Dakika 35 za Bashe bungeni, Madiwani wa CCM, maofisa ushirika watatu waswekwa ndani Tabora
HTML-код
- Опубликовано: 2 май 2024
- Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe amesema Madiwani wawili wa CCM pamoja na maofisa ushirika watatu wamekamatwa kwa madai ya kuendesha biashara ya kangomba kwenye zao la tumbaku.
Akihitimisha hoja ya makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Kilimo kwa mwaka 2024/25, leo Ijumaa, Mei 3, 2024, Waziri Bashe amesema anamshukuru Mkuu wa Mkoa wa Tabora kwa kuwakamata watu hao.
Hongera sn M.bashe ALLAH akujalie Afya na Uhai mlefu uzidi kuchapa kazi uwasaidie wakulima wanakutegemea sn nakuombea ALLAH akupe ulizi vita hii ni kali
Mungu akulinde na kukuwezesha zaidi Mh. Bashe tupo pamoja kukuombea!
Tukipata mawaziri kama hawa ninauhakika baada ya miaka kumi tu nchi hii haitakopa itakopesha. Asante mweshimiwa Mungu akulinde na ufanikiwe katika mipango yako yote amina
Wewe ni Mtu na Nusu . Big up, wanaoendesha vita dhidi yako Mkono wa Mungu ukutane nao.
Ongera sana mheshima waziri uko vizuri.
Mh. Bashe bado kwangu wewe ni kiongozi sahih sana kwangu. Unapambania haki na siyo maslai binafsi. Mungu akujalie afya na uzima kila iitwapo leo
Uko vizuri sana mheshimiwa waziri, endelea kupambanua wakulima
Asante bb mungu akulinde kaz njema
Huyu Ndo Waziri wangu wa Mda wote...zonal processing and packaging Centres ndo uelekeo mzuri tutaongeza Tijaa.
HONGERA BASHE. MUNGU AKUSIMAMIE. TANZANIA NI TAJIRI LAKINI KUNA WEZI WANAOJITAJIRISHA KWA KUWAIBIA WANYONGE.
Jamaa yuko vzr sana. Napenda sana speech zake na arguments zake. Allah Amjalie zaidi
Nakukubali sana mweshimiwa tuko nawewe pamoja
Mungu aendelee kukulinda na kukubariki
Hongera mweshimiwa Bashe,Mungu akulinde
Mimi Niko Burundi big up Bashe Enzi za Hayati magufuri hujawahi kuongea uongo uko vuzuri pande zote
Bashe mungu akubarik San hakuna wazir ambae ameiweza hiyo wizara zaid yako
Hiyo ya Tabora Bigup Waziri, tupa ndani wengine waliobaki
Nakuelewa Sana waziri bashe
Mh. Bashe ana hofu ya Mungu tofauti na mawaziri wengine. Mungu akulinde mh Waziri wa kilimo.
Wizara ya kilimo Sasa Ina waziri sahihi. Hafanyi siasa bali anafanya kazi. Mungu akulinde na kukubariki Hussein Bashe.
Jamaa upo vizur sana
Our role model for next government❤
Mumgu akulinde wasikudhuru umetetea mamilion ya wakulima walizokua wanakula watu wachache
Mungu akulinde muheshimiwa your a good leader
Allah awajaalie kheri
Safi mungu akupe maisha marefu songwe wakulima tumenyanyasiki tunyanyasika kwenye uuzaji wa ufuta
Hongera bashe tukomboa baba
Hongera sana hon bashe. tunakuamini sanaa💪
Bashe nakuamini
Hongera kwa utendaji uliotukuka,
Ila kimombo umezidi mno
Wizara imepata Waziri sahihi sanaaa ,wezi hawana nafasi kabisa ❤❤❤
Anastahili kuwa waziri Mkuu2025
Waziri mtu wa maana kabisa kukuwatetea wakulima natamani mama akulete kua waziri wa biashara na viwanda uje ututete maana huyu wasasa yupo yupo tu hata kutetea wafanya bishara anashundwa wafanyabiashara wako icu kwa hiizi kamatakamata za tra hasa kariakoo ni too much yaani rushwa na uonevu unyanyasaji mtupu
Safii Sana waziri bashe
Very good, smart minister
Mungu akulinde Hussein.
Choma sindano inauma lakini ndani kuna dawa.
Bashe is the only Minister I can be proud of! Smart brain!
Mawaziri wote wangekuwa ksma Bashe tungefika mbali sana
Waziri nipo masasi tuoneeni huruma wanacho tufanyia mumogope mungu
Umeisahau 20 ya elimu
Ongela mungu yukonawe
Hongera ! Sense
Go ahead Mr.
Asante Rais wa United Republic of Tanzania kumchagua Waziri kama huyu ni wa kupigiwa mfano mkubwa.
