TULIISHI MIAKA MITANO TUKAACHANA | NILIKUA NAMILIKI KAMPUNI YA UTALII | MAISHA YA SERBIA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 8 фев 2025
  • Naila ameeleza Safari ya maisha yake kutoka Tanzania mpaka Serbia
    Alifingua kampuni ya utalii Zanzibar ambapo alikutana na mwenza wake akiwa kama mteja wake.
    Waliamua kuishi Serbia lakini baada ya miaka 5 waliachana na Naila ameendelea kuishi Serbia kwa documents zake mwenyewe.
    Amewafunza wasichana kutoamini mtu asilimia 100% na kua waangalifu na kunilinda kwani wanadamu wanabadilika badilika
    RUclips channel yake Naila_Y
    Thank you Naila for allowing this to be online
    www.oda.international

Комментарии • 219