MZUNGU ALINIGEUKA TUKIWA NJIANI KWENDA KUMTAMBULISHA KWA WAZAZI NA KUNIFUKUZA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 27 апр 2024
  • Mary ameeleza safari yake ya kutimiza ndoto yake ya kupata Mzungu, alitoka mwanza kwenda Arusha kutafuta Mzungu. Alikutaka na wazungu wa honyo lakini mwisho akakutanana na ambae bi mume wake na sasa anaishi Belgium.
    Alinyanyasika na kudharaulika sana na kuitwa maijina mengi mabaya kutoka kwa familia lakini aliwaacha mdomo wazi baada ya kufunga ndoa.
    Thank you Mary for allowing this to be online
    www.oda.international

Комментарии • 195

  • @OfficialDatingAssistance
    @OfficialDatingAssistance  Месяц назад +13

    Tiktok: mickymary

    • @gfydfdf8869
      @gfydfdf8869 Месяц назад +2

      A office dating assistance

    • @lylm4147
      @lylm4147 Месяц назад +2

      Oh! OK; and what makes you " offucial" are you elected or appointed by a body or some authority to provide assistance?

    • @negwamwaipopo6467
      @negwamwaipopo6467 Месяц назад

      Hi

    • @KADOGOFOUNDATION
      @KADOGOFOUNDATION Месяц назад

      Hello madam
      Im from kenya Pia Mini niko Germany nataka siku moja nitoe Safari yangu nilipo Anzahl mpaka kufika ulaya

  • @paskaziasholla7471
    @paskaziasholla7471 26 дней назад +11

    Ushauri wangu wasichana msitamani maisha ya Mary muache tamaa Mary anacheka tu lakini amepitia magumu sana hayo sio maisha

  • @neophitalukiringi8260
    @neophitalukiringi8260 Месяц назад +21

    Asante sana Shena. Mimi nina miaka 52 nimekuwa nikikufuatilia sana story zako nami Mungu kunijalia nimepata Mume mtarajiwa . Asante sana.

    • @OfficialDatingAssistance
      @OfficialDatingAssistance  Месяц назад +4

      Hongera sana sana
      Glory to God
      Karibu sana kwa kipindi 🥰🥰🙏

    • @ashaidei5680
      @ashaidei5680 Месяц назад

      Glory to God❤❤asichoweza Mungu hakipoo💪🏼👏👏👏🙏🙏na ikawe yenye kheri Amen

    • @Aisha-qd2rg
      @Aisha-qd2rg Месяц назад +1

      Umepata kupitia mtandao upi mamy tujuze

    • @zulekhamjungu7217
      @zulekhamjungu7217 Месяц назад

      Hongera sana Mungu akutangulie

  • @gfydfdf8869
    @gfydfdf8869 Месяц назад +10

    Shera Mungu akubariki Asante kwa kwa kuanzisha shuhuda hizi sinazo husu maisha,sinatufundisha sana,dada msukuma umenikumbusha mengi nilipitia magumu yanaendana nayakwako kidogo japo yanatofautiana, Mungu nimwema sana ametuvusha kwa mengi.

  • @malaikajabali-oj2fh
    @malaikajabali-oj2fh 22 дня назад +2

    Wewe ulipenda upate mzungu mbali hukuomba Mungu akupe mwanaume mzuri sasa maji kayavulia nguo yaoge tu. From Kenya 🇰🇪

  • @nicekweba9920
    @nicekweba9920 Месяц назад +7

    Shena wangu nakupenda sana kipenzi,hongera kwa kazi nzuri😊

  • @rutahalima1400
    @rutahalima1400 Месяц назад +7

    Shena hongera kwa kazi yako nzuri

  • @SmilingCityMap-xb9md
    @SmilingCityMap-xb9md Месяц назад +5

    Hayo maisha sio salama kabisa huo ni udangaji na wazungu kudanga kisa kuolewa na mzumgu

  • @upendogreutert199
    @upendogreutert199 Месяц назад +8

    Duniani Mapitoo jamaniii lakini Mungu ndie kimbiliooo

  • @haryanyawu640
    @haryanyawu640 Месяц назад +4

    Pole ssna kwa mapito uliopitia ila marafiki sio watù wema maana ukiwasaidia matokeo yake wakakusaliti Mungu akutunze daima

  • @vero57
    @vero57 Месяц назад +10

    Nimependa love story yako, hongera sana 💐🌺

    • @beatricechite3142
      @beatricechite3142 Месяц назад

      For her it's in her family line cause all her aunties are married by white people so it's a patter,so for her it wad something of sure bet.Tutasema ni mathabau ya ukoo.

