"NILITEGEMEA WAZIRI MKUU ATAJIUZULU, HUWEZI KUWA WAZIRI MKUU HALAFU UNAPUUZWA" MPINA BUNGENI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 18 апр 2024
  • Mbunge wa Jimbo la Kisesa Mhe. Luhaga Mpina leo april 19,2024 amesimama Bungeni Jijini Dodoma kuchangia hoja kwenye bajeti ya makadirio ya mapato ya mwaka wa Fedha 2024/2025 ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. George Simbachawene ambapo Katika mchango wake amegusia suala la baadhi ya watumishi ambao hawafuati maelekezo ya Waziri mkuu Mhe. Kassim Majaliwa
    / @wasafi_media
    WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

Комментарии • 212

  • @luganomwaigomole7441
    @luganomwaigomole7441 29 дней назад +62

    AKILI KUBWA ILIYOBAKIA NDANI YA CCM❤

    • @Henricovicent
      @Henricovicent 29 дней назад +1

      Akisha teuliwa tu kuwa Waziri hiyo Akili kubwa unayoiyona sasa hivi hapo. Utaiyona tena! 😂😂😂😂😅😅😅😅

    • @MrTop-wj7no
      @MrTop-wj7no 27 дней назад +1

      ​@@Henricovicentkabisa😂😂😂😂

    • @yusufuheri6524
      @yusufuheri6524 18 дней назад

      Yahni​@@Henricovicent

  • @johnmwanyika
    @johnmwanyika 29 дней назад +25

    MH. MPINA WEWE UKO NA UWEZO MKUBWA.

  • @unclesammykaniki1184
    @unclesammykaniki1184 28 дней назад +7

    Mungu akulinde sana Mheshimu Mbunge MPINA.

  • @jumawaziri8501
    @jumawaziri8501 29 дней назад +43

    mungu ampe ulinzi huyu jamaa

    • @user-eo4bl3do8k
      @user-eo4bl3do8k 28 дней назад +1

      Ulinzi ni lazima kwa huyu mpina huyu ni lissu wa pili lazima alindwe

  • @ladislausmoris9638
    @ladislausmoris9638 29 дней назад +15

    Mzee mpina mungu akupe maisha marefuuuuu

  • @user-zc2ms4wl6r
    @user-zc2ms4wl6r 29 дней назад +21

    Wewe nichuma kweli unafaa ukweli unauma sema kweli huo ndio uongozi naniukweli mtupu

  • @paulclementmakune3661
    @paulclementmakune3661 29 дней назад +24

    Jamaa anahoja sana

  • @victorjames3730
    @victorjames3730 29 дней назад +29

    Badala ya kushugulikia hoja zake watamshugulikia Yeye

  • @deoluma1706
    @deoluma1706 29 дней назад +25

    Hii ndo machine ilobaki ccm tu.

  • @user-rg5sg1xz8p
    @user-rg5sg1xz8p 29 дней назад +18

    Tatizo hao wezako awaupendi ukweli kabisa 🎉🎉🎉

    • @awadhally1052
      @awadhally1052 29 дней назад +1

      Kwel kabisaa tuna maviongozi majizi makubwa sanaaaaa.

    • @mkamamoris9415
      @mkamamoris9415 28 дней назад +2

      Ubaya Kuna wanao jua uongoz na Kuna wanao jua Zaid maan ya uongoz huy jamaa anajua Zaid maan ya uongoz

  • @uredmwasembo8579
    @uredmwasembo8579 29 дней назад +25

    Makonda na uyu jamaa akika mungu awape maisha malefu ni azina kubwa saba

    • @eliasakhamisi7947
      @eliasakhamisi7947 29 дней назад +1

      Eti makonda we umerogwa

    • @mwanache
      @mwanache 29 дней назад +1

      Haya ndio maneno ya watu ambao akili zao ziMekonda… huwezi fananisha akili kubwa na akili ndogo🤷🏿‍♂️ Akili inayoongelea mawazo makubwa na kutatua matatizo ya wananchi SIO Sawa na akili ya kupiga majungu 🤷🏿‍♂️😡

