Eee mwenyezi mungu kupitia ushuhuda huu naomba na mm nibariki kupitia kazi zangu niweze kufika malengo yangu ili nifae kufanya kazi yako kwa nguvu ameeen..
Namuelewa huyu dada, nimepitia cryisis kifedha, kuna biashara yangu niliipata nikiwa madhabahun na kabla cjaifungua nilipeleka funguo Kwa mch. Baadae nikaenda kufungua biashara nikauza vzr tu kwa siku za mwanzon qakat najiandaa kwenda kutoa malimbuko ndyo majaribu yakaanza had ninavyoongea hapa namuomba Mungu aniwezeehe kutimi,a ahad yangu kwa MUNGU maana nateseka mno
Nashukuru sana mchungaji kwa ushuhuda , nlikua mfanya biashara nikiwa na umri wa miaka 23 na nlifanikiwa kwa kutoa sandaka kana dad mwenzangu, leo nko 29 hila nilisimamisha biashara nkajiunga na masomo Europa ndiko nko kwa sasa kwa vile Mungu alininyakua kwa ile biashara alinipa na niko masomoni ya kipadri kumtumkia Mungu uyo uto aliyenisaidia
Mwanangu Furahisha Mahenge ubarikiwe kwa ushuhuda mzuri utakaofungua wengi. Mungu aendelee kukufungulia milango ya baraka. Tulijivunia wewe ukiwa mwanafunzi wetu O-level pale Solace na ninabarkiwa na mafanikio yako leo.
Kwa Damu ya Yesu Kristu ninawaunganisha watoto wangu na madhabahu hii na mentorship program mwaka kesho muda kama huu tutashuhudia matendo makuu ya Mungu kwetu. Amen. Barikiwa sana mtumishi wa Mungu barikiweni sana vijana mliotoa ushuhuda shuhuda zenu zitawatia moyo na kuwainua vijana wengi.
Kwa upande wangu Mungu amesema nami kupitia haya mafundisho ya leo Baba Asante kwa huu ushuhuda na niko tayari kushiriki katika hilo darasa unaloandaa. Asante sana Na Mungu akupe afya zaidi
Asante mtumishi kwa mi ninakukubali sn mi natamani niingie kwenye darasa Hilo ila zaidi ya yote natamani awepo mwanangu Ila bado yuko shule kidato Cha nne darasa hili lingefaa sn Mungu nisaidie I wish wangekuwa wanangu wote wenye maono hayo kwa jina la Yesu nimepokea
Hata mimi natamani kupata elimu ya kutoa sadaka na fungu la kumi eeh mungu nisaidie hauwahi wala kuchelewa mungu kwangu naomba uwahi kwangu iliniweze kutoa sadaka yangu na fungu la kumi
siku utakayoamua kutoa kwenye mfuko wako fungu la kumi kamili kbs ndio siku utakayokua umechomoka kiuchumi ,yaan ile ukitoa tu na Mungu atakuzidishia maradufu mpk ushangae
Ee Mungu naomba unikumbuke rehemani mwako nimedhurumiwa Sana Hadi sasa umenisimamisha tena,naomba unifikishe kwenye kusudi lako naamini hakuna jambo linaloshindikana kwako.Niko DRC Congo napambana lakina naamini kuanzia sasa jupitia shuhuda hizi zote mbili zimenifungua fikra zangu ,nitakuja Tanzania nakushuhudia waminifu wa mungu Amen.