  • @Judy-dy4zt
    @Judy-dy4zt Месяц назад +2

    Waooo mwanetu mtoto wa kihaya hongera sana mwenyezi mungu awatangulie

  • @ELIZABETH-uz6dv
    @ELIZABETH-uz6dv 15 дней назад +1

    Mungu Awabariki wewe na Family yako.

  • @mimiinvestments8406
    @mimiinvestments8406 Месяц назад +1

    Pole sana kwa mapito Mary na Hongera mno kwa mafanikio ya Ndoto zako. "Baada ya dhiki faraja'.

  • @jumapiliissa4835
    @jumapiliissa4835 Месяц назад +3

    Aisee hongera sana dada yetu

  • @dayana5513story
    @dayana5513story Месяц назад +1

    Ubarikiwe sana mrembo ❤❤❤

  • @bitishoriziki5585
    @bitishoriziki5585 8 дней назад

    Wewe msichana shunjaaaaa oyyyy nakupenda msichana mzuri sana KBS 🥰👍👏🔥

  • @atuamohamed9664
    @atuamohamed9664 Месяц назад +1

    Ahsante kwa maelezo ya upendo

  • @tumainisamwel2925
    @tumainisamwel2925 2 дня назад

    Lovely story

  • @neemaseiler1122
    @neemaseiler1122 Месяц назад +2

    Interview nzurii,asante Mary. Hongera pia,uko kwenye honeymoon period Enjoy❤

  • @user-uv2zg4uc5o
    @user-uv2zg4uc5o 21 день назад +1

    Hongera sana mwanangu ulipambana Mungu aku simamie ndoa yako idumu milele na mafanikio pia

  • @johnmaulilo9564
    @johnmaulilo9564 Месяц назад +4

    Wow wa kwanza kucoment

  • @talentshow2024
    @talentshow2024 Месяц назад +3

    Hongera

  • @queenofireland898
    @queenofireland898 Месяц назад +15

    Rafiki sio watu wazuri bora uwe peke yako hatupendeleani mema kwa kweli

    • @rutahalima1400
      @rutahalima1400 Месяц назад +1

      Haqika, mufaransa husema “ mieux être seul que mal accompagné “

    • @Mazoea
      @Mazoea 14 дней назад

      Mimi nimeamua kutokua na marafiki.maraki wanawivu sana..

  • @negwamwaipopo6467
    @negwamwaipopo6467 Месяц назад +1

    Nice story

  • @nicekweba9920
    @nicekweba9920 Месяц назад +3

    Dada shena ni mtulivu na msikivu pia😊Mungu akutunze

  • @bitishoriziki5585
    @bitishoriziki5585 8 дней назад

    Si tuko nap ila hawa eleweki KBS 👏 hiyo niu shauri mkubwa kwetu njamani 👏

  • @Mazoea
    @Mazoea 14 дней назад +1

    Ila wabongo washenzi sana.na wanawivu na wanapenda sana

  • @upendogreutert199
    @upendogreutert199 Месяц назад +6

    Yaaani sisi watu weusi sisi hatupendaniiii 🙈🙈

  • @emmanueliirungu2339
    @emmanueliirungu2339 20 дней назад

    Asante kwa elimu yako,kupima iwe kanuni

  • @bitishoriziki5585
    @bitishoriziki5585 8 дней назад

    Pole sana msichana 🫢 nihatari kbs dunia Kwisha KBS ndodunia hiyo mzunguko ila mngu anaweza yote 🥰

  • @bitishoriziki5585
    @bitishoriziki5585 8 дней назад

    Mili kuwa na enjoy 🎉👏 🔥

  • @cleopatrahenry7541
    @cleopatrahenry7541 Месяц назад +2

    Merry ananifurahisha kuwapa na ukoo wote 😅😅😅

  • @gracendumbaro5196
    @gracendumbaro5196 Месяц назад

    Mpaka haya kazi njema

  • @sophiakimaro5174
    @sophiakimaro5174 Месяц назад +3

    Huwa najiuliz mnavyokutana na wazungu ghafla mnalala nao hata hamwogopi maradhi?au ndio pata potea?