    • @mussamussa8181
      @mussamussa8181 28 дней назад +1

      Makonda wa nn sa apo

  • @angelsgabriely3575
    @angelsgabriely3575 29 дней назад +22

    Safi sana mpina,..anaongea kwa machungu na hasra kutokana na anavyoona mambo ya hovyo yakiendelea lazma asiwe mpole kwan anaona waz nchi inaelekea kubaya

  • @MasoudyMichael-ox7xl
    @MasoudyMichael-ox7xl 29 дней назад +24

    Huyu ndiyo tukipost tuweke hashtag😅

    • @nsajigwamwakyambiki5361
      @nsajigwamwakyambiki5361 22 дня назад

      Kweli Taifa ili liende mbele zaidi lazima liwe na watu wanaokubali kuongelea ukweli sio kusifiana tu na unafiki watu wanakula fedha za umma alafu vyombo usika vipo tu ,uchumi wetu utakuwa unakuwa kwa kasi ndogo coz pesa hazifiki maeneo yanayo lengwa

  • @simonhussein4848
    @simonhussein4848 29 дней назад +14

    AKILI KUBWA SANA, HUYU NDIYO MEAMBA. CHAKUSHANGAZA, BUNGE LIJALO ANAWEZA ASIRUDI MJENGONI

  • @user-qx5mq6un7e
    @user-qx5mq6un7e 29 дней назад +18

    Big brain 🤯🤯 Mpina

  • @richiewinner4079
    @richiewinner4079 29 дней назад +15

    Mtu wa kwanza kumsikia akitoa hoja na kuacha kusifia mama Samia kinafki. Hongera kwake

  • @angelsgabriely3575
    @angelsgabriely3575 29 дней назад +18

    Kwel kabsa,.,wanachaguana kwa kujuana!..wabadilike

  • @BrayJuma-lo1rd
    @BrayJuma-lo1rd 26 дней назад +4

    Jamaangu yupo vizuri sana tatizo wahusika wahusika nae badala ata jina lisirudu

  • @braystuskibassa3842
    @braystuskibassa3842 29 дней назад +8

    TANZANIA inaweza kupoteza heshima yake soon kama ni kweli mambo yako hivo

  • @stewartmdebe4314
    @stewartmdebe4314 29 дней назад +7

    Jembe la ukweli tanzania ni wachache sana MUNGU ampe ulinzi

  • @rashidingole1588
    @rashidingole1588 29 дней назад +9

    Hii nchi ngumu San, Kuna watu wanakula San hela za nchi, wakat raia huku wanateseka

  • @ramadhani-khamisi134
    @ramadhani-khamisi134 29 дней назад +9

    Uzalendo ni pamoja na kutoa mawazo positive kama hayo Hongera sana mh.mpina.

  • @user-dr1su7pf7w
    @user-dr1su7pf7w 28 дней назад +7

    wasukuma mnaakili sana cjui manakula sana vichwa vya samaki ? mungu awainue tuje tupate tena raisi wa kutoka kanda ya ziwa , mh mpina mungu akuweke

    • @Mpakauseme
      @Mpakauseme День назад

      Sasa hapo wanaongea wasukuma au anaongea Mpina ? wewe kweli mweu

  • @emmasonanjawe9042
    @emmasonanjawe9042 27 дней назад +2

    Huyu mpina mi namuelewa sana hongera mh.mpina

  • @johnmwanyika
    @johnmwanyika 29 дней назад +7

    MH. MPINA HONGERA MNO, UWEZO WAKO WA KUCHAMBUA HOJA NA UFAHAMU WA MAMBO SIO WA KAWAIDA.
    WATAKUELEWA TU WALE AMBOA NAO NI WATU WENYE UWEZO WA KUFIKIRI MAKUBWA KAMA WEWE

  • @augustinesombi6285
    @augustinesombi6285 29 дней назад +21

    Umeongea point Mh.

  • @JacksonLendoye
    @JacksonLendoye 29 дней назад +7

    🎉 well done mpina

  • @shijandobehe4953
    @shijandobehe4953 28 дней назад +4

    Daaah huyu mwamba ni hatariiii 😢😢😢

  • @makoyejohn3930
    @makoyejohn3930 29 дней назад +6

    Huyu kiongozi apatiwe ulinzi

  • @oscarkallinga8343
    @oscarkallinga8343 29 дней назад +7

    Big up Luhaga mpina.Chuma sana huyu jamaa.na kwavile sisemu hawapendagi mwana sisiem kupinga serikali, huyu jamaa mwakani wanaweza kumuengua asigombee ubunge.maana walishamuita kamati ya nidhamu wilaya.

