Wlnaoenda huyu dada anavyoongea, mrembo. Wazungu wana wako tofauti pia,kuna wenye maisha ya kawaida,kuna Matajiti,etc. Tofauti kubwa ni kwenye culture km anavyosema. Hapa ni kimbembe, mi nawaza chakula tu🙌, sipendi mkate uwiii na huko ndo chakula aisee... The rest ni wanqdamu wa kawaida tu
Mmmh, hapa inaonekana shemej aliachwa baada ya kupata mzungu wadada wengi wa Kiafrica likija swala la watu weupe ngozi nyeusi lazima upate maumivu wengi wanaangalia maisha then story inakuja kubadailika badae blames zote kw mwanaume.
Habari jamani hio platform yako ya bantu. Dating bado inafanya kazi au hapana coz mpaka saiv inaniambia administrator bado verify my profile. Naona kama inachukua muda au kuna sehemu nimekosea
Poland haipendwi sana na for some reason nisinge recommend niende USA UK CANADA AUSTRALIA ITALY GERMANY Denmark etc.....utafanikiwavizuri sana sipendelei Poland
Yani haya mambo yakupata wazungu mi naona ni mungu awe amekupangia toka unazaliwa ama nyota yako tu mim napatanga mawakala washetan anakupigia video call anakwambia toa nguo tufanye mapenzi mtandaon jaman khaa 😅😅
@@OfficialDatingAssistance Thank you I know God is good.Up to now me and my family I live with a power of God am find job because I was doing job in hotel.
My dia shena yaani nawish kuwa na mume mzungu.. najichanga niingie kwenye group la mafunzo haki mana nimeshakaa kwa dating site muda mrefu sijapata mzungu alie serious sijui nakisea wapi.. ila najichanga unisaidie shena
Haya mambo yakupata wazungu naona ni mungu awe amekupangia toka unazaliwa ama nyota yako tu yan mim napatanga mawakala washetan anakupigia video call anakwambia toa nguo tufanye mapenzi mtandaon jaman khaa😊😊😊
@@OfficialDatingAssistanceaisee mi OkCupid haifunguki, afrointroduction sioni wa maana ,wazee na WA Africa ndo wengi.... Tinder nayo inanizingua Msaada kwenye app jmn shena,mi mdau wako unajua
Ni changamoto kubwa Sana mamamkwe huwezi ongea nae ulikuwa na wakati wa kujiongeza mno , but ongera Sana like a superwoman 🎉🎉
Nimependa huyu Dada anOngea vizuri, story❤❤❤❤
Umeongea point mdogo wangu ❤❤
She is amazing
I love how she doesnt give too much information about her relationship 😊that i admire alot. Wishing her all the very best.
She is amazing
@@OfficialDatingAssistancehelp me sister
Wow beautiful story
Sana
Wlnaoenda huyu dada anavyoongea, mrembo.
Wazungu wana wako tofauti pia,kuna wenye maisha ya kawaida,kuna Matajiti,etc.
Tofauti kubwa ni kwenye culture km anavyosema.
Hapa ni kimbembe, mi nawaza chakula tu🙌, sipendi mkate uwiii na huko ndo chakula aisee...
The rest ni wanqdamu wa kawaida tu
😅😅eti wakwe wa kibongo mtachambana
Nimecheka.
Wakwe ni kipengele aisee 🙌
Mmmh, hapa inaonekana shemej aliachwa baada ya kupata mzungu wadada wengi wa Kiafrica likija swala la watu weupe ngozi nyeusi lazima upate maumivu wengi wanaangalia maisha then story inakuja kubadailika badae blames zote kw mwanaume.
Mshukuru.mungu kwa hilo
Amen
Cheese mimi mwenyew nakula mbishi it very delicious 😋
Woow
@@OfficialDatingAssistance nimetokea kukupenda dada uko pic my
Kwani Cheese inapikwa jamani? Au mi mi mshamba ? Ukiipika ukiwa unatengenezea chakula kama Pizza na vyakula tofautitofauti?
Salami, Hungarian/vienna sausage, polony sio mbichi, they are pre cooked
Dada nimekupenda sana
Kwa poland ,yes nasikia sio ngumu sn km una docs, tofauti na USA,UK ,huko
Hongera
Nielekeze jaman na mm nawapataje hao wazungu jaman😍
Karibu darasani
@@OfficialDatingAssistancedarasa liko wapi dada napenda sana kuwa mzungu mimi jamani ni ndoto yangu
@@FettyCoca-nb4ghwe ingia kwenye apps😅
Nalipia how much Nataka kuwa darasan shena
@@zulfamwakitosi5002 kwani Kuna darasa la kulipia?🙄
Unafanya kazi nzuri saana dada big up kwa saana
Shukran sana 🙏
Kweli unasaida wengi ktk hili
🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Unaweza kunipa privet acount yako ili tuongee private
Habari jamani hio platform yako ya bantu. Dating bado inafanya kazi au hapana coz mpaka saiv inaniambia administrator bado verify my profile. Naona kama inachukua muda au kuna sehemu nimekosea
Doris,ata,mimi namfaham
Ahsante
Kuna inchi ya ulaya inaitajia wafanyakazi ni nchi gani vile...? Nasikia pia wazee ni wengi kuliko vijana
Kuhusu kazi
Tembelea channel ya @witnessvlog
Naomba jina lako IG love wangu
Poland sio nchi watu hawakupendi kuishi ndio maana ni rahisi sana kupata makaratasi ni nchi nzuri tuu kwa kutembea
Ooh Kumbe
Sio nchi kwa Sababu gani unatutisha
Poland haipendwi sana na for some reason nisinge recommend niende USA UK CANADA AUSTRALIA ITALY GERMANY Denmark etc.....utafanikiwavizuri sana sipendelei Poland
Nenda wewe basi
Kamati ya wadada wenye nice heart,mrembo shennah napendaga unavocheka mwaya.
