Dakika 35 za Bashe bungeni, Madiwani wa CCM, maofisa ushirika watatu waswekwa ndani Tabora

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 2 май 2024
  • Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe amesema Madiwani wawili wa CCM pamoja na maofisa ushirika watatu wamekamatwa kwa madai ya kuendesha biashara ya kangomba kwenye zao la tumbaku.
    Akihitimisha hoja ya makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Kilimo kwa mwaka 2024/25, leo Ijumaa, Mei 3, 2024, Waziri Bashe amesema anamshukuru Mkuu wa Mkoa wa Tabora kwa kuwakamata watu hao.

Комментарии • 98

  • @salamamohamed9519
    @salamamohamed9519 19 часов назад

    Hongera sn M.bashe ALLAH akujalie Afya na Uhai mlefu uzidi kuchapa kazi uwasaidie wakulima wanakutegemea sn nakuombea ALLAH akupe ulizi vita hii ni kali

  • @JaneChissawilo-dr7nn
    @JaneChissawilo-dr7nn 15 дней назад +6

    Mungu akulinde na kukuwezesha zaidi Mh. Bashe tupo pamoja kukuombea!

  • @osiahmwakasala1646
    @osiahmwakasala1646 13 дней назад +3

    Tukipata mawaziri kama hawa ninauhakika baada ya miaka kumi tu nchi hii haitakopa itakopesha. Asante mweshimiwa Mungu akulinde na ufanikiwe katika mipango yako yote amina

  • @user-us4tk2tk3c
    @user-us4tk2tk3c 15 дней назад +4

    Wewe ni Mtu na Nusu . Big up, wanaoendesha vita dhidi yako Mkono wa Mungu ukutane nao.

  • @JamesDeusi
    @JamesDeusi 3 дня назад

    Ongera sana mheshima waziri uko vizuri.

  • @amidumselle5659
    @amidumselle5659 11 дней назад +2

    Mh. Bashe bado kwangu wewe ni kiongozi sahih sana kwangu. Unapambania haki na siyo maslai binafsi. Mungu akujalie afya na uzima kila iitwapo leo

  • @JamesKasomi
    @JamesKasomi 12 дней назад +2

    Uko vizuri sana mheshimiwa waziri, endelea kupambanua wakulima

  • @BornifaceSimfukwe
    @BornifaceSimfukwe 7 дней назад

    Asante bb mungu akulinde kaz njema

  • @charlesmwambinga4355
    @charlesmwambinga4355 15 дней назад +7

    Huyu Ndo Waziri wangu wa Mda wote...zonal processing and packaging Centres ndo uelekeo mzuri tutaongeza Tijaa.

  • @Mima-cl2im
    @Mima-cl2im 14 дней назад +4

    HONGERA BASHE. MUNGU AKUSIMAMIE. TANZANIA NI TAJIRI LAKINI KUNA WEZI WANAOJITAJIRISHA KWA KUWAIBIA WANYONGE.

  • @wazirimwanazuoni5567
    @wazirimwanazuoni5567 10 дней назад

    Jamaa yuko vzr sana. Napenda sana speech zake na arguments zake. Allah Amjalie zaidi

  • @oseaadam7567
    @oseaadam7567 11 дней назад

    Nakukubali sana mweshimiwa tuko nawewe pamoja

  • @epnyagawa
    @epnyagawa 13 дней назад +2

    Mungu aendelee kukulinda na kukubariki

  • @AganyilaMagezi
    @AganyilaMagezi 13 дней назад +2

    Hongera mweshimiwa Bashe,Mungu akulinde

  • @DAVIDNZIMENYA
    @DAVIDNZIMENYA 15 дней назад +3

    Mimi Niko Burundi big up Bashe Enzi za Hayati magufuri hujawahi kuongea uongo uko vuzuri pande zote

  • @abuuramadhan8093
    @abuuramadhan8093 15 дней назад +2

    Bashe mungu akubarik San hakuna wazir ambae ameiweza hiyo wizara zaid yako

  • @LusubiloMwazyunga-rx3fz
    @LusubiloMwazyunga-rx3fz 14 дней назад +2

    Hiyo ya Tabora Bigup Waziri, tupa ndani wengine waliobaki

  • @hajimchomvu7878
    @hajimchomvu7878 15 дней назад +2

    Nakuelewa Sana waziri bashe

  • @jumannemwakalinga2586
    @jumannemwakalinga2586 11 дней назад

    Mh. Bashe ana hofu ya Mungu tofauti na mawaziri wengine. Mungu akulinde mh Waziri wa kilimo.

  • @CharlesMasanja
    @CharlesMasanja 15 дней назад +12

    Wizara ya kilimo Sasa Ina waziri sahihi. Hafanyi siasa bali anafanya kazi. Mungu akulinde na kukubariki Hussein Bashe.