  • @mapoluchalya280
    @mapoluchalya280 23 дня назад +1

    safi Sana,Moja ya mbunge anaepaswa kuwa ata waziri kisa tu ni msukuma cjui mmmh,kisesa tunakuhitaj tena

  • @salimmwabundu958
    @salimmwabundu958 28 дней назад +4

    So powerfull

  • @johnmwanyika
    @johnmwanyika 29 дней назад +16

    Hata, Prof. Hakuweza kukutoa kwenye mstari. Wewe ni mfano wa kuigwa. Umejipambanua vyema na umeeleweka vzr

  • @EliaKaspaly
    @EliaKaspaly 28 дней назад +2

    Huyu mzee anaongea kweli na anauchungu na nchi yake

  • @sillahnjau9205
    @sillahnjau9205 24 дня назад +1

    katika wabunge wote wa ccm yu ndio mwenye uchungu na hii nchi n watanzania wanyonge mungu kabubariki mkuu

  • @LUBAINAMOHDRAJAB
    @LUBAINAMOHDRAJAB 29 дней назад +12

    Hizo taarifa zinakuwa ni kero hatuzitaki akiwa anazungumza Mpina mwacheni amwage madini tusikie ukweli.

  • @danielamosi6871
    @danielamosi6871 28 дней назад +5

    Akili kubwa

  • @PascalMbwilo-vh5rn
    @PascalMbwilo-vh5rn 26 дней назад +3

    Hawa ndo watu tunawahtaj Tz apa

  • @user-rg7se7qj5v
    @user-rg7se7qj5v 29 дней назад +8

    Kitila mkumbo na naibu spika kila wakati taarifa ht kwenye mambo ya muhimu ama tabia hizo ni kero kwa watz kumbuka mnalipwa kodi zetu.

    • @user-eo4bl3do8k
      @user-eo4bl3do8k 28 дней назад

      Mkumbo ni kumbo kama Jina lake lilivyo ni CHAWA DUME LIMESALITI CHAMA CHAKE CHA CHADEMA

    • @user-fm2ly8gj6u
      @user-fm2ly8gj6u 27 дней назад

      ni machawa

  • @user-de2rg9kk7u
    @user-de2rg9kk7u 28 дней назад +1

    HAPO NAMUONA my friend Shigongo Eric Shigongo

  • @user-ci5ux1jd6n
    @user-ci5ux1jd6n 25 дней назад +1

    Mtoto wa kimaskini aliebaki kutetea wenzake ndani ya ccm 🔥

  • @bogoheidaso2628
    @bogoheidaso2628 14 дней назад

    Hongera sana mpina

  • @katapaj2336
    @katapaj2336 28 дней назад +1

    Mpina nenda chadema uwafundishe ww noma❤❤❤❤❤❤

  • @user-mi3bi3fj3s
    @user-mi3bi3fj3s 28 дней назад +1

    Nakuelewa sanaa Mpina piga kazi

  • @user-rn9og1rk3l
    @user-rn9og1rk3l 28 дней назад +4

    Hata kama mimi siyo mwanasisiemu ila huyu jamaa ni saluti

  • @user-nt4mw7zm7d
    @user-nt4mw7zm7d 29 дней назад +5

    Yaani huyu amewaza vyema

  • @aliyageorge6794
    @aliyageorge6794 28 дней назад +1

    Leadership..
    HAKUNA!

  • @michaelboniface7003
    @michaelboniface7003 27 дней назад +1

    Fact

  • @eliakanyika4921
    @eliakanyika4921 28 дней назад +2

    Mpina🎉🎉🎉

  • @KulwaSamson
    @KulwaSamson 27 дней назад +1

    Mimi binafisi naomba viongozi wanao pewa dhamana yakuongoza wawe wakali mahana watu wanajisaau sana nandomaana mama anawabadilisha sana anataka aone watu wanafanya kazi kiukweli raisi wetu anaitaji viongozi wenye kauli nakujiamin nakutendea aki wadhifa walio pewa wasikae maofisin bari wapote kwenye sekita walio pewa Mungu awajalie viongozi wangu muwe namisimamo watu huwa wanavitisho sana msiviogope