  • @bitishoriziki5585
    @bitishoriziki5585 8 дней назад

    ❤wewe unatisha KBS waliku pendaga saan 🥰😊👍

  • @saidizuber8831
    @saidizuber8831 24 дня назад

    Pole na hongera dada

  • @Judy-dy4zt
    @Judy-dy4zt Месяц назад +1

    Story nzuri

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 Месяц назад +27

    Anafanana kama mama Tibaijuka.

  • @blandinamrusha-pj2ro
    @blandinamrusha-pj2ro 14 дней назад

    Nakupenda Marry wangu 🎉🎉🎉🎉

  • @felismbithe4761
    @felismbithe4761 23 дня назад

    Hongera dada.

  • @bitishoriziki5585
    @bitishoriziki5585 8 дней назад

    Hayo maisha ya shida nila Zima tupambane nakia njaribu huku kuwa kitu ninacho endelea kupotrza wavinjana wa easichana mnayatizo KBS 👏😊

  • @bitishoriziki5585
    @bitishoriziki5585 8 дней назад

    Ni history kubwa dada 😂😂😂🤣🤣

  • @user-fb4gg1me7f
    @user-fb4gg1me7f 21 день назад

    Hongera kwa Hilo dada,,xaxa tufanyie connection ya kazi huko

  • @leahkatinde859
    @leahkatinde859 Месяц назад +15

    Jamaani msukuma kabisa mpaka anavyo ongea 😂 wakukaya

    • @anethcharles5443
      @anethcharles5443 Месяц назад

      😂😂😂confidence hana masikin ila amepitia changamoto nying yan 😢haya maisha ad utoboe jua umepitia meng sana

    • @maria_mutondioriginal5
      @maria_mutondioriginal5 Месяц назад +1

      Na muhaya pia

    • @BERLINHENRY-tc8em
      @BERLINHENRY-tc8em День назад

      Ila wasukuma na Sisi 😂😂na Mimi nijnitoe story yangu mpaka kupata ndoa na mzungu😅😅

  • @fortunenova6242
    @fortunenova6242 Месяц назад +2

    Shoga yangu Mary hatimaye.... this interview was so good 😊

  • @zuweinaalhabsya8773
    @zuweinaalhabsya8773 Месяц назад +4

    😂Mery anachekesha. Lakini Mashaallah kapambana hasa ❤

  • @verynicemoshi9959
    @verynicemoshi9959 Месяц назад +1

    Nampa ongera sna kwa kutimiza ndoto yake

  • @ruuh_august
    @ruuh_august Месяц назад +1

    Ana aibu mashaalllah 😂🤣

  • @simplycaren375
    @simplycaren375 Месяц назад

    Anaeleza vizuri

  • @mimiinvestments8406
    @mimiinvestments8406 Месяц назад

    Sawa sawa Mary. They say..... "When God opens the door... Shut your mouth"!

  • @nurumustapha2448
    @nurumustapha2448 Месяц назад +1

    Hatimae nimemuona ndugu yangu wasukuma oyeeeeeee

  • @sarahbuberwa7219
    @sarahbuberwa7219 Месяц назад

    Hallo Shena hongera sana kwa kipindi chako
    nielekeze jinsi ya kudownload Tinda

  • @MeckitilidaTushabe-or9hu
    @MeckitilidaTushabe-or9hu Месяц назад

    Jaman ninempenda merry anaongea vizuri

  • @abdulsimbarakiye4145
    @abdulsimbarakiye4145 Месяц назад

    Dada napenda sana kipindi chako wow ni mimi Simba Abdul Amsterdam Holland

  • @monicakessy49
    @monicakessy49 Месяц назад +3

    Kazi nzuri Mungu amekuleta kusaidia wengine kuwa na mzungu sio mafanikio ya kila kitu

  • @SalimhchialaAtilio-qj5cs
    @SalimhchialaAtilio-qj5cs 10 дней назад

    😍😍🥰

  • @zidatv1122
    @zidatv1122 Месяц назад +4

    Wanawake pasua kichwa

  • @bitishoriziki5585
    @bitishoriziki5585 8 дней назад

    Pole jee huku waita wote. Inamana huku njuwa mapema wazingu sio wema ni ukweli KBS ushauri mzuri sana USi muaminie mtu awaye yote KBS 😊🥰