Ahsante sana Bertha
jaman na mimi nipeni connection😀
Connection ipo next week wahi chap kujisajili
@@OfficialDatingAssistanceWapi Dada utupe namba ya cm
@@OfficialDatingAssistance Dada tuelekeze connection ya kujiunga kama ni malipo tueleweshe jins ya kulipia
Wahanga ni wengi. Msaad dada
Nice interview
❤
Poland vyakula vyao ndo shida unakula cheese balaa😂 , ila kusema ni wabaguzi sidhan niwakarim
Hatari 😁
Hongera sana dada kwa kaz yako ❤❤❤
Hiyo yakuweka kwa piza juu ni mozzarella
Yani haya mambo yakupata wazungu mi naona ni mungu awe amekupangia toka unazaliwa ama nyota yako tu mim napatanga mawakala washetan anakupigia video call anakwambia toa nguo tufanye mapenzi mtandaon jaman khaa 😅😅
We kenge umenichekesha walahi😂😂😂😂
@@brendajulius2995 wewe kenge mtu mim sio kenge mim nibinadam teungua kauli yako mim mtu sio kenge
AkyaMungu jaman 😂😂😂😂
Nyieeee😂😂
Mawakili wa shetani😂😂😂
Mm nashukkuru just am learning alot about white people am from UG but my dream kuoleka na muzungu
Kumbe ata wakwe wa kizungu ni wabaguzi sasa wasio tembea ndio utasikia wakwe wa kiarabu au kihindi ni wabaguzi tupende kujifunza.
Kama kuna group nielekeze jinsi ya kujiunga
+4367764790884 whatsapp
Safi sana
Hao ndo wanaume
50/50 kwa ajili ya nn.
Ila kazi nitafanya ,ila mwanaume lzm awe responsible
Wapolish ni wambea hatr😂
nouma sana
💃🏾
Ww n mnzur yan
Mim mwenyw ninandoto yakuolew na mzungu toka zaman
Utapata inshaAllah
Polish wengi hapa Uk ni wezi, wanaiba 🥩 na 🥃
Halafu wanoko sana kazin wamekaa kama vile wafilipono umbea na kuchongeana uwii ila ni very hard work hawachagui kazi usafi handman zote zao
Jaman 😢😢mnanitamanisha na Mimi mdhungu 😊
😁😁
@@OfficialDatingAssistancenifanyeje kuongia uwo mtsndao wakudate namzungu
Na ss wa kaka wa tz tunataka wapoland il tulipize
Ni wewe tu kaka .. mtandao umependeza 😁
😂😂
Sasa nilitaka uliza dd kwa Ile wepsaiti yako Kwa mwezi wanalipia ela ngapi kwa mwezi
Maelezo yote yapo ukiifungua wepsaiti
@@OfficialDatingAssistance 3:18
Dada naomba kujua tunalipia shingapi na inaitwaje
Waafrica hawaendi nchi ambayo haina deal
Waafrika tunatafuta maisha 😁🥰
I'm maasai culture from Tanzania can get wife from poland
I believe its not difficult
If it's not difficult help me
Congratulation and me also my husband he run away.Now l leve my self with my 3 children. Now l find white people.
Pole na hongera, God is good
@@OfficialDatingAssistance Thank you I know God is good.Up to now me and my family I live with a power of God am find job because I was doing job in hotel.
Asilimia 90 ya wapolish wabaguzi ata wewe utaona badae Dada yangu
Ahsante kwa ujumbe kaka, wewe pia unaishi Poland ?
Nipo Danmark Ila wapolish nipo nao karibu Sana sababu ninapofanya kz asilimia 90 wapolish Kwa iyo nawajua Sana tabia zao
Karibu Denmark
@@OfficialDatingAssistancehello
@@zidadumbepo1486hi nitapata. Kaz z kulea. Watoto kufagia
Ata wabongo wanashangaaa mpaka una boeka
Pole
My dia shena yaani nawish kuwa na mume mzungu.. najichanga niingie kwenye group la mafunzo haki mana nimeshakaa kwa dating site muda mrefu sijapata mzungu alie serious sijui nakisea wapi.. ila najichanga unisaidie shena
Karibu sana.. hutojutia.. darasa litakua next week
@@OfficialDatingAssistancehello shilingi ngapi?
Beigani darasa
Haya mambo yakupata wazungu naona ni mungu awe amekupangia toka unazaliwa ama nyota yako tu yan mim napatanga mawakala washetan anakupigia video call anakwambia toa nguo tufanye mapenzi mtandaon jaman khaa😊😊😊
Nicheki
Huyu dada anasema ukweli ni walevi sanaaaa na sisi tunatoka sweeden tunaenda kufanya shooping za wine poland
Woow
embu mtusaidie hizo dating site sorry for late
Zipo kwenye my other videoz
@@OfficialDatingAssistanceaisee mi OkCupid haifunguki, afrointroduction sioni wa maana ,wazee na WA Africa ndo wengi....
Tinder nayo inanizingua
Msaada kwenye app jmn shena,mi mdau wako unajua
Da shena nipe utalatibu wa grup
+4367764790884
Ok
Kama naitaji kujiunga nafanya je
15:09 @@OfficialDatingAssistance
@@OfficialDatingAssistancenakuchek Nataka unipe utaratibu wa kujisajil
vp dada kupata kazi uko Poland
Hii unaweza tizama youtube channel ya @witnessvlog utapata majibu ya kazi
Tinder unafunguaje