  • @emmanuelkamoli8215
    @emmanuelkamoli8215 23 дня назад

    Nice Mpina

  • @najmamussa
    @najmamussa 10 дней назад

    Nafasi ya ubunge anaitumia vizuri lakini akipata nafasi ya kuwa waziri atakuwa kama si mpina uliye aliye kuwa wa moto enzi ya ubunge

  • @bahatimtatah5680
    @bahatimtatah5680 23 дня назад

    Jamaa anapiga kwenye mshono hongera sana msukuma

  • @AntonyDova
    @AntonyDova 28 дней назад +1

    MUNGU akulinde sana

  • @abdulikilala5902
    @abdulikilala5902 28 дней назад +1

    Sawa

  • @user-lr1sd3wq4d
    @user-lr1sd3wq4d 26 дней назад +1

    Hizo taarifa hazinaga hata maana wanatukoseshea muendelezo mzuri wa maada halafu pia wanamkosesha msemaji muelekeo

  • @anosiata8242
    @anosiata8242 28 дней назад +1

    Mpina yuko vizuri.

  • @athumanmbelako4317
    @athumanmbelako4317 20 дней назад

    Uko vzr mzee

  • @mussamuna900
    @mussamuna900 28 дней назад +1

    Huyu jamaa wangekua wanamsikiliza bunge lingekua mbali sana

  • @KudraJKabwali
    @KudraJKabwali 23 дня назад

    Mh sawa hongera sana mbuge kuchangia mawazo mazur

  • @AntonyDova
    @AntonyDova 28 дней назад +1

    Unaakili sana kaka

  • @TwahaMpakani-pn4ov
    @TwahaMpakani-pn4ov 28 дней назад +1

    Kwenye hii nchi mtu akiwa anasema ukweli anakua anachekesha wabunge wanamcheka ndiyo nchi yetu hiyo

  • @aliyageorge6794
    @aliyageorge6794 28 дней назад +1

    Hakuna leadership...

  • @josephmallya5525
    @josephmallya5525 29 дней назад +2

    Karibu chadema kaka ccm ni sikio la kufa

  • @annarisetarzan6509
    @annarisetarzan6509 28 дней назад +1

    Mpina wwe ni noma nakukubali sana 🎉

  • @kalebphilip3426
    @kalebphilip3426 29 дней назад +4

    Huyu jamaa Ni mkwel yaan hii serikal Ni pasua kichwa hawana jpya Zaid ya kilindana tu

  • @user-gc1ez1yv4k
    @user-gc1ez1yv4k 29 дней назад +8

    Mpina hadi kwenye buu kapiga.Waziri mkuu anatakiwa.awe mkali.Ndiyo mtendaji mkuu.wa serilali.Hayuko makini,kilw siku ni kuvaa na kupendeza tu.

    • @Mpakauseme
      @Mpakauseme День назад

      Pole sana ni kwasababu hamfahamu systems ya waliondani ya serikali kwakupitia vyama , hivyo raia wengi uwatatiza kwakuwa vipofu , ukishindwa kung'amua utawala wa mataifa na taifa ni bora unyamaze kishaujitafutia chakula cha siku ili usukume siku li wazi wewe ni resources tu ya watawala

  • @dicksonlusinde2830
    @dicksonlusinde2830 24 дня назад

    watanzania hatutaki mambo yavyama ila tunataka watu kama mpina mm ccm sijawahi kuielewa ila akitokea mt ndan ya ccm kama mpina ❤❤

  • @warakawayohana2896
    @warakawayohana2896 28 дней назад +1

    Mpina yuko sawa kabisa

  • @eliakanyika4921
    @eliakanyika4921 28 дней назад +1

    Nenda chadema uwe huru mpina😊

  • @johniejohnas4690
    @johniejohnas4690 28 дней назад +1

    One and only

  • @ibrahimkibira9943
    @ibrahimkibira9943 29 дней назад +2

    Akili kubwa mbunge pekee wa ccm anayejielewa

  • @user-hj4bc5uh2x
    @user-hj4bc5uh2x 28 дней назад

    Mi nilijua tuh na nnamuimba mungu wajekina makufuri zaidiyahawa mungu awapemaisha malefu

  • @dr.johnsonnyamohanga6147
    @dr.johnsonnyamohanga6147 18 дней назад

    akagombee tu "URAIS " maana alishapata pa kuanzia kusgughulika na hii Nchi.

