
❤❤❤❤
Makonda nikivutio kikubwa!!!
Next tz president.I like this guy from kenya
Natural politician. Enjoy your hard-earned trust Paul
Hongera mhe makonda
Wanabahati sana watu wa arusha ungekaa kwetu kigamboni ukatujengea sasa uki kmya
❤❤❤❤nakupenda sana makonda
Ongera sana makonda
Arusha pazuri sas itapendeza zaidi
Mh Samia natamani nikuone nije kutowa kilio changu kwako laminitis sijakata tamaa kwa Rehman za mungu nitakuona kwakweli mama una moyo wapekee mungu akulipe na akusmamie ila sisi wadogo hatukuoni mh laminitis tupo nawewe mama
Kanisani pabaki patakatifu na nyumba ya kumwabudu Mungu tu. Si mahali pa siasa. Ogopeni watu wanaotumia helali la Mungu kwa biashara.
Acheni Mungu awe na aitwe Mungu. Mwogopeni Mungu . Msilitumie Hekalu la Mungu vibaya.
Hivi tunajielwa kama tuko kwenye nyumba ya Mungu na si ofisi ya chama cha siasa?
Mungu atusamehe hatujui tulitendao.
Unaongea nni wewe hakuna siasa bila dini. Kenge wewe nyau
Hapo sio kanisan kenge ww
@@charlespeter5425jamani acheni kutukanana
Makonda fundiiii sanaaaa🎉🎉🎉
Wish kenya tuna kiongosi kama makonda kiongosi sober na ninaomba wa tz mama samia akimalisa miaka yake patieni makonda nafasi
Wapo wanao mponda Makonda kwa kazi anayo ifanya ila wao wanataka kuendeleza porojo za kisiasa Katika maisha ya Watanzania.
❤❤❤
Mr Makonda nakupenda sanaa sanaa kiongozi wangu ila nikushauri kaka yangu mambo mengine usiwe unasema maana hii ni Tanzania kaka tunaitaji kukuona unafika mbali
Jamani makonda namkubali ana kipaji cha ajabu na uzalendo nampenda bure
Unaweza mdogo wangu,pambana
SIASA ZA MAJI TAKA KUWACHAFUA MAWAZIRI.....WATANZANIA TUNA IMANI NA TAASISI YETU YA USALAMA WA TAIFA!
Huyu jamaa ni mnafiki sana yaani basi 2
Sio kweli kama kweli awataje alete na ushaidi safi sana hiyo ndio kazi ya mkuu wa mkoa watajeeeeeeeee
Hakuna chochote hapo
Utambulisho wa dharau wa makonda juu ya wananchi kwamba utambulisho usio na umuhimu nidharau kubwa sana wameahidiwa ngombe kwa umasikini wao wanapiga vigeregere kwakuwa hawaelewi kinachoendelea huku wakidharauliwa
Umesoma protocal au unaandika usivyovijua unafahamu kanuni za uongozi
Jamani tuwe na usikivu wakati mtu yeyote anaooongea ili kumwelea badala ya kurusha maneno makali. Hapo wapi kaonyesha dharau?
Makonda wewe ni thamani ya uzalendo wetu wa Tanzania tunamshukuru mama yetu Samia kwa kuivumbua hii nyota ya makonda mungu awalinde Sana viongozi wetu nyie,kwer mungu ailinde Tanzania yetu iliyo na amani
Malinda uki gombea uraisi ntakuwa wa kwanza kukupigia kampeni ama kuwa shawishi wakupigie kura
🎉🎉
Mm mwenezi wa ccm tawi kivunge A karibu zanzibar
Ifikie hatua watanzania tujivunie amani tulio nayo na tuwaheshim sana viongozi mana hakun aliyekamili 100%
Mungu akubariki na akulinde
Kiongozi shupavu paul makonda ndiye mkuu wt wa mkoa wa arusha😅
NAMUONA MAGUFULI WETU, EE MUNGU MLINDE HUYU KAKA YANGU😢😢😢
STRIKE WARNING SIGNS 😢😢😢
Kuna uwaziri mkuu unatafutwa au umakamu wa Rais... huko mbele kuna mchuano...
❤❤❤❤❤
Bg bro makonda piga kazi mwamba
1#Trending 😂😅🙌🏽
Mkuu wetu wa mkoa, Mungu akubariki,umeongea vitu tunashida navyo hasaa❤
Makonda pinga kazi na mungu akulida usije badilika kaka .wasije kukuuwa kama walivyo muuwa mangufuli