Mungu naomba waajalie wanangu na vizazi vyangu ,na mimi atufungue tujue hii Siri na tupate mafanikio haya,tuliinue jina lake,ubarikiwe sana Mchungaji Kwa huduma hii
Madhabahu anayotumikia Mchungaji huyu yameenea sifa zote za ki Mungu hakika Mungu anayetumikiwa na Rev.Dr.Kimario yana majibu yote ya mwenye mahitaji. Bwana akubariki sana Mchungaji wangu🙏🙏
mimi mwislam ila huwa napenda sana maubir yako Allah akuhifadhi 🤲
Mungu,mtu ndy Dini inafuata kikubwa kitu/ mtu anakujenga Learn from them
Unafanya vzr. Fanya maamuzi ya kumpokea Yesu sasa
Hakika Mungu amulende Muchungaji anafundisha vzr sana mno
Aminaa
barikiwa sana.. maneno yako yamenitia moyo
Eee mwenyezi mungu kupitia ushuhuda huu naomba na mm nibariki kupitia kazi zangu niweze kufika malengo yangu ili nifae kufanya kazi yako kwa nguvu ameeen..
Mungu uliefanya kwa hawa vijana nakwangu utafanya
Mimi ni msabato lakini nakufuatilia sana mchungaji nakupenda sana rev eliona kimaro
Eee Mungu kupitia shuhuda hizi naomba na mimi siku moja nisiyodhani nitoe na ushuhuda.Amina
Baba usinipite kupitia shuhuda hzi NAMI nfunguliwe KWA JINA LA YESU. Amina
Namuelewa huyu dada, nimepitia cryisis kifedha, kuna biashara yangu niliipata nikiwa madhabahun na kabla cjaifungua nilipeleka funguo Kwa mch. Baadae nikaenda kufungua biashara nikauza vzr tu kwa siku za mwanzon qakat najiandaa kwenda kutoa malimbuko ndyo majaribu yakaanza had ninavyoongea hapa namuomba Mungu aniwezeehe kutimi,a ahad yangu kwa MUNGU maana nateseka mno
Nashukuru sana mchungaji kwa ushuhuda , nlikua mfanya biashara nikiwa na umri wa miaka 23 na nlifanikiwa kwa kutoa sandaka kana dad mwenzangu, leo nko 29 hila nilisimamisha biashara nkajiunga na masomo Europa ndiko nko kwa sasa kwa vile Mungu alininyakua kwa ile biashara alinipa na niko masomoni ya kipadri kumtumkia Mungu uyo uto aliyenisaidia
Mwanangu Furahisha Mahenge ubarikiwe kwa ushuhuda mzuri utakaofungua wengi. Mungu aendelee kukufungulia milango ya baraka. Tulijivunia wewe ukiwa mwanafunzi wetu O-level pale Solace na ninabarkiwa na mafanikio yako leo.
Kushuhudia kwake NAMI napokea kufunguliwa
Mungu nikumbuke fungua vifungo vilivo fungwa kwangu nakuamini ww mungu unafungua wengi...AMEN
MUNGU na afanye kwetu sote ameen
Ni aibu kubwa sana kufaulu shule, na kufeli maisha.Hii inahusika sana.
Mbona wapo wengi sana waliofaulubshule na maisha wamefeli mno
Mungu nifungulie milango la ridhiki nifanikiwe kama hawa watumishi wako
Mungu naomba bariki kazi ya mikono yangu niweze kufanikisha malengo yangu niweze kusaidia na wengine 🙏🙏
Kwa Damu ya Yesu Kristu ninawaunganisha watoto wangu na madhabahu hii na mentorship program mwaka kesho muda kama huu tutashuhudia matendo makuu ya Mungu kwetu. Amen. Barikiwa sana mtumishi wa Mungu barikiweni sana vijana mliotoa ushuhuda shuhuda zenu zitawatia moyo na kuwainua vijana wengi.
Namwuunganisha kaka yangu
Kwwnye huu ushuhuhdaa🙏🙏
Amennn amennn
Amen shuhuda ya BARAKA SANA nimejifunza kitu BWANA YESU NAOMBA NEEMA HII🤲🙏NIWEZE KUKUTOLEA SADAKA AMEN
❤mchungaji kimaro ninaendelea kuvuka vigingi kwa kufatilia maubili yako tunafanikiwa wengi shikurani kwako kwa kupewa karama.
