"NILITEGEMEA WAZIRI MKUU ATAJIUZULU, HUWEZI KUWA WAZIRI MKUU HALAFU UNAPUUZWA" MPINA BUNGENI
HTML-код
- Опубликовано: 18 апр 2024
- Mbunge wa Jimbo la Kisesa Mhe. Luhaga Mpina leo april 19,2024 amesimama Bungeni Jijini Dodoma kuchangia hoja kwenye bajeti ya makadirio ya mapato ya mwaka wa Fedha 2024/2025 ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. George Simbachawene ambapo Katika mchango wake amegusia suala la baadhi ya watumishi ambao hawafuati maelekezo ya Waziri mkuu Mhe. Kassim Majaliwa
/ @wasafi_media
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
AKILI KUBWA ILIYOBAKIA NDANI YA CCM❤
Akisha teuliwa tu kuwa Waziri hiyo Akili kubwa unayoiyona sasa hivi hapo. Utaiyona tena! 😂😂😂😂😅😅😅😅
@@Henricovicentkabisa😂😂😂😂
Yahni@@Henricovicent
MH. MPINA WEWE UKO NA UWEZO MKUBWA.
Mungu akulinde sana Mheshimu Mbunge MPINA.
mungu ampe ulinzi huyu jamaa
Ulinzi ni lazima kwa huyu mpina huyu ni lissu wa pili lazima alindwe
Mzee mpina mungu akupe maisha marefuuuuu
Wewe nichuma kweli unafaa ukweli unauma sema kweli huo ndio uongozi naniukweli mtupu
Jamaa anahoja sana
Badala ya kushugulikia hoja zake watamshugulikia Yeye
😂😂😂
Yaan ni kweli kabisa
Umeongea fact
yaan
😢😢😢😢😢 So sad haki daaah
Hii ndo machine ilobaki ccm tu.
Tatizo hao wezako awaupendi ukweli kabisa 🎉🎉🎉
Kwel kabisaa tuna maviongozi majizi makubwa sanaaaaa.
Ubaya Kuna wanao jua uongoz na Kuna wanao jua Zaid maan ya uongoz huy jamaa anajua Zaid maan ya uongoz
Makonda na uyu jamaa akika mungu awape maisha malefu ni azina kubwa saba
Eti makonda we umerogwa
Haya ndio maneno ya watu ambao akili zao ziMekonda… huwezi fananisha akili kubwa na akili ndogo🤷🏿♂️ Akili inayoongelea mawazo makubwa na kutatua matatizo ya wananchi SIO Sawa na akili ya kupiga majungu 🤷🏿♂️😡
Makonda wa nn sa apo
Safi sana mpina,..anaongea kwa machungu na hasra kutokana na anavyoona mambo ya hovyo yakiendelea lazma asiwe mpole kwan anaona waz nchi inaelekea kubaya
Huyu ndiyo tukipost tuweke hashtag😅
Kweli Taifa ili liende mbele zaidi lazima liwe na watu wanaokubali kuongelea ukweli sio kusifiana tu na unafiki watu wanakula fedha za umma alafu vyombo usika vipo tu ,uchumi wetu utakuwa unakuwa kwa kasi ndogo coz pesa hazifiki maeneo yanayo lengwa
AKILI KUBWA SANA, HUYU NDIYO MEAMBA. CHAKUSHANGAZA, BUNGE LIJALO ANAWEZA ASIRUDI MJENGONI
Kabsa mwamba anajua sana
Big brain 🤯🤯 Mpina
Mtu wa kwanza kumsikia akitoa hoja na kuacha kusifia mama Samia kinafki. Hongera kwake
Apewe maua yake asubuhi na mapema
Kwel kabsa,.,wanachaguana kwa kujuana!..wabadilike
Spina iyooo
Jamaangu yupo vizuri sana tatizo wahusika wahusika nae badala ata jina lisirudu
TANZANIA inaweza kupoteza heshima yake soon kama ni kweli mambo yako hivo
Jembe la ukweli tanzania ni wachache sana MUNGU ampe ulinzi
Hii nchi ngumu San, Kuna watu wanakula San hela za nchi, wakat raia huku wanateseka
Uzalendo ni pamoja na kutoa mawazo positive kama hayo Hongera sana mh.mpina.
wasukuma mnaakili sana cjui manakula sana vichwa vya samaki ? mungu awainue tuje tupate tena raisi wa kutoka kanda ya ziwa , mh mpina mungu akuweke
Sasa hapo wanaongea wasukuma au anaongea Mpina ? wewe kweli mweu
Huyu mpina mi namuelewa sana hongera mh.mpina
MH. MPINA HONGERA MNO, UWEZO WAKO WA KUCHAMBUA HOJA NA UFAHAMU WA MAMBO SIO WA KAWAIDA.
WATAKUELEWA TU WALE AMBOA NAO NI WATU WENYE UWEZO WA KUFIKIRI MAKUBWA KAMA WEWE
Umeongea point Mh.
🎉 well done mpina
Daaah huyu mwamba ni hatariiii 😢😢😢
Huyu kiongozi apatiwe ulinzi
Big up Luhaga mpina.Chuma sana huyu jamaa.na kwavile sisemu hawapendagi mwana sisiem kupinga serikali, huyu jamaa mwakani wanaweza kumuengua asigombee ubunge.maana walishamuita kamati ya nidhamu wilaya.
safi Sana,Moja ya mbunge anaepaswa kuwa ata waziri kisa tu ni msukuma cjui mmmh,kisesa tunakuhitaj tena
So powerfull
Hata, Prof. Hakuweza kukutoa kwenye mstari. Wewe ni mfano wa kuigwa. Umejipambanua vyema na umeeleweka vzr
Huyu mzee anaongea kweli na anauchungu na nchi yake
katika wabunge wote wa ccm yu ndio mwenye uchungu na hii nchi n watanzania wanyonge mungu kabubariki mkuu
Hizo taarifa zinakuwa ni kero hatuzitaki akiwa anazungumza Mpina mwacheni amwage madini tusikie ukweli.