  • @peterkerenge9207
    @peterkerenge9207 9 дней назад

    Jamaa upo vizur sana

  • @EmmanuelMayunga-wh5jh
    @EmmanuelMayunga-wh5jh 3 дня назад

    Our role model for next government❤

  • @abdallahally842
    @abdallahally842 11 дней назад +1

    Mumgu akulinde wasikudhuru umetetea mamilion ya wakulima walizokua wanakula watu wachache

  • @IsayaIlomo-ib1yh
    @IsayaIlomo-ib1yh 11 дней назад

    Mungu akulinde muheshimiwa your a good leader

  • @FatnaAlly-go7yt
    @FatnaAlly-go7yt 12 дней назад +1

    Allah awajaalie kheri

  • @ibrahimkimonga8614
    @ibrahimkimonga8614 11 дней назад

    Safi mungu akupe maisha marefu songwe wakulima tumenyanyasiki tunyanyasika kwenye uuzaji wa ufuta

  • @omarimwande6468
    @omarimwande6468 15 дней назад +1

    Hongera bashe tukomboa baba

  • @maximilianmwalwe-rw4il
    @maximilianmwalwe-rw4il 12 дней назад

    Hongera sana hon bashe. tunakuamini sanaa💪

  • @LukasTingide
    @LukasTingide День назад

    Bashe nakuamini

  • @williammbuzimai5744
    @williammbuzimai5744 11 дней назад

    Hongera kwa utendaji uliotukuka,
    Ila kimombo umezidi mno

  • @kelyjames5452
    @kelyjames5452 12 дней назад +4

    Wizara imepata Waziri sahihi sanaaa ,wezi hawana nafasi kabisa ❤❤❤

  • @MorriceRusasa
    @MorriceRusasa 9 дней назад

    Anastahili kuwa waziri Mkuu2025

  • @abdallahally842
    @abdallahally842 11 дней назад +1

    Waziri mtu wa maana kabisa kukuwatetea wakulima natamani mama akulete kua waziri wa biashara na viwanda uje ututete maana huyu wasasa yupo yupo tu hata kutetea wafanya bishara anashundwa wafanyabiashara wako icu kwa hiizi kamatakamata za tra hasa kariakoo ni too much yaani rushwa na uonevu unyanyasaji mtupu

  • @shabaniramadhani8026
    @shabaniramadhani8026 12 дней назад

    Safii Sana waziri bashe

  • @ambwenesandersony1545
    @ambwenesandersony1545 11 дней назад

    Very good, smart minister

  • @KassimSayid
    @KassimSayid 15 дней назад

    Mungu akulinde Hussein.
    Choma sindano inauma lakini ndani kuna dawa.

  • @benny4345
    @benny4345 11 дней назад

    Bashe is the only Minister I can be proud of! Smart brain!

  • @Eliaskasanya-hm5yk
    @Eliaskasanya-hm5yk 12 дней назад

    Mawaziri wote wangekuwa ksma Bashe tungefika mbali sana

  • @GerfansiBakari
    @GerfansiBakari 11 дней назад

    Waziri nipo masasi tuoneeni huruma wanacho tufanyia mumogope mungu

  • @shemuulenje7588
    @shemuulenje7588 10 дней назад

    Umeisahau 20 ya elimu

  • @AllyMbarouk-vl3cq
    @AllyMbarouk-vl3cq 12 дней назад

    Ongela mungu yukonawe

  • @TrudiSchutz-og3tj
    @TrudiSchutz-og3tj 15 дней назад

    Hongera ! Sense

  • @show528
    @show528 14 дней назад

    Go ahead Mr.

  • @awatifalghanim1106
    @awatifalghanim1106 12 дней назад

    Asante Rais wa United Republic of Tanzania kumchagua Waziri kama huyu ni wa kupigiwa mfano mkubwa.

  • @petromasolwa9754
    @petromasolwa9754 14 дней назад

    Good work

  • @ajirathabdulnoor4832
    @ajirathabdulnoor4832 11 дней назад

    🎉

  • @user-xt2cv3yt9y
    @user-xt2cv3yt9y 12 дней назад

    Bashe unafaa Sana bila unafiki

  • @abuuramadhan8093
    @abuuramadhan8093 15 дней назад +1

    Hua watu wenye asir ya Somalia wana akir San hongera bashe umetuvusha pabaya

    • @hadijamandanje6189
      @hadijamandanje6189 12 дней назад

      Tatizo sio akili ndugu yangu ni roho mbaya,kujali Sana nafsi yako kuona I astahili zaidi hao wengine watajua wenyewe