Mch Eliona kimaro Mungu aliyeweka kipawa hicho kwako umefanyika bàraka kubwa sana kwa watu wengi
Haleluya nimejifunza kitu kwa huyu Dada hongera sana..
Mungu mwema, usituache Sisi waja wako, bila wewe Sisi sio kitu Mungu wangu🙏
Jokopoi😅jo
We mwenyezi Mungu NAMI nijalie kupitia ushuhuda huu nami nifanikiwe
Ahsante Mungu kwa shuhuda hizi toka kwa wanao nikalipe nami niweze kushuhudia mwakani kama huu mwezi ...Amina amina....
Ikawe kwangu na mimi Yesu wangu nakusihi unitendee mwaka huu 2024
Kwa upande wangu Mungu amesema nami kupitia haya mafundisho ya leo Baba Asante kwa huu ushuhuda na niko tayari kushiriki katika hilo darasa unaloandaa. Asante sana Na Mungu akupe afya zaidi
Ee Mungu kupitia shuhuda za hawa vijana naomba umfungue mdogo wangu Florah aweze kifanikiwa.Amen
Eeh Mungu wangu nifungue na mimi, nifungue nifungue, na mimi nikashuhudie
Kupitia uxhuhuda huuu nnimejifunza kitu mungu aendelee kutufungua ktk uchumiii wetu
"Asante Mungu kwa ushuhuda huu mzito"
Nimejifunza somo.
Mungu akupe miaka mingi yenye furaha na nguvu ili ukazidi kutuponya baba mchungaji batikiwa sanaaa
Amina.
MUNGU akubariki sana Baba kwa Juhudi zako za kuwainua na kuwapa afya za kimwili na kiroho pia Tunamtukuza MUNGU Sana
Mch.kimaro MUNGU AKUBARIKI. naomba mawasiliano yako.chonde sana. Mimi naitwa remmy likiliwike wa njombe.
🎉Ee mwenyenzi mungu ninakushukuru kwa kunipa afya njema mpaka mwisho wa mwaka nipe mabadiliko katika maisha yangu
Mungu usinipite najiunganisha na shuuda hizi
Eee Mungu mwema naomba na mimi mwaka huu huu majira haya haya nishuhudie matendo makuu uliyoyatenda Kwangu 🙏🙏
Ninavyopenda shuhuda jamani. Hapa pa utoaji ndio napapenda zaidi, kitu iko ndani yangu. Hawa ni sehemu ya kina Dorcus wangu. Ubarikiwe Mchungaji
Yaani ww hunifikii kwa kupenda shuhuda.
I tap this testmmony Mungu nifungulie milango mwaka huu IJN
Uwezaa wakoooo waa ajabuu
Wa kutishaaaaa Bwanaaa🙏🥹
Kwa kweli nitajoin I will become a billionaire one day najiunganisha na huu ushuhuda
Eee Mungu mwema nisaidie na mimi majira kama haya mwakani nishuhudie matendo makuu uliyoyatenda kwangu 🙏
Mungu azidi kukubariki mchungaji . Hii program inayoanzishwa naamin itawakomboa vijana wetu wengi.
Mm Naomba Mungu sana nina naziri na hiii madhabahun jamn Mungu nisaidie niweze kutoa fungu la kumi
Mungu anisaidie nami nishuhudie mwakani
111😅😅 22:36
Mungu akulinde baba mchungaji stay blessed
MUNGU Asante kwa ushuuda uhu nmm nitatoa ushuuda wangu mwakani mwez Kama uhu AMEEEEN
Mungu niwa rehema ukimuamini na ukimtolea kile kidogo ulichonacho ina dhihirisha ata akikupa kikubwa bado uta mkumbuka
Una kitu mchungaji nakuombea sana uweze kuyagusa maisha ya wa Africa wengi zaidi
Mungu nakuomba bariki na kizazi changu pamoja na mume wangu
Amshuku babayake kwa kumsomesha uyo dada
Ameni nami Mungu naomba nibariki kwa ushuhuda juu nivushe haya madeni yasiyoeleweka nalipa hapa nadaiwa pale nivushe Mungu naamini nimeshindaaa
Mtumishi MUNGU wetu mwema nami nina Imani Mungu atatuvusha katika bonde gumu na.zito la madeni. TUTAVUKA
ee mwenyezi mungu nisaidie NAMI majira kama haya NAMI nifanikiwe
Amen.Napokea huu Ushuhuda ikawe na kwangu katika jina la Yesu juu ya Biashara yangu.Mungu akutunze Baba Mchungaji.