  • @user-uo4oc1pb9k
    @user-uo4oc1pb9k 22 дня назад

    Wazungu,naukai,hata vile unakaa,you are beautiful when they are using you

  • @trueone_tz
    @trueone_tz Месяц назад +1

    🤝🙏🏻

  • @samirasalim4203
    @samirasalim4203 Месяц назад

    ❤❤❤

  • @nancyg8664
    @nancyg8664 Месяц назад +4

    Mashuka ya guest ndomana yamefubaa kumbe mnayapondaponda😂😂😂

  • @gracemasawe7646
    @gracemasawe7646 26 дней назад

    Mm huwa nawapenda wazungu jaman

  • @Judy-dy4zt
    @Judy-dy4zt Месяц назад +2

    Mwenyezi mungu akutangulie

  • @janengowi-lt9gu
    @janengowi-lt9gu 14 дней назад

    Dada shena nakupenda huna papara unamuacha mtu anajimaliza mwenyewe wengine wanaingiliaga katikati

  • @merinakassembe118
    @merinakassembe118 28 дней назад

    Kwahiyo. Mzungu ni mmebergium

  • @mimiinvestments8406
    @mimiinvestments8406 Месяц назад +2

    Jama Mary kumbe Mama yako ni Mhaya! Duh! Nimefurahi mno! Na mimi natoka BK.

  • @burundishallsmile1day109
    @burundishallsmile1day109 13 дней назад

    Wazungu 🙄🤕
    African women are confused!
    By the Way...
    😊😊
    Good Show👍🏽

  • @banguha
    @banguha Месяц назад +2

    Wahaya ndivyo tulivyo hata mm kwenye posa walikula had leo hawasahau kwetu hakuna shughuli ndogo

  • @DoreenMwanga-dg7xp
    @DoreenMwanga-dg7xp Месяц назад +3

    Je Tinder alilipia....shena hilo swali unasahau kuuliza

  • @annabodsch3566
    @annabodsch3566 Месяц назад

    ❤😮🎉

  • @rutahalima1400
    @rutahalima1400 Месяц назад +2

    Hongera binti wetu karibu europe bienvenue
    Na mi niko france huwa na kuja Belgique nikija natakutafuta
    Je te souhaite beaucoup de bonheur dans ton foyer
    Félicitation
    Coralie

    • @ByonaBirungi
      @ByonaBirungi Месяц назад +1

      Kweli binti yetu umepitia mapito hongera saana

  • @user-hu5qi4nl1i
    @user-hu5qi4nl1i Месяц назад

    Wakukaya mayoooooool😅❤

  • @gasparlubaga5866
    @gasparlubaga5866 Месяц назад +3

    Inatakiwa ujiendeleze kimasomo dada angu usibweteke

  • @kithajungu1389
    @kithajungu1389 24 дня назад

    Nimekupenda sana bi mery unaongea ukweli nimependa icho kitu,ukweli ukweli ❤

  • @sophiakimaro5174
    @sophiakimaro5174 Месяц назад +1

    Hata mm natamani mzungu jamani lakini hii process duuh!!naogopa matapel wa ngono

  • @asinamohamed4016
    @asinamohamed4016 27 дней назад +1

    Mwanamke kujitongoza kwa mwanaume SI Tania yetu kwa Mtanzania

  • @user-tu8eg8ri3b
    @user-tu8eg8ri3b Месяц назад +42

    Kwa nia nzuri. Nashauri anaotafuta, waume wawe wanapima afya kabla ya kukubali kujamiiana. Maana tangu nimesikiliza watu tofauti tofauti hapa sijawahi kusikia mtu anasimulia tukafanya vipimo kwanza vya magojwa hasa ukimwi. Kama huwa wanapima ni vizuri. Shena unafanya vizuri kuelimisha watu. Na unajua kumsikiliza mtu anajieleza mwenyewe. Humkatishi mazungumzo yake hivyo stori inanyooka vizuri. Na unajua kuuliza maswali vizuri.

    • @OfficialDatingAssistance
      @OfficialDatingAssistance  Месяц назад +4

      Ushauri mzuri sana.. Shukran 🙏

    • @betricemainoya4176
      @betricemainoya4176 Месяц назад +2

      Kabisa wengine hawajui ku intaview wanakatisha mtu maneno intaview inakuwa gumzo tupu

    • @liannsambu7264
      @liannsambu7264 Месяц назад

      Hakika

    • @liannsambu7264
      @liannsambu7264 Месяц назад

      Sema pia da shena Kuna watu ANAKUWA free sana na Kuna baadhi ANAKUWA SI comfortable sana but bado da shena anafanya vizuri

    • @nicekweba9920
      @nicekweba9920 Месяц назад

      Yaani kwakweli mimi huwa nasema mara zote hapa,shena ni msikivu na mtulivu sana,anajua kumskiliza mtu na anauliza maswali vizur sana,yaani mskilizaji unaelewa kwa uzur kabisa aisee tumpe maua yake🫠

  • @joycelaura4611
    @joycelaura4611 17 дней назад

    🤣🤣🤣🤣🤣 alikuwa anapenda watoto jmn lkn dah ila ndoto ya mtu haifi

  • @damariszuckschwert9489
    @damariszuckschwert9489 Месяц назад

    Sielewi kwanini wadada wanapenda sana kushea mambo yao na marafiki. Jifunzeni jamani.