  • @henricomuhoja3368
    @henricomuhoja3368 12 дней назад

    Hakuna Cha Maana,Maisha ya Mkulima bado ni mabovu Sana,Bashe ni mwongeaji mzuri Lakini yanayoongewa hayaendani na ukweli,

  • @kkkm6404
    @kkkm6404 14 дней назад

    Sisi wengine tumelipia huu mwaka na miezi hatujapata vibali vya ujenzi😢

  • @davidmziray2048
    @davidmziray2048 14 дней назад

    Hapo hakuna waziri wa hovyo sana

  • @user-ku4gf8dc4i
    @user-ku4gf8dc4i 14 дней назад

    Mawaziri wanapaswa kuwa kama Mh.Hussein Bashe. Na si vinginevyo.

  • @samsonlaiza1654
    @samsonlaiza1654 14 дней назад

    nikweli tumepata waziri Bora wa kilimo

  • @00P288
    @00P288 14 дней назад

    Cha msingi yasemwayo yafanyike

  • @user-vx5hy8yn5e
    @user-vx5hy8yn5e 11 дней назад

    Kwa ufupi me kama mdau wa biashara hiyo ya mazao cjawaelewa viongozi wangu wa halimashauri ya nzega vjijini kwa mfumo huo wa kuchaji/kutoza ushuru kuanzia gunia 1, serikali mtusaidie/muingilie kati. Hatuwaeli hawa watu.

  • @creopatrajoshua
    @creopatrajoshua 13 дней назад

    jamani samahan naomba kueleweshwa hapo aliposema vyuo vya kilimo vitafutwa kwaiyo corz ya agriculture ndo haitakuwepo tena?

  • @user-fk4st8qj2k
    @user-fk4st8qj2k 12 дней назад

    Umeongea vizuri waziristan,lakini hujagusia mahindi maana mwaka huu mahindi ni mengi mno yatauzwa wapi na kwa bei gani?

  • @daudmasebo7112
    @daudmasebo7112 12 дней назад

    Katika viongozi naowaelewa kwa sasa baada ya marehem magufuli kufarik n ww mh bashe,endelea kupambana kiongoz najua utapitia mambo magumu ila ipo siku utakuwa umeokoa maisha ya wanyonge tanzania

  • @TrudiSchutz-og3tj
    @TrudiSchutz-og3tj 15 дней назад

    Round up should be forbidden !!!!

  • @user-ii3xo5jw9y
    @user-ii3xo5jw9y 14 дней назад

    KAMA UNA WAZIRI MWENYE UCHUNGU KAMA HUYU. TANZANIA TUNAKWENDA.

  • @rwakyenderajulius3861
    @rwakyenderajulius3861 13 дней назад

    H
    Hakika umedhamilia uungwe mkono.

  • @Motegand
    @Motegand 12 дней назад

    Sasa cha watu weusi baadae watajenga hoja tena eti anawakoromea wezi na watamtugenezea zengwe na watasikilizwa na atahamishwa au kupuzishwa

  • @abuuramadhan8093
    @abuuramadhan8093 15 дней назад

    Mbona zao la katan mumelisahau

  • @AllyMbarouk-vl3cq
    @AllyMbarouk-vl3cq 12 дней назад

    Semaaa

  • @natafutamatatizo4382
    @natafutamatatizo4382 14 дней назад

    CCM OYEE, KUMBE MAJAMBAZI NA MAJIZI KTK KIVULI CHA CCM

  • @hadijamandanje6189
    @hadijamandanje6189 12 дней назад

    Maskini tunavyoteseka wakulima wakulima wa korosho da mwenyezi mungu tuhukumie

  • @juliethgervas3194
    @juliethgervas3194 11 дней назад

    Hatimae rombo tumefikiwa😅😅

  • @HAMIDUMKWEPU-vr9dq
    @HAMIDUMKWEPU-vr9dq 11 дней назад

    Waziri unaongea Sana, maneno yako hayana utekelezaji, uku kusini kwa wakulima wakorosho, wanapigwa, na vyama vya ushirika pamoja na halmashauri,zao, ukifika msimu wa mauzo ya korosho, kila mtendaji halmashauri, usika Ana buni ukataji wa fedha, katika kilo moja .

  • @user-vx5hy8yn5e
    @user-vx5hy8yn5e 11 дней назад

    Kwan ushuru wa gunia/roba 1 iliyobebwa kwa basikel hujasikia huko wilayani kwako kwenye jimbo la kigwangara. Aibu kweli kweli, apo napo kuna viongozi majambazi tu, madiwan tukiwauliza wanarushia tu mara mwenyekit wa madiwa, mara mkurungezi. Je sheria hii ya kuchaji gunia 1 wameitoa nchi gani?

