NILIFUNGA NDOA MIEZI MICHACHE BAADA YA KUKUTANA MTANDAONI
HTML-код
- Опубликовано: 7 фев 2025
- Maisha ya UHOLANZI, Ndoa, malezi ya watoto na maisha ya kusaidiana.
Ametufunza namna ya kuwasiliana na mwenza wako na kujituma.
Tabia za wa Dutch na upendo wao.
Recording ya Video hii ilikua inachelewa sauti, na sio kama nilikua na katisha kuongea Editha.
Pia anasaidia wale wanaohitaji visa, unaweza ku subscribe kwa Channel yake kujua mengi @reindersfamily8280
Thank you to Editha fow allowing it to be online
Kumbe kuwa na mzungu ni ndoto nilijua kuwa na nyumba nzuri gari nzuri kazi nzuri .Maisha ni kujifunza 😂
Hongera sana dada.yangu
Mimi naishi Amsterdam mwaka 40 hapa Holland wanawake wa ki Africa wamewafanya wazungu wabadilike sana juu dada zetu wanaomba sana sio vizuri
Ujumbe mzuri,
Karibu sana kwa kipindi upate kutufunza vijana
WhatsApp +4367764790884
Ubarikiwe sana Editha wewe ni mke mwema hakika ndoa yako itafika mbali. Mungu wa mbinguni akutunze na upendo wenu udumu daima.
Wow nimefurah kumuona Mwanafunz wangu machachari kabisa Stesheni Editha! Hongera mama
My sister shena shurkn sana nimekupeta sana daa shena
Ahsante sana
Hii channel ipo hot sana, mrembo Shennah tunashukuru kwa upendo mrembo wetu,jaman tukumbuke kusubscribe kazi hii,kama yeye kaamua kutupa madin na cc mchango wetu ni kusubscribe jmn na hako kakengere basi.
Ahsante sana sana, tujitahidi kushare na kusubscribe.. watanzania wagumu kusubscribe 😁
Mambo mamy, Mimi ni msichana Niko arusha tanzania
@@OfficialDatingAssistancembona sisi hatupati nyie mnawatoa wap?😂
@@OfficialDatingAssistance😅😅😅😅😅😅
Daaa Kweli dada , niwe mkweli nimeanza kukufutilia kitambo na kufanyia ushauri wako unaotoa, namimi niko na mpenz wangu WA KIZUNGU MDADA KATOKA MALAYSIA MPAKA TZ NIKO NAE NIKAMA NDOTO NIMDA WA MIEZI 5 leo Niko nae Asante kwa darasa zuri👏🔥🔥👍
Woow Hongera sana sana
Glory to God 🙏
Karibu sana kwa kipindi +4367764790884
@@OfficialDatingAssistance asante dada ntakuchek soon , don’t worry soon TUNAELEKEA MALAYSIA
Hongera shena
Beatiful chanel
Ahsante sana kipenzi
Edita anaongea vizuri sana
Mnoo
Dada ameongea vizuri sana
Sana
She is lovely
Mimi naishi Germany anti kipindi chako nikizur mungu akupe nguvu na hekma umejitahidi sanaa
mm nimgeni hapa nimeipenda mazungumzo mazuri
Karibu sana
awe mwembamba ivi model flani,mkristo,mwenye hofu ya Mungu
Kwa uwezo wa Mungu utapata kabisa
@@OfficialDatingAssistance mungu ni mwema ,naomba dua zako shen unapo sali na mimi naomba nipate mume mwema kupitia dating site yako ,siku moja uje unifanyie intervew ishaalah
🔥🔥
Mambo ni Fire 🔥
Eeey mama Zoe❤
Naomba kujua jinsi ya kujiunga
Nimeweka Video utaweza jifunza kuhusu mahusiano
Connection problems shena
Naomba mawasiliano yenu@Editha @Shena nahitaji msaada regarding VISA application.
Atakusaidia Editha, RUclips chaannel yake ni @reindersfamily utaweza mcheck kwa contact
Habar mamy.nmechelewa kidogo ila naomba contains za uyu dada maana namm anaishi uholanzi
Nimemtag hapo RUclips Channel yake
Subscribe then mtext kipenzi
Aya asantee dear
Shena nakupata
Ameongea ukweli jamani na vizuri sana about 50/50 its mumeo sio danga lako
Comment nzuri
Asalamualaykum dada NAOMBA huwo mtandao NAKUOMBA hilojinalake
Mitandao nimeweka Video zake
Dada najiungaje
Zipo Video nimepost za maelezo
Dada nisaidie nipate mzungu
Hello mam, Can I make suggestions to grow your channel?
Sure
You only give me the manager permission of your channel to make your channel video SEO
will be safe. Thank you mam
Weee usiniambie .. 🤣🤣🤣
@@OfficialDatingAssistance I don't understand what you said.
@@OfficialDatingAssistance Mechekaaaa😂😂😂
Nipo hapa lakin sijajuwa namna ja kujiuga nafanya je ili nijiuge au una app
Karibu darasani.. mafunzo ya kikundi ni tar 5May
Nami naitaji kujiunga
@@OfficialDatingAssistance ok
@@janetmtweve5590 mbona hiyo link inagoga nikijiunga
H@@OfficialDatingAssistancedada hicho kikundi kipo wapi
Dada anaongeza viruses sanatorium kwakwel
Kwel uvumilivu ni muhim ila Kuna wat wanauz kwel olne date wanapnd ujinga wa picha
Mbov akusubtu nawablock tu
Natamani kujiunga, inakuwaje?
Zipo Video za maelezo nilishapost
@@OfficialDatingAssistance hizo video mi sikuona ndo mgeni humu
Najiungaje,?
2:29 Why don't you wearing hijabu?.
Jambo la kheir lina mtihani sana, kikubwa dua, inshaAllah ipo siku na wakati
He nimtandao gan aliyokutana na mume wake
Karibu darasani
Wataki gani mnakuwa online
Wakati wote tu
@@OfficialDatingAssistance hy