Dk Bashiru aibua shangwe Bungeni, amtaja Magufuli akieleza UDSM kilivyotoa viongozi wakubwa Afrika
HTML-код
- Опубликовано: 7 май 2024
- Mbunge wa Kuteuliwa, Dk Bashiru Kakurwa ameibua shangwe miongoni mwa wabunge baada ya kueleza jinsi ambavyo Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) kimekuwa na mchango mkubwa kwenye maendeleo ya sekta ya elimu ikiwemo kuzalisha viongozi wakubwa akiwemo Spika wa Bunge Dk Tulia Ackson, Rais wa Uganda Yoweri Museveni, Hayari Rais John Garang aliyekuwa Rais wa kwanza wa Sudan Kusini na Hayati Dk John Magufuli aliyekuwa Rais wa awamu ya tano wa Tanzania.
Dk Bashiru ameyasema hayo wakati akichangia mjadala wa kupitisha makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia kwa mwaka wa fedha 2024 / 2025, jijini Dodoma leo Mei 8, 2024.
Hongera Sana father Dr bashiru watalaam wanamna hiyo ndiyo tunaowahitaji safiiii
Bashiru Ally kakurwa ni kiongozi mzalendo kwelikweli. Namkubali mnooooo.
Hamumjui
Mzalendo aliekuwa anatoa roho za watu
Baba yako amemtoa roho akiwa anafanya nn@@kellyngogo3319
Hapo ndipo unapoona shule ipoje, Yani unapandishwa cheo hafu mshahara uleule wa zamani
MUNGU akupe Maisha marefu sana Dk
Mama SAMIA uliufyata wapambe huyu ni Jembe ambaye angeweka Mambo mazuri kwenye chama na serikali
Huyu jamaa ni Genious sanaa kama hujaenda shule kumuelewa ni ngumu sana.
Hiyo sheria ya utumishi ibadilishwe haraka sana inaua taasisi za umma zinazojitegemea, utumishi wanaharibu hizi taasisi kwa kuchelewesha mipango yao na pia kuajiri kwa niaba ya hizi taasisi wafanyakazi wa hovyo kwa maslahi yao binafsi. Hatua ichukuliwe sasa kuwa poka hayo mamlaka haraka sana
Kuna mpango mzuri unakuja naona magwiji sasa wanaongea
Dr Bashiru umeongea point muhimu. Unao uzoefu mkubwa sana
Hongera sana bashiru
Muhuza ndizi wa zaman na msomi aliyebobea anatema cheche zake
Huu mchango mzuri sana.Dkt.Bashiru umeongea vema sana!
Critical. Thinker wanaongea
Hili ni tatizo kwa kada mbalimbali serikalini. Wananapanda cheo kilichopaswa mfanyakazi kuwa nacho miaka 7 iliopita. Hakika hili ni tatizo. Hope watabadili hizi sheria ili iwanufaishe watu wote hasa wafanyakazi wa vyuo vyoote vya serikali.
Facts one🤝🏻🤝🏻
Hatari
Wewe ni raisi ujae makonda ni waziri mkuu ajae
Na haitatokea kwa jona la Yesu
Mbunge baada ya kuzunguzia jamii anazungumziati
Watu wenye akili wakiongea nchi inatulia
Huyu mwamba namkubali sana
😢
Mwanga hauzibiki
Afadhali umemutaja jpm
❤
Jembe.
H
Kongole kwako omwana wo omuka
Dr.Bashir ni KADA MAHILI NA JEMBE WA C.C.M (HONGERA)
Hatutaki historia ya mtu leta hoja zinazomnufaisha watanzania
Wajinga pekee ndio hawathamini wala kujifunza kutokana na yaliyopita. Kama hujui unapotoka utajuaje unapokwenda?? Kuna mda ni bora kukaa kimya kuliko kudhihirisha uwaki ulionao.
Huyu jamaa alikuwa smart kipindi yuko Udsm akipewa media kuongea Baada ya kupewa mrija wake kufyonza asari ya taifa ubongo akaushusha tumboni akawa mtu wa kejeri na kutukuza utawala wa kibabe na kidikiteta ndo mana anataja hadi majina ya madikiteta waliosoma Udsm akina m7 na mtetezi wa wanyonge ni sifa za chuo chetu ni muhumini mtiifu wa tawala za kiimla.
Exactly wewe umenena👍
Bunge la kupiga makofi tu hawana lolote.
Anaongea mwana taaluma makofi lazima wewe ubaki na roho mbaya tu
Sasa mchango gani kama sio kunukuu tuuu basi
Tunamis saut hizo na maneno yenye mwelekeo ya uzalendo
Ningeshangaa amalize hotuba bila kumtaja
JPM mzalendo alitamani atuvushe
Heee
Mbona mijinga inapiga makofi bila hata kujua mtu ataongea Nini !. Naona Kama Bunge limejaa mijinga
HIVI MUSEVEN NAYE KASOMA CHUO KIKUU?
😅😅😅
Nchii inaelekea Pazuri huoni huko Kusini gari haziendi Barabara zimesombwa na Maji
Ni janga na majanga ya mvua hakuna nchi duniani inayoweza zuia mvua.