  • @user-xm5xg1tt6d
    @user-xm5xg1tt6d 13 дней назад

    We dada mchangamfu sana

  • @user-fb4gg1me7f
    @user-fb4gg1me7f 21 день назад

    Mimi naitwa Erick wa Arusha Fanya mpango tupate connection ya kazi

  • @issajumaali4009
    @issajumaali4009 Месяц назад

    Nimependa utambulisho wake huyu dada, "Kwa jina......"

  • @zidatv1122
    @zidatv1122 Месяц назад +1

    Wanaume wakati mwingine tunapitia maisha magumu kwa sababu ua wanawake

  • @user-fe9jc5di9f
    @user-fe9jc5di9f Месяц назад +2

    Fanyeni video kwaufupi zinachosha kusikiliza

  • @lylm4147
    @lylm4147 Месяц назад

    Can someone tell me 8n what way is the sister an " official" dating assistant. Has she bern appointed by a body or authority that is responsible for dating/relationships; or an appointed agency of such (if there is such). And please can someone tell me what is "ordery love story"?. What is ordery?

  • @annamussa185
    @annamussa185 Месяц назад +1

    Wakokaya olemhola😊

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 Месяц назад +1

    Kwani waswahili wenzenu hakuna nini kuhangaika mpaka mnajiabisha mitandaoni

  • @dianamvuzwa-eh9ov
    @dianamvuzwa-eh9ov 27 дней назад

    Meri nitafutie Mimi mwanaume wakizungu Mimi na penda kuja niwazae watoto wa kizungu wazuri vigezo kufunga ndowa kutolewa kishika uchumba na mahali pia utakuwa mfafanuzi wangu wa kingereza nahivo unaonekana unaroho nzuri ni fanyie hivo meri

  • @bitishoriziki5585
    @bitishoriziki5585 8 дней назад

    Hivyo ulikuwa nachuuza mwili wako hapo ulikuwa matata saana unashauria wenzako wasi chana Nini?sasa ❤🎉

  • @user-bx3fh1ze6i
    @user-bx3fh1ze6i Месяц назад

    😅😅 mashuka kuponda

  • @paskaziasholla7471
    @paskaziasholla7471 26 дней назад

    😂😂😂😂 baba aliogopa ataongeaje nae

  • @nicekweba9920
    @nicekweba9920 Месяц назад +4

    Ila marry jamani mbona nini nini nini nyingi sana😂

    • @iantussa9064
      @iantussa9064 Месяц назад +1

      😂

    • @nicekweba9920
      @nicekweba9920 Месяц назад +1

      Anafurahisha marry wetu

    • @tanzcanmediatv4473
      @tanzcanmediatv4473 Месяц назад +1

      Ndio ongea yake wewe chukua madini yake

    • @nicekweba9920
      @nicekweba9920 Месяц назад +1

      Mimi sijasema kwa ubaya mpendwa,nimefurahi tu,nimependa anavoongea,kufurahi ni kawaida 😊,sorry kama umekwazika

  • @naturelle1097
    @naturelle1097 Месяц назад +1

    Sababu ya kutafuta mzungu ni nini haswa?

  • @bitishoriziki5585
    @bitishoriziki5585 8 дней назад

    Ndege ila rushwa

  • @tinnahagustinolyelu4247
    @tinnahagustinolyelu4247 24 дня назад +1

    Muache mzungu akupende mwenyewe.mnachukuliwa halfu mnaenda kuteswa

  • @DM_15
    @DM_15 25 дней назад

    Masela njooni hapa msikilize ujinga za wanawake hapa

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 22 дня назад +1

    NA WEWE MDADA KWANN UONGEE SIRI ZAKO? KWA MARAFIKI? MARAFIKI WALIOWENGI HUWA WANAPINDUA MEZA. CK NYINGINE USIWAAMBIE MARAFIKI VITU VYAKO.

  • @rachelmaina3476
    @rachelmaina3476 21 день назад

    Madawa yaliisha mama