Mungu naomba uwajalie wanangu uwafungulie tupate mafanikio saidia Sana watoto wangu
Hakika mungu nimwema huu ujumbe niwangu barikiwa sana dadaangu leo mmpia nimefunguliwa
Usinipite yesu Usinipite unapogusa wengine nami niguse
Eeeeh mwenyezi Mungu Nakuomba kupitia huu Ushuhuda Ukanipe Ushuhuda Nishuhudie ukuu wako
Mwenye maarifa atapona jina la Mungu libarikiwe
Asante mtumishi kwa mi ninakukubali sn mi natamani niingie kwenye darasa Hilo ila zaidi ya yote natamani awepo mwanangu Ila bado yuko shule kidato Cha nne darasa hili lingefaa sn Mungu nisaidie I wish wangekuwa wanangu wote wenye maono hayo kwa jina la Yesu nimepokea
Hata mimi natamani kupata elimu ya kutoa sadaka na fungu la kumi eeh mungu nisaidie hauwahi wala kuchelewa mungu kwangu naomba uwahi kwangu iliniweze kutoa sadaka yangu na fungu la kumi
siku utakayoamua kutoa kwenye mfuko wako fungu la kumi kamili kbs ndio siku utakayokua umechomoka kiuchumi ,yaan ile ukitoa tu na Mungu atakuzidishia maradufu mpk ushangae
Mungu tukumbe Baba unapodhuru wengine na sisi usitupite❤
Nami najiungamanisha na ushuhuda wenu Mungu Nina Iman huchelewi Wala hukawii
Asante Mungu Kwa kuturejeshea Mtumishi wako Eliona Kimaro.
Ee Mungu naomba unikumbuke rehemani mwako nimedhurumiwa Sana Hadi sasa umenisimamisha tena,naomba unifikishe kwenye kusudi lako naamini hakuna jambo linaloshindikana kwako.Niko DRC Congo napambana lakina naamini kuanzia sasa jupitia shuhuda hizi zote mbili zimenifungua fikra zangu ,nitakuja Tanzania nakushuhudia waminifu wa mungu Amen.
Mungu naomba nifungue vifungo nilivo fungwa
Najiunganisha na ushuhuda huuu🙏🙏 Bwana
You are my daddy. Mungu akuweke kwa ajili yetu
Nisaidie Mungu wangu nipate Moyo wa utoaji
Nami nitembelee Yesu, kwa Mungu hakuna kuchelewa wala kuwahi,Yesu nisaidie kufika ulipokusudia nifike
Amina mchungaji asante kwa kuruhusu hizi shuhuda nimebarikiwa sana
Mungu afungue uchumi wetu kupitia shuhuda hizi
Mungu naoomba wajalie wanangu vizazi vyangu
Kwlei kabisa uyo ni mimi kabisa yani mimi namwambiaga Mungu ivyo kutoa sadaka sio kazi rahisi
I connect in Jesus name amen 🙏🙏
Furahisha Daaa! Umejua kunipa somo mwanangu kipenzi ❤❤❤❤
Furahisha mahengeee ubarikiweee kwa ushuhuda
Mungu naomba unikumbuke na mm mwakani majira kama haya NAMI nikashudie, Maana wewe huchelewi wala huwai
MUNGU AKUTUNZE SANA MCHUNGAJI WEWE NDO AINA WACHUNGAJI WANAOTAKIWA KWENYE JAMII YETU MUNGU AKUBARIKI AKUBARIKI SANA
Nimebarikiwa na nitashuhudia pia. Aksante
Mungu nakuomba unibariki kwa uwezo wangu nifikie viwango hivi
Amina naiwe kwangu kwajina la yesu napokea ushuhuda huu
Mtt wa big Muyaya.......wazazi wake hawana BAYA,Mungu amtunze
Kweli anafanana na mama regan jaman
Mungu naomba waajalie wanangu na vizazi vyangu ,na mimi atufungue tujue hii Siri na tupate mafanikio haya,tuliinue jina lake,ubarikiwe sana Mchungaji Kwa huduma hii
Ee Mungu naomba umjalie mwanangu mwaka huu usiishe bila kumwinua na kumfungulia baraka zako.chungaji Mungu akubariki sana.