Good work
🎉
Bashe unafaa Sana bila unafiki
Hua watu wenye asir ya Somalia wana akir San hongera bashe umetuvusha pabaya
Tatizo sio akili ndugu yangu ni roho mbaya,kujali Sana nafsi yako kuona I astahili zaidi hao wengine watajua wenyewe
Hakuna Cha Maana,Maisha ya Mkulima bado ni mabovu Sana,Bashe ni mwongeaji mzuri Lakini yanayoongewa hayaendani na ukweli,
Sisi wengine tumelipia huu mwaka na miezi hatujapata vibali vya ujenzi😢
Hapo hakuna waziri wa hovyo sana
Mawaziri wanapaswa kuwa kama Mh.Hussein Bashe. Na si vinginevyo.
nikweli tumepata waziri Bora wa kilimo
Cha msingi yasemwayo yafanyike
Kwa ufupi me kama mdau wa biashara hiyo ya mazao cjawaelewa viongozi wangu wa halimashauri ya nzega vjijini kwa mfumo huo wa kuchaji/kutoza ushuru kuanzia gunia 1, serikali mtusaidie/muingilie kati. Hatuwaeli hawa watu.
jamani samahan naomba kueleweshwa hapo aliposema vyuo vya kilimo vitafutwa kwaiyo corz ya agriculture ndo haitakuwepo tena?
Umeongea vizuri waziristan,lakini hujagusia mahindi maana mwaka huu mahindi ni mengi mno yatauzwa wapi na kwa bei gani?
Katika viongozi naowaelewa kwa sasa baada ya marehem magufuli kufarik n ww mh bashe,endelea kupambana kiongoz najua utapitia mambo magumu ila ipo siku utakuwa umeokoa maisha ya wanyonge tanzania
Round up should be forbidden !!!!
KAMA UNA WAZIRI MWENYE UCHUNGU KAMA HUYU. TANZANIA TUNAKWENDA.
H
Hakika umedhamilia uungwe mkono.
Sasa cha watu weusi baadae watajenga hoja tena eti anawakoromea wezi na watamtugenezea zengwe na watasikilizwa na atahamishwa au kupuzishwa
Mbona zao la katan mumelisahau
Semaaa
CCM OYEE, KUMBE MAJAMBAZI NA MAJIZI KTK KIVULI CHA CCM
Maskini tunavyoteseka wakulima wakulima wa korosho da mwenyezi mungu tuhukumie
Hatimae rombo tumefikiwa😅😅
Waziri unaongea Sana, maneno yako hayana utekelezaji, uku kusini kwa wakulima wakorosho, wanapigwa, na vyama vya ushirika pamoja na halmashauri,zao, ukifika msimu wa mauzo ya korosho, kila mtendaji halmashauri, usika Ana buni ukataji wa fedha, katika kilo moja .
Kwan ushuru wa gunia/roba 1 iliyobebwa kwa basikel hujasikia huko wilayani kwako kwenye jimbo la kigwangara. Aibu kweli kweli, apo napo kuna viongozi majambazi tu, madiwan tukiwauliza wanarushia tu mara mwenyekit wa madiwa, mara mkurungezi. Je sheria hii ya kuchaji gunia 1 wameitoa nchi gani?
anacho ongea bashe kimetokea mtaa so wakulima tumefeel kwenye mbolea ongera sana
Kilimo cha Tanzania naona kinapata dawa sasa
Rudisha misitu yetu iliyouzwa kwa waarabu tafadhali.Hizi ni pesa za umma zilizowekezwa kwa miaka mingi sana. Si sahihi.
Sasa yeye ana husika vp na misitu 😂
Tunataka soko la uhakika la mahindi
Soon watajuwa nani ni nani bashe huna mpinzani
Viatu vya wizara ya kilimo vimepata mtu makini mpeni muda afanye kazi
Sasa katani huyu vipi katajwa ndo katika wanaohujumu ?
Naunga mkono hoja
Vp sukari mfupa Mugu?
Presidential material!
Duuuu!!!!🎉 jamaa unaongea sana na fakti, tuombe iwe kama mikakati yako unavyoiongea ifanikiwe, maana wana siasa mnaongea vitu vingi lakini utekelezaji ziro.
Kwa unyenyekevu namuomba Mheshimiwa Rais Samia asimuondoe kijana huyu kwenye Wizara ya Kilimo.
Nakuunga mkono
Nakkunga mkono 💯
Wazir makin , ""
Hongera Waziri Bashe Kwa mipango mizuri, kama ilivyoainishwa kwenye hotuba yako. Kama ulivyosema utashirikisha Kwa Karibu RCs & DCs. Nakuombea Mungu Hawa watekwee na kutekeleza Kinachotarajiwa. Mimi ni Mkulima Mkia wa Pwani japo Kwa Sasa Niko nje ya Nchi Kwa shughuli BINAFSI. Ninachoomba Askari Polisi kwenye vizuizi barabarani, wasitusumbue wakulima tukipeleka mazao yetu sokoni. Sisi hatima FEDHA za kuwapatia rushwa. UKICHELEWA KWENYE SOKO AU GULIO UNALOPELEKA MZIGO, TUNAPATA HASARA KUBWA ISIYOPIMIKA.
Mmmmmmmh
Safari ya mabadiliko 😂
Tunataka na wazir mwarabu serkal istubague nasie tunaweza
Waarabu ni watu wabaguzi sana.
Waarabu wanaogopa siasa wanapenda biashara
Katibu mkuu wizara ya elimu mwarabu (mitihani)
Hata bashe aliambiwa siyo raia kuingia kwenye siasa inataka roho ngumu
Empty speech
😮Too late to catch the bus,
Hongera mweshimiwa Bashe,Mungu akulinde
Nakukubali sana mweshimiwa tuko nawewe pamoja