  • @reginas1832
    @reginas1832 29 дней назад +4

    Pokea maua yako 🎉

  • @sambulugu9988
    @sambulugu9988 29 дней назад +2

    Kitila hovyo sana! Anajitiaga mjuaji kumbe debe tupu!

  • @lugelosanga5798
    @lugelosanga5798 28 дней назад +1

    Wee cjaona akijikomba kwa mama sio mingne mama mama mda wote big brain

  • @saidomary8796
    @saidomary8796 29 дней назад +2

    Sijui kama litaludi labda

  • @rweumbizalugaimukamu4905
    @rweumbizalugaimukamu4905 29 дней назад +2

    Mpina tumpe uwaziri mkuu

  • @user-ij6eo6pq6z
    @user-ij6eo6pq6z 28 дней назад +1

    Tundu lissu aliongea hilo lakini naona leo zimewaingia akilini

  • @CharlesSimkoma
    @CharlesSimkoma 26 дней назад +1

    Madhara ya bunge la chama kimoja

  • @peterdaud5669
    @peterdaud5669 22 дня назад

    Nakupenda mpina unaweza

  • @user-fw8wm2xd8x
    @user-fw8wm2xd8x 19 дней назад

    Asant mpina hyo serikali ya ccm imekosa mwelekeo rais anapelekewa watu wanaokunywa nao bia

  • @NoelKiwike-wc8wh
    @NoelKiwike-wc8wh 28 дней назад +1

    Namuona chadema msimu ujao luhaga mpina

  • @nickitajili1003
    @nickitajili1003 29 дней назад +4

    😂uko sahihi. Katiba ya warioba

  • @user-fl7xf5ti8z
    @user-fl7xf5ti8z 8 дней назад

    Hao waliopuuza maagizo ya waziri mkuu,wako nyuma ya nani

  • @barakaephraim5481
    @barakaephraim5481 23 дня назад

    Strong man

  • @alluminiumexperttz.12mview13
    @alluminiumexperttz.12mview13 22 дня назад

    Huyu bwana alotoa taarifa kwamba teuzi zipo kwa mujibu wa sheria anadhani kwamba Mpina hajui??

  • @jamesnyibe5656
    @jamesnyibe5656 26 дней назад

    Huwezi kuwa waziri mkuu Halaf maagizo yako yanapuuzwa Mpina mungu akutangulie kiongozi wetu

  • @emmasonanjawe9042
    @emmasonanjawe9042 27 дней назад +1

    Ila zungu anazingua sana

  • @dr.johnsonnyamohanga6147
    @dr.johnsonnyamohanga6147 18 дней назад

    Moja kati ya wasomi ambao haya ni matokeo ya wasomi ambao walikuwa hawaingii na vibomu kwenye mitihani yao!!#

  • @francismigongwa4146
    @francismigongwa4146 24 дня назад

    Mh Luhaga uko vzr

  • @michaelmabula7444
    @michaelmabula7444 29 дней назад

    Nchi inakoelekea tuo❤mbe mabsdiliko ndani ya CCM mpya

  • @habarinamatukio6148
    @habarinamatukio6148 25 дней назад

    Imekuwaje Ccm wameanza kuhoji mambo ya maana

  • @newbornhaule
    @newbornhaule 18 дней назад

    MUNGU MLINDE MTUMISHI WAKO KIJANA MAKINI MWENYE IMANI THABITI

  • @habarinamatukio6148
    @habarinamatukio6148 25 дней назад

    Hii taarifa ya prof ovyo mno

  • @evancykashaga6576
    @evancykashaga6576 23 дня назад

    Itaifa ina umiza sana sana kwakweli tumechoka ata kuomba

  • @albertbunyinyiga7581
    @albertbunyinyiga7581 25 дней назад

    Wazalendo bado wengine big mpina

  • @barakaephraim5481
    @barakaephraim5481 23 дня назад

    Mpina forever

  • @mlyambisipaul8399
    @mlyambisipaul8399 29 дней назад

    He is very smart person ever