  • @samsonlaiza1654
    @samsonlaiza1654 14 дней назад

    anacho ongea bashe kimetokea mtaa so wakulima tumefeel kwenye mbolea ongera sana

  • @YusufSasamalo-uz4ii
    @YusufSasamalo-uz4ii 15 дней назад

    Kilimo cha Tanzania naona kinapata dawa sasa

  • @TM-zs3rm
    @TM-zs3rm 14 дней назад

    Rudisha misitu yetu iliyouzwa kwa waarabu tafadhali.Hizi ni pesa za umma zilizowekezwa kwa miaka mingi sana. Si sahihi.

    • @Bashitetako
      @Bashitetako 14 дней назад

      Sasa yeye ana husika vp na misitu 😂

  • @paschalpaul3862
    @paschalpaul3862 13 дней назад

    Tunataka soko la uhakika la mahindi

  • @maulidabdulkadirguled1257
    @maulidabdulkadirguled1257 14 дней назад

    Soon watajuwa nani ni nani bashe huna mpinzani

  • @eliaskangabo779
    @eliaskangabo779 13 дней назад

    Viatu vya wizara ya kilimo vimepata mtu makini mpeni muda afanye kazi

  • @user-wn3zb5xv6v
    @user-wn3zb5xv6v 15 дней назад

    Sasa katani huyu vipi katajwa ndo katika wanaohujumu ?

  • @shabaniramadhani8026
    @shabaniramadhani8026 12 дней назад

    Naunga mkono hoja

  • @johnphaceluhigilo-zy7on
    @johnphaceluhigilo-zy7on 12 дней назад

    Vp sukari mfupa Mugu?

  • @pemdumi
    @pemdumi 15 дней назад

    Presidential material!

  • @jamesmbanga1831
    @jamesmbanga1831 15 дней назад

    Duuuu!!!!🎉 jamaa unaongea sana na fakti, tuombe iwe kama mikakati yako unavyoiongea ifanikiwe, maana wana siasa mnaongea vitu vingi lakini utekelezaji ziro.

  • @CharlesMasanja
    @CharlesMasanja 15 дней назад +1

    Kwa unyenyekevu namuomba Mheshimiwa Rais Samia asimuondoe kijana huyu kwenye Wizara ya Kilimo.

  • @LeonardShitula-kd4vx
    @LeonardShitula-kd4vx 14 дней назад

    Wazir makin , ""

    • @harrieth56
      @harrieth56 12 дней назад

      Hongera Waziri Bashe Kwa mipango mizuri, kama ilivyoainishwa kwenye hotuba yako. Kama ulivyosema utashirikisha Kwa Karibu RCs & DCs. Nakuombea Mungu Hawa watekwee na kutekeleza Kinachotarajiwa. Mimi ni Mkulima Mkia wa Pwani japo Kwa Sasa Niko nje ya Nchi Kwa shughuli BINAFSI. Ninachoomba Askari Polisi kwenye vizuizi barabarani, wasitusumbue wakulima tukipeleka mazao yetu sokoni. Sisi hatima FEDHA za kuwapatia rushwa. UKICHELEWA KWENYE SOKO AU GULIO UNALOPELEKA MZIGO, TUNAPATA HASARA KUBWA ISIYOPIMIKA.

  • @katyalengajua6716
    @katyalengajua6716 13 дней назад

    Mmmmmmmh

  • @pemdumi
    @pemdumi 15 дней назад

    Safari ya mabadiliko 😂

  • @mohammedal7864
    @mohammedal7864 15 дней назад +1

    Tunataka na wazir mwarabu serkal istubague nasie tunaweza

    • @jahimshahim8848
      @jahimshahim8848 14 дней назад

      Waarabu ni watu wabaguzi sana.

    • @tashone7884
      @tashone7884 12 дней назад

      Waarabu wanaogopa siasa wanapenda biashara

    • @tashone7884
      @tashone7884 12 дней назад

      Katibu mkuu wizara ya elimu mwarabu (mitihani)

    • @tashone7884
      @tashone7884 12 дней назад

      Hata bashe aliambiwa siyo raia kuingia kwenye siasa inataka roho ngumu

  • @joachimmahoo9786
    @joachimmahoo9786 12 дней назад

    Empty speech

  • @evelynmwaimu-vd9jo
    @evelynmwaimu-vd9jo 14 дней назад

    😮Too late to catch the bus,

  • @AganyilaMagezi
    @AganyilaMagezi 13 дней назад

    Hongera mweshimiwa Bashe,Mungu akulinde

  • @oseaadam7567
    @oseaadam7567 11 дней назад

    Nakukubali sana mweshimiwa tuko nawewe pamoja