Akili kubwa
Hawa ndo watu tunawahtaj Tz apa
Kitila mkumbo na naibu spika kila wakati taarifa ht kwenye mambo ya muhimu ama tabia hizo ni kero kwa watz kumbuka mnalipwa kodi zetu.
Mkumbo ni kumbo kama Jina lake lilivyo ni CHAWA DUME LIMESALITI CHAMA CHAKE CHA CHADEMA
ni machawa
HAPO NAMUONA my friend Shigongo Eric Shigongo
Mtoto wa kimaskini aliebaki kutetea wenzake ndani ya ccm 🔥
Hongera sana mpina
Mpina nenda chadema uwafundishe ww noma❤❤❤❤❤❤
Nakuelewa sanaa Mpina piga kazi
Hata kama mimi siyo mwanasisiemu ila huyu jamaa ni saluti
Yaani huyu amewaza vyema
Leadership..
HAKUNA!
Fact
Mpina🎉🎉🎉
Mimi binafisi naomba viongozi wanao pewa dhamana yakuongoza wawe wakali mahana watu wanajisaau sana nandomaana mama anawabadilisha sana anataka aone watu wanafanya kazi kiukweli raisi wetu anaitaji viongozi wenye kauli nakujiamin nakutendea aki wadhifa walio pewa wasikae maofisin bari wapote kwenye sekita walio pewa Mungu awajalie viongozi wangu muwe namisimamo watu huwa wanavitisho sana msiviogope
Nice Mpina
Nafasi ya ubunge anaitumia vizuri lakini akipata nafasi ya kuwa waziri atakuwa kama si mpina uliye aliye kuwa wa moto enzi ya ubunge
Jamaa anapiga kwenye mshono hongera sana msukuma
MUNGU akulinde sana
Sawa
Hizo taarifa hazinaga hata maana wanatukoseshea muendelezo mzuri wa maada halafu pia wanamkosesha msemaji muelekeo
Mpina yuko vizuri.
Uko vzr mzee
Huyu jamaa wangekua wanamsikiliza bunge lingekua mbali sana
Mh sawa hongera sana mbuge kuchangia mawazo mazur
Unaakili sana kaka
Kwenye hii nchi mtu akiwa anasema ukweli anakua anachekesha wabunge wanamcheka ndiyo nchi yetu hiyo
Hakuna leadership...
Karibu chadema kaka ccm ni sikio la kufa
Mpina wwe ni noma nakukubali sana 🎉
Huyu jamaa Ni mkwel yaan hii serikal Ni pasua kichwa hawana jpya Zaid ya kilindana tu
Mpina hadi kwenye buu kapiga.Waziri mkuu anatakiwa.awe mkali.Ndiyo mtendaji mkuu.wa serilali.Hayuko makini,kilw siku ni kuvaa na kupendeza tu.
Pole sana ni kwasababu hamfahamu systems ya waliondani ya serikali kwakupitia vyama , hivyo raia wengi uwatatiza kwakuwa vipofu , ukishindwa kung'amua utawala wa mataifa na taifa ni bora unyamaze kishaujitafutia chakula cha siku ili usukume siku li wazi wewe ni resources tu ya watawala
watanzania hatutaki mambo yavyama ila tunataka watu kama mpina mm ccm sijawahi kuielewa ila akitokea mt ndan ya ccm kama mpina ❤❤
Mpina yuko sawa kabisa
Nenda chadema uwe huru mpina😊
One and only
Akili kubwa mbunge pekee wa ccm anayejielewa
Mi nilijua tuh na nnamuimba mungu wajekina makufuri zaidiyahawa mungu awapemaisha malefu
akagombee tu "URAIS " maana alishapata pa kuanzia kusgughulika na hii Nchi.
Pokea maua yako 🎉
Kitila hovyo sana! Anajitiaga mjuaji kumbe debe tupu!
Wee cjaona akijikomba kwa mama sio mingne mama mama mda wote big brain
Sijui kama litaludi labda
Mpina tumpe uwaziri mkuu
Tundu lissu aliongea hilo lakini naona leo zimewaingia akilini
Madhara ya bunge la chama kimoja
Nakupenda mpina unaweza
Asant mpina hyo serikali ya ccm imekosa mwelekeo rais anapelekewa watu wanaokunywa nao bia
Namuona chadema msimu ujao luhaga mpina
😂uko sahihi. Katiba ya warioba
Hao waliopuuza maagizo ya waziri mkuu,wako nyuma ya nani
Strong man
Huyu bwana alotoa taarifa kwamba teuzi zipo kwa mujibu wa sheria anadhani kwamba Mpina hajui??
Huwezi kuwa waziri mkuu Halaf maagizo yako yanapuuzwa Mpina mungu akutangulie kiongozi wetu
Ila zungu anazingua sana
Moja kati ya wasomi ambao haya ni matokeo ya wasomi ambao walikuwa hawaingii na vibomu kwenye mitihani yao!!#
Mh Luhaga uko vzr
Nchi inakoelekea tuo❤mbe mabsdiliko ndani ya CCM mpya
Imekuwaje Ccm wameanza kuhoji mambo ya maana
MUNGU MLINDE MTUMISHI WAKO KIJANA MAKINI MWENYE IMANI THABITI
Hii taarifa ya prof ovyo mno
Itaifa ina umiza sana sana kwakweli tumechoka ata kuomba
Wazalendo bado wengine big mpina
Mpina forever
He is very smart person ever