Barilkiwa sana Mch.Docta Kimaro
Nimebarikiwa sana
Vijana,mmeniinspire sanaaa,sitaacha kukutumikia Mungu maana najua thawabu yangu ni kubwa sana wakati wako ukifika,I glorify you Lord
I need mentorship all the way from Kenya
Watu watabarikiwaa kupitiia mimi🙏❤️
Naomba Mungu unisaidie
Mungu nisaidie matatizo yangu niliyonayo iwe ndo fursa ya mafanikio yangu
This is timely. I am encouraged
Ubarikiwe sana mchungaji kimaro
Eee Mungu wangu mwenye Rehema n Neema nakuomba na mm niwe m'barikiwa..AMEN
I connect my self in this mentorship in Jesus name
MUNGU wa Israely kwa neema yako. Nàmi nimetajirika kwa Jina la Yesu Kristo wa NAZARETHI AMEN.
Eee mungu nisaidie katika maombi yangu na mimi nije nisimame mazabahuni nitoe ushuhuda mungu nibaliki
Ameeeeen❤❤🎉🎉🎉🎉🎉 Mungu Mkubwa
Unapopita kwenye matatizo Mungu yupo anakutengeneza, noted with thanks, Glory to God
Mungu akubariki mbeba maono❤
Madhabahu anayotumikia Mchungaji huyu yameenea sifa zote za ki Mungu hakika Mungu anayetumikiwa na Rev.Dr.Kimario yana majibu yote ya mwenye mahitaji. Bwana akubariki sana Mchungaji wangu🙏🙏
Na pia ni makanisa ya Wasomi,na Makanisa yanawaosoma Riturujia,Lazima Mchungaji aajiriwe na Alipwe mshahara kila Mwezi si kama Pentecoste,
@@trophywilson7211Nisaidie kufafanua "wazo" lako kuhusu "si kama Pentecoste "....Rev. Dr Kimaro barikiwa mno. Shuhuda hizi nzuri piaaa.... Amen..
AMEN AMEN AMEN hata mimi nlifika class 6
Ameeeeeeeeen,Ikawe kwangu kwa Jina la Yesu
Mungu ni mwaminifu sana kwetu ila sisi jamani Mungu turehemu
Kweli Mungu ni mwaminifu mno ila sisi wanaadamu Mungu aturehemu jamani. Mungu ametupa akili tuzitumie sawasawa.
Basi atukuzwe yeye awezaye kufanya mambo ya ajabu mno kuliko yote tuyaombayo au tuyawazayo, kwa kadiri ya nguvu itendayo kazi ndani yetu
Eeeh Mungu mwema unikumbuke na mimi
Najiunganisha na baraka hizi kutoka kwenye madhabahu hii Mungu nisaidie nitoke mahali nilipo. Kwa jina la YESU
Baba naomba nilee na mimi,nifike mahali nishuhudie mambo makuu baba
Mungu naomba nipiganie namimi pamoja na familia yetu